BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 4

  Рет қаралды 18,010

ZamaradiTV

ZamaradiTV

7 күн бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 156
@ramhuudulla8921
@ramhuudulla8921 5 күн бұрын
Anajiona kitotooo cha miaka 9
@mapishiyetumazuri2312
@mapishiyetumazuri2312 5 күн бұрын
Harajajuwa dini shida ndo hiyo hata asilaumewe mungu amuogoze yy na ss
@nancyg8664
@nancyg8664 5 күн бұрын
😂😂ila diva ana sura kubwa
@LuqKey
@LuqKey 5 күн бұрын
Huyu Abdul alikuwa na subra sana kuishi na huyu battery law
@khumayraabdulla96
@khumayraabdulla96 5 сағат бұрын
😂😂😂 Tatizo anajiona mchanga tu mapenz unaweza kuyapoteza kwa kujiona mchanga
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 5 күн бұрын
Sio sheikh huo ni Abdoul Razaq bhana 😊
@patriciaboniface9975
@patriciaboniface9975 Күн бұрын
😅😅😅😅
@Naahlyan
@Naahlyan 5 күн бұрын
Tuseme ukweli diva na mume wake wamependezeana kiufup wanaendana naenjoy kuwaon
@stellahlinusi8215
@stellahlinusi8215 5 күн бұрын
kwani siwame achana au?
@Zainab_salat
@Zainab_salat 5 күн бұрын
Diva mm na ww tunashare siku kuzaliwa na aina tabia zako kwann maybe malezi I hope unasoma my comment
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 5 күн бұрын
Yan huyu diva kwel ziro kabisa
@btylove1870
@btylove1870 3 күн бұрын
Sasa nimeelewa Abdul anawapataje hawa wanawake, na hivi ndivyo alivyompata diva. Wateja wake wengi watakuwa wameingiliwa sana na huyu sheikh ubwabwa! Very sad wallah☹
@nyanziratatou5404
@nyanziratatou5404 4 күн бұрын
Kweli Diva ni tahira kabisa😂😂😂
@steveabel5819
@steveabel5819 5 күн бұрын
Ila all in all atakama kunatofauti na mapungufu, diva na shekhe wanapendezeana i would really like warudiane and sort their things out.
@Zainab_salat
@Zainab_salat 4 күн бұрын
He's cheater
@firdaussheikh4817
@firdaussheikh4817 5 күн бұрын
Diva amenichekesha aki , 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣they look good together❤❤❤❤ 🇬🇧
@user-yp9pt8tw1p
@user-yp9pt8tw1p 5 күн бұрын
Mimi sipendi diva nauyu mumewake waachane kwasababu wamependezana sana nasiku wakija kuachana nitaumia sana mimi jamani
@Adje244
@Adje244 5 күн бұрын
Hili li Dada akili zake haziko sawa ni anamatatizo ya akili
@leokamil6284
@leokamil6284 5 күн бұрын
Hata mimi nadhani ana shida kiakili
@salimmohamed3603
@salimmohamed3603 5 күн бұрын
Kweli kabisa
@user-zl5mt6lk4n
@user-zl5mt6lk4n 5 күн бұрын
usichoke mwaya Abdul usichoke kumlingania atabadilika tu inshaa Allah mwanzo mgumu lkn pole Allah akuzdishie subra maana bila subra huyo mke wako utamchoka mapema maana ni mtihani😢
@rizikially9535
@rizikially9535 5 күн бұрын
Kweli 😊❤
@AmanaHussein
@AmanaHussein 5 күн бұрын
Atabadilika inshallah 🤲
@witnessmlay7415
@witnessmlay7415 5 күн бұрын
Umeshindwa kumfanya mkeo avae ijabu/asivae nywele bandia unaangaika na mti kweli? Upo serious Mganga? Hehe
@verynice7879
@verynice7879 5 күн бұрын
Ila diva 😂😂😂😂 jinga kweli
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 5 күн бұрын
Aogi shee na katoka zoezi 😂😂
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 5 күн бұрын
Ilitaka uoneshe bafuni ili uone nini kwani
@esthermakelemo2864
@esthermakelemo2864 4 күн бұрын
Umeona eeh?😊
@AhmedAdan-po5ps
@AhmedAdan-po5ps Күн бұрын
Vichaa wawili waliochanganyikiwa
@leaherasto929
@leaherasto929 5 күн бұрын
anawashika shika ndio maana anawalala ovyo
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 5 күн бұрын
Ila diva anautoto sana
@Jojo-lz7lq
@Jojo-lz7lq 3 күн бұрын
Na anapenda mashindano🥹😂
@user-zc6ky6si8r
