Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, Crescentus Magori na Meneja wa Habari wa timu hiyo Ahmed Ally wamezungumzia mchakato wa usajili ndani ya klabu hiyo na kutoa tafsiri ya ubwaya ubwela.
Пікірлер: 282
@abdallahally84225 күн бұрын
Tunaosema tutajiunga na simba bando kuichangia simba weka like
@ElizabethLukosya-lv2vf23 күн бұрын
Msemaji ni mmoja tu ktk ligi yetu ya African,na ni semaji letu la kafu ❤
@abdallahally84225 күн бұрын
General magori ubaya ubwela genius
@aminaomary556724 күн бұрын
Yaan aacha tu ma simba day siku hiyo. Watakoma mwaka huu❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Mo Boss kubwa hoyooooo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍semaji wetu hoyoooooo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍
@nesto_automobiles653724 күн бұрын
Asanteni sana azam kwa kuiweka hii you tube maana niliikosa kutokana na kukatika kwa umeme
@NteziryayoAime26 күн бұрын
Much love from Rwanda 🇷🇼 I'm APR FC fan 🤍🖤🤍🖤 turabakurikiye Tanu kwa tanu
@salimmalaka25626 күн бұрын
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-rl1vr1fd1r26 күн бұрын
Magori ni mtu haswa anatakiwa atunzwe kwa faida ya Simba ya sasa na baadae
@IsackVedasta21 күн бұрын
Msemaji Bora Tanzania 🇹🇿 na Africa nzima.
@mohamedjuma196026 күн бұрын
Am proud Simba fan
@user-ze2nk8cw5s26 күн бұрын
Kama mpanzu anazingua aachwe maana waliopo kwangu Mimi viongozi siwadai ila ushauri wangu naomba waliosajiliwa wapewe nafasi wacheze
@JoshuaLeonard-lo3cs25 күн бұрын
Simba nguvu moja Tim kubwa Africa na Dunian tuwe watulivu kwanzia viongoz mpk mashabik tutaimarka tu na tutaendeleza ubabe wetu
@JoseHaule-tx7lu25 күн бұрын
Huyu jamaa ni hatar ana kpaji kwakweli We love u broooo
@user-gn4cp2vq2y26 күн бұрын
Nawapongza saaaaana wakuu wangu hao kwa kazi nzuri wanazo fanya kwa moyo,....mungu azidi kuwajalia afya njema
@user-bh7cc4dt3b26 күн бұрын
Mungu awabariki Simba yetu isonge mbele, amina
@Lusindehalima-si3ej26 күн бұрын
Wapi onana jamani mtuweke wazi tunaumia mashabiki wake
@ElizabethLukosya-lv2vf23 күн бұрын
Magori,napenda sana majibu yako kama mgunda tu,maneno mengi ya nini unajibu point
@SwaumuShabani-qm4xo26 күн бұрын
Semaji anaetrend tiktok cmba nguvu moja ubaya ubwela
@salumumabomba961126 күн бұрын
Nakubaliii sana Chama langu,Magori mnyamaaaaaaa
@DicksonPeter-ym5od26 күн бұрын
Magori ni mashine ya kweli pale simba ,mungu ampe maisha marefu pale simba,,,by dickson peter ..nikiwa dar
@yusufmruma287026 күн бұрын
Magori is intelligent, big up
@DullhFeyy24 күн бұрын
Ahmad bin Aliy nakukubar sanaaa kwa uwezo wa mungu inshaanllah furaha tuliyoikosa kwa mda mref viongozi wachezaji wajitume kwa bidii wajue kitu gani tunacho kihitaji tutarudi kwenye furaha tuliyo ipoteza.
