God is good Anae amini huyu jamaa anamadini mengi zaidi ya hayo👍👍
@bzbthebarber20554 жыл бұрын
Sikukuambie uwaambie
@msetikebwasi68954 жыл бұрын
saaana
@dasilvajunior30164 жыл бұрын
kama kuna mtu amegundua jiwe la tatu jamaa alikuwa amelificha ndani kusikilizia bei ya mawe ya mwanzo agonge like 😄😄
@salomemchewa51874 жыл бұрын
Huyu Mzee naona anayo ndani hongera zake
@barakaoriginal97924 жыл бұрын
madini siyo gololi yawekwe ndani
@temkezatv43814 жыл бұрын
"Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
@tumaininerei59484 жыл бұрын
Hongereni Laizer na Kakaa pia aliyehudumia mgodi mpaka akatoa mawe makubwa.
@gallousgosbert49934 жыл бұрын
Mzee saniniu laizer naomba unitumie shilingi millioni mbili biashara yangu imeyumba sana tafadhali
@salomemchewa51874 жыл бұрын
Kweli mungu akiamua kukupa hakuna mpizani
@shabbymakapane19104 жыл бұрын
😃😃😃
@msetikebwasi68954 жыл бұрын
Laiza ninunulie detector hata ya 2000000,nikaokotee madini sehemu nikuletee.
@starcostantine62504 жыл бұрын
Du lingine tena hongera zake itabidi nimtafute Kwa kweli 😄😄😄😙😄
Itabidi niende nikachimbe na mimi ivi wanawake wanaruhusiwa kweli🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila Mungu azidi kukunua zaidi maana huu mwaka ni wako wa mafanikio zaidi 🙏🙏🙏🙏🙏
@dintazdintaz73114 жыл бұрын
We njoo uolewe tu
@barakaluvanda79414 жыл бұрын
😂😂😂 we nenda
@neemamturi32734 жыл бұрын
@@dintazdintaz7311 kuolewa hapana labda nikafagie hata mgodi 🤣🤣🤣🤣🤣
@dintazdintaz73114 жыл бұрын
@@neemamturi3273 ukifangia unahc utapata hata kitu utaishia kupata mafua kama kondoo tu wa mtaan
@naamohamed99644 жыл бұрын
@@dintazdintaz7311 😃😃😃😃
@nawihadj66744 жыл бұрын
Ni yeye ni yeye
@swahilitherapytv38464 жыл бұрын
Wamasai mwaka wenu huu...!!
@dasilvajunior30164 жыл бұрын
😁😁😁😁
@ibrahimjobu91414 жыл бұрын
Huyu dingi wamchunguze vizuri anayo mengi ndani anatuvuna tu huyooooooooh yapo mengi ndani
@eshynassor56664 жыл бұрын
Mungu ni mwema siku zote
@Tiffany3404 жыл бұрын
Duuh.. hongera billionaire
@elliottrahema4 жыл бұрын
Huyu mzee ataendelea kupewa ajili ya roho nzuri
@jonaspatrick28714 жыл бұрын
Ana roho nzuri ndio maana Mungu anamjalia zaidi.
@fidelludemwa29434 жыл бұрын
Hongera yake
@yarrelaisumail25804 жыл бұрын
Hongera sana mr laizer
@askarikamaaskari19364 жыл бұрын
Wamasai awapendi dhulma ndo maana Wana barikiwa
@dintazdintaz73114 жыл бұрын
Mabeyo na siro wanalishangaa tu jiwee
@akshaydavid1594 жыл бұрын
Hahahaaa
@nuruworldinsight29574 жыл бұрын
Afu huyo Saniniu Kuryani atakua ana mijiwe kibao ya tanzanite kaivundika sehemu huyooo. Anafanya kuitoa moja moja. Maana Duuhh !!
@annakulanga54154 жыл бұрын
Hata mm nahisi hivyo nishamshitukia mchezo wake
@josephghamaa84 жыл бұрын
Mbona ada ya ukaguzi ni kubwa hivyo? Si Mil. 5 ingetosha tu. 250mil.? Sijui lakini wataalam wa mambo hayo. 🙆♂️🤔🤔
@shabannimbali36433 жыл бұрын
mechi ya simba na tlatnam
@emmanuelbonifase11144 жыл бұрын
Mabeyo oyee
@mussajumalwambano60174 жыл бұрын
Safi raiza huyo bwege wa chadema eti umeonewa wakati ww umelizika yy kinamuwasha nn ww lema kazi yako ni kupinga kila kitu ni kupinga to mbona Corona mliikubali na kujifungia ndani
@mageuzisylvanus60494 жыл бұрын
Ipo siku itafahamika tu
@msetikebwasi68954 жыл бұрын
Eee sana.
