Wow!!! Good progress. Mungu aendelee kukulinda, Mtoto Eunice. Proud of you pamoja na huduma yako. God bless you and family too.
@BMGOnlineTV5 ай бұрын
Amen
@maniratungageorge67975 ай бұрын
Nimefurahia sana namasomo ya Yunis Mungu azidi kubariki mutoto wetu Yunis ❤🎉
@BMGOnlineTV5 ай бұрын
Amen
@graceodong90725 ай бұрын
Well done Sister Eunice, I wish you all the best of luck. Keep it up. Very proud of you.❤
@BMGOnlineTV5 ай бұрын
Amen
@user-oz8hv1il9f4 ай бұрын
Mungu aendelee kumbariki eunice ili aongeze maarifa atakuwa na upeo mkubwa sana
@BMGOnlineTV4 ай бұрын
Amina
@michaelopela.79022 ай бұрын
God can work differently.
@BMGOnlineTV2 ай бұрын
Amen
@linnextraininginstitute29722 ай бұрын
Forsure on one can understand GODS works and He can use anyone to pass message.God bless Yunis
@BMGOnlineTV2 ай бұрын
Karibu sana
@gladysnyangweso82305 ай бұрын
Ni jambo la busara kumpa Yunis formal education.
@BMGOnlineTV5 ай бұрын
Hakika
@LavianLubida20 күн бұрын
Mungu awe nanyi
@BMGOnlineTV20 күн бұрын
Amen
@margaretmbithe77902 ай бұрын
Kwani my elder sister is sick
@BMGOnlineTV2 ай бұрын
Pole kwa kuuguza
@alicechemai61004 ай бұрын
Tafadhali sana wenye mko na namba ya Baba unise mnisaidie zile niliona haziendi through
@BMGOnlineTV4 ай бұрын
Mama Yunis +255693268319
@csato94155 ай бұрын
@BMG ONLINE TV mimi naona wazazi wa Yunis ( Eunice ) waanze kumfundisha namna ya kuitia anapoulizwa swali badala ya kuitikia "m m m h" aitikie "NDIO" mahali pa ndio. Na pia kuhusu hapo kwenye jina la shule kama walimaasha kuandika kwa kiingereza iwe "SAINT" badala ya SANTA.
@BMGOnlineTV5 ай бұрын
Sawa ushauri mzuri 🙏
@user-gb8yl7fe6p5 ай бұрын
God protect Sr. Eunice and help many needy people Amen
@BMGOnlineTV5 ай бұрын
Amen
@ImmaKapachi2 ай бұрын
Mungu aendelee kumpa nguvu
@BMGOnlineTV2 ай бұрын
Amen
@marymuthoni15515 ай бұрын
Asanteni sana, good job, Eunice
@BMGOnlineTV5 ай бұрын
Amen
@user-io9fq4rn7m3 ай бұрын
Naitwa benard luwilo mungu azidi kumlinda mtoto huyu
@BMGOnlineTV3 ай бұрын
Amen
@valenakomba76864 ай бұрын
Huyo mzee mbona abachanganya mambo sanaa. Maana padre amesema mtoto alinwomba padre yeye mwenyewe.
@BMGOnlineTV4 ай бұрын
Hahaaaaa kumbe ali?
@inmamutola28115 ай бұрын
Ooh jamani hela zangu 15000 ksh nilituma last year tarehe 8;8
@BMGOnlineTV5 ай бұрын
Za nini mtu wa Mungu?
