ALIKIBA: SINA RAFIKI MSANII, MARIOO, MUZIKI WA AMAPIANO HAUNA UJUMBE, GABO ANA KIPAJI KIKUBWA

  Рет қаралды 143,799

TimesFMTZ

TimesFMTZ

Жыл бұрын

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 136
@stellanchagwa5297
@stellanchagwa5297 Жыл бұрын
Alikiba ni mmoja tu ❤❤❤❤
@arleneilunga9202
@arleneilunga9202 Жыл бұрын
King kuja Kenya nikuone na Mimi nime toka Congo 🇨🇩 kwa sasa Niko Kenya kuja my king 🔥🔥🔥
@fefebitv
@fefebitv Жыл бұрын
Mambooooo
@mandyuwimana7735
@mandyuwimana7735 Жыл бұрын
Unatisha KingKiba 🙌🙌🙌🎩🎩
@frankrwegoshora4705
@frankrwegoshora4705 Жыл бұрын
Yaan wiki ilopita yote nilikuwa Nairobi, Muziki wa Watanzania ni mwingi kweli kweli. Nyimbo za Alikiba na wasanii kadhaa zinapigwa kila kona. Congrats ndg kwa kuwa mabalozi wazuri. Kwenye play list ya Qatar Airways Alikiba na Lady JDee mmo ndg zangu. Nilifurahi saana kukuta majina haya maana ile ni 5 star flight company isee
@officialInchakali
@officialInchakali Жыл бұрын
Nakubali msosi huo 🔥💯💪 Alikiba Marioo Big up sana 👊👊
@user-fg7fb7sb3y
@user-fg7fb7sb3y Жыл бұрын
Uyu brother anae mhoji Alikiba Yupo Bomba na kz yake makini Sana na maswali yake
@oyay2821
@oyay2821 Жыл бұрын
Presenter ametulia katika kazi yake
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 Жыл бұрын
wala hafkirii nyama😂
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 Жыл бұрын
King kiba🇹🇿✅❤️❤️❤️❤️❤️💐
@unclegmihale455
@unclegmihale455 Жыл бұрын
King kama king..
@michaelmisana650
@michaelmisana650 Жыл бұрын
Nakuelewa sana alikiba ❤❤❤ endelea kaz nzuli
@rambostalon2888
@rambostalon2888 Жыл бұрын
Nacho kupendea kiba huna mashauzi big up bloo
@mis2ra766
@mis2ra766 Жыл бұрын
Big up King's
@AlexCc-bk8lw
@AlexCc-bk8lw Жыл бұрын
Alikiba💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚👍👍💚
@nelsonmwaipaja3727
@nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын
King Ally Salehe Kiba🔥🔥🔥💓💓💓💓💓💓💓30.07.2023
@EmJesho
@EmJesho 11 ай бұрын
King kiba hongera kwa kazi nzuri nakukubali sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@AliMbuna
@AliMbuna 3 ай бұрын
King kiba safi sana 👑
@user-oq1fc7th9n
@user-oq1fc7th9n Жыл бұрын
Ally unatisha sana🎉🎉😢😮😅😊
@user-fr6su7kb1v
@user-fr6su7kb1v 10 ай бұрын
Nakubaliana na king amapiano ni mzk rahis mfano mzur chino anatembea na beat hamna anachoimba
@BabaBalingasi-hp6gd
@BabaBalingasi-hp6gd Жыл бұрын
Daa huyo mdada anaongea vizurii sana. Sauti yake nzuri
@mkarimuofficial9192
@mkarimuofficial9192 Жыл бұрын
Abdhalla salamu kwanza ndio ule bana
@deeonetheginger7011
@deeonetheginger7011 Жыл бұрын
King himself
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj Жыл бұрын
Maji muhimu😀😀
@albertkatuga2434
@albertkatuga2434 Жыл бұрын
Mariooo kamaliza nyama ndio akaondoka😀😃😃😃 Totobady
@mokojumbe4545
@mokojumbe4545 Жыл бұрын
Mjinga Kabisa Omar 🤣🤣
@missindependent1893
@missindependent1893 Жыл бұрын
😅😅😅😅😅😊😊😊😊
@bosslilyg4390
@bosslilyg4390 Жыл бұрын
I love Alikiba ❤❤❤
@user-nq8cj7pq9y
@user-nq8cj7pq9y 11 ай бұрын
King on top
@givenmazengo7738
@givenmazengo7738 Жыл бұрын
Hizo nyama daaaaah
@piuskanyampala4540
@piuskanyampala4540 Жыл бұрын
kumbe waandishii wakilishwa wanahoji vzur
@salimsoyo8118
@salimsoyo8118 Жыл бұрын
Chezea buree hahaha
@keydeemasinga6986
@keydeemasinga6986 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ugotanzania2722
@ugotanzania2722 Жыл бұрын
😂😂
@eddymudindi9166
@eddymudindi9166 11 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sasa?
