Babalevo sijapenda bado hujauponda uzinduzi wa album ya harmonize
@marleshjimmy19723 ай бұрын
😂😂😂khaaa
@malkavoice25703 ай бұрын
Pengine bila Sk hata huyo Mondi asingekuwa hapo hebu punguza kudeka
@karimjuma40193 ай бұрын
Kipara ndezi itakua ana roho mbaya sana
@AminaAbdullah-ws3wy3 ай бұрын
I agree with you
@user-lm5fu5tu5z2 ай бұрын
Pameanza kuchangamka sasa ndugu watazamaji 😂😂 Nikiripoti kutoka mitaa ya wasafi Mimi ni Godfley Monyo wa baba levo tv
@lyze9802 ай бұрын
Sallam ask wa wcb na sam larry wa nigeria kutoka lebo y malian record hawana tofauti
@Zenny893 ай бұрын
Sallam SK hataki ujinga Ndo maana… Hawa machawa wanataka mtu ambao wanaweza kumcontrol ili wapate hela.
@merinakassembe1182 ай бұрын
Salam hapendi ujinga
@henryking60703 ай бұрын
Mimi mwenyewe simpendi
@Marjeby3 ай бұрын
Sallam kiasili ni myahudi so roho mbaya ni lazma plus katoka maisha mabaya😅
@salomewandya72573 ай бұрын
Kabisaa
@afrocushitic3 ай бұрын
Ni myaudi au ni mwarabu mbona Kama ni mwarabu
@Marjeby3 ай бұрын
@@afrocushitic Ndio mwarabu myahudi yani ana damu ya kiyahudi japo baba yake ni mwarabu kutoka Yemen
@afrocushitic3 ай бұрын
@@Marjeby 👍👍
@user-wd2bc7bf5x3 ай бұрын
kumbe asante nimefaham @@Marjeby
@user-uj5wg9mm2t3 ай бұрын
Ila kiukwel Salam atakuwa na shida,,,,sio baba levo amelalamika,,roho mbaya itakuwa inamsumbua
@jeremiahcharles60273 ай бұрын
Lawama tu ,Kwan salam hanaga shobo na watu
@SmilingBeaver-rf6sf3 ай бұрын
Kwani wangapi wanalalamika kuhusu diamond. Hauwezi kupendwa na wote
@zainabhussein55422 ай бұрын
Sasa baba levo unataka Salam akupende Kwani wewe mwanamke wake hivi huyu baba levo ana akili kweli mwanaume mwenzako akupende akupeleke wapi ama ndio unataka uchawa kwake na mwenyewe hataki hebu jitulize kila mtu akupende wewe umekua wewe nani
@IMANWILLIAM-bl2ui3 ай бұрын
salam ndo aliwatengenisha Mond na washkaj zake sheta na Ney wa mitego, coz aliona wanatumia brand ya Mond kibiashara
@HamisiSimba-tj2zy2 ай бұрын
Mkigoma mshamba sana
@Bama9593 ай бұрын
Tanzania biashara imekuwa media tu maana kila mtu anapendq kuongelewa
@nicolenabintu25093 ай бұрын
Uyo salam haja wai kuwa mtu mzuri
@Faustine_Charles3 ай бұрын
Usisome comment za matusi
@user-fy9pw2zr8l3 ай бұрын
Sasa nilazima apendwe na kila mtu ama
@florayoram95633 ай бұрын
Ukiwa mkristu uniangalie wcb
@mjunimashauri53113 ай бұрын
Ni stant na kiki as usual don't believe in this shit😂