No video

Alicho kisema Prophet edmound kuhusu UCHAGUZI 2025 | KUHUSU MAKUNDI MATATU

  Рет қаралды 149,444

Prophet Edmound Mystic

Prophet Edmound Mystic

Күн бұрын

FOLLOW US BY CLICKING THESE LINKS BELOW:
INSTAGRAM:
/ edmound_mys .
.
KZfaq:
/ edmoundmuye. .
AUDIO PODCASTS:
player.fm/seri....
.
FACEBOOK ACCOUNT
web.facebook.c....
.
church.heavenl...

Пікірлер: 227
@deborahmwaipopo833
@deborahmwaipopo833 6 ай бұрын
Tunapotoa comments, ni vyema kujua namna ya kuandika neno la muumba wetu. Ni Mungu au ukipenda andika MUNGU, HATUNA neno mungu likamaanisha Muumba wa Mbingu na Nchi. Pitia Biblia na tuone inavyoandikwa. Ameeen Ameeen, Shalom Maranatha.
@stephenkalidush5446
@stephenkalidush5446 Ай бұрын
hilo ni dogo sana herufi kubwa iko moyon, unaweza andika herufi kubwa ila moyon hayupo. lakn asante kwa ukumbusho mzuri
@NeemaRamadhani-wm8vv
@NeemaRamadhani-wm8vv 27 күн бұрын
Amina mchungaji naomba tupate kiongozi bora ajaye.
@mariamfaicalhassan2890
@mariamfaicalhassan2890 6 ай бұрын
Bwana tunamuomba Mungu atuletee mtu kama JPM
@frankjohn8706
@frankjohn8706 6 ай бұрын
Nani alimuondoa
@mariamfaicalhassan2890
@mariamfaicalhassan2890 6 ай бұрын
​@@frankjohn8706waliomuondoa
@mariamfaicalhassan2890
@mariamfaicalhassan2890 6 ай бұрын
​@@frankjohn8706nyie majambazi
@rastheunique
@rastheunique 4 ай бұрын
Jpm nammiss ila kamwe asitokee kiangozi kama huyo tena Tanzania! Ilikuwa ni ajali
@sethymagyo3405
@sethymagyo3405 4 ай бұрын
Una roho ngumu wewe dada
@OzonMwangosi
@OzonMwangosi 13 күн бұрын
Aminaa,mtumishi wangu wa ibrahimu na isaka,mungu azid kukuonyesha na jina lake libarikiwe sana,ntajinyenyekeza mbele za bwana ili atakaporud nimlaki mawingun,mungu aisaidie tanzania
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 5 ай бұрын
Mapenzi ya Mungu yatimie,Amen.Ccm ife kama inavyouwa wengine!
@rastheunique
@rastheunique 4 ай бұрын
Tena ife na ioze kabisa japo hatutaisahau Kwa ilichotufanyia
@personpeter2221
@personpeter2221 4 ай бұрын
Hujausikia unabi unasema watashka serikali za majimbo
@MicahLutambi
@MicahLutambi 22 күн бұрын
MUNGU atuepushhe na dhoruba hiyo nchini TANZANIA amen
@ahazichunya4265
@ahazichunya4265 29 күн бұрын
Hakika Mungu amekuita kutusaidia katika macho ya rohoni tutambuee yatupayao kutenda mbele za Muumba wetu Mungu wa Mbinguni akutunzee
@Gaynor1234
@Gaynor1234 6 ай бұрын
Asante Mtumishi wa Mungu kwa ujumbe ulio wazi. Na iwe vile Mungu mwenyewe apendavyo kwa Jina la Yesu. Amen
@GidionRaphael-j8g
@GidionRaphael-j8g 17 күн бұрын
Mapenzi ya mungu yatimizwe
@PascalPascual-rn6fx
@PascalPascual-rn6fx 6 ай бұрын
Pascal Bujimu classmate wako shule ya msingi, nafarijka sana kwa hatua uliyofikia Mungu akubariki sana katika huduma yako.
@edmoundmystic
@edmoundmystic 6 ай бұрын
Oh waoh Bwana akubariki sana. Tutafutane ndugu yangu. Wewe ni ndugu yangu!
@PascalPascual-rn6fx
@PascalPascual-rn6fx 6 ай бұрын
@@edmoundmystic haya mtumishi wa Mungu.
