ALHAJJ: DR. SULLE | HII NDIO SABABU YA MTUME S.A.W | KUSALI MAHALA ALIPOZALIWA NABII ISSA #Masjid_Mtoro_Online_Tv #DrSulle
Пікірлер: 191
@HabibaSwalehe-bx4wr4 ай бұрын
Mashaalla ww dokta sulle ni kiboko wallah alla akupe umri mrefu uendelee kutufungua Maana wengi hawakulijua hili
@rahmatonystan2691 Жыл бұрын
Mashallah
@aishasaid67493 жыл бұрын
Hahahaha Allah akuhifadhi akuzidishie riziki za halali siha na afya njema
@nooraallahuakibarumwenyeez30793 жыл бұрын
Huyu shekhe mm ananichekeshaga wallah namkumbuka shekhe nyundo hawezi kuhutubu mawaidha bila kufurahisha hhhhhh Allah akuhifadhi shekhe ktk dini na dunia na akhera pia Allah akuzidishiye kipaji
@sawdaasawdaa79033 жыл бұрын
Imana ya yesu yeye ni nabi na nikiumbe ca mungu ambaye ni mutu na atawakana nanjomana yupo na mamulaka duniyani nambinguni ya kukukana ayo ambayo wamemuzingishia atawakana nakuwahukumiya mumekoseya siyajuwi ayo mambo ya ucristo mimi muislam Allahuma sali wasali MUHAMADI S.A.W
@naimatmussa87463 жыл бұрын
Mashallah Allah
@husnahemedy8376 Жыл бұрын
Manshallah unatufundisha mengi Allah akulinde na atujaalie tukutane kesho akhera
@jumanjenga76823 жыл бұрын
Good job. Masha Allah. watching from Boston USA
@asiaissa9763 жыл бұрын
Shikran ya sheykh nimekupata vyema allah akuhifadhi yaarabbi
@fardoshnassor78473 жыл бұрын
Allah Akbar
@twalaataib92973 жыл бұрын
Mashallah Sheikh
@naissabard2519 Жыл бұрын
Good
@sawdaasawdaa79033 жыл бұрын
Wambiye wacristo wajuwe uisilam ndiyo dini ya yesu ambao wawo wamepotoshwa nakuwekewa ati ndiye mungu wawo wacristo wamepoteya na ukipoteya hutofika mpaka uelekezwe na coroani inasema nakumaliza mucristo wakweli huamini coroani nakuifata takbir docter sule nawapenda sana ma sheikh Allah awahifazi
@ashaomina11363 жыл бұрын
MashaAllah sheikh jazakallah kheir
@TheM19533 жыл бұрын
Mashaa Allah Tabarakallah!
@brothermuslims41303 жыл бұрын
Nimepata elimu n Allah azidi kukupa elimu zaidi ili tujue uislamu wetu
@kulthumsaid29193 жыл бұрын
Mashaallah
@amirially7509 ай бұрын
Maashallah
@aminamkumba35492 жыл бұрын
We kichwa, mashaa Allah
@yasalaam5903 жыл бұрын
Amiin amiin amiin Shukran ya heykh
@kakandaali1522 Жыл бұрын
Aksante Sana sheikh
@hafsaali79763 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah
@ukhtyruqyah78603 жыл бұрын
Allah akulinde babaangu kesho inshaAllah naenda kuslim nliokoka
@masala80993 жыл бұрын
Mashaaallah dada karibu sana ktk uislam kwa sapoti yangu naomba unicheki 0686 142368
@Mbumbuko3 жыл бұрын
Maashaa Allah
@yasalaam5903 жыл бұрын
Mashaallah sheykh mungu akuhifadhi
@zahramurangara25083 жыл бұрын
Mashallah tabaraka Allah
@mohamediramadhani61203 жыл бұрын
Mashaallah!
@jumahamad44193 жыл бұрын
Mashallah Dr. Sule...
@huaweiphone16813 жыл бұрын
Mashaallha
@salmanassir78863 жыл бұрын
Mashallah Sheikh Sulle
@wakujajuma89523 жыл бұрын
Assalaam aleikum
@zamzamzam39203 жыл бұрын
Shukran sheikh
@sultankinqhussein71363 жыл бұрын
Naaam shekh wt
@aishatarimo67803 жыл бұрын
Masha Allah
@musitemusite43163 жыл бұрын
Maashaallah
@imeldakibuga47793 жыл бұрын
Inshaallah ramadhani kariiim
@mohdshebe56403 жыл бұрын
Mashaall Mtoto mzuri huanza na Jina jamani Mashaall
@starboytz34503 жыл бұрын
Allah azid kukuzidia shekhe watupatia darsa
@rakshanbilally-13412 жыл бұрын
Good work 😍👏👏
@abubakarmpole40003 жыл бұрын
Twayyib.
