Follow Us On: INSTAGRAM: / miladu_tv FACEBOOK: / babdeo miladu/ TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan... KZfaq: / @babdeomiladu
Пікірлер: 252
@SaidOmar-sd2yo3 ай бұрын
yaa allah tuongoze ktk njia ilio nyooka aamiin
@thedon84673 ай бұрын
AMEEN
@noorbazaar90633 ай бұрын
Tumuombe Mwenyezi Mungu (s.w) atujaalie mwisho mwema! Amin.
@omarmohammed51573 ай бұрын
Maanara uwe na heshima usimtaje MTUME MUHAMMAD SALA NA SALAM KWEYE UCHAFU KAMA HUOWO
@twahasuleiman-lo9vl3 ай бұрын
Rip sheikh NYundo... Angekuepo Marehemu Sheikh NYundo angekemea hii Subhanallah
@zanlec73573 ай бұрын
Innalillahi wainna ilayhi raajioun. Kwakwel huyu jamaa ana dhima kubwa sana mbele ya Allah. Wapi mnaupeleka Uislamu ndugu zangu . Siku ya Kiama kuna mengi sana ya kujibu wewe Haji Manara . Usitumie Umaarufu wako kuiangmiza Dini ya Uislamu. Allah anifungulie mwisho mwema .aamin
@rajabubwakila19772 ай бұрын
Kwa hiyo wewe ushapewa kazi ya kuhukumu watu waende motoni au peponi,hongera kwa kazi hiyo bwege mkubwa weww
@zanlec73572 ай бұрын
@@rajabubwakila1977 kwanz Nenda kasome Uislamu kisha utajua nini nmekiongelea hapo. Huwezi jua Uislamu umeamrisha nini na umekataza nini kama huna Elimu
@FatumaSaid-ry2eq2 ай бұрын
Allah tupe mwisho mwema mimi na familia yangu na kizazi changu huu ni msba mkubwa
@ahmedabry2933 ай бұрын
Yarabb tunaomba utupe mwisho mwema ❤😢
@labunaabouna61223 ай бұрын
Nyundo kaondoka hawa ndio walikua wanamuelewa yule mwamba wakweli nyundo mungu amlipe mena alijua kuongea na hawa watu au na sisi watu
@MadamAsya2024England3 ай бұрын
Duh dini imefkia hivi malengo yavwenzetu yametimia kadri dunia inavoisha ndio tunazidi kuangamia,SUBHANALLAH.
@rukky41692 ай бұрын
Allah atuhidi mana kila kukicha balaa zinazidi. Inna lillah waina ilaihi rajioun.
@user-tw5ls9eg3s11 күн бұрын
Subhanallah😢 msiba huu innalillahy wainnailayhi rajiuun
@batashqiraa99363 ай бұрын
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi rajiun, ni msiba Haji manara musimcheze shere Mtume, yaani mnatangaza hadhara ya Nabii hlf mnapiga muziki, wapi mmetowa ktk hadithi au aya ya quran kwamba muziki ni ktk dini
@saidbakar-qo6ri3 ай бұрын
Mungu hajakataa burudani za kistaarabu hapo hakuna matusi nyimbo inafundisha maneno ambayo hata mwenyezi mungu mwenyewe ameyapitisha na hiyo ni kama qasida tu hakuna ubaya mungu hajasema mufikirie kufa tu msifanye mambo mengine mumfikirie yeye tu,kuna mambo ambayo mungu hawezi kukupa adhabu kubwa kama utalifanya bila kukufuru kupita kiasi nyimbo pia zinapunguza stress zinafundisha kwa ameimba kumsifu mungu na mtume wake na akaimba hujafa hujaumbika hayo ni mafundisho makubwa ambayo mwenyezi mungu hawezi kukuadhibu