No video

Askari wa magereza aachishwa kazi baada ya kuandamana

  Рет қаралды 47,599

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

Күн бұрын

Afisa wa magereza aliyenaswa akishiriki maandamano dhidi ya serikali amesimamishwa kazi kwa muda usiojulikana. Kwenye barua aliyooandikiwa na gereza la kamiti jackson kuria kihara, anasemekana kukosa adhabu na kuenda kinyume na kanuni za idara ya magereza.

Пікірлер: 151
@mohamedadan4327
@mohamedadan4327 Ай бұрын
Fungua pay bill number Good work
@drdee2012
@drdee2012 Ай бұрын
You, sir, are our hero. You should never support an oppressive government just because you work for it. Ukisoma hizi messages, tuma email tuku support hadi uwai job ingine.
@abubakarelkano6977
@abubakarelkano6977 Ай бұрын
Sasa muoteni huyo hero mumulishe.
@Kibiro-tt6ch
@Kibiro-tt6ch Ай бұрын
@@abubakarelkano6977 una like ata moja una point ata moja
@aheudit
@aheudit Ай бұрын
That's one courageous person
@evansqwetu
@evansqwetu Ай бұрын
He is also fighting for better working conditions for his colleagues and his boses. But fools can't reason. Pathetic
@bonifacewasonga8295
@bonifacewasonga8295 Ай бұрын
History will be kind to this young man ❤❤❤❤
@fredydzombo8796
@fredydzombo8796 Ай бұрын
He's one of the Genz, big up man
@michaelkamauirungu2460
@michaelkamauirungu2460 Ай бұрын
kuria this is the beggining of your success wait and see trust me
@sandejzack
@sandejzack Ай бұрын
he is on the right side of history, VIVA
@everlyneiminza5722
@everlyneiminza5722 Ай бұрын
Mungu atakusimamia young man alie ndani yako ni mkuu kuliko Hao waliekusimamisha kazi Mungu atakufungulia mlango
@MohamedNoormohamed-lc4rg
@MohamedNoormohamed-lc4rg Ай бұрын
Send us his pay pill no so that we will help him if it's needed coz he is a hero he deserve dignity thumbs up
@phoebetaylor7911
@phoebetaylor7911 Ай бұрын
He is a hero, and He will get another better job soon.
@jameskanumi8600
@jameskanumi8600 Ай бұрын
He is a patriotic Kenyan who is fighting for the right of other police officers.
@drdee2012
@drdee2012 Ай бұрын
MP's should learn from this man. Stand up for what is right, not for government.
@kenyansimpo7356
@kenyansimpo7356 Ай бұрын
💯💯💯
@jaysmart3277
@jaysmart3277 Ай бұрын
Exactly
@styvoll2004
@styvoll2004 Ай бұрын
"Tax tunalipa analipa nayo ndege aende achukue loan tulipe"
@olivermuthoka5587
@olivermuthoka5587 Ай бұрын
Kali hio
@Dunyawalakhira-m6w
@Dunyawalakhira-m6w Ай бұрын
We will contribute money for him... GEN Z power ✊🏾✊🏾✊🏾
@cliffonchiri8071
@cliffonchiri8071 Ай бұрын
Kabisa
@daniells71
@daniells71 Ай бұрын
You sir, your light is just begining to shine and it will shine bright! Fear keeps many behind. At least we know that is one thing that will not hold you back. Utakumbukwa!
@kimwacilia8007
@kimwacilia8007 Ай бұрын
He is Hero in his country 👏 he right to demonstrate like any other citizen shamon to Government
@benardoenga2876
@benardoenga2876 Ай бұрын
Congratulations bro Ur my hero
@lexitunes2911
@lexitunes2911 Ай бұрын
Namba yake ya simu achangishiwe kakitu agisaidie cause he deserves more than all those corruption pathetic policemen
@neurofan6815
@neurofan6815 Ай бұрын
Thank you Kuria!! Kila nikipitia nyumba za polisi mimi huwaonea huruma sana, they live like paupers..its sad ukiwapigania haki zao wanakusaliti kama Yesu😢
@ranjusranjus143
@ranjusranjus143 Ай бұрын
This was very naive, very unwise on his part.
@Mr_Snell-fm7dx
@Mr_Snell-fm7dx Ай бұрын
Usijali, bro, Ruto ataenda nyumbani na utarudishwa kazi.
