Bassaleh vunjeni Muungano

  Рет қаралды 64,251

Kevin Ruta

Kevin Ruta

13 жыл бұрын

Пікірлер: 167
@AliHassan-ji1ym
@AliHassan-ji1ym 11 ай бұрын
Allah akusamehe ulipokosea, akurehemu na akuingize peponi
@hamissantanga8849
@hamissantanga8849 11 ай бұрын
Allah tusamehe sisi, pia msamehe Shekhe wetu huyu na mkinge na adhabu zoote baada ya kifo chale na mjjaalie pepo yeye pamoja na marehem wengine Aamin.
@JumamjakaMjaka-yx5vw
@JumamjakaMjaka-yx5vw 11 ай бұрын
Allah amrehemu sheikh wetu Basalehe na amtilie nuru kabur lake
@mwaramimwarami1479
@mwaramimwarami1479 11 ай бұрын
Aamin
@hemedramadhani7946
@hemedramadhani7946 10 ай бұрын
Aamin
@mohamedimikombe3354
@mohamedimikombe3354 11 ай бұрын
Inalilah wa Inna ilaih rajiun ALLAH akuweke mahala pema Pepon amin
@alimau7939
@alimau7939 11 ай бұрын
Amiin
@AndulHida-hs5py
@AndulHida-hs5py 11 ай бұрын
Mola akusamehe na afanye kaburi lako liwe moja ya viwanja vya pepo inshaallah
@salehrashid703
@salehrashid703 11 ай бұрын
Mashallah allah amrahamu sheikh basaleh
@gangmore9091
@gangmore9091 3 жыл бұрын
Ma sha Allah Ma sha Allah akuweke na Afya njema Amin Allah anatusubir kila mtu atahukumiwa alichokichuma in sha Allah
@alimwinyi3161
@alimwinyi3161 6 жыл бұрын
Kweli kabisa mzee mungu akupe nguvu na sauti
@hamadimuya7248
@hamadimuya7248 11 ай бұрын
Mungu amweke sheikh peponi in Sha Allah
@gooleserviceyoutubescandar3450
@gooleserviceyoutubescandar3450 11 ай бұрын
Allah Muweke Pema Sheikh Kwa Maisha Yake Amiiin.
@mkude
@mkude 11 ай бұрын
Aamin
@sharifuteacher5025
@sharifuteacher5025 10 ай бұрын
Ameeeni
@zahorsalum4976
@zahorsalum4976 10 ай бұрын
Allah akusamehe makosayako .shekh wetu.🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@tindatinda7330
@tindatinda7330 10 ай бұрын
Mbona Zanzibar mnahamasishana kuhusu udini. Sie huku ktk familia zetu tupo waislam na wakristu Toka familia moja
@abadharkhamis5909
@abadharkhamis5909 11 ай бұрын
Innalillah wainna ilayh raajiu'n
@Allybinamour
@Allybinamour 11 ай бұрын
الهم غفر له ورحمه وسكنه فى الجنة
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp 11 ай бұрын
Tutengane
@ZINDUKAMUISILAMU30
@ZINDUKAMUISILAMU30 10 ай бұрын
Aamin
@maisarirajab4846
@maisarirajab4846 11 ай бұрын
Mungu akulipe kila la kheri
@mkude
@mkude 11 ай бұрын
Aamin
@user-fi9dh1wz1z
@user-fi9dh1wz1z 11 ай бұрын
Na sisi wabara hatuutaki muungano Kila mmoja wajiandae kurudi kwao
@omarybakari1681
@omarybakari1681 10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@calabash4221
@calabash4221 10 ай бұрын
Watanzania wenzangu wakristo kwa waislam na wengine wote ambao hawana dini...Naamini hiki kizazi kinaenda kuisha na mawazo haya yatapotea kabisa.....Sisi tutaishi kwa kupendana bila kujali Imani zetu
@allykindamba9800
@allykindamba9800 10 ай бұрын
INNA LILAH WAINNA ILAYH RAJIUN Allah akusamehe makosa Yako
@johnmalale3860
@johnmalale3860 11 ай бұрын
Waislam walizuiwa na nani kugombea!?
