Watoto wa juzi hawawezi muongelea vizuri bambo hawamjui
@noahchepe80362 ай бұрын
😂😂bambo hata akiwa serious unajikuta unacheka tuu
@jameswissa99812 ай бұрын
Bambo katoa ya moyoni mwacheni aseme ukweli. Bambo ni Msanii mkubwa,lazima aumie kufanyiwa hivyo na watoto wadogo waliomkuta.
@baizobaizo66382 ай бұрын
Naisubir Hiyo Lugha Mmun'gunyo Inaonekana Itakuwa Balaa Sana
@Kushgang-cr4pv2 ай бұрын
Bambo kakasirika kwasabab dai mabaunsa wake walimzuia aspande kwa stage wakat anaparform.
@wimranpatrick2 ай бұрын
Mbona mzee wangu kakasirika
@Heisfeisalmwema2 ай бұрын
Kanumba alikuw ana bumshiti mamaee 😂😂😂
@ramiatebe83732 ай бұрын
C uandae show zako we kazee😂 eti nae kapiga piano😂😂
@suncheafrica2 ай бұрын
I love this guy 💪🏿
@nasrimohamed75562 ай бұрын
Hahaha eti Bambo kisa mkongwe anamuelekeza mondi kupga show hahahah
@moseskulola69132 ай бұрын
Noma
@EzekielTv492 ай бұрын
Watanzania mtu akifanikiwa wanahisi anatakiwa awasaidie na wao!!!mtu akifanikiwa sio lazima akusaidie na kama unaona ni rahisi kusaidia mtu fanikiwa na wewe awasaidie wengine,,,,sasa mtu anasema diamond hataki wengine wafanikiwe wale wasanii hawajafanikiwa!!,,aliiwaajiri je,, Watanzania wengi ni wapumbavu sana
@mudibojaffar92692 ай бұрын
Asante sana,, Nadhani watajifunza kupitia Comment Yao .sasa wanataka Diamond awasaidie Kila mmoja anaye taka Msaada,,alafu kingine nikuwa,,huezi famia show ya mtu bila mpangilio
@agnesjohn93822 ай бұрын
Ukiwemo na wewe
@ngolocomedian2 ай бұрын
Bambo wala hujakosea mimi mwenyewe yamenikuta hayo ...alikuja kigamboni huku ..ulikuwa mda wangu wa kupanda stagini kupafom comedy wakaanza kupanda wao aisee tangia saa nane hawakushuka mpaka show inaisha
@subirajohn7282 ай бұрын
Wewe Bambo acha kutafuta kiki zisizo na msingi!
@musiccaentertainment100k82 ай бұрын
Tunalijua hilo kitambo..
@Wamoyothenumberone2 ай бұрын
Bambo nimtu wakale sie vijana wakale namjua saan,toka 99 bambo yupoo anaimba anafanya music pia
@ananiamwatebela31592 ай бұрын
Sio kila mtu atasaidiwa na mond afu bambo umefilisika vibaya mzee mzima ovyo sana ww hivi huyo unayemsifia katokea wapi mpuz kweli huyu
@stevensosipita2 ай бұрын
WEWE FARA BAMBO HAKUTAKA MSAADA KWA MOND ISIPOKUWA MTANGA NA BAMBO WALIPATA MWALIKO NA WAZRI AWESU LAKINI MOND KAWABANIA WASIPANDE KUFANYA YAO MJINGA WEWE
@samirakashililika42232 ай бұрын
Nawewe kua mchoyo
@josepheriah59772 ай бұрын
Umbea uwo
@jumahalifa64362 ай бұрын
Mzee bambo naye kaingia kwenye mapiano 😅 toaizo pigachini mpaka bakuli
@salimrashidy35132 ай бұрын
Iyo mmung’unyo na izo akili za Bambo😅😅
@princebulas7372 ай бұрын
Babalevo ni mwanamke
@jerrymfinanga37732 ай бұрын
Etii mzaziii wetuu😂😂😂😂😂😂😂
@RaphaelZama-ql3eb2 ай бұрын
P0p0ppop0p
@Larrytzatza2 ай бұрын
