Mwenyezi Mungu akujalie kazi njema na akuweke ktk watu wa peponi
@aishamohammed5544 Жыл бұрын
Allah akupe umry mrefu na akujalie mambo mema mpaka kaburini upate muangaza na akulinde maneno yako yamenitoa machozi
@halimamwachilimwachili50995 жыл бұрын
Maa Shaa Allah, Allah awatangulie awape umri elmu mzidi kutuelimisha ln shaa Allah.
@kibibimwanamvuamohammadmoh98237 жыл бұрын
Allahu akbar Wallah maneno aliongea Mwaipopo yatupasa kuyazingatia Kwan umoja wetu ndio nguvu yetu tuache ubinafsi, tumeshindwa na makafiri kwa umoja wao
@othmanabdallah19487 жыл бұрын
Kibibi Mwanamvua Mohammad Mohammad Asaalam aleykum, upo sahihi kinachotukwamisha ni kukosa umoja mfano mzuri kwenye kutoa zakka huu ni moja wa mtihani mkubwa mno! hapa nyumbani kuna kanisa lilikuwa la bait ila Sasa wamejenga na sio kama una waumini wengi hapana sababu wanaumoja, ila kwetu imekuwa mtihani mkubwa hata Imani petro aliongea point pia, unakuta ndo chanzo cha kutosonga Mbele zakka ina nafasi kubwa mno kwenye dini yetu ndo maana wenzetu wanapija hatua sana, walleykum Asalaam warahmatullahi wabarakatuh
@nadyajuma41087 жыл бұрын
mwaipopo ulio sema ni kwel waislam sie hatuta ushirikiano wala umoja laiti tungekuwa na umoja basi Allaah angetuzidishia baraka ila tunapo elekea Allaah atunusuru na pia wazidishie mnae tupa somo Amiina
@muvobhekinyonga9857 жыл бұрын
nadya juma Ameen
@Julia-gm1wh5 жыл бұрын
Umoja wa kuleta vita ama mashetani nyinyi
@mobileshop8187 жыл бұрын
mwaipopo Ma shaa Allah kwakujitoa katka ukristo Allah akujaalie kher.
@jumanamata63495 жыл бұрын
good
@khayriyamussa56805 жыл бұрын
Kher kwake.. In Shaa Allah..
@emmanuelyngabani20792 жыл бұрын
Uislamu Ni Uongo Na Hapa Ndio Ushahidi
@mwajabukaseke87102 жыл бұрын
@@emmanuelyngabani2079 jingaaa sana ww nyie din yenu inaletwa n binadamuu wenzetuu
@pungopungo411 Жыл бұрын
Ajitoe sana tu .nani angewezana nae huyo makanisani hakuna uchawi
@maduuikangira9864 Жыл бұрын
Hakuna mkristo yaani mwana wa mungu anayeweza kubishania Imani yake na wasio amini, sisi wakristo wa kweli tunajitambua Kama yesu alivyoulizwa na shetani ya kuwa ikiwa wewe ni mwana wa mungu geuza hili jiwe liwe mukate, lakini kwakuwa yesu alikuwa anajitambua kuwa ni mwana wa mungu hakuhangaika kugeuza like jiwe kuwa mkate. Hata sisi ni Wana wa mungu kwa kumwamini yesu alieye mwana wa mungu, Amina.
@rajabumrope87325 жыл бұрын
Subhanaallah MUNGU amekusamehe mwaipopo kuichoma Qur AN
@dottoadam55162 жыл бұрын
Mungu atusaid zotee
@abubakaromar46372 жыл бұрын
Mwaipopo Allah akulipe pepo kwa kutoka ukristo
@lightnesselirehema14642 жыл бұрын
Huyo kapotea njia!
@sakinamohd81015 жыл бұрын
Alhamdulilah mzaliwa wa zanzibr hakuna mkristo wahamizi ndowanatuharibia
@khalidali11307 ай бұрын
Allah amlipe kila la kheir sheikh Mwaipopo kwa kuitangaza dini inshallah🙏
@hassansalum84967 жыл бұрын
M/mungu anajua mh kumbe wenzetu upande was kushoto watembea na Quran Subhan'Allah
@Officialmasaikhan6 жыл бұрын
Mwaipopo umeongea vzr Sana
@abdirahmanomarofficial39772 жыл бұрын
Jazakalah kheiran....for good words for good speech for good words for good story...and May Allah guide us all to the right path...