@issamwakinyo3203
@issamwakinyo3203 10 ай бұрын
Allah amrehem sheikh wetu hakika alikuwa mtu wa haki
@GeoffreySumbwe-cq6kk
@GeoffreySumbwe-cq6kk 10 ай бұрын
Nendeni kwenu tuende zetu hapo Hamna kusuguana
@nassorkhalfan-cl6pm
@nassorkhalfan-cl6pm 11 ай бұрын
Hatuutk muungano na uvunjike
@ibrahimsuleyman9465
@ibrahimsuleyman9465 11 ай бұрын
Allah amhifadhi Maalim Ally baselehe
@AshilatAbas-qe4fh
@AshilatAbas-qe4fh 10 ай бұрын
Naona Mambo yanaenda kubadilika
@1stnews283
@1stnews283 11 ай бұрын
Ona uuupuuuzi sasa....kugombea ubunge na udini wapi na wapi...Acha udinii
@izzi198
@izzi198 10 ай бұрын
mwaka sabini kulikua na uchaguz?
@1stnews283
@1stnews283 10 ай бұрын
@@izzi198 we nawe wale wale embu sikiliza video yote na uache kulikuwa gari kwa mbele
@ramadhanbaraka6474
@ramadhanbaraka6474 10 ай бұрын
INNALILLAHI WAINNA ILLEIHI RAAJIUUN.
@drnow1528
@drnow1528 11 ай бұрын
Taqbeer
@seneu.2128
@seneu.2128 10 ай бұрын
Mungu ampumzishe salama huyu mzee, lakini enzi za uhai wake alikuwa mtu wa udini na ubaguzi hoja zake hapo hakuna chochote wingi wa wabunge bungeni ni maamuzi ya wananchi waliowachagua na sio serikali ni ajabu sana kushindwa kujua nchi hii sehemu kubwa imekaliwa na wakristo kuanzia kanda ya ziwa , kaskazini, nyanda za juu kusini, na mikoa mingi sasa unategemea nini? Nisawa wakristo waliozaliwa Zanzibar walalamike mbona wawakilishi wengi ni waislamu 😂 kwahiyo mkitaka uongozi sio rahisi maana wakristo wako wengi nchi hii na ndio watafanya maamuzi isipokuwa wao hawana ubaguzi wala hamtawasikia wakihoji ujingaujinga ila now anayeongoza nchi ni wenu jitahidini awape nafasi ili muwapite wakristo kam ndio mnachowaza hicho tuone mtafika wapi.
@salimmbarouk5946
@salimmbarouk5946 10 ай бұрын
thank you for the information
@mwaramimwarami1479
@mwaramimwarami1479 11 ай бұрын
Allahumma ughfahu warhamhu
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 10 ай бұрын
We mpumbavu kweli acha udini
@mwanahija968
@mwanahija968 11 ай бұрын
Allah amrahamu sheikh wtu
@user-mu7pm1ts6h
@user-mu7pm1ts6h 10 ай бұрын
Hao waisilamu wakiingia nchi wanaweka rehan
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 10 ай бұрын
Huyu kachelewa mungano haupo zaidi ya kuoana inabidi akaludishe mke
@kaliskaguzkalis4424
@kaliskaguzkalis4424 11 ай бұрын
Ni harakati ambazo zimebaki kwenye kumbukumbu hazipo tena
@khaulatmohammed3765
@khaulatmohammed3765 4 жыл бұрын
Hatutaki muungano
@hidayabakar7026
@hidayabakar7026 3 жыл бұрын
Kishiki uwapii wasikilize wazee wanao penda uwisilim na haki hawamuogopi kufuli wamuogopa muungu
@charlesphiliph528
@charlesphiliph528 10 ай бұрын
Haya,atokee mtanganyika msilamu awe rais Zanzibar.Kwa Zanzibar mkristo wa Zanzibar ni Bora kuliko msilamu wa bara
@VailettyShigerla-fw2sg
@VailettyShigerla-fw2sg 11 ай бұрын
Ujui urisemero
@albertmakuri4273
@albertmakuri4273 10 ай бұрын
kwa ujinga huu nikweli lazima upigwe kwa kuhubiri ujinga huu
@kennedyngusa8890
@kennedyngusa8890 11 ай бұрын
Muungano hatutaki
@DenisonTheonest-yj3mk
@DenisonTheonest-yj3mk 11 ай бұрын
Msitutishe kuvunja mungano kwani kuungana na wanzanzibar kuna faida gani vunjeni Tanganyika tunajitosheleza
@user-hp1im5ek4r
@user-hp1im5ek4r 10 ай бұрын
Mnataka kutuletea udini wa kikuda wewe mzee ww huna hakiri
@abdisalumfadhil117
@abdisalumfadhil117 6 жыл бұрын
good
@fatmasaid9765
@fatmasaid9765 10 ай бұрын
Allah amrehemu amjaalie kaburi yake rowdha min riyadhi jana
@marieconnect6389
@marieconnect6389 9 ай бұрын
inaonekana kama watanganyika ndiyo wanaolazimisha sana muungano? au siyo?