@Dayotz26 күн бұрын
Bro magoli u looks like my dady rest in peace dady
@anithawidambe754326 күн бұрын
SAFI SANA SEMAJI LETU LA CAF. TUNAKUPENDA SANA WANASIMBA
@abumuhammad961526 күн бұрын
Interview imekamilika sana
@renatusmwanakatwe-gl9xb26 күн бұрын
Asante azam
@user-ms8rl1nr9o26 күн бұрын
Hongereni sana viingozi wetu
@user-gz2or2ui9n23 күн бұрын
Kongole sana semaji la caf
@khadijamisayo747626 күн бұрын
Magori yupo vizuri, hana papara, katulia
@gabrielrobert867726 күн бұрын
Magori mtu haswa, hamnaga mkurya fala Town.... bigg up saana Tata Magori
@raphaelernest825324 күн бұрын
Nakubali ubaya ubwela
@mohamednipala700026 күн бұрын
Simba.....!!!!! Nguvu moja
@Hemedyamir26 күн бұрын
Magori anajibu maswali vizur kweli ni mtu wa mpira anaijua Simba kindakindaki Hawa ndo tunawataka kwenye Simba Kwanza anaipenda Simba ni fans wa Simba"Simba nguvu moja🔥💪"
@user-lo9fn9hf7q24 күн бұрын
I
@djchid241726 күн бұрын
Huyu mwamba ni hatar ni mashine ya kuongea
@abelimaganga41726 күн бұрын
Hawa watu wawili sina mashaka nao kabsa nawaamini mnooo🦁🦁🦁🦁
@HalimaMaulidi-sv7le26 күн бұрын
Semaji la wasemaji tz wengine waropokaji tu
@HajiKanyumbu-xn6vh26 күн бұрын
Nalipongeza sana chama langu simba 🦁🦁🦁 nguvu moja 💪💪💪
@georgesamweli406225 күн бұрын
Semaji 🎉🎉🎉
@bbclondonulimwenguwasoka612626 күн бұрын
Mpanzu na Fei Toto tunauwa watu kwa pressure, please waleteni msimbazi
@teilencedevard943126 күн бұрын
Semaji linalo ingia on trending upepo unao semaji
@user-bf3mm5wu1s26 күн бұрын
simbaa nguvu moja 😊😮
@IssaKisaka-wo3mq26 күн бұрын
Simba nguvu moja
@Busagotz25 күн бұрын
Ally komwe na Hers njoo ujifunze kuongea kama hiv pointi
@issahamis58124 күн бұрын
hawezi yure bwakubwaku
@songarashidy199526 күн бұрын
yoooo if you like SIMBA like my comment down
@omariwaziri503126 күн бұрын
Kadi za mashabiki tuna zipataje
@AbkHashim-o3j26 күн бұрын
Viongoz wanapo fanya usajili wanaakiri wana jua nan anafaa kwahyo tusubirie viongoz wafanye usajili tuone uwanjan alafu unapo sema ni siasa wewe mwanachama? Tusiwe tunapga makelele alafu kumbe hata kad ya mwanachama huna waache viongoz wafanye usajili
@dixhangdecious752826 күн бұрын
Una hoja kabsaa familia ✊
@KibibiMwalimu-pg8fg26 күн бұрын
Mimi ni mwa😊 mwanachama lakini Nipo American nitafanyaje ili nichangie nikitokea huku 🇱🇷?
Musa mangungu ni kilus I mpaka Sasa wengi hawamtaki ila watu wameamua kuweka umoja
@DeborahSaitoti-oy7fm26 күн бұрын
Kweli Ila atatoka tu simba tuweke kwanza nguvu nyingi timu na club ikae sawa mangungu ni mdudu mdgo Sana siku moja tu makiamka anakuta THANK YOU YAkE MEZANi😂😂😂😂😂
@epefrapetro139826 күн бұрын
Mimi nimwana chama wa smba nigeomba kramo twende nae naiman atatusaidia
@AlexMgeta26 күн бұрын
Mbona kramo yupo sana na aliongeza mkataba wa mwaka mmoja
@hamismwangwale56323 күн бұрын
Ubaya ubwela Ila SEMAJI LETU halitaki unyonge🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ashrafameir406425 күн бұрын
Kwanini wamemtoa mgunda kwenye bench
@samahakihange642126 күн бұрын
Nimeipenda iyo raisi wa wasemaji ote tanzania semaji la caf
@johnmgalatia537526 күн бұрын
Naomba namba ya msemaji Ahamedy
@peterwilliam541126 күн бұрын
Azam TV kiboko yaoo 🎉🎉
@allymtunge553026 күн бұрын
Kwan uto wanakuaga wapi? Kufikili sana
@RomwadMhagama26 күн бұрын
Nasisi wangoni hua tunatumia hiloneno
@kingndinyo976425 күн бұрын
Trending 1 simba nguvu moja
@mwasunga26 күн бұрын
Amed baba utaniua mm wew nimwamba ndomana walikushindwa wakaleta watatu iri wakuchangie wamelala nabado watalala
@mwanangusana26 күн бұрын
😂😂😂😂😂 sasa iyo ni taasisi kweli ?? Kitengo kiwe na mtu mmoja kwelii ??
@shekhebakari199826 күн бұрын
Naitwa Hamis from kigamboni naomba hiyo huduma yasimba bando ije namitandao mingine tafazali
@MwanahamisHussein-dp2if26 күн бұрын
Nanunua
@Ezramali59525 күн бұрын
UBAYA UBWELA MPOAPOOOO
@jumamnemo838326 күн бұрын
Hiyo safi Simba bando
@user-mq2wy4tp5q26 күн бұрын
😂😂😂 ubaya ubwelaa asee ni noma san
@sijaonamjungufinias48126 күн бұрын
Kramo jamani mwacheni mbona kapona jamani
@MartineRichard-me2ip26 күн бұрын
Simba Nguvu moja
@robsonwilliam830125 күн бұрын
Wenzenu wanatafuta wachezaji ninyi mnatafuta maneno mtaani ya kudanganyia watu.