@user-zc6ky6si8r 3 күн бұрын
Diva ww sasa upate maadili ya kiislam no Christmas only 5 daily prayers .follow Quran and hadth of the prophet Muhammad SAW. Only listen ur husband whatever he is telling you dont be stubborn about islamic religion am your sister in islam❤
@khamismohammed2582
@khamismohammed2582 3 күн бұрын
Bongo kuna watu wanaibiwa kizembe. Shekh anawaibia sana mtoto karizika anachezewa tumbo
@salhamrishoi4943
@salhamrishoi4943 5 күн бұрын
Nimependa hii❤❤❤❤❤🎉
@dinalesmwakolo2131
@dinalesmwakolo2131 5 күн бұрын
Wa kwanza😊
@Bashitetako
@Bashitetako 4 күн бұрын
Una jidanganya huyo sio Beyonce unaishi na mwehu anaehisi yeye ni Beyonce
@lalafamily5290
@lalafamily5290 4 күн бұрын
Shehe muongo sana Christma😢s haina uhusiano na Cris, ni story ya kutunga kutoka kwenye uislamu kimtazamo!! Ukristo unapigwa mawe sana kila kona!! Christ not Cris au Kris!! Hizi kumbukumbu za kidini tu na siyo kama mihimili ya kiimani. Ramadhani ni tamaduni za kipagani ukifuatilia chanzo chake, ambapo utabishana na waislamu kuhusu hilo kidini. Ndiyo kama Christmas ilivyo kidini. Maswala ya kidini ni very contradicting.
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 5 күн бұрын
Mwanamke jinga huyu khaaa
@JescaVicent-jo7sj
@JescaVicent-jo7sj 5 күн бұрын
😅😅😅😅
@AmanaHussein
@AmanaHussein 5 күн бұрын
Niliskia diva Yuko na mimba mdomo koma🏃🏃🏃
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo 5 күн бұрын
@@AmanaHussein aamiin nataman iwe hivo napenda saana Allah ajaalie woote wanaotafuta watoto wapate..haijalishi personal issues zao ziko vp
@AmanaHussein
@AmanaHussein 5 күн бұрын
Inshallah inshallah inshallah
@bennamush4616
@bennamush4616 5 күн бұрын
😂😂Sasa unakimbia Nini Kwan Kuna bayaa😂😂
@user-iy7xy1np7c
@user-iy7xy1np7c 5 күн бұрын
Kama kweli basi Usimtangazie mwenzio mambo km hayo hayatangazwi especially ikiwa yeye mwenyewe muhusika hajayaweka wazi, na kama ni uongo basi acha kusambaza uongo kwa faida yako na vizazi vyako
@user-vy2bc6xg3i
@user-vy2bc6xg3i 5 күн бұрын
Xinatoka masikini tumuombee apate nae inshallah
@mrokay1time958
@mrokay1time958 4 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 jaaamaaaniiii
@sund2553
@sund2553 4 күн бұрын
Mganga anatibu nin haki utapeli huuu😅😅
@JudyHans-g8v
@JudyHans-g8v 4 күн бұрын
Kwahyo mas ni wingi Sawa, zile almasi tulikuwa tunakusanya na sumaku utotoni zinaitwa Al Ila Kwa mingi ndo almas😂😂
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 5 күн бұрын
Mbona usimfundishe dini kwanza huyu taira 😂😂
@catrinavampire8547
@catrinavampire8547 5 күн бұрын
😂mbona tahira
@estherchou2899
@estherchou2899 3 күн бұрын
Jamani Abdul usipotoshe watu that is not the meaning of christmas tree 😢 Jaribu ku google basi mue mnatumia akili ata kidogo ku Kashif dini ya wenzio sio poa kbsa Ww dili na uganga wako usicheze na Imani za wenzio
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 5 күн бұрын
WAKIPEWA INTV WANAPAKANA😊...WAKIKUTANA ZINAWAWASHA😊..ME APANA
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 5 күн бұрын
Inamana mazoezi yale yote shehe hujajamba kwer?? Sasa udhu utakuwepo kwer au? Mana kuinama kule lazima ujambe ujue
@user-wd2bc7bf5x
@user-wd2bc7bf5x 5 күн бұрын
uache uongo
@Marjeby
@Marjeby 3 күн бұрын
😅Huyu jamaa aiseee wallah elimu ni muhimu sana huyuu fala hana elimi yoyote hawezi hata kumtibu mtu akiwa anaharisha tuu shenzi kabisa
@righitkileo
@righitkileo 5 күн бұрын
Woooooooyi.jamn kwani bado mnaishi pamoja?? Ila hawa wote wanauqonjwa wa Akili. Woooooooooooyi.