@Shedrackwilfred
@Shedrackwilfred 6 ай бұрын
Yaan Rose Huyu unamwamini naye Kama nabii?
@edmoundmystic
@edmoundmystic 6 ай бұрын
@Shedrackwilfred Nuhu alitumwa na Mungu hilo halikupi shida. Yohana alitumwa na Mungu, hilo nalo halikupi shida. Moses Kulola alitumwa na Mungu najua haikupi shida. Unataka Mungu amfufue Nuhu wa Biblia aje Tanzania aseme ndo utaamini n Mungu anaongea?? Ni nani ulitamani Mungu amtume, na mwenye vigezo gani ungemsaidia Mungu kuchagua! Fungua macho yako uone jinsis maisha yako unavyoyaingiza penye jangwa!
@Shedrackwilfred
@Shedrackwilfred 6 ай бұрын
@@edmoundmystic ndugu Kama Umeweza Muita Geodavie Mtumishi wa Mungu basi *ni wazi njia unayoipita sio ya Kweli*
@YusufuNyangusi
@YusufuNyangusi 5 ай бұрын
Mungu akurnde hofu yangu usje ftwa kwenye uso wadunia maana unayaweka lehani maisha yako' talatbu unawatoto tofauti naiman yako ebu tzama yesu mwenyewe aliumizwa unaongea mwri wangu unatetemeka navja jasho mungu akurnde mtumishi.
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 6 ай бұрын
AMEN Mtumishi wa Mungu aliye hai. Hakuna kundi lolote linalomuishia MUNGU wa kweli aliye hai...! Tunamuombea yupi kati ya hawa wasioamini?! Nabii wa Mungu, je, sio sahihi tukiomba kwaajili ya Taifa lote badala ya makundi haya?
@user-ur8ex5mq3l
@user-ur8ex5mq3l 6 ай бұрын
Nabiii ubarikiwe na bwana na Mungu aendelee kukupa maono zaidi naamini napokea unabii kwaj kina la yesu
@patrickJosse-t7h
@patrickJosse-t7h 15 күн бұрын
Tunachoomba Huyu mama asiendelee kuongoza inchi 😂😂tunapigwa mno
@solomoneglesias9752
@solomoneglesias9752 6 ай бұрын
Nitamuombea Samia kwa kuwa tu imeandikwa,, waombeeni mema maadui zenu ila moyo wangu uko mbali kabisa nae so aruhusu katiba mpya ili wizi ukome ktk nchi hii
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 6 ай бұрын
Naungana na wewe
@user-tp5dn3jb9g
@user-tp5dn3jb9g 5 ай бұрын
Amina mtumishi tuombe sana jamni.usiogpe kufa kimwili maana utaurithi ufalme wa mungu muumba mbingu na ichi
@rosemuhandoofficial5676
@rosemuhandoofficial5676 7 ай бұрын
Amina NABII wa Bwana
@ryobanchagwa2499
@ryobanchagwa2499 5 ай бұрын
Rose nimefurahi kukuona king wa Muziki wa injili
@graceshayo5763
@graceshayo5763 5 ай бұрын
Jmn hakun mtu ambaye ni nabii Mungu pia amemwonyesha haya ili unabii uwe na usibidiashwe
@pilimpinga647
@pilimpinga647 3 күн бұрын
Amina mtumishi wa Mungu 🙏
@user-ls6me1de4k
@user-ls6me1de4k 7 ай бұрын
Mapenzi ya mungu yatimiye . Amen
@user-ge7tc6ur8x
@user-ge7tc6ur8x 5 ай бұрын
munguu nimwenye haki kuna viogozi wanatunyanyasa baadhi yawanaichi
@mamyomar1241
@mamyomar1241 5 ай бұрын
Ulikuwa kushashiba tu, nabii wa siasa , kazi uongo tu.
@user-fv1qo5lh8z
@user-fv1qo5lh8z 6 ай бұрын
Acha Mungu awafyeke wote walioharibu nchihii tukiwaombea wanakuwasalama wanaendeleakuharibu nchiyetu.