@user-ov8hr8sz4c
@user-ov8hr8sz4c 10 ай бұрын
Alo be vidu kiba cito aci bela
@renatusmkome2754
@renatusmkome2754 Жыл бұрын
king tuna kuitaji kwetuu kigoma tume kumiss mnoo king♥️♥️♥️
@user-xg2wb9ye2g
@user-xg2wb9ye2g Жыл бұрын
Hana hela maskini 2 aibu maskini hanajipya hanarafiki Msanii anaroho mbaya ngumu Kama jiwe Ndiomana hawafanikiwi
@fefebitv
@fefebitv Жыл бұрын
Mmmmh
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 Жыл бұрын
​@@user-xg2wb9ye2gmana wamlisha ww na kumvisha ww kila cku paka mweusi
@ngasikajoel9576
@ngasikajoel9576 Жыл бұрын
Show love for collegue as long as God blessed you that's is law of nature
@user-eh4jh5hr8x
@user-eh4jh5hr8x Жыл бұрын
Huyo dada analiya mkono wa kushoto
@FatakiFabien-co2qs
@FatakiFabien-co2qs Жыл бұрын
Nimewa yinipeni liké yangu
@criminalminds7723
@criminalminds7723 Жыл бұрын
Tukikupa likes na ww utatupa jicho?😋😋
@shreemwanakombo6794
@shreemwanakombo6794 Жыл бұрын
Mwamba💪💪💪
@AllyMahuja-gk5qi
@AllyMahuja-gk5qi 7 ай бұрын
Tunda man
@DatuBakary-in3ut
@DatuBakary-in3ut Жыл бұрын
K2ga mbona haonekani mwambie aache roombaya
@user-uq5ll1mu4v
@user-uq5ll1mu4v Жыл бұрын
😂❤❤❤❤❤❤
@kibslincoln
@kibslincoln Жыл бұрын
👑❤
@MukandilwaProspere-th2xu
@MukandilwaProspere-th2xu 5 ай бұрын
Kig kiba mukuli kweli😊
@OMANOman-qc1lm
@OMANOman-qc1lm Жыл бұрын
Kiba nimemuelewa kweli point yake rafiki niyule kwenye shida na raha mnakua pamoja ila rafiki wa kwenye kazi ndo Hao rafiki wa juju ila rafiki wa kweli ndo Hao kwenye shida na raha
@kilungahamis1270
@kilungahamis1270 Жыл бұрын
Kwani msanii hawezi kuwa rafiki wa shida na raha?
@kaseja
@kaseja Жыл бұрын
Meaning hata wasanii wake sio marafiki zake ?? That's why hawapei promotion and the investment they need the guys to grow??? So why have a Lebo and yet U don't want to be frndz with Ur own artist?? What about mwana FA na yeye sio rafiki yake coz he is a musician... Huyu Jamaa aangalie kauli bana
@laj1699
@laj1699 Жыл бұрын
​@@kasejaKing Kiba kanukuu 'Rafiki ni yule anayekuwepo wakati unamhitaji.' Marafiki wengi wa King wamekuwa wanafiki kwake akiwemo Dimpoz, Mwana FA, Barnaba na wengine wote walioenda kwake kujirebrand nakutoroka badae.
