Star beat boy Nakubali unyama wako kama nawe unamkubali b2k gonga like hapa
@rehemamuhengi71014 жыл бұрын
Nakupenda Bure b2k jaman
@JBAPRODUCTIONRecord4 жыл бұрын
B2k namkubali sana chakwanza uwaga ana imba nyimbo za maana sana kabisa daaah kama tena unakubali gonga like apa adi mmm2024
@kamnomajuma45534 жыл бұрын
Hongera saana kijana kiukwel nakukubal tunaendana me na ww
@vayzertheboy69174 жыл бұрын
Kamnoma Juma sana b2k my broo
@alfredmruge50314 жыл бұрын
Jamaaaaa anajua sana ila duuuh anaongea huyooo😂😂😂😂😂😂
@ismailkijanga5934 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@davidelliot32674 жыл бұрын
kusema kweli nimemjua after watching interview hii nkasema ngoja nicheki ngoma zake 2/3 na Kweli bro u deserve kuongea hvo unae kipaji nimezielewa MWAMBIE n UHAKIKA big up urself bro
@jerrykawogo56564 жыл бұрын
Nakukubar Sana b2k naamin katika kipaji chako
@andrewkilave35324 жыл бұрын
Nilitaka kushangaa usimtaje brother Edo tiger mnyamaaaaaaa mnyakilambo
@badboy25774 жыл бұрын
Afadhali sasa mmeanza kuwapa nafasi wasanii wenye vipaji ambao hawanategemei kiki
@kajerojeroshiva62564 жыл бұрын
Ndugu yangu namkubali sana b2k naamini mungu ata msaidi katika safali ya muziki na ata fika mbali san
@asherymwande56442 жыл бұрын
Kwel dogo ana heshima mnoo namjuw toka anaanz husle mungu amjalie afike mbal
@shifumponda6664 жыл бұрын
Nakukubali broo unajieleza vzur broo big up
@mashadaudi11344 жыл бұрын
Nakupendaga pamoja sana broo
@ramczotz21914 жыл бұрын
Dah!! B2k unaongea kwa kujiamini sana unajibu maswali efectivery nakukubali B2k.
@nickomlumbe39454 жыл бұрын
Nakubal mwakinyunyu Unae kuku bali nyumban kwenu
@ganosangatv19294 жыл бұрын
Sanaaa Broo Etuu Makambako Boy Nakubali Broo
@belathomgaya48034 жыл бұрын
Makambako b2k
@robsonwisdom40254 жыл бұрын
Wanyumban kabisaaaaa kinyunyuuuuuu
@kasimbasaid82384 жыл бұрын
Na mkubalii sana huyu mskaj kinomanom
@mtweveandrew18614 жыл бұрын
Pamoja b2k sana tu
@barakaclassic33452 жыл бұрын
Umetisha sana
@abdallahmchange13704 жыл бұрын
Safi sana
@selemanimsahani39194 жыл бұрын
Kwakiswahili b2k unanikosha roho balaaa
@felixjames88123 жыл бұрын
Nakubal bro
@eliuthamangula17912 жыл бұрын
My star ⭐💖
@immah__deo70144 жыл бұрын
Daah napaona Posta
@kibikihotfilm06213 жыл бұрын
Nakubal sana huyu jamaa anatuwakilisha vizur Sana @B2k mnyama
@fidelismgaya35074 жыл бұрын
Upo vzr saana Dogo pambana
@irenemathiasi35464 жыл бұрын
Napenda xana b2k tunaendana minawe
@tonyamkalitv74444 жыл бұрын
makini
@issapesakwanza70054 жыл бұрын
Kubali kinoma sana jembe
@lucaswalogwa38214 жыл бұрын
Huyu jamaa nimeshangaa kumbe mdogo tu halafu sauti ndogo ya kiongeaji hivi yenye bro nyingi kinyama ila ni POWa jamaa yuko vizuri
