La Haula Wala Kuwwata Illa Billah! Leo kwatokea Mtu tena Katika Madaa'i na kutowa matamshi yasio na Heshima wala Adabu Juu ya Mtume Muhammad S.A.W Bila ya Kujali, tena akiwa Juu ya Mimbari ya Mtume Muhammad S.A.W.
Пікірлер: 120
@ismailchilonga28784 жыл бұрын
Kishki napenda ila Huyu sheikh yupo sawa hana makosa yupo sahihi kabisa mwenyezi mungu amzidishie imani
@aishamalaki13526 жыл бұрын
ALHAMDULILLAH ALLAH akujaalie Sheikh Hatimy maisha marefu yenye kheri ili uwasomeshe nawengine zaidi maana haoulio wasomesha wameanza kusoma sasa INSHAALLAH ALLAH atawabadilisha wajuwe vizuri dini yao
@ramadhanwilbard46854 жыл бұрын
Mimi nadhani Shekh Kishiki alitaka kutuambia ya kwamba Mwenyezi mungu ndiye namba 1 na kila kiumbe kinamsujudia yeye tu na Mtume wetu Mohamedi naye katoka kwake na sisi tunamuheshimu katika imani yetu ya Uislamu Mtume wetu lakini hatumsujudii kama mwenyezi mungu mm kwangu naona Kishiki yuko sawa!
@tiffahbby36975 жыл бұрын
SubuanaAllah,, AstaghfiruAllah AstaghfiruAllah ewe mollah wetu tusamehee na utuweke ktk njia iliyo ya kheir
@binmwerionlinetv12564 жыл бұрын
Wallah elimu ni bahari allah atunufaishe kwa elimu za maulamaa wetu
@nganzirashidi14636 жыл бұрын
Huyu Sheikh mm nimemuelewa na ninamkubali sana
@abdulsanz78855 жыл бұрын
uyu kishki atatuponza... asante Al Hatim kwa kumkosoa kiakili... Kishki usiwe na Kibri... Kafiri mwenyew hawez kusema ati Mtume hanufaishi wala hadhuru ww umepata wap jeur hii
@jaafaralsadiqchannel19068 жыл бұрын
احسن الله علينا و على المسلمين. و لنعلم ان هذه امتنا امة واحدة فرويدكم رويدكم
@swafiamohammed17085 жыл бұрын
Allah akukuhifadhi Sheikh Al hadi
@AhlusunnahWalJamaa5 жыл бұрын
Ameen
@burhanhaji7696 жыл бұрын
"Na wala hatukuwatuma katka mitume (tuliowatuma), ispokuwa in lugha ya watu wake ili kuweza kuwabainishia(Haki)....QUR-AN 14:3, kwa mujib wa aya hii, imamu WA veterani yupo sahihi kutoa khutba kwa lugha ya watu anaowafikishia ujumbe.
@arqamibnarqam.71854 жыл бұрын
Alhatimi your right.May Allah bless you.
@ustazzaghawiyustazzaghawiy72466 жыл бұрын
ALLAAH AKUHIFADHI NA SHARI ZA MAHAASIDI
@user-tl2jz5wg2p5 жыл бұрын
قال تعالى:فماذا بعد الحق إلا الضلالة..سورة يونس
@semenimtoka11214 жыл бұрын
Wallah shekh unaelimu kubwa sanaa lkn msipende kurekebshqn mtandaon mungu akuhifadh al hatimy
@AhmedMohamed-hc6pp8 жыл бұрын
Subhan'Allah! what a beautiful reply. I hope you may reply to more of such sheiks INSH'ALLAH
Shekhe Allah akuongoz maana wewe huna unalolijua zaidi yakukosoa wenzio
@minaminaa16696 жыл бұрын
MashaAllah kwa elimu yako
@mugabekazimiriam66933 жыл бұрын
mazuri mazuri yaku laghaii watou na vuarabu vingi sana basi sisi ma amuma tukisikia viarabu vingi basi tuna sema huyo ni shekh mkuuu kbs
@abdulrahmanbakar54168 жыл бұрын
dah kusoma ni muhimu sanaa
@noffelsalim8302 жыл бұрын
Kishki anapotosha tu
@docdicha11314 жыл бұрын
Iman yangu ktk Islam mwanzo wake ni maisha tu ya mtume (S. A. W). Watu hawaelewi point kubwa ktk jambo hili vijana wangapi wame dhurika na wasanii? Na wangapi wame pata Imaan kutokana na watu wema? Allah atulinde sote.