eti kwa sababu umetumia vyombo tusiifanye dini ya kiislamu kuwa ngumu kiasi kwamba waislamu wajione wapo gerezani lakini kuna mambo yaliyofanywa na manabii hayawezi kufanywa na binadamu wa leo kwa mfano mtume Muhammad saw alifunga mwaka mzima haya wewe unaweza mtume aliongea na mungu alishushiwa wahai je wewe kwanza hii ndio njia sahihi ya muislamu kupata burudani.someni vizuri vitabu sio kutoa laana tu nyinyi ndio wale msiofanya kazi kwa kisingizio mungu yupo ataleta,
@muhamedali39022 ай бұрын
Mh! Ndugu yang ww umesoma lkn naona elimu yako inakupoteza Yani Leo unattea mziki acha fikira potofu mwenyez mungu s.w. kupitia Qur'an na mtume wake Alisha eleza njia za kutowa mafundisho Na akabainisha haqi na batli na mziki ukazungumzwa ktk Aya tofaut za Qur'an mpk ukatolewa mfano wa muimbaji hata awe na saut nzr kiasgani bas nisawa na saut ya punda Yan hapa pamefanywa kufru kubwa Sana Tena et kwabaraka za mtume apo kunabaraka gan Ww unadanga nyika na hizo mbwembwe za haji manara na kujifanya shekhe anaushekhe gan kuuzalilisha uislamutu Et unafokea watu ww amesomawap dini acha izo ww,
@muhamedali39022 ай бұрын
Nikweli mungu hajakataa lkn ilitupa muongozo ni burudani za ainagani alizo zridhia sio yyote unayo itaka ww Napia akabainisha burudani za ainagani hakuzridhia
@litimbaify2 ай бұрын
@@saidbakar-qo6riandishi kubwa bila dalili ni ujinga
@shamsahaji62022 ай бұрын
Acha uongo wewe ..Mtume amesema sauti 2 zimelaaniwa duniani na akhera ...kwanza sauti ya mwanammke wakt wa msiba na nasuti za vinanda wakt wa furaha ...hilo ulijue kuwa haifai kupiga mnanda umelaaniwa..😢😢😢unasema tu kwa matamanio yako ya kidunia..?pole sana.kisha nakujulisha kua sauti ya mwanamke ni aura..yaani uchi....hapo anaimba mbele ya wanaume kibao haifai kisha wanapiga mnanda Allah awaongoze ktk njia sahihi.@@saidbakar-qo6ri
@OmQrf2 ай бұрын
Innalillahi wainna ilahirajiun manara ww muongope mungu hayomambo na biziki taarabu mbona mnafanana subhanallah
@barakakhemedi12503 ай бұрын
Hiii hpn Kwa kweli mi baba mizima inashangilia na mikanzu vinanada na magita
@yasminjuma91463 ай бұрын
Kaka angu hata ukiumwa unasikiliza nyimbo badala ya kufanya dhikri na dua.. jitahidi kaka ktk ibada. Nakupenda sana
@AbdalallaBrahimam3 ай бұрын
Innalilah wainnailahim rajiuun mcheni Allah kesho Kwa Allah mtajibu Nini sisi tuna wakumbusha huu ni mziki
@rizikirashid11993 ай бұрын
SubhanaLLAH Yarab tustiri waja wako kwani hii ni taarab sio Nashi mchanganyiko wa wake kwa waume ya ALLAH awaongoze walio potea
@user-mq6lu2po3y3 ай бұрын
Me nilifikiri hii tv ni ya kiislam mwanzo na mwisho wa kuangalia tv hii ni Leo in Sha Allah
@Werema37603 ай бұрын
Hii ni yawaenda mbinguni.
