Watanzania tunakwama wapi? kuhusu matumizi ya biogas wataalam wanaojua kujenga hii mitambo mjitangaze watu wanahitaji hii huuduma kwa maana itasaidia kupunguza matumizi ya kuni. Azam kipindi hiki cha karakana kilikuwa muhimu kwa wakati huu wa upandaji miti kwa kila Wilaya.
@kidaghokadari32946 жыл бұрын
Kipindi kizuri tunapataje? Tunaomba mawasiliano au namba za simu
@othuonjohnbrighton5323 жыл бұрын
Namba za simu tafadhali kwa utaalam zaidi
@revocatusbalashuha32092 жыл бұрын
Watu wameomba mawasiliano lakini hawajibiwa AZAM vip
@nankondomapombe11 ай бұрын
Niko morogoro, nahitaj kujengewa mtambo, nawapataje???
@princessilayo74113 жыл бұрын
Je naweza kutengeneza na nikaiuza kwa wateja wasiokuwa na ng'ombe?
@stephanomoses76942 жыл бұрын
Ambiereeeeeee. Upo juu
@Ibrahmagesa_tz6 жыл бұрын
Namba zake jaman
@mambaasukulu45102 жыл бұрын
Napendeswa Sana na shule leni
@rodgersmoni4153 Жыл бұрын
Niko hapa nchi jirani 🇰🇪.Naomna huduma zenu.Nimependezwa jinsi mnavyotekeleza hii shughului.
@amosicommedy6917 Жыл бұрын
Fika kamatec arusha
@sebajseba7193 жыл бұрын
Naomba mawasiliano
@saidhamisi27953 жыл бұрын
Asante ndugu lakin je? Kuna kiti gani ukifanya inaeza kulipuka
@michaelmsambo5766 Жыл бұрын
Nahitaji hii je wataalamu na mawasiliano yao anisaidie kunipatia
@ukurasawangu4 жыл бұрын
AZAM NAMBA ZA HAO JAMAA NI IPI
@nikomdota19326 жыл бұрын
Kipindi ni kizuri sana
@shemsaselemani21904 жыл бұрын
Tunaomba namba za huyo mtaalamu tafadhali
@mussawillisson86874 жыл бұрын
Nitumie Namba yako nikuunganishe na kampuni inayojishughulisha na ujenz Wa biogas
@MAAHAD-RAUDHA-ISLAAMIY.4 жыл бұрын
@@mussawillisson8687 +966506572403
@fabricemahinga41924 жыл бұрын
I need your contacts Number please my whatsup number +18328580067
@vincentkyalema33512 жыл бұрын
Mimi niko Kilimanjaro wilaya ya vunjo naomba usaidizi wa kupata mtambo huu wakuzalisha gesi
@EliasMollel-pm4fz Жыл бұрын
Naombeni namba za simu
@erastombise39662 жыл бұрын
Naomba namba ya simu
@user-rb7xi5rw4d6 ай бұрын
Naitaji kujifunza
@Ibrahmagesa_tz6 жыл бұрын
Tupeni namba zake jamani
@danielleel5338 Жыл бұрын
Maelezo mazuri .
@sammswita7165 жыл бұрын
1:5 siyo kitu alimradi uduma hiwe ni uwakika endelevu siyo janja janja
@simonmsafiri7972 Жыл бұрын
namba kwanini hutaji wewe mtaalam?
@privatuskatabalo9617 Жыл бұрын
Nahitaji huduma hii. Tena kwa haraka.
@diamondgeyser79875 жыл бұрын
Nimependa
@karachualambopa9396 жыл бұрын
mtu akitaka hiyo biogas kutengenezewa inakuaje
@mussawillisson86874 жыл бұрын
Kama unahitaji kutengenezewa mtambo huo nicheki
@MAAHAD-RAUDHA-ISLAAMIY.4 жыл бұрын
@@mussawillisson8687 nipe namba yako
@othuonjohnbrighton5323 жыл бұрын
@@mussawillisson8687 namba zako tafadhiali
@mawazoaliselemani89092 жыл бұрын
jaribuni kutangaza mambo haya muhimu,,sio kutangaza show za mond na kiba,,hivi vitu kuntu watanzania ndio waelimishwe