@user-we5zc7xk8x
@user-we5zc7xk8x 5 ай бұрын
Poleni sana afrika sida tu usaliti utaisha lini?ni ole ole kabisa
@JoshuaMutinda-fb4fu
@JoshuaMutinda-fb4fu 4 ай бұрын
Mungu aliichukia ccm kitambo
@mbikamtanganaki
@mbikamtanganaki 4 ай бұрын
Asante mtumishi kama unasukumwa na mungu saw ila kama ni binadamu umefeli😢😢😢😢😢
@edwardelias6984
@edwardelias6984 4 ай бұрын
MUNGU NA Si mungu
@Wamoyothenumberone
@Wamoyothenumberone 13 күн бұрын
😢
@ibrahimhassanibrahim8314
@ibrahimhassanibrahim8314 15 күн бұрын
Huyu nabii ni msenge Sana tena ni nabii wa mchongo sasa hapo anahubiri injili au anasimulia hadithi alizozitunga mwenyewe na waumini wake ni kama mazuzu wanavomsikiliza Aache uongo na atafute kazi ya kufanya nabii choko
@Wamoyothenumberone
@Wamoyothenumberone 13 күн бұрын
Wewasema ila chunga sana kinywa chako wekijana,usiwe kam yule aliyekuw na YESU msalabani
@jumamario-vr1mw
@jumamario-vr1mw 12 күн бұрын
We mwenyewe no Zuzu kwakuwa umemusikiliza
@princenelsonsinko5237
@princenelsonsinko5237 6 ай бұрын
Huu unabii ni WA kweli ni muhimu kumuombea sana sana mama Samia
@mariamfaicalhassan2890
@mariamfaicalhassan2890 6 ай бұрын
Ili mapenzi ya Mungu yatimizwe tumechoka na uongozi dhalimu
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 5 ай бұрын
Na yeye inatakiwa ajimbee alone jee aliyoyaacha Magufuli alifuatisha au
@princenelsonsinko5237
@princenelsonsinko5237 4 ай бұрын
@@mariamfaicalhassan2890 kwahiyo hujamuombea
@samuelmakara
@samuelmakara 6 ай бұрын
Wewe ombea katiba ambayo itaweka wagombea katika mizani sawa.
@sabinaboas6760
@sabinaboas6760 6 ай бұрын
Mungu isaidie Tanzania
@CharlesMwakanyanyila
@CharlesMwakanyanyila 4 ай бұрын
Amina ila kama unasukumwa naMungu safi
@pastorabraham7551
@pastorabraham7551 7 ай бұрын
Nalipokea Neno la Bwana .
@AnneyAmablique-tw5mi
@AnneyAmablique-tw5mi 6 ай бұрын
The prophecy is very clear what we all need is prayers. Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu.
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 5 ай бұрын
Mama aligeuka mipango ya magu kuusu taifa
@lemalema5221
@lemalema5221 6 ай бұрын
Kazi nzuri classmate...nakuona mbali sana..Mungu akusimamie
@edmoundmystic
@edmoundmystic 6 ай бұрын
Ameen
@rizicksaruni3538
@rizicksaruni3538 5 ай бұрын
Mungu atusaidie
@franciswillfred9763
@franciswillfred9763 6 ай бұрын
Mungu atupatie Raisi sahihi 2025
@KokoloLambinguni
@KokoloLambinguni 4 ай бұрын
Mwenye uruma na watanzania ni Gwajima na anauwezo wa kuendesha nchi bila kuiuza
@user-gu6en8ct4m
@user-gu6en8ct4m 5 ай бұрын
Hikawe ivyo ivyo ktk jina la YESU
@chrysanthushakaunga6560
@chrysanthushakaunga6560 11 күн бұрын
Acha Mungu afanye
@AlphoncePaulo-u1k
@AlphoncePaulo-u1k 3 күн бұрын
Kazi
@c.bproduction2576
@c.bproduction2576 5 ай бұрын
Amen. ..Camera man na editor jitahidini muaplod material ambayo ipo clear mtumishi aonekane sisi tunaona gizagiza tu
@HAAM670
@HAAM670 7 ай бұрын
Amen Prophet, unabii upo clear kabisa. What we need is to pray for this Nation ili tuvuke salama.
@ChristinaJulius-ss7ir
@ChristinaJulius-ss7ir 19 күн бұрын
MUNGU tusaidie
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 6 ай бұрын
Ndo tunachotaka Mungu atamweka anaeona anafaa
@AlphaBukuku-f9j
@AlphaBukuku-f9j Ай бұрын
Acha siasa bro mungu sio wa mchezo wanao kusikiliza ni wengi kwanini uciongee yanayo Toka ktka biblia acha ubbaishaji
@user-vb8vj7hj2e
@user-vb8vj7hj2e Ай бұрын
Wewe ni Mungu..!?
