Plz musifike kwa wagonjwa wenyewe Wanalia wanaumwa ila tuwaombee Mungu awape afya wapone daima
@shakila3982Күн бұрын
I can't support this, hospital kuna wagonjwa wenye hawaitaji kelele, mbona hivyo
@simonmwangi8580Күн бұрын
Wat wrong with hospital our dea bro & sister please avoid things that does not have the benefits kindly peace peace I love you all
@MasoudSultan-ks6kcКүн бұрын
KUMBE MLIKOSA KUELEWA KUA HOSPITAL HAIRUHUSIWI WAGONJWA KUPIGIWA KELELE PLEASE MY FAMILY HAPO NI HOSPITAL
@AshaYusuf-hp5ztКүн бұрын
Gen z wako watu wenye masomo bali bali na ujuzi bali bali sasa waunde sumu yenye mwasho bali bali na isafirishwe maeneyo bali bali kuwamagiya wale snerper wa serekali bila iyo wataendeleya kutumalizaa mungu bariki gen z
@IbrahimKariuki-e9cКүн бұрын
Tuesday ndoo best gen z,,,shikilia apo apo
@ArsmynNyonyesaКүн бұрын
Ni wakati wa kuitsha neema wakristo tusilale
@ChristineMusansКүн бұрын
The real cause of this unemployment opportunities to young generation the government should focus on the young generation. Peace to Kenya my cousin is a Priest working in kenya
@ShjamalAdanКүн бұрын
Asanteni.sana.watoto.wetu
@ShjamalAdanКүн бұрын
Mbarikiwe.sana
@hannahlukianoff7479Күн бұрын
Keep up
@annetvuseletse4509Күн бұрын
Hadi hospitalini yawa not this hki wachana na hosy wagonjwa hawataki kelele mnataka wafe kuweni na huruma sometimes
@GiftPhiri-tt7nnКүн бұрын
Go to State House not hospital please
@ArsmynNyonyesaКүн бұрын
Jehovah ulitiuliza bahari wakati wa upepo tunaomba ukatulizr mawimbi yanayo vuma ke.nya
@danielathiambo5714Күн бұрын
Please brothers avoid burning things that don't benefits our demos please plases like hospitals.please ibeg. Coz we are being watched all over africa next week four africa countries starts demos why coz we have taken the right path AMEN.
@anaabsaid3544Күн бұрын
Kelele hospitali ndiyo knowledge ya vijano wetu AJABU
@royalfaith1978Күн бұрын
Hospital hata wakati ya vita inaheshimiwa. Hapo Uhuru kawawongoza vibaya. Mutashindwa nyinyi kama wa juret jaune wa ufaransa. Hamuna hadabu kungulu nyinyi
@susantamba147Күн бұрын
Did you see flames? Maybe my bad eyes can't see far
@augustinematheka8543Күн бұрын
Hii nayo hapana,, endeni state house
@mugophilip4480Күн бұрын
Hapa aa
@HesbornMonday-pu9mfКүн бұрын
Aai ss hapo si sw
@nelliewwe6712Күн бұрын
Nonsense!
@edwinakunavaКүн бұрын
😂😂😂Hongera Genz
@SarahNekesa-ym7pfКүн бұрын
Hapa sasa wameanza kuwa wajinga
@susantamba147Күн бұрын
Wameenda ku donate blood kwa wenzao walioumia
@susankaburu4527Күн бұрын
Nilikua huko kupea na damu bila kuongea ,
@komberose9199Күн бұрын
Huu sasa ni ujinga wa mwisho hapa kuna wa akili timamu kweli, ? Hebu endeni mnasumbua wagonjwa