Allah akusamehe ulipokosea, akurehemu na akuingize peponi
@hamissantanga884911 ай бұрын
Allah tusamehe sisi, pia msamehe Shekhe wetu huyu na mkinge na adhabu zoote baada ya kifo chale na mjjaalie pepo yeye pamoja na marehem wengine Aamin.
@JumamjakaMjaka-yx5vw11 ай бұрын
Allah amrehemu sheikh wetu Basalehe na amtilie nuru kabur lake
@mwaramimwarami147911 ай бұрын
Aamin
@hemedramadhani794610 ай бұрын
Aamin
@mohamedimikombe335411 ай бұрын
Inalilah wa Inna ilaih rajiun ALLAH akuweke mahala pema Pepon amin
@alimau793911 ай бұрын
Amiin
@AndulHida-hs5py11 ай бұрын
Mola akusamehe na afanye kaburi lako liwe moja ya viwanja vya pepo inshaallah
@salehrashid70311 ай бұрын
Mashallah allah amrahamu sheikh basaleh
@gangmore90913 жыл бұрын
Ma sha Allah Ma sha Allah akuweke na Afya njema Amin Allah anatusubir kila mtu atahukumiwa alichokichuma in sha Allah
@alimwinyi31616 жыл бұрын
Kweli kabisa mzee mungu akupe nguvu na sauti
@hamadimuya724811 ай бұрын
Mungu amweke sheikh peponi in Sha Allah
@gooleserviceyoutubescandar345011 ай бұрын
Allah Muweke Pema Sheikh Kwa Maisha Yake Amiiin.
@mkude11 ай бұрын
Aamin
@sharifuteacher502510 ай бұрын
Ameeeni
@zahorsalum497610 ай бұрын
Allah akusamehe makosayako .shekh wetu.🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@tindatinda733010 ай бұрын
Mbona Zanzibar mnahamasishana kuhusu udini. Sie huku ktk familia zetu tupo waislam na wakristu Toka familia moja
@abadharkhamis590911 ай бұрын
Innalillah wainna ilayh raajiu'n
@Allybinamour11 ай бұрын
الهم غفر له ورحمه وسكنه فى الجنة
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp11 ай бұрын
Tutengane
@ZINDUKAMUISILAMU3010 ай бұрын
Aamin
@maisarirajab484611 ай бұрын
Mungu akulipe kila la kheri
@mkude11 ай бұрын
Aamin
@user-fi9dh1wz1z11 ай бұрын
Na sisi wabara hatuutaki muungano Kila mmoja wajiandae kurudi kwao
@omarybakari168110 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@calabash422110 ай бұрын
Watanzania wenzangu wakristo kwa waislam na wengine wote ambao hawana dini...Naamini hiki kizazi kinaenda kuisha na mawazo haya yatapotea kabisa.....Sisi tutaishi kwa kupendana bila kujali Imani zetu
@allykindamba980010 ай бұрын
INNA LILAH WAINNA ILAYH RAJIUN Allah akusamehe makosa Yako
@johnmalale386011 ай бұрын
Waislam walizuiwa na nani kugombea!?
@issamwakinyo320310 ай бұрын
Allah amrehem sheikh wetu hakika alikuwa mtu wa haki
@GeoffreySumbwe-cq6kk10 ай бұрын
Nendeni kwenu tuende zetu hapo Hamna kusuguana
@nassorkhalfan-cl6pm11 ай бұрын
Hatuutk muungano na uvunjike
@ibrahimsuleyman946511 ай бұрын
Allah amhifadhi Maalim Ally baselehe
@AshilatAbas-qe4fh10 ай бұрын
Naona Mambo yanaenda kubadilika
@1stnews28311 ай бұрын
Ona uuupuuuzi sasa....kugombea ubunge na udini wapi na wapi...Acha udinii
@izzi19810 ай бұрын
mwaka sabini kulikua na uchaguz?
@1stnews28310 ай бұрын
@@izzi198 we nawe wale wale embu sikiliza video yote na uache kulikuwa gari kwa mbele
@ramadhanbaraka647410 ай бұрын
INNALILLAHI WAINNA ILLEIHI RAAJIUUN.
