Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 156
@ramhuudulla89215 күн бұрын
Anajiona kitotooo cha miaka 9
@mapishiyetumazuri23125 күн бұрын
Harajajuwa dini shida ndo hiyo hata asilaumewe mungu amuogoze yy na ss
@nancyg86645 күн бұрын
😂😂ila diva ana sura kubwa
@LuqKey5 күн бұрын
Huyu Abdul alikuwa na subra sana kuishi na huyu battery law
@khumayraabdulla965 сағат бұрын
😂😂😂 Tatizo anajiona mchanga tu mapenz unaweza kuyapoteza kwa kujiona mchanga
@SuleimanKhdija5 күн бұрын
Sio sheikh huo ni Abdoul Razaq bhana 😊
@patriciaboniface9975Күн бұрын
😅😅😅😅
@Naahlyan5 күн бұрын
Tuseme ukweli diva na mume wake wamependezeana kiufup wanaendana naenjoy kuwaon
@stellahlinusi82155 күн бұрын
kwani siwame achana au?
@Zainab_salat5 күн бұрын
Diva mm na ww tunashare siku kuzaliwa na aina tabia zako kwann maybe malezi I hope unasoma my comment
@fathiyahmuzney73675 күн бұрын
Yan huyu diva kwel ziro kabisa
@btylove18703 күн бұрын
Sasa nimeelewa Abdul anawapataje hawa wanawake, na hivi ndivyo alivyompata diva. Wateja wake wengi watakuwa wameingiliwa sana na huyu sheikh ubwabwa! Very sad wallah☹
@nyanziratatou54044 күн бұрын
Kweli Diva ni tahira kabisa😂😂😂
@steveabel58195 күн бұрын
Ila all in all atakama kunatofauti na mapungufu, diva na shekhe wanapendezeana i would really like warudiane and sort their things out.
@Zainab_salat4 күн бұрын
He's cheater
@firdaussheikh48175 күн бұрын
Diva amenichekesha aki , 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣they look good together❤❤❤❤ 🇬🇧
@user-yp9pt8tw1p5 күн бұрын
Mimi sipendi diva nauyu mumewake waachane kwasababu wamependezana sana nasiku wakija kuachana nitaumia sana mimi jamani
@Adje2445 күн бұрын
Hili li Dada akili zake haziko sawa ni anamatatizo ya akili
@leokamil62845 күн бұрын
Hata mimi nadhani ana shida kiakili
@salimmohamed36035 күн бұрын
Kweli kabisa
@user-zl5mt6lk4n5 күн бұрын
usichoke mwaya Abdul usichoke kumlingania atabadilika tu inshaa Allah mwanzo mgumu lkn pole Allah akuzdishie subra maana bila subra huyo mke wako utamchoka mapema maana ni mtihani😢
@rizikially95355 күн бұрын
Kweli 😊❤
@AmanaHussein5 күн бұрын
Atabadilika inshallah 🤲
@witnessmlay74155 күн бұрын
Umeshindwa kumfanya mkeo avae ijabu/asivae nywele bandia unaangaika na mti kweli? Upo serious Mganga? Hehe
@verynice78795 күн бұрын
Ila diva 😂😂😂😂 jinga kweli
@chunaabdullah13335 күн бұрын
Aogi shee na katoka zoezi 😂😂
@tanzcanmediatv44735 күн бұрын
Ilitaka uoneshe bafuni ili uone nini kwani
@esthermakelemo28644 күн бұрын
Umeona eeh?😊
@AhmedAdan-po5psКүн бұрын
Vichaa wawili waliochanganyikiwa
@leaherasto9295 күн бұрын
anawashika shika ndio maana anawalala ovyo
@jamilaathumani54815 күн бұрын
Ila diva anautoto sana
@Jojo-lz7lq3 күн бұрын
Na anapenda mashindano🥹😂
@user-zc6ky6si8r3 күн бұрын
Diva ww sasa upate maadili ya kiislam no Christmas only 5 daily prayers .follow Quran and hadth of the prophet Muhammad SAW. Only listen ur husband whatever he is telling you dont be stubborn about islamic religion am your sister in islam❤
@khamismohammed25823 күн бұрын
Bongo kuna watu wanaibiwa kizembe. Shekh anawaibia sana mtoto karizika anachezewa tumbo
@salhamrishoi49435 күн бұрын
Nimependa hii❤❤❤❤❤🎉
@dinalesmwakolo21315 күн бұрын
Wa kwanza😊
@Bashitetako4 күн бұрын
Una jidanganya huyo sio Beyonce unaishi na mwehu anaehisi yeye ni Beyonce
@lalafamily52904 күн бұрын
Shehe muongo sana Christma😢s haina uhusiano na Cris, ni story ya kutunga kutoka kwenye uislamu kimtazamo!! Ukristo unapigwa mawe sana kila kona!! Christ not Cris au Kris!! Hizi kumbukumbu za kidini tu na siyo kama mihimili ya kiimani. Ramadhani ni tamaduni za kipagani ukifuatilia chanzo chake, ambapo utabishana na waislamu kuhusu hilo kidini. Ndiyo kama Christmas ilivyo kidini. Maswala ya kidini ni very contradicting.
