BIBI HARUSI AACHWA NJIA PANDA, MUME AOA MWANAMKE MWINGINE DK ZA MWISHO

  Рет қаралды 100,817

Mbengo Tv

Mbengo Tv

28 күн бұрын

Пікірлер: 409
@user-rk5hp8ci3e
@user-rk5hp8ci3e 25 күн бұрын
Hao wote hawakua rizki yako,,umri bado kikubwa jitume nakumuomba sana Allah❤❤❤❤❤
@user-ky1ni2ly9r
@user-ky1ni2ly9r 25 күн бұрын
Allah akufanyie wepesi pia Mimi nilishatakishwa ndoa na mamamkwe na nilisafiri kabisa mpaka leo sijaoleka ndio saa hii nimepata mwengine tena mrembo zaidii ya yule wa kwanza na yule wakwanza alio mwanamke akaja kutukana mamake na kupiga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nikatafutwa kupewa umbea kwa hio dada hongera sana maamuzi uliyo chukua niyamsingi jikaze utapata mwenye kheir na wewe lkn Mimi sikua nimelala nae bado heshima yangu iko mama ila pia wewe utapata mwenye atakufuta machozi na kikupoza kidonda Love you baby girl ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@rizikimohamed2449
@rizikimohamed2449 11 күн бұрын
Dada pole sana mashaallah ulivyo mzuri usijali Allah ana sababu atakujalia mume mzuri tu waheri
@Swamyhassan_sy
@Swamyhassan_sy 4 күн бұрын
Pole sana dear😢hakika inauma sana mshukur mungu kwa kila kitu na kila kinachotokea kina sababu
@mariammm2574
@mariammm2574 6 күн бұрын
Pole sana ndugu yangu Jitahidi usifanye mapenzi nje ya ndoa ni haramu Pia bora ulivyoachana na mumeo kwa sababu hivyo ulivyofanya haikuwa sawa kuolewa ukiwa na mimba ya mtu mwingine Huyo mwanaume wako wa kwanza hakuwa mkweli na mapenzi ya dhati juu yako alikuwa anakutumilia kama chumba cha starehe tu MwenyeziMungu atakupa mume mwenye kheri na wewe mtakaopendana in shaa Allah
@AishaBaraka-k1d
@AishaBaraka-k1d 9 күн бұрын
Da pole Sana kipenzi kama mungu amepanga uolewe utaolewa
@zakiamohamed-ug5mx
@zakiamohamed-ug5mx 26 күн бұрын
Pole sana mrembo muombe mungu atakupa aliye sahihii hakuwa wakwako huyo mshukuru mungu
@cassamoantumaneantumane3673
@cassamoantumaneantumane3673 26 күн бұрын
Mbengo tv were the best from mozambique
@indiaboytz5731
@indiaboytz5731 26 күн бұрын
Kwakua ni muislam siwanaruusiwa kuoa ata wake wanne awe tu mke wa pili sasa
@SHADIAALLY-pv3ql
@SHADIAALLY-pv3ql 9 күн бұрын
Pole sana dada yangu maana ndoa kama ipo ipotu mungu atakujalia nautapata mume mzuri sana
@HalimaKassim-yz3we
@HalimaKassim-yz3we 26 күн бұрын
Mm namsukiliza sanaaa huyo dada lakini nilichokiona hapo yy ndio hakua na msimamo yaan una mimba ya mtu nahuyhuyo anakushaur uolewe na ww una kubali eti kisa mimba sasa hapo umejifunza nn
@MohamedMwachega-x6c
@MohamedMwachega-x6c 25 күн бұрын
@@HalimaKassim-yz3we nashangaa aliyataka mwenywe
@HalimaKassim-yz3we
@HalimaKassim-yz3we 25 күн бұрын
@@MohamedMwachega-x6c umeonae kwanza tuu swala la eti una mwanaume wako na ukaletwwa mchumba hapo ndio angeonesha msimamo kwamba liwalo na liwe sasa yy na akili zake akaona aolww na mtu asimpenda ili kuficha mimba siusenge alivo lala alitegemea nn
@user-lb5oi2wz6z
@user-lb5oi2wz6z 23 күн бұрын
Uyoo malayaa sawa jamaa alivoo ha wa videmu linafanya kazi viwandani viimalaya asa virangii na Talaka ujapewa vp
@ElietiSilausi
@ElietiSilausi 17 күн бұрын
We mdada mume mwema utampata kanisani.muombe Mungu atakupa wa kufanana nawe.pole my deary
@rauhiyasaad5384
@rauhiyasaad5384 12 күн бұрын
Ushaumwa nanyoka wenda tangaza kidonda. Mtihani huo.watoto wetu muache kujidhalilisha.
