Barabara nyingi hazipitiki katika kaunti ya Nairobi

  Рет қаралды 92,028

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

Ай бұрын

Mvua kubwa inayoendelea kunyesha imesababisha maafa na uharibifu wa miundomsingi. barabara kadhaa hapa jijini nairobi hazipitiki. miti imeanguka katika barabara ya mpoi katikati ya jiji huku mafuriko yakiathiri sehemu ya barabara kuu ya Thika

Пікірлер: 44
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 Ай бұрын
Poleni sana ndugu zetu wa Kenya Mungu awa linde sana sisi hapa Bongo Tz hali ni kama hivyo tu ombeane
@PrinceBenson-xn4hb
@PrinceBenson-xn4hb Ай бұрын
Mungu Linda inji ye2 y Kenya
@kenyazuela7233
@kenyazuela7233 Ай бұрын
Dimples na Teams university degree ako disco🎉🎉
@worrylesstv
@worrylesstv Ай бұрын
Naomba unipitie please nafanyako comedy 😢😢
@newtonmutea
@newtonmutea Ай бұрын
Kenyans you love complaining alot ata uko dubai na china kunaflood,somethings are beyond human control
@alibex3410
@alibex3410 Ай бұрын
​@@newtonmuteaKenyans you are protecting politicians too much. Floods are everywhere hatuja kataa ,in other countries government are doing what they could lakini huku una ona action yoyote ama ni dunda tu
@erickmutuma8005
@erickmutuma8005 Ай бұрын
Hizo plastic bottles ndio sababu ya hizi drainage clog yote.
@user-vg4sw7kp6o
@user-vg4sw7kp6o Ай бұрын
God have mercy
@paullemayian4928
@paullemayian4928 Ай бұрын
Citizen TV please give credits to the people(wananchi) who covered the footage for you
@alibex3410
@alibex3410 Ай бұрын
They do earn from citizen digital app
@paromaprevious217
@paromaprevious217 Ай бұрын
It's like here Dubai
@user-kn2gg1sn2e
@user-kn2gg1sn2e Ай бұрын
The airport still with water
@cosmos6935
@cosmos6935 Ай бұрын
Serikali sasa ishughulike drainage system kote nchini kwanza , ujenzi wa barabara baadaye , haya mafuriko yatabeba progress ya miaka sitini
@daniells71
@daniells71 Ай бұрын
Nakubaliana kabisa!
@user-kn2gg1sn2e
@user-kn2gg1sn2e Ай бұрын
Alafu wabunge wanataka kupitisha muswada wa kubuy new jet for president
@gww-px8vc
@gww-px8vc Ай бұрын
😅
@cryptoth4n0s77
@cryptoth4n0s77 Ай бұрын
Lazima iwork sio? If proper preparations were done such incidences would have been rare. Proper drainage to allow water to flow out would have been sufficient but since the water has nowhere to go it percolates into the ground and we get such results. I hope the foreign travel were to benchmark on such incidents
@gww-px8vc
@gww-px8vc Ай бұрын
Kazi ni kurembesha uhuru Park, and people were really amazed about it instead they look into deep issues like drainages and also look into issues like people who are being allowed kujenga where not supposed to, ingekua sku za moi the governer angekua ashatolewa iyo kiti
@erickjuma7643
@erickjuma7643 Ай бұрын
An ordinary tree has fallen and blocked the road and nothing can be done? Hehheeh maaajabu
@biryajimmy1329
@biryajimmy1329 Ай бұрын
Sakaja bure kabisa mji mkubwa umemshinda huu watu wanafanya nini kwa viti
@ENG.Kelvin
@ENG.Kelvin Ай бұрын
I dont rhink we should only blame the government. Also those who have built on water ways.
