Wanaohitaji mawasiliano ya mtoto Yunis kzfaq.info/get/bejne/p9Nzost9sd7Qf3U.html namba iko kwenye hii video.
@mercymwangangi9415 Жыл бұрын
Nikiwa Nairobi nitapitia Namanga Boda
@bernardmwenda51862 жыл бұрын
Si ajabu, usipomjua Yesu mwokozi, kila litakalokuja kwako litakuwa ni mungu. Kwa kweli Mungu atusaidie sana nyakati hizi za mwisho, tunapokaribia unyakuo.
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Amen
@threebrothers..2 жыл бұрын
Nakwambia huu ni uchawi ila watu hawajui,sababu hawasomi bibilia,,,halafu nabii mgani anatumiwa na mungu ako katoliki,,maajabu haya watu hata Hawatii sabatu ya mungu,,,uchawi tu
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
@@threebrothers.. njoo usali, kajenga nyumba ya Ibada kzfaq.info/get/bejne/g7WEiN17rMynqok.html
@honestlyadela5070 Жыл бұрын
@@threebrothers.. kwa hiyo hadi awe kwenye dini ya majini wesilam duh 🙄 kwendra
@bonifasemmanuel47002 жыл бұрын
Neno,la YESU linasema wAtu wangu wanaangamia kWa kukosa maalifa,shetani mwenyewe hujifanya , kama Malaika wA Nuru,si ajabu na watumishi wake , kufanya hivo,huduma ya Yesu Au kauli mbiu ya Yesu ulikuwa tubuni na kuiamini Injili,kwA maana ufalume wa Mungu umekalibia,
@revocatusrubaba44162 жыл бұрын
Kama unaona wanaangamia wewe si umeshalibaini hilo nenda ukakemee hilo pepo usikae kulalama tu nenda
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Kikubwa deal na imani yako
@victoriadaizy52772 жыл бұрын
Wacha watu wahudumiwe na Eunice tafadhali ..
@emmanuelshayo47032 жыл бұрын
@@revocatusrubaba4416 hawa wenye roho za chuki na imani za watu wengine wanaweza kukumea pepo kweli? Tayari ile amri ya upendo kwake ni shida sasa atawezaje kumuombea mtu mwingine
@revocatusrubaba44162 жыл бұрын
@@victoriadaizy5277 walisha jikatia hati miliki ya miujiza
@kalundewilliam9927 Жыл бұрын
Imani yako ndo uponaji wako Mungu hadhihakiwi. Pole usie Amini.
@tekenya922 жыл бұрын
Natamani kufika hapo siku moja kupata huduma ya mtoto eunice 😍😍😍
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Unakaribishwa Teddy
@cyprianmsunuka8837 Жыл бұрын
Mtoto nimtu Wa mungu, namungu aendelee kumuongezea nguvu ya uponyaji na aishi miaka mingi, Mimi msunuka toka arusha.
@janetgeorge17032 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kumbariki na tunamuombea kwa Mama bikira Maria Msaada wa wakristo azidi kumlinda,Amina
@muhondomusabuli15902 жыл бұрын
Asanti sana na mungu wambinguni a endelee kuku bariki mtoto wetu, mimi ni muhondo musabuli kutoka uganda 🇺🇬 koboko.
@williammatondo2 жыл бұрын
Lazma yatimie yaliyo andikwa jaman jamani alikuepo babu waa lakin mhhhh
@mercyelahuya95222 жыл бұрын
Hakuna uponyaji WA maji. Yesu ndiye jibu
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Imani yako na ikuponye
@revocatusrubaba44162 жыл бұрын
Yesu huyohuyo ndio anaponya anatoa tu idhini kwani huyo mchungaji wako anaye waombea mamlaka hiyo kaitoa wapi?
@annamalingi74152 жыл бұрын
@@revocatusrubaba4416 sasa wewe watakakusema kaitoa kwa maji?
