Wewe ni Mwanamuziki wa kizazi kipya uliyeandika tungo nzuri sana zenye mantiki. Hongera sana kwa msimamo wako duniani tunapita tu. Hakika pambana utabarikiwa. Allah SW Anatosha .
@simonheavenlightshoo15037 ай бұрын
Moja ya msanii niliyekuwa namkubali kipindi nasoma primary Ni twenty per cent 👏👏👏😅
@rumdeesonsoa18117 ай бұрын
20 percent anakubalika na kila mtu anaejua mziki mzuri
@mussasebatiano47877 ай бұрын
Sana Daddy kula jasho yako mtu wangu maana tamaa mbaya ulisema nimeshuhudia yakitokea kwa Sharo ngwea Kanumba na wakina recho nawengine kabis
@irengebarhabana127 ай бұрын
hongera saana 20%.wewe ni mshindi ndugu yangu twenty..mema iko mbele Mungu ata kulipa tu,kwani Mungu ni mwaminifu kwa wanao muamini na kumutegemeya🇨🇩🇨🇩🇨🇩🤝🙏🙏
@redpromediat.o.tstrongteam16797 ай бұрын
We twende tu,kwani hao unaowatesa nimewaumba mimi. Asante sana 20% . Nimekuelewa sana.
@epmzmusifiwar66947 ай бұрын
From Uganda 🇺🇬 Int'l Congo DRC 🇨🇩 To Tanzania 🇹🇿 Big up 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@hamzalipuye71987 ай бұрын
Tokea zamani nampenda sana 20, yaani huyu jamaa ni mkweli kuanzia uimbaji wake na hata kauli yake nje ya muziki na huko mkweli pia kwenye maisha yake,
@AmaniCosmetix4 ай бұрын
Tunakwnda nawakati tupakulee
@lulanjamd38867 ай бұрын
Yesu Kristo azidi kumtunza Twenty percent
@juliethfrancis77997 ай бұрын
Life is spiritual 20% Mkubwa Mungu mwite anaitika na yeye ni mwema sana kwetu
@Intertainment_8967 ай бұрын
Kimbilia kwa Yesu Kaka ndiko kwenye salama na uzima hawakupati ng'o ukiwa Huku ila ukiendelea kubaki huko asee Neema ya Mungu ikufunike shetani ameona kitu kwako
@petermalema57027 ай бұрын
YES KWA YESU NI KUZURI SANAAAAAA
@madetetv65767 ай бұрын
Pole sana 20% msanii uliyeni motivate sana
@floramsacky39297 ай бұрын
Maua yako 20% Mwamini Mungu atakupa kwa wakati wake, kiukweli nyimbo zako zina ujumbe mzito.
@lyrics_forum7 ай бұрын
Mtu Tatu ndani ya Track Moja, Ebhana hii Team Ninawaelewa sana.. Ishini tu hamna baya.
@saiddimarley84457 ай бұрын
Nakukubali mia kwa % Acha tujenge ahera Duniani tunapita.Kula kidogo uridhike usije ukawa kama hao wengine.Big up to you bro
@MamaFahady-wu4wk7 ай бұрын
Nmekuelewa twenty... Nimekuelew maisha ya dunia. Nimapito. Tu
@ainealazaro73217 ай бұрын
Jamaa ana upeo mpana sana so wonderfull
@EzekiaMichael-jn5np7 ай бұрын
Kaka 20 percent umenifundisha kitu nimekukubali nakushsuri mtafute YESU KRISTO kuwa ni mkombozi wa maisha yako
@jescameck70277 ай бұрын
Mwenzio Muislam.. unataka asaliti dini ksa ww? Wamemshindwa Freemason utaweza ww... Mungu Ni mmoja.
