No video

BAMBO AMCHANA DIAMOND NI MCHOYO WEWE SIO MUNGU/HAKUTUTAKA SISI ALITUMBANIA/BABALEVO/TULIANO KIDOGO

  Рет қаралды 20,022

Carrymastory

Carrymastory

2 ай бұрын

Tumepiga story na Bambo

Пікірлер: 130
@dollsouthtv2136
@dollsouthtv2136 2 ай бұрын
Watoto wa juzi hawawezi muongelea vizuri bambo hawamjui
@noahchepe8036
@noahchepe8036 2 ай бұрын
😂😂bambo hata akiwa serious unajikuta unacheka tuu
@jameswissa9981
@jameswissa9981 2 ай бұрын
Bambo katoa ya moyoni mwacheni aseme ukweli. Bambo ni Msanii mkubwa,lazima aumie kufanyiwa hivyo na watoto wadogo waliomkuta.
@baizobaizo6638
@baizobaizo6638 2 ай бұрын
Naisubir Hiyo Lugha Mmun'gunyo Inaonekana Itakuwa Balaa Sana
@Kushgang-cr4pv
@Kushgang-cr4pv 2 ай бұрын
Bambo kakasirika kwasabab dai mabaunsa wake walimzuia aspande kwa stage wakat anaparform.
@wimranpatrick
@wimranpatrick 2 ай бұрын
Mbona mzee wangu kakasirika
@Heisfeisalmwema
@Heisfeisalmwema 2 ай бұрын
Kanumba alikuw ana bumshiti mamaee 😂😂😂
@ramiatebe8373
@ramiatebe8373 2 ай бұрын
C uandae show zako we kazee😂 eti nae kapiga piano😂😂
@suncheafrica
@suncheafrica 2 ай бұрын
I love this guy 💪🏿
@nasrimohamed7556
@nasrimohamed7556 2 ай бұрын
Hahaha eti Bambo kisa mkongwe anamuelekeza mondi kupga show hahahah
@moseskulola6913
@moseskulola6913 2 ай бұрын
Noma
@EzekielTv49
@EzekielTv49 2 ай бұрын
Watanzania mtu akifanikiwa wanahisi anatakiwa awasaidie na wao!!!mtu akifanikiwa sio lazima akusaidie na kama unaona ni rahisi kusaidia mtu fanikiwa na wewe awasaidie wengine,,,,sasa mtu anasema diamond hataki wengine wafanikiwe wale wasanii hawajafanikiwa!!,,aliiwaajiri je,, Watanzania wengi ni wapumbavu sana
@mudibojaffar9269
@mudibojaffar9269 2 ай бұрын
Asante sana,, Nadhani watajifunza kupitia Comment Yao .sasa wanataka Diamond awasaidie Kila mmoja anaye taka Msaada,,alafu kingine nikuwa,,huezi famia show ya mtu bila mpangilio
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 2 ай бұрын
Ukiwemo na wewe
@ngolocomedian
@ngolocomedian 2 ай бұрын
Bambo wala hujakosea mimi mwenyewe yamenikuta hayo ...alikuja kigamboni huku ..ulikuwa mda wangu wa kupanda stagini kupafom comedy wakaanza kupanda wao aisee tangia saa nane hawakushuka mpaka show inaisha
@subirajohn728
@subirajohn728 2 ай бұрын
Wewe Bambo acha kutafuta kiki zisizo na msingi!
@musiccaentertainment100k8
@musiccaentertainment100k8 2 ай бұрын
Tunalijua hilo kitambo..