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 5 ай бұрын
Muñgu atusaidie ni hatari 😊
@barnabasjosiah2554
@barnabasjosiah2554 5 ай бұрын
Jiombee mwenyewe mkuu hujui ulisemalo
@user-zj1oz5wl5r
@user-zj1oz5wl5r 6 ай бұрын
Haya maelezo kama samia anapita tena 😭😭😭😭
@mariamfaicalhassan2890
@mariamfaicalhassan2890 6 ай бұрын
Samia hapiti ng'o
@edmoundmystic
@edmoundmystic 5 ай бұрын
2:56 wa kwangu…Prophecy has began to be fulfilled.
@josephmutalemwa1461
@josephmutalemwa1461 4 ай бұрын
Suree prophecy confirmed kbsaa Mambo yasha anza
@mrhekimasuleiman3884
@mrhekimasuleiman3884 20 сағат бұрын
Mtumishi halisi hana chama, Kazi yake kuombea watu wote, ni wakiri wa Mungu anaye wanyeshea mvua wanao amini na wasio amini, wala kwenye siasa hayuko kabisaa, kwani imeandikwa kila alitajaye Jina la Bwana na auache uovu! uliona wapi mwanasiasa ameacha uongo.
@timothngassa9237
@timothngassa9237 6 ай бұрын
Unarikiwe mtumishi
@kepharichard4183
@kepharichard4183 11 күн бұрын
Kitu ambacho huwa nashindwa kukuelewa ni unabii wako unavyokuwa unauongea kwa mafumbo, wakati manabii walikuwa wakiongea direct na kutoa solutions ili jamii na uongozi ujiandae au ubadilike. Lakini manabii waleo utadhani Mungu yupo mbali nao. ni jamaa mmoja wa arusha @huduma ya kristo you tube ndiye anaenda direct
@ramsomnanka8688
@ramsomnanka8688 6 ай бұрын
Sahihi kabisa mtumishi,
@brunomchalla4439
@brunomchalla4439 6 ай бұрын
Huo sio utabiri ila ni UCHAMBUZI wa hali ya kisiasa nchini. 😮Tunajua mgawanyiko ulioko ndani ya CCM kwa sasa. Tunajua jinsi upinzani unavyozidi kujiimarisha kwenye mikoa yote. Tunajua mkakati unaofanywa wa kuwa na Tume ya Uchaguzi itakayo hakikisha Chama fulani kinashinda.
@ibrahimgwasma235
@ibrahimgwasma235 6 ай бұрын
Sina shida na unabii wa uliooteshwa ,lkn swali langu ni kwamba tutaaminije kuwa niya KIMUNGU
@kabichishida8137
@kabichishida8137 6 ай бұрын
Unaacha kuhubiri neno la mungu unawaka tamaa
@belovedflorence4109
@belovedflorence4109 6 ай бұрын
Ninatafuta kwenye huduma ya Yesu na mitume, labda sijasoma biblia yote bado nione kama nao walifundisha siasa.😢. Biblia siyo ya mzaha na wavivu, ndo maana wanafanya siasa na saikolojia kwenye madhabahu ya Bwana.
@user-in6eg5np7l
@user-in6eg5np7l 6 ай бұрын
Siasa ni mfumo wa Dunia , kilicho mfanya shetani awe adui mkubwa wa Mungu na wanadamu ni madaraka
@rynerlinuma8484
@rynerlinuma8484 6 ай бұрын
Tena tamaa kweli
@Punda284
@Punda284 6 ай бұрын
Uongozi hutoka kwa Mungu,tofauti kabisa na inavyidhaniwa kuwa siasa.
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 6 ай бұрын
Ukisikia kikulacho ndioo hii sasa😂😂Walimsaliti kipenzi chetu wacha watafunanee tuu
@SamweliMwamulima
@SamweliMwamulima 15 күн бұрын
Tusilaumu manabii Bali tuombe ili Mungu atuonyeshe walio wa kweli tusikimbilie kuhukumu Bali tuombe kwa bidii ili tupewe macho ya Kuna maana imeandikwa
@ustawiwetu
@ustawiwetu 6 ай бұрын
Kama sijaelewa vizuri namba 4 ni Kikwete, 5 Magufuli na 6 ni Samia
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 6 ай бұрын
Ndiooo
@hafsamnenga1942
@hafsamnenga1942 6 ай бұрын
Mungu inusuru tz
@nurumnyumba7964
@nurumnyumba7964 6 ай бұрын
Uchawa kanisani!