@blandinajoseph12917 ай бұрын
@@jescameck7027hee nguvu ya YESU KRISTO na freemason vinalingana?? Acha utani basi
@josephstephen20477 ай бұрын
Ubarikiwe sana kwa ujumbe mzuri
@EzekiaMichael-jn5np5 ай бұрын
Nimempa ushauri tu kaka 20 Wala siko kwenye utani alinielewa ameelewa kua namshauri amfuate alie shinda kifo na Yu hai kama ni mtazamo ni huo mtazamo wangu
Nyie mnapeleka maana kwenye utapeli, lakini sie tunajua jamii hiyo ipo na inaweza kufanya hayo, na ndivyo inavyofanya. Richa ya kuwa wapo matapeli wanaweza kufanya namna na wao. Ila binafsi siwezi kumpuuza 20 na hoja zake
@ScolaMwansasu4 ай бұрын
Ungekuwa kwenye dunia yake ungemwelewa
@frankmlalila17057 ай бұрын
Nawapenda sana nyie watu❤❤❤
@breymbasa34517 ай бұрын
Sema twenty mswahili sana kama hujui kutafsiri hauwezi kumwelewa
Kusema na ule ukweli, nimemis ile amplifier ya zamani, ya habari 10...
@trapqueen78857 ай бұрын
ya clouds eeh
@peacemakune9117 ай бұрын
Hiyo ndo ilikua yenyew
@isaacvtv5477 ай бұрын
Uku USA ni kanisa kabisa. Milan Ayo ukija Ohio Dayton nitakuonyesha uingie mwenyewe ila mimi nitabaki nyuma😂
@arafakiloli7497 ай бұрын
Hahahahahahahahahahha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@shadrackdeogratius67607 ай бұрын
😂😂😂🤣🤣🤣tutaingia wote
@UsafiMichael-mc8kt7 ай бұрын
Isack tv
@UsafiMichael-mc8kt7 ай бұрын
Kwahyo inakuwaje sasa wakristo
@dashdiane7 ай бұрын
Hv kuwa na gari ndo kuwa na maisha mazuri,twenty akili kubwa
@marcojonline78477 ай бұрын
Ndo akili za watu weusi
@user-nb9hh3wn3h7 ай бұрын
I love so much free mason.
@waragaronline5787 ай бұрын
Me nahisi kama kweli clouds wanataka kutoa msaada Bora wamdaidie 20 maana huyu jamaa ana akili kuliko chidi
@gideonstanley21557 ай бұрын
Kwanini waskupe wew😢
@starlonejadamskp82247 ай бұрын
20% nakukubaliiii since day one mpk mwishooo
@trapqueen78857 ай бұрын
Karibu mbeya Bro
@user-nt8qe7bx7g7 ай бұрын
20percent mimi huwa ninakukubali sana wewe ni kijana uliyebalikiwa sana Mwenyezi Mungu akili na ujasiri na maneno ya hekima
@einsteinchacha57977 ай бұрын
WaTanzania wengi hawajui maana ya Freemason, kila ushetani unatafsiriwa kama freemason. Freemason ni Taasisi ya kawaida tuu ambayo inasaidia sana katika sector tofauti tofauti Tanzania
@user-xl9so6jg1e7 ай бұрын
Unaumwa mavi wewe eti taasis ya kawaida je Kama ni taasisi ya kawaida unajua nn kinaendelea kwenye mahekalu yao.