@Wamoyothenumberone
@Wamoyothenumberone 2 ай бұрын
Bambo nimtu wakale sie vijana wakale namjua saan,toka 99 bambo yupoo anaimba anafanya music pia
@ananiamwatebela3159
@ananiamwatebela3159 2 ай бұрын
Sio kila mtu atasaidiwa na mond afu bambo umefilisika vibaya mzee mzima ovyo sana ww hivi huyo unayemsifia katokea wapi mpuz kweli huyu
@stevensosipita
@stevensosipita 2 ай бұрын
WEWE FARA BAMBO HAKUTAKA MSAADA KWA MOND ISIPOKUWA MTANGA NA BAMBO WALIPATA MWALIKO NA WAZRI AWESU LAKINI MOND KAWABANIA WASIPANDE KUFANYA YAO MJINGA WEWE
@samirakashililika4223
@samirakashililika4223 2 ай бұрын
Nawewe kua mchoyo
@josepheriah5977
@josepheriah5977 2 ай бұрын
Umbea uwo
@jumahalifa6436
@jumahalifa6436 2 ай бұрын
Mzee bambo naye kaingia kwenye mapiano 😅 toaizo pigachini mpaka bakuli
@salimrashidy3513
@salimrashidy3513 2 ай бұрын
Iyo mmung’unyo na izo akili za Bambo😅😅
@princebulas737
@princebulas737 2 ай бұрын
Babalevo ni mwanamke
@jerrymfinanga3773
@jerrymfinanga3773 2 ай бұрын
Etii mzaziii wetuu😂😂😂😂😂😂😂
@RaphaelZama-ql3eb
@RaphaelZama-ql3eb 2 ай бұрын
P0p0ppop0p
@Larrytzatza
@Larrytzatza 2 ай бұрын
Hakuna mtu aliyemzuri kwa watu wote.....kila mtu ana story mbaya kwa mtu fulani... that's life.....Bambo n mtu mzima sana hakutakiwa kuongea yote ayo maan pia kuna kesho.....Km yeye anajiona ana roho mzuri atuoneshe vijana wenzake au wazee wenzake aliowashika mkono wakapata ridhiki wakatoboa😂😂maan uyo mwenzake anayemsema kafanya tumeona na yeye atuoneshe......Maisha yako ni jukumu lako....pambana tu anko bambo😂😂😂
@sunwizy608
@sunwizy608 2 ай бұрын
ukweli lakini umefika hongera Bambo utuuzima dawa
@j...876
@j...876 2 ай бұрын
Bamboo ahujawayi ku msemeya diamond kizuri hata sisi wa Kongo tuna lifahamu hilo
@mugishasteve325
@mugishasteve325 2 ай бұрын
Maisha yanafunza vitu vingi malafiki wanakupenda kwasababu ya kile ulichonacho.wachache wanakuthamini ukiwa hauna kitu.kikubwa ni kupiga moyo konde ukapambana na Mungu anakuwekea wepesi unafanikiwa yeye atakuletea watu sahii
@user-wu8qe4fv4j
@user-wu8qe4fv4j 2 ай бұрын
Ss wee naye shida minis na dai
@shukurumgaya5950
@shukurumgaya5950 2 ай бұрын
Duuuh
@WISDOMMUSANYA-kt1ry
@WISDOMMUSANYA-kt1ry 2 ай бұрын
achausenge bambo tafutamaishamapya basi ww unalonzuli ungepereka uchafu stejini ulitakaufanyenini stejini
@fabianmainchanyangachika5017
@fabianmainchanyangachika5017 2 ай бұрын
Kibakuri alienda wapi?
@user-pt4ft7ow1s
@user-pt4ft7ow1s 2 ай бұрын
😂bambuu
@apollolwoga9019
@apollolwoga9019 2 ай бұрын
Sawa umefuta nyimbo zake,umekusaidia nini sasa
@ngolocomedian
@ngolocomedian 2 ай бұрын
Acha izo ndugu acha aseme ukweli mi mwenyewe yamenikuta Hayo
@emiliuskifigo3062
@emiliuskifigo3062 2 ай бұрын
We mtoto mdogo humfaham au umechelewa kuingia mjinii diamond kalalamikiwa na Ommy dimpoz kalalamikiaaa na Chidbenz Aya hermonize kama mmerogwa mnatetea ujinga
@T-Fellow
@T-Fellow 2 ай бұрын
We Bambo, wewe kunamtu amekutuma kusema hayo.
@OnlyRuky
@OnlyRuky 2 ай бұрын
8:38 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@michaeljames403
@michaeljames403 2 ай бұрын
Kwani hapo Bambo anafanya comedy ama yuko serious!!? maaana nahisi kucheka
@gideonemmanyi9593
@gideonemmanyi9593 2 ай бұрын
Kwamba mngepanda siku hile show ingezaraulika au?
