Kama kuna mtu amegundua kuwa BABA LEVO anapenda elaaa, gonga like zangu, mana uyu jamaa akijitikisa tu, kinua mgongo icho hapo.
@christopherrichmangi85704 жыл бұрын
Nimependa maneno ya KIIMANI ya baba levo.Mungu akuzingire kwa nguvu zake in Jesus name Amen
@rehemadani36004 жыл бұрын
Sema kamanda
@fubanjenjele5214 жыл бұрын
Huyu jamaa ni mchekeshaji sn Baba level bhana, piga Kazi mzee baba
@godhelplatia30443 жыл бұрын
Ahaaa baba Levo umenifurahisha sana,urithi wa matisheti na majinsi ahaaaa hakika hotuba inatia moyo pamoja na majaribu
@moodychanday92204 жыл бұрын
Badala ya kuhuzunika badala yake wanacheka 😂😂😂 acha nami nicheke mana c kwa kifua kulia Puh!!! 😂😂
@mobaisa17044 жыл бұрын
ttz msimuliaji anaslimulia huzun kwa kufurahisha
@moha90434 жыл бұрын
Babalevo💪💪🇸🇦🇰🇪🇸🇦💪🇸🇦
@hadija8464 жыл бұрын
Pamoja sana kamanda✌️💖💞😍
@theuniversetv28702 жыл бұрын
Leo hii chawa wa diamond,,live changes very quickly jamn
@tomathsalamba75514 жыл бұрын
kila mwanasiasa mungu mungu mungu huyu jamaa sijamwelewa naomba msaada wenu poleni kwa. usumbufu
@rukiamwakinyo53244 жыл бұрын
😂😂😂😂🤣🤣levo si mtu nzur
@gavanashy31974 жыл бұрын
Nimekuelewa sana baba Levo ...
@elianifaaluka47903 жыл бұрын
Amen imani yako tu
@gracemakiwa51832 жыл бұрын
Baba levo hapo kwenye Biblia bado Sana kaka yaaan nimeishia kucheka
@harountuesday96684 жыл бұрын
Pole sana.
@kibonaamenye68784 жыл бұрын
aliye mwelewa huyu jamaa anacho waeleza wananchi wa kata yake, anisaidie
@juhudiacademy21704 жыл бұрын
KIBONA AMENYE sijaelewa kabisaa
@jonathanmlinda25803 жыл бұрын
Hahahahaa
@fatumamaiga84963 жыл бұрын
Hata mie sjamuelewa
@joramchristian40424 жыл бұрын
Fisiem watapata tabu sana wenye akili wapo upinzani acha wabaki na mbulula wao Respect Baba Levo 🤝
@amanirubondo41203 жыл бұрын
Bulevo baba nakupenda sana mtu wangu
@uwezoamani59344 жыл бұрын
Sana2 mchawi utamjua2 huwa haishiwi sababu jiwe juu ya jiwe levobaa mchaka mchaka si tunakuambin imeishaio D S M
@lillianeriksson81834 жыл бұрын
Safi sana kamanda
@amberrose40584 жыл бұрын
Nakubali mkuu wangu
@kingwatabata42304 жыл бұрын
Daah kweli wapinzani amna kitu😢
@moseskaduma23044 жыл бұрын
Hapo unaongelea familia yako au nin maana sielewi kitu huwezi kukusanya watu kwa lengo la kuyanadi maisha yako
@edwardmsongelwa54554 жыл бұрын
Jaribu KUA mkweli na ukweli utakuweka guru sasa usi changanye mambo Fanya unayo stahili kufanya kwa wananchi wako hilo ndio muhimu
@zaiiomary89704 жыл бұрын
Baba lev wew unaniacha hoi na historya yako😂😂🙏
@africanboyamani86404 жыл бұрын
✌️
@philibettofilovitali39134 жыл бұрын
Pole
@wencesilausfidel7144 жыл бұрын
Fanya kazi mzee
@eventelias35664 жыл бұрын
Viongozi ndio mjifunze sasa sio mnaamlisha watu kirahisi tu wafungwe mnaona jela kama jando huyu kakaa miezi tu leo imekuwa story.
@deosebaruhanga41534 жыл бұрын
Hapa kwani ndo anaongea sera za chama chake kwa wapiga kura????je ukivunja sheria wakufanyie sherehe?hawa wananchi nao vilaza tu wangeisharudi majumbani!!hivi watanzania wanataka haya kweli?
@shibilitimedia33124 жыл бұрын
Na cha ajabu anatanguliza masilahi ya familia yake
@jovinejaphet16754 жыл бұрын
Huyu nae kiongoziii😁😁😁😁😁😁😁
@husseinkonz51924 жыл бұрын
Uliyataka mwenyewe wacha yakukute
@mabularashidi3214 жыл бұрын
Mwishowako 2020
@deluxermahyono52904 жыл бұрын
Kwafaida ya nanani hata umkamie?