@allyhamza355 Жыл бұрын
Ll58
@ramadanissa24295 жыл бұрын
Najivunia kuzaliwa muislam na n namuomba Allah anifishe nikiwa muislam. Allah atawalip kher kw kaz njema mnayoifany. Inshaallah
@abuudhurkarnayn88336 жыл бұрын
hakika uisilamu nodini ya hakki Allahu ujaalie uislamu mbele
@amosichacha56755 жыл бұрын
MTEI TV Dini hizi hazitatupeleka mbinguni, Bali tutaenda mbinguni kutokana na mahusiano yetu mazuri na Mungu. Hakuna mbinguni mbili, mbingu ni moja peke yake. Na njia ya kuelekea huko no moja tu, Mimi ndimi njia kweli na hukumu mtu haji kwa Baba ila kwa njia yangu. Asema Yesu Kristo tuwe tunataka tuwe hatutaki ndvyo ilivyo.
@minaminaa16695 жыл бұрын
@@williamkavaya4794 wenye chuki na uislamu poleni
@omarympambije32215 жыл бұрын
kwakwel umat Islam tumejaariwa neema na Allah(s.w)
@labilowabiikongo93382 жыл бұрын
Swadakt
@omarkassim67615 жыл бұрын
Hakika mwenzi mungu humuokoa amtakae, hakika uislamu in dini ya haki anayepinga apinga kwa kiburi chake tuuu
@pungopungo411 Жыл бұрын
Yesu hana shida hata ukimkana yeye ana watu wengi tu. Ni wewe tu mwenyewe utaenda huku na huko yeye yuko palepale. Kila goti litapigwa mbele ya yesu believe me
@mwanamisp0fu7605 жыл бұрын
Subhana allah, Alhamdhulilah, Allah akbar, Mwaipoipo umewabainishia wakirsto kuwa dini ya haki ni uislam mola akulipe inshaalh
@mudishabani19616 жыл бұрын
ukiwa mwiislamu wakweli unarahasa duniani na akhera.
@zenassylvester1256 жыл бұрын
Ukimuona mtu kamuacha Yesu ujue uyo hana Roho mtakatifu
@alhadjmugisha52162 жыл бұрын
Hhhh anaroh yake 🤣🤣🤣🤣🤣
@naninana133462 жыл бұрын
Ata mimi nina nia ya kuwa mwislam ili nijuwe tu kila aina ya uchawi ni wakomeshe wanawo nisumbuwa, mana wislam wamejaliwa tu neema ya uchawi
@salehrashid-fx9rq9 ай бұрын
Yesu ni nani?
@ibunmtumbaya12815 жыл бұрын
Alhah Akbar uislam ndo habar ya mjini makafir hawAna jipyaaaaa
@asmaabdallah40555 жыл бұрын
Hawa wakristo kazi yao wanapenda ku fadhiliwa nawazungu ndio maana wanava uti na wana kuwa ovyo kama wazungu hawana haya kama mahaba wanipenda wazungu anawatumia kutimiza uchumi wao moto unawangoja kesho kiama
@armykyamba39822 жыл бұрын
@@asmaabdallah4055 unaujua uislamu lakn
@abordecapester9086 Жыл бұрын
Mungu kaweka dini mbili kwa ajili yaku poteza wabaya wasijuwe kwaku wapotosha waliyo hamini mana vitabu vyote ni vyamungu Nani kweli apingalo hilo basi yeye ana Pinga Mungu.