@user-xg2wb9ye2g
@user-xg2wb9ye2g Жыл бұрын
Ndio maana daimond amemuacha mbali Hana hela ni maskini anatia aibu maskini mshamba wa Cinderella
@user-xg2wb9ye2g
@user-xg2wb9ye2g Жыл бұрын
​@@laj1699Mwana fa anajua ndio mtalaamu wa mashairi misamiati na misemo huyo maskini mwenye roho mbaya Hana hela anaroho mbaya ngumu Kama jiwe Ndiomana hawafanikiwi mshamba wa Cinderella
@UwamuregeyeSamuel-rq7jz
@UwamuregeyeSamuel-rq7jz 9 ай бұрын
Mlukali 👑 kiba
@albertkatuga2434
@albertkatuga2434 Жыл бұрын
Nilikua natazama sinia muda wote nashangaa haliishi au mmezisomea hizo nyama 😀😃😄😄 maana watu wanainama wakiinuka nyama 😀😃😃
@user-hd9om8cu4y
@user-hd9om8cu4y Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@TangaMashewa-qe8kk
@TangaMashewa-qe8kk Жыл бұрын
Hahaha niilikua najua naangalia mwenyew
@davidcurtis175
@davidcurtis175 Жыл бұрын
Hamna macho wala hamsikii mbona me nimeona sinia ya pili na wamesema kabisa round two na imetolewa imewekwa nyengine kumbeeee ndio maana wanafumzi wanafeliiiii, shule moja darasa moja walimu ni haohao ila wapo wanaotka na zero na wapo wanaotoka na 1😊
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e Жыл бұрын
King kiba
@swaifsouq
@swaifsouq Жыл бұрын
Mr blue na aby skils kwenye maria
@silvergold5855
@silvergold5855 Жыл бұрын
Marioo aongei 😂
@dennisnjiro7922
@dennisnjiro7922 11 ай бұрын
Ali i realy apreciate what u did ila pia majibu unayo brother unaheshima ya kujibu
@rachelaisha5084
@rachelaisha5084 Жыл бұрын
Mfalm king
@aminaheri2590
@aminaheri2590 Жыл бұрын
Huyo Dada kwann anakula jaman na kushoto , naomba mkatazeni
@cittaboy
@cittaboy Жыл бұрын
Vnye amekaa usimulaumu
@piuskanyampala4540
@piuskanyampala4540 Жыл бұрын
Ki Spana hatà hakipig story😅
@Lea-iz8fd
@Lea-iz8fd Жыл бұрын
❤❤❤❤❤
@festoasanga5572
@festoasanga5572 Жыл бұрын
Mmmmm abdu kiba mrafi anachukua tidogo tudogo ila yupo fasta
@muhammadjamady-zx1jy
@muhammadjamady-zx1jy Жыл бұрын
Uyooo alieva nguo nyeusi mwanamke anakul shoto tu
@yustinrockboy4091
@yustinrockboy4091 Жыл бұрын
Oya izo nyama niaje
@waziriadam1022
@waziriadam1022 Жыл бұрын
Uyo demu wa wapi anakula na nkono wa kushoto kudadadeki
@cosmasally883
@cosmasally883 11 ай бұрын
marioo kama max kwenye mapande
@user-xd2tg8eq1h
@user-xd2tg8eq1h Жыл бұрын
Kipenzi cha kila mtu hana ubaguzi sasa huyo utamfananisha na swala wa tandale kwa majizi huyo mtoto wa k/ koo bwana king kiba saruti sana ali
@MusaMkembela-ex6ev
@MusaMkembela-ex6ev 9 ай бұрын
Huyu dada anakula balaa hatari sana
@halima2286
@halima2286 11 ай бұрын
Marioo anakula kwa Kasi ama anazani kitaishaa na huyo mwamba wa kofiaa ni nikuyasombaa sana
@omarymbole9028
@omarymbole9028 Жыл бұрын