@msatibongonyuzi147 ай бұрын
Hayo mambo hamuwezi kuyaelewa mbaka muyakute mm nisha kutana nayo hayo na hao huwa hawa kulazimishi isipokuwa wanakushawishi ili ww mwenyewe na nafsi yako uingie😢😢
@daimavlog7 ай бұрын
Siyo kweli wamejaa huku ulaya na hawafanyi kazi kiivyo. Hao ni fake wachawi tu
@josephstephen20477 ай бұрын
20% ni msanii wangu bora wa muda wote na nyimbo zake zinaishi milele
@BAHATIKIBA-ul6wx7 ай бұрын
Nawapat Kutoka 🇺🇸, Nakubal Xan Ila Watanzania Msahidiyeni Twenty20 Anahali Ngumu Xan Kihukwel
@JumaJuma-fu7ji7 ай бұрын
Sasa wamsaidie nn maisha ndivyo ya livyo nikupanda nakushuka kawaida tu 20 wew utamsadia nn kwaapo alipo kila kitu kakifanya uyo kamaliza kikubwa Aishi kikawaida
@user-zs4qz4wm2n7 ай бұрын
Wewe hutaki kumsaidia maana huyo mungu tu yupo mbinguni anatusaidia sasa wewe hapo marekani jirani kabisa mtumie hela hata kwa M pesa😂😂😂
@katibampya84427 ай бұрын
Uwe marekani afu hujui kuandika?
@jamaliselemba7 ай бұрын
Aseee😢😢 sema jamaaa namuelewa sana 20%
@LodvolaLameck-jl5vs7 ай бұрын
Jamali mzima ww, Nelson hapa
@jamaliselemba7 ай бұрын
@@LodvolaLameck-jl5vs wawapi
@LodvolaLameck-jl5vs7 ай бұрын
@@jamaliselemba Mkabogo
@jamaliselemba7 ай бұрын
@@LodvolaLameck-jl5vs sikukumbuki kwakweli
@LodvolaLameck-jl5vs7 ай бұрын
@@jamaliselemba umesahau tu kidogo, kaka wa Kulu Nelson
@frankdanford82457 ай бұрын
Mirlad mbona unazungumzia kiunyonge sana ikifika swala la kutaja Freemason yaani kama autaki kuongelea sana kama nafsi inakusuta hivi kuna nini kwani?
@epmzmusifiwar66947 ай бұрын
Unagusa Point Uyo Jama Mumja Wao
@MexiTanix7 ай бұрын
Mwenzao huyo, unafikiri hayo mafanikio yanakuja kiurahisi.
@ameenaameena4227 ай бұрын
Huyo tunamjua ni free lichama la mashetani yumo
@HappyHangingGondola-zr7ke7 ай бұрын
Na yeye yumo maana anahofu sana😢
@Orinnazaqar69397 ай бұрын
Apo ukweli
@roswithernaaly13327 ай бұрын
Napenda sauti ya vidoo
@sundawnsmedia66597 ай бұрын
Duh! Hii shughuli kweli kweli, 😢
@chenge32237 ай бұрын
Napenda interview zinatokea milard ayo
@mercypeter1627 ай бұрын
Ndio maana Vanesa mdee alijiongeza. Nimekundua wasanii ambao sio matajiri wamekataa masharti Ya kuzimu. Lakini Hamonaiz amesha imba kwamba mziki ushetani
@behindzscenes38267 ай бұрын
kwenye wimbo gani huo
@edsongamuga73757 ай бұрын
Kushoto kulia
@ismailabbas41977 ай бұрын
Muziki ni ushetani kweli we huoni Mzee yusuph pamoja na kutubu na akaenda kuhiji lakini bado alirudi kwenye musiki , sababu tayari alikuwa ni member wa freemason na baada ya kuamua kuacha muziki walimpokonya kilakitu na kumuacha mweupeee.... Kwakuwa hakuwa tayari kuyaishi ya tabu na hakuwa na (YAKINI) moyoni ndiomaana akarudi tena kwenye muziki lakini maisha yake bado ni yatabu tu kama zamani
@onesmomelkiol8137 ай бұрын
Wimbo unatwa dunia by harmonize
@walinaziontime73007 ай бұрын
Huyu jamaaa ni stopper..... Yaanii ni machine VIP
@gentiljabpretty5 күн бұрын
Majibu ya akili ❤❤
@Suleiman997 ай бұрын
Unaweza ukacheka usimaanishe nimeioenda Sana hii 20%
@Bushman0005 ай бұрын
20% yuko bright sana kwenye tungo, the way anaongea tu unaona ni mwandish mzur
@eliudmkumbwa56817 ай бұрын
Ukisema humpendi 20%ujue maisha yako yanakusumbua na una hasira na kila mtu
@BRiGHTONJenius7 ай бұрын
👍👍👍🔥
@aslam_musa41907 ай бұрын
Kwanza cjawahi ona anaye tongozwa kueka jambo hadharani sasa hata kama kweli ukisema ndo nini, kikubwa aache bangi na ubishi atafanikiwa. Bila shaka alifuatwa tu na matapeli na si vinginevyo, vitu usivyo vijua na visivyo na maana kwako si vya kufikiri.