@amoury1481 Жыл бұрын
Mungu kaumba dini moja tu Uislamu,Hizi dini Nyingine ni matokea ya mwanadamu
@shaafiabdi82735 жыл бұрын
hadiith=kulu muskirin haraam "Chochote ki lewasho ni haramu" Miraa ni haramu
@amadeuskimey55215 жыл бұрын
alitoka katika ukristo kwa maana haku chaguliwa na mungu angelichaguliwa na mungu asingee rudi nyuma angechapa injili
@husseinmohamed59425 жыл бұрын
Kaiona haki coz ukristo sio dini na Kama unabisha nipe andiko kua ukristo ni dini
@santodelove43515 жыл бұрын
Mungu wenu mbaguzi kwahiyo anawachagua chagua
@ibrahimabdul54908 жыл бұрын
Yaani ukiwa mkristo sawasawa na maiti. Kwanza kabisa ukipata andiko linalosema ukristo ni dini ya Mungu nipo tayali kubatizwa hata sasa hivi.. Yaani ktk kitabu chochote unachokijua wewe..!
@stallonesylvester19888 жыл бұрын
acaha matusi kaka,tangaza uislamu vyema. yesu ni nani?????
@ygyoung96866 жыл бұрын
marayn
@nestarnestar45205 жыл бұрын
kuma ww nyie ndio mizoga kabxa
@amosichacha56755 жыл бұрын
IBRAHIM ABDUL Dini hizi hazitusaidia chochote. Mahusiano yetu mazuri na Mungu ndyo yatakayotufanya tumuone Mungu. Mbingu ni moja tu wala hakuna mbingu ya pili. Njia ya kwenda huko ni moja wala hakuna njia nyingine. Mimi ndimi njia kweli na uzima mtu haji kwa Baba ila kwa njia yangu. Tuwe tunataka tuwe hatutaki ndivyo ilivyo!!
@derickluazi55285 жыл бұрын
Ibrahimu ww ujitambui ukitoa neno kwenye qurn linalokuonesha wapi ulipo haidiwa ufalume wa milele nitakuwa mwisilamu
@thobiasmsuya61458 жыл бұрын
uislamu ni dini ya khaki
@stallonesylvester19888 жыл бұрын
dhibitisha
@sahariabdul7 жыл бұрын
tafuta video za imani petro na imani akili yako itafunguka na uache weu wa kubuluzwa na neno kristo
@goldmansun58596 жыл бұрын
haki iko WAPI?
@fatumaalisaid98162 жыл бұрын
Aki mwaipopo umenifanya machozi yakanidondoka, Allha akujaze kheri in sha Allah🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼😭😭😭
@al_aminchannel32925 жыл бұрын
allahu Akbar walahi nabado watu wanachezea uislamu tu ishikeni uislamu kwa makini
@AishaAli-lk7gh5 жыл бұрын
huyu ALLAH amembainisha alokuwa akifanya kwa ukristo sasa wengine wanajenga chuki kwa kusema kweli ukristo sio dini
@kasimothman69402 жыл бұрын
Mashaallah
@mbaroukmbarouk4986 жыл бұрын
Nyinyi makafiri mujue kua huyo yesu munaemfuata hakuwahi kuingia kanisani wala hakua mkiristo mutachomwa moto nabii Issa (as)ataingia peponi na waislam
@festokivuyo71212 жыл бұрын
Kama mbinguni nikwenu bs hatutaingia lkn kama ni mbinguni ni kwa Mungu bs huna mamlaka huko
@novatusngoloma8080 Жыл бұрын
Nonsense, fikiria mara mbili kabla ya kucoment
@lawrencechacha7863 Жыл бұрын
Huna tofauti na shetani,maana ungejua tabia ya mungu usingeropoka upuuzi.eleza uzuri wa dini yako na njia ya kumfikia mungu.
@chriscao9828Ай бұрын
Waislamu ni watu wamechanganyikiwa kama mtume wao wa kuzimu..
@husseinchiaseeds26535 жыл бұрын
Mwaipopo Allah akuhifadhi
@ftimaramadan47482 жыл бұрын
amin ya Rabby
@saiditheone_tz5762 жыл бұрын
Allahu Akbar, Allahumma sturu ummata Muhammad (S. A. W)
@rizikiali81735 жыл бұрын
walah umependeza kua muisilm mashaalah MUNGU akuzidishie
Wewe huujui ukristo ulikuwa umeenda kusomea kupiga hera, lakini siku ukimjua yesu kristo Kama muumba wako na muumba wa ulimwengu utamwinua juu.
@aminariziki16776 жыл бұрын
Uislam ni dini ya haki na ya kweli mbele ya MwenyezMungu.
