Leo June 15,2024 Klabu ya Yanga inazindua Kitabu cha Historia yao toka kuanzishwa kwake Februari 11,1935. Uzinduzi huo unafanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Dar es Salaam.
Пікірлер: 83
@owenfweta32392 ай бұрын
Katika matembezi ya makombe hayo mikoani msisahau swala la kusajili wanachama wapya 👍🏾
@user-zc6ty2zy3h2 ай бұрын
Hilo ndo namba moja
@dengahmediatz12302 ай бұрын
Kweli na semina fupi kuhusu umuhimu wa kujisajili
@ocaml86982 ай бұрын
Kila tawi ingefaa wawe na nakala japo moja ktk ofisi zao za matawi.
@user-ht5tc5yv5t2 ай бұрын
Hyo ndo target ... Vinginevo hakukuwa na haja ya kufanya hivo
@godwinkaunda95162 ай бұрын
kweli makolo watakuwa wakifuata nyuma ya Yanga kwa mambo mengi sana! Hongereni Viongozi
@EssauGabriel-fy8pu2 ай бұрын
Kinzumbi deal done cassablanca
@songombingo1082 ай бұрын
Yanga hawana habari ya Kinzumbi. Waliopo wanatosha kuwapiga madunduka
@EssauGabriel-fy8pu2 ай бұрын
Jifarijini
@songombingo1082 ай бұрын
@@EssauGabriel-fy8pu Wee huna akili kweli. Yaani Mhindi Wenu kainunua timu na anawachezea akili zenu ovyo. Mmebaki kulialia. Yaani unategemea Ngoma na akina Muzamiru ndo wawape ubingwa? Kumbaffff zako
@hemedrashid29212 ай бұрын
@@songombingo108😂😂😂😂😂😂😂😂
@marcobulili43412 ай бұрын
YANGA ina miaka 98 tangu ianzishwe. 2026 tutasherehekea miaka 100
@rukiakyaka18272 ай бұрын
Mashaallah we baba umenichekesha
@errydeo88652 ай бұрын
Naishi UINGEREZA,tuna mastress gunia,lakini nikishamsikiliza Ally, God Yanga,Mwalimu na data zake( za ukweli na uongo,i dunno care) Dosa, kuna kadada Kahaya ( huyo haongei kiswahili🤣🤣) na wanayanga wengi wengine,aisee STRESS ZINAISHA🤣🤣 Eti labda watuibie viungo; kataja vile vya pilau! 🤣🤣 Huyu dogo, nimemfatilia sana,he is clever,smart, intelligent,well learned,funny, artculate,good promoter,( anaweza kukuuzia mayai mabovu) na ANAJUA KUKERA🤣
@MasudiMwamkumbi2 ай бұрын
Umenifulasha sana kweli wengi wanatamani yanga
@mirajiali39262 ай бұрын
Makolo watasema na wao ndio walikuwa wa kwanza kuzindua kitabu mwaka 1947
@EssauGabriel-fy8pu2 ай бұрын
Likitabu bongo tulivyo wa tecnology, unaturudisha analog nani anunue?
@MzeewaYanga-hm8jq2 ай бұрын
@@EssauGabriel-fy8pukolo awez kununua ktab msomi pekee nd anajuw nn kuhusu kitabu😂😂😂😂😂😂😂😂
@ManyweleMathiasmakoja2 ай бұрын
naflahia sana uwepo wa yanga duniani
@honesthenry9012 ай бұрын
Raha ya hiz timu mbili mmoja akiwa anapitia Wakat mgum mwingne anapitia Wakat wa furaha. Kwhy viseversa is true.
@owenfweta32392 ай бұрын
Ali Kamwe daa mbona waweka watu matumbo moto 😂😂😂
@LusanaTimotheo-mf1nn2 ай бұрын
Lakin usajili uneendereaje lakin
@augustinomkongwa54442 ай бұрын
Msemaji wa mabingwa bravo
@hajiali15722 ай бұрын
Kurasa 251 za kitabu cha yanga kam una d 2 ni 2 kwa 1 na 5 kwa 1
@thetrends4722 ай бұрын
Baba pamela
@GermanaangeloMkemangwa2 ай бұрын
Saisaaaa jaman hdi vitabuuu polen
@ChenchiKing2 ай бұрын
Aaaah Semaji Unawaweka Watu Tumbo Joto Upande Wa Pili
@oswardlonginoosward98322 ай бұрын
Ali kamwe nimekumiss
@MonahMosafiri2 ай бұрын
Semaji la taifa makasiliko ya nn
@PiusNjelekela2 ай бұрын
hakikisha kinakindoki wako huko usajili wa wanachama uwe ajenda kuu Ktk matembezi hyo ndani ya miaka 3 ijayo kombe la afrika lije tz
@tanzaniabusesupdates53112 ай бұрын
Hiyo ndio plan yao maana wanasema hupigi picha na kombe kama sio mwanachama
@fihirishemaadihussein61242 ай бұрын
Wanathimba punguzeni makasiriko kutesa ni kwa zamu
@SamwelMnaga2 ай бұрын
💚💚💚💚💚
@MussaRamadhani-em3wb2 ай бұрын
Ally umenifulahisha kuhusu alietaka kulibeba kombe letu😅
@patrickndizeye21902 ай бұрын
Mwamba 🎉huyu apa😂❤
@ItzNketiah2 ай бұрын
Kwahiyo mmekosa picha ya kuweka caption 😂😂
@noeljacob96442 ай бұрын
Ali kamwe kaongea kwa uchungu kuhusu kufukuzwa wananchama wa simba
@osmundmtavangu2 ай бұрын
Ivi hii press ni ya Yanga au Simbilisi😂😂😂😂😂😂
@EssauGabriel-fy8pu2 ай бұрын
Kinzumbi ashatembea kasablanca sasa bignames sijui zipi tena ata aliyejifunza kwenu kawakataa
@jivankulikwa242 ай бұрын
😂😂😂
@yasrikomba78742 ай бұрын
😂😂😂😂😂alikamwe amewasema sana 😂😂😂
@Shadia5442 ай бұрын
Semaji letu la taifa 😂😂😂😂😂😂
@user-ds3oi3tt8u2 ай бұрын
Kitabu cha nn si inatakiwa hata na history ya kufungwa iwekwe
@kolosii43512 ай бұрын
Ally Kamwe usiwatishe wenzako. Msiwasifie wachezaji ambao bado hawaclick na timu.