@user-vs7vv7xd2f2 ай бұрын
Mtihani kwa kweli ata mimi pia nilizani ni tv ya mawaidha ya kiislam
@zuleikhaissa6842 ай бұрын
Jamani muogopen Allah dunia mapito 😢
@RamadhaniMahamba-cx2so2 ай бұрын
mañara umeponyoka unachanganya dini na mitaarabu amakweli mmezidi 😊
@RahmaShemdoe2 ай бұрын
Hizi ni taarabu tu nyingine,sioni dini hapa.Innalillah wainna ilayh raaji'un
@omarmohammed51573 ай бұрын
HASBIALLAH WANEEMALWAKILI HUU KWANZA HAPA NAOMBA TUJIFUNZE KITU KUNA BAADHI YA MDHEHEBI YANACHOCHEA WATU KUINGIA KWENYE MAMBO MACHAFU NA KUONEKANA NI MAZUR NA TABIA HII NDIO INAYOTUHARIBIA UISILAM WETU
@saimalunde40022 ай бұрын
Muwe mnamuogopa mungu yaaani dhehebu lingine lichochee wewe kuharibiwa uislam kweli? Acheni kuhukumu hovyo mnajiona nyie ndio mna haki mbele ya MOLA JALAAL
@AyzalRicco-mi6iu3 ай бұрын
Nyundo ragmallhah aliwahi kusema kaswida ni ndugu yake taarab Naam yametimia..
@nassorkhamis62333 ай бұрын
Mbna hamna tofauti na wakatoliki
@salumjumaruhaga25132 ай бұрын
Apo wakatoriki wenyewe wakasome
@mwanapiliali85042 ай бұрын
Hasbiyallaahu waniimal-wakiyl loh huyu kila cku zikenda anazidi tu kufanya kufru na wala hajali dah Yaa A'llaah tuongoze ktk njia iliyonyooka😢😢😢
@shekhamohd48912 ай бұрын
Nyie mnajitia dhiki ya meneno ya huyu subhanallah huyu ata hajuwi km kuna siku ya mwisho na hisaab ndio maana hana khofu ya Allah yaarabb muhidi mja wako yaani anasifia kawacha ya akhera haya maulidi ya mtume au taarab subhanallah
@user-vo7yp5gj7x2 ай бұрын
Mc Haji Manara mashallah ❤❤❤❤
@hawamhanga29513 ай бұрын
Mashehe wetu jamani wamekaa kabisa wana enjoy rabb tusitiri 😢
@musababdullah58133 ай бұрын
Tamasha la muziki wa pwani ingekuwa ndio jina zuri,kufungamanisha na dini ni utapeli😂
@meandme34373 ай бұрын
Ushasema😂🎉
@luqmansaid-ip2dm3 ай бұрын
Subhaanaallah Allah atuongoze haifai jamani hivi sivyo😢
@khamishassan683 ай бұрын
Inalillah wainaillahi rajijn
@natafutamatatizo43823 ай бұрын
WAHUNI WAKUBWA NA MIKANZU YAO! 👀👀
@jumahamisi93283 ай бұрын
Salaaaala, Miziki jamani katika uislamu haimo
@fatmarashidy2802 ай бұрын
Huu msiba nlikuwa cjauona innallilah wainnallilah rajiun…Allah atupe mwisho mwema
@bouryschamata30933 ай бұрын
Wanaiga wakristo sasa bado kusema Yesu Mungu tu
@saimalunde40022 ай бұрын
Sasa hapo wakristo wamefanya nini tena hebu acheni kuhukum jaman wote tunasoma maandiko tunaamini ila hakuna hata mmoja Aliyefika mbinguni akaiona hiyo kweli tusihukumu kbsaaa maaana hakuna aliyekufa akarud akayashuhudia hayo
@aboubakarmahmoudmashaka6963 ай бұрын
Kesho jiandaeni na majibu kwa allah
