Laa haula wala quwata ila billahi ,,tumrudie Allah
@ismailsoud363426 күн бұрын
Sheikh kipozeo yupo hai mzima wa afya.
@rahmasuleiman9334Ай бұрын
Mawaidha mazuri saaana ktk zama hizi tunazoishi hakika mwisho u jirani sana tuombe sana na tumrudie Allah na tuwe na hofu ya Allah… Allah Ibariq Sheikh 🎉🎉
@ShamimHassan-qm1et2 ай бұрын
Ni kwel shekh ila ni wachache sana wanaoelewa kuwa ndio mwisho wa dunia Allah atusaidie 😢
@abdallamohamedabdallaАй бұрын
Shukraan jazillah
@user-fq1gg8rj9i2 ай бұрын
Ni kweli Sheikh kipezeo hiz Ni zama za mwisho ,,waislam tuzindduken jamn na matukio tunazinduliwa tumejisahau na duniya Ni Mapito,,
@NaodaNaoda-du3xg2 ай бұрын
Wa aleykum salam,sheikh Kipozeo yupo hai@ShamimWanjiru
@ismailsoud36348 күн бұрын
Wanasema mabadriko ya tabianchi badara ya kusema mabadiriko tabia binadamu.
@Husna34562.2 ай бұрын
AMIIN 😢
@user-dy2jn5jr1n2 ай бұрын
Swadakta shekhe upo sahihi
@roudhamahmoud7632 ай бұрын
Jazaka llah kher wabilah taufiq
@hamadimadisa93462 ай бұрын
Sheikh dhulma ndio sababu ya majanga yanayo tokea
@omarikessy23392 ай бұрын
Shukrani sheik
@ShamimWanjiru-bm6ve2 ай бұрын
Watanzania salam aleikhum jamani mniambie huyu Sheikh Kipozeo yu hai au vipi manake yalienea sana huku Kenya kwamba kaaga?nitafurahi sana nikijua bado yu hai,napenda mawaidha yake sana
@user-fc4vl8zi4r2 ай бұрын
Waaleykum msalam yuhai alhamdulilah Allah amjaliye umri mrefu
@ShamimWanjiru-bm6ve2 ай бұрын
@@user-fc4vl8zi4r Waleikhum Salam nimeshukuruns kufutahi sana kwa kuniambia Yu hai Allah atujalie umri InshaAllah pamoja na Sheikh wetu,nawe pia shukran sana kwa kuchukua muda wako kinijibu,Allah akutimizie haja zako InshaAllah👍SHUKRAN!!