@mukeshimanataussi6939
@mukeshimanataussi6939 10 күн бұрын
Pole Sana mwanamgu ungaliki mdogo jikaze utapata mume bora
@rahmamohammed9678
@rahmamohammed9678 Күн бұрын
Pole yaa ukhty usijutie kwani lokuepukalo lina kheri nawewe Allaah Akufariji na akuchagulie wa kheri nawewe bado wee mdogo sana
@SalhaRamadan
@SalhaRamadan 10 күн бұрын
Pole sana mdogo wetu mrangi mwenzetu uliolewa kisese nyumbani kwetu bereko ukweni kwangu Maisha yanakila changamoto mungu akusimamie popote ulipo
@tztanzania2262
@tztanzania2262 10 күн бұрын
Shda ilianzia kwake hyo mimba😢
@husseinbakromar5865
@husseinbakromar5865 22 күн бұрын
Ndoa hupanga na mungu na waislam Sheria wanne kama ataka ndoa anipe namba nikamilishe kisha wabongo mwajua kupanga tamthilia za kweli
@ElizabethGwasma
@ElizabethGwasma 6 күн бұрын
Pole dada
@nasirikuzigile9228
@nasirikuzigile9228 25 күн бұрын
Wadada wafanyeni kazi ndoa za siku izi kama huna kipato au kazi au biashara yoyote mwanaume ata kuchezea anavyotaka lkn ukiwa na kazi yako au biashara yako na pesa zako mwenyewe mwanaume hakufanyi kama ivi kwanza atakuheshim hata kama atachiti ni kwa siri mno team strong tuendelee kuzitafuta mwaya tukiludi tuinjoy maisha yetu bila hawa mbwa kutuchezea akili😂😂😂😂 nipo zangu urabuni mwaya sina kesi na mtu wee huogopi😂😂😂😂
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o 23 күн бұрын
Huna baya shoga angu hata mim nipo huku
@user-rj4cd7oc4x
@user-rj4cd7oc4x 15 күн бұрын
😂😂😂 Leo ndio nimekumbuka kumbe na mm niliwahbkuolewa
@HeryMrope
@HeryMrope 10 күн бұрын
😢Asalam aleykum Kila kitu dada kina wakati wake bila shaka Allah Kuna jambo kaliepusha kwako kwahiyo usilalamike mshukuru Allah kwa Kila jambo pia ushauri kwako usisnze kufanya zinaa kabla hujaolewa hiyo ni haramu inshaallah
@user-fi7hm6uu8d
@user-fi7hm6uu8d 4 күн бұрын
zinaa ni haram hata kama umempenda mwanaume kiasi gani sister wangu
@AthumaniMuhende
@AthumaniMuhende 14 күн бұрын
❤❤❤ Allah akufanyie wepes inshaallah
@user-vq2cb7fn8f
@user-vq2cb7fn8f 22 күн бұрын
Wewe ni mwanamke jasiri hata km watu wanakutukana ‘ kila mtu anapitia mtihani ktk maisha yake’
@SaadiyaMohammad-og5bg
@SaadiyaMohammad-og5bg 23 күн бұрын
Dadangu sio khire yako mungu atakupatea mwenginia mweynye khire mungu ajuwa zaidi subra dadangu usihuzunikia pz
@IshaYahaya-s9o
@IshaYahaya-s9o 8 күн бұрын
Kazuri mashaalah
@Naw89
@Naw89 23 күн бұрын
Allah akuhidhi mwanangu bado mdogo sana na mambo yako ni makubwa
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t 17 күн бұрын
Ulishatombwa hyo siku hotelin mbona husimulii
@GfhGfg-y7h
@GfhGfg-y7h Күн бұрын
Pole sana dada
@NajatyHassan
@NajatyHassan 3 күн бұрын
Pole dada angu ndy maixha lakin haya tunayopitia mamy❤❤❤❤❤
@kiluwagrata4329
@kiluwagrata4329 14 күн бұрын
Poverty ndio chanzo cha ww kupitia yote hayo coz wazazi wasinge force uolewe na umri huo, pole sana cha muhimu ni kupambana tu achana na ndoa kwasasa focus na maisha yako binafsi