@revocatusrubaba44162 жыл бұрын
@@annamalingi7415 soma tena coment yangu utapata jibu lako
@emmanuelzani28892 жыл бұрын
Yesu anawapenda sana, mwaminini yeye ili mpone. Acheni kudanganywa na utendaji wa shetani kupitia kwa hiyo Mtoto, hiyo ni kazi ya shetani kwa asilimia zote.
@josephineadut51222 жыл бұрын
God bless her with her family in Jesus name 🙏♥️♥️💝💝💝🇺🇸 pray for me my sister of God
@edithgala1501 Жыл бұрын
May God continue to protect this wonderful girl
@gabrielogondi39872 жыл бұрын
BMG, tafadhali mnielekeze vile nitapata hii maji, Niko Nairobi Kenya.
@emillyzeeh11732 жыл бұрын
Mungu akubariki wewe mutoto mudogo , yunis uzidi kusaidiea watu AMEN 🙏🙏🙏🙏🙏❤🤴🇪🇺🇩🇪
@emillyzeeh11732 жыл бұрын
Mimi ni Emily kutoka germany 🇪🇺🇩🇪❤🙏🙏🙏🤴
@Miky6112 жыл бұрын
I think the father is spoiling everything...with him he got the opportunity for good life😂
@judithmelvinealuchio89682 жыл бұрын
wacha mungu aitwe mungu much love and more blessings sista Eunice 🙏🙏🙏💕🇰🇪🇪🇺
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Mungu
@janewayua95072 жыл бұрын
Watanzania mtaacha ushirikina lini jameni,that's why your country is not developed
@janewayua95072 жыл бұрын
You need GOD in real sense
@judithmelvinealuchio89682 жыл бұрын
@@janewayua9507 mimi au nani?
@lenghehenriette5252 жыл бұрын
Mungu akubariki nakuzidisha alicho anzisha ndani mwako
@juliemetanoia16502 жыл бұрын
Kutoka Kenya..Leo huu nimefwatilia Sana..Naona Mungu hako na sababu ya kunileta hapa..nikona shida Mingi.. Kweli Mungu ako na nguvu kuniponya..hata kabla nifike naamini. Mungu bariki Dada Yunis.Amen.
@restitutanjau25852 жыл бұрын
Mungu anafanya miujiza kupitia kwa mwanadamu,Asante Mungu kwa wema wako kupitia kwa mtoto(malaika wako )Eunice
@elizawanarumoro68672 жыл бұрын
God is always good. Thankyou mother Mary
@erastotesha34892 жыл бұрын
Amina utuombee na sis
@srregina5809 Жыл бұрын
Sifa za mama bikira maria sizambae kote ulimwenguni halo sister Eunice ninkuomba uandike majina zetu kwa kitabu cha maombi na utukumbuke katika sala sister John mary kutoka southern Africa,sr m Regina ,sr Assumption ,sr Josepha ,sr Juanita,srDaisy sr mary Grace ubarikiwe sana
@BMGOnlineTV Жыл бұрын
Amen
@maurineoduah17892 жыл бұрын
Yunis naoba mama yangu ni mgonjwa macho tafathali naomba umwombe apone Niko kenya
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Amen
@philismachuma11952 жыл бұрын
Mungu abariki huyu mtoto azidi kuponya watu
@BelieveMirimi-gs3fv Жыл бұрын
Please may I have latest sermons I'm following this channel everyday although I do not hear the language
@BMGOnlineTV Жыл бұрын
But you understand the content?
@joxeekcvalencia1737 Жыл бұрын
May God bless that girl in Jesus name
@BMGOnlineTV Жыл бұрын
Amen
@mirrykirungi2359 Жыл бұрын
Kutoka dar unaendaje Mana alhamic Mungu akipenda nitakwenda
@furahasanga25342 жыл бұрын
Nyakati za mwisho tutaona Mengi, changamoto zitauwa Imani sahihi za watu wengi Na kuwaingiza kwenye imani Za Miungu ya watu, HAKUNA LISILO WEZEKANA KWA MUNGU UKIAMINI.