@gabrielisack77866 жыл бұрын
ukiijua kweli itakuweka huru,siku moja sauti ilisikika ikitoka mawinguni ikisema huyu ndiye mwanangu ninayependezwa naye hivyo msikilizeni yeye.
@brightonwashira54205 жыл бұрын
We mkristo kafiri nini
@dullyvidully77985 жыл бұрын
Tupe andiko sio unatupa porojo tu
@aishaomari18815 жыл бұрын
Mungu Hana mwana ila Ana mitume 25 na itabak hv
@jumajaffary96985 жыл бұрын
Yohana 5:37 Neno: Bibilia Takatifu (SNT) 37 Na Baba aliyenituma naye amenishuhudia. Hamjapata kamwe kuisikia sauti yake wala kuiona sura yake. Yesu kasema sauti ya Mungu hakuna aliesikia wakati wowote wala kuiona sura yake.
@ikabako24542 жыл бұрын
@@jumajaffary9698 umempiga vizuri sana kondoo huyo 🤣😂😅
@zariamutesiwase23712 жыл бұрын
Najivunia kuzaliwa Mwislam
@joshuanoel44822 жыл бұрын
Yaani watu wazima kama watoto ndo maana siangaliagi midahalo ya waafrika bora hata marehemu Ahmed deedat
@medinacheronohildah79332 жыл бұрын
Yeah na zaik naik Yusuf esteem napenda mada zao juu SI kubishana n kupelekana sawasawa
@salehlofy42517 жыл бұрын
wakristo hata aje Yesu mwenyewe watampnga lakn wanakuja ona wakifika kwa Mungu
@salehrashid-fx9rq9 ай бұрын
Watamuua 😅
@abcmnbb26102 жыл бұрын
Alhamdulillah kwakuwa muislam
@johnmnonjela98096 жыл бұрын
umepata hasara ndugu kiroho
@bintichausa47445 жыл бұрын
😂😂😋😂😂😂
@ahmadamapande6772 жыл бұрын
Daah Mungu awalipe Mashekh natamannijifunze hio kazi
@bimumaulid11717 жыл бұрын
ukristo dini ya feeza hilo tunalitambua lkn makazi Yao fin nari jahanam motono
@rahmakhamis1115 жыл бұрын
ndiyooo
@hassanshemawia45875 жыл бұрын
Imejipiga
@eladiuspeter5865 жыл бұрын
bimu maulid wew kabla ya waarabu babu yako hakua na dini
@evelyneongachi94866 жыл бұрын
Peter kumkata MTU maskio,,yesu akakiokota akairudisha,ambapo so kawaida kwa binadamu yeyote
@thomasnachenga7955 жыл бұрын
ILO MOJA yesu kafanya maajabu MENGI kupita hayo....lakini bado HAWATAKI KUAMINI NI MUNGU. hehehe ata wao wanamjua
@samiramohamed985 жыл бұрын
Ss Tomas yes mungu kipind alipokua tumbon dunia ilikua yaendeshwa na nan
@samiramohamed985 жыл бұрын
Maryam angekufa kwa kifafa cha uzaz kwahy kusingekua na mungu??
@kenzanzibartours15297 жыл бұрын
allla akuhifadhi na fitna mwaipopo
@makanikiamsanga9066 жыл бұрын
HUYO MCHUNGAJI NI MNAFIKI. NI WA UONGO. KAMA AMEHAMA UKRISTO, KWA NINI BASI AMEVAA VAZI LA KICHUNGAJI, ILI AWAAMINISHE WATU KUWA YEYE NI MCHUNGAJI, NA ASIVAE VAZI LA KICHUNGAJI BASI. HUYO NI MCHUNGAJI WA UONGO NA MKRISTO WA UONGO. BIBLIA ILISHA ONYA MBELENI.
@amosichacha56755 жыл бұрын
Makanikia Msanga Mchungaji wa kondoo wa Mungu, aliyeitwa kuwa mchungaji hawezi kufanya haya. Yeyote yule anaweza akajiita kuwa ni mchungaji na asiwe mchungaji. Hawa waliojiita wenyewe ndiyo leo hii tunashuhudia wakifanya vituko.