@mwanazuber3968
@mwanazuber3968 8 күн бұрын
Sio umaskini elewa tamaduni za makabila mengine mtu ukifikisha umri wa kuoa au kuolewa unatakiwa kufanya hvy kuepusha kuzini hovyo
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 21 күн бұрын
Subhanallah sasa ndio anahojiwa ili iwe je Duh mtihani aibu 😮😮
@MariamRashid-sm5zw
@MariamRashid-sm5zw 15 күн бұрын
UYO BINTI NIMUONGO SANA MIMI NIMAMA ALIKUWA MALENGIYAKE YALIKUWA KWAHUYO ALIYEMPAGA MIMBA UYO ALIKUWA SIMUOAJI ALIKUWA MJINGA SANA ANGETULIA KWENYE DOA YAKE
@salumissa6118
@salumissa6118 5 күн бұрын
Huyu mwanamke malaya tuu na ni mzinifu Allah amuongoe
@WinWilly4162
@WinWilly4162 22 күн бұрын
Kajeuri lakini😂 Pole Mungu atakupa mwingine,umri bado mdogo mno hata kwenye kufikiri kanafikiri kwa udogo ndo maana kameishia njia panda
@Naju645
@Naju645 26 күн бұрын
Dada huna cha kujitetea unaeleza uongo mtupu unaolewaje na mwanaume ukiwa namimba yamtu mwingine nabado haitoshi unachati namwanaume kwenye cm yahuyo mume jifunze Kwanza kuwa na aibu bibie duh
@marytumaini797
@marytumaini797 26 күн бұрын
Ahana sawa 😂😂😂😂😂😂😂😂
@UmayyaNkya-ze3ri
@UmayyaNkya-ze3ri 26 күн бұрын
Cjuy ata anaongea nn ata cjamalizia upuuz mmoja
@georgedaniel4962
@georgedaniel4962 25 күн бұрын
Lishetani hilo hakuna mtu.
@AminaOmary-sm4wl
@AminaOmary-sm4wl Күн бұрын
Me sishangae kawaida ya warangi
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 26 күн бұрын
Mhuuuu pole sana wanaume wanaumiza jamani
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t 17 күн бұрын
Kwanza ukimfatilia vzr hyu bint co mzima hakuna mke hapa
@user-jz2su4co4d
@user-jz2su4co4d 14 күн бұрын
Ashukuru mungu maana kuna kitu kikubwa mungu kamuepusha nacho
@ifrahabi4834
@ifrahabi4834 7 күн бұрын
Kweli kabisa.
@estherphilipo5845
@estherphilipo5845 5 күн бұрын
Pole sana dada mshukuru mungu uenda kuna jambo amekuepushia
@evertheobald1811
@evertheobald1811 3 күн бұрын
Kwakweli
@user-ij9te1ck9p
@user-ij9te1ck9p 26 күн бұрын
Huyu binti ata km vp ni mpumbavu na jahili mkubwa
@teedullah5708
@teedullah5708 26 күн бұрын
C ni upuzi tu huyu Sasa uraenda vp kuolewa na mume mwenqine Hali ya kuwa unamimba
@MohamedMwachega-x6c
@MohamedMwachega-x6c 25 күн бұрын
@@teedullah5708 nashangaa si angeambia familia ukweli kua ye ni mjamzito wakajua mbichi na mbivu kuliko ukubali uolewe na m2 hujampenda den urudi ulaumu
@esterMahenge
@esterMahenge 2 күн бұрын
Alafu Kazurii mwee sema akili yote iko kwenye ndoa dhambi 😂katulie tu mweee kata pata mme bora zaidi ya uyo
@FauziaAyyib-dw6lj
@FauziaAyyib-dw6lj 10 күн бұрын
Pole sana dada Allah akufanyie wepesi
@ISSAMAHAMOUDISSA
@ISSAMAHAMOUDISSA 22 күн бұрын
Huna vigezo vyakujitetea dada angu we malaya
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 20 күн бұрын
Huko na watoto wa kike ww Malaya mpevu?