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Mungu ni mambo yote
@petergadiye64862 жыл бұрын
Huduma hiyo haitokani na Mungu
@nantaembanusurupia56742 жыл бұрын
Twambie inatoka api?
@roviykamage54232 жыл бұрын
Mungu mkubwa mtoto mdogo kabisa kabisaa
@miriamwanyonyi4622 жыл бұрын
Mungu apewe sifa
@adolfinaandrea52342 жыл бұрын
Nakushukuru sana
@alicekumunga94772 жыл бұрын
Asante Kwa Mungu
@threebrothers..2 жыл бұрын
Huu ni uchawi na biashara ya mtu,
@pauomusugu46212 жыл бұрын
May God bless her
@naomymose18662 жыл бұрын
Bukama, Kenya kisii I will Google map from Bukama to kisii Kenya nione
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Bukama Village, in Rorya District, Mara Region/ Provinence- Tanzania.
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo kabisa kamwe ni shirk usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni shirk thambi isio samehewa milele usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni shirk NA ni kufukuru ndio kuingia motoni milele
@christinemugeni4142 жыл бұрын
Water is just point of contact what about maria she's mentioned more than Jesus why my opinion though
@judithmelvinealuchio89682 жыл бұрын
jee ukitokea Kenya na njia ya Namanga unakujaje nikirudi kenya maajaliwa naitaji kuja huko 🇪🇺
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Ulizia watakuelekeza, lakini hapo unaweza kwenda hadi Mwanza kisha Tarime ama Arusha hadi Tarime. Kikubwa ulizia ujue njia gani rahisi kati ya Namanga ama Isibani.
@amishambar34182 жыл бұрын
Utatoka namanga hadi Nairobi to Sirari from Sirari to tarime from tarime to bukama
@judithmelvinealuchio89682 жыл бұрын
@@BMGOnlineTV thanks much
@judithmelvinealuchio89682 жыл бұрын
@@amishambar3418 thanks much dear
@jacklineakoth10162 жыл бұрын
@@amishambar3418 mambo unaka mwenyeji wa hapo, najua randa senta, ni umbali gani kutoka randa tafadhali niambie
@annaawinoolalaodero1672 Жыл бұрын
GOD is good all the times Amen Amen
@BMGOnlineTV Жыл бұрын
Amen
@tirahkilindo23342 жыл бұрын
Pray for me my sister and my family's
@alphonsinesingirankabo62742 жыл бұрын
Very beautiful
@sharonakinyi34692 жыл бұрын
Nisadie na namba ya mamake hama ya babake pliz Niko Kenya
@WintouchLimitedАй бұрын
Pia mm niko Kenya
@WintouchLimitedАй бұрын
Niko Kenya naeza fika aje
@shabansalee49242 жыл бұрын
Najua mtanipinga hila dunia imeisha jamani jamani mtiani sana asa ata babu wa loliondo alikuja ivo ivo nyinyi muogopeni yesu nyinyi jamani mwenzenu zumaridi uyo ananyea debe embu mperekeni shule uyo mtoto acheni maigizo jamani tafazalini uongo unamwisho wake nyie aya paulo mwenyewe alikataa asihitwe mtume jamani wakolinto 15:9 kisha soma yeremia 17:5 jamani kisha someni zabuli 9:10 embu tumuulize mungu munguuu kuna watu wanamfanya mwanadamu mwenzao ndio uzima wao yuda 1:4
@revocatusrubaba44162 жыл бұрын
Yani na wewe unatoa hoja😆😆 pambana kwanza na upofu ulio nao umfuate Yesu ndio uje usemee haya
Hali ngum kwaiyo watu wameona Bora wawapange watoto wao
@harountaslima29492 жыл бұрын
Upo sahihi kabsaa
@christinemugeni4142 жыл бұрын
@@harountaslima2949 Amen
@juliemetanoia16502 жыл бұрын
God Bless Yunis Amen.