@costerprima41454 жыл бұрын
Spendi unavyo sema hizo aa aa
@denisimaliyaweni91834 жыл бұрын
Mwenye nacho uongezewa
@mussakiula74814 жыл бұрын
Huyu jamaa duh
@janestanslaus25174 жыл бұрын
Hizo ada za ukaguzi hizo!!
@fridamapundasafi18624 жыл бұрын
Jamani kapata tena basianayomengi kayaweka
@nuruworldinsight29574 жыл бұрын
Hiyo miada sjui ya ukaguzi Sjui ya halmashaur mbona kama heavy weight mc Inaweza ikamfilisi huyo Saniniu mwenyewe Aisee.
@mayrfrimi47594 жыл бұрын
Jamani hao mabeberu hapo pembeni yake wanatokea wapi, walituibia cha kutosha
@salomemchewa51874 жыл бұрын
Mlijiibia wenyewe mnasingizia mabeberu. Bila wao nani atanunua hayo madini .wazungu wanaweza kuingia na kuchimba madini .kama siyo wenyeji .Acha ubaguzi .waafrica tunajizurumu wenyewe ,,
@ditomwakei22884 жыл бұрын
Huyu mzee atamaliza ela ya serikali
@chauligemeka78404 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ditomwakei22884 жыл бұрын
Huyu jamaa bado ana mzigo ndani anataka autoe kidogo kidogo
@samsondecoman9834 жыл бұрын
Sisi wama sai hatuna mbwembwe, siuna cheki nguo za Laiza hapo, nahatulagi chakula na wana wake, hivyo malaya waji pange hapa pazito.
@philosophyalen4 жыл бұрын
Sasa wewe unasifia nguo na wanaume wenzako ...shame on you
@samsondecoman9834 жыл бұрын
@@philosophyalen utajua mwenyewe.
@zanzibarsmzenji4 жыл бұрын
Kua makini vibaka kibao hapo
@geophreytobias33534 жыл бұрын
Hehehehehhe huyu jamaa bwana
@salimmohamedsalim44484 жыл бұрын
Chafu zaher
@JlozAfrika4 жыл бұрын
Kuna jambo linafichwa
@francomanmusic29064 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/m8eKY66prbPYqX0.html Rizer atoa milion 5 kwa wanae angalia apa kzfaq.info/get/bejne/m8eKY66prbPYqX0.html
@rechrontv24534 жыл бұрын
TAMKO KUTOKA KISUTU DAR ES SALAAM JUU YA KESI ZA TUNDU LISSU (gusa link 👇👇 kutazama) kzfaq.info/get/bejne/prqflsWAstrSj4U.html
@gabrieldenicc45024 жыл бұрын
Ningekua Mimi sichimbi tena na lala tu nakushukuru Mungu alafu unasema Mungu umenifanyia kufuru kama njaa Kali umezifuta kabisa sasa nikutoa sadaka kwa wasio nacho nikuwawezesha nao watoboe
PETITMAN AFUNGUKA KUHUSU ESMA KUOLEWA TENA 💥🔥💥 LINK HII HAPA 👇👇 kzfaq.info/get/bejne/o59haK2D2pq8c6c.html
@evelynlundberg19814 жыл бұрын
.
@mariamfritsi97614 жыл бұрын
Mungu ni mwema,pongezi kwake.
@salehfarid10034 жыл бұрын
HUYU ANATO ZAIDI MENGINE .... anasikilizia tu
@thieryniyonkuru50234 жыл бұрын
Sasa Laizer mwenye madini haoni dhuruma yeyote amesema hapa☝️☝️ Lema ambaye hajatuonyesha hata gramu 1, alisema Laizer kaibiwa🥺🥺🥺😏 Lema , acha kujifanya msemaji kwa mtu ambaye hajakutuma🤨🤨🤨🤨🤨
@jumanneibazu90864 жыл бұрын
Lema huna chochote hapo bwege
@kambamazig020244 жыл бұрын
Lema mchimbaji hewa, akachome nyama tu ndiyo kazi anayoijua :)
@kisokatvonline37044 жыл бұрын
Suluhisho lapatikana kati ya Tanzania na Kenya Bofya link hii kujua zaidi kzfaq.info/get/bejne/a9Zxf7hku8WYZac.html