Hakuna mtu aliyemzuri kwa watu wote.....kila mtu ana story mbaya kwa mtu fulani... that's life.....Bambo n mtu mzima sana hakutakiwa kuongea yote ayo maan pia kuna kesho.....Km yeye anajiona ana roho mzuri atuoneshe vijana wenzake au wazee wenzake aliowashika mkono wakapata ridhiki wakatoboa😂😂maan uyo mwenzake anayemsema kafanya tumeona na yeye atuoneshe......Maisha yako ni jukumu lako....pambana tu anko bambo😂😂😂
@sunwizy6082 ай бұрын
ukweli lakini umefika hongera Bambo utuuzima dawa
@j...8762 ай бұрын
Bamboo ahujawayi ku msemeya diamond kizuri hata sisi wa Kongo tuna lifahamu hilo
@mugishasteve3252 ай бұрын
Maisha yanafunza vitu vingi malafiki wanakupenda kwasababu ya kile ulichonacho.wachache wanakuthamini ukiwa hauna kitu.kikubwa ni kupiga moyo konde ukapambana na Mungu anakuwekea wepesi unafanikiwa yeye atakuletea watu sahii
Acha izo ndugu acha aseme ukweli mi mwenyewe yamenikuta Hayo
@emiliuskifigo30622 ай бұрын
We mtoto mdogo humfaham au umechelewa kuingia mjinii diamond kalalamikiwa na Ommy dimpoz kalalamikiaaa na Chidbenz Aya hermonize kama mmerogwa mnatetea ujinga
@T-Fellow2 ай бұрын
We Bambo, wewe kunamtu amekutuma kusema hayo.
@OnlyRuky2 ай бұрын
8:38 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@michaeljames4032 ай бұрын
Kwani hapo Bambo anafanya comedy ama yuko serious!!? maaana nahisi kucheka
@gideonemmanyi95932 ай бұрын
Kwamba mngepanda siku hile show ingezaraulika au?
@ScopionScopion-zj9cd2 ай бұрын
hahaaaaaaa kweli bn show ingechuka thamani kinoma watu wangesema duh mpaka yupo kweli huu niutoto
@atunselu24012 ай бұрын
Wakati wako ulishapita,acha makasiriko baba
@melki-kabalu7592 ай бұрын
Wakati wa mtu unapitaje????
@slymsameer54152 ай бұрын
Kwani unafuta wapi kwenye KZfaq au inakuwaje ok sasa hiyo show alipanga yeye ilikuwa yake au nae alialikwa tuu maana mnampango wakuchukia watu
@ramiatebe83732 ай бұрын
Nawe ushazeeka
@PatrickEmanel2 ай бұрын
Siku baba yako akikukalisha kukushaur mwambie umezeeka ndo utajua ulimwengu ni nini
@ramiatebe83732 ай бұрын
@@PatrickEmanel sawa babu ushauri
@agnesjohn93822 ай бұрын
@@PatrickEmanel😂😂😂😂
@WISDOMMUSANYA-kt1ry2 ай бұрын
kazizawatu ww ulitakaushukenanini
@nakalikyumile32342 ай бұрын
Sasa nyie ikiwa mlimtangulia huyo diamond sasa mna nini?
@simba95632 ай бұрын
😂😂😂povu
@Peterchila-un2lx2 ай бұрын
Anatafuta Kik kwa pikipik huyo inaonekana mkundu wake unamuwasha huyu mzee
@stargalinya51352 ай бұрын
Unatukana nn wewe Achauchawi
@melcksedeki10122 ай бұрын
Bambo anaroho mbaya sana
@mashramadhani19892 ай бұрын
BAMBO NAE ANATAFUTA KIKI TU
@dronemiguel22302 ай бұрын
Toka lin bambo akatafuta kiki mapenz yanakuzid na ww kias kwamba kila m2 akizungumza ukwel unaona kama anaonewa
@mashramadhani19892 ай бұрын
@@dronemiguel2230 Ukraine BWA wake wasanaa anatataka kupanda BILA mualiko Kwa stage kwakuwa bamboo noooooo
@agnesjohn93822 ай бұрын
@@mashramadhani1989alialikwa na wewe acha chuki za wazi
@mashramadhani19892 ай бұрын
@@agnesjohn9382 simchukii lkn muda wake wa kisanaa sio Mambo anatakiwa kupambana mayo sasa Kwa watoto zake.
