BABA LEVO AKIHADITHIA MAISHA YA GEREZANI ’’MIMI KINACHONIANDAMA NI KUFA''

  Рет қаралды 169,801

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

Пікірлер: 215
@hassanjuma6254
@hassanjuma6254 4 жыл бұрын
Kama kuna mtu amegundua kuwa BABA LEVO anapenda elaaa, gonga like zangu, mana uyu jamaa akijitikisa tu, kinua mgongo icho hapo.
@christopherrichmangi8570
@christopherrichmangi8570 4 жыл бұрын
Nimependa maneno ya KIIMANI ya baba levo.Mungu akuzingire kwa nguvu zake in Jesus name Amen
@rehemadani3600
@rehemadani3600 4 жыл бұрын
Sema kamanda
@fubanjenjele521
@fubanjenjele521 4 жыл бұрын
Huyu jamaa ni mchekeshaji sn Baba level bhana, piga Kazi mzee baba
@godhelplatia3044
@godhelplatia3044 3 жыл бұрын
Ahaaa baba Levo umenifurahisha sana,urithi wa matisheti na majinsi ahaaaa hakika hotuba inatia moyo pamoja na majaribu
@moodychanday9220
@moodychanday9220 4 жыл бұрын
Badala ya kuhuzunika badala yake wanacheka 😂😂😂 acha nami nicheke mana c kwa kifua kulia Puh!!! 😂😂
@mobaisa1704
@mobaisa1704 4 жыл бұрын
ttz msimuliaji anaslimulia huzun kwa kufurahisha
@moha9043
@moha9043 4 жыл бұрын
Babalevo💪💪🇸🇦🇰🇪🇸🇦💪🇸🇦
@hadija846
@hadija846 4 жыл бұрын
Pamoja sana kamanda✌️💖💞😍
@theuniversetv2870
@theuniversetv2870 2 жыл бұрын
Leo hii chawa wa diamond,,live changes very quickly jamn
@tomathsalamba7551
@tomathsalamba7551 4 жыл бұрын
kila mwanasiasa mungu mungu mungu huyu jamaa sijamwelewa naomba msaada wenu poleni kwa. usumbufu
@rukiamwakinyo5324
@rukiamwakinyo5324 4 жыл бұрын
😂😂😂😂🤣🤣levo si mtu nzur
@gavanashy3197
@gavanashy3197 4 жыл бұрын
Nimekuelewa sana baba Levo ...
@elianifaaluka4790
@elianifaaluka4790 3 жыл бұрын
Amen imani yako tu
@gracemakiwa5183
@gracemakiwa5183 2 жыл бұрын
Baba levo hapo kwenye Biblia bado Sana kaka yaaan nimeishia kucheka
@harountuesday9668
@harountuesday9668 4 жыл бұрын
Pole sana.
@kibonaamenye6878
@kibonaamenye6878 4 жыл бұрын
aliye mwelewa huyu jamaa anacho waeleza wananchi wa kata yake, anisaidie
@juhudiacademy2170
@juhudiacademy2170 4 жыл бұрын
KIBONA AMENYE sijaelewa kabisaa
@jonathanmlinda2580
@jonathanmlinda2580 3 жыл бұрын
Hahahahaa
@fatumamaiga8496
@fatumamaiga8496 3 жыл бұрын
Hata mie sjamuelewa
@joramchristian4042
@joramchristian4042 4 жыл бұрын
Fisiem watapata tabu sana wenye akili wapo upinzani acha wabaki na mbulula wao Respect Baba Levo 🤝
@amanirubondo4120
@amanirubondo4120 3 жыл бұрын
Bulevo baba nakupenda sana mtu wangu
@uwezoamani5934
@uwezoamani5934 4 жыл бұрын
Sana2 mchawi utamjua2 huwa haishiwi sababu jiwe juu ya jiwe levobaa mchaka mchaka si tunakuambin imeishaio D S M
@lillianeriksson8183
@lillianeriksson8183 4 жыл бұрын
Safi sana kamanda
@amberrose4058
@amberrose4058 4 жыл бұрын
Nakubali mkuu wangu
@kingwatabata4230
@kingwatabata4230 4 жыл бұрын
Daah kweli wapinzani amna kitu😢
@moseskaduma2304
@moseskaduma2304 4 жыл бұрын
Hapo unaongelea familia yako au nin maana sielewi kitu huwezi kukusanya watu kwa lengo la kuyanadi maisha yako
@edwardmsongelwa5455
@edwardmsongelwa5455 4 жыл бұрын
Jaribu KUA mkweli na ukweli utakuweka guru sasa usi changanye mambo Fanya unayo stahili kufanya kwa wananchi wako hilo ndio muhimu
@zaiiomary8970
@zaiiomary8970 4 жыл бұрын
Baba lev wew unaniacha hoi na historya yako😂😂🙏
@africanboyamani8640
@africanboyamani8640 4 жыл бұрын
✌️
@philibettofilovitali3913
@philibettofilovitali3913 4 жыл бұрын
Pole
@wencesilausfidel714
@wencesilausfidel714 4 жыл бұрын
Fanya kazi mzee
@eventelias3566
@eventelias3566 4 жыл бұрын
Viongozi ndio mjifunze sasa sio mnaamlisha watu kirahisi tu wafungwe mnaona jela kama jando huyu kakaa miezi tu leo imekuwa story.