@ziadasadiki81962 ай бұрын
Mwenzetu umeshayajibu nini??! Na kwa kiasi gani upo salama na msafi kwake JALALI?? ( MUHIMU MIMI NAWEWE TUOMBEANE DUWAA NJEMA (
@saimalunde40022 ай бұрын
Tena wao ndio unaweza kufika huko ukawaomba hta tone la machozi wakudondoshee unywe hacheni kuhukumu hovyo
@saimalunde40022 ай бұрын
Ina maaaana wote waliokaa hapo mnawaona niwajinga? Kumbukeni mungu tunamtukuza kwa nyimbo pia na swala acheni kuhukumu hovyo
@user-zz4lz3jb9w2 ай бұрын
Hii sio kabisaa astaghfirulaa
@CoachHafidh2 ай бұрын
Daah...hii ndo kazi ya babdeo kumbe....bora Abu khaula alivyokataa mahojiano nae...😢
@hawalulanga8393 ай бұрын
Allah atupe mwisho mwema Amini tunako enda siko
@hailinhelen46753 ай бұрын
inasikitisha kwa kweli waislam tumekuwa hatujui dini kiasi hichi tunajirusha steem kwa matamanio ya dunia inna lillahi wa inna illayhi rajuun
@shamsahaji62022 ай бұрын
Si hatujui vo..ni tuna dharau maarisho wallah mtihani
@user-rg4wu2tg7x2 ай бұрын
Mwenyezi Mungu haombwi kwa nyimbo
@saimalunde40022 ай бұрын
Mungu anatukuzwa kwa nyimbo pia Ndio sababu malaika wanaimba nakumsifu
@husseinyathuman873 ай бұрын
Innalillah waiina ilaihi Rrajiuun Mnasherehekea muziki dah
@jumamohamed48082 ай бұрын
Hapana hii sio sawa kbc
@yusuphhamisi5043 ай бұрын
Eti wamekutana walevi, waimba mziki wamevaaa hovyooo utadhani wakristoooo hahahahah
@user-oh7gv8zg5y3 ай бұрын
Sana, mi nimejiuliza kwani apa, ni kanisani wanaimba kwaya au,
@marthadkhan645921 күн бұрын
Tumuombe Mungu ameonyeshwa njia hiliyo bora na atupe mwisho mwema
@alush31383 ай бұрын
Hajimanara hujulika N upokindigani allh akuhidiiiii
@yunuskhams72163 ай бұрын
Na kuna dua na vinanda shekh
@user-vo7yp5gj7x2 ай бұрын
Rukia Ramadhani Bint Abiazi ❤❤
@HabibuSalumu-iv5wl2 ай бұрын
Tujaribu kutofautisha kaswida na Taarabu japo yatakuwa ni maneno mazuri ya Mwenyezi Mungu.
@abdab84662 ай бұрын
Hi ni makosa,ndivo Allah anavoombwa kusamehe makosa
@user-nf3dc9fb6v3 ай бұрын
Mashallah kazi nzuri
@SoudShuraim2 ай бұрын
Manara wachizika naona
@MuhammedFoum-kr5kc3 ай бұрын
Dahhhh nyimb kweny maulid dahhh😢😢😢😢😢😢
@abiabi93533 ай бұрын
Kwani nini tofauti ya nyimbo na kaswida
@Sheba46513 ай бұрын
@@abiabi9353Ni ndugu tu mjomba na shangazi
@zalbak27383 ай бұрын
Halafu hii channel tujue mojaaaa iko upande gani duniani au akhera
@HussainMaula-wr5co3 ай бұрын
Hapo mashekhe bado mpewe mirungi na shisha maana mnashangilia kama mpo mpirani SHEKHE NYUNDO ALLHA HUMA FIRAHU WARAHAMAHU MASKANA FIL JANAT ULISEMA UKWELI QASWAIDA NI NDUGU YAKE TAARABU.
