Maombi yangu nipate bibi kutoka nyarugusu in Jesus name.am from kenya. Your work is recommendable ❤❤❤❤❤❤🎉
@QWARIDAMassay15 күн бұрын
Daaaah ay na mwalimu wenu Mungu amewapa kitu barikiweni sana
@lotusnation36943 ай бұрын
Kuna sauti nikiisikia nabarikiwa natabasamu... Kuna nyuso nikiziona nafurahi moyoni .. Mungu awabariki sana AY Nyarugusu na kanisa kwa ujumla... ❤❤❤
@nyarugusuaychoir16653 ай бұрын
Barikiwa pia
@user-eb9fi2nw4r3 күн бұрын
Mungu awabariki mno. Yani uimbaji wenu mnakuwa silias na kuuvaa wimbo hakika nyimbo zenu zanibarki mno
@hildaaboki85523 ай бұрын
My all time favorite choir,,i love listening to your songs.Be blessed abundatly 🙏
@user-ly1ce6xb5b3 ай бұрын
Mungu awabariki sana nyarugusu huo wimbo wa pili ni mzuri mno mwalimu enock mungu akubariki tukuone tena kwenye videous mpya za nyarugusu
@nyarugusuaychoir16653 ай бұрын
Barikiwa sana
@SamwelBred2 ай бұрын
Nyimbo Zote Nzuri Sio huo wa pili2
@VioletAdhiambo-sn9moАй бұрын
🎉 @@SamwelBred
@user-yu9dc6cj4c2 ай бұрын
Nawapenda saana mnavoimba wala akuna anayesuka Mungu azidi kuwatangulia msiwe na kiburi cha uhimbaji bali wimbaji huu muuwekeze Mbinguni amen Mungu atubariki sote ni raha saana kua mwaadventist msabato ❤❤
@wicarmediastudios98743 ай бұрын
Nawapenda saana vijana wa Nyarugusu, nyimbo zenu zanifuta nkaribu na mwokozi, nawapenda sana, neema ya Mungu iwatoshe.
@nyarugusuaychoir16653 ай бұрын
Ahsante sana
@neemaipokela6347Ай бұрын
That's Ay Nyaruguru, God bless you my dears❤
@gracekiyuka93802 ай бұрын
Amen. May the Almighty King of glory keep you in faith in His vineyard to walk in truth and in spirit as you minister
@evarist21123 ай бұрын
Hii kwayaaa tuitumie siku ya kupaaa kwenda Mbinguni
@nyarugusuaychoir16653 ай бұрын
😂😂😂 Bwana utanisaidia tuingie mbinguni
@yohanavicent88093 ай бұрын
😂😂😂
@yohanavicent88093 ай бұрын
Mungu awabariki sana Nyarugusu kwa huduma hii njema
@user-ki9jq6ew8z2 ай бұрын
Kwakweli hii inamtukuza Mungu
@user-ih3zj8ci5m2 ай бұрын
Mungu awabariki kwa kujitolea kumtumika
@mosestumaini8022Ай бұрын
Wao,Mungu awabariki sana,nawapongeza Sana kutunga nyimbo kwa kulingana na Biblia ujumbe unagusa maisha .Nawaombea Sana,na Mwl Enock Mungu aendelee kukutumia
@izzylyrics2240Ай бұрын
Mungu awabariki kazi mnayofanya imetukuka sana
@neemaisaac83562 ай бұрын
Na wapenda sana sana mbarikiwe mpo poa kabisa hakuna kusuka poa sana Mungu awe nanyi ameen
@ZawadiGasana3 ай бұрын
Woa hongera sana my lovely choir ay nyarugusu musongembele na mungu wetu awabariki.
@nyarugusuaychoir16653 ай бұрын
Ahsante
@user-kj5ns2km7k2 ай бұрын
Kwaya nzuri na mchungaji pia mzur mtafka mbal sana Mungu awatetee
@SamwelMarijaniАй бұрын
Barikiwa sana ,Niko narok Kenya.
@christinelokaji664Ай бұрын
Kuwekeza mradi wa mbinguni ni faida kubwa sanaaa.... Asanteni sana nimebarikiwa. Mungu awabariki sana mfike mbali zaidi na zaidi lakini msipotee
@xuismgonda42122 ай бұрын
Tuekeeni hizi nyimbo moja moja zinatubariki sana 🙏 Nimefurahi kumuona mwalim Enock
@FloribertBarutwanayo-rw1fi2 ай бұрын
Kwetu Burundi,Nyarugusu choir tunawapenda sana,
@periswamuhuАй бұрын
Amen amen nabarikiwa Sana zinatia moyo
@vedastuspaschal24382 ай бұрын
Mungu awabariki na kuwazidishia ktk kila jema mtalotenda.