@YussufSaid-ok4pu
@YussufSaid-ok4pu 11 ай бұрын
اللهم غفرله ورحمه
@amurisabiti7037
@amurisabiti7037 2 жыл бұрын
Hatutaki muungano na wa bongo
@nassorkhalfan-cl6pm
@nassorkhalfan-cl6pm 11 ай бұрын
Kabisa bro hatuutak
@marieconnect6389
@marieconnect6389 9 ай бұрын
hayo ya udini yanatoka wapi tena? wakatoliki wamekuwa wana histoiria hadi leo ya kuwa na mashule na vyuo yingi katika Tanzania. kwa maneno mengine ina wasomi wengi zaidi waliotapakaa nchi nzima hadi bungeni. ndiyo sababu
@ibrahimleonard954
@ibrahimleonard954 6 жыл бұрын
Mambo
@shabanindabaga6121
@shabanindabaga6121 11 ай бұрын
Inna lillahi wa inna lilahi rajim
@ellyelly9069
@ellyelly9069 10 ай бұрын
Kwan wabunge wanapatikaje ninyi bhana tumieni vichwa msitumie visigino hacheni ujinga
@user-xn5cz6ym7u
@user-xn5cz6ym7u 10 ай бұрын
Ustuvuruge nenda kwenu zanzibari tuachie nc yetu tanga
@allykhamis-hf4jr
@allykhamis-hf4jr 10 ай бұрын
Allah amrehem
@RaphaelMmassy
@RaphaelMmassy 10 ай бұрын
4:26
@MUSTAFAMIRAJI-rp2dz
@MUSTAFAMIRAJI-rp2dz 11 ай бұрын
Innalillahi wainnailaihi rajiun
@nsubiraphael8514
@nsubiraphael8514 10 ай бұрын
Mbona ushavunjika,bado wee kuuvunja sis tushauvunja
@mimiraia2531
@mimiraia2531 10 ай бұрын
Haya jitengeni mradi utumwNi kwa WAOMANI
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 10 ай бұрын
KAKA TUKITENGANA TANGANYIKA MWISHO MOROGORO, KUANZIA MOROGORO NA MIKOA YOTE YA PWANI HAITOKUWA TANGANYIKA. TUSIFURAHIE, HILI LA KUTENGANA NI BAYA SANA. TUMUOMBE MUNGU TUSALIE KAMA WATANZANIA LAKINI TUWE WENYE KUTHAMINIANA, KUPENDANA NA WALA SIO KUDHULUMIANA.
@AndreaMathias-ql2ri
@AndreaMathias-ql2ri 10 ай бұрын
Wewe burekabisa
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp 11 ай бұрын
Vunjeni na ss hatuutaki ndiomaana nchi haipigi hatui
@edwardlaizer2902
@edwardlaizer2902 10 ай бұрын
Hapo sasa ndio udini, Semeni mnachokiona juu ya mkataba na sio kuwakosoa waliotoa maoni na mtazamo wao juu ya mkataba. Tupeni maoni yenu juu ya mkataba upite au tusiingie na kwanini😊
@tycoon9540
@tycoon9540 10 ай бұрын
We nae huna akili Video ya tangu 2011, unakimbilia kupost unataka habari za bandari
@eliasmaspela1728
@eliasmaspela1728 11 ай бұрын
Kwan marekani Kuna wabunge wangap wa kiislam nyie kama vip nendeni uarabuni ndio kwenu huko
@saidaliy472
@saidaliy472 10 ай бұрын
Na nyinyi nendeni italia roma maana ndo kwenye makafiri wenzenu mnaoabudu masanamu na yesu wenu aliezaliwa kama ww mbwa ww
@eliasmaspela1728
@eliasmaspela1728 10 ай бұрын
We ni Tako nn
@1stnews283
@1stnews283 11 ай бұрын
Udini na kufundisha watu wachukiaaane bila sababu ..
