Very bright and intelligent nimempenda ni mvumilivu mcha Mungu na ana upendo na familia yake Mwenyezi Mungu azid kumpa nguvu
@mkuluwaukae22212 жыл бұрын
Mungu akusimamieni wajameni, bright woman! Utatoboa hakika
@josephkulija2932 жыл бұрын
Dada hujafa hujaumbika, hongera sana kwa kutunza utu wako na kumheshimu mmeo. Kikubwa Mng'ang'anie Mungu. Yule baba aliyekuita marehemu unayetembea naamini Mungu alishakujibia. Mabinti wengine waige moyo wako.
@Sarahsaid26482 жыл бұрын
Huyu ndie mke sasa siyo hawa wabandika kope na mikucha
@mariamali18872 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@halimahalima14882 жыл бұрын
🤪🤪🤪
@ricksonlyimo26622 жыл бұрын
Swadakta
@shoshohamed1841 Жыл бұрын
😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
@damariszuckschwert94892 жыл бұрын
Mwanamke mwenye akili akipata mume bora maisha yanakuwa raha sana.
@aksharacosta44312 жыл бұрын
Kama mm vile 😜
@user-uu6ei1ys3k4 ай бұрын
Sanaaaaa
@shakilamasoud29832 жыл бұрын
💪💪💕💕, hutalia tena. Mwenyezi Mungu akujaaliye Kila lakheri Insha Allah 🤲
@uajeupe42992 жыл бұрын
Waoooo! She is so bright for sure. Mwanamke mwema
@nicholausmakundi26632 жыл бұрын
Anajielewa sana Mungu hamtupi mja wake..hongera sana dada
@NellyWaKidato2 жыл бұрын
Daaaa!!!!. Huyu Dada Nimetamani Abgekuwa Mke Wangu Maana Anamtaja Mume Wake Kila Sekunde Na Kila Dakika
@lilianwaflotina12882 жыл бұрын
hahaha
@jacksongeorge39642 жыл бұрын
😂😂😂😂
@nanaritho68502 жыл бұрын
Kabisaaaa
@Sharifarajabudebe2 жыл бұрын
😂😂kwan wa kwako hakutaji jamn watajeni waume zenu
@NellyWaKidato2 жыл бұрын
@@Sharifarajabudebe aise sikumbuki ilikuwa lini kinitaja mbele za watu😀😂😂😂
@agnellapius81422 жыл бұрын
Super women 💪💪💪💪🙌🙌🙌🥰
@jaypolmc18612 жыл бұрын
Aliemuoa huyu dada amepata bahat sana
@wellbrand34152 жыл бұрын
Dada upo njema sana. Piga kaziii na Mungu ni mwema atakupigania utayafikia malengo yako. 🔥🔥❤
@kassebo2 жыл бұрын
MUNGU akupe kuishi miaka mingi Dada # maana wewe Ni mke mwema
Waitwao ni wengi, watendakazi ni wachache. Daaaa Mungu akubariki hasa kwa kujitambua, big up
@arafakiloli7492 жыл бұрын
In shaa Allah Allah awazidishie rizki mtimize ndoto zenu.
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Mzuri mashalllah 💙congratulations 💪💪💪my
@danielmakunganya6928 Жыл бұрын
Huyu dada ni sawa tu na mke wangu, wanawake Kama Hawa wanaojitambua wachache Sana hongera sana Mungu atawafanikisha kwenye safari yenu ya maisha wewe mumeo na watoto wenu
@yumbujackson8692 жыл бұрын
Hongera sana, mungu muweza wa yote, endelea kupambana malengo yako yatatimia
@peruthyshideko23792 ай бұрын
Nimewah kupanda bajaji ya huyu dada kwanza anastor kama zote abiria unaenjoy😂😂😂...Keep going dada
@yahyachande3009 Жыл бұрын
Niwachache Sana wenye uvumilivu wa hari ya juu sana hongera Sana dada mungu atakujaalia
@faridaaloyce43302 жыл бұрын
Dada siyo wewe tu Kuna mtu alishawahi kunidharau na kunikataa lakini Leo hii hata hanifikii. MUNGU NI MUNGU TU
@matildajonasmboya53202 жыл бұрын
Majaribu ni mtaji mshukuru yule mzee aliye kutukana amefanya uongeze nguvu za utafutaji zaidi na Mungu atakubariki sana
@yusrasalum2 жыл бұрын
Mungu mkubwa hakuna kutafuta kwa rahisi lazima upitie changamoto ndio uwe mshindi hongera dada 😍
@ireneflorence22322 жыл бұрын
Aiseeee dada anatema madini na anajitambua imagine angebahatika kupitia shule angekuwa hatari zaidi ya ivi,dada ubarikiwe Mungu akakujazie kikombe chako mpk kimwagike,bro umepata mwanamke wa shoka hongera Kwa mume
@anzania3663 Жыл бұрын
Ni kweli kabsaa nampenda dada huyu sanaaa
@lucylucy36782 жыл бұрын
Daa pole dada san mungu akupe maisha marefu san pamoja na mume wako unajituma san hawa ndo mawif tunaotak.
