ASHIKILIWA KWA KUVAMIA NA KUVUNJA KANISA GEITA ASKOFU ASIMULIA KWA UCHUNGU

  Рет қаралды 53,190

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 355
@stephentossi2626
@stephentossi2626 Жыл бұрын
Tusubiri lakini majibu yatapatikana. Kama mkatoliki nimejeruhiwa sana na tukio hili
@jay-nyeye1900
@jay-nyeye1900 Жыл бұрын
Kwanni mnaabudu sanamu?
@fransiscarbrunoh6889
@fransiscarbrunoh6889 Жыл бұрын
Sshatuabudu sanamu bali tunaheshim mamlaka ya mamakanisa na pia ungekuwamtu wa Iman Yako huwez sema hivyo, heshim Iman ya mwenzio mungu ndio anayejua yup mwanakondoo wake, na yup n mfuasi wake
@jumannerajabu8259
@jumannerajabu8259 Жыл бұрын
safi sana
@josephlorri431
@josephlorri431 Жыл бұрын
@@jay-nyeye1900 achana na imani yetu...hata kama tunaabudu mawe..wakatoliki hawajushughulishi na imani zingine, jiamini kwa imani yako
@lilianchacha5576
@lilianchacha5576 Жыл бұрын
@@jay-nyeye1900 Hakuna Mkamilifu hata mmoja... na Sote tunamwamini Mungu... Hukumu ni kwa yeye aliyejuu tu na sio mwanadamu.. mimi sio Mkatoliki lakini mambo kama haya yanahatarisha Imani za watu.. Lakini Mungu ni mwaminifu.
@candidamuhanika8328
@candidamuhanika8328 Жыл бұрын
Ninajivunia kuwa mkatoliki!!!! Mungu atatetea watu wake. Mnaokerwa poleni sana. Chezea nguvu ya sala 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@abubakarmwasumilwe7070
@abubakarmwasumilwe7070 Жыл бұрын
Duh
@onesmoelias2285
@onesmoelias2285 Жыл бұрын
Sasa unajivunia nn
@rosekayanda
@rosekayanda Жыл бұрын
Acheni kuchezea Imani za watu Kwa kuandika msichokijua sisi wakatoliki hatuabudu sanamu tunaziheshimu tu. Kama hujui kitu achana na Imani za watu. Wote tutakutana kwenye kiti Cha Hukumu.
@bibliakitabukitamu6015
@bibliakitabukitamu6015 Жыл бұрын
Eti tunazieshimu tu hahahaha
@evahazole6320
@evahazole6320 Жыл бұрын
Kabisa yaan
@daniellugole-bb5yk
@daniellugole-bb5yk Жыл бұрын
@@bibliakitabukitamu6015 unajua ndugu siku zote kipofu akimwongoza kipofu mwenzoe wote wawil hutumbukia shimon.
@daniellugole-bb5yk
@daniellugole-bb5yk Жыл бұрын
Siku zote kipofu akimwongoza keep pofu mwenzoe wote wawil hutumbukia shimon et kuheshimu unaheshim Sanam utaennda jehanam wewe.
@rigwatvchannel4458
@rigwatvchannel4458 Жыл бұрын
Kuna shida mingi kanisa inaacha kushuluhisa Hadi shida hutokea.solve problems of the young people don't ignore them. Poleni sana
@magrethcostantine9223
@magrethcostantine9223 Жыл бұрын
Uwiii jamani, poleni Wana geita parokiani kwa uharifu uliofanyika ktk kanisa kuu geita, mungu awalaani waliofanya kitendo hicho, tumshukuru mungu hakujeruhi watumishi wa mungu
@bibliakitabukitamu6015
@bibliakitabukitamu6015 Жыл бұрын
mungu yupi alaani???
@alexmauruce522
@alexmauruce522 Жыл бұрын
Mungu awe upende wetu!
@anodsimbeye9093
@anodsimbeye9093 Жыл бұрын
Maandiko ya nasema waombeeni ma adui zenu Ili munapo Barikiwa wajionee . Amina.
@masamiaromana8242
@masamiaromana8242 Жыл бұрын
Tunamshukuru Mungu kwa yote yaliyotokea, na tuzidi kuomba rehema kwa Mungu wetu. Najua ndiyo mwanzo wa wokovu, na Mungu azidi kumlinda na kumponya huyo aliyefanya hiyo kufuru, tunaomba aulizwe na vyombo vya dola sisi wanakanisa katoliki tumemkosea nini, tuweze kumuomba msamaha. Na sisi pia tumsamehe.
@loveluckphilipmuro445
@loveluckphilipmuro445 Жыл бұрын
Amen. Umeongea vizuri sana sawasawa na Biblia. Kazi ya Mkristo na kumuombea rehema mkosaji. Hatuna mamlaka ya kumhukumu kwa sababu hatuna uwezo wa kuona moyo wake na kujua kulichomsukuma kujiumiza na kukufuru ukizingatia ni mtu aliyewahi kutumikia madhabahu katika utoto na ujana wake.