@antipusopudo7912 ай бұрын
As a fellow artist I'm grateful and blessed ❤
@unclejonah73502 ай бұрын
Mlikawia sana i have been waiting for you guys ...from 🇰🇪God bless you guys
@johnmalembo64642 ай бұрын
Nabatikiwa sana. Nashauri Wekeni na maneno ya wimbo. Mko kwenye viwango vya juu.
@mberabagaboemmanuel77103 ай бұрын
Minafuraha sana Mungu ababark Mimi Niko Rwandan
@nyarugusuaychoir16653 ай бұрын
God bless you
@janebonareri87492 ай бұрын
Mungu anisaidie niwekeze kwenye mradi wa Mbinguni,Mungu awabariki sana vijana wa Nyarugusu
@RehemaMalema-is2oh2 ай бұрын
Mungu awabariki sanaa vjan wa YESU
@ALANYEMMANUEL3 ай бұрын
Much love ay Nyaragusu, continue serving Lord. Almighty God bless you all❤❤❤🇺🇬🇺🇬🇺🇬
@nyarugusuaychoir16653 ай бұрын
Thank you
@ZawadiGasana3 ай бұрын
Mnaimba vizuri na mavazi nzuri munapendeza sana tunawafuatiliya Kigali/Rwanda.
@nyarugusuaychoir16653 ай бұрын
Bwana akubariki sana Zawadi
@ZawadiGasana2 ай бұрын
Amen nawashukuru sana napenda sana nyimbo zenu ni nzuri sana zinafundisha mungu aendeleye kuwapa nguvu.
@moseshandstalker2 ай бұрын
Mbarikiweee mnooo rafiki zangu baraka za kila namna ziendelee kuambatana nanyii❤❤❤
@judithonsomu44722 ай бұрын
Amina, Mungu amewapa kipaji na hakika mnatumika vyema. Barikiwa mno
@user-zq2tf7nt3y3 ай бұрын
Amina sana Nyarugusu AY,, Bwana na awabariki nyote.
@momylaviel2 ай бұрын
Nakumbuka ASSA shuleni nilikuwa na rafiki zangu wanne tulipenda sana kuimba nyimbo zenu nawapenda
@joyaketch14112 ай бұрын
May God bless your voices the nyarugusu , your songs really inspires me a lot.. am so much bless 🙏
@RashidTenga2 ай бұрын
Kwaya ,AY Nyarugusu barikiweni Sana mmenibariki Sana.Muende mbaliiiiiii.Amina.
@user-hz8cl7mb2c2 ай бұрын
Mbarikiweee AY nyarugusu... Tuwekeze kwenye mradi wa Mbinguni
@user-pz7uw4er8wАй бұрын
Asanten sana Kwa nimbo zenu zinatubariki,msonge mbele na Bwana awasaidie Ili myaishi haya mnayoyaimba.
@user-wp7ly7bn5f2 ай бұрын
Mwenyezi Mungu awatangulie mmfike mbali zaidi mkiongoa watu Kwa njia ya uimbaji
@anneorina32412 ай бұрын
I love you all, but God loves you more. May God continue to give you more grace.
@EvangalistmediaTv2 ай бұрын
Namwona mwalimu barikiwa sana my favourite choir
@periswamuhuАй бұрын
Sauti zenu zinanimaliza pongezi❤
@Yotamu-jm3zmАй бұрын
Bwana awabariki kwa wimbo mzuri waimbaji wote na mwalimu
@mugetamaiga2 ай бұрын
Mungu awabariki sana AY NYARUGUSU nawapenda sana
@biggiesibalwa56662 ай бұрын
great piece my friends.Let God continue blessing you .From your Zambian disciple
@aneciarutabingwaАй бұрын
Mbarikiwe sana kwa huduma njema. Bwana azidi kuwatumia.