@deosebaruhanga4153
@deosebaruhanga4153 4 жыл бұрын
Hapa kwani ndo anaongea sera za chama chake kwa wapiga kura????je ukivunja sheria wakufanyie sherehe?hawa wananchi nao vilaza tu wangeisharudi majumbani!!hivi watanzania wanataka haya kweli?
@shibilitimedia3312
@shibilitimedia3312 4 жыл бұрын
Na cha ajabu anatanguliza masilahi ya familia yake
@jovinejaphet1675
@jovinejaphet1675 4 жыл бұрын
Huyu nae kiongoziii😁😁😁😁😁😁😁
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 4 жыл бұрын
Uliyataka mwenyewe wacha yakukute
@mabularashidi321
@mabularashidi321 4 жыл бұрын
Mwishowako 2020
@deluxermahyono5290
@deluxermahyono5290 4 жыл бұрын
Kwafaida ya nanani hata umkamie?
@amberrose4058
@amberrose4058 4 жыл бұрын
Apo Kwa Daniel pataaamu
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 4 жыл бұрын
Kabla ujafa nipe laki yangu ninayo kudai #babaLevo
@norascombedule1057
@norascombedule1057 4 жыл бұрын
Safi
@calvinkitaly9376
@calvinkitaly9376 4 жыл бұрын
Pamoja sana
@paschalewamtaa726
@paschalewamtaa726 4 жыл бұрын
jamaaa komedy saana
@Cryptocurrency_Tanzania
@Cryptocurrency_Tanzania 4 жыл бұрын
kilichofanya ufungwe ni kusemaa au kumpiga askari wa usalama barabarani...... me ni mpinzani ila hiko hapana mzee...
@masasirichard2709
@masasirichard2709 4 жыл бұрын
Hahahahaha! Kwelii
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 4 жыл бұрын
Huna akili angempiga askari mahakama kuu wangemuachia???
@Basagamp4
@Basagamp4 4 жыл бұрын
B Levo Baaaàaaaaaaaaaah
@jeffgaston6953
@jeffgaston6953 4 жыл бұрын
Chizi wew
@gizakazeno1688
@gizakazeno1688 4 жыл бұрын
Sera?
@Rugemalilatv1994
@Rugemalilatv1994 3 жыл бұрын
Anapiga story na wanakata wake hivo ndo vizuri yupo karibu nao
@paulmangombe6803
@paulmangombe6803 4 жыл бұрын
hambu hambu wa lyaga nyawanga
@munirahassan2220
@munirahassan2220 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Jaman baba wewe
@abdilahijumanne1415
@abdilahijumanne1415 4 жыл бұрын
Umewakusanya mzee
@paulebby1552
@paulebby1552 4 жыл бұрын
😂😂😂😂wapinzani bana
@asanteyesu4632
@asanteyesu4632 4 жыл бұрын
Muombe Mungu akupe hekima
@timezonlinemedia2665
@timezonlinemedia2665 4 жыл бұрын
Eti nimeua joka😂😂😂😂😂
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 4 жыл бұрын
Hiyo story ya Daniel ya kuuwa nyoka kwa kutumia lami na nywele mbona sielewielewi? Wacha nikaitafute kwenye Biblia yangu.
