BINTI ATOA MACHOZI AKISIMULIA MAISHA ALIYOYAPITIA MPAKA KUWA DEREVA BAJAJI MKOANI GEITA

  Рет қаралды 46,731

Millard Ayo

Millard Ayo

2 жыл бұрын

Пікірлер: 187
@shailabushiri4578
@shailabushiri4578 2 жыл бұрын
Very bright and intelligent nimempenda ni mvumilivu mcha Mungu na ana upendo na familia yake Mwenyezi Mungu azid kumpa nguvu
@mkuluwaukae2221
@mkuluwaukae2221 2 жыл бұрын
Mungu akusimamieni wajameni, bright woman! Utatoboa hakika
@josephkulija293
@josephkulija293 2 жыл бұрын
Dada hujafa hujaumbika, hongera sana kwa kutunza utu wako na kumheshimu mmeo. Kikubwa Mng'ang'anie Mungu. Yule baba aliyekuita marehemu unayetembea naamini Mungu alishakujibia. Mabinti wengine waige moyo wako.
@Sarahsaid2648
@Sarahsaid2648 2 жыл бұрын
Huyu ndie mke sasa siyo hawa wabandika kope na mikucha
@mariamali1887
@mariamali1887 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@halimahalima1488
@halimahalima1488 2 жыл бұрын
🤪🤪🤪
@ricksonlyimo2662
@ricksonlyimo2662 2 жыл бұрын
Swadakta
@shoshohamed1841
@shoshohamed1841 Жыл бұрын
😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
Mwanamke mwenye akili akipata mume bora maisha yanakuwa raha sana.
@aksharacosta4431
@aksharacosta4431 2 жыл бұрын
Kama mm vile 😜
@user-uu6ei1ys3k
@user-uu6ei1ys3k 4 ай бұрын
Sanaaaaa
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 2 жыл бұрын
💪💪💕💕, hutalia tena. Mwenyezi Mungu akujaaliye Kila lakheri Insha Allah 🤲
@uajeupe4299
@uajeupe4299 2 жыл бұрын
Waoooo! She is so bright for sure. Mwanamke mwema
@nicholausmakundi2663
@nicholausmakundi2663 2 жыл бұрын
Anajielewa sana Mungu hamtupi mja wake..hongera sana dada
@NellyWaKidato
@NellyWaKidato 2 жыл бұрын
Daaaa!!!!. Huyu Dada Nimetamani Abgekuwa Mke Wangu Maana Anamtaja Mume Wake Kila Sekunde Na Kila Dakika
@lilianwaflotina1288
@lilianwaflotina1288 2 жыл бұрын
hahaha
@jacksongeorge3964
@jacksongeorge3964 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@nanaritho6850
@nanaritho6850 2 жыл бұрын
Kabisaaaa
@Sharifarajabudebe
@Sharifarajabudebe 2 жыл бұрын
😂😂kwan wa kwako hakutaji jamn watajeni waume zenu
@NellyWaKidato
@NellyWaKidato 2 жыл бұрын
@@Sharifarajabudebe aise sikumbuki ilikuwa lini kinitaja mbele za watu😀😂😂😂
@agnellapius8142
@agnellapius8142 2 жыл бұрын
Super women 💪💪💪💪🙌🙌🙌🥰
@jaypolmc1861
@jaypolmc1861 2 жыл бұрын
Aliemuoa huyu dada amepata bahat sana
@wellbrand3415
@wellbrand3415 2 жыл бұрын
Dada upo njema sana. Piga kaziii na Mungu ni mwema atakupigania utayafikia malengo yako. 🔥🔥❤
@kassebo
@kassebo 2 жыл бұрын
MUNGU akupe kuishi miaka mingi Dada # maana wewe Ni mke mwema
@daliamkwamba683
@daliamkwamba683 2 жыл бұрын
Mwanaume ukifanikiwa hapa jeuri ongera mwanamke mwenzangu.
@chamimdesa148
@chamimdesa148 2 жыл бұрын
Waitwao ni wengi, watendakazi ni wachache. Daaaa Mungu akubariki hasa kwa kujitambua, big up
@arafakiloli749
@arafakiloli749 2 жыл бұрын
In shaa Allah Allah awazidishie rizki mtimize ndoto zenu.