@efrahfarahahmed8960
@efrahfarahahmed8960 5 күн бұрын
Eti tumpeleke mgomba 😂
@user-zc6ky6si8r
@user-zc6ky6si8r 3 күн бұрын
Kwni swala ya asr wasoma na saut mpaka huku twasikia
@aj-gw1rl
@aj-gw1rl 5 күн бұрын
😀 hawa sidhani kama wameachana
@mrokay1time958
@mrokay1time958 4 күн бұрын
Niatari
@mapishiyetumazuri2312
@mapishiyetumazuri2312 5 күн бұрын
DIVA anasekesha
@lilianpeter1631
@lilianpeter1631 5 күн бұрын
Diva m'bish sana bichwa kubwa akili kisoda ndo mana akaachika anajifanya bado mtoto jitu zima
@nancyg8664
@nancyg8664 5 күн бұрын
anajikuta mtoto na sura ilivokua kubwa hvo😂😂
@maryonyango8102
@maryonyango8102 2 күн бұрын
Hata hizo picha ameziweka hapo ukutani ni haram
@user-gt8fw9vk4c
@user-gt8fw9vk4c 5 күн бұрын
Nijibuni wameachana au wapo pamoja 😂😂😂😂😂mbona wanachanganya
@hellensaronga4259
@hellensaronga4259 4 күн бұрын
Mwambie huyo mmeo, religion is one of the element of culture. Alafu akome kuongelea Christmas kwa upotoshaji maana hajui chochote.Ana chuki sana na dini za watu. I hate....
@HamisiForogo
@HamisiForogo 4 күн бұрын
Shida ni mti wa kristmas
@ibraoman2745
@ibraoman2745 5 күн бұрын
Kwani Hawa bado wapo pamoja
@dianaonesmo6951
@dianaonesmo6951 5 күн бұрын
Ila uyu sheikh nae asaa mti una shidaa gan
@EmilyAlph
@EmilyAlph 4 күн бұрын
Ila Abdul alijitahidi sana kuishi na hili deri la barafu 🚮🚮
@user-cr4th9lr6b
@user-cr4th9lr6b 5 күн бұрын
Hi I watu bado mnaenda kutibiwa mitaani
@FocusNyari
@FocusNyari 5 күн бұрын
nyuma ya gramu
@nayarichard5318
@nayarichard5318 5 күн бұрын
Yaani mm ingekua vita ananiitaje Beyonce yaani ananinanga?.....ila shehe nae anashida inshort mnajuana
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj 5 күн бұрын
Asa diva umeolewa lkn unapingana na mume
@nancyg8664
@nancyg8664 5 күн бұрын
yan mjuaji huyu mimi ningekua nalidunda balaa
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj 5 күн бұрын
​@@nancyg8664kama abdul ni mtu wa kupiga lingetolewa ngewe ilo diva
@witnessmlay7415
@witnessmlay7415 5 күн бұрын
We Mganga kwan huo mti ndo unashida gan? Jinga kabsa, kuleta udini usiokuwa na maana
@thamani5842
@thamani5842 5 күн бұрын
Shida yy si mkristo mti wa krismas unamuhusu nini? LAKUMDINUKUM WAL YADIN
@witnessmlay7415
@witnessmlay7415 5 күн бұрын
@@thamani5842 alichofanya ni ubaguzi wa kidini, angeupotezea tu mana haumuhusu kwa chochote. Mke wake Diva una muhusu ndo mana aliamua kununua. Kwamba angesali hapo, sala yake isingefika ama?
@faridalihondo3322
@faridalihondo3322 5 күн бұрын
@@witnessmlay7415haumuhusu ata uyo diva keshakua muislam
@AmanaHussein
@AmanaHussein 5 күн бұрын
😂😂😂😂
@busnaoman9981
@busnaoman9981 5 күн бұрын
Lakumdin kumwalyadin Kila mtu anadini yake
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 5 күн бұрын
Hiyo culture imekujaje na wewe una mume mwaislam na ushakuwa mwiislam huyo bado hajakuwa Muslim kamil bado anamambo yake ka kisto nawamekutana wote wasemaji na diva hawezi kuelewa na huyo bwana ni tomuch mjuaji sana na bado hajafata dini ni jina tu
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 5 күн бұрын
bwana kichaa bibi kichaa
@leokamil6284
@leokamil6284 5 күн бұрын
Kila kitu Namtaja Baba yake hivi huyu dishi lipo sawa kweli?
