Chapati Mchambuko. Taaamu

  Рет қаралды 47,188

Malkia Foods

Malkia Foods

Жыл бұрын

Unga Kg 1
maziwa 3tbsp
sukari 3tbsp
chumvu 1/2 tsp
iliki 1tsp

Пікірлер: 45
@patriciandinda8582
@patriciandinda8582 Ай бұрын
Wow the chapati ever🙏🙏
@ShaydaAlly-rm8ft
@ShaydaAlly-rm8ft 4 ай бұрын
hongera sana dada ang unapka vzur sana
@user-oc4sq3xq5i
@user-oc4sq3xq5i 9 ай бұрын
Nashukuru mungu sasahv nimekuwa mtaalamu wakupik chapati
@cookingwithmimmo
@cookingwithmimmo Жыл бұрын
Asante kwa mapishi yako, nimeipenda sana
@mercymuhunyo8434
@mercymuhunyo8434 Жыл бұрын
From Tiktok am here❤
@ElicahMugitya-ql7mo
@ElicahMugitya-ql7mo Жыл бұрын
Nimependa huwa nakufatilia na kujifunza kama maandazi n.k 😘
@JobNdeke
@JobNdeke Жыл бұрын
🎉🎉
@user-kd5mr7wu2x
@user-kd5mr7wu2x 11 ай бұрын
Nataka kujiunga na darsa lako naomba muongoz
@SaudaMuhammedyussuf
@SaudaMuhammedyussuf 10 ай бұрын
Mimi nataka kuku😊😊😊😊
@zengeummu9575
@zengeummu9575 Жыл бұрын
Maaaashaallah huwa nakufatilia sana my dear na huwa najifunza mengii
@malkiafoods
@malkiafoods Жыл бұрын
Barikiwa sana love
@user-qn3wp7py8z
@user-qn3wp7py8z Жыл бұрын
@kakozietho2303
@kakozietho2303 8 ай бұрын
❤❤❤❤
@zengeummu9575
@zengeummu9575 11 ай бұрын
Nataka kujiunga na madarasa yako, Naomba muongozo
@NackNzily
@NackNzily 28 күн бұрын
Jamn napenda niifnye biashar mtaj kam shingp
@roseberryhamoud6542
@roseberryhamoud6542 Жыл бұрын
Kucha zikiwa ndefu kwenye upishi ni mtihani.
@abdullahalmahrooqi8306
@abdullahalmahrooqi8306 5 ай бұрын
Assalam Aleikum mambo yamekwenda vizuri kilicho haribu mambo yote ni hizo kucha ndani umejaa uchafu wa kila aina hata ukinawa kwa sabuni hujawa msafi dawa yake uzikate kama za kubandika ndio balaa zaidi uamuzi uko kwako lakini ujue unalisha watu uchafuuuuu!!!!!
@magrethmlewa3422
@magrethmlewa3422 2 ай бұрын
Ila watu mmezidi ujuaji kwenye maisha ya watu unakula wewe kwan ebu acheni watu waishi maisha yao uyo ni mtu mzima anajua anachokifanya
@abdullahalmahrooqi8306
@abdullahalmahrooqi8306 2 ай бұрын
@@magrethmlewa3422 huu ndio ujinga wacha watu wafanye mambo yao kama haya ya mtoto kaingiliwa na baba yake kaka kamuowa dada yake tena anatolewa kwenye mitandao anahojiwa halafu anajibu mtoto mzuri kama huyu nimeona hasara aolewe na mtu baki Subhana Llah nyie wapigieni debe mtayakuta na mtaulizwa hata ikiwa kafiri Mungu ni yuleyule mmoja.
@abdullahalmahrooqi8306
@abdullahalmahrooqi8306 2 ай бұрын
@@magrethmlewa3422 huyu ni mwanamke ndio ukaingia kati kujibu angelikuwa mwanamme ungetia lako au unataka akupende kwa kumtetea? Wewe hujui kama kuna watu wakienda haja wanapangusia karatasi au jiwe sasa huyo akusukumie chapati itakuwaje utasema unahisi harufu ya hiliki au karafuu?
@fooddiarytz
@fooddiarytz Жыл бұрын
Chapatii ❤
@esterdanford5563
@esterdanford5563 5 ай бұрын
Wakati wa kukandia unaeka vegetable fat oil kama kimbo au prestige?
@maryjoseph926
@maryjoseph926 8 ай бұрын
Sijawahi jaribu haki jumapili ntajaribu
@delightnkya6086
@delightnkya6086 11 ай бұрын
Nimeweza aisee Kila siku natamani kupika chapati
@TeclaMtweve
@TeclaMtweve 7 ай бұрын
Dada malkia mejaribu kupika mara ya pili mefata process zile ila zimekuwa ngumu nimefeli wapi sijui
@ElicahMugitya-ql7mo
@ElicahMugitya-ql7mo Жыл бұрын
Hello
@nattymnaro541
@nattymnaro541 9 ай бұрын
Samli ipi unatumia Malkia?
@user-vm1fq3qq9v
@user-vm1fq3qq9v Жыл бұрын
Nielekeze vitu ulivyochanganya
@abdullahalmahrooqi8306
@abdullahalmahrooqi8306 9 ай бұрын
Salam tuandikie vipimo unga wa maziwa vijiko vingapi? sukari chumvi? Maji glass ngapi? Mafuta? Na huyo jogoo hana heshima anapiga kelele au anataka chapati mpe mimi nitalipa.
@malkiafoods
@malkiafoods 9 ай бұрын
Angalia kwenye description box dear
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 11 ай бұрын
Ndio kila mkunjo unamatokeo yake
@lilianjulius9500
@lilianjulius9500 Жыл бұрын
Mbona zangu hazichambuki hivo,nakosea wapiii😢
@AAA-zu1vy
@AAA-zu1vy 11 ай бұрын
Pol sn my 😂😂😂😂 jaribu tena uone😅😅😅😅
@Awatee
@Awatee 8 ай бұрын
​@@AAA-zu1vy😂😂😂
@neemakusenha2540
@neemakusenha2540 Жыл бұрын
Dada unga ni ppf??
@malkiafoods
@malkiafoods Жыл бұрын
Ndio dear
@faridarashid1198
@faridarashid1198 Ай бұрын
kwanza sili chakula cha mtu mwenye kucha ndefu wrong personal hygiene
@esthermollel1461
@esthermollel1461 Жыл бұрын
Kama hupendelei sukari unaweza usiweke.
@malkiafoods
@malkiafoods Жыл бұрын
Ndio, usiweke dear
@user-kv5eo8ix9k
@user-kv5eo8ix9k 10 ай бұрын
Wanawekaga hamira hawasemi
@user-jm4jw6qb1t
@user-jm4jw6qb1t 10 ай бұрын
Alf kweli nimegundua
@happylema6763
@happylema6763 7 ай бұрын
Hakuna hamira inayowekwa bwana jaribu kila mara utapata matokeo mazuri zinavimba vizuri tuu
@stellashayo1242
@stellashayo1242 Жыл бұрын
Mafuta gani umechomea chapati zako? @malkia?
@malkiafoods
@malkiafoods Жыл бұрын
Samli
@zainablema17
@zainablema17 Жыл бұрын
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 2,2 МЛН
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 25 МЛН
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!
00:16
Mini Katana
Рет қаралды 29 МЛН
Chapati laini za kuchambuka
8:01
Fooddiary Tz
Рет қаралды 1,9 М.
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 2,2 МЛН