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 2 ай бұрын
hahaaaaaaa kweli bn show ingechuka thamani kinoma watu wangesema duh mpaka yupo kweli huu niutoto
@atunselu2401
@atunselu2401 2 ай бұрын
Wakati wako ulishapita,acha makasiriko baba
@melki-kabalu759
@melki-kabalu759 2 ай бұрын
Wakati wa mtu unapitaje????
@slymsameer5415
@slymsameer5415 2 ай бұрын
Kwani unafuta wapi kwenye KZfaq au inakuwaje ok sasa hiyo show alipanga yeye ilikuwa yake au nae alialikwa tuu maana mnampango wakuchukia watu
@ramiatebe8373
@ramiatebe8373 2 ай бұрын
Nawe ushazeeka
@PatrickEmanel
@PatrickEmanel 2 ай бұрын
Siku baba yako akikukalisha kukushaur mwambie umezeeka ndo utajua ulimwengu ni nini
@ramiatebe8373
@ramiatebe8373 2 ай бұрын
@@PatrickEmanel sawa babu ushauri
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 2 ай бұрын
​@@PatrickEmanel😂😂😂😂
@WISDOMMUSANYA-kt1ry
@WISDOMMUSANYA-kt1ry 2 ай бұрын
kazizawatu ww ulitakaushukenanini
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 2 ай бұрын
Sasa nyie ikiwa mlimtangulia huyo diamond sasa mna nini?
@simba9563
@simba9563 2 ай бұрын
😂😂😂povu
@Peterchila-un2lx
@Peterchila-un2lx 2 ай бұрын
Anatafuta Kik kwa pikipik huyo inaonekana mkundu wake unamuwasha huyu mzee
@stargalinya5135
@stargalinya5135 2 ай бұрын
Unatukana nn wewe Achauchawi
@melcksedeki1012
@melcksedeki1012 2 ай бұрын
Bambo anaroho mbaya sana
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 2 ай бұрын
BAMBO NAE ANATAFUTA KIKI TU
@dronemiguel2230
@dronemiguel2230 2 ай бұрын
Toka lin bambo akatafuta kiki mapenz yanakuzid na ww kias kwamba kila m2 akizungumza ukwel unaona kama anaonewa
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 2 ай бұрын
@@dronemiguel2230 Ukraine BWA wake wasanaa anatataka kupanda BILA mualiko Kwa stage kwakuwa bamboo noooooo
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 2 ай бұрын
​@@mashramadhani1989alialikwa na wewe acha chuki za wazi
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 2 ай бұрын
@@agnesjohn9382 simchukii lkn muda wake wa kisanaa sio Mambo anatakiwa kupambana mayo sasa Kwa watoto zake.
@bonita329
@bonita329 2 ай бұрын
Sijawai kumuona bambo kakasirika kiasi hiki😂😂😂😂
@MJ-rr6dy
@MJ-rr6dy 2 ай бұрын
yani hili zee pumbavu sana, alitaka diamond apite anagawa hela, bola mond kiki haopo linatafuta kiki kwanza hata halichekeshi halina hela njaa inalisumbua saa hz lawama we hela zako ulimpaga nani tuachie mond wetu pumbavù wewe
@ismailisungura3491
@ismailisungura3491 2 ай бұрын
Tafuta pesa yako acha majungu kenge m1 we
@mudibojaffar9269
@mudibojaffar9269 2 ай бұрын
Huyu Katumwa Na Mataira wenzake kina Konde GIRL
@alibachirofficial3939
@alibachirofficial3939 2 ай бұрын
Q chief alitumua piya? Mond sio mtu mzuri
@mudibojaffar9269
@mudibojaffar9269 2 ай бұрын
@@alibachirofficial3939 Udhibitisho unao kama sio mtu mzuri.. Listen in this world not everyone will like you...Wengine wanamchukia kutokana na Wivu...So F*ck them All
@WISDOMMUSANYA-kt1ry
@WISDOMMUSANYA-kt1ry 2 ай бұрын
uingiekufanyanini sasa
@ashantinicas
@ashantinicas Ай бұрын
mziki ni biashara kila mtu anapambana kivyake ili afanikiwe sasa nyie mnataka msaidiwe pumbavu nyie pambaneni mpate na nyie mnalaumu watu kwa matatizo yenu shenzi nyie.
