Namshukuru Allah kwa kuwa na mawazo yanayofanana na ya huyu 'Profesa' mama Maryam. Kutembea kote na uzoefu wote aliojizolea bado ana 'Uswahili' kutoka chini ya moyo wake.
@rayasaid37345 күн бұрын
MashaAllah bi Mariam unaielezea culture ya mwambao vizuri sana,yoote ni ya kweli,yamesahauliwa sasa ukiolewa zamani lazima bi harusi atolewe kujulishwa ,sasa hakuna tena mengi yamesahauliwa,Allah akupe afya na umri mrefu
@TheTarabist5 күн бұрын
Mashaallah. Tunazitamani hizo nyimbo tujikumbushe utoto wetu. Ni pamoja na kinyuli nyulika, alfola alfola, etc.
@fatmasayid88956 күн бұрын
Mashalwa M.mungu akubariki akupe umri wenye afya
@a.8564 күн бұрын
Jazakallah khayran
@fatimasaid94696 күн бұрын
Alhamdulilah. Nice story nimejifunza mengi me natamani iendelee episode 2. Bi maryam ni hadhina kwa taifa letu na culture yetu. Na hii films ipo tayar dukani or online. 4rv uk 🇬🇧
@hamadrajab80426 күн бұрын
Mashallah, tabaarakallah
@KassimYakout6 күн бұрын
Nimazumgumzo mazuri nimependa ningependelea uwanzishe na nyimbo za watoto za zamani mbazo sasa Zina potea Kwa mfano kama vile Alfola bandari Salam Ukuti Ukuti na nyingi nyeginezo
@bahrynbahry11386 күн бұрын
Na Ana ana do
@bahrynbahry11386 күн бұрын
Na kinyuri kinyuri aliejuu na arushee😂
@user-bl6xy3cy9w2 күн бұрын
Shukran
@muhammedameir35826 күн бұрын
Subhanallah, Allah akubarik sana na family yako yote.
@hassankhamis3445 күн бұрын
Nasra juma
@salyali78076 күн бұрын
Wapi tutaiona film
@maryamabdullah91696 күн бұрын
Mashaaallah
@laylayahya246 күн бұрын
Bismillah Masha Allah
@mohammedrashid29066 күн бұрын
Ahsante
@yanyikawaterwelltanzania96006 күн бұрын
MashAllah,
@rumesibarka53126 күн бұрын
Bi Mariam mchango wako ni wa kizalendo utakumbukwa
@bindawood9786 күн бұрын
Mamaake Adila na Dalila
@MassoudMaghwaly-jo8sh6 күн бұрын
Nice❤
@TheTarabist5 күн бұрын
BiMariam umewacha kutupa uzoefu wako katika taarab.