@bonita3292 ай бұрын
Sijawai kumuona bambo kakasirika kiasi hiki😂😂😂😂
@MJ-rr6dy2 ай бұрын
yani hili zee pumbavu sana, alitaka diamond apite anagawa hela, bola mond kiki haopo linatafuta kiki kwanza hata halichekeshi halina hela njaa inalisumbua saa hz lawama we hela zako ulimpaga nani tuachie mond wetu pumbavù wewe
@ismailisungura34912 ай бұрын
Tafuta pesa yako acha majungu kenge m1 we
@mudibojaffar92692 ай бұрын
Huyu Katumwa Na Mataira wenzake kina Konde GIRL
@alibachirofficial39392 ай бұрын
Q chief alitumua piya? Mond sio mtu mzuri
@mudibojaffar92692 ай бұрын
@@alibachirofficial3939 Udhibitisho unao kama sio mtu mzuri.. Listen in this world not everyone will like you...Wengine wanamchukia kutokana na Wivu...So F*ck them All
@WISDOMMUSANYA-kt1ry2 ай бұрын
uingiekufanyanini sasa
@ashantinicasАй бұрын
mziki ni biashara kila mtu anapambana kivyake ili afanikiwe sasa nyie mnataka msaidiwe pumbavu nyie pambaneni mpate na nyie mnalaumu watu kwa matatizo yenu shenzi nyie.
@nangondoson13672 ай бұрын
😂
@jumachacha14392 ай бұрын
Acha njaa bambo
@mpsanga29142 ай бұрын
Hiyo kauli ya kufeli wewe hataufanyeje diamond atabaki kuwa mkubwa mbwa wewe
@khalsasalim79302 ай бұрын
Domo ana roho mbaya q chif pia ashalalamika
@hoseanobocka71402 ай бұрын
Huwezi kupendwa na Kila mtu hata yesu alikataliwa sembuse, hafu bambo anatafuta kiki anataka Diamond aongee hawezi kumjibu chochote na
@abdalahmohamedi18062 ай бұрын
Weee zombi simba la masimba dangote yaani mkimsema ndio mnampa kiki
@DeogratiusMadeje-os5ur2 ай бұрын
Kwenye ukweli mtu aambiwe ili ajilekebishe, kwan mwambino yeye n MUNGU? Hakuna binadam mkamilifu kwaiyo punguzeni ushabiki
@danrappergangamaa11902 ай бұрын
Bambooo kaongea pointi tupuuuu Diamond Platnumz roho mbaya.... Ila bambooo sahizi umerudi kwenye chati SAFI
@bfofficial17352 ай бұрын
SAfi sanaa
@Peterchila-un2lx2 ай бұрын
Wewe inaonekana mkundu wako unakuwasha unataka mond akufire
@Peterchila-un2lx2 ай бұрын
@@bfofficial1735mkundu wa Bibi yako wewe
@danrappergangamaa11902 ай бұрын
@@Peterchila-un2lx matusi tena mbona unatumika kauli chafu hivi
@marokeyLFM2 ай бұрын
Diamond platinumz sio mchoyo angalia ajira alizo wapea kwanza watu wengi wasafi 😂
@bfofficial17352 ай бұрын
Acha shobo na wasafi
@musiccaentertainment100k82 ай бұрын
Hyo ni kazi na biashara tofautisha biashara na kusaidia
@pilimwanza81172 ай бұрын
Duh we naeee
@mbwaralali50492 ай бұрын
@@bfofficial1735kwaiyo tz mzima mwenye roho mbaya ni mondi. Amuoni wale walio pandishwa kwenye show asubui. Wacheni basi kumuongea mtu abaye hata time na porojo zenu
@user-qx8wb1lf1v2 ай бұрын
Ametowa Ajira Kwa manufaayake Ili Nayeye Anufaike Wacha Ukuma
@S1rb0ny2 ай бұрын
😀😀 Futa kabisa mbwaa yule
@MJ-rr6dy2 ай бұрын