@frpznz972
@frpznz972 18 күн бұрын
Anko usiseme ivo anko
@fatumashisha141
@fatumashisha141 17 күн бұрын
Sana
@mohamedkisenga6654
@mohamedkisenga6654 26 күн бұрын
Ndoa mwez mmoja mambo kibao ovyoo sanaa umalaya ww dada chiz
@AminaOmary-sm4wl
@AminaOmary-sm4wl Күн бұрын
Huwajui warangi ww
@janemugoya1316
@janemugoya1316 11 күн бұрын
Pole dear your still young God's time is the best
@user-tr1nd7xn7t
@user-tr1nd7xn7t 22 күн бұрын
Dada yangu pole sana kuwatu na subra ALLAH atakupa Inshaallah ningelikuwa naeshi Tanzania ningekutafuta usijali ALLAH atakujaliya yatakwisha ni wakati tu!
@ZawadiMwabadilanga
@ZawadiMwabadilanga 10 күн бұрын
Pole sana dada siyo rizki usi lie
@ZainabuOmary-ys8oq
@ZainabuOmary-ys8oq 3 күн бұрын
pole dada yalinipataga mii yanafanana wanawake tunapitia maumivu mengi sana ila mii nilipata ujauzito nakunitelekeza nililia sana mpaka ujauzito uliharibika maumivu niliyoyapata ila baadae nilikuja nikajifarijika nikaanza maisha yangu nafanya kazi za watu maisha yakaenda nashukuru mungu kwa kila jambo allah akupe subra ila ulipojikoroga ww ni kuambiwa olewa na ukaolewa kweli na kama alikupenda kweli nae aliumia sababu mtu unaempenda hawezi kukubali uwe na mungine baadae nae apana nakushauri jali kwana hisia zako wanaume watakuliza mpk unapokutana nae usijue huyo nani tafuta pesa mapenzi yatakuja yenyewe tena ya heshima
@NamiriNamiri-oz4xs
@NamiriNamiri-oz4xs 12 күн бұрын
11:43 Mwana ulitaka mwana ulipata kumbe tulikwenda na ujauzito halafu huku taka kujishusha kwa. Kosa LA kwenda na ujauzito kwa mume. Mpya 2 yule bwana aliekuwa ujauzito akakutia kibri kama toka nitakuwa lakini hukufikiria kama anaekutowa kwa mumeo kawaida HUWA hakui kwa sababu anajuwa na kwake hutodumu sababu utadanganyika na mwengine kilichokikuta ni halali yako.
@user-wv4ue5yn8u
@user-wv4ue5yn8u 10 күн бұрын
Jifuze usiolewe namimba yamtu mwingine warangi kiboko
@raineryponera3278
@raineryponera3278 24 күн бұрын
Muombe sana mungu kwa maana yeye ndo funguo ya Kila mlango 🙏🙏🙏
@Naju645
@Naju645 26 күн бұрын
Dada unaolewa namimba yamwanaume mwingine???ulikosea
@AishayoutubeMoosa-zn1co
@AishayoutubeMoosa-zn1co 8 күн бұрын
She is beautiful manshallah ❤
@Hawa-y8x
@Hawa-y8x 23 күн бұрын
Eeh pole ndg yng, m , mungu ataksaidia mpnz wng
@FatumaIbrahim-c6d
@FatumaIbrahim-c6d 25 күн бұрын
Nani mwengine hamuelewi uyu dada kama mm?😢😢
@skeeteranderson375
@skeeteranderson375 22 күн бұрын
Mie cmuelewi anaongelea tu story ya safari badala ya huo bwn aliemucha khaa siwezi endelea kwakweli
@jenniferzakaria3884
@jenniferzakaria3884 22 күн бұрын
Mm mwenyewe simuelew una mme Tena una olewa, kwendraaaaaaa
@JoyceSteven-tu2fi
@JoyceSteven-tu2fi 21 күн бұрын
Nimecheka sana😂😂😂....m niko hapa najikaza kumuelewa
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 19 күн бұрын
Tulia w bado mdogo utapata wako wamasisha w jitulize tafuta kazi ya halali ufanye usi rukeruke 😢
@mariamsaid6334
@mariamsaid6334 18 күн бұрын
Yani unasimulia kitu ambacho umekisikia kwa mtu iyo sio story yako kbs acha kutuchosha
@MartinaMsimbe-qk8ug
@MartinaMsimbe-qk8ug 4 күн бұрын
Huyu Dada ni mjinga hata was waandishi nanyie😅😅😅😅
@florakaria3793
@florakaria3793 3 күн бұрын
Hufai unaolewa hivyo hovyo....dharau unayonwewe sio yy😊
@YasiniSaidi-z8b
@YasiniSaidi-z8b 7 күн бұрын
Pole mung aikujalia
@AmaniMafita
@AmaniMafita 9 күн бұрын
Pole sana binti kuwa muangalifu baado ya hili
@gladysmueni2534
@gladysmueni2534 11 күн бұрын