@salhawaziri16685 күн бұрын
Mwanamke jinga huyu khaaa
@JescaVicent-jo7sj5 күн бұрын
😅😅😅😅
@AmanaHussein5 күн бұрын
Niliskia diva Yuko na mimba mdomo koma🏃🏃🏃
@FirdausyAbubakary-bl2wo5 күн бұрын
@@AmanaHussein aamiin nataman iwe hivo napenda saana Allah ajaalie woote wanaotafuta watoto wapate..haijalishi personal issues zao ziko vp
@AmanaHussein5 күн бұрын
Inshallah inshallah inshallah
@bennamush46165 күн бұрын
😂😂Sasa unakimbia Nini Kwan Kuna bayaa😂😂
@user-iy7xy1np7c5 күн бұрын
Kama kweli basi Usimtangazie mwenzio mambo km hayo hayatangazwi especially ikiwa yeye mwenyewe muhusika hajayaweka wazi, na kama ni uongo basi acha kusambaza uongo kwa faida yako na vizazi vyako
@user-vy2bc6xg3i5 күн бұрын
Xinatoka masikini tumuombee apate nae inshallah
@mrokay1time9584 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 jaaamaaaniiii
@sund25534 күн бұрын
Mganga anatibu nin haki utapeli huuu😅😅
@JudyHans-g8v4 күн бұрын
Kwahyo mas ni wingi Sawa, zile almasi tulikuwa tunakusanya na sumaku utotoni zinaitwa Al Ila Kwa mingi ndo almas😂😂
@chunaabdullah13335 күн бұрын
Mbona usimfundishe dini kwanza huyu taira 😂😂
@catrinavampire85475 күн бұрын
😂mbona tahira
@estherchou28993 күн бұрын
Jamani Abdul usipotoshe watu that is not the meaning of christmas tree 😢 Jaribu ku google basi mue mnatumia akili ata kidogo ku Kashif dini ya wenzio sio poa kbsa Ww dili na uganga wako usicheze na Imani za wenzio
Inamana mazoezi yale yote shehe hujajamba kwer?? Sasa udhu utakuwepo kwer au? Mana kuinama kule lazima ujambe ujue
@user-wd2bc7bf5x5 күн бұрын
uache uongo
@Marjeby3 күн бұрын
😅Huyu jamaa aiseee wallah elimu ni muhimu sana huyuu fala hana elimi yoyote hawezi hata kumtibu mtu akiwa anaharisha tuu shenzi kabisa
@righitkileo5 күн бұрын
Woooooooyi.jamn kwani bado mnaishi pamoja?? Ila hawa wote wanauqonjwa wa Akili. Woooooooooooyi.
@efrahfarahahmed89605 күн бұрын
Eti tumpeleke mgomba 😂
@user-zc6ky6si8r3 күн бұрын
Kwni swala ya asr wasoma na saut mpaka huku twasikia
@aj-gw1rl5 күн бұрын
😀 hawa sidhani kama wameachana
@mrokay1time9584 күн бұрын
Niatari
@mapishiyetumazuri23125 күн бұрын
DIVA anasekesha
@lilianpeter16315 күн бұрын
Diva m'bish sana bichwa kubwa akili kisoda ndo mana akaachika anajifanya bado mtoto jitu zima
@nancyg86645 күн бұрын
anajikuta mtoto na sura ilivokua kubwa hvo😂😂
@maryonyango81022 күн бұрын
Hata hizo picha ameziweka hapo ukutani ni haram
@user-gt8fw9vk4c5 күн бұрын
Nijibuni wameachana au wapo pamoja 😂😂😂😂😂mbona wanachanganya
@hellensaronga42594 күн бұрын
Mwambie huyo mmeo, religion is one of the element of culture. Alafu akome kuongelea Christmas kwa upotoshaji maana hajui chochote.Ana chuki sana na dini za watu. I hate....