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 10 ай бұрын
Katika na kiuno Mzee
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 4 ай бұрын
👊✌️👍。
@libetztanzania-kiswahilina2845
@libetztanzania-kiswahilina2845 10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😊😊😊
@RaphaelMmassy
@RaphaelMmassy 10 ай бұрын
😮😢😮😅
@DenisonTheonest-yj3mk
@DenisonTheonest-yj3mk 11 ай бұрын
acha kupotosha
@ibrahimabdillah5729
@ibrahimabdillah5729 10 ай бұрын
Wapi amepotosha?
@ahamadially8351
@ahamadially8351 10 ай бұрын
Lakini inshu ni mkataba jamani sio uisilanu na ukristo
@user-oi9fi2vm7p
@user-oi9fi2vm7p 9 ай бұрын
Allah ampe k thabit
@lawimichaelwerewere7619
@lawimichaelwerewere7619 10 ай бұрын
Hata wapumbavu huzeeka
@GabrielMwakasege-sx9wv
@GabrielMwakasege-sx9wv 11 ай бұрын
Uyu mzee nimchonganishi namfaham mdamlefu
@EmanuelMduma-uo7lb
@EmanuelMduma-uo7lb 11 ай бұрын
Mzee kalewa huyu mnawaza udini leo poleni kweli uyu mzee mpuuzi sana
@user-fx9kh1vl7l
@user-fx9kh1vl7l 10 ай бұрын
Kafa na undezi wake.Shubamiiiit
@tanganyikasaad9789
@tanganyikasaad9789 10 ай бұрын
Ndugu unakashifa sana, dharahu, na matusi yaliyopitiliza kiwango cha kuvumilika.
@abunajreenELSESANY
@abunajreenELSESANY 11 ай бұрын
Allah akbar Allah akusaameh makosa yako na akutie PEPONI. THE TOP INFLUENTIAL MUSLIM IN THE COUNTRY.
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 11 ай бұрын
Mbona kama una umri wa kutosha
@pungopungo411
@pungopungo411 11 ай бұрын
Huyu mzee mchonganishi. Waislamu walikua hawagombei kwaajili walikua nyuma kielimu. Ni siku hizi tu wameinuka zamani elimu ya maana ni Quran
@ismailjuma3692
@ismailjuma3692 10 ай бұрын
QUR'AN itabaki kua elimu ya maana kila wakati, kwaiyo shika adabu yako juu ya qur'an.
@BarackCharles-vt7kt
@BarackCharles-vt7kt 10 ай бұрын
Na hivi ndivyo walivyofanikiwa kutuvuruga waliozileta dini😂
@nikimboy6093
@nikimboy6093 10 ай бұрын
Mimi naenjoy Sana nikiona waafrica wenzangu wako brainwashed japo ni too sad
@BarackCharles-vt7kt
@BarackCharles-vt7kt 10 ай бұрын
@@nikimboy6093 for real it’s too sad
@nicodemuswidambe5132
@nicodemuswidambe5132 10 ай бұрын
Je nyinyi mnakataa kugombea??
@noeljoseph5618
@noeljoseph5618 10 ай бұрын
Sasa huo ndio udini, mtu anachaguliwa Kwa sifa na uwezo wanafasi husika sio udini
@salehkhamis-ob8ln
@salehkhamis-ob8ln 10 ай бұрын
Hapana nyinyi makafiri mnajifanya Tanzania ya kwenu huu ndio mfumo uloekwa
@user-zl3le1wz2u
@user-zl3le1wz2u 10 ай бұрын
Nyie na elimu ni mbalimbali ila elimu ahela
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 10 ай бұрын
NAWE ELIMU YAKO NI HIYO YA KUGEUZANA MIDUME KWA MIDUME AU VIPI?!
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 11 ай бұрын
Nyie ndiyo mnaleta udini shindwa
@noahmadali7150
@noahmadali7150 11 ай бұрын
Katokea wap huyu tena
@ivanbenjamin9816
@ivanbenjamin9816 10 ай бұрын
Huo n udini sasa kila manzania Hana haki sawa
@kennedyngusa8890
@kennedyngusa8890 11 ай бұрын
Hoja yako nini?
