Sisi wanyakyusa ni wakarimu sana dah! Yaani ukimwaangalia tu unajua huyu mwaisa
@emmanuelthomas107826 күн бұрын
Huyu Azizi ni Victor Wanyama Mtupu 🔥🔥🔥🤔🤔🤔
@ceciliadaudi163227 күн бұрын
All the best champ 🎉🎉
@ezrageofrey966825 күн бұрын
your welcome aziz andambwile awaiting for the good to come💚💚💚
@fazo-kl9fu26 күн бұрын
Akili kubwa sana uongoz wetu mungu aendelee kuwalinda
@DaudFulberth27 күн бұрын
Good💪💪💪💪💪💪
@adamuayubumwendolwa772327 күн бұрын
Ni Andabwile sio Andambwile
@goodluckabdul731627 күн бұрын
Karibu sanaaaaa Aziz
@maliadii482927 күн бұрын
Karibu Aziz tumekuona unaweza tuna hakika utajifunza kwa wakubwa waliopo hapo wenye uzoefu ili kusudi tukutungie wimbo Kama wengine tunakutakia kila la kheri
@ayubhumakuya846627 күн бұрын
Ckaribu kamanda🎉🎉🎉
@EliasHassan925 күн бұрын
Karibu sana andambwile
@RenatusKasinga27 күн бұрын
Nakubari kaka angu kibwana
@NahlaRashed27 күн бұрын
Naona cku ata haziendi tuanze ayo mamechii😂😂😂😂
@HusseinJumahussein-lf1xk27 күн бұрын
Welcome⭐⭐💚💚🔥🤲🙏💪
@EsterPeter-h9d27 күн бұрын
Yangaaaa tamuuu
@ramadhanimrungu580627 күн бұрын
Chief kingalu waukae
@amaniomar175527 күн бұрын
Karibu kijana
@IsmailKipande-ss1ty27 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ yanga
@Fine_boe_1127 күн бұрын
Young African champion of caf champions league 24/25 🔰
@emanuelyngoi444027 күн бұрын
Good ❤ yanga 🎉🎉🎉
@filemonkwaja618127 күн бұрын
Yanga bingwa
@chollejr_27 күн бұрын
Uyu kibwana 😂😂😂katoa wapi unywele 😂😂😂
@user-zx9jd4jt8e27 күн бұрын
Gud signing
@yusuphkimomwe427627 күн бұрын
Toa vitaulo baba,chief kingalu
@user-to9xw2mc9m27 күн бұрын
Karibu jangwani🎉azizo
@brandinamwakasendeka475627 күн бұрын
Am the first today
@MomadeMudimoz70-cs2ud27 күн бұрын
💛💛💚💚🔰🔰🔥🔥🔥
@andersonbruno625525 күн бұрын
Chief baba...🔥🔰🇹🇿
@SylvesterSafari-nf4fy27 күн бұрын
Tunaomba na interview ya chama na mwana wa mfalume dube
@StavoBella-pf6hu27 күн бұрын
Mwamba kutoka mbeya sas
@samsonkomba000027 күн бұрын
N andabwile
@kisinza607727 күн бұрын
Nilisema kwa kiwango kikubwa cha Kibwana hawezi kuachwa, bahati nzuri kibwana left & right kwake fresh tu. Na huwa hashuki kiwango yaani huwa hana zile siku mbaya sana kazini.
@LuckyTemu26 күн бұрын
Anko kibwana umeongea kiakili kubwa❤
@QuilalaselemaneSaide27 күн бұрын
❤❤❤
@user-ql2hc7zt6b27 күн бұрын
Muñgu mwema
@JordanKaunga25 күн бұрын
Mh unaoji vizul sana
@salumkitam696027 күн бұрын
Kwann umempa mkataba mwaka mmoja wakati Bado mdogo
@AgnesNangale27 күн бұрын
Nyanga raha san
@maliadii482927 күн бұрын
Nilikuwepo kwa mkapa kwa mara ya kwanza nilikuona ukichexa na tabora niliogopa sana nilivosikia hujasaini kwani walah niliona kijana mdogo mwenye uwezo mkubwa asante sana kwa kuendelea kuwepo nasi huku kilimanjaro tunakuombea INSHAALLAH nakuomba alwatan msomee mwanangu hi comment kibwana
@PascaziaBenedict26 күн бұрын
Yanga oyeeeeee
@user-hy3en6vk5f27 күн бұрын
Mmenikera sana yaani Mmemuuza Azizi Ki 😭😭😭 daaah anyway Mungu atusaidie Wananchi 💔💔💔
@mamuwadomu844827 күн бұрын
Unauhakika ? Basi kesho utamuona mazoezin AZIZ K tunae
@zeddymourice424927 күн бұрын
Aziz ki yupo sana jangwani ana miaka mbili nyingine mzee.
ni ujinga kumuacha zawad mauya na kumsanili aziz andanbwile kuna wanaotazama mpila kwa uelewa watanielewa.
@fatmasuleiman388526 күн бұрын
Tunawapenda sana dua kwenu kila siku kwenu maaduwi wengi In sha Allah mwenyezimungu awalinde Amiin
@dastankhalifa567226 күн бұрын
Anajua kuongea na anaonekana anajua anachokitaka ,Kila la kheri kwake
@YusuphLukindo-vi9ow27 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@proisolution716627 күн бұрын
NAOMNA ALWATAN MFIKISHIE UJUMBE HUYU AZIZ MWAMBALASWA NA SHEKAN,KUWA KWA MAUMBILE WALIO KUWA NAYO WAKIITUMIA HII NAFASI YAO KWA YANGA YAANI NIDHAMU,NA KUACHA MAJIVUNO(SIFAA) NDIYO VIUNGO WENYE SIFA +MTASINGWA KUBEBA TAIFA LETU-WATUMIE TRAINING FACILTY ZA YANGA KAMA MAYELE ALIVYOKUWA ANAFANYA.
@proisolution716627 күн бұрын
AFANYE MAZOEZI SANA APUNGUZE UNENE HILI AENDANE NA KASI YA YANGA ASIBWETEKE PLEASEEEE