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
Mzuri mashalllah 💙congratulations 💪💪💪my
@danielmakunganya6928
@danielmakunganya6928 Жыл бұрын
Huyu dada ni sawa tu na mke wangu, wanawake Kama Hawa wanaojitambua wachache Sana hongera sana Mungu atawafanikisha kwenye safari yenu ya maisha wewe mumeo na watoto wenu
@yumbujackson869
@yumbujackson869 2 жыл бұрын
Hongera sana, mungu muweza wa yote, endelea kupambana malengo yako yatatimia
@peruthyshideko2379
@peruthyshideko2379 2 ай бұрын
Nimewah kupanda bajaji ya huyu dada kwanza anastor kama zote abiria unaenjoy😂😂😂...Keep going dada
@yahyachande3009
@yahyachande3009 Жыл бұрын
Niwachache Sana wenye uvumilivu wa hari ya juu sana hongera Sana dada mungu atakujaalia
@faridaaloyce4330
@faridaaloyce4330 2 жыл бұрын
Dada siyo wewe tu Kuna mtu alishawahi kunidharau na kunikataa lakini Leo hii hata hanifikii. MUNGU NI MUNGU TU
@matildajonasmboya5320
@matildajonasmboya5320 2 жыл бұрын
Majaribu ni mtaji mshukuru yule mzee aliye kutukana amefanya uongeze nguvu za utafutaji zaidi na Mungu atakubariki sana
@yusrasalum
@yusrasalum 2 жыл бұрын
Mungu mkubwa hakuna kutafuta kwa rahisi lazima upitie changamoto ndio uwe mshindi hongera dada 😍
@ireneflorence2232
@ireneflorence2232 2 жыл бұрын
Aiseeee dada anatema madini na anajitambua imagine angebahatika kupitia shule angekuwa hatari zaidi ya ivi,dada ubarikiwe Mungu akakujazie kikombe chako mpk kimwagike,bro umepata mwanamke wa shoka hongera Kwa mume
@anzania3663
@anzania3663 Жыл бұрын
Ni kweli kabsaa nampenda dada huyu sanaaa
@lucylucy3678
@lucylucy3678 2 жыл бұрын
Daa pole dada san mungu akupe maisha marefu san pamoja na mume wako unajituma san hawa ndo mawif tunaotak.
@abdrizackadanali5047
@abdrizackadanali5047 2 жыл бұрын
If we could look into each other’s hearts and understand the unique challenges each of us faces, I think we would treat each other more gently, with more love, patience, tolerance, and care.
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
💯
@babaloisethan7010
@babaloisethan7010 2 жыл бұрын
Very inspirational! MILARD AYO TUFANYIE INTERVIEW NA MUME WA HUYO DADA....#SuperWoman💪
@annastaziandatulu7899
@annastaziandatulu7899 2 жыл бұрын
Dada unaongea vizuri sana ,,,Mungu awafanikishe
@florianhashimu1370
@florianhashimu1370 2 жыл бұрын
Uyo jamaa ampende sana mkewe.Kaka mke umepata usije ukamliza siku laana haitoki Kwa wazazi tu.Mke anaye kutaja mara tatu tatu hiyo ni mwanamke kweli kweli.Hata cku moja moja Rudi hata na maua
@aminah3346
@aminah3346 2 жыл бұрын
Mim nimesha lizw san
@neemacharles5502
@neemacharles5502 2 жыл бұрын
@@aminah3346 ukisoma ivyo ujue unapenda maisha ya juu bila changamoto,na una chagua waume,msikilize uyo dada vzr utagundua Jambo hasa ukikutana na mwanaume mwenye maisha ya chini lkn anatamani afike mbali hasa akipata mwanamke anaemwelewa
@aminah3346
@aminah3346 2 жыл бұрын
@@neemacharles5502 we nawe hujaelewa nilicho manish kaa kimy man siwez kuanik niliyo pitia hap hazarani
@aminah3346
@aminah3346 2 жыл бұрын
@@neemacharles5502 kuna wanaume wengine unaanz nae chin akisha fanikiwa tu anaanz vitimbi
@khadijamohamedy4492
@khadijamohamedy4492 2 жыл бұрын
@@aminah3346 kweli dada we ndiyo mm nawaogopa Sana wanaume ambao hana kitu wanabadilika vibaya san
@sikudhanimoshi6967
@sikudhanimoshi6967 2 жыл бұрын
Mm mwenyewe ndoto yangu kuja kuendesha bajaji inshallaha
@angelkavishe5240
@angelkavishe5240 2 жыл бұрын
Hakika katika Maisha kila kitu ni kumuomba Mungu Mimi niliwah kusukumwa katika Daraja na Vijana wawili waendesha Boda boda kisa wamenitongoza nimekataa majira ya Jioni natoka Shule wakisema wamesoma wangapi na wako wapi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 2 жыл бұрын
Hii ndo maana halisi ya Couple Goals Hongereni sana Mungu awatangulie mtafika mbali
@husseinyappi9330
@husseinyappi9330 2 жыл бұрын
Mume wako ikija kukuwacha atajuta mpaka kaburini hongela sana
@pachamalota4455
@pachamalota4455 2 жыл бұрын
Dah! Pole sana Dada Mungu akutie nguvu Mungu akufanikishe Mungu aifadhiri ndoa yako.