@salymkitumbika8644
@salymkitumbika8644 4 жыл бұрын
Unaelezea mshahara na namna yakutumia huku wananchiwako wananjaa unanianhushaa
@happymsaki1720
@happymsaki1720 4 жыл бұрын
Usijiombee kifo ndgu yngu
@mrschura3134
@mrschura3134 4 жыл бұрын
Kama unamkubali baba Levo. Nipe like zakutoshaa.wadau
@kulwayusufu5882
@kulwayusufu5882 Жыл бұрын
Nakubli xan kiongoz wang
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 4 жыл бұрын
Mmmh sijakuelewa baba levo
@paschalmichael2730
@paschalmichael2730 3 жыл бұрын
Hata waje na vumbi la Congo ,baba levo hang'oleki ng'o
@patrishadickson3365
@patrishadickson3365 4 жыл бұрын
matishet majinz hahaha
@mosozifamily7633
@mosozifamily7633 4 жыл бұрын
Kwa viongozi hawa kigoma. .mjini maendeleo 0 😂😂😂😂😂
@anneapollo890
@anneapollo890 4 жыл бұрын
Mosozi Family umeonee hakuna lolote walilolifanya kazi kuongea hovyo
@asetinyjohn5175
@asetinyjohn5175 4 жыл бұрын
Mbona siwelewi point unazoziongea.. ? Wananchi wanakuchora tu wanataka maendeleo wewe we unawapelekea sanaa inayokupa wewe ugali wananchi wako wanalala njaa.
@mariamulenga8846
@mariamulenga8846 4 жыл бұрын
Hahahaha hatari sana
@mussanassoro552
@mussanassoro552 Жыл бұрын
Leo umekuwa chawa promax
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 4 жыл бұрын
Safi sana kiongozi, tunaomba Viongozi 3 tu, wa kuwa kama wewe Kigoma na Magharibi kwa ujumla
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 4 жыл бұрын
🤔
@bigboys016
@bigboys016 4 жыл бұрын
B LEVO
@naslee1010
@naslee1010 4 жыл бұрын
Mpaka kifua kinasema paaaah😂😂
@loner_wolf
@loner_wolf 4 жыл бұрын
Cjakuelewa Mkuu.... Pumba tupu yaan. Kigoma Kazi ipo
@hassanjuma6254
@hassanjuma6254 4 жыл бұрын
Baba levo, bangi, Ilaa nakukubali mana ghafla umekuwa kama comedian ivi, ilaa chama changu ni CCM, endelea kutoa darasa.
@boniphacetabu2903
@boniphacetabu2903 4 жыл бұрын
Rudi kwenye mziki mjomba tumekumisi sana kwenye game la mziki
@karimswai1140
@karimswai1140 4 жыл бұрын
Uyoo hapana mziki labda akalime mafuta uko ya mchikichi
@lilfit5106
@lilfit5106 4 жыл бұрын
I know this guy he can bring fun in his speech 🤣🤣🤣😂😂😂
@nebarthmoses6504
@nebarthmoses6504 4 жыл бұрын
nimeambulia kujua mshahara wa diwani
@maligeltabatholomeo8128
@maligeltabatholomeo8128 4 жыл бұрын
😂😂😂 nacheka kama mazuri vile
@amosaruta22
@amosaruta22 4 жыл бұрын
Kwanza jina lako unaitwaga nani
@kadutukibopa5348
@kadutukibopa5348 4 жыл бұрын
Hii ñdio 1 trend
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 Жыл бұрын
Hahaaaaa urithi
@paulnghaburi4058
@paulnghaburi4058 4 жыл бұрын
Cjaelewa kitu apa
@evansokemwa6587
@evansokemwa6587 4 жыл бұрын
unajua mdomo ndio mbaya saidi kuliko bunduki mzee?
@fikirimoshi7152
@fikirimoshi7152 4 жыл бұрын
Jamani mm sina coment maana maneno mulio mpa yanamtosha
@zefrinhendric4011
@zefrinhendric4011 4 жыл бұрын
Bwege wadanganye hao
@jumaigembemakula3698
@jumaigembemakula3698 4 жыл бұрын
Huyu ni msanii ukiona watu wanamsikiliza ujue wamemisi show Na hapo ni show kweli kweli
@eventelias3566
@eventelias3566 4 жыл бұрын
kweli asee
@hezronsanga2384
@hezronsanga2384 4 жыл бұрын
Hufai kua kiongoz nenda kalime hata michicha huna swaga
@abdulmalickupete9015
@abdulmalickupete9015 4 жыл бұрын
Kwa hiyo hujilaumu kwa makosa yako halafu unaongea utumbo tu
@nickomlimbila217
@nickomlimbila217 4 жыл бұрын
GEREZAN HAMNA BIA 😀😂
@saidomar8502
@saidomar8502 3 жыл бұрын
Kwel
@amirymusa9553
@amirymusa9553 4 жыл бұрын
Yani utulize akili sana ndo utajuwa tuwaombee mungu tu viongozi wetu wanao penda maendeleo yetu
@hanifahassan9138
@hanifahassan9138 4 жыл бұрын
Nilijua umesoma qur. Ani
@kelbeckmusicworld1736
@kelbeckmusicworld1736 4 жыл бұрын
🤣😂😂😂😜😜 wauni nooma
@wazirally1791
@wazirally1791 4 жыл бұрын
Daniel na Jela wap na wap hahhahhah
@youngrappertz1735
@youngrappertz1735 4 жыл бұрын
😂😂😂noma
@Amneamne-qi2du
@Amneamne-qi2du 4 жыл бұрын
Pole sana baba levo
@KingaziJr
@KingaziJr 4 жыл бұрын
Wa tz nishida
@maezadam5492
@maezadam5492 4 жыл бұрын
Hahahaha et ma nyumba hakuna
@dominikishilali194
@dominikishilali194 4 жыл бұрын
Wata vaa tishe na majinzi
@oyay2821
@oyay2821 3 жыл бұрын
Story teller
@adammjomba7112
@adammjomba7112 4 жыл бұрын
Abubakari kisuju mshahara wa baba Levo wa 3.5 ni bora kuliko huo udalali wako unaopata 3 5 kwa nusu sasa. Ujue kwamba udalali sio kazi ni utapeli uizi na balaa chungunzima .wapi kumeandikwa udalali ni kazi? Madalali wote ni waizi tu kutwa nzima mnakaa ktk vijiwe .usiku mnabadilika kukaba watu na wanawake kwa jumla . Leo unalinganisha udalali na udiwani;?