@umctv38003 жыл бұрын
allah akbar
@majorsaidi79513 жыл бұрын
Mashaalah
@asiaissa9763 жыл бұрын
Subhanallah
@missrukia96613 жыл бұрын
Mashallhaaa
@jumaomari28083 жыл бұрын
nakupenda kwajili ya allah
@fardoshnassor78473 жыл бұрын
Ameen 🤲🏽
@hasaditukinge78763 жыл бұрын
Mashaallh Alla bariki uishi kwenye twaa mpaka mwisho wa maisha yako
@hashirishabani28053 жыл бұрын
Alla akupe mwisho mwema
@saay42733 жыл бұрын
Shekhe Shukuran sana
@yasalaam5903 жыл бұрын
Hiyo mech jamani mashallah
@yasalaam5903 жыл бұрын
Waalaikumu ssalam warahmatullahi wabarakatuh
@hajimganda60853 жыл бұрын
...
@samirybinaliy25643 жыл бұрын
umetsha sheh
@msangibakari15212 жыл бұрын
Allah mkubwa
@goodluckzmtae3 жыл бұрын
tuvumiliane kwenye mambo ya iman
@kambiyusufu77093 жыл бұрын
Ah yani hutuba ina dakika 24 lakini naona kama ni secunde 2 jinsi maneno yalivyo matamu
@sawdaasawdaa79033 жыл бұрын
Wacristo hawana adabu ku anziya kwa yesu mpaka namanabi wamekana MITUME wote ukimufata muongo nawewe unaitwa muongo akheira InshaAllah Allah anifishe nikiwa muisilamu kamili analinde ayo mandugu washetwani
@aminatatu56922 жыл бұрын
Amin sote piya insha allah
@mohammedrajabumwamba13223 жыл бұрын
Sheikh sijuinikupe nini dr. Wangu Allah Akujaalie kilalakheri nduguyangu kipenzi bi idhnillah
Wayahudi kama maji usipoyaoga utayanywa huku unasema kizazi cha wayahudi ni cha ibrahimu huku unasema Ibrahim hakuwa myahudi
@user-cz7kz7cj9v8 ай бұрын
Mwenye Mungu akujaliye,n akuzidishie mara.
@sawdaasawdaa79033 жыл бұрын
Ukiona filamu zawarumi ndio utaona warumu hawamupendi yesu mwenyewe ata kumusikia wanakwepa mafundisho yake aliyopewa na Allah nakutengeneza masilahi yao namafanyikio yawo hawana hoja KWELI
@fathiyaanwar45352 жыл бұрын
allahu akbaarr
@HatibuBakari-cp8rt Жыл бұрын
Allah abkar
@khalfanalrawahi30823 жыл бұрын
Hii inaitwa baitul maqdis NA sio baitul maqdas.
@husha6372 Жыл бұрын
Jeremiah 52:31
@humphreymurithi68513 жыл бұрын
Sarara tunajivanya tunajua
@mlevimweusi55933 жыл бұрын
haaaaaah'
@themagnet42363 жыл бұрын
Doctor Tapeli !!!!!
@simaimcha72373 жыл бұрын
.
@asiaissa9763 жыл бұрын
Hahaha
@abdullah-eq3lt3 жыл бұрын
wakina baba na wakina mama tujitahid kuwapa watot we2 majina mazuri
@khalidtv62003 жыл бұрын
Hakika ndio maana hata mtume Muhammad S.A.W hakuwapa watoto wake jina la Mama yake "Amina"
@emmakifimbo38553 жыл бұрын
Wewe mpumbavu Kama mungu ameweza kumpatia mimba bila mume je atashindwaje kumleta duniani hata kwa mwezi mmoja
@kishingokishingo18403 жыл бұрын
Ufahamu vizuri kwa mujibu wa maandiko tunaelezwa Kama mimba ilitimia miezi Tisa
@cetriclugonyi44523 жыл бұрын
Mimba ya isa niya miezi mingapi kwa ushahidi wa quran leta aya achana na bibilia maana muda wa kuzaa nimzi tisa
@mangeraalbert79823 жыл бұрын
Swali sheikh wetu
@user-jp1do3yh8s10 ай бұрын
Mtoto hazaliwi miezi sita,sawa lakinj jibu unalo,Maria alifanya ngono na mwanadamu????
