No video

JESHI LA POLISI LAHUSISHWA NA UTEKAJI, NAIBU KATIBU MKUU BARA AMTAKA IGP KUJIBU HOJA SIO KUKANUSHA

  Рет қаралды 11,532

Chadema Media TV

Chadema Media TV

Күн бұрын

Пікірлер: 27
@user-pw8ci6rg4y
@user-pw8ci6rg4y Ай бұрын
Hapa suluhu ni kuwapeleka mahakaman ingekua inawezekana nikwenda lcc washtakiwe huko
@hemedsaidi9388
@hemedsaidi9388 Ай бұрын
Hatua nzuri
@michaelmwambije3603
@michaelmwambije3603 Ай бұрын
Hakuna ambae hajui kuwa jeshi lapolic niwatekaji ten nimajambaz
@Noelkitoi
@Noelkitoi Ай бұрын
Samia ameonga watu wakuiba kura chadema tuko tayari kwa shari
@jaanjaan111
@jaanjaan111 Ай бұрын
Shida sio polisi shida iko kwenu mapimbi mawaziri wote family zao ziko mitaani mali zoa zinajulikana tumalizane nao siku kumi zinatosha kuleta heshima kwa kila mtu
@farhiyaibrahim2053
@farhiyaibrahim2053 Ай бұрын
Kwenu au kwetu?
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 Ай бұрын
Ukileta matukio aya alafu unaona Peter Msigwa anatoa menooo njeee kama chiliku
@user-qz2cs5wm5u
@user-qz2cs5wm5u Ай бұрын
Awajamaa wanafanyavibaya sana mungu atakuja kulipa
@user-nf1tg3kt3y
@user-nf1tg3kt3y Ай бұрын
Jeshi la polisi linahusika asilimia mia moja kwa sababu watu wanajua kila kitu unajua Dunia ya sasa hivi huwezi kuficha chochote kile watu wanauelewa mkubwa sana kuliko hata IGP
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 Ай бұрын
Jeshi la Polisi Tz ni Majambazi na Watekaji wote
@user-zu8ou2oe4c
@user-zu8ou2oe4c Ай бұрын
Kwa matendo haya hata hiyo katiba mpya ikipatkana nina was was haitafwata mana hata hzo sheria ambazo zipo hazifwatwi waz waz na hakuna kinachoendelea pole mzee wangu Kigaira
@user-qz2cs5wm5u
@user-qz2cs5wm5u Ай бұрын
Akuna utawala washelia wanafanyamambo kiuonevu iposiku wataondoka kama alivondoka mkoloni
@josephmkinga9509
@josephmkinga9509 Ай бұрын
icc ndowatenda haki ila hii mahakama yetu rostm mwazz ashasema hio ni ya maagizo2 hivo tz, hamna haki
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 Ай бұрын
Hapa kuna fumbo! Wananchi tukisema juu ya mzunguko woote kisha anatokea kaimu kusema tuko naye,kwamba polisi ni waongo,bado ntatekwa, kufichwa,kuteswa,baada ya muda kupita patatokea tena utekwaji kisa nimesema polisi waongo?!
@mtotowamanka
@mtotowamanka Ай бұрын
Police TANZANIA 🇹🇿
@frankSamwel-rg3lz
@frankSamwel-rg3lz Ай бұрын
No rule of law no one is safe
@user-pw8ci6rg4y
@user-pw8ci6rg4y Ай бұрын
Chadema tatzo mnaishia kulalamika tu, ifike mahala chukueni hatua ili wanachama wenu wawe na Imani na chadema
@samuelmakara1475
@samuelmakara1475 Ай бұрын
Ungana nao au wewe sio Tanganyika
@raymondnlelwa427
@raymondnlelwa427 Ай бұрын
Unataka tuanze kuwachinja tunaoishi nao mitaani sasa? Hii haifai; tunawaachia wenye mamlaka waamue na Mungu wetu aingilie kati.
@dionismutayoba3542
@dionismutayoba3542 Ай бұрын
Shauri wafanye nn?
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 Ай бұрын
Suala hili ni la wananchi wote watanzania ingekua wananchi wanauwezo wangemkataa Samia tangia sakata la wamasai kutoka ngorongoro, bandari kupigwa mnada, sukari kupanda bei ,nape nauye kusema kua kuiba kula kwao ni halali Mungu atawasameee😊😊😊😊
@Jeremiahlukumay
@Jeremiahlukumay Ай бұрын
Jeshi la polisi tz kwasasa limekua hatari zaidi Kwa usalama wa raia tanzania,hususan wapinzani wa serikali.
@user-fu6qv4ug2v
@user-fu6qv4ug2v Ай бұрын
Vyama pinzani vinatuangusha sana avina msimamo
@samuelmakara1475
@samuelmakara1475 Ай бұрын
@@user-fu6qv4ug2v wanaotekwa ni vyama vya upinzani au raia. Wewe unasemaje
@Noelkitoi
@Noelkitoi Ай бұрын
Police ni mbwa wa ccm
@dallasmusic6465
@dallasmusic6465 Ай бұрын
Tunajitawala vbaya Sisi kwa Sisi police wa bongo wakiundiwa tume kuna uovu mwingi Sana
managed to catch #tiktok
00:16
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 46 МЛН
Blue Food VS Red Food Emoji Mukbang
00:33
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 12 МЛН
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 94 МЛН
PM Modi Chases Consensus: India's Russia-Ukraine Tightrope
5:58:51