@hatmanjema8388
@hatmanjema8388 Жыл бұрын
@@loveluckphilipmuro445 kumbe alikuwa mkatoriki?
@marysona9999
@marysona9999 Жыл бұрын
Tumsifu Yesu Kristu Baba Askofu. Pole sana. Tunaomba katika kipindi hiki Cha Toba ya malipizi tufundishwe juu ya utakatifu wa kanisa la Mahalia, Sanamu zetu za misalaba na Bikira Maria maana kwa Sasa Kuna maswali mengi sana baada ya tukio hili.
@ikrissaidrissa8613
@ikrissaidrissa8613 Жыл бұрын
Jamani akuna mkristu anaye Habudu sanamu kinacho onekana ni kueshimu tu! Kwani hata sanduku la agano mungu aliagiza kuwekwe sanamu na watu walizieshimu so kinacho onekana Kwa wakatoliki ni kueshimu zaidi so watu wanatafsili kama kuabudu
@marianajoseph1892
@marianajoseph1892 Жыл бұрын
Mungu awapiganie katika muda huu mgumu. Mtashinda tu mungu yuko pamoja nanyi
@gs.m12
@gs.m12 Жыл бұрын
Anamjaribu Mungu! Tena kipindi cha Kwaresma!
@manmafumahafudhi35
@manmafumahafudhi35 Жыл бұрын
Mungu yupi tena
@gs.m12
@gs.m12 Жыл бұрын
Mungu wetu wa Mbinguni anamuona kwa kitendo alichokifanya cha kuharibu mali zake.
@kiakim-4407
@kiakim-4407 Жыл бұрын
​@@manmafumahafudhi35 hili swali halina nia njema. Acha hizo rafiki. 🙏🙏
@maymunamakungu6265
@maymunamakungu6265 Жыл бұрын
Nadhani huyo atakuwa ni mtu wa imani moja na nyinyi. Na kama angelikuwa Muislam basi ingekuwa kasheshe
@msechutimotheo4830
@msechutimotheo4830 Жыл бұрын
Mungu mwenye rehema tunaomba umsamehe "Kama Bwana angehesabu maovu yetu nani angesimama"
@alphoncekagezi4950
@alphoncekagezi4950 Жыл бұрын
Tukio hili la uharibifu wa Mali za kanisa ndani ya kanisa .Inawezekana swala hili linaweza kuhusishwa na Imani .Uchunguzi na mahojiano zaidi picha halisi ya kusudi la mtuhumiwa.
@fatmaismail7683
@fatmaismail7683 Жыл бұрын
Polen sana mungu asimame na nyie
@EngSALAHOT23
@EngSALAHOT23 Жыл бұрын
Poleni sana kwa tukio hilo. Ila mwandishi jaribu kutumia kiswahili fasaha Katoriki=Katoliki
@andrewemanuel2213
@andrewemanuel2213 Жыл бұрын
Mungu atamlipa tu maana miaka ya. Nyuma walivamia kanisa katoriki nyantakubwa lipo sengerema mingu aliwaazibu hao watu wakatoriki muombeeni
@jay-nyeye1900
@jay-nyeye1900 Жыл бұрын
Mungu yupo kazini mwacheni Mungu amshughulikie mungu
@eutropiaminja
@eutropiaminja Жыл бұрын
Kuna mtu anajiita jay ni yeye ndiye niliyemlenga
@jay-nyeye1900
@jay-nyeye1900 Жыл бұрын
@@eutropiaminja umemlenga kwa kipi?
@liberatusmboje8332
@liberatusmboje8332 Жыл бұрын
Hakuna haja ya kumlaani labda ndo itakuwa wokovu kwake Mungu anajua.Sanamu ni zetu tutanunua nyingine nzuri zaidi hata hakuna haja ya kutukebehi na nyie uwezo wenu wa kukariri ndo umeishia hapo Mungu awasaidie.kuhusu nia yake mwenyezi Mungu ndo mwamuzi wake,kuhusu Sheria ya nchi ameharibu Mali ya watu wengine kwa makusudi Sheria ikimkuta na kosa atajutia huko gerezani
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 Жыл бұрын
Mungu wangu vipi kuhusu mlinzi anasemaje je kulikua na mlinzi??
@mawazomyaniko-og6zp
@mawazomyaniko-og6zp Жыл бұрын
Duuuuu polenta sana ila mungu ni mwema bila shaka najua hao wote walio husika watakamatwa wote ila kwakitendo walicho kifanya mungu awasamehee japo sio lahis mungu awasamehee🙏🙏🙏🙏🙏
@kelvinmlangwa-rn6qx
@kelvinmlangwa-rn6qx Жыл бұрын
Safi sana, yaani hata mimi ningevunja, ningepiga shoka la tumbo misanamu yoote, pumbavu. Nani kawaambia kuna maji ya baraka. Uchawi tu, ng'ombe nyie.
@anjeloghuliku3485
@anjeloghuliku3485 Жыл бұрын
Duuu Mungu tusaidie wanao vitendo hivi visiendelee inanikumbusha mbali Yule Padre aliyepigwa risasi na tukio la kanisa la olasite Arusha.Tuiombee serikali yetu inayoongozwa na Mama yetu mpedwa aman iweze kutamalaki muda wote.