@husseinmohamed59425 жыл бұрын
Anawakejeli wale mafala wanaojiita wakristo
@abdallajuma62625 жыл бұрын
hakika umeongea ukweli uislamu ndio dini sahihi mbele ya mungu
@irenemboka14012 жыл бұрын
Hapa unajidanganya ndugu sisi wote watoto wa Ibrahim kumbuka YESU CHRISTO ndo njia pekee ya MUNGU siasa haina mahali itatupekeka
@armykyamba39822 жыл бұрын
Na vip ktk uislamu kusoma uchawi wa kitabu (faraki)
@rizikiali81735 жыл бұрын
mwenyezimungu akupe mazur
@chenzhenlee76335 жыл бұрын
Waislam ndio makafiri kama hawajasoma Qur'an yao
@isaacmafole21365 жыл бұрын
True
@user-kf5lh4jk3b3 ай бұрын
Wakristo makafiri hawana dini wakifa kwa imani hiyo ni motoni
@JeromeAbu Жыл бұрын
Kaji zuri cheikh wangu
@joykhaphimpa45456 жыл бұрын
Kwakweli shetani ni mjinga sana coz anajua kufunga watu macho iliwaingie gizani wasijue ukweli
@seifhabib5987 Жыл бұрын
Uislam hasa raha bana eee
@rajabuselemani35866 жыл бұрын
nakubali sana ukristo uchafu watu hawafanyi kazi eti pesa zawaumini zitafanya kazi duuu
@asmaabdallah40555 жыл бұрын
Mjinga kila kinato lewesha ni haramu kwa waislamu labda kwenu ni halali kwa maana nyinyi kazi yenu kulewa tu
@zairesoyosoyohabura751310 ай бұрын
So touching story sheikh mwaipopo ❤❤❤😊
@abdulyhamidy50815 жыл бұрын
Mwenzimung atkakusaidia ktk kufkisha dini y MW/mung
@aishamzeehamissi6859 Жыл бұрын
ASALAM ALEIKUM PROFESA MAZINGE A MWAIPOPO ALLWAAA AWAPE UMRI MREFU KUTUELIMISHAA JAMIÌII NIKWELI WASHEKHE HAWAELIMISHI JAMI NAKUITOWQ MIHADHARA NIWAO WENYEWE TUU ILIMU WANAKAA NAZO MAJUMBANI
@marwamasiku18 Жыл бұрын
Masha llah mungu atuafikishe halikua waislamu ameen
@dottoadam55162 жыл бұрын
Mungu msaidimwaipopo
@abubakaromar46372 жыл бұрын
Allah walipe kheir kwa kazi yenu inshallah
@officialmatambi55506 жыл бұрын
Duh huyu mwaipopo kumbe anasumbuliwa na njaa tu, anaomba achangiwe na hela tena.
@goldmansun58596 жыл бұрын
sisi tunatoa coz tukimtolea Mungu wetu tunastaw,alah(pepo)atambarik nani?ndo mana kutwa utawakuta wamejazana kwa waganga na wasomanyota
@mariamwazir11255 жыл бұрын
Safi
@captenndunga93855 жыл бұрын
Bernad wee ni kafir hilo linajulikana
@dallaxngaona13455 жыл бұрын
Nani kakwambia shoga wewe
@dullyvidully77985 жыл бұрын
Hana shida na michango yenu makafiri wakubwa
@ishoboyyoung15072 жыл бұрын
Tusibaguane kwa dini na rangi kila mmoja afate anapoamini vibaya hivyo kuweni
@omanbarka15882 жыл бұрын
Mazinge kapatikana
@mariamsindano1953 Жыл бұрын
Mungu pekee ndio anajua, watu wamejaa makanisani na wanaponea huko
@sweetnanashow56112 жыл бұрын
Akati wenzenu wanatafuta uzima Nyie mnatafuta ujinga haaas
@tabasamtv67282 жыл бұрын
Wamekaa kbsaaa busy kubishana upuuzi.
@yusuphsimon81516 жыл бұрын
hahaaa waislam bhnaaa ubishi mwingi ukwel mnaujua
@anjelinawiliam54156 жыл бұрын
mungu awalehem maaana hamjui mlitendalo maaana lisilo wezekanakwamwanadam kwamungu yawezekana
@thedymatei81715 жыл бұрын
najivunia kuwa msilm
@sophianolle40075 жыл бұрын
we mwaipopo umeongea utumbo tu hata cjakuelewa ni bora hata ungelala tu, maana huwezi kubadilisha imani yetu ya kikristo kwa mtindo huo na tambua kwamba mungu hana dini matendo yako ndyo yatakupeleka jehanamu au peponi kafili wewe
@abdullahibaris71825 жыл бұрын
ALLAHu AKBAR
@eunicebukokhe68052 жыл бұрын
Mazinge wacha kuaribu sigara hapa uarabuni sigara inaasha nyingine wa maanisha waarabu ni makafiri?
@user-yc7cx8lw8h9 ай бұрын
Alhamdulillah 2023
@al_aminchannel32925 жыл бұрын
kwa Allah aliyenufanya muslamu
@rizikiali81735 жыл бұрын
yakupendeza daima
@fatumaramadhanmashaallahal99665 жыл бұрын
Kweli kabisa uislamu tunajiangusha ss wenyewe heri inshaallah
@greysonmheni51762 жыл бұрын
Njoo kwa Yesu,hatakuangusha
@ftimaramadan47482 жыл бұрын
kumbu nilikuepo kwa baba mazinge zamani 😀😀😀
@ftimaramadan47482 жыл бұрын
unatisha baba mazinge tupo pamoja sana
@omarahmed77085 жыл бұрын
Mwaipopo njooni na kwetu mafia
@mohammemoh73556 жыл бұрын
ALLAH jazakallah kheri Mwaipopo
@marcelinenakafu70396 жыл бұрын
ukiona mtu akiacha ukristo na kwadaku waslam mkristo awesitusitika kwasababu yesu alisema sikuzamwisho kutakuwa mambokamaayo watu watajitenga na imaniyao mwaipopo iyoantiko hakuiyona?
@zaitunimutombo665 жыл бұрын
Takbir Allah Akbar
@jamalathman62192 жыл бұрын
Mashallah jazakallah kheir
@felixgitonga6783 Жыл бұрын
Mazingi ni kafiri mukubwa wa motoni wapinga kristo
@dktabbaimran20022 жыл бұрын
Uislamu ni nuru. Kila chenye kinabadilisha akili ni haramu
@captenndunga93855 жыл бұрын
Ukristo ndo ufreemason wenyewe wanatufumbafumba tuu lakini ukweli ndo huo.. kama unabisha bisha kwa mapungufu yako...
@stevensosipita28512 жыл бұрын
Wee nawe umepotea kama huyo mwaipopo.poleni sana hamjui mlitendalo.
@alufamauridi7115 жыл бұрын
Uisilam ndio din yahakhi nyie wakilstoy rudin kwenye din ya hakk
@stevensosipita28512 жыл бұрын
MATENDO YAKO MEMA NDO YATAKAYO KUINGIZA PEPONI SIYO DINI PEKEE POLENI SANA
@hosealutaha85886 жыл бұрын
Yaani hawa makristo hata yesu mwenyewe akija watamkataa na kumpiga kwakuwa akili zao wanadhani yesu ndo huyo wanaomuweka kwa makanisa mmh nyie ni sawa na magogo
@stevensosipita28512 жыл бұрын
TULIENI TUNAJUA FIKA NYIE NIMALI YASHETANI HUBIRINI DINI YENU NA IMANI ZENU NDO ZIKAKAZO WAPONYA MNAKWAMA WAPI?MTUPISHE TUPITE YESU YU KARIBU KURUDI SIMMESHAPOKEA HATA CHANJO CHAPA 666 KAZI MNAYO.
@stevensosipita28512 жыл бұрын
AFU WEWE NDO WAKINA MWAIPOPO MMESILIMU KUFUATA UGALI MMEPOTOKA KWELI KWELI POLENI YENU AFU MMESHINDWA KUFUATA IMANI YA DINI MLIYOIFUATA KAZI SASA UNAFIKI UCHOCHEZI MARA YESU ALIKUWA HIVI MARA VILE HIYO NIDHAMBI KUBWA MUNGU ATAWAHUKUMU WOTE WALIOSALITI DINI ZAO NAKUSHINDWA KUFUATA IMANI YADINI WALIZOZIFUATA KWANI MUNGU NIMMOJA OLE WENU WENYE IMANI HABA SIKU YAHUKUMU MTALIA NAKUSAGA MENO.