mond ana management yake na ni mkubwa, siyo akimuona bambo amwite, futa kwani ukifuta we nani ? peleka njaa zako huko swaini
@stevensosipita2 ай бұрын
CHAWA KAMA CHAWA MTAFILIKA SIKILIZA NDO UTOWE COMMENT BAMBO HAKUTAKA MSAADA ISIPOKUWA MOND KAWABANIA WASIPANDE JUKWANI KUTOA COMEDY YAO NA MTANGA BOYA WEWE
@jacksonmsendo34782 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@user-je8iw9jk1v2 ай бұрын
Mxenge sana huyo domo
@chekakizenjyzanzibar41532 ай бұрын
ukute bambo jina lake ni bambi😂
@shukurumgaya59502 ай бұрын
Mond jambazi sio wewe tu mulize chidi
@user-go6hi2pl8o2 ай бұрын
We mzee punguza shobo wewe na familia yako mkifuta nyimbo za simba sisi na uko wetu wote tuna download 😂😂😂sasa cakufanya aca maneno tuko bize na comment ça va na raha 😛🤪🤪🤪🤪🤪
@user-qz5yh1dl1n2 ай бұрын
Huyu d Mond ni umbwa kabisa kama umbwa wengine
@alzawahirabdallah22992 ай бұрын
Daimon angekuwa mkristo wangekuwa washamuabudu
@cathbetsolomon31512 ай бұрын
Matako nn unauhakika na unachosema have respect na dini za watu kiande weee
@alzawahirabdallah22992 ай бұрын
@@cathbetsolomon3151 ukiambiwa usibitishe ukristo dini unalo andiko aw unasema tu
@ramiatebe83732 ай бұрын
Kwani bambo ndio nani😂
@PatrickEmanel2 ай бұрын
Wewe motor wa 2ooo huwezi mjua huyu mwwamba tulia
@stevensosipita2 ай бұрын
UTAJUWA WAPI MTOTO MDOGO WEWE?
@jacksportman51812 ай бұрын
Njaa huleta lawama ⛷️😂
@emiliuskifigo30622 ай бұрын
Ommy dimpoz alimlalamikia Chidi dyna nyange bambo Q chief wote Wana wivu nae?
@luckybarbershop23422 ай бұрын
Oyawe muzeh mbambo kafanye comedy achana kwongea ushuzzzz www mzehe au do unska kufa
@MeenaHassan-fd9vv2 ай бұрын
na wewe kapande minazi ushushe nazi juma lokole wewe
@luckybarbershop23422 ай бұрын
Oya mim siyo choko mbwa ww...unafata na chawi BAMBO
@user-bv9ce5sd7u2 ай бұрын
Na WW km kuma yn
@khamisidowany62622 ай бұрын
Shabiki yangu diamond ila yanayo ongelewa abadilike bamboo kama bambooo ni mkongwe sana hawez kumsemea uongo pltnum abadilike
@raphaelmwaura16482 ай бұрын
Mjinga wewe wapi kasema yeye mungu ubwa wewe wivu tu una kusubua
@Sululumedia2 ай бұрын
Acha bamboo aongee
@Wamoyothenumberone2 ай бұрын
Unamtukana bambo we kama babaako heshim
@chugaprince2 ай бұрын
We msenge ww sisi diamond hatumjui
@ScopionScopion-zj9cd2 ай бұрын
ila bambo naww bn hivi kweli mtu andae show ya mamilion watu kibao Naww nae et upande pale sasa ww ukafanye Nini hebu acha utoto mzeee hii ww vp
@dollsouthtv21362 ай бұрын
Tuache unafiki uchoyo sio kwamba sababu kawaajili watu eti sio mchoyo anaweza kuajiri kuizuga Jamii ila ukweli wa nafsi huonekana kwa baadhi ya matendo mi sibishi ila lisemwalo lipo kama halipo laja
@KashindeKilovele2 ай бұрын
Wewe wakati wako uliwajar wangap mzeee tuoneshe hata nmoja uliyemshika mkono wakati wako