Mm naumia sana ninapoona Baba mzazi wa Ally kamwe anaingia kushindana na mtoto inauma sana, unatafuta nn mitandaoni? Au unataka akukosee ili umutafutie laana na kuwapa watu misemo? Kwa nn lakini baba? Fanya kazi zako achana na mitandao unamharibia mwanao kazi vijembe vyao wanavyopeana mitandaoni wakati mwingine vinaburudisha mpira , na soka letu linakuwa. Jifunze kupitia mzee sande manara kipindi mtoto wake yupo simba wala hakuwa kama ww alijua mtoto wake yupo kazini.
@user-gr9px4pi2w7 ай бұрын
Mzee mimi namshauri mahojiano yeyote asikubali kuchonganishwa na mwanae azungumzie yeye mapenzi yake na simba tu,, vinginevyo huko mbele utachekwa utaonekana ni mzee wa ovyo sana , Chunga kauri zako hasa wanapokuchonganisha na mwanao
@linuskyando41558 ай бұрын
AHMEDY ALIWAHI SEMA YANGA MAITI,MZEE ALI KAMWE HAKUSIKIA?
@user-bv1hu9ih3u8 ай бұрын
Usimtishe mtoto na mapenzi yake juu ya timu yake ww penda timu yako. Kuitwa Simba mbwa ni kosa kwa utani wetu??
@linuskyando41558 ай бұрын
JIONDOE KWENYE USHABIKI MZEE ALI KAMWE MADONGO YANATUPWA KWA SHABIKI YEYOTE WA SIMBA,KAMA NI MMOJA WAO ACHA DAWA IKOLEE,MBONA AHMEDY ALI ALISEMA YANGA MAITI MAANA YAKE ALI KAMWE MBONA HUKUMKEMEA
@NiaNayna-lp9cu8 ай бұрын
😂😂
@awetumtengera11478 ай бұрын
Mzee kamwe ww ni simba sawa lakini isifikie mtoto wako ashindwe kufanya kazi kwa sababu ya ww baba yake siyo vizuri. Hii mitandao kuwa nayo makini wanakuja kukuhoji hoji tu ili wakugombanishe na mtoto wako kuwa makini na mitandao. Mwache Ally ashindane na wasemaji wenzake kama ahmedi Ally na siyo ww tena unaingia uko. Baba tafadhali tunakuomba kumbuka Ally yupo kazini kupeana vijembe na wenzake ni kawaida sana, hata yy anapokea maneno machafu vile vile kutoka kwa wenzake mbona hayo huyaoni? Unayaona ya mwanao tu? Kwa nn unamnyima uhuru mtoto wako? Na kama vipo vya kumurekebisha kwa usiongee nae kirafiki mnapokuwa nyumbani ? Ni lazima ufike mitandaoni ? Tunajua mzazi ni mzazi hakosei lakini kwa hili unamkosea sana mtoto wako kuwa na mipaka ya kuongea.
@user-ks8oy9lt7z8 ай бұрын
Anashindana na wasemaji au anatukana watu wote kwa sababu ya tumbo?