@youngfather38434 жыл бұрын
😂😂😂nmecheka kifala b2k
@boazmtilege1464 жыл бұрын
Sasa mulizeni kuhusu king
@siwafalisi96092 жыл бұрын
Uyu mshikaj ana ongea sana aiseee
@lukasmalechela55654 жыл бұрын
B2k kaza ndugu yangu utafika mbali twakuombea .sijakosea hii ndo picha yako mambo ya kuniomba hela unaona simbo tu UHAKIKA we noma sana👏
@mussasaidali57204 жыл бұрын
Kazi nzuri kaka akazi tuu
@alphredmlelwa82704 жыл бұрын
Ai seeee kusini watuwanavipajia Sana lakini awatoki kimziki sijajua tatizo nini kwan manaukicheki mikoa mwingine dogo akiw nakipaji wanamsapot mbaka anafika pale panapo itajika Mimi nishabiki Sana wa bi2kei namkubar Sana uyuuu brother yuko vizur Sana anatuwakilisha vizur kusini 💪💪💪💪💪💪🙏🙏
@haongasikudhan83972 жыл бұрын
Nakubali ❤️
@jifaqmoonwalker60324 жыл бұрын
Nomaaa
@kassimjuma32414 жыл бұрын
Bigap Sana nakukuba llisana kazzaa
@gaib94524 жыл бұрын
Moto sana
@hamsinitimbersupplytanzani49284 жыл бұрын
Home boy
@ezekielmichael99044 жыл бұрын
Kaka samahani kama nitakuwa nakosea kuna mtu anayekutungia nyimbo?👊
@nalwagejules24723 жыл бұрын
Mimi kwa Tanzanian namukubali sana
@nicksonlwiwa1444 жыл бұрын
Safi chali yangu
@toypretty72204 жыл бұрын
😙😙😙
@bravofamilytv53884 жыл бұрын
Komaaa kk
@muusilvermasunga93684 жыл бұрын
B2k we ninomaa
@juniorqboy9254 жыл бұрын
Nic B2k
@raymondkanyama63874 жыл бұрын
nomaaaa huyu kjanaaaa
@frankmiraco98444 жыл бұрын
Safi mnawasapoti upcoming
@nancymelkon59434 жыл бұрын
Anaongea points sanaa
@jackelinizraely66253 жыл бұрын
Motoooo
@edghamoses61894 жыл бұрын
Pow pow pow kaka kaza buti
@shekhmussakadogoo73294 жыл бұрын
Duh huy dog kilangoma ngoma yk nikubwa
@mdaigo_4 жыл бұрын
Mambo vp
@sebamkalikwanzq11484 жыл бұрын
Ww ninoma b2k nakukubali
@mwagitomobilephone10244 жыл бұрын
Good home boy
@rahelimelami33483 жыл бұрын
I love you @B2k
@xaverysunday18864 жыл бұрын
Aboi 4rm Makambako oyooo wahuni wakubwa huwa2napiga rock home boi
@gisboytz66144 жыл бұрын
xavery sunday noooooma saaana 💥💥💥💥🔥🔥🔥🔥🔥
@jrjunior64574 жыл бұрын
Daaa nikwelii maisha safari ndefu kikubwa kaza buti
@godiasjohn29154 жыл бұрын
Umetishaaaa
@IsackBruno-hm3yw Жыл бұрын
Jitahid ndg
@castoyordan85154 жыл бұрын
nakuelewa sana kijana angu
@methodjoseph44234 жыл бұрын
bera batweli mwakinyunyu mnyalukolo umubena veve
@stanleyeddo43464 жыл бұрын
Beeh muyawe uyo mubena
@japhatiuhahula16754 жыл бұрын
Ujama iwesa swehera 💪💪💪💪💪💪
@mashadaudi11344 жыл бұрын
Nouma thanaa
@mgeyo64644 жыл бұрын
ni diamond tu hakuna mwingine' Shika hiyo
@ismailkijanga5934 жыл бұрын
😂😂😂
@tareqhilal67504 жыл бұрын
Hahaa akili mgando
@kofiianodi33264 жыл бұрын
Anaemkubal B2K gonga like
@elishasiwale88994 жыл бұрын
Ni diamond tuuu😆😆