@amberrose40584 жыл бұрын
Apo Kwa Daniel pataaamu
@goodlucktemu31494 жыл бұрын
Kabla ujafa nipe laki yangu ninayo kudai #babaLevo
@norascombedule10574 жыл бұрын
Safi
@calvinkitaly93764 жыл бұрын
Pamoja sana
@paschalewamtaa7264 жыл бұрын
jamaaa komedy saana
@Cryptocurrency_Tanzania4 жыл бұрын
kilichofanya ufungwe ni kusemaa au kumpiga askari wa usalama barabarani...... me ni mpinzani ila hiko hapana mzee...
@masasirichard27094 жыл бұрын
Hahahahaha! Kwelii
@raphaelsamwel26404 жыл бұрын
Huna akili angempiga askari mahakama kuu wangemuachia???
@Basagamp44 жыл бұрын
B Levo Baaaàaaaaaaaaaah
@jeffgaston69534 жыл бұрын
Chizi wew
@gizakazeno16884 жыл бұрын
Sera?
@Rugemalilatv19943 жыл бұрын
Anapiga story na wanakata wake hivo ndo vizuri yupo karibu nao
@paulmangombe68034 жыл бұрын
hambu hambu wa lyaga nyawanga
@munirahassan22204 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Jaman baba wewe
@abdilahijumanne14154 жыл бұрын
Umewakusanya mzee
@paulebby15524 жыл бұрын
😂😂😂😂wapinzani bana
@asanteyesu46324 жыл бұрын
Muombe Mungu akupe hekima
@timezonlinemedia26654 жыл бұрын
Eti nimeua joka😂😂😂😂😂
@damariszuckschwert94894 жыл бұрын
Hiyo story ya Daniel ya kuuwa nyoka kwa kutumia lami na nywele mbona sielewielewi? Wacha nikaitafute kwenye Biblia yangu.
@salymkitumbika86444 жыл бұрын
Unaelezea mshahara na namna yakutumia huku wananchiwako wananjaa unanianhushaa
@happymsaki17204 жыл бұрын
Usijiombee kifo ndgu yngu
@mrschura31344 жыл бұрын
Kama unamkubali baba Levo. Nipe like zakutoshaa.wadau
@kulwayusufu5882 Жыл бұрын
Nakubli xan kiongoz wang
@elishakayagwa93714 жыл бұрын
Mmmh sijakuelewa baba levo
@paschalmichael27303 жыл бұрын
Hata waje na vumbi la Congo ,baba levo hang'oleki ng'o
@patrishadickson33654 жыл бұрын
matishet majinz hahaha
@mosozifamily76334 жыл бұрын
Kwa viongozi hawa kigoma. .mjini maendeleo 0 😂😂😂😂😂
@anneapollo8904 жыл бұрын
Mosozi Family umeonee hakuna lolote walilolifanya kazi kuongea hovyo
@asetinyjohn51754 жыл бұрын
Mbona siwelewi point unazoziongea.. ? Wananchi wanakuchora tu wanataka maendeleo wewe we unawapelekea sanaa inayokupa wewe ugali wananchi wako wanalala njaa.
@mariamulenga88464 жыл бұрын
Hahahaha hatari sana
@mussanassoro552 Жыл бұрын
Leo umekuwa chawa promax
@sagandamalechampullo6594 жыл бұрын
Safi sana kiongozi, tunaomba Viongozi 3 tu, wa kuwa kama wewe Kigoma na Magharibi kwa ujumla
@homeboybeyondtheborders49354 жыл бұрын
🤔
@bigboys0164 жыл бұрын
B LEVO
@naslee10104 жыл бұрын
Mpaka kifua kinasema paaaah😂😂
@loner_wolf4 жыл бұрын
Cjakuelewa Mkuu.... Pumba tupu yaan. Kigoma Kazi ipo
@hassanjuma62544 жыл бұрын
Baba levo, bangi, Ilaa nakukubali mana ghafla umekuwa kama comedian ivi, ilaa chama changu ni CCM, endelea kutoa darasa.
@boniphacetabu29034 жыл бұрын
Rudi kwenye mziki mjomba tumekumisi sana kwenye game la mziki
@karimswai11404 жыл бұрын
Uyoo hapana mziki labda akalime mafuta uko ya mchikichi
@lilfit51064 жыл бұрын
I know this guy he can bring fun in his speech 🤣🤣🤣😂😂😂
@nebarthmoses65044 жыл бұрын
nimeambulia kujua mshahara wa diwani
@maligeltabatholomeo81284 жыл бұрын
😂😂😂 nacheka kama mazuri vile
@amosaruta224 жыл бұрын
Kwanza jina lako unaitwaga nani
@kadutukibopa53484 жыл бұрын
Hii ñdio 1 trend
@venitarugemalila9290 Жыл бұрын
Hahaaaaa urithi
@paulnghaburi40584 жыл бұрын
Cjaelewa kitu apa
@evansokemwa65874 жыл бұрын
unajua mdomo ndio mbaya saidi kuliko bunduki mzee?