@bellasi349
@bellasi349 10 ай бұрын
Sasa wewe haujui kuwa ukristo ndo dunia? We wawapi dunia yote inaendeshwa na mfumo wa chrétien n’a waislamu wagombee ununge sasa au hawana sifa hivi mawazili waislamu mko wangapi
@ahmadikininga239
@ahmadikininga239 11 ай бұрын
Hao wabunge wanachaguliwa na nani? Na waislam je, mnashiriki katika zoezi la uchaguzi?
@mimiraia2531
@mimiraia2531 10 ай бұрын
Hawa watu Mbona ni watu wa chuki sana??
@Abdoulyousouf
@Abdoulyousouf 10 ай бұрын
Ko wakanyagwe tu afu wakae kimya? Wakijitetea ni chuki ni udini?
@user-xz3rj2vs8l
@user-xz3rj2vs8l 10 ай бұрын
Utapataje ubunge Kwa elimu ya madrasa wakrito walileta mashule
@zuzadomikano3765
@zuzadomikano3765 11 ай бұрын
NDIO SABABU WALIKUTESA MFANO WA LIVYO MDHULUMU JUSA LADO ,ULIYAZUNGUMZSHAYO YA ZANZIBA,(KAMA MAQAMO WA KWANZA Zanziba) Othman Othman kukata KUSAINI KATIBAZAO BUNGENI WAKAMFUKUZA ,WAMA ccm ZANZIBA MTAPATA LAANA NZITO SANA .
@nicodemuswidambe5132
@nicodemuswidambe5132 10 ай бұрын
Shule muhimu!!
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 10 ай бұрын
Yaani acha tu,ameolewa huko aliko
@shaurimtanda8285
@shaurimtanda8285 10 ай бұрын
We una shule gani?
@aminasaid6555
@aminasaid6555 9 ай бұрын
Kwa maajabu gani ya elimu kwa Dunia ya Sasa
@SadickAlly-jm5sr
@SadickAlly-jm5sr 11 ай бұрын
Huyu baba ni mubaguzi wa din tena ni mchochoz
@ibrahimsaad617
@ibrahimsaad617 11 ай бұрын
Muongo wwe jibu hoja zake WWE ndio mbaguzi namba moja
@mchagagaspar6649
@mchagagaspar6649 11 ай бұрын
UCHOCHEZI GANI ,NCHI 2 KILAMTU AWE NNAVYAKE NIHAKI.
@saidabdillahi8107
@saidabdillahi8107 11 ай бұрын
Nani kakupa jina hilo inaonekana umejipa kutaka kuandika chochote sio jina lako halisi
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 11 ай бұрын
Unafikiri anachosema ni uongo?.anachosema ni kweli tena kweli.
@abuujibriltv5233
@abuujibriltv5233 11 ай бұрын
Una taka au Tetee ukafiri?. Huyu siyo mwana siasa na Wala si askofu ni shekh huyu.
@kombo8785
@kombo8785 10 ай бұрын
Mzee Mimi Ni muislam lakini kwa kauri zako isitugombnishe sisi tupo keenye swala la bandari unataka kutuhamisha acha kauli
@tycoon9540
@tycoon9540 10 ай бұрын
Hio video ni tangu 2011, muwe mnaangalia imepostiwa lini sio kukurupuka tu
@aminasaid6555
@aminasaid6555 9 ай бұрын
Ukiona mtu anajitambulisha uislamu hamna kitu hapo mchongo
@leonardalphonce8924
@leonardalphonce8924 11 ай бұрын
endelea nahuo upumbavu
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 10 ай бұрын
Msalimie mmeo huko uliko,vilainishi vikiisha tutakutumia.
@angelomalimi2444
@angelomalimi2444 11 ай бұрын
Shehe mzambi sana huyo
@ibrahimabdillah5729
@ibrahimabdillah5729 10 ай бұрын
Mzambi kwa lipi?