@gracepeter76514 жыл бұрын
Nakukubari kinoma
@stanleyeddo43464 жыл бұрын
Ni mondi too 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@allyshabani86804 жыл бұрын
Anaongea kama chiriku 😅😅😅😅😅ila anajua
@lusianasanga30103 жыл бұрын
Sio chiliku wengine nikuzaliwa acheni ujinga
@markjuliusdaud80054 жыл бұрын
Duuh noma Sana
@paschalewamtaa7264 жыл бұрын
namkubali b2k
@hadijaabdallah54774 жыл бұрын
Ana kisura kama mschana 😂😂😂
@officialkillylevenson90614 жыл бұрын
Makini
@jamesjjoseph59084 жыл бұрын
sawa ofcz
@bahatiibrahimu30064 жыл бұрын
Nakubali ngoma zako ila dah unaongea San utuliii
@goodlucktemu31494 жыл бұрын
Fundi 💥💥
@elishasiwale88994 жыл бұрын
Fundi Fundiiiiii wa njombe
@boscoboy52062 жыл бұрын
Mwamba
@dideboy88964 жыл бұрын
mmnyaaaaaamaaaaa b2k namwamini saaaaaaaaana
@StefanAndand Жыл бұрын
Vizul
@khadijakhadija62124 жыл бұрын
Akhiii unaongea sanaa dogo
@juniorkaguo51374 жыл бұрын
Huyu dogo mkali toka anasza nakumbuka anavoaza tulikuwa nae sehem ila naona siku baada ya siku ana panda safi sana
@alfanihakuna84714 жыл бұрын
Mr Mkamba
@balamajophan63534 жыл бұрын
Ndy wapo kama wakina geofmaster
@OfficialRamkey2 жыл бұрын
B2 usiasirimishe bdo unasafari ndfu
@guycalifataveiro85874 жыл бұрын
Mwana anaongea sana ila unaweza kbx
@mohamedizabura33214 жыл бұрын
Underground unapo ongelea upande upi unapendwa unafeli hapo team kiba tusha kumaind😠🏃🏃
@ndunguyealex27714 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 pole sana team kiba wenyewe underground 🤒
@racksonngela5274 жыл бұрын
Harmorapa mlimpeleka wapi
@davidijames12462 жыл бұрын
Dg nimuwazi san adi inavutia
@janethnana62053 жыл бұрын
diamodi. mpy
@ramczotz21914 жыл бұрын
B2k unaongea sana duuuuh!!!
@sembokodedaughter44054 жыл бұрын
alafu hapo nakufahamu
@khamiskamtoi50943 жыл бұрын
Kama Umeiona CAMON 11 gonga like
@raydav63144 жыл бұрын
Like
@hamimumlindwa32444 жыл бұрын
anaongea kama chiriku
@khadijakhadija62124 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@msowamhokole77143 жыл бұрын
Sauti Kama barnaba
@wizzmkandawile11404 жыл бұрын
Team kiba nimemaind
@ananiahaule21754 жыл бұрын
B2k una akili mingi sana broo kwel bhana watu wengi wa kusini walio fanikiwa wana watenga sana ambao wanahitaji kufanikiwa
@boazmtilege1464 жыл бұрын
😒😒😒 diamond ndo nini
@khalidikibakuli1324 жыл бұрын
B2k maqin sana
@ndunguyealex27714 жыл бұрын
Ndo simba 🦁🦁🦁
@fadhiligady61764 жыл бұрын
Hahahahha unajhua unajikoxha tu....
@mkalindende48184 жыл бұрын
Ckupingi mwanangu wangu unajua kinoma pia unajua kujieleza 👍👎.
@kofiianodi33264 жыл бұрын
Anae mkubali B2K gonga like
@ramadhanjumanne63704 жыл бұрын
Uwe unaongea taratibu Basi duh unakua kama sio msanii ongea kwapozi basi