Mashallah kishki usife nguvu endelea kuelimisha watu hawa watu wengine ni hasad juu yako Allah akuhifadh ameen
@mozasaif81106 жыл бұрын
nabil Ally Aamiyn yaa rabby
@abuahmad12065 жыл бұрын
Kabsaa sadaktaa
@cholloriyamiy89955 жыл бұрын
Kuna watu hawapendi kuona waislamu kua kitu kimoja.. Aisee huu n MSIBA kwa kweli
@salehkhalfan73454 жыл бұрын
@@cholloriyamiy8995 Mtihan mkubw ndgu binafs naumia moyon kuona Sheikh anapand juu ya kiriri kumsimanga Sheikh mwenzake(Mtu anatamka na kueneza neno la Laa ilaaha Illa Allah, ila anatokea sheikh anamwita Kafiri) mtihan kwa kwel
@abuahmad12065 жыл бұрын
Aa mi nawapenda mashekhe kama hawa wawili bahero na kishki wao always wasisitiza sunaa mafunzo ya mtume SAW na maneno ya Allah na Allah awape subra
@muhamadkijuu72243 жыл бұрын
Jazaka llahu hahker shehke beher
@mubirumustafa66796 жыл бұрын
allah akulinde akongeze fahamu ili tuzidi kunufaika na amuongeze kila mwislam fahamu namapenzi
@shadiajumaa1826 жыл бұрын
Kishki kwa hapo ulipofikia lazima Allah akupe mitihan ili akupime je ww upo upande upi tunakupenda xana sheikh kishki yan mimi nakupenda xana yani xana
@feinuraibrahim88136 жыл бұрын
Shadia Jumaa looooo5looOt
@shadiajumaa1826 жыл бұрын
Feinura Ibrahim 😯😯😯😯😯😯
@ashuramakanwa82196 жыл бұрын
Ucjar kishik kwanz unajitoa sana kwa ajili ya Allah so vumilia hii ni mitihan t
@aminakawiche68675 жыл бұрын
Ya Allah mtete shekh wetu nurdin kishk yaa arahman japo yanauma mzidishie subra na Iman na umpandishe daraja
@Grand_Ayatollah_Hussein_Parmar4 жыл бұрын
kwa uwezo wa Israel na Marekani anaeilinda serkali ya ufalme wa Saudia Arabia inshallah
@zainabuhmbabazi49285 жыл бұрын
Hata nyinyi mnamakosa hafai kulaum mwenzenu kwenye mitandao mukijiipa makafir watuparamie kicwani I'm from Kenya aceni tofaut zenu mwace kutucanganya SHEKH KISHKI enda mbele had kwa MUNGU
@RIHA-qb6mx11 жыл бұрын
Allah ampambe kwa afya na uzima inshallah amuondoshee husda na hasada yaraab,Allah azidi kumpa elimu ili nasisi tufaidike tumejifunza mengi kutoka kwake Allhamdulilah. na tuache fitna jamani haifai, dini haifundishi hayo, wabilahi tawfik
@halithhali80383 жыл бұрын
Masha Allah baraka Allah
@aishakinia49573 жыл бұрын
Allah akupe subra kwa yanayo kufika... Endelea kuelimisha waja wa Allah... Kupigwa vita ni hali ya kawaida binadamu hatufanani
@ashulamusin98114 жыл бұрын
Ninakupenda sn Shekhe kishki huwanamuomba mungu akudumishe kabisa afu jina lako ssahivi watt wawengi wameitwa ila ni lakwako watu wanavyo kupenda
@user-tl2jz5wg2p5 жыл бұрын
أحبك ياشيخ نورالدين كشك حفظك الله ورعاك
@muhamadkijuu72243 жыл бұрын
lala lahdr kwadaw nzur shehk beher
@adanharon12975 жыл бұрын
Mashallah shiek nurdin Hakuna binadamu aliyekamilika...... Wew endelea na mawaidha usichoke tumefaidika sanaaaa
@maryamali77914 жыл бұрын