@HamisiForogo4 күн бұрын
Shida ni mti wa kristmas
@ibraoman27455 күн бұрын
Kwani Hawa bado wapo pamoja
@dianaonesmo69515 күн бұрын
Ila uyu sheikh nae asaa mti una shidaa gan
@EmilyAlph4 күн бұрын
Ila Abdul alijitahidi sana kuishi na hili deri la barafu 🚮🚮
@user-cr4th9lr6b5 күн бұрын
Hi I watu bado mnaenda kutibiwa mitaani
@FocusNyari5 күн бұрын
nyuma ya gramu
@nayarichard53185 күн бұрын
Yaani mm ingekua vita ananiitaje Beyonce yaani ananinanga?.....ila shehe nae anashida inshort mnajuana
@rukaya-jg7hj5 күн бұрын
Asa diva umeolewa lkn unapingana na mume
@nancyg86645 күн бұрын
yan mjuaji huyu mimi ningekua nalidunda balaa
@rukaya-jg7hj5 күн бұрын
@@nancyg8664kama abdul ni mtu wa kupiga lingetolewa ngewe ilo diva
@witnessmlay74155 күн бұрын
We Mganga kwan huo mti ndo unashida gan? Jinga kabsa, kuleta udini usiokuwa na maana
@thamani58425 күн бұрын
Shida yy si mkristo mti wa krismas unamuhusu nini? LAKUMDINUKUM WAL YADIN
@witnessmlay74155 күн бұрын
@@thamani5842 alichofanya ni ubaguzi wa kidini, angeupotezea tu mana haumuhusu kwa chochote. Mke wake Diva una muhusu ndo mana aliamua kununua. Kwamba angesali hapo, sala yake isingefika ama?
@faridalihondo33225 күн бұрын
@@witnessmlay7415haumuhusu ata uyo diva keshakua muislam
@AmanaHussein5 күн бұрын
😂😂😂😂
@busnaoman99815 күн бұрын
Lakumdin kumwalyadin Kila mtu anadini yake
@farhannahkulishwaburekunam53605 күн бұрын
Hiyo culture imekujaje na wewe una mume mwaislam na ushakuwa mwiislam huyo bado hajakuwa Muslim kamil bado anamambo yake ka kisto nawamekutana wote wasemaji na diva hawezi kuelewa na huyo bwana ni tomuch mjuaji sana na bado hajafata dini ni jina tu
@wemaMichael-fr4th5 күн бұрын
bwana kichaa bibi kichaa
@leokamil62845 күн бұрын
Kila kitu Namtaja Baba yake hivi huyu dishi lipo sawa kweli?
@nancyg86645 күн бұрын
lakini najaribu kumuelewa Abdul
@user-ji9wf9dh8h2 күн бұрын
Eti Christopher
@mapishiyetumazuri23125 күн бұрын
Ss unakula mkate na Chai namazoezi wapi na wapi
@AmanaHussein5 күн бұрын
Jamaniiiiii 😂😂
@mapishiyetumazuri23125 күн бұрын
@@AmanaHussein 🤣🤣🤣
@user-bj6cr8nr6v5 күн бұрын
Kumbe diva muhaya 😂
@FirdausyAbubakary-bl2wo5 күн бұрын
Excuse me😂😂😂 mtanga huyoo jamaniii😂😂😂😂
@nancyg86645 күн бұрын
@@FirdausyAbubakary-bl2wo😂😂baba ake mhaya ye anakuaje mtanga
@FirdausyAbubakary-bl2wo5 күн бұрын
@@nancyg8664 subhaanaAllah hii sampul uhayanii mmh😀😀😀😀
@sophiaalnuru45Күн бұрын
@@nancyg8664ni mhaya ndio
@khalsasalim79305 күн бұрын
Et beyonce 😂
@nsajigwaburton5 күн бұрын
jamaa muongo
@lastborn78105 күн бұрын
Mtu anaswali na nguo za gym loo si ungeoga kwanza 😂😂😂😂
@mejumaamwachirero73245 күн бұрын
Hivi kwani jasho ni najisi ebu someni dini
@FirdausyAbubakary-bl2wo5 күн бұрын
@@mejumaamwachirero7324😂😂😂
@lilasuliman5523 күн бұрын
Uislamu ni usafi@@mejumaamwachirero7324
@RutyNatalia-uu5uj5 күн бұрын
Kwan ametia udhu mbn anaswali bila udhu
@RandB_Channel5 күн бұрын
Kwahiyi huyu jama amekera.mbona wa Islam ☪️ wengi wanakuwaga wanatiya huyo mti?? Mnajifanya kujuwa dini na ijapo mazambi nimengi sana zenye mko mnafanya byenye habiendane nadini mmm huruma
@user-mi4nz8cs9s5 күн бұрын
Kwanza me niseme huyu nishekhe wa aina gani kaenda kuoa mke ambae hana dini halafu kashamuona mkewe wa aina hio mbna kashindwa kumuelekeza kwa njia ya sawa na kumpa mafunzo ya dini
@salhawaziri16685 күн бұрын
Ni mganga
@aairraahseif56485 күн бұрын
@@salhawaziri1668so"akiwa mganga hana dini?