@joycejackson2320
@joycejackson2320 Жыл бұрын
Castrol kapinga mtu akiwa mpagani anakuhusu nini?? wewe pambana na umungu wako ili ukaingie pepon achana na mpagani ndiye anaongoza dunia we baki hivyohivyo mmejaza watoto wenu mashuleni kwa wapagani na kutibiwa hospitali zao mbona hamsemi huduma ni za wapagani???
@daniellugole-bb5yk
@daniellugole-bb5yk Жыл бұрын
Lakin haya nimaneno tu huyo mtu kweli kabisa amefanya makosa kwakwel anastail adhabu ila sio ya kibinadam Bali ya kimungu.polen sana wakatork.
@mariasixmund7964
@mariasixmund7964 Жыл бұрын
Si kila mtu aheshimu tu imani ya mwingine afu basi
@cosmasmgobafrancis
@cosmasmgobafrancis Жыл бұрын
Kuna baadhi ya watu hawaelewi mandiko vizuri, kama kuna mtu ana ushahidi wa kimandiko kuwa katoliki wana abudu sanamu au wanafanya ibada ya sanamu aweke hapa na sio kuandika tu maneno ya kukalilishwa.
@vailethmwashibanda2514
@vailethmwashibanda2514 Жыл бұрын
Kabisa
@helencyprian8745
@helencyprian8745 Жыл бұрын
Asante
@mchungajimteule8858
@mchungajimteule8858 Жыл бұрын
Kitabu cha kutoka 20:4 pia Mambo ya wakazi 26:1 na kumbukumbu la torati 4:16 pia kumbukumbu la torati 5:8 ndugu kumbuka kwamba Mungu mwenyewe anakataa kufananishwa na sanamu au kitu kingine chochote, bali saa ilishafika ambayo waabuduo halisi humwabudu Mungu katika roho na kweli, pia kwa ajili ya huyo mwalifu mimi sijui ikiwa alitumwa na Mungu au ana shida ya afya ya akili mi sijui pia
@mchungajimteule8858
@mchungajimteule8858 Жыл бұрын
Samahani kifungu cha pili hicho ni Mambo ya walawi
@cosmasmgobafrancis
@cosmasmgobafrancis Жыл бұрын
@@mchungajimteule8858 Vifungu vyote hivyo vinaonyesha miungu mingine , yaana unabudu miungu na sio Mungu sasa ukisisoma biblia vzur utakutana na miungu hii. 1.Dagon ( wamuzi 16:23 na 1Samwel 5:1-7) 2. Artemi ( Matendo 16: 23-41) 3 Ashtorethi ( 1falume 11:4-5) 4. Baali ( 2falume 18:20) Mungu alisema usiabudu miungu mingine hiyo miungu ikaja kuabudiwa na kila mungu hapo alikuwa na sanamu yake. Mfano india kuna hizi miungu na zina sanamu zao wanao angalia picha za kihindi wanaona , vishnu, ganesha, hanuman.... Mfalume Yeroboamu alitengeneza sanamu ya ng'ombe wawili ili watu waabudu, soma 1wafalume 12:25-29 SWALI KWANINI KATOLIKI KUNA SANAMU JIBU: ZINATUMIKA KAMA ISHARA, JE SANAMU INAWEZA KUTUMIKA KAMA ISHARA JIBU NDIO SOMA Kutoka 25:18-22, 26:31 Hesabu 7:89. Utaona jinsi sanamu za malaika zilivyo tengenezwa na Mungu akakaa katikati ya sanamu. JIULIZE KWANINI MUNGU ALI KAAA KATIKATI YA SANAMU. AHSANTE PIA KARIBU KWA SWALI.
@violetmlawa7490
@violetmlawa7490 Жыл бұрын
Mungu amsamehe kwani hajui alilolifanya maana amemkosea mungu mwenyewe
@josephlorri431
@josephlorri431 Жыл бұрын
Tunamwombea huyu mtu aliyefanya hayo..ukweli wake utamweka huru. Angefanya hayo kwenye zile nyumba zao mwezi mchanga..angeshaimbiwa pambio.
@mercypeter162
@mercypeter162 Жыл бұрын
Vijana wamevuka mipaka wanatafta vita na MUNGU hadi nyumba ya ibada. Hili YESU atalishugulikia mwenyewe
@catherinesawewe9674
@catherinesawewe9674 Жыл бұрын
Pole yake sisi wakatoriki hatunaga shida kumwaga ekalist chini
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 Жыл бұрын
Aliyefanya na walioshiriki chamoto watakiona adhabu yao haitofutika milele na kwaresma hii ndio kabisaaa, Mungu aturehemu 😢😢
@bibliakitabukitamu6015
@bibliakitabukitamu6015 Жыл бұрын
Kwendreni uko Kwan iyo ni dhambi pekee inafanyika kanisanii
@anodearsulusi7536
@anodearsulusi7536 Жыл бұрын
@@bibliakitabukitamu6015 hafu unajiita biblia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka Kwa sauti maana nakuona unavyopamban kushuka vifungu vya biblia na kutafuta mafao 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mungu wangu mnashindana na Dolla 🤣🤣🤣🤣🤣 Mungu weeeeeee kweli MFA maji haachi kutapatapa
@jay-nyeye1900
@jay-nyeye1900 Жыл бұрын
Sasa mnaabudu Sana zisivunjwe?