@nattynesh1420
@nattynesh1420 Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@user-ch9ei7hp4c
@user-ch9ei7hp4c Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@obbiemikeke8763
@obbiemikeke8763 Ай бұрын
Kabisa hata niaeza kumuweka kwa salary
@joycewangui9780
@joycewangui9780 Ай бұрын
Mungu atulindie huyu mtoto. Lord have mercy on him and protect him coz we dont know the next evil plan against him.
@shemkimulu1152
@shemkimulu1152 Ай бұрын
We need such braveness
@ViceAdmiralVasilyArkhipov
@ViceAdmiralVasilyArkhipov Ай бұрын
History will be kind to him hafai kutense
@24.179
@24.179 Ай бұрын
He's the first government employee to confront poor governance. I hope his area people have seen to ensure he leads those good for nothing bosses when 2027 comes.
@eriminahmshai
@eriminahmshai Ай бұрын
Una haki kaka kenya niyetu
@user-rf7wx7og6t
@user-rf7wx7og6t Ай бұрын
😂❤👏👏😅😅yeye pia ni binandam
@sjsm8578
@sjsm8578 Ай бұрын
Apewe kazi ama afungue paybill tumuinue
@MohamedNoormohamed-lc4rg
@MohamedNoormohamed-lc4rg Ай бұрын
Let's appoint kuria as Geenz leader although we don't have leader
@user-cs5bs8xd8r
@user-cs5bs8xd8r Ай бұрын
Hiyo kazi hata si yake. God has got other plans
@captainbadawy9768
@captainbadawy9768 Ай бұрын
Sisi kama gen Z tumtetee...lazima arudishwe kazi ..mbona afutwe for speaking his mind? Halafu eti Ruto anataka dialogue?
@benondieki9922
@benondieki9922 Ай бұрын
Justice for him
@AlphonceMomanyi
@AlphonceMomanyi Ай бұрын
Better to fight your freedom than being mailed on a side cafe congratulations man God is there indeed
@user-uz2hq3pp3f
@user-uz2hq3pp3f Ай бұрын
Wanamlipa nini 27 k.. Kuria ur job is in hand and mind..
@theophiluskyalo9907
@theophiluskyalo9907 Ай бұрын
This is the New beginning of This man
@eddyedduu6912
@eddyedduu6912 Ай бұрын
Leteni pay bill yake
@stepentush6016
@stepentush6016 Ай бұрын
We need people like this guy in elective positions
@MuneneMwangi-yl8ug
@MuneneMwangi-yl8ug Ай бұрын
He will get a better Job.Just wait and see na he will be way ahead of these poorly paid officers He is a great hero for sure..
@purityfrancis813
@purityfrancis813 Ай бұрын
Lawyers come over to this young man's case.
@ngurenjoki9796
@ngurenjoki9796 Ай бұрын
This a hero tu us many of mpigs cant do our hero kuria tuko na wewe
@husseinhalake4251
@husseinhalake4251 Ай бұрын
Mp am MCA we give u direct ticket has genz
@stanleykimani7328
@stanleykimani7328 Ай бұрын
You are my hero bro!!viva!
@samsonmuisyo6990
@samsonmuisyo6990 Ай бұрын
Ruto must go.. Kudo
@drdee2012
@drdee2012 Ай бұрын
Yes! Ruto MUST still go!
@user-ch9ei7hp4c
@user-ch9ei7hp4c Ай бұрын
Kwa mama yako ama?
@GideonMutuku-lm6qf
@GideonMutuku-lm6qf Ай бұрын
usijali bro
@ahmedbadi5822
@ahmedbadi5822 Ай бұрын
Eric Omondi Sisi kwa Sisi should help him start new life
@amaru2387
@amaru2387 Ай бұрын
A true soldier big up
@wawerugathungu1117
@wawerugathungu1117 Ай бұрын
I think he’d already given up on employment and was ready to be sacked. He’d resigned to fate and had nothing to loose.
@aliceamanya6457
@aliceamanya6457 Ай бұрын
It's ok it shall be well Young man kudos
@TopgangCulture
@TopgangCulture Ай бұрын
Kama Rai aneza wnda kinyume na kanuni za sheria za kenya and he's free😢
@mayiramark5154
@mayiramark5154 Ай бұрын
Kenya needs such courageous people
@ghostmulee9821
@ghostmulee9821 Ай бұрын
Hii ni pesa labour courts tafuta lawyer
@RosieNgina
@RosieNgina Ай бұрын
Huyo najua alikuwa amechoka na hio kazi sasa ndio amefurahia.Hio kazi ni mingi na mshahara hakuna
@fredrickochola77
@fredrickochola77 Ай бұрын
Thanks to Mr. Kuria kimani .. your future is brighter..Kenya needs more of you and me
@adonai7187
@adonai7187 Ай бұрын
He MUST be reinstated!!!!!