@swalehbakari26673 ай бұрын
Dunia hii ina maajabu Nashukuru kwa elim yangu ndogo nilio pata Izo ni nyimbo wana wanafanya ni din
@user-hj4bc5uh2x3 ай бұрын
Yule sheikh wazanzibar orhman maalim haya serikali na alhah magugu na dhahabu waonaje shekhe au unawaongoza wa mwamposa kaenikimya tu alhah analipa
@user-dn7gn6ib4k2 ай бұрын
@@user-hj4bc5uh2x maybe he don't see this tv thats why he's the best sheik
@abdallahally842Ай бұрын
We mlaji mirungi mmoja umeipendaa acha kujifanya hupendi wakati mnasaga mongokaa pamoja
@HaruneryАй бұрын
Taarabu hizi mmeziweka kwny dini babdeo ujiandae kwa ALLAH
@tabujuma90462 ай бұрын
Mimi ni mpenzi wa khaswida lakini kwa hivi Subha Allah
@ConfusedBalkhHound-on2mxКүн бұрын
Hili baba zima nalo halijielewi
@sabihaibrahim1433 ай бұрын
hili manara linapenda starehe za dunia wallahi sasa linaingilia na dini munaliangalia tu linapotosha umma kwa matamanio yake lipate pesa za kumnunulia zai lisa vichupi na vipendo vya kuoneshea mitandaoni
@sabriabdalla9562Ай бұрын
Innalilahi wainna ilaihi... haram, haram, haram.
@MadamAsya2024England3 ай бұрын
Yote mabaya yamekusanyika ktk hadhara hii,wanawake kuzihirisha mapambo yao mbele ya wanaume,kuimba mbele ya wanaume,kuchanganyika wanawake na wanaume.na mbaya zote ktk dini vinanda na magita yametokea wapi.subhanalllah Allah atupe mwisho mwema.
@sabihaibrahim1433 ай бұрын
hatari voo dini munaipeleka wapi bongo munamkabidhi manara mtu wa starehe za kidunia
@fatmasaid41143 ай бұрын
Wapotezwa na Haji Manara awapoteza tuu apoo
@fatmasaid41143 ай бұрын
Tubia na weyee tena Allah kakupendaa kakupa umri mrefu upate kutubia lkn wataka upoteza ta pumzi hunatena
@sabihaibrahim1433 ай бұрын
@@fatmasaid4114 hahahaaaa hili jamaa linapenda starehe za kidunia limepagawa wallahi
@sabihaibrahim1433 ай бұрын
@@fatmasaid4114 msiba voo
@halimauwesuАй бұрын
Jaman watu mnamodomo michafu khaaa😢😢😢
@wisemuddy53812 ай бұрын
Usikute mufti yupo na kayanyamazia
@mwanapiliali85042 ай бұрын
Yaani kila cku zikenda watu wanafanya uzushi tu katika dini dah inasikitisha sana mhm haramu inafanywa halali mwanamke anaghani sauti yake mbele ya umati wa wanaume na wao wanashangiria kwa mayowe na kanzu kubwa makoti na kofia dah 😢😢😢😢😢
@IslamAhmed-xd5my3 ай бұрын
Hawa si waislamu Ni waswahili
@IslamAhmed-xd5my3 ай бұрын
Haji Manara منافق
@rajabubwakila19772 ай бұрын
Kazi mnayo mlokamilika kabla hamjafa
@MkaliWagoka-bz6im3 ай бұрын
Hizi sio Kaswaidaa,,Haya ni mambo ya pwanii,, .
@saidybhoky-lb7hg3 ай бұрын
ndy tukisema maulidi nikama tarabu wanasema sisi tunampinga mtume wetu na kutuita wahabi tatz watu hawasomi dini
@issahajjiira54112 ай бұрын
Mbona hapa wengi wanafiki
@faridapandu75792 ай бұрын
😢😢😢 msibwa mkubwa
@user-wk8ju9xg4m3 ай бұрын
manara Allah Aqbaru nynyi mwaichezea dini ndo nni ushenzi huu hivi hmna KAZI za kufanya nynyi madhwarimu et n hajji innalilah wainnailaih rajjiun mmelaaniwa Allah awangamize 6:51 😢😢😢😢
@athumanmfangavu73202 ай бұрын
Kizazi chakuhukumiana kazi ya hukumu niyake jallah jalal
@saimalunde40022 ай бұрын
Aswaaaaaa waaaambie
@Mussajuma15152 ай бұрын
Allah awaongoze kwenye heli
@fardoshnassor78473 ай бұрын
❤
@user-pu6pr5jt4n3 ай бұрын
Haji😂😂😂😂😂😂bugatiii
@saimalunde40022 ай бұрын
Yaaaaani comment zote humu nizawatoa hukumu tu kaaaaah😢
@mdeesporttv65092 ай бұрын
Huku Tanga hii ni kijamvi hapo mirungi na shisha . .