@salhawaziri16685 күн бұрын
@@aairraahseif5648 elezwa nilichojib tafadhali
@AmanaHussein5 күн бұрын
Subhanallah hivi mnatoaga wapi nguvu za kuhukumu wenzenu😔
@aairraahseif56485 күн бұрын
@@AmanaHussein watu wanahukumu mpaka wanaona Abdul hana dini!si vizuri, ati Sio sheikh ni mganga!sasa mganga ndo hana dini? Kiasi wanajifanya wao wasafi sanaaa
@user-oq2wp8oh1f4 күн бұрын
Diva km jinga
@nicholauspeter94545 күн бұрын
huyu ni mwanaume jaman kuishi na hili tahira si mchezo
@faridalihondo33225 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@chunaabdullah13335 күн бұрын
Nnacheka kaa fala aki anajitaidi sana sheikh 😂😂
@esterpaul58565 күн бұрын
Tahira mama yako msenge ww
@MwanakomboNassor-bw3by5 күн бұрын
Siyo tahira hajui jamani kama wewe muislam kweli ungejua wanaume kwetu wachunga na viongozi wetu ndani ya nyumba
@lindamaunga39015 күн бұрын
😅😅 nacheka km mazur nyie mbn tahira jmn 😂🙌
@user-yb2gy6lt2e5 күн бұрын
Diva ATI muslim? Dayuth na mke wake mutabarijat. Minyuwele kama tambi, I don't even know why I am watching this rubbish.
@user-yb2gy6lt2e5 күн бұрын
Nyie mna juwa maana ya sheikh au??? Sheikh gani kweka picha ya mnyama kwenye office yake? Kwang hajuwi malaika hawa ingiyi fas ya ivo. Yani tanzania adi kunguni anapewa Jina la sheikh.
@Zaburi-5 күн бұрын
Script hizi
@AishaHaji-jn7sg5 күн бұрын
Ila diva 😂😂😂😂😂😂😂😂au ni anafanya tu drama ili wauze iii reality yao Hii mbona kama content tu jaman Abou nae punguza ukali mapenzi gani hutaki hata kushikwa
@faridahalil44565 күн бұрын
Iweje asharehekea Xmas na akiwa amesilimu????? Huyu hajaikubali dini ya kiislam. Ndoa yako Abdul haiko sahihi. She is a beach na Allah atampa mitihani maana anachezea dini ya watu.Stick to your ukiristo wako. Tena mjeuri sana unavyomjibu mume utakavyo? Rudi ukafundwe
@JosephKingwere5 күн бұрын
Mhmh
@user-yb2gy6lt2e5 күн бұрын
Sheikh gani chumba Kimoja na mwanamke bila mahram wake. Apo bila camera wangekuepo pekeye Yao tu.
@nancyg86645 күн бұрын
kwan hukusikia anamtajia tarehe yule mfanyakazi wake alikuepo pembeni
@TrinaRoman3455 күн бұрын
Ila diva anamwili mmbaya 😂😂😂 umejaziana hovyo hvyo si ajifanyishe mazoez jmn khaa..
@estherpaul38645 күн бұрын
Jaman duuh😅😂
@AmanaHussein5 күн бұрын
Hivi wewe umemwingilia Mungu kazi yake sawa
@TrinaRoman3455 күн бұрын
@@AmanaHussein Hiiii..😳 kichaa wewe,Mungu na limwili kuliachia hovyo lijae jae bila mpangilio vinahusiana nn hapo,🤗 mwambieni afanye mazoezi nyie machawa wake msio lipwa..mxuuuu😏😏😏
@JacklineNamundengozi5 күн бұрын
You sound stupid 😏
@somaliandnorway3 күн бұрын
Fake fake fake
@farhannahkulishwaburekunam53605 күн бұрын
Huyo Hutu humuwezi mwanamke sasa nimefahamu abdul humuwezi diva hatakiwi kuelewesha ni mjuaji