@YouchuangMobilGuy2 жыл бұрын
Huyu mtoto hajajiita nabii wala mtume, huyu mtoto hajajiita mungu kama alivyofanya zumaridi. Bado anamtii mungu na yesu kristo, na anasema kabisa pasi na imani ya mungu huwezi pona. Maji nayo yanabarikiwa tu wala sio habari za upako. Ila kila mtu ananukuu mstari mmoja wa biblia kama kweli anajua na kufuata kumbe wapi! Mungu aendelee kumpigania km sio kwa uwezo wa mungu punde atapoteza umaarufu na kama kwauwezo mungu ataendelea kutamalaki.
@nameno86082 жыл бұрын
Akianza shule itakuwaje? atachanganyika na watoto wengine
@kenkirambi96772 жыл бұрын
pls naomba kufka uko nko Kenya n pesa ngap ya Kenya kufika uko
@emilywachaya27092 жыл бұрын
We just need to open our eyes, and see
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Do it
@domnia69802 жыл бұрын
Bgm tembea kisumu wew ndugu yangu
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Shukurani sana, tuwasiliane
@alphonsinesingirankabo62742 жыл бұрын
Mungu abalinde vema dads
@zipporahmosinya72802 жыл бұрын
Mungu amujaze roo mutakativu na nguvu avanye kasi yamungu
@abubakarsaidu5266 Жыл бұрын
Please you people should translate so that the world will understand
@BMGOnlineTV Жыл бұрын
Jifunze kiswahili
@eliaichraymond12152 жыл бұрын
Kikombe Cha Babu kimeanza Tena? Watu wangu wanapotea kwakukosa maarifa!!! So sad kwakweli!!!
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Shika imani yako, wengine waachie yao
@revocatusrubaba44162 жыл бұрын
Wewe si umesha baini hilo nenda ukawaelimishe vinginevyo huo ni unafiki
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
@@revocatusrubaba4416 acha kila mtu ashike imani yake, usiumie!
@eliaichraymond12152 жыл бұрын
@@BMGOnlineTV mbona unahangaika hivyo na kujibu comment yangu? Wewe endelea na biashara Yako ya online TV but kwa mtazamo wangu hicho ni another form ya kikombe Cha Babu! Point blank! Period!!!
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
@@eliaichraymond1215 Tulia katika imani yako ikiwa wewe hauhangaiki, usiwabeze unaowaona hapo, sisi jukumu letu ni kuhudumia watu wote
@beatricekaresh94932 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu, naje inawezekana kupata no ya mawasiliano?
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Wanaohitaji mawasiliano ya mtoto Yunis kzfaq.info/get/bejne/p9Nzost9sd7Qf3U.html namba iko kwenye hii video.
@joycekanema8702 жыл бұрын
May God continue to bless you in your healing ministry Baby Yunis 🙏🙏🙏
@benitamusembi66852 жыл бұрын
Natokea Kenya nikijahuko itanilazimu kumbemba mtungi natokambali ama wakowanauza njelekan 🙏
@naomymose18662 жыл бұрын
Ukitoke Kenya unafuata njia gani, or which is the nearby town where to reach her
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Isibania-Sirari Border
@threebrothers..2 жыл бұрын
Masanamu tu ya Maria,Maria ni maiti ata someni historia muone
@hushaurikuhusujamiifollow17522 жыл бұрын
Ukitokea Burundi unapitia wapi?