@PeterMuigai-hr6iu
@PeterMuigai-hr6iu Ай бұрын
He is a hero
@douglaskiptuit5030
@douglaskiptuit5030 Ай бұрын
After sending 41 Genz to HEAVEN ❌❌❌RIP
@michaelkamauirungu2460
@michaelkamauirungu2460 Ай бұрын
your are our hero tuma pay bill naba
@yegonhillary3267
@yegonhillary3267 Ай бұрын
Kwani alichizi
@mathiaslelesit7501
@mathiaslelesit7501 Ай бұрын
This guy spoke for many
@savannacollection5205
@savannacollection5205 Ай бұрын
freedom of speech he has the right shida ya hii serekali hawataki ukweli
@kivuvapatrick1461
@kivuvapatrick1461 Ай бұрын
Hata tukiambiwa tuhame Mimi nitarudi tu kenya😂
@jackromanondungu7037
@jackromanondungu7037 Ай бұрын
Guy is my friend on Facebook and follower on TikTok I saw all that in his accounts 🇰🇪💪
@mosesotieno18
@mosesotieno18 Ай бұрын
He has the right express himself why not and he's a Kenyan
@JoiceAkula-ym4uv
@JoiceAkula-ym4uv Ай бұрын
Ukweli unauma pia Boss wako ata fuata koome
@abdulali753
@abdulali753 Ай бұрын
Apewe kazi ya CS bana 😂😂😂😂😂
@susannyambura3759
@susannyambura3759 Ай бұрын
Bora usiuliwe shujaaa kamili
@nairobinightlifetv6560
@nairobinightlifetv6560 Ай бұрын
Asipatikane quarry 😢
@ngurukitv4584
@ngurukitv4584 Ай бұрын
Good job ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-dy1qj3rt9v
@user-dy1qj3rt9v Ай бұрын
Pay bill tutakuchangia😅
@abubakarelkano6977
@abubakarelkano6977 Ай бұрын
Sasa wacha gen z wamlishe. Atajua hii maisha unajitetea peke yako. Sahi hakuna mtu atasimama na yy. Wacha sasa aandamane kabisa atalipwa. Atakula maandamano. Mwiba wa kujidunga hauna pole. Mtoto akililia wembe mpe.
@miriamwanyonyi7852
@miriamwanyonyi7852 Ай бұрын
This is unfair why government of Kenya is doing wrong to its people
@musyokatimothy5381
@musyokatimothy5381 Ай бұрын
Iyo mshahara ya 32k bila loan, is nonsense!!
@shabankolia8204
@shabankolia8204 Ай бұрын
Sasa hiyo ni kazi pia haina shida bro come huku njee we hustle than kushinda place hutasaidika😂😂
@johnndungu8764
@johnndungu8764 Ай бұрын
It's not a must you work as a police resign, give us your number to support you open a business
@dominicmoboko1539
@dominicmoboko1539 Ай бұрын
Gen z take action nduku yetu arudi job yake
@nathanmurithi01
@nathanmurithi01 Ай бұрын
A Hero In My Book
@DerrickMuse
@DerrickMuse Ай бұрын
You're are our son
@furahakuria4353
@furahakuria4353 Ай бұрын
Ruto must go
@franciskimani9950
@franciskimani9950 Ай бұрын
Elfu 30 monthly ni kitu ya kufuta mtu kazi
@dandaggy066
@dandaggy066 Ай бұрын
Aee he is our hero
@zakayomwamba7475
@zakayomwamba7475 Ай бұрын
I hope the rogue govt operatives won't eliminate him.Kenyans should keep watch over him.
@raismtukufu9926
@raismtukufu9926 Ай бұрын
Wacheni uongo hakuna nusu mshahara atapata mnapaka hii gava mafuta sana. Ama pia nyinyi tuwasalimie?