@mallemaOg7 ай бұрын
We nae freemason
@daimavlog7 ай бұрын
Yes ni matapeli wa kibongo wanamcheza
@daimavlog7 ай бұрын
@@mallemaOgfreemanson wasikie wewe hawako hivyo.
@opportunities27677 ай бұрын
Wale jamaa hua wanafuata watu wenye vipaji tu.
@DeusAmos-lt9bx7 ай бұрын
Umeongea kwel broo
@damianmachira75357 ай бұрын
Kumbe Katekela alisema kweli majamaa yalikuwa ya na mtafuta pole ila MUNGU nimwema mtumaainie Mungu
@AbibornAlex6 ай бұрын
Hii ni kweli nimeikumbuka na mimi, katekela aliwahi kusema hata tuzo wao ndio walimpa, alipogoma wakamfuta kwenye music industry
@isacksimonmahungilo7 ай бұрын
Kwel kabisa namkubal twent
@kwangahudispensary72386 ай бұрын
Jamaaa kafanikiwa kiakili sana ,.
@howardbillionaire7 ай бұрын
kama waijua definition ya the real rastaman gonga like sema #wagwaan
@user-zf4gb9md2w7 ай бұрын
Namkubali sanaaa
@shagarbycash95497 ай бұрын
God❤
@trapqueen78857 ай бұрын
Hii interview inalugha ya kisanaa sana
@bonabonala55597 ай бұрын
huyu 20ni shuja wa aina yake duniani mungu akurinde sana 20 paa
@issahamisi6747 ай бұрын
nmewah skya kwa wale wakenya mtu na mkewe😢😢
@Upendo-gd6fn7 ай бұрын
Page yao KZfaq inaitwa life is spiritual
@josephstephen20477 ай бұрын
@@Upendo-gd6fnNgoja niitafute hiyo page
@user-hm3qm2nf1v7 ай бұрын
Hana cha freemason bangi nyingi tu
@rizzsafi99897 ай бұрын
Mmmmmmh jamaaaa kaongeza kweli na vitu vipo
@servantofalmightygoddranth25117 ай бұрын
Kuna pointi kubwa Sana ameziongea huyu jamaa 20% kuhusu freemason ndio msanii wa kwanza wa nyimbo za dunia kuweka kazi mambo ya freemason, YESU KRISTO ALIE HAI AMLINDE maana akina diamond,ali kiba wamejiunga uko na wasanii asilimia 90% wa sasa wapo huko na wanatoa makafara
@adaboychibu16597 ай бұрын
Una ushahidi wa hayo uyasemayo!shida yenu hamuamini uwepo wa Mungu!mnacho amini kuwa maskini akifanikiwa utaskia mara Freemason mara mchawi hayo ni mawazo mgando!Mungu umpa amtakae na ndoma huwa hamfanikiwa mana mshaamini bila ya shetani haiwezekani!hacheni hayo mawazo mgando Mungu anatosha mafanikio hayana mwenyewe!!
