Рет қаралды 7,634
Ni mmoja kati ya washindi saba waliopatikana katika usaili wa kusaka vipaji vipya vya uchekeshaji. Zoezi hili liliendeshwa na Azam TV, na washindi hao wanapata fursa ya kupanda jukwaa moja na wasanii wakubwa barani Afrika katika tukio la kufunga mwaka la New Year's Eve Comedy Gala tarehe 31/12/2017