@mujyawimanawinfred36892 жыл бұрын
Mother mary is areal Mother, keep on healing ur people ma'am.but am requesting for the phone no in english
@suzypaul45592 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana 🙏 mtoto Yunis
@nasrasaid66722 жыл бұрын
Nj darisalamu ama ni wapi
@wadimkisi18732 жыл бұрын
Yunisi
@macozsheshe50932 жыл бұрын
Hawa ni wajaluo wa wapi
@WintouchLimitedАй бұрын
Naweza fika aje hapo niko Kenya
@BMGOnlineTVАй бұрын
Vukia Isibania-Sirari ukifika Tarime stendi, ulizia magari ya kwenda Bukama kwao na Yunis
@penninahthegrace30362 жыл бұрын
Sasa ni bikira Maria ana ponya watu ama nini? Nashindwa kuelewa!
@domnia69802 жыл бұрын
Tanzania maajabu kweli mara babu wa loliondo.
@LydiaJoseph-q4wАй бұрын
Naomba namba
@BMGOnlineTVАй бұрын
BMG +255757432694
@beccaaboth72902 жыл бұрын
Please numbers for call to come over they ,am in Uganda
@julietcharo59332 жыл бұрын
🙄🙄🙄🙄🙄🙄
@threebrothers..2 жыл бұрын
Upuzi Tu,
@demicratia40712 жыл бұрын
Usimnnunulie vitu vya kula usije nunua vitu vya kumdhuru pse
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Hatununui vitu vilivyo wazi, bali vitu vilivyo kwenye package, pia ukienda na nia ya kumdhuru utaumbuka mwenyewe!
@lilianandungulu23602 жыл бұрын
Hahaaa
@raphaelnkwabi96762 жыл бұрын
Kwa wale tunao amini hii ni shetani na kukosa maarifa. Naomba kuuliza kwa mfano akinitibu nikaangamia kwa kukosa maarifa. Madhara yake ni nini ? Naenda jehanam au napona kidogo ugonjwa unarudi tena ? Naomba msaada
@emilywachaya27092 жыл бұрын
Stop searching miracles plz, search God who can do everything you want
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Who searching miracles? You?
@emilywachaya27092 жыл бұрын
Is any there when she /he coming from home saying that I'm going to hear want God say? Don't you see every one is l'm going to get Baraka, l'm going to get healed you wake up
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
@@emilywachaya2709 OK
@gereisishayo65112 жыл бұрын
Yan wanadam hatun akili ht ya kuazima huu ni ushetan tuache ujinga
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Imani yako si ya wengine, ya wengine pia si yako. Mvumiliane tu.
@ramazecha88622 жыл бұрын
Hpna ukweli ni mtoto wa pastor hyo yutangaza biasra ya hyo pastor
@domnia69802 жыл бұрын
Huko hamna hata lami.maendeleo yanakuja hivi karibuni.
Wanaohitaji mawasiliano ya mtoto Yunis kzfaq.info/get/bejne/p9Nzost9sd7Qf3U.html namba iko kwenye hii video.
@wettykznznhuioploko15712 жыл бұрын
Kwakweli ningekuwa tz ningekuja uko
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Karibu
@elvieprieto9532 жыл бұрын
Translate in english
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Learn Swahili
@mafuja19912 жыл бұрын
Huyo alitokewa na ibirisi ndo alishamwingia ,ili akamate wote
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Achana nae
@dainaatupere72202 жыл бұрын
Kutoka dar tunafikaje
@adrianoakyoo74312 жыл бұрын
Wapenda miujiza kuliko kutubu dhambi na kuziacha mh Jambo usilolijua no Kama usiku wa giza poleni wapenda miujiza nitakufa na maradh yangu lakini kwa huyo Mtoto mnapoteA kiloho na kimwili
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
@@adrianoakyoo7431 Barikiwa pia kama wao wanavyobarikiwanna Imani yao
@christinenthambi40282 жыл бұрын
Loliondo sasa ni yunis ??