Allah akuhifadh sheikh kishk dunian hupend na wte kuw mstahmilif wallah ha2toipat pepo ila kwa kujaribiw
@rehemaramadhani2007 жыл бұрын
Allah atuswameh sote mkamilifu ni Allah
@robertroyal87133 жыл бұрын
You prolly dont give a shit but if you are bored like me atm then you can stream all of the latest movies and series on instaflixxer. Have been watching with my girlfriend for the last few weeks :)
@ethancain30083 жыл бұрын
@Robert Royal definitely, have been using Instaflixxer for since november myself :D
@mbwanamohamedi42388 жыл бұрын
swadakta al akhii shekh Nurdin kishk amejitahid sana kufanya da'awa Allah amlipe kher na amuongezee elimu ili tupate fawaaida zaid
@ibrahimrashid93526 жыл бұрын
amin
@bintalhwamer52916 жыл бұрын
M'bwana Mohamedi kishky nimti wenye matunda haukosi kupigwa mawe
@DhudhulaDhudhula5 жыл бұрын
Allah atakuhefadhii na sharii za binadamu.kishiki
@elizabethfares46506 жыл бұрын
Sh, NURDUNI KISHKI, USIWAZE SANA MAAN MUNGU NDIE MUWEZA WA YOTE AYO NI MAPITO 2 ,NAAYO YOTE ALIYAPITIA MU2ME MHAMAD SUBHANA WATAALL ,MUNGU AKUPE MOYO WA KUYAVUMILIA MI LELE YOTE AMEEN
@feinuraibrahim88136 жыл бұрын
Elizabeth Fares llllióooo
@fridaus78abdllah396 жыл бұрын
Jazaka allah kher sheikh wetu m mkenya ila nakuaminia ktk nisaha zako haki akujalie pepo yake rabbi
@WeBorn2DieAnyTime11 жыл бұрын
BaarakAllahu feek for sharing
@fasitakhalifa22085 жыл бұрын
Mashaalwah tabaraka rwahiman
@marymah71495 жыл бұрын
Mashaallah
@WeBorn2DieAnyTime11 жыл бұрын
MashaAllah
@hamisibora626311 жыл бұрын
Jamani, hawa Masheikh wameongea kwa hekma sana, sijui kwanini baadhi yetu tunakosa nidhamu na sheria ya dini. Au ni makafiri wanaotumia majina ya kiisilamu kuponda Masheikh? Na uhakika hawa masheikh wanakupenda sana wewe kwasababu ni mwisilamu, mbona wewe watenganishwa na fitna na husda na wewe ni mwisilamu? Nijukumu letu mimi na wewe ndugu yangu mwisilamu kulengania makafiri waingie uisilamu lakini sio kupiga vita waisilau, hivi kafiri akiona maneno yako atakuwa na hamu ya uisilamu? Rekebisha.
@machoyote39916 жыл бұрын
Mungu humlipa mja kwa amali anazotenda ,kwa hesabu zangu walimu hatuwawezi kwa amali njema
@minaminaa16696 жыл бұрын
Allah atusamehe Makosa yetu binaadamu kwenye dunia lazima tusamehe YA Rabb
@naghiftykhamis19324 жыл бұрын
nikimuona sheikh baheero namkumbuka sheikh Aboud Rogo Allah Amuhifazi
@munaseif97696 жыл бұрын
umenifulahisha sana shekhe bahelo masha Allah
@fardosaabdi51454 жыл бұрын
Yes sheikh
@cleophacekarega48327 жыл бұрын
Mashaallah allh atujalie tuwe wenye kumcha allha subhana wataala na kufata adabu na mafundisho ya mtume wa mwenyez mungu
@allyissa51866 жыл бұрын
She bahero hekma zako za subra na elmu unayotupatia Allah akupe rehema nyingi na atusamehe makosa yetu
@amidujaphary82769 жыл бұрын
Allah ndo mjuz zaid bt mwenye kukosea akubali kukosolewa.