@zainabkazige7388
@zainabkazige7388 2 жыл бұрын
Woow, hadi raha! Mungu azidi kuwafanikisha🙏💪
@super_boy_tz
@super_boy_tz 2 жыл бұрын
Riziki Paul nisikilize kidogo dadangu kama utapata fulsa ya kuona comment yangu Mungu mkubwa katika maisha ya binadam ujasili ulio nao. Ndo mafanikio yako endelea kupambana tu never give up
@sheagraphics269
@sheagraphics269 2 жыл бұрын
Bichwa bovu Leo umetoa ushauri mzuri inaonekana umeanza kupona🤣🤣
@wiliminawiliams9384
@wiliminawiliams9384 2 жыл бұрын
Hongera sana Dada,Mwenyezi Mungu akutimize ndoto zako
@hizamwaimu3918
@hizamwaimu3918 2 жыл бұрын
Daaaah😭😭😭 eti we nimarehemu unaetembea ...
@amockkalinga1520
@amockkalinga1520 Жыл бұрын
Inauma Sana 💔 kuitwa marehemu huku upo hai 🤔😭😭😭😭😭😭😭
@fatumaibrahim8973
@fatumaibrahim8973 2 жыл бұрын
Pole Dada mungu akupe maisha marefu ✍️
@msukuma1
@msukuma1 2 жыл бұрын
Sema wanaume sometime viumbe vya ajab sana apo wanehangaika wote wakij kupat mali tu ataanza na michepuko😭😭
@aishaomarry6996
@aishaomarry6996 2 жыл бұрын
Akiwa na michepuko si afadhali wanawafukuza kabisa wake zao
@msukuma1
@msukuma1 2 жыл бұрын
@@aishaomarry6996 jaman 😭😭
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
Yani ni shiida sana
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 жыл бұрын
Imeisha hiyo haha
@richardbubani7070
@richardbubani7070 2 жыл бұрын
Mungu akisaidia sana uendelee kufanikiwa
@mwakwelisaid3152
@mwakwelisaid3152 2 жыл бұрын
Wow amazing interview 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@josephatmathiasgalagalabuh786
@josephatmathiasgalagalabuh786 2 жыл бұрын
HAKUNAGA MTU WA GEITA MJINGA MJINGA. BIG UP MWANAGEITA MWENZETU UNA AKIILI TIMAMU SANA
@petromsomba4523
@petromsomba4523 Жыл бұрын
dada nmefikilia kitu gani ntacommenti hap kizuri kikufikie ira sjaona nakuombea mungu akupe afia njema
@emmanueldaniel1781
@emmanueldaniel1781 2 жыл бұрын
Hongera Sana dada, hongera kwa mume wako pia.
@rubensaitoti6839
@rubensaitoti6839 2 жыл бұрын
Hongera sana Mungu akubariki
@fabiankasu8138
@fabiankasu8138 2 жыл бұрын
Dada yuko vizur sana.
@ladysasty
@ladysasty 2 жыл бұрын
Hongelaa sana dada👏
@davidmagambo3001
@davidmagambo3001 Жыл бұрын
Mama hongera uko vizuri Mungu akuongoze na kukuangazia
@onesmoelias2285
@onesmoelias2285 Жыл бұрын
Hongera sana shemej ang kwakwel unajtma nakpata sana umeuza sana matunda kichwan
@onemuzungu7291
@onemuzungu7291 2 жыл бұрын
Hongeraaa sana dada and never give. Up
@user-uu6ei1ys3k
@user-uu6ei1ys3k 4 ай бұрын
Hongera sanaa dada piga kz Mungu bado anampango nyie wacha kulia
@adamnguvu1020
@adamnguvu1020 2 жыл бұрын
*u have a good speach cctercongraturation dou to this Enterviw*
@mtaalamwamambo2099
@mtaalamwamambo2099 2 жыл бұрын
Big up kwa Muwe wa uyu dada👏
@lgdnce8309
@lgdnce8309 2 жыл бұрын
Hongera dada n'a ujasiri wako
@rudhwanjumbe2970
@rudhwanjumbe2970 2 жыл бұрын
Ongera sana sana my Dada
@ramadhaniadam553
@ramadhaniadam553 2 жыл бұрын
hongera sana unajitambua
@robesongvictor
@robesongvictor Жыл бұрын
Hongera mwenyezi Mungu akutangulie
@theresiamartin3008
@theresiamartin3008 2 жыл бұрын
Mungu azidi kuwabariki mtafika mbali sana
@stellah3844
@stellah3844 2 жыл бұрын
Maskin dah pole sana dada mungu atakufungulia zaidi.