@lilianmoga6466
@lilianmoga6466 Ай бұрын
Tulijua tu this was going to happen
@Wekeaudi-hc3cp
@Wekeaudi-hc3cp Ай бұрын
His freedom is now doubled
@nattynesh1420
@nattynesh1420 Ай бұрын
na imeenda
@kennethobizi2998
@kennethobizi2998 Ай бұрын
kitu ali fanya ni bora lakini kwa wale ako nao ndio shida kaa inje rais mpia ata kuru dissha kazi wacha miko kwa mfano ndani ya police iko mikora nyingi
@evansouma4333
@evansouma4333 Ай бұрын
Which language is this?
@isaacmuiruri6334
@isaacmuiruri6334 Ай бұрын
He was right.
@user-ch9ei7hp4c
@user-ch9ei7hp4c Ай бұрын
Took oath to work for the Gv of Kenya then with uniform went maandamano,hawa ni wale wakununua kazi maskini wanabaki home na ujuzi bure kabisa.
@jeffkimani4154
@jeffkimani4154 Ай бұрын
Oath ya Kumurder watoto?
@bernardowino8091
@bernardowino8091 Ай бұрын
Kuria usijali wewe ndo utakua mdosi wao wacha wacha tuanguke nao next week
@stanleykimani7328
@stanleykimani7328 Ай бұрын
Believe you me,millions and millions of other government employees are directly or indirectly in support of the struggle.
@Janeomambia2
@Janeomambia2 Ай бұрын
Of course. Kwanza wanajeshi wengi hawampendi hii serikali
@johnonyango6069
@johnonyango6069 Ай бұрын
We can do a go fund me for him ajismamie in life
@alicenalulwe84
@alicenalulwe84 Ай бұрын
Na alikuwa anawatetea
@blessedknjugush1983
@blessedknjugush1983 Ай бұрын
ako kazi,analipwa mshahara nusu...nugu nyinyi... indicted hadi kesi iishe
@msa3957
@msa3957 Ай бұрын
😢😢😢 sasa kazi gani and they are suffering like idiots. Overworked, neglected by successive regimes, poorly renumerated while working like a prisoner. Nkt. You will find something better to do with your young life Mark these words
@johnonyango6069
@johnonyango6069 Ай бұрын
Amen
@MosiaraCamillus
@MosiaraCamillus Ай бұрын
𝗛𝘂𝘆𝘂 𝗮𝗹𝗶𝗲𝗻𝗱𝗮 𝘁𝗿𝗮𝗶𝗻𝗶𝗻𝗴 𝘄𝗮𝗽𝗶
@user-ch9ei7hp4c
@user-ch9ei7hp4c Ай бұрын
Alinunua job i think
@omagwaeric8452
@omagwaeric8452 Ай бұрын
Fungua pay bill
@ToxicAfricanKing
@ToxicAfricanKing Ай бұрын
There are many others like Jackson.
@ViceAdmiralVasilyArkhipov
@ViceAdmiralVasilyArkhipov Ай бұрын
Ati nusu mshahara while the big fish wanakula billions Ruto is evil 💀💀
@user-td3oo1ye9n
@user-td3oo1ye9n Ай бұрын
Enda nyumbani....u forgot where you are is a discipline force?????
@elkananaibei992
@elkananaibei992 Ай бұрын
Kwani ata how much is he paid?
CITIZEN NIPASHE, 27th 2024
23:20
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 13 М.
а ты любишь париться?
00:41
KATYA KLON LIFE
Рет қаралды 3,5 МЛН
The Giant sleep in the town 👹🛏️🏡
00:24
Construction Site
Рет қаралды 20 МЛН
这三姐弟太会藏了!#小丑#天使#路飞#家庭#搞笑
00:24
家庭搞笑日记
Рет қаралды 56 МЛН
SPONGEBOB POWER-UPS IN BRAWL STARS!!!
08:35
Brawl Stars
Рет қаралды 18 МЛН
Money lending scheme cons hundreds of Kenyans
4:30
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 2,8 М.
Chinese sniper vs. American sniper during the Korean War (1952)
50:39
Men Will Be Men | Imperial Blue Music CD | Ads Collection
6:04
Ads Forum
Рет қаралды 2,1 МЛН
Imebainika kuwa Samuel Mutisya mkazi wa Kibra alipigwa risasi
5:29
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 31 М.
Mgomo wa walimu wa sekondari na vyuo vya kadri waanza rasmi
6:47
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 23 М.
а ты любишь париться?
00:41
KATYA KLON LIFE
Рет қаралды 3,5 МЛН