@user-pl2ir4yi9y2 ай бұрын
Ww choko
@ReginadAloyce2 ай бұрын
Unateseka ukiwa wapi
@johnenos94732 ай бұрын
Hahahaahhahh😅😅
@Promk1122 ай бұрын
Haya mateso mbona kidogo tu 😂😂😂
@amanizavala2 ай бұрын
Nimeamni utopolo wenye akili ni wawili tu
@lailatmalik75152 ай бұрын
Kaamulie ugomvi huko😂😂😂😂
@gracemtonga32632 ай бұрын
Anafurahisha zaidi yule anayewafuatilia wasiokuwa na akili 😂😂😂😂😂 utaendelea kuteseka baby 💛💛💛💚💚💚🏆🏆🏆💪💪💪🍺🍺🍺👈
@user-zn4jl5wy3d2 ай бұрын
😂😂😂@@gracemtonga3263
@user-fe8gq8dy1g2 ай бұрын
Hahahahahaha! Kama unaona mtu hanà akili unamfuatilia kwnn?
@EzlaFumbo2 ай бұрын
Nyie mngekuwa na akili mngechukuwaaa kombeee
@BenPeter-vp2cy2 ай бұрын
Kubababake😂😂😂😂
@nicodemuswidambe51322 ай бұрын
Twambie ni sh ngapi?
@bamdogokiki14862 ай бұрын
Laki moja
@ArnoldRwegasira-hp9gt2 ай бұрын
Alikawe hahaha
@subiralema2 ай бұрын
😂😂😂
@user-ds3oi3tt8u2 ай бұрын
Shida yake huyu dogo hana Elimu Anazani kuisema simba kila leo Anazani kutomboa
@gabrielnjiapanda37102 ай бұрын
We mwenye Elimu una msaada kwa Taifa?
@user-ds3oi3tt8u2 ай бұрын
@@gabrielnjiapanda3710ww unazani kuisema simba vibaya ndio mafanikio yake hayo
@user-nn8yj7fe4n2 ай бұрын
Unajistukiaaaa eeeeeh, 😅😅😅😅
@kitaurosalim65622 ай бұрын
Ulihitaji awe profesa kusudi awe msemaji?we mwenzetu una elimu gani
@jackmabirangacharles93982 ай бұрын
Asiye kuwa na Elim lakini ni Mtu Maarufu kuliko wewe uliye andika sentesi Yako kwamba hajasoma , halafu unatakiwa kuelewa kwamba Yanga na Simba ni mtu na Mtani Mika Leo unakwenda 89 kwahiyo huwezi kuliepuka Hilo mtu wa Yanga kuisema Simba au Simba kuisema Yanga 😅
@vumiliamgendi1482 ай бұрын
Aka nako kasikonenepa Kila siku kaki hivi hivi mdomo kama kinembe Cha nguruwe,sema mnafanya matambiko sio kutembeza makonbe ni matambiko wachawi wakubwa nyie wafuga majini tanzania,ndo maana tp walikuwa kujifunza kumrushia mtu majini akiwa mbali sikingine,sisi tunawajua vizuri,sura imekipalama utafikili mjamzito mnziiiiiiiiu
@majaliwabwitonde69002 ай бұрын
Unateseka ukiwa wapi 😂😂😂😂
@kolosii43512 ай бұрын
We hupendi majini??
@jescaurio84102 ай бұрын
bado hajasema utasema tyu
@tanzaniabusesupdates53112 ай бұрын
Kama hujui lengo la kutembeza hayo makombe bora ukae kimya tuuu, wenzako hawafanyi hivo kujiburidisha tuuu wanataka kusajili wanachama wengi zaidi kupitia hizo ziara... Sasa wewe kalili hivohivo