Ukiona Ukraeni kuelekezwa kuipiga Urusi kwa kutumia silaha za Mataifa ya magharibi walishajua uwezo wake kwamba ni mdogo. Wengi wa askari wa Urusi wanakimbia nchi kwa kukosa huduma muhimu. Halafu leo anataka kuiingiza nchi kwenye vita na Mataifa makubwa!?
@MireilleShugweryimana20 күн бұрын
Urusi,kwasasa,inaikalia,mikwala tuu.
@lukafbbwebelof387420 күн бұрын
Mawazo madogo sana. Panua akili usihikaliye ushabiki wa wajinga
@Emanueli-vz6fd20 күн бұрын
Kwa taarifa yko akuna mtu jiniaz km mwanaume Putin kwa sasa chukua hyoo