Unga Kg 1 maziwa 3tbsp sukari 3tbsp chumvu 1/2 tsp iliki 1tsp
Пікірлер: 45
@patriciandinda8582Ай бұрын
Wow the chapati ever🙏🙏
@ShaydaAlly-rm8ft4 ай бұрын
hongera sana dada ang unapka vzur sana
@user-oc4sq3xq5i9 ай бұрын
Nashukuru mungu sasahv nimekuwa mtaalamu wakupik chapati
@cookingwithmimmo Жыл бұрын
Asante kwa mapishi yako, nimeipenda sana
@mercymuhunyo8434 Жыл бұрын
From Tiktok am here❤
@ElicahMugitya-ql7mo Жыл бұрын
Nimependa huwa nakufatilia na kujifunza kama maandazi n.k 😘
@JobNdeke Жыл бұрын
🎉🎉
@user-kd5mr7wu2x11 ай бұрын
Nataka kujiunga na darsa lako naomba muongoz
@SaudaMuhammedyussuf10 ай бұрын
Mimi nataka kuku😊😊😊😊
@zengeummu9575 Жыл бұрын
Maaaashaallah huwa nakufatilia sana my dear na huwa najifunza mengii
@malkiafoods Жыл бұрын
Barikiwa sana love
@user-qn3wp7py8z Жыл бұрын
❤
@kakozietho23038 ай бұрын
❤❤❤❤
@zengeummu957511 ай бұрын
Nataka kujiunga na madarasa yako, Naomba muongozo
@NackNzily28 күн бұрын
Jamn napenda niifnye biashar mtaj kam shingp
@roseberryhamoud6542 Жыл бұрын
Kucha zikiwa ndefu kwenye upishi ni mtihani.
@abdullahalmahrooqi83065 ай бұрын
Assalam Aleikum mambo yamekwenda vizuri kilicho haribu mambo yote ni hizo kucha ndani umejaa uchafu wa kila aina hata ukinawa kwa sabuni hujawa msafi dawa yake uzikate kama za kubandika ndio balaa zaidi uamuzi uko kwako lakini ujue unalisha watu uchafuuuuu!!!!!
@magrethmlewa34222 ай бұрын
Ila watu mmezidi ujuaji kwenye maisha ya watu unakula wewe kwan ebu acheni watu waishi maisha yao uyo ni mtu mzima anajua anachokifanya
@abdullahalmahrooqi83062 ай бұрын
@@magrethmlewa3422 huu ndio ujinga wacha watu wafanye mambo yao kama haya ya mtoto kaingiliwa na baba yake kaka kamuowa dada yake tena anatolewa kwenye mitandao anahojiwa halafu anajibu mtoto mzuri kama huyu nimeona hasara aolewe na mtu baki Subhana Llah nyie wapigieni debe mtayakuta na mtaulizwa hata ikiwa kafiri Mungu ni yuleyule mmoja.
@abdullahalmahrooqi83062 ай бұрын
@@magrethmlewa3422 huyu ni mwanamke ndio ukaingia kati kujibu angelikuwa mwanamme ungetia lako au unataka akupende kwa kumtetea? Wewe hujui kama kuna watu wakienda haja wanapangusia karatasi au jiwe sasa huyo akusukumie chapati itakuwaje utasema unahisi harufu ya hiliki au karafuu?
@fooddiarytz Жыл бұрын
Chapatii ❤
@esterdanford55635 ай бұрын
Wakati wa kukandia unaeka vegetable fat oil kama kimbo au prestige?
@maryjoseph9268 ай бұрын
Sijawahi jaribu haki jumapili ntajaribu
@delightnkya608611 ай бұрын
Nimeweza aisee Kila siku natamani kupika chapati
@TeclaMtweve7 ай бұрын
Dada malkia mejaribu kupika mara ya pili mefata process zile ila zimekuwa ngumu nimefeli wapi sijui
@ElicahMugitya-ql7mo Жыл бұрын
Hello
@nattymnaro5419 ай бұрын
Samli ipi unatumia Malkia?
@user-vm1fq3qq9v Жыл бұрын
Nielekeze vitu ulivyochanganya
@abdullahalmahrooqi83069 ай бұрын
Salam tuandikie vipimo unga wa maziwa vijiko vingapi? sukari chumvi? Maji glass ngapi? Mafuta? Na huyo jogoo hana heshima anapiga kelele au anataka chapati mpe mimi nitalipa.
@malkiafoods9 ай бұрын
Angalia kwenye description box dear
@VickKulekana-si1ib11 ай бұрын
Ndio kila mkunjo unamatokeo yake
@lilianjulius9500 Жыл бұрын
Mbona zangu hazichambuki hivo,nakosea wapiii😢
@AAA-zu1vy11 ай бұрын
Pol sn my 😂😂😂😂 jaribu tena uone😅😅😅😅
@Awatee8 ай бұрын
@@AAA-zu1vy😂😂😂
@neemakusenha2540 Жыл бұрын
Dada unga ni ppf??
@malkiafoods Жыл бұрын
Ndio dear
@faridarashid1198Ай бұрын
kwanza sili chakula cha mtu mwenye kucha ndefu wrong personal hygiene
@esthermollel1461 Жыл бұрын
Kama hupendelei sukari unaweza usiweke.
@malkiafoods Жыл бұрын
Ndio, usiweke dear
@user-kv5eo8ix9k10 ай бұрын
Wanawekaga hamira hawasemi
@user-jm4jw6qb1t10 ай бұрын
Alf kweli nimegundua
@happylema67637 ай бұрын
Hakuna hamira inayowekwa bwana jaribu kila mara utapata matokeo mazuri zinavimba vizuri tuu