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
karibu
@threebrothers..2 жыл бұрын
Fungukeni macho wakatoliki,kuomba rosari ni uchawi pia,hakuna andiko lolote katika bibilia inatuamrisha kusali rosari na pia hakuna andiko lasema Maria alifufuka na nimwombezi wetu,bibilia umesema yesu pekee ndie mwombezi wetu,hizi ni nyakati za mwisho,kutatokea manabii WA uwongo duniani watakaokua na uwezo WA kufanya miujiza na wengi watadhani ni mungu na watapotea,huu ndio ukweli mkubali ama mkae
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Ubarikiwe, Imani yako na Ikuponye
@telesiasaga56212 жыл бұрын
Kweli
@neemataris32732 жыл бұрын
Ya Yunus siyajui lakini ya Maria acha tu usiseme maana kuna miujiza ila ukiwa na Imani tu
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
@@neemataris3273 Amen
@issrahayattv13562 жыл бұрын
Am a Muslim minaona bora kuliko kwenda kw waganngaa wale wenye kukupa mashariti y kutoa kafara kikubwa anatumia maji n watu wnaponya bila ata kulipa hela , MwenyeziMungu ndio mjuzii zaidi I have no problem with that
@jeremiekahindo27332 жыл бұрын
Number y’a simu za baba ao y’a maman y’a mtoto kwa wenye kutaka kuongeya nao
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Wanaohitaji mawasiliano ya mtoto Yunis kzfaq.info/get/bejne/p9Nzost9sd7Qf3U.html namba iko kwenye hii video.
@dodwiedwin39442 жыл бұрын
Mkristu Kamili umeongea ukweli mtupu. Huyo mtoto ni mganga kama waganga wengine wa kienyeji. Hapo hakuna Cha Mungu Wala Nini, ni ibilisi tu ndo yupo kazini.
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Kila mtu atachagua pa kwenda kulingana na Imani yake.
@demicratia40712 жыл бұрын
Inabidi mfanye haraka MUENDE JAMANI
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Sawa
@afrieagle83142 жыл бұрын
Wajaruo tumeanza utapel sasa🤣🤣
@bellahappy21192 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@jacklineakoth10162 жыл бұрын
Hapo iko karibu na randa senta ama? iko mbele, iyo eneo nikama nishawai ona.
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Sahihi
@jacklineakoth10162 жыл бұрын
@@BMGOnlineTV sawa lkn mimi ni mkenya sahihi ndo kusema nini?
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
@@jacklineakoth1016 We are all Africans, any way, Sahihi means True!
@christellejean8082 жыл бұрын
Oh!!mon Dieu le diable est intelligent 🙆♂️🙆♂️🙆♂️
@adolfinaandrea52342 жыл бұрын
Mama Bikira Maria wewe ni Mtakatifu wa Mungu .tunakuomba uwaponye walio wagonjwa wa kiroho na kimwili na uwaombee kwa mwanao Yesu kupitia wewe mwenye nguvu na ukimtumia mtoto wako Mpendwa aliyepata neema kutoka kwa Mama yako Bikira Maria.Eunisi umukinge na maadui wasioamini.ponya Tanzania yetu na dunia mzima.Amina
@shabansalee49242 жыл бұрын
Uyu na yesu nani bola
@judithmelvinealuchio89682 жыл бұрын
tunaelewa yesu ni bora ila huyo yesu anatembea kwa njia tofauti kama wewe unaona I basi muhimu watu wanaimani na wanapona 🇪🇺
@revocatusrubaba44162 жыл бұрын
Kwani wewe unajua nani bora?
@shabansalee49242 жыл бұрын
@@revocatusrubaba4416 ww unae amini ujinga kama umjui mungu wako
@neemamhume3652 жыл бұрын
duuh😭
@esterdesmon15212 жыл бұрын
Kwani yesu anakuja kuponya kwanini a ipi ndoo umjue niyesu maana sielewi somo
@wadimkisi18732 жыл бұрын
Yunisi
@christellejean8082 жыл бұрын
Oh!!mon Dieu le diable est intelligent 🙆♂️🙆♂️🙆♂️