@bibliakitabukitamu6015
@bibliakitabukitamu6015 Жыл бұрын
@@anodearsulusi7536we umeona Kitika Comments zangu nataja ilo Jina ovyo limetukuka,,, Dola hata kama inakosea tusiseme????
@bibliakitabukitamu6015
@bibliakitabukitamu6015 Жыл бұрын
@@anodearsulusi7536 afu utumie misemo sehemu inayofaaa usitumie tumie tu
@josephlorri431
@josephlorri431 Жыл бұрын
Wameanza tena....kuna jambo linaandaliwa
@c.e.o_abdiroush
@c.e.o_abdiroush Жыл бұрын
Kumbe aliyefanya haya ni mkristo kwa maelezo ya kamanda na alikuwa muumin mzur toka makanisa ya bukoba kwa maelezo ya kamanda
@kiakim-4407
@kiakim-4407 Жыл бұрын
Kwa hiyo unasemaje 🙄
@stevenkisinda
@stevenkisinda Жыл бұрын
Mungu amlehemu
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 Жыл бұрын
Hadi anabomoa hakukua na mlio kuwaamsha watu au kanisa liko peke yake kabisa?? Dahh poleni sote kwakweli inauma sana
@chumizola1847
@chumizola1847 Жыл бұрын
Hallo Dada! Pole, Ujerumani kwema?
@acquelinapissa2968
@acquelinapissa2968 Жыл бұрын
Watu waliotoa maneno ya kashfa sana yesu kavunjwa mguu nae wengine ni wakristo
@roselambert6700
@roselambert6700 Жыл бұрын
Mungu atawapa haki yao wanacheza na Imani za watu🙏♥️🙏
@bibliakitabukitamu6015
@bibliakitabukitamu6015 Жыл бұрын
Za Uwongo
@anodearsulusi7536
@anodearsulusi7536 Жыл бұрын
@@bibliakitabukitamu6015 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 una bidii rafiki mbinguni mbali jamani 🤣🤣🤣🤣🤣 Yani unasoma biblia lakini huelewi unachosoma 🤣🤣🤣🤣
@ahz6907
@ahz6907 Жыл бұрын
Mwendawazimu hawezi haribu camera kupoteza ushahidi na kuvunja mfumo unaohifadhi hizo kumbukumbu
@subirajohn728
@subirajohn728 Жыл бұрын
Kweli kabisa!
@rwelamira
@rwelamira Жыл бұрын
True
@stanleymhozi7590
@stanleymhozi7590 Жыл бұрын
Sanamu zinamkera pole
@billgussy6099
@billgussy6099 Жыл бұрын
Zina mhusu nini sanam? Sanam zipo kanisani tu? Serikali haitumii sanamu? Stupid
@billgussy6099
@billgussy6099 Жыл бұрын
Wewe ndo ulimtuma? na ana bahati waumin hawakumkamata ndo angejua kwa nn mayahudi wanachukiwa
@billgussy6099
@billgussy6099 Жыл бұрын
Kanisa halina ulinz?
@saimonijonas4356
@saimonijonas4356 Жыл бұрын
Kanisa halina mlinzi?
@angelsblackboard8008
@angelsblackboard8008 Жыл бұрын
Hapo kuna mambo ma 4. Uchizi, mapepo au chuki za kidini.
@nancychuwa4870
@nancychuwa4870 Жыл бұрын
Ni chuki za kidini
@rashidhemed5331
@rashidhemed5331 Жыл бұрын
Wanadai alifata kikombe Cha dhahabu
@faniasonga643
@faniasonga643 Жыл бұрын
Hizi nisiku zamwisho yapasa kuomba sana
@joycejackson2320
@joycejackson2320 Жыл бұрын
Alimohamed kwa nini unasema atatafutwa muislamu abambikiwe kesi?? kwanini unajishuku?? au mmezoeleka na tabia hizo?? kwani muumini hawezi fanya haya?? usijihukumu kuwa katika imani yako mwamini Mungu utakuwa huru subiri matokeo !!
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 Жыл бұрын
Sad indeed but why????
@bibliakitabukitamu6015
@bibliakitabukitamu6015 Жыл бұрын
Good Kwestion
@esromkanubo815
@esromkanubo815 Жыл бұрын
Ndio police wanasema alikua amelewa uhhhh Kuna walakini?