@drnow152811 ай бұрын
Taqbeer
@seneu.212810 ай бұрын
Mungu ampumzishe salama huyu mzee, lakini enzi za uhai wake alikuwa mtu wa udini na ubaguzi hoja zake hapo hakuna chochote wingi wa wabunge bungeni ni maamuzi ya wananchi waliowachagua na sio serikali ni ajabu sana kushindwa kujua nchi hii sehemu kubwa imekaliwa na wakristo kuanzia kanda ya ziwa , kaskazini, nyanda za juu kusini, na mikoa mingi sasa unategemea nini? Nisawa wakristo waliozaliwa Zanzibar walalamike mbona wawakilishi wengi ni waislamu 😂 kwahiyo mkitaka uongozi sio rahisi maana wakristo wako wengi nchi hii na ndio watafanya maamuzi isipokuwa wao hawana ubaguzi wala hamtawasikia wakihoji ujingaujinga ila now anayeongoza nchi ni wenu jitahidini awape nafasi ili muwapite wakristo kam ndio mnachowaza hicho tuone mtafika wapi.
@salimmbarouk594610 ай бұрын
thank you for the information
@mwaramimwarami147911 ай бұрын
Allahumma ughfahu warhamhu
@Chettymlambalipsi-lb9km10 ай бұрын
We mpumbavu kweli acha udini
@mwanahija96811 ай бұрын
Allah amrahamu sheikh wtu
@user-mu7pm1ts6h10 ай бұрын
Hao waisilamu wakiingia nchi wanaweka rehan
@jakobongwara303810 ай бұрын
Huyu kachelewa mungano haupo zaidi ya kuoana inabidi akaludishe mke
@kaliskaguzkalis442411 ай бұрын
Ni harakati ambazo zimebaki kwenye kumbukumbu hazipo tena
@khaulatmohammed37654 жыл бұрын
Hatutaki muungano
@hidayabakar70263 жыл бұрын
Kishiki uwapii wasikilize wazee wanao penda uwisilim na haki hawamuogopi kufuli wamuogopa muungu
@charlesphiliph52810 ай бұрын
Haya,atokee mtanganyika msilamu awe rais Zanzibar.Kwa Zanzibar mkristo wa Zanzibar ni Bora kuliko msilamu wa bara
@VailettyShigerla-fw2sg11 ай бұрын
Ujui urisemero
@albertmakuri427310 ай бұрын
kwa ujinga huu nikweli lazima upigwe kwa kuhubiri ujinga huu
@kennedyngusa889011 ай бұрын
Muungano hatutaki
@DenisonTheonest-yj3mk11 ай бұрын
Msitutishe kuvunja mungano kwani kuungana na wanzanzibar kuna faida gani vunjeni Tanganyika tunajitosheleza
@user-hp1im5ek4r10 ай бұрын
Mnataka kutuletea udini wa kikuda wewe mzee ww huna hakiri
@abdisalumfadhil1176 жыл бұрын
good
@fatmasaid976510 ай бұрын
Allah amrehemu amjaalie kaburi yake rowdha min riyadhi jana
@marieconnect63899 ай бұрын
inaonekana kama watanganyika ndiyo wanaolazimisha sana muungano? au siyo?
@YussufSaid-ok4pu11 ай бұрын
اللهم غفرله ورحمه
@amurisabiti70372 жыл бұрын
Hatutaki muungano na wa bongo
@nassorkhalfan-cl6pm11 ай бұрын
Kabisa bro hatuutak
@marieconnect63899 ай бұрын
hayo ya udini yanatoka wapi tena? wakatoliki wamekuwa wana histoiria hadi leo ya kuwa na mashule na vyuo yingi katika Tanzania. kwa maneno mengine ina wasomi wengi zaidi waliotapakaa nchi nzima hadi bungeni. ndiyo sababu
KAKA TUKITENGANA TANGANYIKA MWISHO MOROGORO, KUANZIA MOROGORO NA MIKOA YOTE YA PWANI HAITOKUWA TANGANYIKA. TUSIFURAHIE, HILI LA KUTENGANA NI BAYA SANA. TUMUOMBE MUNGU TUSALIE KAMA WATANZANIA LAKINI TUWE WENYE KUTHAMINIANA, KUPENDANA NA WALA SIO KUDHULUMIANA.
@AndreaMathias-ql2ri10 ай бұрын
Wewe burekabisa
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp11 ай бұрын
Vunjeni na ss hatuutaki ndiomaana nchi haipigi hatui
@edwardlaizer290210 ай бұрын
Hapo sasa ndio udini, Semeni mnachokiona juu ya mkataba na sio kuwakosoa waliotoa maoni na mtazamo wao juu ya mkataba. Tupeni maoni yenu juu ya mkataba upite au tusiingie na kwanini😊
@tycoon954010 ай бұрын
We nae huna akili Video ya tangu 2011, unakimbilia kupost unataka habari za bandari
@eliasmaspela172811 ай бұрын
Kwan marekani Kuna wabunge wangap wa kiislam nyie kama vip nendeni uarabuni ndio kwenu huko
@saidaliy47210 ай бұрын
Na nyinyi nendeni italia roma maana ndo kwenye makafiri wenzenu mnaoabudu masanamu na yesu wenu aliezaliwa kama ww mbwa ww
@eliasmaspela172810 ай бұрын
We ni Tako nn
@1stnews28311 ай бұрын
Udini na kufundisha watu wachukiaaane bila sababu ..