Madam msubiri Mungu.Wakati wa Mungu ndio mwema.mungu atakubariki na bwana mwema.Ndoa sio bora mme ila mme Bora
@zr7808
@zr7808 18 күн бұрын
Nasiha kwa wadada wote musikuwe munaiminiya kila mtu na wala jistirini mwili wenu mupaka kupata rizki yako ya kuolewa
@RamadhanNyambi
@RamadhanNyambi 23 күн бұрын
Namuomba mim aje niishi nae plz plz
@NasibuKijuu
@NasibuKijuu 20 күн бұрын
Pole san
@dullymsela4306
@dullymsela4306 Күн бұрын
pole xanaa swaree mrangi mwenzangu umebaki tyu kudangaa sasa bakari kavuta kixura kuliko hat ww sura mnazo ila tabia zenu zinawaponzaa we pamoja na mdogo wako tabia zenu zinafanana nakuona unadanga tyu 😂😂😂😂😂😂😂
@ifrahabi4834
@ifrahabi4834 7 күн бұрын
Can someone make me understand. This young beautiful lady, is saying there was wedding, how did she became pregnant
@bosiborimomanyi5592
@bosiborimomanyi5592 26 күн бұрын
Nkt...eti mume mwenye amekipea mimba akuambie uolewe na mwingine.. hahahaha
@MohamedMwachega-x6c
@MohamedMwachega-x6c 25 күн бұрын
@@bosiborimomanyi5592 wallah eti,
@user-ft2vq5on6l
@user-ft2vq5on6l 23 күн бұрын
Na bado unampigia simu mtu anakuambiwa uolewe huhisi km hakupendi
@user-ih6ng6sf6o
@user-ih6ng6sf6o 8 күн бұрын
Pole San kwel kwa matatizo ulio pitia 😢 utapata mme bora tu
@hamisijuma3276
@hamisijuma3276 22 күн бұрын
Mungu atakupa, usijali awe mkristo au mwislamu
@hamidudongo1879
@hamidudongo1879 21 күн бұрын
Wewe Mpumbavu.. wewe sio muislam au utakuwa muislam jina
@dullymsela4306
@dullymsela4306 Күн бұрын
aaah mwaanjaaa jamn umenitoa jasho umekuj kujiaibishaa tyu huku ungekaa kimyaa tyu yaan tunatukanwa had xixi ndugu zako umefikia huko njo nyumbn utaolewa
@user-kd2qj1sv9j
@user-kd2qj1sv9j 17 күн бұрын
Pole san kipnz p❤❤❤
@Dafetty
@Dafetty 26 күн бұрын
Taila sana wew wanahaki wasikuoe😏😏😏
@user-dn7sc8lf8h
@user-dn7sc8lf8h 26 күн бұрын
hii ni tabia ya warangi, wamburu, na wanyaturu. Itakuwa huyu dada ni Moja kati ya hayo makabila. Au msambaa
@briankatani6770
@briankatani6770 26 күн бұрын
Kweli kabisa utaolewaje na una mimba ndiyo maana ulishinndwa
@Goldenbutterfly-hk1hp
@Goldenbutterfly-hk1hp 25 күн бұрын
Mkundu ww msambaa kafikaje apa
@phorahmahaza638
@phorahmahaza638 25 күн бұрын
Mshenzi mkubwa makabila ya watu yamefikaje hapo huna adabu kabisa
@user-yx6zq9bp1s
@user-yx6zq9bp1s 25 күн бұрын
Ww una tabia mbaya kutukania makabila ya watu jiepushe na dhana yako mbaya kila sehem Kuna mchanganyiko wa watu Usijione ww na kabila lako ndo bora MwenyeziMungu ndo mjuzi zaidi
@fridakitemangu3446
@fridakitemangu3446 25 күн бұрын
Unexperience gani na hayo makabila hayo kama Huna comment nzuri usiandike maana unachafua kabila za watu mungu akuhurumie sana wew
@user-mv7km8lt5j
@user-mv7km8lt5j 20 күн бұрын
Pole ❤❤
@chikujuma18
@chikujuma18 25 күн бұрын
Mwenyezi mungu atakupa mume sahihi inshallah pole mpenzi wangu
@PiliIsamil
@PiliIsamil 25 күн бұрын
Pole sana dada wangu
@JumaMkuchika-c8k
@JumaMkuchika-c8k 4 күн бұрын
Muombe allah sana atakujalia atkupa wako
@zainabumohamed4763
@zainabumohamed4763 26 күн бұрын
Kwa kifupi hawa bado wote watoto,
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 5 күн бұрын
Kumbe wewe mwenyewe mwanamke hujatulia ndio maana mwanaume kakukataa😢😢
@samwelmigera7274
@samwelmigera7274 18 күн бұрын
Hakuna ridhiki Yako uyo tulia utapata wa kwako
@khamoshmikidadi618
@khamoshmikidadi618 22 күн бұрын
Mtt mzur mashallah ningekua mwanaume ningemuoa 😢
@Neema-qm9kk
@Neema-qm9kk 5 күн бұрын
Kwa mtazamo wangu ninaona kama huyu dada Ana ujeuri.