@roseyohana6789
@roseyohana6789 Жыл бұрын
Nashindwa hata niseme nini ila Mungu atajibu haraka
@zingatiabita4426
@zingatiabita4426 Жыл бұрын
Happy kwa kutumia Elimu dunia kung'amua hili walinzi walikua wp mpaka uharibifu unakua mkubwa kias hicho,tungefungia novena walioshiriki mipango hiyo miovu,Sasa hata Parokian tuwen making zaidi
@mariamjuma4136
@mariamjuma4136 Жыл бұрын
Uyu inaonekana analifahamu Sana ilo kanisani labra Kuna kitu akiko Sawa wajichunguzi tu Nia yake ilikuwa ni kuaribu na sio kuiba Sasa kwa nini aharibu hapo ndio pakujiuriza
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Kaona awaabudu ipasavyo bhana
@mariamajilanga4897
@mariamajilanga4897 Жыл бұрын
sio kusema kitu hakiko sawa ila tu mambo ya ushirikina yamezidi. mtu anafikiri kuwa kuharibu vitu vya kanisani ni kupata utajiri kumbe ni laana
@shamzone388
@shamzone388 Жыл бұрын
Mbona unasema kavunja baadhi ya masanam Kwanini usiseme kamvunja mungu wetu
@josephkatonga5224
@josephkatonga5224 Жыл бұрын
@@shamzone388 wewe ni mpumbavu na kama hujui kitu utulie na dini yako...IMANI YA WATU WENGINE HAIKUHUSU...utaenda mbinguni kwa njia yako
@gabrielsaelie8091
@gabrielsaelie8091 Жыл бұрын
@@josephkatonga5224 hamna haja ya makasiriko kwa kuita watu wengine wapumbavu
@salimabdallah5304
@salimabdallah5304 Жыл бұрын
Tatizo nyinyi maasikofu mnaubaguzi. Nyinyi mnavaa vikofia halafu wengine hawavai.
@helencyprian8745
@helencyprian8745 Жыл бұрын
Mungu akuhurumie
@maryamos7663
@maryamos7663 Жыл бұрын
Sasa huyo kijana alitaka kofia mbona hakuna uhusiano.
@edwardkalesi3238
@edwardkalesi3238 Жыл бұрын
mwenyezi munhu amsamehe jamani na ukweli wake utamuweka huru angejitokeza tyuu aombe toba atasamehewa
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 Жыл бұрын
HUYO KIJANA MPUMBUVU SANA HAJUI KM HY NI LAANA SAANA MUNGU AMLAANI SAANA. HUYO NI MWENYEJI ANAJUA MAZINGIRA YA HAPO. HANA AKILI MUNGU AMLAANI SAANA. NA AWE NA MAISHA MAGUMU.
@reinaldagerodi1525
@reinaldagerodi1525 Жыл бұрын
Mungu atampa fungu lake
@zuenahamoud1532
@zuenahamoud1532 Жыл бұрын
Hakuna walimzi jamani
@yasintamakongoro5957
@yasintamakongoro5957 Жыл бұрын
Mungu mpe adhabu anayo stahili
@niriacatering172
@niriacatering172 Жыл бұрын
Poleni Sana wanaGeita Mungu tusaidie
@fredmramba6612
@fredmramba6612 Жыл бұрын
Hiyo anasiku nyingi za kuishi mungu atampa majibu yake
@gregorykiloma8735
@gregorykiloma8735 Жыл бұрын
Anayekataa sanamu asitumie pesa, asipige picha wala asisome maandishi!
@anethmichael9538
@anethmichael9538 Жыл бұрын
mungu amlaani sana aliefany kitendo icho
@mchungajimteule8858
@mchungajimteule8858 Жыл бұрын
Mungu ni wa Rehema wewe wasema alaaniwe huenda mwenzio aliko kashatubu na kasamehewa
@praisesteven7774
@praisesteven7774 Жыл бұрын
tena uyo kijanaaa lazima wakikrstoo ila watu wanabshaaaa a
@petermshali5157
@petermshali5157 Жыл бұрын
Kanisa halina walinzi? Duuuh... kuna kitu cha kujifunza
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 Жыл бұрын
Kanisa kubwa Kama Hilo inabid liwe na mlinzi jmn y
@babuloliondo74
@babuloliondo74 Жыл бұрын
sasa ukiriuriza sanamu arisemi nani kavunja
@bibliakitabukitamu6015
@bibliakitabukitamu6015 Жыл бұрын
Hahahaah
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Sanamu halina kitu 😃 vunja hata Ibrahim alivunjag masanamu Ili watu wamiabudi mungu wa kweli 😂 pasuwa hizo sanamu
@bibliakitabukitamu6015
@bibliakitabukitamu6015 Жыл бұрын
@@khadidjasuleiman8006 good
@helencyprian8745
@helencyprian8745 Жыл бұрын
Ubarikiwe
@yasintamakongoro5957
@yasintamakongoro5957 Жыл бұрын
Mungu akusamehe
@khadijayusuph2634
@khadijayusuph2634 Жыл бұрын
Atajuuta kmwaga sakraent
@robertphilip385
@robertphilip385 Жыл бұрын
Labda ni alkaida au Al shabab
@maidaamie648
@maidaamie648 Жыл бұрын
Usiwe ni wakuhisi au kudhani kaka sio jambo zuri pia hayo mauaji yanayotokea huko wanaua alkaida au alshabab? Geita nzima kanisa liko moja tu hao alkaida au alshabab wakavunja?