@vincentcharles438510 ай бұрын
Katika na kiuno Mzee
@King_Of_Everything4 ай бұрын
👊✌️👍。
@libetztanzania-kiswahilina284510 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😊😊😊
@RaphaelMmassy10 ай бұрын
😮😢😮😅
@DenisonTheonest-yj3mk11 ай бұрын
acha kupotosha
@ibrahimabdillah572910 ай бұрын
Wapi amepotosha?
@ahamadially835110 ай бұрын
Lakini inshu ni mkataba jamani sio uisilanu na ukristo
@user-oi9fi2vm7p9 ай бұрын
Allah ampe k thabit
@lawimichaelwerewere761910 ай бұрын
Hata wapumbavu huzeeka
@GabrielMwakasege-sx9wv11 ай бұрын
Uyu mzee nimchonganishi namfaham mdamlefu
@EmanuelMduma-uo7lb11 ай бұрын
Mzee kalewa huyu mnawaza udini leo poleni kweli uyu mzee mpuuzi sana
@user-fx9kh1vl7l10 ай бұрын
Kafa na undezi wake.Shubamiiiit
@tanganyikasaad978910 ай бұрын
Ndugu unakashifa sana, dharahu, na matusi yaliyopitiliza kiwango cha kuvumilika.
@abunajreenELSESANY11 ай бұрын
Allah akbar Allah akusaameh makosa yako na akutie PEPONI. THE TOP INFLUENTIAL MUSLIM IN THE COUNTRY.
@user-rc1dp6ux3k11 ай бұрын
Mbona kama una umri wa kutosha
@pungopungo41111 ай бұрын
Huyu mzee mchonganishi. Waislamu walikua hawagombei kwaajili walikua nyuma kielimu. Ni siku hizi tu wameinuka zamani elimu ya maana ni Quran
@ismailjuma369210 ай бұрын
QUR'AN itabaki kua elimu ya maana kila wakati, kwaiyo shika adabu yako juu ya qur'an.
@BarackCharles-vt7kt10 ай бұрын
Na hivi ndivyo walivyofanikiwa kutuvuruga waliozileta dini😂
@nikimboy609310 ай бұрын
Mimi naenjoy Sana nikiona waafrica wenzangu wako brainwashed japo ni too sad
@BarackCharles-vt7kt10 ай бұрын
@@nikimboy6093 for real it’s too sad
@nicodemuswidambe513210 ай бұрын
Je nyinyi mnakataa kugombea??
@noeljoseph561810 ай бұрын
Sasa huo ndio udini, mtu anachaguliwa Kwa sifa na uwezo wanafasi husika sio udini
@salehkhamis-ob8ln10 ай бұрын
Hapana nyinyi makafiri mnajifanya Tanzania ya kwenu huu ndio mfumo uloekwa
@user-zl3le1wz2u10 ай бұрын
Nyie na elimu ni mbalimbali ila elimu ahela
@rayisadesigns264610 ай бұрын
NAWE ELIMU YAKO NI HIYO YA KUGEUZANA MIDUME KWA MIDUME AU VIPI?!
@user-rc1dp6ux3k11 ай бұрын
Nyie ndiyo mnaleta udini shindwa
@noahmadali715011 ай бұрын
Katokea wap huyu tena
@ivanbenjamin981610 ай бұрын
Huo n udini sasa kila manzania Hana haki sawa
@kennedyngusa889011 ай бұрын
Hoja yako nini?
@bellasi34910 ай бұрын
Sasa wewe haujui kuwa ukristo ndo dunia? We wawapi dunia yote inaendeshwa na mfumo wa chrétien n’a waislamu wagombee ununge sasa au hawana sifa hivi mawazili waislamu mko wangapi
@ahmadikininga23911 ай бұрын
Hao wabunge wanachaguliwa na nani? Na waislam je, mnashiriki katika zoezi la uchaguzi?
@mimiraia253110 ай бұрын
Hawa watu Mbona ni watu wa chuki sana??
@Abdoulyousouf10 ай бұрын
Ko wakanyagwe tu afu wakae kimya? Wakijitetea ni chuki ni udini?