@nancyg8664
@nancyg8664 5 күн бұрын
lakini najaribu kumuelewa Abdul
@user-ji9wf9dh8h
@user-ji9wf9dh8h 2 күн бұрын
Eti Christopher
@mapishiyetumazuri2312
@mapishiyetumazuri2312 5 күн бұрын
Ss unakula mkate na Chai namazoezi wapi na wapi
@AmanaHussein
@AmanaHussein 5 күн бұрын
Jamaniiiiii 😂😂
@mapishiyetumazuri2312
@mapishiyetumazuri2312 5 күн бұрын
@@AmanaHussein 🤣🤣🤣
@user-bj6cr8nr6v
@user-bj6cr8nr6v 5 күн бұрын
Kumbe diva muhaya 😂
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo 5 күн бұрын
Excuse me😂😂😂 mtanga huyoo jamaniii😂😂😂😂
@nancyg8664
@nancyg8664 5 күн бұрын
​@@FirdausyAbubakary-bl2wo😂😂baba ake mhaya ye anakuaje mtanga
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo 5 күн бұрын
@@nancyg8664 subhaanaAllah hii sampul uhayanii mmh😀😀😀😀
@sophiaalnuru45
@sophiaalnuru45 Күн бұрын
​@@nancyg8664ni mhaya ndio
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 5 күн бұрын
Et beyonce 😂
@nsajigwaburton
@nsajigwaburton 5 күн бұрын
jamaa muongo
@lastborn7810
@lastborn7810 5 күн бұрын
Mtu anaswali na nguo za gym loo si ungeoga kwanza 😂😂😂😂
@mejumaamwachirero7324
@mejumaamwachirero7324 5 күн бұрын
Hivi kwani jasho ni najisi ebu someni dini
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo 5 күн бұрын
​@@mejumaamwachirero7324😂😂😂
@lilasuliman552
@lilasuliman552 3 күн бұрын
Uislamu ni usafi​@@mejumaamwachirero7324
@RutyNatalia-uu5uj
@RutyNatalia-uu5uj 5 күн бұрын
Kwan ametia udhu mbn anaswali bila udhu
@RandB_Channel
@RandB_Channel 5 күн бұрын
Kwahiyi huyu jama amekera.mbona wa Islam ☪️ wengi wanakuwaga wanatiya huyo mti?? Mnajifanya kujuwa dini na ijapo mazambi nimengi sana zenye mko mnafanya byenye habiendane nadini mmm huruma
@user-mi4nz8cs9s
@user-mi4nz8cs9s 5 күн бұрын
Kwanza me niseme huyu nishekhe wa aina gani kaenda kuoa mke ambae hana dini halafu kashamuona mkewe wa aina hio mbna kashindwa kumuelekeza kwa njia ya sawa na kumpa mafunzo ya dini
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 5 күн бұрын
Ni mganga
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 5 күн бұрын
​@@salhawaziri1668so"akiwa mganga hana dini?
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 5 күн бұрын
@@aairraahseif5648 elezwa nilichojib tafadhali
@AmanaHussein
@AmanaHussein 5 күн бұрын
Subhanallah hivi mnatoaga wapi nguvu za kuhukumu wenzenu😔
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 5 күн бұрын
@@AmanaHussein watu wanahukumu mpaka wanaona Abdul hana dini!si vizuri, ati Sio sheikh ni mganga!sasa mganga ndo hana dini? Kiasi wanajifanya wao wasafi sanaaa
@user-oq2wp8oh1f
@user-oq2wp8oh1f 4 күн бұрын
Diva km jinga
@nicholauspeter9454
@nicholauspeter9454 5 күн бұрын
huyu ni mwanaume jaman kuishi na hili tahira si mchezo
@faridalihondo3322
@faridalihondo3322 5 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 5 күн бұрын
Nnacheka kaa fala aki anajitaidi sana sheikh 😂😂
@esterpaul5856
@esterpaul5856 5 күн бұрын
Tahira mama yako msenge ww
@MwanakomboNassor-bw3by
@MwanakomboNassor-bw3by 5 күн бұрын
Siyo tahira hajui jamani kama wewe muislam kweli ungejua wanaume kwetu wachunga na viongozi wetu ndani ya nyumba
@lindamaunga3901
@lindamaunga3901 5 күн бұрын
😅😅 nacheka km mazur nyie mbn tahira jmn 😂🙌
@user-yb2gy6lt2e
@user-yb2gy6lt2e 5 күн бұрын
Diva ATI muslim? Dayuth na mke wake mutabarijat. Minyuwele kama tambi, I don't even know why I am watching this rubbish.
