Рет қаралды 46,277
ALICHOKISEMA 'SUGU' BAADA ya KURUDISHA FOMU ya UBUNGE MBEYA MJINI.....
ALIYEKUWA Mbunge Wa Jimbo la Mbeya mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Joseph Mbilinyi “Sugu” amepitishwa kuwa mgombea Ubunge kwa mara nyingine baada ya kukidhi vigezo viliyowekwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Sugu amerejesha fomu za uteuzi mapema hii leo kwenye ofisi za Tume na kupokelewa na Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Mbeya la Mjini Amede Ng’wanidako ambayae amezikagua na kukiri kuwa zimekidhi vigezo.
Tofauti na wakati wa kuchukua fomu leo hii Sugu amerejesha fomu hizo kimya kimya bila kuwa na maandamano huku akiambatana na viongozi wachache wa chama chake.
Na mara baada ya uteuzi huo Sugu ameishukuru Tume huku Msimamizi wa Uchaguzi Ng’wanidako akimtakia maandalizi mema ya kampeni za uchaguzi.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline