BARAKA MAGUFULI 'AMVUNJA' MBAVU DKT TULIA MAONESHO NANENANE, "UNAACHA UKUU WA MKOA UNAGOMBEA UBUNGE"

  Рет қаралды 155,824

Global TV  Online

Global TV Online

4 жыл бұрын

BARAKA MAGUFULI 'AMVUNJA' MBAVU DKT TULIA MAONESHO NANENANE, "UNAACHA UKUU WA MKOA UNAGOMBEA UBUNGE"
Ni msanii wa Vichekesho nchini Baraka Magufuli ambaye anaigiza Sauti ya Rais Magufuli ambapo amehudhuria maadhimisho ya maonesho ya Nanenane Mkoani Mbeya ambapo ametumia nafasi hiyo kuwasisitiza wananchi yale ambayo Rais Magufuli amekuwa akiwaasa wananchi...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 96
@allylwazihonda3599
@allylwazihonda3599 3 жыл бұрын
Nani kaiona hii baada ya msiba wa raisi wetu magufuli
@mariamsuma3003
@mariamsuma3003 3 жыл бұрын
Tuko weng
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 3 жыл бұрын
Tuko jamani basi tumuombe aendeleye
@MohamedHassan-bf1ul
@MohamedHassan-bf1ul 4 жыл бұрын
Mbali ya uigizaji huyu jamaa ni kichwa mno! Full point
@mlangilamlangi801
@mlangilamlangi801 3 жыл бұрын
Saruti kwake
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 4 жыл бұрын
Yaani nimecheka hdi basi, huyu jamaaa anampatia Sanaa Rais wetu daaaaaa hdi rahaaa
@jellysmaarifa1172
@jellysmaarifa1172 4 жыл бұрын
Asee Mungu akubarik kwa kipaji ulicho nacho
@yohanamollel6252
@yohanamollel6252 4 жыл бұрын
Jamaa ninoma
@jellysmaarifa1172
@jellysmaarifa1172 4 жыл бұрын
@@yohanamollel6252 yani ni noma sana
@frediricknandonde1690
@frediricknandonde1690 4 жыл бұрын
Jamaa ana kipaji cha kuongea kiuongozi sana
@luissammy4450
@luissammy4450 4 жыл бұрын
Akiamungu nlkuwa bored nyumbani apa ila nmejikuta nmecheka adi hamu ya serengeti imenijia🤣🤣
@yohanesfelix7534
@yohanesfelix7534 4 жыл бұрын
Kijana yuko vizuri.anaweza kuomba kura za ubunge huko mbeleni na akashinda.
@cmantz8837
@cmantz8837 4 жыл бұрын
Nikweli ulichowaza nami nimewaza hicho
@shukranitv2971
@shukranitv2971 4 жыл бұрын
Jamaaaaa anahutubia vizuri Sana kam kiongozi Mkubwa hongera San barakaa
@utamuwaleo1970
@utamuwaleo1970 4 жыл бұрын
😂😂😂🤣kama kumesikia WAJUMBE KWIO nipe LIKE yangu tafadhali
@salmamfaume9377
@salmamfaume9377 4 жыл бұрын
Jamaa anaweza sn
@hamisimbange726
@hamisimbange726 4 жыл бұрын
Huyu jamaa ukiachiliambali komedi ila anakipaji cha pekee ww angalia anavyo toasalam za viongozi anajua kutumia itifaki anafaa kua kiongozi
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 4 жыл бұрын
Sio kipaji Fulani ana akili
@samwelsengati1369
@samwelsengati1369 4 жыл бұрын
Kujua itifaki inatosha kuwa kiongozi? Itifaki ni kukalili tu. Wala hakuna cha uongoz wala nn.
@jumahusein6254
@jumahusein6254 4 жыл бұрын
SEMA nchi zetu hiz hakuna support Kama angekuwa ulaya hyu angekuwa mkbwa Sana
@fatmakigula8634
@fatmakigula8634 4 жыл бұрын
Sasa asapotiwaje kikubwa akazane kusoma maana ni mtoto sana
@gervasbeno5589
@gervasbeno5589 4 жыл бұрын
Anajuwa kupangilia speech a see🤣🤣
@mussayahya9676
@mussayahya9676 4 жыл бұрын
Umetisha aisee
@marygregory7566
@marygregory7566 3 жыл бұрын
Baraka utakuwa umeumia sana pole sana
@neemamturi3273
@neemamturi3273 4 жыл бұрын
Wewe Baraka itabidi umsaidie magufuli kuomba kura vijijini 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@hassanmsipi4094
