Рет қаралды 113
Mfuko wa Uhifadhi wa Wanyamapori Afrika(AWF)Katika kuiunga Mkono Serikali kuzalisha Mazao ya Kimkakati imekabidhi Vifaa vyenye Thamani ya Tsh.Mil 62 Wilayani Kilosa na Kilombero vitakavyosaidia kuanzisha Vitalu vya Miche ya Parachichi,Kokoa.
Mchumi Kilimo kutoka AWF Alexander Mpwaga akizungumza Mara baada ya Kukabidhi Vifaa hivyo June 4 2024 Katika Kata ya Vidunda Wilayani Kilosa amesema Lengo ni kuona Uendelevu wa shughuli za Kiuchumi na Mazingira yakihifadhiwa(@Katalina691