Dada Hilo Sinia unaona mapaja tuu duu wachee na wenzako
@mimasirdic8379
@mimasirdic8379 Жыл бұрын
Mroho
@mimasirdic8379
@mimasirdic8379 Жыл бұрын
Anashindwa kula vizurii na Ali kiba
@swedish_james
@swedish_james Жыл бұрын
Nyama ilivyoisha kila mtu kashika zake
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 9 ай бұрын
😂😂😂😂wew unajua kusoma Ramani
@user-de1cl2qe5s
@user-de1cl2qe5s Жыл бұрын
Tunatak kolab za kimataif xax hiv
@immaculathaemmanuel8240
@immaculathaemmanuel8240 Жыл бұрын
Kuna mmoja hapo anakula faster faster hatari🤣
@nasibabdullah-
@nasibabdullah- Жыл бұрын
Ali why more hunger, u eat more.😂😂
@muhammadjamady-zx1jy
@muhammadjamady-zx1jy Жыл бұрын
Kiba kaon watu wanazid akashika mkononi
@missindependent1893
@missindependent1893 Жыл бұрын
😅😅😅😅😅😊😊😊😊😊😊
@kukuzambawazambanga
@kukuzambawazambanga Жыл бұрын
Enjoyini washikaji wangu jamani Mrarueni bata virivyo juu ya kagumzo Diamond platinumz huyo😅😅😅 Maisha mafupi haya na matamu😅😅😅
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Жыл бұрын
Huyo sister duu nyuma anapiga nyama sio mchezo
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 9 ай бұрын
KWELI NYAMA ILIVYOISHA KILA MMOJA KASHIKA ZAKE😂😂😂
@salimmwakaribu942
@salimmwakaribu942 Жыл бұрын
Nani ameona hio gari iligongwa ikanyoroshwa😂
@piuskanyampala4540
@piuskanyampala4540 Жыл бұрын
Huyo dada wa wigii haulizi vzurii anafukiaa tuu
@khadijahamina8457
@khadijahamina8457 Жыл бұрын
😂😂😂😂kazi nakulaa
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 Жыл бұрын
amesahau kilichompeleka pale😂
@mimasirdic8379
@mimasirdic8379 Жыл бұрын
Anatetemekea chakula mnooo na anakauroho
@khalidsoud235
@khalidsoud235 Жыл бұрын
Moco amekuja kucheki nyama amekosa😂😂😂
@kukuzambawazambanga
@kukuzambawazambanga Жыл бұрын
Hiyo pia mimi nimeona😅😅😅😅😅😅😅
@kukuzambawazambanga
@kukuzambawazambanga Жыл бұрын
Njooni kenya nyinyi wote Kenya hakuna chochote kinachoendele Hela imelala huko Hakuna wakuokota Ni siri tu nawachunia Wakenya wanawapenda Na wanakiu Yakutumbuishwa Wenzenyu huko kenya ni udaku tu Hawana lolote
@sakinaamani1486
@sakinaamani1486 Жыл бұрын
Hajaelewa swali huyu ali nae
@fuadaladawi1255
@fuadaladawi1255 10 ай бұрын
Huyu mujama Ali anajiona sana
@user-xg2wb9ye2g
@user-xg2wb9ye2g Жыл бұрын
Hana rafiki huyo ni maskini anaroho mbaya ngumu Kama jiwe Ndiomana hawafanikiwi huyo mshamba wa Cinderella
@ivantompoo-uy3up
@ivantompoo-uy3up Жыл бұрын
BatA jamaa wanakul
@kiejustus97
@kiejustus97 11 ай бұрын
Ni kuku ama ni nyama gani iii mlo
@davidmuneza5158
@davidmuneza5158 11 ай бұрын
Ki kiba
@rayanndizeyes3161
@rayanndizeyes3161 Жыл бұрын
tazania hamuna tisho kwa nini munajipanguza na mikono jamani watafutiye tisho yakupanguziya mikono wanapa kula