@user-ql2om7qj3v4 жыл бұрын
Kishki uko sawa kabisa
@mfaumeatimwanga92275 жыл бұрын
sijuwi kama unahabari kama huku mitaani yamepungua kiasi kikubwa. watu hawana mpango nayo.pole sana shekhe
@lolooman91704 жыл бұрын
Mtume Muhamad kapata wahay kwa Allah na yeye anamtegemea Allah jalajalal
@bashmargasalmy2258 жыл бұрын
kishki sifa tuu mmh hatari Subhallah
@saidzainabomar16502 жыл бұрын
TAKBIR
@twaibungwira88436 жыл бұрын
Bismillah rahman rahim,Hivi waislam tunaenda wapi mbona kila kukicha ni kukosoana tu ,Yaani waislam wa zama hizi baada ya kuungana ili kuusambaratisha ukafili,wao wanafitiniana wenyewe kwa wenyewe,Jamani waislam tuungane siyo kufehezesheana haifai tumwogope mungu,mambo ya kuwahusia waumini yako mengi nyinyi mmeacha kuamrishana kazi kupondana tu,waislam tuwe kitu kimoja kama mtu amekosea zipo taratibu siyo tuchafuane mitandaoni sio vyema hivyo
@bdulkadirmahsen18268 жыл бұрын
kishki mbona hujui kupima maji na unga wafananisha mtume mtukufu na rais wa tanzania
@mannuhussein16018 жыл бұрын
😠
@alhabibismail30314 жыл бұрын
Alafu sioni haja ya kukusoana huku, uislamu hauna sfa izi..tujarbu kufanya vtu vnavyoleta umoja kuliko kutukosanisha Inshallah
@rachelevarist704 жыл бұрын
Kishk usitake kilakitu unakijua sio vizuri usilazimishe watu wote tuwe wahabia sio siri wahabia nawachukia sana mmekuja kutuvurugia dini
@yassiralbajun50654 жыл бұрын
Husda sio jambo zuri hata kidogo
@swafiamohammed17085 жыл бұрын
Astaghfirullaaah! Kishk salaaaala yaonekana una chuki na mtumi wetu Muhammad SALALLAHU ALAYHI WASALLAM mpk wamlinganisha na raisi? Ati Mtume hadhuru wala hanufaishi! Inna lillah wa inna ilayhi rajiun
@chrisbrown96574 жыл бұрын
Nam sheh Sisi tuko comoro wahabi wanatuharibia mambo mengi
@asiamsellem95627 жыл бұрын
kama mtume ananufaisha kwann asimnufaishe ami yke na yy mwnyw kwni alikua akishinda na njaa baadhi ya C ku.na kudhuru mbona hakuweza kuwadhuru waliokua wakimkera na kukusidia hadi kumuua. nani mwny uezo huo thn actumie uwezo wake
@abuuabdulrahmanhafidh84438 жыл бұрын
qul inni laa amliku dhwarran wala rashada
@saidbakhlaaofficialchannel39503 жыл бұрын
Hiko kishehe kishki kina matatizo ya ubongo.