@mgawerevocatus8582
@mgawerevocatus8582 4 жыл бұрын
Jamani si nasikia wapinzani hawaruhusiwi kufanya mikutano? Au huyu ni ccm?
@deluxermahyono5290
@deluxermahyono5290 4 жыл бұрын
Inakuuma saaana yaani eti
@mgawerevocatus8582
@mgawerevocatus8582 4 жыл бұрын
@@deluxermahyono5290 Soma swali kwa upya kisha ujibu
@lewiskinoni1507
@lewiskinoni1507 4 жыл бұрын
Mgawe Revocatus ni diwani anaongea na wananchi.. Angekuwa sio diwan asingeruhusiwaa
@otmarykiowi4132
@otmarykiowi4132 4 жыл бұрын
Mikutano inaruhusiwa, kila mtu afanye kwenye eneo lake la kazi.
@otmarykiowi4132
@otmarykiowi4132 4 жыл бұрын
Mikutano inaruhusiwa, kila mtu afanye kwenye eneo lake la kazi.
@frankkaiza3658
@frankkaiza3658 4 жыл бұрын
Pambana kijana chukua jimbo kwupe peeeee una subir kuapishwa2.....!!!!!!!
@majaliwabwitonde7749
@majaliwabwitonde7749 4 жыл бұрын
Unasema nini? Unataka upige mtumishi halafu uachwe?
@rashidbusanya7166
@rashidbusanya7166 4 жыл бұрын
Huyu mbona anajikanyaga mwenyewe hata hakuna point ya msingi huo ni uchochezi bila sababu wewe uliwafanyia fujo askari usalama barabaran sasa unaleta uchochezi wa kisiasa wa nini sasa hapo
@paulkisatulusana1142
@paulkisatulusana1142 4 жыл бұрын
Ndo maana ukifanya makosa utajutie
@jeffgaston6953
@jeffgaston6953 4 жыл бұрын
Na umekonda mjinga wew unaongea uchizi
@edwinjohn2226
@edwinjohn2226 4 жыл бұрын
Sera zingine bwana hivi huyu atapigiwa kura tena?
@deluxermahyono5290
@deluxermahyono5290 4 жыл бұрын
Anafurahi na watu wake ni km ule ujinga wa Pombe kwa walevi wenzie
@rajabhussein3718
@rajabhussein3718 4 жыл бұрын
Me mwenyewe kula yangu baba levo
@erickkasavaga2646
@erickkasavaga2646 4 жыл бұрын
Unataka apigiwe nani, we sarange
@husseinsansa830
@husseinsansa830 4 жыл бұрын
Aaàà so kwakunivunja mavu
@deusmauka9626
@deusmauka9626 4 жыл бұрын
Acha ujinga, toa ngoma inayoendana na msoto uliopitia.
@milhajiabdallah1681
@milhajiabdallah1681 4 жыл бұрын
Na bado utapelekwa tena kumbe
Это реально работает?!
00:33
БРУНО
Рет қаралды 3 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 119 МЛН
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 22 МЛН
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 22 МЛН
INTERVIEW SHOW  BABA LEVO  at COCONUT fm ..ZMOTION
7:05
Zanzibar lifestyle
Рет қаралды 79 М.
Baba levo
4:43
Isihaka Omar
Рет қаралды 40 М.
Это реально работает?!
00:33
БРУНО
Рет қаралды 3 МЛН