@Kaimati100affirmative
@Kaimati100affirmative Ай бұрын
Nairobi sasa mnunue boats
@nehemiehntwayigabo9361
@nehemiehntwayigabo9361 Ай бұрын
Pole sana to friends and family's!!
@dianakiki533
@dianakiki533 Ай бұрын
Sewage..the genesis of diarrhoea 😢
@mohamoudosman4243
@mohamoudosman4243 Ай бұрын
Sakaja yuko busy campaigning for tall and high rise buildings in the city yet basic necessity ya mwananchi wa Nairobi ame puuza
@aplokimo405
@aplokimo405 Ай бұрын
Tuonyesheni crusade ya kitale pastor exekiek
@emmymongina5420
@emmymongina5420 Ай бұрын
😂😂😂
@EmmanuelBulia-nl6pl
@EmmanuelBulia-nl6pl Ай бұрын
Water is like that
@gloriamutungi835
@gloriamutungi835 Ай бұрын
wah
@mauriceshilabula4574
@mauriceshilabula4574 Ай бұрын
kazi mtaani ilikua inasaidia. sasa hizi ni aibu gani
@gww-px8vc
@gww-px8vc Ай бұрын
And sakaja bizi akirembesha uhuru park 😂
@user-lm6wx5fp4s
@user-lm6wx5fp4s Ай бұрын
Hii serikali ya wakora inavituko na visanga tu ni kuiba tu na matumbo zao
@kaguarapaul6536
@kaguarapaul6536 Ай бұрын
Why is the govt quiet, this pple should be in the police cells, wote plus staff
@zaveriamwai763
@zaveriamwai763 Ай бұрын
Roysambu next 2 trm kwa jeshi labda watafte boat au helicopter 😄
@BonfaceOgwe-wq9ny
@BonfaceOgwe-wq9ny Ай бұрын
Uzuri Leo sikuenda roysambu 😢
@JulixYung-kw2tr
@JulixYung-kw2tr Ай бұрын
It is time that all media house have sense of patriotism and criticize government, mps, governors, mcs. How comes no one talk of drainage, duty dams construction. Now all this is useless because it always rain and measures are taken.
@Dfre1328..
@Dfre1328.. Ай бұрын
Nairobians Lazima Tu Swim😂😂
@worrylesstv
@worrylesstv Ай бұрын
😂😂😂Naomba unipitieko Leo tafasali nafanyako comedy 😂😂
@Hot_PlateMeals
@Hot_PlateMeals Ай бұрын
Like Dubai
@UrbanCraftTv
@UrbanCraftTv Ай бұрын
Tawara!!!
@clubjoelMOSOTI
@clubjoelMOSOTI Ай бұрын
Riparian land
@miltonmomanyi
@miltonmomanyi Ай бұрын
Na nyinyi mnapitia wap ndio mfike kutangaza
@worrylesstv
@worrylesstv Ай бұрын
Naombako Support ya kila mtu please nafanyako comedy please mnipitieko 😢😢😮
Polisi jijini Nairobi wanachunguza kutoweka kwa mwanafunzi
3:46
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 70 М.
1 класс vs 11 класс (неаккуратность)
01:00
БЕРТ
Рет қаралды 4,9 МЛН
Why You Should Always Help Others ❤️
00:40
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 7 МЛН
Тяжелые будни жены
00:46
К-Media
Рет қаралды 5 МЛН
Kamanda wa polisi Nairobi asema maandamano si halali
3:10
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 72 М.
Magari yasombwa na nyumba kujaa maji ya mvua Nairobi
2:50
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 109 М.
EXCLUSIVE TOUR OF TATU CITY  in 2024 (Part 1-Industrial Park)
22:59
Dolphine 254
Рет қаралды 53 М.
East Africa Floods: United Nations and Partners to Work with Govts
1:21
Kifo tatanishi Machakos
2:12
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 800
Nairobi yashuhudia mvua ya ghafla na kusababisha mafuriko
1:45
1 класс vs 11 класс (неаккуратность)
01:00
БЕРТ
Рет қаралды 4,9 МЛН