@jumasalum26774 жыл бұрын
Kuna taratibu zake na sio kama wanavyo mfanyia sheikh wakimataifa kishki kipenzi chetu
@salehkhalfan73454 жыл бұрын
Nikwel hata kibinaadamu tu bc n kumwita faragha na mkapeana hoja zitokazo ktk Quran au sunna mwsh wa cku mnafikia malengo
@adam5ramadhan1544 жыл бұрын
Shekh Allah atakulipa kuwa na subra
@user-wv6rl9bs7h6 жыл бұрын
حقا ما قلتم والله أعلم بما في قلوب الناس
@ndikumanaamadi58149 жыл бұрын
maashaallah
@jamaliali37886 жыл бұрын
Shekhe Nurdin Kishk acha kuwajibu hao masheh ila endelea kutupa elimu tunao kusikiliza na kufundishika juu ya maneno ya Allah na mtume wake
@bintalhwamer52916 жыл бұрын
MashaAllah Allah akuepushe na wanafikili shekh wetu kishky
@nkubitojaffar5584 жыл бұрын
kishky tuna kupenda
@hassanabdallah67166 жыл бұрын
Mashallah
@abdirahmanvideos5557 жыл бұрын
Allah amu hifadhi
@misbahmagezi30834 жыл бұрын
Sheikh kishki iyo nimitihani tu lakini wewe usivunjike moyo wewe endelea kufikisha dini ya allah
@jumaabdallah45544 жыл бұрын
Mungu atupe mioyo ya subra
@salmadashlaquimanelaquiman44276 жыл бұрын
Pole Sana shekh wetu una muluwa Wana umia Chuki zisizo msing tuungane kutangaza dini ye2 sio uo ujinga mnao ufanya baadh yenu
@jadinjam83356 жыл бұрын
Salmadashlaquimane Laquimane Naomba mnitajie huyo msomaji wa qur an
@jadinjam83356 жыл бұрын
Salmadashlaquimane Laquimane naombeni mnitajie msoji wa qur an
@wacmber21316 жыл бұрын
Salmadashlaquimane Laquimane ya kwanza ni ya sheikh ABDHURRAHMAN SUDAIS
@jumasalum26774 жыл бұрын
Nurdeen kishki ni mmoja wapo
@faridahfaa88568 жыл бұрын
mashaallah mtu ulio na matunda haukoc kurushwa mawe ,Allah awaifadhi masheikh wote kwa madui inshaallah
@cheupegmailcomHhcheupe8 жыл бұрын
+faridah faa in sha Allah
@ramadhanijumanne92053 жыл бұрын
Aslm alykum
@omarameirsalum88796 жыл бұрын
Baheroooooo
@rahiimaa.2947 жыл бұрын
wacha waseme, nimekuchagua wewe km mwalim wangu. hongera sheikh kishk.
@jumasalum26774 жыл бұрын
Na Mimi pia ni mmoja wapo
@allykasumuni27306 жыл бұрын
Innsha allha
@adalabri27917 жыл бұрын
mtihani tuwafikirieni waislm wezetu heri mbna jmni wachungaji hao wakiristo hawakai kma hivi ssi tujitahidi ukijiona wwe una elimu basi yuko alokuzidi tufuate mwenendo wa mtume na kur;an
@hawayusupph77455 жыл бұрын
Mashaallaah endelea kutupa nasaha
@hamisibora626311 жыл бұрын
Wakati una comment fikiria kwanza kabla huja post, hivi wewe ukifa hii post yako itakufa au itabaki hapa kuendeleza unafiki? Ewe mwenyezi Mungu tujaalie sote kusoma dini na vitabu sahihi wala sio vile vya kupotosha. Kataa kutumiwa na watu maana ukifa utajibu maswali yako tu hautajibu ya kwangu.
@tiwasavagefntiwasavage23764 жыл бұрын
Mungu atakulipa utasimamanae siku ya kiama
@motivationalnation75716 жыл бұрын
may Allah forgive us
@eblaabdullahi54914 жыл бұрын
Shehe huyu Hana makosa wacha uhasidi
@mtoramtora91526 жыл бұрын
Hawa mashehe ni mwndo wa taarBu na wenzao huko ndo kumfundisha mungu ama
@fauziamohamed617211 жыл бұрын
Muogopeni Allah na kumbukeni siku ya malipo kwani utasimamishwa na kuulizwa dhuluma uliyomfanyia mwenzako kwa ajili ya wivu tu. wivu unakula kheyrat kama moto unavyokula kuni. utajutia amali zako ulizozifanya kwa ikhlas umezipoteza kwa husda.
@hakizimanaomar3954 жыл бұрын
Allah atusameh
@hamimumchicha80286 жыл бұрын
kishki yuko sahihi bali husda tu inawasumbua
@malikkakangaakakangaa65306 жыл бұрын
Kishk fainakulu dhineghema makhusudu achananawo hawo ukiwa naneema yeyo te lazima baadhi yawatu watakuchukia wapotezee watabak hivo hivo badala yakulingania
@bellaabu57265 жыл бұрын
Qassim mafuta ni mwiba wa koo
@nassorali26266 жыл бұрын
Dah, huyu jamaa noma
@bashirumpendu94794 жыл бұрын
Na yeye awena nia mzuri anapokosolewa ktk haqqi akubali
@hawakiza60678 жыл бұрын
uwongo wao upo wapi
@khamissalum92855 жыл бұрын
Kishiki.tatzo.kubwa.huna hekima
@yasinsaid63545 жыл бұрын
Khamis Salum hekma gani unayoitaka?
@salumjumaruhaga25134 жыл бұрын
Ulishirki kuuwa Kwa Abudu Rogo, weye
@bashirumpendu94794 жыл бұрын
Huyu sheikh vip
@mbodzebemasika74775 жыл бұрын
Mimi.nawaheshimu sana mashekhe mnafanya kazi kubwa..lakini nawaomba mumuangalie Sheikh Athuman Maalim.awe role model wenu..mkikosoa anaejua mnatuchelewesha sie maamuma..
@alhamdulillah57965 жыл бұрын
Mama wa nyumba kumi, nampenda sana sheikh Othman maalim kwa ajili ya Allah. Mpole sana
@mbodzebemasika74775 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 Allah amuepushe na hali hii ya kukosoana ..aendelee na mstari wake
@allybmfaumes97645 жыл бұрын
kwann ukubali kuwa maamuma
@mohammedmwandagha95075 жыл бұрын
Hi
@mbossowcb19154 жыл бұрын
Wote ni mawahab
@zeddynatty93386 жыл бұрын
hawampeni Cox iwaongea ukweli
@hassanmatano54075 жыл бұрын
we mwenyewe bahero Mara ngapi umewatolea watu hukumu kuwa makafiri we vipi Leo unaongea kuhusu nasaha
@rashidayoub778410 жыл бұрын
Tatizo ni kutojua wapi tuchukue dini yetu lau tungekua tunajua kwanba hii elimu ya dini ndiyo dini yenyewe tungalichagua mahala pakuchukua
@WeBorn2DieAnyTime11 жыл бұрын
Ubora si kurikodi, Bali Ubora ni dhini Sawa ya Kislamu, mimi na fikiri ku rikodhi video ya dhini si makosa, Jazaaka Allahu kheiran for sharing.
@allybakari42977 жыл бұрын
kishk ongeza maalifa yakielimu kwa sababu akuna MTU anae kusengenya isipokua we unacema matabrih ndo wanao mfuata mtume kuliko watu wa sunna muogope Allah shekh
@kingempireempire78944 жыл бұрын
ukitaka kutaja aibu ya mwenzako anza yakoo
@haditvswahili40453 жыл бұрын
KARIBUNU KATIKA CHANNEL YETU, TAFADHALI USIKOSE KUTAZAMA VIPINDI VETU VAA ( BARAKA ZA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN ) VILIVO SHEHENI MAMBO MAZURI MENGI NDANI YAKE kzfaq.info/love/S4qZ4F3dlpXX-uY6XpWQUAvideos
@jasminyiddysulaiman98074 жыл бұрын
Mti wenye matunda
@suleimanbakar12714 жыл бұрын
kishki usijikweze katika dini nawe una maovu kibao
@uledihassan60654 жыл бұрын
Maovu ya mtu na toba ya mtu anaijuwa Allah usijivike uungu shetani wewe
@adalabri27917 жыл бұрын
tufuate mwenendo wa mtume na kur-an
@Noahhersi11 жыл бұрын
Tatiizo ya fitna katika dini ni kutokusoma someni dini ambayo ndio mwongozo qurani na hadithi
@saumuseif91894 жыл бұрын
Mti wenye matundaa
@mbagala111 жыл бұрын
Hahahahahahahahaha
@hawakiza60678 жыл бұрын
ugongao uko wapi
@aliomar56034 жыл бұрын
Hawa Kiza kiski elimu yake ndogo sana
@abdulrahmanbakar54168 жыл бұрын
angalieni jamn msishabikie someni jamani
@shaibuismaili47455 жыл бұрын
Kwanza ww anazungumza mbona waongea pumba maaaana huchungi misingi yakisheria.....halafu waongea tumbo kwanza hujuhata mafirqa pia wakosea hadi kutamka hadithi pia hiyo aya tatsil tukuwkilize halafu waleta ngonjela tooo masalafy lazma wabainishe uhizbi wenu we unaeongea nahuyo unaemdifai
@mumbeaziza45229 жыл бұрын
Assalaam alayikum. Ww uliye tenga hii video ukisema bahadhi ya makosa ya shrikh Nurdin kishi ..ww ndio una makosa umekosa kazi kazi yako nikuangalia kasoro za wenzako yy pia ni binahadamu akona makosa mbna ww usitowe cd zako tukakuona au tukakusikia kama ww .... In shaa Alla Allah akudhalilishe hapa duniani nankesho Akheri laah si ivyo mfuate sheikh ukamuombe radhi nanudelete hizi video zako za upuuzi AU UPANDE WASHEIKH MM NIKO PAMOJA NA WW NA NAMUHUNGA MKONO NA MM NI MWISLAM TENA AL SUNNAH AL JAMAA .... NA SHEIKH YY ANA MAKOSA ANASEMA WALIO YASEMA WALIO TANGULIA NGABLA YAKE SAWA. MUONGOPE ALLAH WW UNAE MSHAFULIYA JINA MWISLAMUNMWENZAKO... UJUI KAMA UTAULIZWA JUU YA HAYA YAWUL QIYAMA ?? UKISHUNGUZA WW UTAKUWA MIONGONI MWA WANAFIKI AU MAKAFIRI .....MUCHE ALLAH .
@az151139 жыл бұрын
Kawaida watu wa maulidi hawana maneno wameharibu dina kwa ngoma zao wakiona watu wafnya dawah waona wivu
@mrsdully16138 жыл бұрын
swadakta
@machoyote39916 жыл бұрын
Dulaboy Kibwana wacha ushabiki soma
@khalidunited59786 жыл бұрын
Mumbe Aziza kweli
@rahmamohammed20167 жыл бұрын
Subhanallah
@musamgutu77604 жыл бұрын
Jamani nduzangu binadamu hatujakamilika tunaacha Mambo makubwa tunangaalia vitu vidogovidogo kilamtu anamuona anakosea wewe yakwako yakowapi? Tuya onebasi kishiki endelea shekhe tunakupenda manafki yakomengi nahayaishi ukiwa na najuuzuu zako kichwani 3 basina wawe mjuuzii nakupenda shehe
@abubakarmzee33744 жыл бұрын
Na wewe behero mnafiki tu
@hasanially92945 жыл бұрын
Ndugu yaonyesha una uchache wa elimu MTU ana hukumiwa dhwahiri yake haya maneno AME yasema harifa wa. Pili OMARI huyo kishiki abainishe mapoti lipi laenda peponi mtume asema umma huu utafarikiana makundi 73 Je ni lipi shia ibadhii watu wamaurid au answari au Sarafiyuu ni lipi
@suleimanbakar12714 жыл бұрын
kishiki hata kilemba hujui kufunga hapo unasududije?
@jumasalum26774 жыл бұрын
Wewe ndi0 hujielewi kwani yeye kakwambia anajua au hajui wacha kiki izo hataufanyaje huyo ni sheikh wa kimataifa kishki
@abassking82964 жыл бұрын
Ndo waliotaja hawa kwa mambo madogo tu unamkosoa mwenzio kwani ww na yy anayevaa kilemba Sana Nani
@alishariff86576 жыл бұрын
Kishki na Bahero ndio mafasiqi wakubwa katika Africa ya mashariki
@hasanially92945 жыл бұрын
Malengo yako ni kuwa pamoja na watu wa bidaaa
@jumasalum26774 жыл бұрын
Wewe unaijua bidaa au na wewe ilimradi ukoment
@alhabibkassim304411 жыл бұрын
wee salim khatib disco dancer umejaa maasi mpaka sura yako imekosa nuru wacha kudanganya na kutukuwa hela za bure za urongo kwa hababa serikalini, fanzeni kazi warongo wahuni nyiye. eti mwatowa dawah huku wahuni warongo
@yasminyaska.channel88494 жыл бұрын
even the utubers could not post such thinks this create hatred among Muslims even those who r against sheikh nurdin just go and have speech to non Muslims and make them the way of Islam many had no deen
@abdullmohdy52789 жыл бұрын
Waislam tnatkiwa tuelew na tsome kwanza before to comment anything kwa sabab hii ni dini ya wasomi kwa hio hizi points mnazobishania ni kutokna na elim yetu ndogo na kukataa kusoma swala la kuangaloa weakness za sheikh nuridin tu sasa mbna hamsemi mazuri yake,why hamyatangazi lkni na hayo mabaya yenu hamyasemi mnasema ya masheikh tu
@abuushaakirayubu94765 жыл бұрын
mkamilifu ni Allah wewe mjinga usojifahamu kazi Yako kutaja makosa ya watu umeambiwa yeye nimaasumu???wew unaemtaja kishki au mwingine kwakosa alolifanya. wew ndio mjinga na hatawalimu wako wapumbavu wameieka ilmu so mahala pake..achakuchunguza ya watu..au umeumbwa ili uchunguze ya watu??nyie fanyeni daawa acheni kuwasikiza wapuuzi hawa wapuuzi. kishki na kundi lako fanyeni kazi ya Allah..
@rashidibrahimshemlugu78456 жыл бұрын
Itakuaje shekh nchi yako haijakaa sawa kidini wakimbilia nchi za wenzio unatafta nn? tueneze mihadhara kwanza hapa kwetu Tanzania