@nooraallahuakibarumwenyeez30793 жыл бұрын
Hhhhhhh
@abdulkarim78567 жыл бұрын
طيب: العلم اولي من مواقف
@mohammedhamad93924 жыл бұрын
Swadakata
@mbossowcb19154 жыл бұрын
Kishk hana ilim ndio sababu kila aongealo anakosolewa
@ismailiidarusi1325 жыл бұрын
nimesoma zote ila comment ya asia mselem ndiyo kaongea kweli
@abuuabdulrahmanhafidh84438 жыл бұрын
sheikh kishki allah amhifadhi na aelewe na aikubali manhaj iliyosalimika na bidaa na shirki
@saidalsalmi93132 жыл бұрын
Kishk akasome asipotoshe watu
@amohamed69488 жыл бұрын
Alhamdulillah Sh Kishki amesharekebishwa katika kuwakufurisha wengi wanaopenda kuisoma wasila Shafi. Kwa hivyo ilo baki aje mbele ya mimbar aombe msamaha siye nyie.. Ikiwa hawezi basi asiengilie mambo ya mizozo kwani yaonekana ya kuwa Shaikh Al Hady hayupo tayari kumuacha apumuwe. Wapenzi wa Kishki nothing personal. Take it easy and see where truth lies,
@seifpandu90516 жыл бұрын
Lau wakusanyike watu wote ili wakunufaishe mpaka mtume awemo hawatakunufaisha isipokuwa alilolipanga Allah na wakikaa kukudhuru pia hawatakudhuru ila alilolipanga Allah. Naona kama hapa pana shirki mtume hajuwi kinachoendelea duniani kafa kama waliokufa wengine
@kenyanforever2605 жыл бұрын
Allah awastiri mashekhe nyote wawili bali watu hawarekebishani kwa mavideo Hio ni riyaa. Kama kweli mnataka kurekebishana ni muitane mupange cha rekebishana sio kwa mavideo...
@mohagurey22143 жыл бұрын
The heading looks nice but there is nothing he corrects but just make a comedy
@thabitikioza67274 жыл бұрын
Kama yupo serious akutane na wahusika ana kwa ana wafanye mdahalo
Kishki ni celebrity sio sheikh hata kua bahati mbaya.
@Skomi-0nedayyes3 жыл бұрын
Kwa upande wa maurid shekhe Kishk yuko sahihi. Kuna qasda haramu kabisa na nmewahi kuskia kwa mashekhe pakstan, ndomana wengine awapendi kabisa madufu yenu ni mangoma huwezi msherekea Muhammad aliyakua hata sunna ya ndevu mtu hana wanaimba qasda za vijembe nawana dancing hakika ni bidaa kubwa na maaswiya.
@twayibmood73194 жыл бұрын
Kishki yupo sawa sawa Anae weza kuzuru na kunufaisha ni mmoja tu Allah s w
@Platnumz114 жыл бұрын
Jamani mtume hawezi kuzuru ila ni Allah tu
@mohammedhamad93924 жыл бұрын
Mapambano nani zaid Mie nixhamjua astaghfllah
@user-tl2jz5wg2p5 жыл бұрын
من أحدث في أمرنا هذا ماليس منه فهورد
@alikaisaak37716 жыл бұрын
Never judge someone in public if u see ur correct tell him in private not public
@salehkhamis99785 жыл бұрын
sheikh kishki upo sawa endelea kuelimisha jamii
@awadhhadi4464 жыл бұрын
Huyu kishki anajifanya ana ilmu sana kumbe hana k2
Zako n chuki tu na kishki wala si kitu nyingine ju ata kama ingekua io kukosoa lkn ungetumia lugha ambayo yaonyesha kukosoa lkn ww watumia kejeli ,,,,,Hakika ya Allah ndie hakimu mkuu kati ya wewe na huyo kishki na walimwengu woote kwa ujumla na kila mmoja Allah anamjua nia yake vyema
@khadijahussein6926 жыл бұрын
Acha izo shekh mbona unakata hiyo CD, sababu kitu najua mm ni kuwa Sheikh Nurdin anapoanza khutba lazima amsifu Nabii Mohammad (S. A. W) kwa sifa zinazo stahiki acha kusema hivo
@AliMohamed-xy3hz8 жыл бұрын
Asataghfirullah! Astaghfirullah! Astaghfirullah!!!... Ah!!! Sasa Mashia wana afadhali kuliko hawa Mawahabi? Mashia hukejeli baadhi ya Maswahaba wa Mtume, Huyu Kishki humkejeli Mtume wetu hasaa!!! ??? Ah!!! Mimi Bado siamini masikio yangu.... Twawatafuta Makhawarij na nihawahawa kumbe? Makhawarij walitumia Ayah za Mungu na Kumuua Sayyidna Ali na sasa leo watowa Ayah za Mungu kumkejeli Mtume??? Dah!!!