@CatherineJohn-co7lw3 ай бұрын
Mungu awatunze mzidi kumtumikia mfike mbali lkn msipotee Amen
@zachariamagoti7262 ай бұрын
Hakika Mungu azidi kuwatumia vyema zaidi katika kazi yake
@shukranimabamba86093 ай бұрын
Amina Amina Mnatubariki sana kwa nyimbo zenu nzuri, Mungu aendelee kuwabarikii
@nyarugusuaychoir16653 ай бұрын
Ahsante sana mtumishi wa Bwana
@periswamuhuАй бұрын
Sauti zenu zinanimaliza pongezi
@lameckmawuti97592 ай бұрын
Barikiwa sana enock and kwaya kwa ujumla 🎉
@user-hl9hm6hk1i2 ай бұрын
MUNG awabariki sana ❤❤
@RethisiaAmosАй бұрын
Nawapenda mnoooooooo
@lidiaisrael14602 ай бұрын
Bwana Asifiwe Sana Kwa Uimbaji Mzuri❤❤❤
@naomipius-dk6xh3 ай бұрын
Mnanibariki Sana songeni mbele
@joshuathomas77242 ай бұрын
Mungu awabariki sana msonge mbele kwa kazi yake
@user-rp3zw2cm5y3 ай бұрын
Nakupenda sana dada yangu Rehema💕🌹
@matireke5562 ай бұрын
Nyimbo zenu zote ni tamu sana sana ya mkono iliyopisjhanisw
@EliaDaniely2 ай бұрын
Binafsi ninawaxhukulu sana ambao mnafuatilia nyimbo hizi nakufanya chanel ikuwe asandeni sana Kwa moyo wenu wa upendo mngu awabalik sana
@lennylegaston7132 ай бұрын
Hongeren sanaaaaa jamani
@keheyemwitamsabi5802 ай бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kuwapigania ktk Utumishi
@Daniel-s2n3 ай бұрын
Mungu awabaliki sana🇬🇦🇬🇦❤❤️❤️💯💯
@nyarugusuaychoir16653 ай бұрын
Aminaaaaa
@etuchepchumba2256Ай бұрын
Mbarikiwe Sana waiimbi
@EliaDanielyАй бұрын
Najivunia kuona Mungu anafanya kaz
@motakizerangesa31673 ай бұрын
Matobera itumbi nikiwa ikizu bunda .mbarikiwe Sana ay nyarugusu
@nyarugusuaychoir16653 ай бұрын
Aminaa
@janemausah61953 ай бұрын
Like your lovely songs ooh lovely voices, be blessed 🙌
@nyarugusuaychoir16653 ай бұрын
Amen
@eglahtoo5362 ай бұрын
Mungu awabariki saana sana,nataka nambari ya kiongozi wenu naomba niongee naye
@RashidTenga2 ай бұрын
Barikiweni Sana AY Nyarugusu.
@YohanaMkaga2 ай бұрын
Wimbo wapili jaman tunauhitaji Sana KZfaq
@remmykhan72442 ай бұрын
Hyo sare mmeua🤣🤣 mbarikiwe Sana nyarugusu
@SaudaHusein-ud8ur2 ай бұрын
Amina mnoooo
@FidestaSalum2 ай бұрын
Amina San MUNGU awatangulie
@SaudaHusein-ud8ur2 ай бұрын
Huo nao mzur wakizungu safiiii
@asnathmvanga2397Ай бұрын
Amina Nyarugusu
@user-ou4yh1sd1f2 ай бұрын
I like and love your be blessed by God
@eunicenyandiko1389Ай бұрын
Amen hallelujah ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@benardotuoma592 ай бұрын
Karibuni sana Dar es salaam
@donaldchiganga5032 ай бұрын
Barikiweni sana kwa utumishi
@dorcaskamande25223 ай бұрын
Mungu awabariki na awadumishe kiimani .!
@nyarugusuaychoir16653 ай бұрын
Amina
@ezekielkasole37382 ай бұрын
Mungu awabariki kwa utume
@user-wn6kc1rj6s3 ай бұрын
Mungu awabariki sana aendelee kuwatia nguvu
@nyarugusuaychoir16653 ай бұрын
Amina
@shillachoge30892 ай бұрын
L❤ve from Kenya
@EfraimNjole2 ай бұрын
Nabarikiwa sanaasa😊😅😮
@evarist21123 ай бұрын
HONGERENI SAAAANI DAAH
@nyarugusuaychoir16653 ай бұрын
AMINA
@SamuelAmenya2 ай бұрын
Bless God
@israelkisaila84012 ай бұрын
Mimi natamani kuwachangia AY,HUWA MNANIBARIKI MNOOOO JAPO SI M SDA ILA MUNGU NI MMOJA