@ismailchongera9812
@ismailchongera9812 Жыл бұрын
Alkaida ni level nyngine acha wasikusikie ndugu
@nancychuwa4870
@nancychuwa4870 Жыл бұрын
​@@ismailchongera9812 Bora tu wasisikie maana ni wauaji wakubwa wale, wanabaka watoto wa kike na wanawake, utu hakuna. Wale walishajua Mungu hana maana kwao
@dismasmtui729
@dismasmtui729 Жыл бұрын
Nafikiri huyu mtu hakuwa ni mwizi, bali alikuwa na lengo la kuharibu vitu vitakatifu vya kanisa.
@moshifrank9622
@moshifrank9622 Жыл бұрын
Hataki muabudu sanamu
@nancychuwa4870
@nancychuwa4870 Жыл бұрын
​@@moshifrank9622 kuwa na chuki tu ila hutalitingisha kanisa katoliki wewe.
@maxmilianymax9566
@maxmilianymax9566 Жыл бұрын
Mungu wa rehema atawaangazia
@gilbertkalanda9354
@gilbertkalanda9354 Жыл бұрын
Masahihisho ni Katoliki sio Katoriki
@joycejackson2320
@joycejackson2320 Жыл бұрын
Jay nyeye kila mahali kuna lbada za sanamu mfano Nyota na mwezi, mafuta ya upako sijui chumvi matarasimu , matambiko vyote hivyo ni lbada za sanamu
@jay-nyeye1900
@jay-nyeye1900 Жыл бұрын
Mungu hataki hayo yote ni upuzi Sana unalilia mdoli kuvunjwa
@yohanakobero3387
@yohanakobero3387 Жыл бұрын
@@jay-nyeye1900 basi usitumie hela ndugu yangu maana hela ni sanamu.
@ishengomarugemarila908
@ishengomarugemarila908 Жыл бұрын
Jamani watu awaogopi ata nyumba yamungu
@dyalanjoseph3018
@dyalanjoseph3018 Жыл бұрын
tufunge kwa ajili yake
@Hbk206
@Hbk206 Жыл бұрын
Yesu yuko palepale
@amirishauur5795
@amirishauur5795 Жыл бұрын
aina kutubu io
@suzypaul4559
@suzypaul4559 Жыл бұрын
MUNGU awatie nguvu waumin wezangu
@joycejackson2320
@joycejackson2320 Жыл бұрын
Wee bibi acha kejeli wewe je? Wewe unaweza kuuliza Mwezi na nyota unazoziabudu??
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express Жыл бұрын
............🤔 walinzi!?
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 Жыл бұрын
Moshi wizi wa sadaka ! Geita uharibifu watu ! Hawana hofu kabisaa
@josephmusagasa5566
@josephmusagasa5566 Жыл бұрын
Kumbe amevunja sanamu pia,sanamu,sanamu,sanamu
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Amelaaniwa
@asteriashios1852
@asteriashios1852 Жыл бұрын
Hamnaga walinzi? Kwani hakujua atakamatwa? Bangi hizo alimjaribu mungu tupeni jina lake
@Kanyawela
@Kanyawela Жыл бұрын
Ta berenakuro ni nani uyo mpe pore
@carolinenjiro41
@carolinenjiro41 Жыл бұрын
Tunahitaji maombi tunakoelekea sio,
@gilbertkalanda9354
@gilbertkalanda9354 Жыл бұрын
Poleni Wana Geita
@teddypaul5927
@teddypaul5927 Жыл бұрын
Huyo kijana alaniwe kabsa milele
@bensonmasanja9862
@bensonmasanja9862 Жыл бұрын
Utamlaanije ambaye Mungu hakumlaani,Hakuna mwenye mamlaka ya kumhukumu mtu isipokuwa Mungu TU.Huyo amebeba ujumbe kutenda TUKIO Hilo,Achunguzwe atatoa taarifa SAHIHI TU
@jay-nyeye1900
@jay-nyeye1900 Жыл бұрын
Nani amlaani?
@bbss8623
@bbss8623 Жыл бұрын
Yaan mtu unaiba kanisan huyu analaana kbs na kwarezima hiiii loooo 🙄🙄🙄🙄
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Ameharibu tu hajaib
@bensonmasanja9862
@bensonmasanja9862 Жыл бұрын
Hana laana Askofu kasema kavunja Sanamu hivyo alipishwe na sheria ichukue mkondo wake
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Huyo kijana ni mgonjwa wa akili
@marrymoris1230
@marrymoris1230 Жыл бұрын
Simgonjwa huyo mgonjwa gani wa akili anaharibu kwanza kamera kupoteza ushahidi ndoaanze kufanya uharibifu
@experiuskamugisha6722
@experiuskamugisha6722 Жыл бұрын
Duh watu wanamatatizo vichwani kweli
@eutropiaminja
@eutropiaminja Жыл бұрын
Hivi watu wengine hawana akili timamu. Wewe unayesema tunaabudu sanamu inakuuma nini. Fuata maadili ya dini yako pengine na wewe ni mmojawapo.