@hassanmsipi4094 4 жыл бұрын
Baraka nakufutilia Sana hongera sana kaka ila Mic ilikuwa haiko sawa
@graytonndamgoba4805
@graytonndamgoba4805 4 жыл бұрын
The hand/finger gesture is precise. Lol
@issrahayattv1356
@issrahayattv1356 3 жыл бұрын
Baraka hauna u Tube yko tukusaport namiss MAGUFULI kwkweli❤️❤️🇰🇪🇰🇪
@ashritaabdallah6474
@ashritaabdallah6474 4 жыл бұрын
Hongera baraka
@shukranitv2971
@shukranitv2971 4 жыл бұрын
hongera saan kaka
@Johnmasanja27
@Johnmasanja27 4 жыл бұрын
Hahaha uwiii huyu jamaa ni shidaaah😂😂🤣🤣🤣🤣
@samxongwambiye4217
@samxongwambiye4217 4 жыл бұрын
Aendelezee kipaj
@dbwaxvevo5780
@dbwaxvevo5780 4 жыл бұрын
We nomaa
@laurentkamata550
@laurentkamata550 4 жыл бұрын
So talented 😃👏
@kizakakozi4600
@kizakakozi4600 4 жыл бұрын
Nakwamini leo
@jeshilamtu863
@jeshilamtu863 4 жыл бұрын
Safi Sanaa,,Ni ye yeee
@justusgration8695
@justusgration8695 4 жыл бұрын
Pongezi kwako
@apongofestus338
@apongofestus338 4 жыл бұрын
Unajaribu baba
@galawesakayala806
@galawesakayala806 4 жыл бұрын
Mdogo angu nakuaminia unapiga kampeni ya uhakika
@francojohn8488
@francojohn8488 4 жыл бұрын
Daaah hatari sana leo kweli Baraka umeua,safi sn
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 4 жыл бұрын
Daaaa hongera aana
@dennisstafford450
@dennisstafford450 4 жыл бұрын
I like this comedian no offence
@irenemsumba6776
@irenemsumba6776 3 жыл бұрын
Kaka baraka! Barikiwa sana
@michaelsukwa4371
@michaelsukwa4371 4 жыл бұрын
Sikukuu njema
@priscalameck8700
@priscalameck8700 4 жыл бұрын
😅😅
@FrenkMathayo-hu8wj
@FrenkMathayo-hu8wj Жыл бұрын
Hongera Sana kijana was magufuri
@janeyoj8228
@janeyoj8228 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣 ihiiiiiiiiii 🤣🤣🤣
@esaiejoyeuse7764
@esaiejoyeuse7764 3 жыл бұрын
Una kipaji jamaa barikiwa Sana Rwanda
@gaspermagembe9080
@gaspermagembe9080 3 жыл бұрын
Hatarii saan
@nallaboy2
@nallaboy2 4 жыл бұрын
Ccm chama langu mi mbeya boy
@masoudkatiba1484
@masoudkatiba1484 4 жыл бұрын
Coool
@robertterry8909
@robertterry8909 4 жыл бұрын
Pamoja sana kiongozi
@rassimbaengswahili6191
@rassimbaengswahili6191 4 жыл бұрын
Jamaa ni kichwa sana
@erasmusshauritanga8485
@erasmusshauritanga8485 3 жыл бұрын
Ulitaka kujua kwamba duniani Kuna watu wa ajabu unaweza kuona hapa mtu anapinga tu hata comedian Kama Baraka unampinga wakati wengi tunamfurahia naona hata maisha yake yanabadilika siku hadi siku tofauti kabisa na alivyokuwa awali.
@eventelias3566
@eventelias3566 3 жыл бұрын
Mkuu wa Mkoa wa Njombe anafanana na Mkuu wa majeshi Mabeyo
@akidapiusmpinge9895
@akidapiusmpinge9895 3 жыл бұрын
Nakubali
@alfredjoakim1107
@alfredjoakim1107 3 жыл бұрын
Saf san
@faridaessa7844
@faridaessa7844 4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@josephemmanuel3175
@josephemmanuel3175 3 жыл бұрын
Daaaaa hembu gombea ubunge baadae uje kuwa kma raisi uwe mrithi Wake
@mwigahamisi3984
@mwigahamisi3984 3 жыл бұрын
Tungemteuwa tu huyu awe rais wetu
@mustafaalli4698
@mustafaalli4698 4 жыл бұрын
😆😆
@naimasaid7763
@naimasaid7763 4 жыл бұрын
😀😀😀
@donaldboman9592
@donaldboman9592 4 жыл бұрын
Jamaa yuko vizuri sana.
@evarestlyimo5266
@evarestlyimo5266 4 жыл бұрын