@nangondoson1367
@nangondoson1367 2 ай бұрын
😂
@jumachacha1439
@jumachacha1439 2 ай бұрын
Acha njaa bambo
@mpsanga2914
@mpsanga2914 2 ай бұрын
Hiyo kauli ya kufeli wewe hataufanyeje diamond atabaki kuwa mkubwa mbwa wewe
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 2 ай бұрын
Domo ana roho mbaya q chif pia ashalalamika
@hoseanobocka7140
@hoseanobocka7140 2 ай бұрын
Huwezi kupendwa na Kila mtu hata yesu alikataliwa sembuse, hafu bambo anatafuta kiki anataka Diamond aongee hawezi kumjibu chochote na
@abdalahmohamedi1806
@abdalahmohamedi1806 2 ай бұрын
Weee zombi simba la masimba dangote yaani mkimsema ndio mnampa kiki
@DeogratiusMadeje-os5ur
@DeogratiusMadeje-os5ur 2 ай бұрын
Kwenye ukweli mtu aambiwe ili ajilekebishe, kwan mwambino yeye n MUNGU? Hakuna binadam mkamilifu kwaiyo punguzeni ushabiki
@danrappergangamaa1190
@danrappergangamaa1190 2 ай бұрын
Bambooo kaongea pointi tupuuuu Diamond Platnumz roho mbaya.... Ila bambooo sahizi umerudi kwenye chati SAFI
@bfofficial1735
@bfofficial1735 2 ай бұрын
SAfi sanaa
@Peterchila-un2lx
@Peterchila-un2lx 2 ай бұрын
Wewe inaonekana mkundu wako unakuwasha unataka mond akufire
@Peterchila-un2lx
@Peterchila-un2lx 2 ай бұрын
​@@bfofficial1735mkundu wa Bibi yako wewe
@danrappergangamaa1190
@danrappergangamaa1190 2 ай бұрын
@@Peterchila-un2lx matusi tena mbona unatumika kauli chafu hivi
@marokeyLFM
@marokeyLFM 2 ай бұрын
Diamond platinumz sio mchoyo angalia ajira alizo wapea kwanza watu wengi wasafi 😂
@bfofficial1735
@bfofficial1735 2 ай бұрын
Acha shobo na wasafi
@musiccaentertainment100k8
@musiccaentertainment100k8 2 ай бұрын
Hyo ni kazi na biashara tofautisha biashara na kusaidia
@pilimwanza8117
@pilimwanza8117 2 ай бұрын
Duh we naeee
@mbwaralali5049
@mbwaralali5049 2 ай бұрын
​@@bfofficial1735kwaiyo tz mzima mwenye roho mbaya ni mondi. Amuoni wale walio pandishwa kwenye show asubui. Wacheni basi kumuongea mtu abaye hata time na porojo zenu
@user-qx8wb1lf1v
@user-qx8wb1lf1v 2 ай бұрын
Ametowa Ajira Kwa manufaayake Ili Nayeye Anufaike Wacha Ukuma
@S1rb0ny
@S1rb0ny 2 ай бұрын
😀😀 Futa kabisa mbwaa yule
@MJ-rr6dy
@MJ-rr6dy 2 ай бұрын
mond ana management yake na ni mkubwa, siyo akimuona bambo amwite, futa kwani ukifuta we nani ? peleka njaa zako huko swaini
@stevensosipita
@stevensosipita 2 ай бұрын
CHAWA KAMA CHAWA MTAFILIKA SIKILIZA NDO UTOWE COMMENT BAMBO HAKUTAKA MSAADA ISIPOKUWA MOND KAWABANIA WASIPANDE JUKWANI KUTOA COMEDY YAO NA MTANGA BOYA WEWE
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@user-je8iw9jk1v
@user-je8iw9jk1v 2 ай бұрын
Mxenge sana huyo domo
@chekakizenjyzanzibar4153
@chekakizenjyzanzibar4153 2 ай бұрын
ukute bambo jina lake ni bambi😂
@shukurumgaya5950
@shukurumgaya5950 2 ай бұрын
Mond jambazi sio wewe tu mulize chidi
@user-go6hi2pl8o
@user-go6hi2pl8o 2 ай бұрын
We mzee punguza shobo wewe na familia yako mkifuta nyimbo za simba sisi na uko wetu wote tuna download 😂😂😂sasa cakufanya aca maneno tuko bize na comment ça va na raha 😛🤪🤪🤪🤪🤪
@user-qz5yh1dl1n
@user-qz5yh1dl1n 2 ай бұрын
Huyu d Mond ni umbwa kabisa kama umbwa wengine
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 2 ай бұрын
Daimon angekuwa mkristo wangekuwa washamuabudu
@cathbetsolomon3151
@cathbetsolomon3151 2 ай бұрын
Matako nn unauhakika na unachosema have respect na dini za watu kiande weee
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 2 ай бұрын
@@cathbetsolomon3151 ukiambiwa usibitishe ukristo dini unalo andiko aw unasema tu
@ramiatebe8373
@ramiatebe8373 2 ай бұрын
Kwani bambo ndio nani😂
@PatrickEmanel
@PatrickEmanel 2 ай бұрын
Wewe motor wa 2ooo huwezi mjua huyu mwwamba tulia
@stevensosipita
@stevensosipita 2 ай бұрын
UTAJUWA WAPI MTOTO MDOGO WEWE?