@experiuskamugisha6722
@experiuskamugisha6722 Жыл бұрын
@@eutropiaminja Kuna sehemu umeona comment yangu ya kuabudu sanamu kweli naelewa sana maana ya vifaa vitakatifu vya madhabahuni hivyo siwezi kutoa neno baya hata kidogo
@mwanduelizabeth2282
@mwanduelizabeth2282 Жыл бұрын
Kwa kitendo cha laana hiyo aliyoifanya Altareni laana hiyo iambatane naye milele
@jay-nyeye1900
@jay-nyeye1900 Жыл бұрын
Wewe ni Nani unaye taka mtu alaniwe?
@mwanduelizabeth2282
@mwanduelizabeth2282 Жыл бұрын
@@jay-nyeye1900 we naye umetoka kuzimu ? Ninarudia kusema na alaaniwe tena na tena au ndio mmeshirikiana wewe na yy kuharibu vitu vya kanisani? Na Kama umeshirikiana naye ninasema mlaaniwe nyote.
@jay-nyeye1900
@jay-nyeye1900 Жыл бұрын
@@mwanduelizabeth2282 unafikiri laana inatoka kipuzi Kama unavyofikiri?
@mwanduelizabeth2282
@mwanduelizabeth2282 Жыл бұрын
@@jay-nyeye1900 utajijua Wala usinisumbue kipi kinachokutesa kwenye moyo wako kutetea mharifu naona umeumia Sana mm kusema alaaniwe uuuwi makubwa! Nahisi na wewe unakazi Kama ya huyo aliyeharibu kanisani maana si kwa kuumia huko mfyuuu!
@gabrielsaelie8091
@gabrielsaelie8091 Жыл бұрын
@@mwanduelizabeth2282 hamna haja ya makasiriko na kumtakia laana mkosaji. SiSI wakiristo tunaambiwa HUKUMU NI YA MINGU.
@bibliakitabukitamu6015
@bibliakitabukitamu6015 Жыл бұрын
JAMAA YUPO SAHIHI NI BAADA YA KUFAAM UKWELI AKOANA WANACHEZEWA SHERE KWAIYO HANA DHAMBI KWA MUJIBU WA BIBLIA... 🙏 🙏 🙏 KIJANA NI JASIRI WA MBINGUNI HAKIKA KAMA HAMNA NIA OVU YOYOTE NDANI YAKE
@cosmasmgobafrancis
@cosmasmgobafrancis Жыл бұрын
Nakushauri tu ubadilishe hata hilo jina ulilo weka kwa sababu mandiko bado huya fahamu
@maryngoboko5111
@maryngoboko5111 Жыл бұрын
Kama aliona anachezewa shere, kwanini asiache kusali mpaka afanye uharibifu? Mbona wengi wamehama? Kwani alilazimishwa kubaki? Tena afungwe sawa sawa
@veronicaalfred235
@veronicaalfred235 Жыл бұрын
Biblia kitabu kitam; mimi naona hauko sawa na MWENYEZ MUNGU, wala hauna Imani ya UFALME wa MBINGUNI, nasema hivi kwa sababu gani, Mtu alie wa Mwenyezi Mungu na mwenye Imani thabiti, amemuomba Baba wa Mbinguni kwa roho na kweli hawezi kuongea upuuz kama unapoongea wewe juu ya kanisa hili la Rc, Yaan ndani yako hauna MUNGU, na wala wewe siyo mtu wa maombi ungekuwa wa maombi Mungu angekimbia ukweli juu ya kanisa kathoric, Yaan ndani yako ibiris amekujaza chuki juu ya kanisa kathoric, hauna mda wa kujibembeleza kwa BABA wa MBINGUNI ila mda wako unatumia kuifikiria kanisa la Rc, ndugu nakusih ishughulikie na mambo ya mbinguni acha kushughulikia makanisa yasiyokuhusu, utajikita unaenda kuzimu halafu uliemdhihak anaenda Mbinguni, Halafu pia hapo ulipo unajidhihirisha mwenyewe inalitumia jina la BIBLIA KITABU KITAMU ila hulitendei haki kulingana na matendo yako inamchukua sana YESU kwa mwenendo wako huo, unakifanya unabeba BIBLIA ila Imani na matendo viko mbali na wewe, hapo wajisumbua bure mbele ya MUNGU, Mwisho kanisa halitakufikisha kwenye UFALME wa MUNGU bali Ulimi wako, Imani na matendo, kwa hiyo kifupi mimi nitaendelea kua mkathoric, acha kuhangaika na kujisumbua kwa madhehebu ya wenzako maadamu nasi tunamuomba BABA wa MBINGUNI alie hai nahisi umeelewa, Nakuombea kwa MUNGU akuondolee Roho chafu akuwekee roho safi kwa JINA LA YESU.