@DansonMtambi-fq2ff
@DansonMtambi-fq2ff 11 ай бұрын
Kwa hiyo hoja yako ni ipi sasa mzee kwani kuna sheria inayo kataza waislam kugombea ubunge😂😂😂😂
@edenusmrosso9225
@edenusmrosso9225 10 ай бұрын
na muhamed sio mtume
@abaafarhat9191
@abaafarhat9191 10 ай бұрын
Hiyo ni imani yako wala haituhusu ndio maana kuna waislamu na wakristo Muhammad ni mtume sisi tulishamuamini
@shabanalmas3877
@shabanalmas3877 11 ай бұрын
fadh
@paulmairi8795
@paulmairi8795 10 ай бұрын
Tujue elimu yake. Maana hana kitu
@aminasaid6555
@aminasaid6555 9 ай бұрын
Kwa maajabu gani ya elimu kwa Dunia ya Sasa
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 11 ай бұрын
Mzee mmekalia madrasa wakati wakristo watoto wako bize na Kitabu. Mnakusanya fedha kujenga misikiti wao wanachangusha kujenga shule. Bungeni au Serikalini haziendi dini bali taalama ya kidunia. Lini sasa mtalingana nao? Waislam tafakari sana hapo.
@omaryrjohn65
@omaryrjohn65 11 ай бұрын
Upumbavu wa watu watanzania mpaka leo hii mnahubiri dini?dini? Dini zimeletwa na wazungu pamoja na waarabu tumekuwa tukiabudu mizimu na miti karne na karne leo hii dini zinatumaliza waafrika kwakweli laana hii haitafutika kamweeeeee ngoja siku tuanze kuchinjana ndio akili ziwakae sawa naona mnahamu sana na vita vyie hamjui madharayake.
@user-rg5sg1xz8p
@user-rg5sg1xz8p 11 ай бұрын
Ww una mtatizo ya akili saaaan yani inaonesha hata akili ya kuongoza familia yako uwez .... Zanzibar sio nchi ni sehemu ya starehe kama disco za usiku tuuuu
@FeisalDoctor
@FeisalDoctor 11 ай бұрын
Dico ni mkundu wa mam ako
@mahamoudduchi3318
@mahamoudduchi3318 11 ай бұрын
Zanzibar kama sio nchi Sasa wa tanganyika muliungana na Nani?? Na ule mchanga ulokua kwenye vibuyu ulochanganywa na Baba enu nyerere alikua akiutia kwenye VUTU lako au??
@user-rg5sg1xz8p
@user-rg5sg1xz8p 11 ай бұрын
Nisehemu tuu ya kula bata maana kule kuna kila aina ya washemzi
@mahamoudduchi3318
@mahamoudduchi3318 11 ай бұрын
@@user-rg5sg1xz8p hata na kwenu Bara Kuna washenzi wa kila Aina
Sheikh Nurdin Kishki - 3/4 - Njama za wakiristo kuushambulia uislamu
1:05:55
02 Mazungumzo ya Shk Basaleh   Hali Ya Ulimwengu
17:06
IBN TV Africa
Рет қаралды 23 М.
MEGA BOXES ARE BACK!!!
08:53
Brawl Stars
Рет қаралды 35 МЛН
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 4,2 МЛН
OMG😳 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:58
Potapova_blog
Рет қаралды 4,2 МЛН
Kongamano (diamond jubilee) - Hatari ya mfumo kristo part 4
34:48
WATUHUMIWA UGAIDI WALIOFARIKI/SHEIKH PONDA AFUNGUKA HAYA
19:07
MwanaHALISI TV
Рет қаралды 24 М.
MAISHA YA ALLY SYKES
1:19:54
Mwanahistoria MohamedSaid
Рет қаралды 28 М.
Ustadh Ilunga - Wazanzibari wamjitambua Part One 3/5
34:09
Abd Binm
Рет қаралды 424 М.
MBWEMBWE ZA MANARA  AKIFANYA YAKE | MAULIDI YA MASJID MTORO 2023
4:37
MASJID MTORO ONLINE TV
Рет қаралды 10 М.
akimmmich (feat. Turar) - UMYTTYŃ BA?| official lyric video
2:54
Jakone, Kiliana - Асфальт (Mood Video)
2:51
GOLDEN SOUND
Рет қаралды 2 МЛН
Saǵynamyn
2:13
Қанат Ерлан - Topic
Рет қаралды 2,7 МЛН
Kobelek
4:11
6ELLUCCI - Topic
Рет қаралды 237 М.
Say mo & QAISAR & ESKARA ЖАҢА ХИТ
2:23
Ескара Бейбітов
Рет қаралды 964 М.
Zattybek & ESKARA ЖАҢА ХИТ 2024
2:03
Ескара Бейбітов
Рет қаралды 104 М.