@fikirimoshi71524 жыл бұрын
Jamani mm sina coment maana maneno mulio mpa yanamtosha
@zefrinhendric40114 жыл бұрын
Bwege wadanganye hao
@jumaigembemakula36984 жыл бұрын
Huyu ni msanii ukiona watu wanamsikiliza ujue wamemisi show Na hapo ni show kweli kweli
@eventelias35664 жыл бұрын
kweli asee
@hezronsanga23844 жыл бұрын
Hufai kua kiongoz nenda kalime hata michicha huna swaga
@abdulmalickupete90154 жыл бұрын
Kwa hiyo hujilaumu kwa makosa yako halafu unaongea utumbo tu
@nickomlimbila2174 жыл бұрын
GEREZAN HAMNA BIA 😀😂
@saidomar85023 жыл бұрын
Kwel
@amirymusa95534 жыл бұрын
Yani utulize akili sana ndo utajuwa tuwaombee mungu tu viongozi wetu wanao penda maendeleo yetu
@hanifahassan91384 жыл бұрын
Nilijua umesoma qur. Ani
@kelbeckmusicworld17364 жыл бұрын
🤣😂😂😂😜😜 wauni nooma
@wazirally17914 жыл бұрын
Daniel na Jela wap na wap hahhahhah
@youngrappertz17354 жыл бұрын
😂😂😂noma
@Amneamne-qi2du4 жыл бұрын
Pole sana baba levo
@KingaziJr4 жыл бұрын
Wa tz nishida
@maezadam54924 жыл бұрын
Hahahaha et ma nyumba hakuna
@dominikishilali1944 жыл бұрын
Wata vaa tishe na majinzi
@oyay28213 жыл бұрын
Story teller
@adammjomba71124 жыл бұрын
Abubakari kisuju mshahara wa baba Levo wa 3.5 ni bora kuliko huo udalali wako unaopata 3 5 kwa nusu sasa. Ujue kwamba udalali sio kazi ni utapeli uizi na balaa chungunzima .wapi kumeandikwa udalali ni kazi? Madalali wote ni waizi tu kutwa nzima mnakaa ktk vijiwe .usiku mnabadilika kukaba watu na wanawake kwa jumla . Leo unalinganisha udalali na udiwani;?
@mgawerevocatus85824 жыл бұрын
Jamani si nasikia wapinzani hawaruhusiwi kufanya mikutano? Au huyu ni ccm?
@deluxermahyono52904 жыл бұрын
Inakuuma saaana yaani eti
@mgawerevocatus85824 жыл бұрын
@@deluxermahyono5290 Soma swali kwa upya kisha ujibu
@lewiskinoni15074 жыл бұрын
Mgawe Revocatus ni diwani anaongea na wananchi.. Angekuwa sio diwan asingeruhusiwaa
@otmarykiowi41324 жыл бұрын
Mikutano inaruhusiwa, kila mtu afanye kwenye eneo lake la kazi.
@otmarykiowi41324 жыл бұрын
Mikutano inaruhusiwa, kila mtu afanye kwenye eneo lake la kazi.
@frankkaiza36584 жыл бұрын
Pambana kijana chukua jimbo kwupe peeeee una subir kuapishwa2.....!!!!!!!
@majaliwabwitonde77494 жыл бұрын
Unasema nini? Unataka upige mtumishi halafu uachwe?
@rashidbusanya71664 жыл бұрын
Huyu mbona anajikanyaga mwenyewe hata hakuna point ya msingi huo ni uchochezi bila sababu wewe uliwafanyia fujo askari usalama barabaran sasa unaleta uchochezi wa kisiasa wa nini sasa hapo
@paulkisatulusana11424 жыл бұрын
Ndo maana ukifanya makosa utajutie
@jeffgaston69534 жыл бұрын
Na umekonda mjinga wew unaongea uchizi
@edwinjohn22264 жыл бұрын
Sera zingine bwana hivi huyu atapigiwa kura tena?
@deluxermahyono52904 жыл бұрын
Anafurahi na watu wake ni km ule ujinga wa Pombe kwa walevi wenzie
@rajabhussein37184 жыл бұрын
Me mwenyewe kula yangu baba levo
@erickkasavaga26464 жыл бұрын
Unataka apigiwe nani, we sarange
@husseinsansa8304 жыл бұрын
Aaàà so kwakunivunja mavu
@deusmauka96264 жыл бұрын
Acha ujinga, toa ngoma inayoendana na msoto uliopitia.