@abdrizackadanali50472 жыл бұрын
If we could look into each other’s hearts and understand the unique challenges each of us faces, I think we would treat each other more gently, with more love, patience, tolerance, and care.
@damariszuckschwert94892 жыл бұрын
💯
@babaloisethan70102 жыл бұрын
Very inspirational! MILARD AYO TUFANYIE INTERVIEW NA MUME WA HUYO DADA....#SuperWoman💪
@annastaziandatulu78992 жыл бұрын
Dada unaongea vizuri sana ,,,Mungu awafanikishe
@florianhashimu13702 жыл бұрын
Uyo jamaa ampende sana mkewe.Kaka mke umepata usije ukamliza siku laana haitoki Kwa wazazi tu.Mke anaye kutaja mara tatu tatu hiyo ni mwanamke kweli kweli.Hata cku moja moja Rudi hata na maua
@aminah33462 жыл бұрын
Mim nimesha lizw san
@neemacharles55022 жыл бұрын
@@aminah3346 ukisoma ivyo ujue unapenda maisha ya juu bila changamoto,na una chagua waume,msikilize uyo dada vzr utagundua Jambo hasa ukikutana na mwanaume mwenye maisha ya chini lkn anatamani afike mbali hasa akipata mwanamke anaemwelewa
@aminah33462 жыл бұрын
@@neemacharles5502 we nawe hujaelewa nilicho manish kaa kimy man siwez kuanik niliyo pitia hap hazarani
@aminah33462 жыл бұрын
@@neemacharles5502 kuna wanaume wengine unaanz nae chin akisha fanikiwa tu anaanz vitimbi
@khadijamohamedy44922 жыл бұрын
@@aminah3346 kweli dada we ndiyo mm nawaogopa Sana wanaume ambao hana kitu wanabadilika vibaya san
@sikudhanimoshi69672 жыл бұрын
Mm mwenyewe ndoto yangu kuja kuendesha bajaji inshallaha
@angelkavishe52402 жыл бұрын
Hakika katika Maisha kila kitu ni kumuomba Mungu Mimi niliwah kusukumwa katika Daraja na Vijana wawili waendesha Boda boda kisa wamenitongoza nimekataa majira ya Jioni natoka Shule wakisema wamesoma wangapi na wako wapi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@ashurajengela39262 жыл бұрын
Hii ndo maana halisi ya Couple Goals Hongereni sana Mungu awatangulie mtafika mbali
@husseinyappi93302 жыл бұрын
Mume wako ikija kukuwacha atajuta mpaka kaburini hongela sana
@pachamalota44552 жыл бұрын
Dah! Pole sana Dada Mungu akutie nguvu Mungu akufanikishe Mungu aifadhiri ndoa yako.
@zainabkazige73882 жыл бұрын
Woow, hadi raha! Mungu azidi kuwafanikisha🙏💪
@super_boy_tz2 жыл бұрын
Riziki Paul nisikilize kidogo dadangu kama utapata fulsa ya kuona comment yangu Mungu mkubwa katika maisha ya binadam ujasili ulio nao. Ndo mafanikio yako endelea kupambana tu never give up
@sheagraphics2692 жыл бұрын
Bichwa bovu Leo umetoa ushauri mzuri inaonekana umeanza kupona🤣🤣
@wiliminawiliams93842 жыл бұрын
Hongera sana Dada,Mwenyezi Mungu akutimize ndoto zako
@hizamwaimu39182 жыл бұрын
Daaaah😭😭😭 eti we nimarehemu unaetembea ...