@aswibuchacha73133 жыл бұрын
Ahahahahahaha mpira wa Simba na yanga nyiye watoto mnaujua ?__ndio__ ! Yes huo huo😀😀 Allah awe nawe
@khalfanalrawahi30823 жыл бұрын
Tunaomba aya iliyosema vinatoka peponi, Qur, an imesema من عند الله. Kwa hio qur, an Haikutaja pepo.
@1nesoch3 жыл бұрын
Vimetoka kwako sasa, ao Kariako ? Wewe ulipo andika من عندلله hapo umeisha jijibu we mwenyewe. Zaidi ya hapo itakuwa ni iblis inakuchezea akili.
@khalfanalrawahi30823 жыл бұрын
@@1nesoch Hata mtume muhammad ni من عند الله. Je ina maana mtume kwa kuwa anatoka kwa Allah Ndio maana itakuwa ametoka peponi ?
@1nesoch3 жыл бұрын
@@khalfanalrawahi3082 Haya basi, wewe niambie chakula cha Mariyam kilikuwa kinatoka wapi ? Nasubiri jibu .
@khalfanalrawahi30823 жыл бұрын
@@1nesoch هو من عند الله Kinataoka kwa Allah
@1nesoch3 жыл бұрын
@@khalfanalrawahi3082 Hiyo unayosema ni tafsiri inayo julikana kama " kalimat bil kalimat " ao kwa jina lingine ni " Tarjamat fauriyat ". Sio " Tafsirul Ma'ani ". Allah yuko kila fasi, lakini bil umuum, inafahamika kwamba Allah yuko pahala panapoitwa Peponi ambapo sisi watu hatujuwi. Ndugu, wewe uko unataabishwa na kitu kinachoitwa: waswasatu nafsi, na hio waswasatu nafsi inatoka kwa iblis ao shaitwan. Allah akukinge na tash'wish za iblis. Allahuma Amin.
@majaliwamaheru53683 жыл бұрын
Hv! Wenzetu Elim hz wanazpata kweli?
@uwimanauwimana76923 жыл бұрын
soma sana dni utalewa kila kitu 🙏🏾
@abdallahjuma81683 жыл бұрын
😂🤣😂 umetsha kuhusu ugali!!!
@ismailhassan56623 жыл бұрын
Huyu nimwongo sana tapeli anatoa visa vyauwongo visokua namashiko waislam mashekh hawa msiwasikilize.
@@ismailhassan5662 kwa maneno yako tu unaonesha huna hekma tusimskilize yy anaewaidh watu.tukusikilize ww unaetowa matusi mtandaoni
@ramyramsmkereti879310 ай бұрын
Bro nenda soma sura y 3 tafsir y quran utaelewa ukoo mzma wa yesu
@sawdaasawdaa79033 жыл бұрын
Sasa wanatwambiya wacristo yesu ni MUNGU muku imrani anakuwa nani sasa wamepoteya waje tuwaonyeshe njia nisawasawa nakutembeya na feza fake unakuwa haupo huru
@iam-penolive3 жыл бұрын
Thank your God I don't understand this broken Swahili. Mfitinishaji wa dini mkubwa ww!! Asokuwa na haya Ni ww,unajifanya umekamilika Wala ukamilifu huo sioni 🧐🧐nyooo
@AceB4real3 жыл бұрын
rudi kasome vizuri bible we jamaa acha kudanganya wenzako, eti hakuna kitabu kilichoelezea vizuri historia ya yesu kama Quran....Afu kwanza Yesu na Yohana mbatizaji wanawahusu nini.....Si mzungumzie wa kwenu huko au hamna?
@cetriclugonyi44523 жыл бұрын
Muongo mkubwa musa na Aaron na marriam wanaitanaje
@kuruthumulikomboleka17353 жыл бұрын
Mbona umepanic vp?
@hassanseleman19653 жыл бұрын
Maashaallah
@gshdhvdhf82833 жыл бұрын
Sheikh ugali yaitwa PORSHO MEAL...CHUKUA HIYO usiseme hakuna...
@issamohd99553 жыл бұрын
Tena mwenyeo ndo unajiona bingwa kwakumkosoa sheikh wetu ukweli utabaki palepale kama alivosema sheikh kua jina halisi katika english hakuna kuna vijina vyakuchomeka chomeka tu kama icho kijina chako