@user-yb2gy6lt2e
@user-yb2gy6lt2e 5 күн бұрын
Nyie mna juwa maana ya sheikh au??? Sheikh gani kweka picha ya mnyama kwenye office yake? Kwang hajuwi malaika hawa ingiyi fas ya ivo. Yani tanzania adi kunguni anapewa Jina la sheikh.
@Zaburi-
@Zaburi- 5 күн бұрын
Script hizi
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 5 күн бұрын
Ila diva 😂😂😂😂😂😂😂😂au ni anafanya tu drama ili wauze iii reality yao Hii mbona kama content tu jaman Abou nae punguza ukali mapenzi gani hutaki hata kushikwa
@faridahalil4456
@faridahalil4456 5 күн бұрын
Iweje asharehekea Xmas na akiwa amesilimu????? Huyu hajaikubali dini ya kiislam. Ndoa yako Abdul haiko sahihi. She is a beach na Allah atampa mitihani maana anachezea dini ya watu.Stick to your ukiristo wako. Tena mjeuri sana unavyomjibu mume utakavyo? Rudi ukafundwe
@JosephKingwere
@JosephKingwere 5 күн бұрын
Mhmh
@user-yb2gy6lt2e
@user-yb2gy6lt2e 5 күн бұрын
Sheikh gani chumba Kimoja na mwanamke bila mahram wake. Apo bila camera wangekuepo pekeye Yao tu.
@nancyg8664
@nancyg8664 5 күн бұрын
kwan hukusikia anamtajia tarehe yule mfanyakazi wake alikuepo pembeni
@TrinaRoman345
@TrinaRoman345 5 күн бұрын
Ila diva anamwili mmbaya 😂😂😂 umejaziana hovyo hvyo si ajifanyishe mazoez jmn khaa..
@estherpaul3864
@estherpaul3864 5 күн бұрын
Jaman duuh😅😂
@AmanaHussein
@AmanaHussein 5 күн бұрын
Hivi wewe umemwingilia Mungu kazi yake sawa
@TrinaRoman345
@TrinaRoman345 5 күн бұрын
@@AmanaHussein Hiiii..😳 kichaa wewe,Mungu na limwili kuliachia hovyo lijae jae bila mpangilio vinahusiana nn hapo,🤗 mwambieni afanye mazoezi nyie machawa wake msio lipwa..mxuuuu😏😏😏
@JacklineNamundengozi
@JacklineNamundengozi 5 күн бұрын
You sound stupid 😏
@somaliandnorway
@somaliandnorway 3 күн бұрын
Fake fake fake
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 5 күн бұрын
Huyo Hutu humuwezi mwanamke sasa nimefahamu abdul humuwezi diva hatakiwi kuelewesha ni mjuaji
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 5
24:23
ZamaradiTV
Рет қаралды 10 М.
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 6
26:26
ZamaradiTV
Рет қаралды 4,2 М.
Vivaan  Tanya once again pranked Papa 🤣😇🤣
00:10
seema lamba
Рет қаралды 25 МЛН
터키아이스크림🇹🇷🍦Turkish ice cream #funny #shorts
00:26
Byungari 병아리언니
Рет қаралды 27 МЛН
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 2,8 МЛН
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 25 МЛН
Jua Kali kiporo cha Jumapili July 1, 2024 full HD video
26:04
black walkers crew Media
Рет қаралды 1,5 М.
MPENZI KADANGANYA ANA SAFIRI
10:02
Mr Uky
Рет қаралды 26 М.
HUBA LEO ALHAMISI TAR 27/6/2024 | Full episode | DStv Tanzania
22:37
Norbee k Entertainment
Рет қаралды 22 М.
GUESS WHAT I PUT IN HIS DRINK? PRANK!!HE HAD TO STOP DRIVING !!😂
41:08
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 40 М.
HAKUNA NDOA
11:49
Joti TV
Рет қаралды 149 М.
SHILOLE AKIRI "NITAOLEWA HATA NDOA 30, KWANI KUNA UBAYA?
23:13
Millard Ayo
Рет қаралды 41 М.
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 3
29:07
ZamaradiTV
Рет қаралды 17 М.
Идеальный день ребёнка😂
0:11
МишАня
Рет қаралды 3 МЛН
Ещё один способ не забеременеть
0:16
Pavlov_family_
Рет қаралды 9 МЛН
Мы никогда не были так напуганы!
0:15
Аришнев
Рет қаралды 4,1 МЛН
Добейти 100000 подписчиков | Тгк- @Rom4ik539
0:28
СОБАКИ АТАКОВАЛИ МЕДВЕДЯ🐻
0:18
MEXANIK_CHANNEL
Рет қаралды 11 МЛН