Рет қаралды 35
Madam Loyce Mrusuli kutoka FARM AFRICA alipokuwa akizungumza katika jukwaa la ALE 2023 mkutano uliofanyika jijini dodoma mwezi novemba. Mkutano huo ambao ulikutanisha wadau mbalimbali wa kilimo, vijana, wanawake na wadau kutoka serikalini na sekta binafsi ulilenga kufungua milango zaidi na kutatua changamoto mbalimbali.