@OmanNew-mv1mv
@OmanNew-mv1mv 22 күн бұрын
Nakupenda naomba namba yako
@user-sd5hj2im4q
@user-sd5hj2im4q 22 күн бұрын
Kosa lko uliingia ktk ndoa kiudanganyifu kwio huwezi kufaulu ktk kudanganya,, cheating make more loose
@user-xv5yy6mv6i
@user-xv5yy6mv6i 5 күн бұрын
Dadapole usihuzunike Sana nikawaida ukubali ara ukeweza mm nipo nakujali Niko znz.
@AgnesDeonatus
@AgnesDeonatus 22 күн бұрын
Ndoa ni baraka ya Mungu c matarajio ya mwanadam tuwe na subra
@AgnesDeonatus
@AgnesDeonatus 22 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@ZabibuHamisi-pv7vv
@ZabibuHamisi-pv7vv 11 күн бұрын
Pole sana dadangu
@user-pb4pn4yu8y
@user-pb4pn4yu8y 20 күн бұрын
Pole sana mdogo wng huyo mwanaume hakukupenda mwanaume anayekupenda kweli hawez kukurusu uolewe na mume mwingine tatizoletu ss wanawake tukipenda tunakuwa vipofu hata mtu hafai tunaona anafaa sababu tu moyo umependa pole kikubwa nikumuomba mwenyezimungu atupatie waume walio sahihi na na wenye hofu juu yake
@CostantinoPaul
@CostantinoPaul Күн бұрын
Hiki nikihuni tuu nakisipo badilika kitangukia kwenye magonjwa
@MashaMbwana
@MashaMbwana 11 күн бұрын
Nakushauri kitu njoo zako arabuni utafute pesa achana na habar za mapenzi ukikamata pesa humtaman hata mwanaume 😊
@user-xl7tb9xr9t
@user-xl7tb9xr9t 11 күн бұрын
Say alhamdulillah Allah has not planning for you . Inshallah Kee praying never give up to Allah
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 26 күн бұрын
Dunia ina mambo hii mrembo kama uyo utamuachaje wanaume sometimes tunafeli asa😢
@MohamedMwachega-x6c
@MohamedMwachega-x6c 25 күн бұрын
@@mohammedkidody5618 alijisababishia mwenywe unawezaje beba mimba ya m2 mwingne den uolewe na m2 mwingne,si kila mwanaume ana kifua cha kuvumilia ayo uolewe na m2 mwingne den badae murudiane,
@user-il5cu6gq5f
@user-il5cu6gq5f 24 күн бұрын
Basi ukamwowe wewe unangalia urembo angalia tabia
@abubakariali9848
@abubakariali9848 23 күн бұрын
Usipime kina cha maji kwa kijiti utazama ufe
@ishanaaRajoo
@ishanaaRajoo 22 күн бұрын
Huwez jua Mungu tu atustiri ndio mana nasema sisi wanawake htuna uhakika wakupendwa na wanaume ila mwanamme Ana uhakika kwasbb anajua huyu nampenda huyu simpendi sisi wanawake kwa kweli Mungu tu atuhurumie ila tunapitia magumu sana kwa wanaume si wakweli
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 19 күн бұрын
Kila kitu kina riziki yake na pia huenda mwenyezi mungu kamuepusha na shari za yule mume wala asihuzunike amuombe mungu amjalie mume bora zaidi ya yule
@user-cj6pw8zd4e
@user-cj6pw8zd4e 22 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 m.mume anayekupenda akuruhusu uolewe mmmmh
@rehema7180
@rehema7180 21 күн бұрын
Shangaa ww😂
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t 17 күн бұрын
Et😂😂😂
@nourannouuran3514
@nourannouuran3514 25 күн бұрын