@user-vs7vv7xd2f2 ай бұрын
Inna lillah waina ilayhi rajiuun
@MilloWamilonga-ft8ir2 ай бұрын
Manara mwenyewe ana laana iliyopitiliza bastaad
@batashqiraa99363 ай бұрын
Babdeo miladu ni chaneli ya kidini au ya muziki, mbona hamueleweki mbona mnachanganya nyama ya nguruwe na ng'ombe
@lydiamsheri40952 ай бұрын
Ni kweli ni mwimbaji mzuri.Nilimsikiza zamani
@zumbeshauri81143 ай бұрын
Dah kweli acha tusemwe sasa nitaarabu au mauridi?
@alwyhissa73582 ай бұрын
Baada ya harmonise now Manara, Allah tuongoze😢
@bintmadevu40092 ай бұрын
Kunguru kumpaka rangi hawi njiwa kamwe.
@mailacamillius3 ай бұрын
Ila Haji ni muongo. Zingizi na hicho kipande wapi na wapi!? Hilo neno lipo kabla Zingizi hajazaliwa
@msarama54063 ай бұрын
Wenyewe wanajiita kipenzi vya mtume😂
@fatmaaliomar97332 ай бұрын
Msichanganye kasida na nyimbo za kumsifu mtume wetu Muhammad SAW hatari jamani majanga yamezidi.
@Mariam99-ld4gw3 ай бұрын
Ukumbusho tu🙏🙏🙏
@mfalmekima53182 ай бұрын
Katoka kukanyaga mavi karukia mikojo sijui ndo kuna tofauti ipi hapo dah mitihani bilisi kweli anatuweza
@eleafilipo31463 ай бұрын
Kumbe nyie babdeo ni wapuuzi mm nilijua nyie ni channel ya dini kumbe ni zugu tu
@ConfusedBalkhHound-on2mxКүн бұрын
Hii ni tarab kisha unamtaka mtume Muhammad
@user-qh6kd2we4p2 ай бұрын
Yani mi nilidhabi mawaidha 😢msiba huuu
@mfalmekima53182 ай бұрын
Hivi jman ni swahaba gn achana na mitume ambae ailiwahi kufanya haya tunayoyafanya hivo kweli dini ingesimama kirahisi yani ufanye hivo ujidanganye unapata thawabi ee yaarabbi tusaidie waja wako
@yunuskhams72163 ай бұрын
Ndio maana M/Mungu anakupa kinachostahik maana wengine wakizidishiwa neema za allah humsahau alie wapa. Huyo manara umaarufu wa ndani ya nchi tu leo unayafanya hayo kua nihalal
@user-nv1oi1ie9h3 ай бұрын
Babdeo mambo km haya sio yakidini unaudhalilisha uislam watu wa dar mumezidi sasa kaaa
@ashahamad-mq3iz3 ай бұрын
Jamani Ogopeni siku ya Mwisho Watu wazima Bado munaikumbatia Dunia Rudini Kwa Allah wetu mutakwenda kujibu kulioyatenda
@saimalunde40022 ай бұрын
Hakuna aliye msafi mbele zake mungu tena hao mnaowakadhfu nakuwahulumu ndio siku ya mwisho watawapatia hta Tone la machozi mkate kiu ya moto mkali kikubwa Tuombeane sio kusimangana sisi sote hapa Dunia sio yetu tunapita tu