@jacksportman5181
@jacksportman5181 2 ай бұрын
Njaa huleta lawama ⛷️😂
@emiliuskifigo3062
@emiliuskifigo3062 2 ай бұрын
Ommy dimpoz alimlalamikia Chidi dyna nyange bambo Q chief wote Wana wivu nae?
@luckybarbershop2342
@luckybarbershop2342 2 ай бұрын
Oyawe muzeh mbambo kafanye comedy achana kwongea ushuzzzz www mzehe au do unska kufa
@MeenaHassan-fd9vv
@MeenaHassan-fd9vv 2 ай бұрын
na wewe kapande minazi ushushe nazi juma lokole wewe
@luckybarbershop2342
@luckybarbershop2342 2 ай бұрын
Oya mim siyo choko mbwa ww...unafata na chawi BAMBO
@user-bv9ce5sd7u
@user-bv9ce5sd7u 2 ай бұрын
Na WW km kuma yn
@khamisidowany6262
@khamisidowany6262 2 ай бұрын
Shabiki yangu diamond ila yanayo ongelewa abadilike bamboo kama bambooo ni mkongwe sana hawez kumsemea uongo pltnum abadilike
@raphaelmwaura1648
@raphaelmwaura1648 2 ай бұрын
Mjinga wewe wapi kasema yeye mungu ubwa wewe wivu tu una kusubua
@Sululumedia
@Sululumedia 2 ай бұрын
Acha bamboo aongee
@Wamoyothenumberone
@Wamoyothenumberone 2 ай бұрын
Unamtukana bambo we kama babaako heshim
@chugaprince
@chugaprince 2 ай бұрын
We msenge ww sisi diamond hatumjui
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 2 ай бұрын
ila bambo naww bn hivi kweli mtu andae show ya mamilion watu kibao Naww nae et upande pale sasa ww ukafanye Nini hebu acha utoto mzeee hii ww vp
@dollsouthtv2136
@dollsouthtv2136 2 ай бұрын
Tuache unafiki uchoyo sio kwamba sababu kawaajili watu eti sio mchoyo anaweza kuajiri kuizuga Jamii ila ukweli wa nafsi huonekana kwa baadhi ya matendo mi sibishi ila lisemwalo lipo kama halipo laja
@KashindeKilovele
@KashindeKilovele 2 ай бұрын
Wewe wakati wako uliwajar wangap mzeee tuoneshe hata nmoja uliyemshika mkono wakati wako
STORY ZA LINEX NA BABA LEVO, KUISHI GETO MOJA, KUUZA STILI WAYA
12:07
小宇宙竟然尿裤子!#小丑#家庭#搞笑
00:26
家庭搞笑日记
Рет қаралды 15 МЛН
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 10 МЛН
1,000 Diamonds! (Funny Minecraft Animation) #shorts #cartoon
00:31
toonz CRAFT
Рет қаралды 40 МЛН
Studio Session KOMANDO,G nako ft Diamond Platnumz
25:35
Diamond Platnumz
Рет қаралды 440 М.
MTANGA NA BAMBO' WAZEE MIYEYUSHO UTACHEKA MWANZO MWISHO.
10:14
MTANGA COMEDY TZ
Рет қаралды 82 М.
STARMINA AMCHANA DIAMOND ,HUWEZI KUMLIPA LAKI 5 JUMA NATURE
8:32