@khadijanjama90165 жыл бұрын
والذين كفروا يتمتعون ويأكلون كما تأكل الانعام والنار مثول لهم
@hassanabalkasim71432 жыл бұрын
Muislamu aokoka
@hanadialabed86357 жыл бұрын
Mungu awazidishie mashekh wetu umri na hikma na awajaze mioyo ya kueneza dini na mungu awajaalie mwisho mwema na kauli thabiti kwenye mauti yenu na waislam wote
@armykyamba39822 жыл бұрын
Sawa mungu gani awasaidie
@amosichacha56755 жыл бұрын
Maamuzi uliyoyachukua mwisho wake yana majuto kilio na kusaga meno. Kwa sasa unaweza usielewe ila utaelewa badae!!
@firo0ozdawah3782 жыл бұрын
Hakuna mtume wa kizungu Sasa munatawaliwaje na wao ... Historia yote inarudi Kwa waarabu
@hassanissa6116 жыл бұрын
Yesu ni nabbii wa ALLAH ila nyiyi makarifi mnamfanya km MUNGU???😳😳😳😳😳 inallilah wainalillah rajiun🤑
@lightnesselirehema14642 жыл бұрын
Huyo Isa wenu ambaye hakufa siyo Yesu Christo. Yesu Kristo alikufa, akafufuka na akapaa mbinguni. Na yuko mbinguni na atakuja kuwahukumu walio hai na wafu.
@sahariabdul8 жыл бұрын
unaelekea kuchanganyikiwa
@makanikiamsanga9066 жыл бұрын
UNASIKIA? AMEWATAKA WAISLAM KUWAIGA WAKRISTO KWA KUJENGA HOSPITALI NA SHULE, HAO WANAOITWA MAKAFIRI MUJIFUNZE KWAO, YAANI MUWAIGE KUJENGA HOSPITAL, LAKINI MUNAWAITA MAKAFIRI.
@hgfivcj18322 жыл бұрын
Kwani hapo Unaskia unaongea nini kwani hiyo hospital imejengwa kwa gharma za makfiri? Jibu
@salmasalama37548 жыл бұрын
waipopo umesema kweli
@armykyamba39822 жыл бұрын
Unaijua kweli mpendwa
@sudeysswai28627 жыл бұрын
kuliko uwe mkristo bora uwe fremason kwamana Wote motoni bora fremason utapiga pesa ila ukristo utakuwa unapigwa pesa msingi wa kweli nikuwa mwislam ustasalimika na moto wakiama
@hamisimdunga99552 жыл бұрын
Ooooooooo the way out ok I'll get back
@khadijaalrawahy80695 жыл бұрын
mwaipopo mwenyez mungu atakulipa Akher inshallah
@brucemandara27085 жыл бұрын
Huwezi kumbadilisha mtu imani aliyo nayo kwa kuisema imani yake vibaya, tuendelee kuombea taifa letu AMANI, hawa si waislamu wa dini in\wezekana wameahidiwa kuboreshewa maisha na familia zao, wengine wanashangilia tu, bandera hufuata upepo mtazolewa na wapigaji wa fedha.kama umezaliwa ndani ya uislamu TULIA na kama umezaliwa ndani ya pia TULIA kama ulivyojikuta umezaliwa mwanaume au mwanamke, sote tumejikuta kwenye tawala za kiarabu au za wazungu watanzania tuache hizo tunahitaji kuishi.
@stevensosipita28512 жыл бұрын
Mwenyezi mungu halipi mtu kwa kumuombea analipwa kwa matendo yake mema ila kwahuyo MWAIPOPO ni moto wa JEHANNAM
@stevensosipita28512 жыл бұрын
KWANZA HUYO MWAIPOPO LAANA YA MUNGU INAMTAFUNA WALA HAYUKO SAWA KAWEHUKA HANA JIPYA KILA SIKU UCHOCHEZI SIKUPENDAGI HATARI