@amockkalinga1520 Жыл бұрын
Inauma Sana 💔 kuitwa marehemu huku upo hai 🤔😭😭😭😭😭😭😭
@fatumaibrahim89732 жыл бұрын
Pole Dada mungu akupe maisha marefu ✍️
@msukuma12 жыл бұрын
Sema wanaume sometime viumbe vya ajab sana apo wanehangaika wote wakij kupat mali tu ataanza na michepuko😭😭
@aishaomarry69962 жыл бұрын
Akiwa na michepuko si afadhali wanawafukuza kabisa wake zao
@msukuma12 жыл бұрын
@@aishaomarry6996 jaman 😭😭
@damariszuckschwert94892 жыл бұрын
Yani ni shiida sana
@jescajulius80232 жыл бұрын
Imeisha hiyo haha
@richardbubani70702 жыл бұрын
Mungu akisaidia sana uendelee kufanikiwa
@mwakwelisaid31522 жыл бұрын
Wow amazing interview 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@josephatmathiasgalagalabuh7862 жыл бұрын
HAKUNAGA MTU WA GEITA MJINGA MJINGA. BIG UP MWANAGEITA MWENZETU UNA AKIILI TIMAMU SANA
@petromsomba4523 Жыл бұрын
dada nmefikilia kitu gani ntacommenti hap kizuri kikufikie ira sjaona nakuombea mungu akupe afia njema
@emmanueldaniel17812 жыл бұрын
Hongera Sana dada, hongera kwa mume wako pia.
@rubensaitoti68392 жыл бұрын
Hongera sana Mungu akubariki
@fabiankasu81382 жыл бұрын
Dada yuko vizur sana.
@ladysasty2 жыл бұрын
Hongelaa sana dada👏
@davidmagambo3001 Жыл бұрын
Mama hongera uko vizuri Mungu akuongoze na kukuangazia
@onesmoelias2285 Жыл бұрын
Hongera sana shemej ang kwakwel unajtma nakpata sana umeuza sana matunda kichwan
@onemuzungu72912 жыл бұрын
Hongeraaa sana dada and never give. Up
@user-uu6ei1ys3k4 ай бұрын
Hongera sanaa dada piga kz Mungu bado anampango nyie wacha kulia
@adamnguvu10202 жыл бұрын
*u have a good speach cctercongraturation dou to this Enterviw*
@mtaalamwamambo20992 жыл бұрын
Big up kwa Muwe wa uyu dada👏
@lgdnce83092 жыл бұрын
Hongera dada n'a ujasiri wako
@rudhwanjumbe29702 жыл бұрын
Ongera sana sana my Dada
@ramadhaniadam5532 жыл бұрын
hongera sana unajitambua
@robesongvictor Жыл бұрын
Hongera mwenyezi Mungu akutangulie
@theresiamartin30082 жыл бұрын
Mungu azidi kuwabariki mtafika mbali sana
@stellah38442 жыл бұрын
Maskin dah pole sana dada mungu atakufungulia zaidi.
@abdultandala65762 жыл бұрын
Uyu dada anaakili sana 🥰
@muhambwetvonline2 жыл бұрын
Wife material ndo huyu sasa
@josephmarwa72122 жыл бұрын
Kwakweli
@devotafrances18762 жыл бұрын
Pambana dada heshima pesa Mungu yupo pamoja na wewe waliokudharu watakusalimia kwa heshima
@janethmwanda357 Жыл бұрын
Huyo mwanaume akifanikiwa cjui km atakua hvy labda wanaume wa geita uko
@kimsamespa84902 жыл бұрын
Pole Sana omba Mungu Sana na ufute hayo maneno alio ongea huyo baba mchawi
@jumarajab53162 жыл бұрын
pole sana pambana
@thadeusmarkiminja22822 жыл бұрын
Hongera sana kwa uvumilivu wako mungu ni mwema endelea kumwamini utafika mbali,hongera pia kwa mumeo na wote waliokusaidia.huyo aliyekutukana sio baba na hata kama ni baba hahitajiki kuitwa baba.
@shameemrashid5219 Жыл бұрын
Hongera mdg wangu wew ni malkia wa nguvu
@r14kgroup682 жыл бұрын
Pole na hongera sana
@geofreymaina3838 Жыл бұрын
Sasa ngoma dar kaka milard tunateseka sana eti ukipata abiria wa kwenda kariakoo au posta unakamata eti hamna kuingia mjini wanakutoza faini laki moja tunanyanyaswa sana hatufanyi kazi kwa raha yaani wakati hatuibi wa hatuli cha mtu na hii habari ya kutoingia mjini waziri alikataza
@samwelhechei85372 жыл бұрын
Mungu aendelee kuwapigania
@mwinukafundibombanjombe2 жыл бұрын
Interested😘
@marcondunguru6182 жыл бұрын
Safi sana we nimke bora
@yahyamkone56012 жыл бұрын
Kwakweli huyu mdada ni wa mfano Sanaa hakika wanawakewote wangekuwa Kama huyu dada hii dunia na amani Sana
@aminah33462 жыл бұрын
Hapn anabahati kapat mwanaume mwelewa wengine tumejaribu tumebak tunaumia tu
@bertinaafonsorapaz83452 жыл бұрын
Kweli dada
@benjaminkapelah7664 Жыл бұрын
Interview nzuri Sana inspired
@mejakimaro27732 жыл бұрын
Love 💕.....