Shenzi typ mnatia aibu sana ndo mnawaharibia wengine yaan naskia asra,mola msamehe tuongoze,unafaa kulia na utubu kwa mola wako,unaanza kujitangaza,nadhambi ya kutangaza dhambi ni mazito sana
@rashidimussa471
@rashidimussa471 9 күн бұрын
Umalaya tu kukaa kwenye ndoa aah 😂😂
@MayleenDonaldharris
@MayleenDonaldharris 22 күн бұрын
Mimi cjamwelewa huyu dada kwanza muongeaji mno😜😝
@victornselu517
@victornselu517 4 күн бұрын
Mjuaji pia hajitambui una mimba unaolewa na mimba ya mtu mwinfine dunia imeisha hii
@neemajames5137
@neemajames5137 26 күн бұрын
Ila unatia aibu sana lazima akuache
@RizikiMakayaShabani
@RizikiMakayaShabani 26 күн бұрын
WaDada nzetu munagawa sana Ila pole sana
@NeemaSaimon-i4n
@NeemaSaimon-i4n 6 күн бұрын
Nyie sindio mnaoomba
@aminabadi8663
@aminabadi8663 18 күн бұрын
Mungu atakupa wa kheri na ww lk mara ingine usikubali kunyamazia siri kama uliongea kwa fqmily yako hayo yasingetokea ukweli hua unakuokoa ima angelazimishwa huyo bwana alieka mimba akuowe ama akuhudumie hqtq ukiwa ama mume akikuowa anajua uko na mimba sio yake hapo ulikosea kuficha hawa wanaume tunakua nao lk niwatu wabaya sanaa kumi kwa mmoja akisha kukuharibia maisha kusimama nawe
@jumabonge8577
@jumabonge8577 26 күн бұрын
huna akili ww dada
@ndogolofadhila6203
@ndogolofadhila6203 26 күн бұрын
Kabisa
@Dafetty
@Dafetty 26 күн бұрын
Nakuunga 🤝💯
@user-ft2vq5on6l
@user-ft2vq5on6l 23 күн бұрын
Ni kweli hana akili
@VICTORIANMUINDI
@VICTORIANMUINDI 25 күн бұрын
Pole sana lakini amini huyo mwanaume atapata amani siku moja atakutafuta amini dadangu
@adammjomba5814
@adammjomba5814 26 күн бұрын
Huyu Dada anamapenzi ya kweli Tatizo wanaume NI wakora. Ukiangalia huo mzunguko unaonyesha wanaume ndio hovyo.lakini pia huyu dada anatatizo hana nsimamo huku ana penda huku anapenda NI nduma kuwili
@evertheobald1811
@evertheobald1811 3 күн бұрын
Mbona upuuzi mtupu hapa jamani mweeee
MKE APEWA TALAKA USIKU WA MANANE, MUME ADAI MTOTO SIO WAKE
28:32
BABA YANGU KIPOFU Full episode /23/ #love
28:53
BabaJoan
Рет қаралды 217 М.
Smart Sigma Kid #funny #sigma #memes
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 2,7 МЛН
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 2,8 МЛН
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 10 МЛН
BIBI HARUSI AVAMIWA UKUMBINI, NDOA YAVUNJWA, KUMBE NI MKE WA MTU
12:04
SNURA: NIMEACHA USANII,FUTENI NYIMBO ZANGU NIKI.FA MSINIPOST
6:50
MASI MEDIA
Рет қаралды 1,4 М.
FULL INTERVIEW MKE WA MZEE YUSUPH,KIFO CHA MKE MDOGO,KUACHA MZIKI
47:22
ReyTox Pro Network
Рет қаралды 31 М.
BIBI HARUSI MATATANI KUACHIKA KABLA YA HARUSI
11:32
KIREDIO
Рет қаралды 149 М.
ALIFANYA MAPENZI NA NGOMBE NA KUPATA MIMBA
21:34
XPLUS TZ
Рет қаралды 1,6 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #memes
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 2,7 МЛН