@user-xz3rj2vs8l10 ай бұрын
Utapataje ubunge Kwa elimu ya madrasa wakrito walileta mashule
@zuzadomikano376511 ай бұрын
NDIO SABABU WALIKUTESA MFANO WA LIVYO MDHULUMU JUSA LADO ,ULIYAZUNGUMZSHAYO YA ZANZIBA,(KAMA MAQAMO WA KWANZA Zanziba) Othman Othman kukata KUSAINI KATIBAZAO BUNGENI WAKAMFUKUZA ,WAMA ccm ZANZIBA MTAPATA LAANA NZITO SANA .
@nicodemuswidambe513210 ай бұрын
Shule muhimu!!
@vincentcharles438510 ай бұрын
Yaani acha tu,ameolewa huko aliko
@shaurimtanda828510 ай бұрын
We una shule gani?
@aminasaid65559 ай бұрын
Kwa maajabu gani ya elimu kwa Dunia ya Sasa
@SadickAlly-jm5sr11 ай бұрын
Huyu baba ni mubaguzi wa din tena ni mchochoz
@ibrahimsaad61711 ай бұрын
Muongo wwe jibu hoja zake WWE ndio mbaguzi namba moja
Nani kakupa jina hilo inaonekana umejipa kutaka kuandika chochote sio jina lako halisi
@jumamohamed316811 ай бұрын
Unafikiri anachosema ni uongo?.anachosema ni kweli tena kweli.
@abuujibriltv523311 ай бұрын
Una taka au Tetee ukafiri?. Huyu siyo mwana siasa na Wala si askofu ni shekh huyu.
@kombo878510 ай бұрын
Mzee Mimi Ni muislam lakini kwa kauri zako isitugombnishe sisi tupo keenye swala la bandari unataka kutuhamisha acha kauli
@tycoon954010 ай бұрын
Hio video ni tangu 2011, muwe mnaangalia imepostiwa lini sio kukurupuka tu
@aminasaid65559 ай бұрын
Ukiona mtu anajitambulisha uislamu hamna kitu hapo mchongo
@leonardalphonce892411 ай бұрын
endelea nahuo upumbavu
@vincentcharles438510 ай бұрын
Msalimie mmeo huko uliko,vilainishi vikiisha tutakutumia.
@angelomalimi244411 ай бұрын
Shehe mzambi sana huyo
@ibrahimabdillah572910 ай бұрын
Mzambi kwa lipi?
@DansonMtambi-fq2ff11 ай бұрын
Kwa hiyo hoja yako ni ipi sasa mzee kwani kuna sheria inayo kataza waislam kugombea ubunge😂😂😂😂
@edenusmrosso922510 ай бұрын
na muhamed sio mtume
@abaafarhat919110 ай бұрын
Hiyo ni imani yako wala haituhusu ndio maana kuna waislamu na wakristo Muhammad ni mtume sisi tulishamuamini
@shabanalmas387711 ай бұрын
fadh
@paulmairi879510 ай бұрын
Tujue elimu yake. Maana hana kitu
@aminasaid65559 ай бұрын
Kwa maajabu gani ya elimu kwa Dunia ya Sasa
@gibsonjosephat635211 ай бұрын
Mzee mmekalia madrasa wakati wakristo watoto wako bize na Kitabu. Mnakusanya fedha kujenga misikiti wao wanachangusha kujenga shule. Bungeni au Serikalini haziendi dini bali taalama ya kidunia. Lini sasa mtalingana nao? Waislam tafakari sana hapo.
@omaryrjohn6511 ай бұрын
Upumbavu wa watu watanzania mpaka leo hii mnahubiri dini?dini? Dini zimeletwa na wazungu pamoja na waarabu tumekuwa tukiabudu mizimu na miti karne na karne leo hii dini zinatumaliza waafrika kwakweli laana hii haitafutika kamweeeeee ngoja siku tuanze kuchinjana ndio akili ziwakae sawa naona mnahamu sana na vita vyie hamjui madharayake.
@user-rg5sg1xz8p11 ай бұрын
Ww una mtatizo ya akili saaaan yani inaonesha hata akili ya kuongoza familia yako uwez .... Zanzibar sio nchi ni sehemu ya starehe kama disco za usiku tuuuu
@FeisalDoctor11 ай бұрын
Dico ni mkundu wa mam ako
@mahamoudduchi331811 ай бұрын
Zanzibar kama sio nchi Sasa wa tanganyika muliungana na Nani?? Na ule mchanga ulokua kwenye vibuyu ulochanganywa na Baba enu nyerere alikua akiutia kwenye VUTU lako au??
@user-rg5sg1xz8p11 ай бұрын
Nisehemu tuu ya kula bata maana kule kuna kila aina ya washemzi
@mahamoudduchi331811 ай бұрын
@@user-rg5sg1xz8p hata na kwenu Bara Kuna washenzi wa kila Aina