@abdultandala6576
@abdultandala6576 2 жыл бұрын
Uyu dada anaakili sana 🥰
@muhambwetvonline
@muhambwetvonline 2 жыл бұрын
Wife material ndo huyu sasa
@josephmarwa7212
@josephmarwa7212 2 жыл бұрын
Kwakweli
@devotafrances1876
@devotafrances1876 2 жыл бұрын
Pambana dada heshima pesa Mungu yupo pamoja na wewe waliokudharu watakusalimia kwa heshima
@janethmwanda357
@janethmwanda357 Жыл бұрын
Huyo mwanaume akifanikiwa cjui km atakua hvy labda wanaume wa geita uko
@kimsamespa8490
@kimsamespa8490 2 жыл бұрын
Pole Sana omba Mungu Sana na ufute hayo maneno alio ongea huyo baba mchawi
@jumarajab5316
@jumarajab5316 2 жыл бұрын
pole sana pambana
@thadeusmarkiminja2282
@thadeusmarkiminja2282 2 жыл бұрын
Hongera sana kwa uvumilivu wako mungu ni mwema endelea kumwamini utafika mbali,hongera pia kwa mumeo na wote waliokusaidia.huyo aliyekutukana sio baba na hata kama ni baba hahitajiki kuitwa baba.
@shameemrashid5219
@shameemrashid5219 Жыл бұрын
Hongera mdg wangu wew ni malkia wa nguvu
@r14kgroup68
@r14kgroup68 2 жыл бұрын
Pole na hongera sana
@geofreymaina3838
@geofreymaina3838 Жыл бұрын
Sasa ngoma dar kaka milard tunateseka sana eti ukipata abiria wa kwenda kariakoo au posta unakamata eti hamna kuingia mjini wanakutoza faini laki moja tunanyanyaswa sana hatufanyi kazi kwa raha yaani wakati hatuibi wa hatuli cha mtu na hii habari ya kutoingia mjini waziri alikataza
@samwelhechei8537
@samwelhechei8537 2 жыл бұрын
Mungu aendelee kuwapigania
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe 2 жыл бұрын
Interested😘
@marcondunguru618
@marcondunguru618 2 жыл бұрын
Safi sana we nimke bora
@yahyamkone5601
@yahyamkone5601 2 жыл бұрын
Kwakweli huyu mdada ni wa mfano Sanaa hakika wanawakewote wangekuwa Kama huyu dada hii dunia na amani Sana
@aminah3346
@aminah3346 2 жыл бұрын
Hapn anabahati kapat mwanaume mwelewa wengine tumejaribu tumebak tunaumia tu
@bertinaafonsorapaz8345
@bertinaafonsorapaz8345 2 жыл бұрын
Kweli dada
@benjaminkapelah7664
@benjaminkapelah7664 Жыл бұрын
Interview nzuri Sana inspired
@mejakimaro2773
@mejakimaro2773 2 жыл бұрын
Love 💕.....