@user-ok8gw4yp5o
@user-ok8gw4yp5o Жыл бұрын
Chakula kweli kitamu
@masizitony9800
@masizitony9800 Жыл бұрын
🦣🦣🦣🦣🙏🙏
@DottoAbas-iu4xx
@DottoAbas-iu4xx Жыл бұрын
Ety abdukiba amefika nini ahahah
@idrisamangwala6470
@idrisamangwala6470 Жыл бұрын
Hahahhah huyo jamaa fala kweli wenzie wanakula yeye anaongea ila pongezi Kwa huyo mdada kwa kula2
@rehemamajaliwa
@rehemamajaliwa Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Жыл бұрын
Hao waroho wa nyama si wakalie jikoni huko wamuache king ahojiwe kwa amani
@NyanjeMwalimu-qy5ug
@NyanjeMwalimu-qy5ug Жыл бұрын
K2GA nivipi mbona hatumuoni
@faidhacute
@faidhacute 11 ай бұрын
Binadamu kamili huwez kutokuwa na rafk bhana acha zako, sasa unajitenga mwenyew wakat hao ni wasanii wenzako inabd mubadilishan mawazo acha kujikuta
@sakinaamani1486
@sakinaamani1486 Жыл бұрын
Mbona huyu kka hali mwala nnyi tu
@jacksonmathayo6510
@jacksonmathayo6510 Жыл бұрын
Amefunga😂
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
@@jacksonmathayo6510 😆😆😆😆😆
@Am-vo5cu
@Am-vo5cu 11 ай бұрын
Alikiba ni kijana wa region gani Tz? Anaongea kama mtu mwenye kiburi fulani
@saidjumasaid3924
@saidjumasaid3924 11 ай бұрын
Yae jamaa ana kiburi yani ukimuona tuu
@lenardleonardngimilanga3480
@lenardleonardngimilanga3480 10 ай бұрын
Jamaa udende tuu unamtok
@kyungumedardmaurice8321
@kyungumedardmaurice8321 Жыл бұрын
Mnakula kama majini ahibu Mungu wangu mnachekesha mnakosa hadi maji ya kunywa 😢😢😢
@ayubusalim4113
@ayubusalim4113 Жыл бұрын
😅😅😅, daah 😅🙌
@mariamnur1036
@mariamnur1036 Жыл бұрын
Binadamu hamkosi lakusema ..ila sema wewe ndo jini
@dottombilinyi5979
@dottombilinyi5979 11 ай бұрын
hakuna alikiba mwingne
@athumanhusen6008
@athumanhusen6008 Жыл бұрын
Kakuku kamoja watu 100,uchawa mtupu
@khadijahamina8457
@khadijahamina8457 Жыл бұрын
kunamcango wako apo kwenye iyo kuku mbona kisirani
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 Жыл бұрын
Punguza chuki itakupelekeaaa uwe mchawi dogooo
@salmasalum7735
@salmasalum7735 Жыл бұрын
😄
@DenisMahomba
@DenisMahomba 11 ай бұрын
King kiba
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 12 МЛН
Jumping off balcony pulls her tooth! 🫣🦷
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 26 МЛН
HADI RAHA ALIKIBA ALIVYOCHANGANYA KUIMBA AJE, MBIO NA NAKSHI NAKSHI
7:33
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!
0:16
Mini Katana
Рет қаралды 26 МЛН
Toothbrush Glove Hack !?
0:16
Dental Digest
Рет қаралды 13 МЛН
😇 or 🔥 ? #shorts
0:43
A4
Рет қаралды 4 МЛН
УДИВИЛА ПАРНЯ🤯👏
0:20
Бутылочка
Рет қаралды 3,5 МЛН
Полицейские проучили парня 🤯 @itsappie
0:28
GET BURNED BY TOUTCHING A POT OF CARDBOARD!#asmr
0:18
HAYATAKU はやたく
Рет қаралды 4,8 МЛН