@kennethbenjamin2752 жыл бұрын
Safi sana dada,maana wanawake wengi wao wanategemea kujiuza au kutumia mwii wao kupata fedhaa...yaani udangaji
@onlinemateustv19252 жыл бұрын
Mhh ubarikiwe dada maana wengine duh Wabarikiwe wazazi wako
@mcmrtichaentertaimentgudi73312 жыл бұрын
Heeee Dunia hii kumbe Bado wapo wanawake km hawa
@euniceyalledy17452 жыл бұрын
Waooooh anajieliwa sanaaa
@jrsaid42702 жыл бұрын
Kila mtu anasafari yake katka maisha hata waliofanikiwa Kuna history kubwa behind their life Cha msingi ni kufight tu hakuna sababu yakukata tamaa
@veronicangwesa32732 жыл бұрын
Hongera mdada
@linamacha76862 жыл бұрын
👏👏👏👏💪💪💪
@veronicamayenga9531 Жыл бұрын
Pole
@michaelselis8531 Жыл бұрын
Mungu ni mwema mamangu
@adamnguvu10202 жыл бұрын
*its joikle voliple fighter my ccter so hole toiple choice za blople people according to za life ua voice it will be well very soon coz no one is perfect god is creater*
@ilynpayne74912 жыл бұрын
Ndo maisha yalivyo
@namsamson3443 Жыл бұрын
Mko very smart wewe na mme wako mtafika mbali sana
@sarhiabenson2683 Жыл бұрын
Nice 👍
@rahimaaaaa8699 Жыл бұрын
Hv kameraman huwa hamna Kairi hee?!! Hebu tazama jinsi ulivomtoa sura umeiharibu sana utadhani analia
@pendokissatu9372 жыл бұрын
Anajua Kujielezeaa sanaaa
@lukrensiamlelwa33182 жыл бұрын
Sanaaa anajua kujielezaa munoo
@gidiongipson87342 жыл бұрын
Hiviii kwanini vitu au watu wa namna hii hawapewi Kipaumbele kwenye madia tofauti tofauti, lakini vitu vya kishwahini ndoo vinawekwa mbele
@shabanijuma2085 Жыл бұрын
Marehemu tatizo. Sisi sote ni maiti .Nani anabisha yeye atakuwa mlinzi wa Dunia .Mbona Mimi Siyoni tatizo Sisi sote maiti kubali ukatae.
@denniskado39902 жыл бұрын
Safii
@enickosanga49212 жыл бұрын
Vzr pambana
@jacksongidione-yo8vg10 ай бұрын
😮
@naimanuran2663 Жыл бұрын
SoMo kubwa sn hapa🙌🙌
@jamesobedy39402 жыл бұрын
Milima na mabonde 😢
@anethjoseph4542 Жыл бұрын
Muombeee Mungu huyo mume ll shetani asije pita hapo
@rashidyally87152 жыл бұрын
Basi usilie hizo ndizo changamoto za maisha binadamu walio wengi ni wapumbavu Sana na endapo utawasikiliza utakata tamaa we kaza mungu atakufungulia utafanikiwa zaidi na utaweka histolia kubwa kwenye maisha yako
@johnmasaki23432 жыл бұрын
L
@kiehbhzh70442 жыл бұрын
Hongera my dear kwa kufika hatua kama iyo na pia ongera ww na mumeo lkn wanaume sio wazuri mpz unaangaika nae lkn mkishafanikiwa mume anakusariti mchana kweupe..mm nilikua kama ww maisha ya kumuamin mwanaume lkn sasaivi nimeshakataa tamaa kuhusu hao wanaume siwataki hata kuwaona
@rashidyally87152 жыл бұрын
@@kiehbhzh7044 hiyo wewe na huyo mtu ulie mpata Ila sio wanaume wote tuko namna hiyo
@kiehbhzh70442 жыл бұрын
@@rashidyally8715 amna lolote wanaume wote vigeu vigeu tu mm wala bado ujanishawishi nataman ningekua napita kuhamasisha kuhusu swala mwanamke kuunda mali na mwanaume🤮🤮🤮
@rashidyally87152 жыл бұрын
@@kiehbhzh7044 ushafeli wewe sema umekutana na mtu asiejielew kwenye maisha au wewe ulikua jeli jeli sana