@kobylwaho3191
@kobylwaho3191 6 ай бұрын
😂😂😂😂uchawa tena?😂😂
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 6 ай бұрын
Hahahahaah
@poolkingservices6928
@poolkingservices6928 6 ай бұрын
Yohana 14:6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi. Mtumishi. Acha kutisha watu. Umekosa neno la kuhubiria waumini wako.
@juliuskasasa7485
@juliuskasasa7485 6 ай бұрын
Usanii katika ubora wake
@livingmunisi5963
@livingmunisi5963 6 ай бұрын
Nyie manabii Wa uongu mtazidi kulitabiria taifa mabaya mpaka lini ushuhuda Wa uongo utawapeleka jehanam
@wilsonkakili2481
@wilsonkakili2481 6 ай бұрын
Kidogo upatie
@eliassampa8719
@eliassampa8719 6 ай бұрын
Bwana alitetee taifa lake
@fortuneakankizya5336
@fortuneakankizya5336 6 ай бұрын
Uko vizuri
@getrudankole7445
@getrudankole7445 12 күн бұрын
Natamani awamu ya nne ikufe na ya sita , Nimechoka
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 6 ай бұрын
4,5,6 Aisee Haya mi naombea nchi na viti ,watakaa wanaotakiwa kukaai ,siombei mtu ,wasiotakiwa watajiju,Mungu anajua yupi anafaa
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 6 ай бұрын
Kweli kbsaa
@Shafiikabelwa
@Shafiikabelwa 4 ай бұрын
Mh! Mtihani huu wakristo mnapotea xana dini ya uongo mtupu na mnakalilishw kila kitu na mnaamin
@NeemaJoseph-uo2gw
@NeemaJoseph-uo2gw 6 ай бұрын
Kusudi la MUNGU litimie katka nchi yetu tupate kiongoz mwenye hofu na MUNGU tu bas
@user-ry8vh8hw3z
@user-ry8vh8hw3z 6 ай бұрын
Mamayetu amjiingiza kwenye vita isiomhusu kwahio Mungu atamazibu. Yeye nakikwete mshauri mbaya wataazibiwa vibayasana😂
@festokastory5282
@festokastory5282 5 ай бұрын
Mmmh 😮😮😮
@sophiamalinga18
@sophiamalinga18 6 ай бұрын
Hapo ndipo nawashangaa serikali inavurunda halafu mnaitetea kuendelea kuharibu nchi
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 7 ай бұрын
Ni kweli kabisa Kwa sbb hayo mambo tayari yashaanza kimya kimya
@emmanuelbusuti8800
@emmanuelbusuti8800 19 күн бұрын
Maandiko yametimia watatokea manabii wa uongo si ndiyo hawa
@BakariCheo
@BakariCheo Ай бұрын
Kwan kanisa ni siasa au mbn kila mtumisha anazngmza habar za siasa kisa uchagz umekarbia kanisa bwana wat ata awaamki bongo zao toeni maubr acheni siasa
@mbikamtanganaki
@mbikamtanganaki 4 ай бұрын
Siamini mwanadamu yeyote aliyeumbwa kama mimi naamini mungu ndyo muamuzi wakila jambo😅😅😅😅😅😅
@salama1113
@salama1113 6 ай бұрын
Acha uchawa waimize waumini kufanya mema na ibada
@SofiaMvungi-zu5tg
@SofiaMvungi-zu5tg 6 ай бұрын
MUNGU TUNAKUOMBA UTUINULIE KIONGOZI MZALENDO MWENYE UCHUNGU NA TZ
@user-tv5os6rc3w
@user-tv5os6rc3w 7 ай бұрын
mungu atusaidie
@SeperaKahabuka
@SeperaKahabuka 18 күн бұрын
Mbona wote wanatabili makundi?mabaya?
@KokoloLambinguni
@KokoloLambinguni 4 ай бұрын
Mnamjua mtu mwenye uruma na watanzania na mwenye akili nyingi na Muombaji
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 6 ай бұрын
Wahimize watu wafanye mema ili Mungu atupe mtu sahihi
@saalim5401
@saalim5401 4 ай бұрын
Hakuna hiyo uongo mtupu tafuta kaz hivi mm nashangaa wakristo mnakuaje mnadanganywa hivi mmebweteka tu kweli mmepotea poleni sana kila mtu utabiri utabiri hamuoni aibu wehu Nyie?