@elvinmakuba61725 ай бұрын
Fika nyumbani
@user-wt8qu5mx3t5 ай бұрын
We need translation
@BMGOnlineTV5 ай бұрын
Ok
@adoniemanuel9085 ай бұрын
tafteni shule ambazo zitamjenga huyoo mtoto kimasomo ya dunia nayakumjua munguu zaidi huyo anakitu chatofauti kama watu wanakipaji cha mziki wanasapotiwa hata huyo aliebeba kipawa cha munguu aspotiwe asome mazingira nashule ambazo zinazo weza kumsaidi
@BMGOnlineTV5 ай бұрын
Amen. Hiyo ni Shule ya Kanisa, nayo yaweza kumsaidia pia
@user-hk8jl7nw8k5 ай бұрын
Angebaki na vazi lake la kitambaa kichwani hata kama yupo shuleni
@BMGOnlineTV5 ай бұрын
Kabisa
@user-ke9bg1dm9c3 ай бұрын
Eti jamani hicho kipawa Ni kubwa sana
@user-ke9bg1dm9c3 ай бұрын
Safi sana ❤❤❤
@margaretmbithe77902 ай бұрын
Naeza mpataje
@BMGOnlineTV2 ай бұрын
Vyema ukafika kwao, Kijiji cha Bukama Rorya
@user-ej7ob3xd7h5 ай бұрын
Abaki na vazi lake la kitambaa kichwani
@BMGOnlineTV5 ай бұрын
Hapo alikuwa shuleni, kavaa kwa kufanana na wenzake, tutakuulizia hilo kama shuleni kwao wanaruhusu
@hopegwimile535 ай бұрын
Sio vizuri kumfatilia huyo mtoto bado mdogo.Mwacheni asome kama wenzake kama uwezo aliopewa tutauona naturally. Fatilieni matatizo mengi ya Wananchi.
@BMGOnlineTV5 ай бұрын
Wewe hupendi, kuna wanaopenda.
@user-ke9bg1dm9c3 ай бұрын
Mmhhh hapo kinakukela Nini?
@deomajiji17895 ай бұрын
Mtoto Yunis ameanza shule ya awali. Anaendelea vizuri sana. Wow. Wototo wa Mzee Julius wire wameonsha kiwango cha kuelewa darasani. Yunis naye.. .huenda ataoneshs maenfeleo ya kutuka! Ameunganika na Roho Mtakatifu wa Bikira Maria.... Ninakushukuru Sana, na ubarikiwe!!!
@BMGOnlineTV5 ай бұрын
Amen
@margaretmbithe77902 ай бұрын
Naeza mpataje huyo mtoto
@BMGOnlineTV2 ай бұрын
Fika nyumbani kwao
@sundikisege5553 ай бұрын
Namba ya simu
@BMGOnlineTV3 ай бұрын
+255693268319
@user-uh2ri2lt8s5 ай бұрын
Bwana Asifiwe. Yunis amekomaa. Na ana akili kubwa.
@BMGOnlineTV5 ай бұрын
Amen
@albinaurio98394 ай бұрын
Baba yunus mbona nampigia simu tena hapokeu kaniambia nitume pesa ili antitumor maji naona kimya a ameanza gani
@BMGOnlineTV4 ай бұрын
Mara zote tunawashauri kufika nyumbani kuonana na mtoto moja kwa moja!
@user-tg4nx7kd1f4 ай бұрын
Baba unice anapenda Hela sana,kwanini asije akawa mkweli mtu akishamtumia Hela ya Maji anapigwa kimia sio vizuri
@renatusgasembe33383 ай бұрын
ivi yunusi amewahi chapwa kweli? ata na mzazi
@BMGOnlineTV3 ай бұрын
Unapenda achapwe bila hatia?
@josiacharles27785 ай бұрын
Uyu mtoto niliskia mamaake amemtorosha kumbe alirudishwa?
@BMGOnlineTV5 ай бұрын
Walirudi
@JanetiJastini-vu1jd5 ай бұрын
Hata Mimi ninafurahi Yunis kuwa shuleni
@BMGOnlineTV5 ай бұрын
Amen
@antoinetteshivachi95625 ай бұрын
Baba YUMICE maji yangu utanitumia lini nilikutumia pesa zangu haujashugulika whatsApp haujibu
@GoodDeeds-Jesus5 ай бұрын
Rudi kwa Bwana Yesu.
@BMGOnlineTV5 ай бұрын
Amen
@BabaLea-ez7pp4 ай бұрын
Yesu ndiye maji ya uzima
@antoinetteshivachi95624 ай бұрын
Non of your business
@user-tg4nx7kd1f4 ай бұрын
Huyu baba unice anapenda pesa
@bakarimrao36555 ай бұрын
Maadamu mbona kama anafanana na wasira atakuwa mwanae Nini?
@BMGOnlineTV5 ай бұрын
Madamu yupi?
@elizabethmwalo84245 ай бұрын
Na mbona hamumvalishi vizuri kama vile anawapea pesa sana.