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 2 жыл бұрын
Safi sana dada,maana wanawake wengi wao wanategemea kujiuza au kutumia mwii wao kupata fedhaa...yaani udangaji
@onlinemateustv1925
@onlinemateustv1925 2 жыл бұрын
Mhh ubarikiwe dada maana wengine duh Wabarikiwe wazazi wako
@mcmrtichaentertaimentgudi7331
@mcmrtichaentertaimentgudi7331 2 жыл бұрын
Heeee Dunia hii kumbe Bado wapo wanawake km hawa
@euniceyalledy1745
@euniceyalledy1745 2 жыл бұрын
Waooooh anajieliwa sanaaa
@jrsaid4270
@jrsaid4270 2 жыл бұрын
Kila mtu anasafari yake katka maisha hata waliofanikiwa Kuna history kubwa behind their life Cha msingi ni kufight tu hakuna sababu yakukata tamaa
@veronicangwesa3273
@veronicangwesa3273 2 жыл бұрын
Hongera mdada
@linamacha7686
@linamacha7686 2 жыл бұрын
👏👏👏👏💪💪💪
@veronicamayenga9531
@veronicamayenga9531 Жыл бұрын
Pole
@michaelselis8531
@michaelselis8531 Жыл бұрын
Mungu ni mwema mamangu
@adamnguvu1020
@adamnguvu1020 2 жыл бұрын
*its joikle voliple fighter my ccter so hole toiple choice za blople people according to za life ua voice it will be well very soon coz no one is perfect god is creater*
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 жыл бұрын
Ndo maisha yalivyo
@namsamson3443
@namsamson3443 Жыл бұрын
Mko very smart wewe na mme wako mtafika mbali sana
@sarhiabenson2683
@sarhiabenson2683 Жыл бұрын
Nice 👍
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 Жыл бұрын
Hv kameraman huwa hamna Kairi hee?!! Hebu tazama jinsi ulivomtoa sura umeiharibu sana utadhani analia
@pendokissatu937
@pendokissatu937 2 жыл бұрын
Anajua Kujielezeaa sanaaa
@lukrensiamlelwa3318
@lukrensiamlelwa3318 2 жыл бұрын
Sanaaa anajua kujielezaa munoo
@gidiongipson8734
@gidiongipson8734 2 жыл бұрын
Hiviii kwanini vitu au watu wa namna hii hawapewi Kipaumbele kwenye madia tofauti tofauti, lakini vitu vya kishwahini ndoo vinawekwa mbele
@shabanijuma2085
@shabanijuma2085 Жыл бұрын
Marehemu tatizo. Sisi sote ni maiti .Nani anabisha yeye atakuwa mlinzi wa Dunia .Mbona Mimi Siyoni tatizo Sisi sote maiti kubali ukatae.
@denniskado3990
@denniskado3990 2 жыл бұрын
Safii
@enickosanga4921
@enickosanga4921 2 жыл бұрын
Vzr pambana
@jacksongidione-yo8vg
@jacksongidione-yo8vg 10 ай бұрын
😮
@naimanuran2663
@naimanuran2663 Жыл бұрын
SoMo kubwa sn hapa🙌🙌
@jamesobedy3940
@jamesobedy3940 2 жыл бұрын
Milima na mabonde 😢
@anethjoseph4542
@anethjoseph4542 Жыл бұрын
Muombeee Mungu huyo mume ll shetani asije pita hapo
@rashidyally8715
@rashidyally8715 2 жыл бұрын
Basi usilie hizo ndizo changamoto za maisha binadamu walio wengi ni wapumbavu Sana na endapo utawasikiliza utakata tamaa we kaza mungu atakufungulia utafanikiwa zaidi na utaweka histolia kubwa kwenye maisha yako
@johnmasaki2343
@johnmasaki2343 2 жыл бұрын
L
@kiehbhzh7044
@kiehbhzh7044 2 жыл бұрын
Hongera my dear kwa kufika hatua kama iyo na pia ongera ww na mumeo lkn wanaume sio wazuri mpz unaangaika nae lkn mkishafanikiwa mume anakusariti mchana kweupe..mm nilikua kama ww maisha ya kumuamin mwanaume lkn sasaivi nimeshakataa tamaa kuhusu hao wanaume siwataki hata kuwaona
@rashidyally8715
@rashidyally8715 2 жыл бұрын
@@kiehbhzh7044 hiyo wewe na huyo mtu ulie mpata Ila sio wanaume wote tuko namna hiyo
@kiehbhzh7044
@kiehbhzh7044 2 жыл бұрын
@@rashidyally8715 amna lolote wanaume wote vigeu vigeu tu mm wala bado ujanishawishi nataman ningekua napita kuhamasisha kuhusu swala mwanamke kuunda mali na mwanaume🤮🤮🤮
@rashidyally8715
@rashidyally8715 2 жыл бұрын
@@kiehbhzh7044 ushafeli wewe sema umekutana na mtu asiejielew kwenye maisha au wewe ulikua jeli jeli sana
@emes602
@emes602 2 жыл бұрын
Dadeki eti marehemu anayetembea mpuuuz sana
@timothkalega1333
@timothkalega1333 Жыл бұрын
Huyu ndo Super women
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Зачем он туда залез?
00:25
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,2 МЛН
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 47 МЛН
🔴LIVE: MBOWE,LEMA   wachafua hali ya hewa MKOANI KWA MAKONDA
57:50
MwanaHALISI TV
Рет қаралды 11 М.
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42