@Max9_captain7 ай бұрын
umeongea pumba sana
@servantofalmightygoddranth25117 ай бұрын
@@Max9_captain wewe ni shoga mwanaume huwezi kuwa mbeya nani kakuita kwenye comment yangu unafokonyolewa mkundu wewe
@servantofalmightygoddranth25117 ай бұрын
@@adaboychibu1659 HATA JEHOVAH MUNGU ANAJUA kuna freemason sasa wewe mshindia maharage kutwa kujamba mishuzi inayonuka unabisha nn au na wewe mmoja wao ndio maana hamna nguvu za kiume marinda mlishatolewaga nyie
@Max9_captain7 ай бұрын
kwenye ubongo wako kuna tundu la kuma, hizi comment ni za public kama vip ungemtumia ayo inbox maelezo yako yakishoga frimason ya mamaako fanya kazi tafuta hela utafirwa kuma wewe
@basekekasusu31867 ай бұрын
Unyama ni mwenge😂😂
@princekassimtz58487 ай бұрын
Msanii mkbwa na mwenye vina vikali 🎉
@user-ii6gs2jg4g7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂kwamba unawakomesha tu. 20 bana ila safi sana komaa na iman yako kaka
@EmpireMoviesNseries7 ай бұрын
Hahaa!!!! misamiati yake naipenda mwamba!!!!
@fadybeatz7 ай бұрын
😂😂. Icho kicheko kinaboa , cjuh pombe cjuh bng
@masonc_rodge88527 ай бұрын
❤
@shukuruemedi98057 ай бұрын
Dah! Nasubil season 2 yake
@mgallahson36504 ай бұрын
Ukiwandoa wanamuziki wa zamani akina Marijani ,kizazi hiki 20% ndo mwanamiziki Bora wa hiki kizazi
@lusticabernad99827 ай бұрын
Leo mimi watatu, nipeni likes zangu
@KIBONGEMAYELETV7 ай бұрын
Duuuu
@user-bw3fu2wl3s7 ай бұрын
Binafsi Nmeierewa hii nasubiri pa2
@Nyanda5067 ай бұрын
20%ana madini hata kujibu maswali huwa anajibu kwa akiri ..
@Bushman0005 ай бұрын
Yuko bright sanaaa
@boazambokile25877 ай бұрын
😅 20% huyu mwamba anamisamiati mikuu
@user-on7xo3if9l5 ай бұрын
Use na msimamo uwo Mungu atakutetea
@leonardaugustino40727 ай бұрын
Jaman huyo ni20% sio chid benz, apo tuelewane kidogo.
@bworldpro7 ай бұрын
Milard mbona kama hatukuelewi elewi😅😅😅vipi mzeee
@danielkenedy43577 ай бұрын
Bangi sio nzuri. Ona madhara yake
@leonardaugustino40727 ай бұрын
Mtu ukiwa na akili lazima uchelewe kulala hata ukilala saa mbili😮
@nasekawanga17377 ай бұрын
Sio kweli awajamfata uyo we unafikili wangemfata asinge kubali😅😅😅
@bigtengwemela31537 ай бұрын
We unafikili kila mtu ana akiri kama za kwako we vp wewe
@user-xl9so6jg1e7 ай бұрын
Unadhan wote wanapenda kuishi na stress akiln
@henrysangiwa17317 ай бұрын
Aende kanisani, akaombewe upuuzi wa hayo makitu hakuna kama una Mungu
@rainflextheplug7 ай бұрын
Facial expression ya Millard juu ya freemason imekaa kinyonge sana...boss anaongelewa nini?
@kidesnassor1467 ай бұрын
Tupe part 2
@ScolaMwansasu4 ай бұрын
Mirad unajifanya huelewi nn hapo ambacho anasema huyu kaka
@emanuelmichael52957 ай бұрын
20% nyimbo zake ni zenye ujumbe mzito ulioakisi maisha halisi ya watanzania. Na pia zenye adabu unaweza sikilizwa na watu wa rika lote sehem yotote sio hawa wasasa matusi matupu na videos za uchi