Anafaa kugombea ubunge kulliko hao wanaopewa uongozi wanaachs eti wanataka ubunge itakula kwao
@barakaexavery1031
@barakaexavery1031 3 жыл бұрын
Oyeeee!!!!.
@fauziaomary8903
@fauziaomary8903 4 жыл бұрын
Hahahaaa wajumbe kwiyoo
@francojohn8488
@francojohn8488 4 жыл бұрын
Hahaahaaaa
@briansancedo9336
@briansancedo9336 4 жыл бұрын
Wakati wa kampeni na rais magufuri wagawane mikowa atauwakilisha vizuri
@fatmakigula8634
@fatmakigula8634 4 жыл бұрын
Kweli hata mm naunga hoja
@jamilamanariyojamila1487
@jamilamanariyojamila1487 3 жыл бұрын
Anajuwat!🤣🤣🤣
@majaliwacosmas3322
@majaliwacosmas3322 4 жыл бұрын
Pompompo tuuu
@jamesngonndo6672
@jamesngonndo6672 4 жыл бұрын
Kweli inchi inaongozwa,na vichaa
@gracethomas683
@gracethomas683 4 жыл бұрын
Kwa nini??
@ngometvarusha4030
@ngometvarusha4030 4 жыл бұрын
Katka watu ambao wananikera ni huyu jamaa kila siku kuiga sauti ya mtu.
@yasinshaban4933
@yasinshaban4933 4 жыл бұрын
Hapo ana kukera nn sasa, kama anayeigwa saut yke anafurahi kwanin ww utesekee?😂😂😂
@mestonanatoli341
@mestonanatoli341 4 жыл бұрын
Hiii ni TZ bwana Acha ubinafsi kwani hiyo sauti ni yakwakoooo????
@selector728
@selector728 4 жыл бұрын
Kaliwe huko usitufokee
@setholivier4862
@setholivier4862 4 жыл бұрын
Jinga sana wewe😏
@georgeigogo9259
@georgeigogo9259 4 жыл бұрын
Nilazima ukereke Maana ww huwezi kuigiza
@user-mp6zd2ui7r
@user-mp6zd2ui7r 3 ай бұрын
Hongera baraka
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 3 жыл бұрын
Tumepata mrithi wa kuchekesha 😀😀😀😀
@masoudkatiba1484
@masoudkatiba1484 4 жыл бұрын
Coool
@majaliwacosmas3322
@majaliwacosmas3322 4 жыл бұрын
Pompompo tuuu
@LucasLucas-sq3bc
@LucasLucas-sq3bc 4 жыл бұрын
wewe unayebeza umefanya nini cha maana
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 4 жыл бұрын
Kidevu kama ufagio wa chooni ingali ila kakayangu hapo Sultani mngali kwisha kumuweka ndani wajinga wakubwa.
@maulakaroli8323
@maulakaroli8323 4 жыл бұрын
Roho mbaya zimewakaa na maisha magumu yanachangia pumbavu sana
@setholivier4862
@setholivier4862 4 жыл бұрын
We ndo mjinga mkubwa
@uswizinyanginywa2498
@uswizinyanginywa2498 4 жыл бұрын
Kakukosea nini ?
@rosemarycharles481
@rosemarycharles481 4 жыл бұрын
Acha ufala sasha
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 93 МЛН
Советы на всё лето 4 @postworkllc
00:23
История одного вокалиста
Рет қаралды 4,8 МЛН
Box jumping challenge, who stepped on the trap? #FunnyFamily #PartyGames
00:31
Family Games Media
Рет қаралды 22 МЛН
Baraka Magufuli alipo Mtoa Machozi Waziri mkuu / kamkubali kijana
3:49
Alama Online TV
Рет қаралды 114 М.
Rais Magufuli afurahi kukutana na Pacha wake Mafinga Mjini
3:47
Amanitz News
Рет қаралды 2,1 МЛН
BARAKA MWAKIPESILE MAARUFU "MAGU" MBELE YA RAIS  Dkt. MAGUFULI
3:32
"HAPA HAMNA KITU, TUMELIWA"- RAIS MAGUFULI
6:26
Millard Ayo
Рет қаралды 355 М.
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 591 М.
Kicheko cha Mama Magufuli Igizo la Vijana Kumbukizi ya Hayati John Joseph Pombe Magufuli Kawekamo.
16:44
Archdiocese of Mwanza - Jimbo Kuu la Mwanza
Рет қаралды 191 М.
COMEDIAN BARAKA MAGUFULI MEETS RAIS MAGUFULI!TALENT!
5:09
Mutembei TV
Рет қаралды 112 М.
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 93 МЛН