Askofu Mokiwa afafanua mgogoro unaoendelea kwenye kanisa la Anglikana

  Рет қаралды 67,726

Millard Ayo

Millard Ayo

7 жыл бұрын

Baada ya Askofu mkuu wa kanisa la Anglikana, Jacob Chimeledya kumtaka Askofu mkuu Dayosisi ya DSM, Valentino Mokiwa ajiuzulu kwa kile kilichodaiwa kuwa anatumia madaraka yake vibaya na ubadhirifu wa fedha. Leo January 10 2017 Askofu Mokiwa ametoa ufafanuzi

Пікірлер: 49
@KADALAtv255
@KADALAtv255 6 жыл бұрын
Siuoni utukufu wala upako katika uso wa askofu mkuu yaani unaona kabisa kwamba hakuna Mungu katika yeye. Inatia aibu mno. Mimi ni Mkatoliki sijawzhi ona vituko kama hivyo. Inaniuma kwa sababu ni kumuaibisha KRISTO YESU. aisee Mungu yupo. Pumzika Mokiwa remee that WHAT GOES AROUND COMES AROUND.
@edsoneliah2802
@edsoneliah2802 Жыл бұрын
Kwanini mambo ya kanisani yaongelewe kwenye vyombo vya habari?? Haya ni mambo ya kiroho, yanamalizwa kiroho
@mashakadeya5347
@mashakadeya5347 7 жыл бұрын
inauma sana Mungu awe nawe
@macharosandra9467
@macharosandra9467 2 жыл бұрын
Viongoz wetu wa Dini mnatuaibisha, mnamuaibisha kristo Yesu,
@stevenhinjo9664
@stevenhinjo9664 6 жыл бұрын
duuh hadi maaskari kwani we jambazi hakika inatia aibu sana pole sana askofu
@amosmchiwa3762
@amosmchiwa3762 7 жыл бұрын
Mungu anakuona ukweli unao mwenyewe
@yusuphjkitiku5232
@yusuphjkitiku5232 Жыл бұрын
Swali kwamba huduma za kiimani inatoka Kwa Mungu au mwanadamu au chuo tunatakiwa kujifunza apo tuelewe ili mgogoro uishe
@marcodominico9503
@marcodominico9503 6 жыл бұрын
Kukosa " infallibility " ndo kunawaletea matatizo haya yote.
@mdindaoscar948
@mdindaoscar948 7 жыл бұрын
Mungu uko pamoja nanyi...
@mbokaandbahatitv8509
@mbokaandbahatitv8509 7 жыл бұрын
Ahsante sana Ayo TV nakwakubali
@KADALAtv255
@KADALAtv255 6 жыл бұрын
Aibu mno
@yusuphjkitiku5232
@yusuphjkitiku5232 Жыл бұрын
Tujifunze habari za Yona tutaona kwamba usifanye kitu ambacho Mungu hajakuagiza ndio maana tunateseka ktk huduma ,tumeagizwa ktk maarfa na hekima na sio kusoma tu
@ERICKPM2000
@ERICKPM2000 7 жыл бұрын
Inasikitisha sana mambo haya kutokea kanisani. of all places!? God help us
@cmsa1r
@cmsa1r 7 жыл бұрын
Hizi imani jamani. Mnazika makanisani?
@margaretnamubi4565
@margaretnamubi4565 2 жыл бұрын
Mimi ni angilikana..lkn hii sijaona.. imeharibu hekalu la mungu..tubuni
@jeanmusamba3253
@jeanmusamba3253 Жыл бұрын
Chimeledya hakuwa na busara hata kama alitumwa na dola alipaswa liunganisha kanisa sio kuligawa,na kumpa ibilisi nafasi
@reginaldmapunda6702
@reginaldmapunda6702 6 жыл бұрын
Katika makanisa yetu bado tuna kazi kubwa na Mimi nashangaa nyie maaskofu mnapata muda wapi wa kuhangaika na vibanzi vya Serikali Wakati maboriti yenu mnayapa migongo. Mungu hapendi unafiki.
@annacarlos7925
@annacarlos7925 7 жыл бұрын
viongozi tudumishe upendo
@aulamongi2020
@aulamongi2020 2 жыл бұрын
Watakao Umia ni Waumini
@madingemadingemadinge5304
@madingemadingemadinge5304 2 жыл бұрын
Soma biblia nayo itakuonesha mahali salama ambapo ni sabato ya bwana mungu wako
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 10 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 10 МЛН
IQ Level: 10000
00:10
Younes Zarou
Рет қаралды 11 МЛН
WAUMINI WA KANISA LA MKUNAZINI WAANDAMANA KUMKATAA ASKOFU
9:30
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 27 М.
Historia ya Kanisa la Anglican Mkunazini
8:37
Tabasamu Media Ink
Рет қаралды 1,5 М.
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 10 МЛН