@itzemma243
@itzemma243 Жыл бұрын
Ww bado unaonekana hta biblia huijui na ujaisoma ukaielewa. Kama ujui kitu nyamazaaaaaa
@catherinesawewe9674
@catherinesawewe9674 Жыл бұрын
Kwa hiyo wewe ndo upo sahihi?
@bethwallace-ly8oo
@bethwallace-ly8oo Жыл бұрын
Bila shaka ni wale wanaotaka nchi hii iwe na dini Moja kama walivyofanya ktk badhii ya nchi
@hajiramadhanihaji355
@hajiramadhanihaji355 Жыл бұрын
Kweli Kama ilivyo uingereza na marekani.
@agnerapius7244
@agnerapius7244 Жыл бұрын
Geita iombewe jamani na njombe
@jofreymsigwa85
@jofreymsigwa85 Жыл бұрын
Kweli mpendwa maombi yafanyike kwa nguvu hiyo milos😏
@magecharles-ys9os
@magecharles-ys9os Жыл бұрын
Mungu atafanya miujiza yake tutajua Nia yake nin Wala tusmuhukumu Kwa sasa
@roseafrael75
@roseafrael75 Жыл бұрын
Duu mpaka makanisani jamani 😥
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 Жыл бұрын
Zaidi ni mwenyeji humo ndani lzm
@maidaamie648
@maidaamie648 Жыл бұрын
Lipo neno tu na kama angekua mgeni angenaswa na kamera lakini kwakua mazingira anayajua ndio maana katekeleza kaz yake
@hafidhali3020
@hafidhali3020 Жыл бұрын
Samehe 7×70 huu ndio usia wa Yesu kristo mwana wa nazareti
@paulajohn7901
@paulajohn7901 Жыл бұрын
😢
@faniasonga643
@faniasonga643 Жыл бұрын
Hizi nisiku zamwisho yapasa kuomba sana
@theafricaiknow6615
@theafricaiknow6615 Жыл бұрын
Kanisa litamsamehe ila sheria za nchi zitamshughulikia
@bwankuumrope8478
@bwankuumrope8478 Жыл бұрын
Dhahiri kanisa litamsamehe kwani ndiyo moja ya kaulimbiu zake lakini vyombo vya ulinzi na usalama vitaendelea kutimiza majukumu yake.
@wakatv3704
@wakatv3704 Жыл бұрын
askofu mtu huyo akitokea kukuomba msamaha mahakaman je, uta msamehe? Maana kila siku mwatufundisha tusamehe mara saba sabini. Hata kama mtu ame kuulia mamaako msamehe2.
@Fm-MornStar2014
@Fm-MornStar2014 Жыл бұрын
Kusamehewa ni lazima kwa Wakristo, hata sasa hivi tayari ameshasamehewa, ila sasa hawezi kuachiwa maana huwezi jua ajenda yake na pengine kuna wenzake. Kifungo na sheria ya nchi inabaki palepale kwa ajili ya Usalama wa jamii kwa ujumla.
@wakatv3704
@wakatv3704 Жыл бұрын
@@Fm-MornStar2014 uki mkabidhi kwa jeshi la police huja msamehe utakuwa mnafki
@Fm-MornStar2014
@Fm-MornStar2014 Жыл бұрын
@@wakatv3704 soma Komenti yangu vzr. Kanisa limemsamehe, je serikali itamuachia ili aendelee kukosesha jamii amani na utulivu? Utajuaje atakachokifanya akiachiwa?
@wakatv3704
@wakatv3704 Жыл бұрын
@@Fm-MornStar2014 imani ilikua zaman sio sasa wote wa huni ndugu.
@Fm-MornStar2014
@Fm-MornStar2014 Жыл бұрын
@@wakatv3704 amesamehewa sasa, kwa hiyo aachiwe hata akiamua kuchoma makanisa yote Geita achome sio?
@mwitajoseph8315
@mwitajoseph8315 Жыл бұрын
Poleni sana
@mazagazagaonlinetv9775
@mazagazagaonlinetv9775 Жыл бұрын
Kanisa Alina ulinzi
@dastankapinga2114
@dastankapinga2114 Жыл бұрын
Tumsamehe hajui litendalo
@chalresykedimon2254
@chalresykedimon2254 Жыл бұрын
Abuu wew ni chizi kwa maana huwezi kejeli din ya mwenzio kwan wew umauti ukikta una kwenda wap sote tuwasafili twaenda mbinguni na gari yetu ni kifo
@chuchumeta8374
@chuchumeta8374 Жыл бұрын
Wachukuzi sample ya damu iliyovuja kwa ajili ya DNA.ushahidi tosha
@piussimtala5111
@piussimtala5111 Жыл бұрын
Hakukuwa na ulinzi?
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 24 МЛН
ТЫ С ДРУГОМ В ДЕТСТВЕ😂#shorts
01:00
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 6 МЛН
ASKOFU KASSALA AELEZA UVAMIZI NA  UHARIBIFU MKUBWA KANISA KUU JIMBO KATOLIKI GEITA
1:24
KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Рет қаралды 4,8 М.
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 24 МЛН