@afaijuma847425 күн бұрын
Kwanza nawapongeza kwakipindi kizuli oja yangu. Ipokwenye namna yakutumia mtandao wa Voda Mimi nipo Mozambique nauku sisi tupo tunanufaishaje Simba yetu?
@FreemasonPesaZaMajini26 күн бұрын
Ongezeni wanachama wapya,lkn mkiweka sharti moja la kila mwanachama lazima alipie kadi yake kila mwaka na akiwa ajalipia ndani ya miaka miwili ifutwe apewe mwingine na yeyote atakayelipia siku ya uchaguzi asiruhusiwe ili kumfanya aone umuhimu wa kulipia kadi kwa wakati
@mariammbapira64526 күн бұрын
Simba bando ipo vodavom
@officialisaiah397926 күн бұрын
UBAYA UBWELA
@josephfrank444625 күн бұрын
Sasa magor karudi nafraha sasa🎉
@user-kn7bo6iz4n26 күн бұрын
Nguvu mojaa❤❤❤❤
@BigZhumbe20 күн бұрын
Semaji la Mnyama, Semaji la Dunia 🎉🎉🎉🎉🎉
@westonyjob174726 күн бұрын
Semaji la cuf umetisha
@RashidiKilumbi24 күн бұрын
Tutajie Tena hiyo no, ya kujiunga Simba bando.
@AdinaniKitabu26 күн бұрын
Upo vzr mwamba
@johnmgalatia537526 күн бұрын
Pia muulize tulihamasishwa kukata kadi za uanachama kupitia benki ya Equity bank je zile tuachane nazo?na tukate za CRDB NA NMB?
@user-uj5wg9mm2t26 күн бұрын
Simba nguvu moja💪
@malickomary568726 күн бұрын
Sema huyu mzee magoli safi sana yani...
@januarysungura811926 күн бұрын
Ubaya ubwela
@MuftyHussein-kf7tm26 күн бұрын
Nimesha nunua tayari imeisha hiyo nguvu moja ❤❤❤😂😂🎉
@neemamatey26 күн бұрын
❤❤❤
@GervasKasagula-m7m26 күн бұрын
Magoli tunakutakia majukum mema ya simba yetu
@ROJAOMARY-ys7xb25 күн бұрын
Kipindi kitam sana nilokuwa natamani kusikia sauti ya father magoli na hamedi alii
@khalidsharji246226 күн бұрын
Simba nguvu Moja tuchangiye
@hamadbakar709126 күн бұрын
Simba nguvu Moja yani mwaka huu tumesajili IGP watupu au maamiri jeshi watupu yani hakuna kuruti kwenye kikosi chetu
@user-bb8de4bl5n26 күн бұрын
Wewe hujui kitu huyu Zubery Yanga damu ujue hilo
@AudaxLwekamwa-kt6eg26 күн бұрын
Kuna mwamba njaa ilkua inampiga apo 😅😅kiasi kwamba anapiga miayo kwenye myk😅
@KibibiMwalimu-pg8fg26 күн бұрын
Nataka kadi yangu niliyosajiliwa wilaya ya mvomero kata ya mkindo Nataka kuchangia nikiwa huku 🇱🇷
@JasmineMahdi-w9f25 күн бұрын
Mtafut Ahamedi aliy
@brycesonkaaya976426 күн бұрын
Mwambie Ahmed Ally anakumbuka alichoambiwa na mshabiki wasimba toka mikese juu ya uzinduzi wa jezi?
@MtoroIdd26 күн бұрын
Mzee magori fukuza manula huyo kirusi kitoke
@ELIASJACOB-by4qs24 күн бұрын
Nguvu moja 💪💪
@jumanneelias-mc7sw24 күн бұрын
iyo simba bando naomba iwekwe kwa mitandao yote pleaSE
@mariammbapira64526 күн бұрын
Wangoni pia bwers njoo rudi kibantu
@chimnyengeUpdate26 күн бұрын
Ila Bongo Kuna wasemaji sana
@user-cg8vh4fn7z24 күн бұрын
Mbona kama kuna mtu anapiga mihayo apo
@JohnEugeni-f8m26 күн бұрын
Yaan simba huwa wanaanza yanga wanaiga et yanga famili mara wiki ya wanachi yaan lzm simba waanze wao wanaiga