@ElishaJohn-ws5ix
@ElishaJohn-ws5ix 5 ай бұрын
Nabii unazingua tushachoka aya maisha ya ccm kama umeota ccm itachukua madaraka tena saa ccm tumeichoka sana wananchi
@user-fe6mq4qt4i
@user-fe6mq4qt4i 4 ай бұрын
Upo sahihi mwaka 2025 Kuna makundi mengi yapo kinyume na mama ila tutashinda
@r14kgroup68
@r14kgroup68 3 ай бұрын
Hii sina.hofu lazima kuna uhakika
@BakariCheo
@BakariCheo Ай бұрын
Toen mahubr kaz za kn mwijaku hizo
@user-ow9qm7nr3k
@user-ow9qm7nr3k 6 ай бұрын
Hongera mtumishi wa Bwana watachagua wenyewe kuamini au kutoamini..
@yusuphibrahim-yq9mv
@yusuphibrahim-yq9mv 6 ай бұрын
Hata hamjie lewi kabisa wakristo wajinga sana
@graceshayo5763
@graceshayo5763 5 ай бұрын
Wajinga wenyew kwenda zako
@richardnganya2311
@richardnganya2311 6 ай бұрын
Ninavyojua Awamu za uongozi zinaundwa au kutokana na uchaguzi mkuu kwa mabadiliko . Utabiri huo unagusa namba na makundi .. Maana kuna Unabii na Utabiri na Maono..!!
@Wamoyothenumberone
@Wamoyothenumberone 13 күн бұрын
Sina neno japo unaongea yaliyoo mazitoo
@ilovemiginamygodblessumany2466
@ilovemiginamygodblessumany2466 2 ай бұрын
Nitumie namba yako mtumishi nifanye jambo
@hildegardangowi5383
@hildegardangowi5383 6 ай бұрын
mungu atunusuru
@sabinaboas6760
@sabinaboas6760 6 ай бұрын
Hallelujah
@KokoloLambinguni
@KokoloLambinguni 4 ай бұрын
Tena magu alikua akisema niletee .... na alisimama kutokomeza corona
@pilillasijaona3307
@pilillasijaona3307 6 ай бұрын
Tunaomba Prophet
@qmanelikemwenda2621
@qmanelikemwenda2621 6 ай бұрын
Hakuna unabi hapo. Ila ni uchawa na kujipendekeza tu. Kweli makanisa ya kujipendekeza ni shida tu.
@user-om6wy1vo3o
@user-om6wy1vo3o 6 ай бұрын
We pumba tu mambo ya rohoni hujulikana kwa jins ya rohon
@user-tt1nm9xs4n
@user-tt1nm9xs4n 5 ай бұрын
Kanisan mambo siasa Nini
@petermuganda7322
@petermuganda7322 6 ай бұрын
Tumuombee mama,,,,
@stewartmlanga1263
@stewartmlanga1263 6 ай бұрын
Ili iweje!!? Umeme hakuna, Maji hakuna, sukari hakuna.... Tumuombee ili iweje!!?
@jamesmboneko2952
@jamesmboneko2952 6 ай бұрын
Tumuombe Mungu huyu Mama asipite tu jamani
@agnessnyalusi6065
@agnessnyalusi6065 3 ай бұрын
Naomba namba ya mtumishi
а ты любишь париться?
00:41
KATYA KLON LIFE
Рет қаралды 3,5 МЛН
这三姐弟太会藏了!#小丑#天使#路飞#家庭#搞笑
00:24
家庭搞笑日记
Рет қаралды 56 МЛН
UNABII WA WAMAASAI NA NGORONGORO KUTIMIA | NINI KITATOKEA BAADA YA HAYA?
15:49
Prophet Edmound Mystic
Рет қаралды 9 М.
NENO LITASIMAMA // MSANII MUSIC GROUP
4:34
Msanii Records
Рет қаралды 12 МЛН
UVUMILIVU UMEMSHINDA CASIAN KAMFATA RAISI SAMIA KIBOKO YAWACHAWI MWAMPOSA  EV PASCHAL
1:01:02
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 49 М.
WAMAASAI NGORONGORO | MUNGU ANASEMA NINI? |
6:17
Prophet Edmound Mystic
Рет қаралды 17 М.
а ты любишь париться?
00:41
KATYA KLON LIFE
Рет қаралды 3,5 МЛН