CHEKECHE: Kukutana kwa Rais Kim Jong Un na Putin ni tishio kwa mataifa ya Magharibi?

  Рет қаралды 57,149

Azam TV

Azam TV

9 ай бұрын

Macho na masikio ya mataifa ya Magharibi yalikuwa mjini Vladivostok nchini Urusi ambako mwenyeji Rais Vladimir Putin alimkaribisha mgeni wake kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un.
Sehemu kubwa ya mazungumzo yao hayajawekwa wazi, hali ambayo imeibua mitazamo mbalimbali na ubashiri wa masuala ambayo pengine ni ya msingi yamezungumzwa na wawili hao.
Wasiwasi mkubwa ni hisia za mazungumzo ya siri kwenye suala la silaha ambazo pengine zikatumika kwenye vita vya Ukraine, hilo linawezekana? Na je, kukutana kwa wawili hao ni tishio kwa mataifa ya Magharibi?

Пікірлер: 122
@deusisindwa616
@deusisindwa616 9 ай бұрын
Uko vzr dhabit huwa napenda kukufatilia
@GeorgeUsele-kr6qk
@GeorgeUsele-kr6qk 9 ай бұрын
Urusi piga mbwa hao😂😂😂😂
@OmarOmar-vf9dv
@OmarOmar-vf9dv 9 ай бұрын
Asanten sanaa kikubwa mchambuzi kwa asikimia kubwa amejitahid sanaa kutumia lugha ya taifa pasi na kuweka misamiati mingi yakigeni. Natumai wengi waliofatilia wamepata kuelewa zaid
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 9 ай бұрын
Wachambuzi mpo vizuri mkiwa hivo mtawasaidia Watanzania
@othumanomari1589
@othumanomari1589 9 ай бұрын
Nitafurai sana marecan akipigwa kwani simpendi sana anaizurumu Africa bado anatuuria watuwetu kama Gaddafi sadamu husein😢😢
@user-xg2wb9ye2g
@user-xg2wb9ye2g 9 ай бұрын
Yesu ndio yupo nyuma ya Marekani atashinda ndio baba wa dunia❤
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 9 ай бұрын
marecan ndiyo nini???
@yassinmashautymashaury2734
@yassinmashautymashaury2734 9 ай бұрын
Upo vzury mchambuzi BW. Thabiti🎉🎉🎉🤝
@user-co7jf2zo2m
@user-co7jf2zo2m 9 ай бұрын
Jama yuko vizuri sana
@chidiomari.65
@chidiomari.65 9 ай бұрын
Thabith mrangi anachambua vzr sana Maua yake hayo🎉🤝🙌🇫🇮
@allahisone6386
@allahisone6386 8 ай бұрын
🎉🤝🙌
@Mosessssss
@Mosessssss 9 ай бұрын
Mchambuzi Upo vizuri sn
@kanobayirelambert8400
@kanobayirelambert8400 9 ай бұрын
Pamoja sana
@farusaimon3490
@farusaimon3490 9 ай бұрын
Hongera sana AZAM TV kwa kimtambua huyu Mwamba. Good job!
@GeorgeUsele-kr6qk
@GeorgeUsele-kr6qk 9 ай бұрын
Hii sio TBC hii ni Azam Tv mwanzon walikuwa wanaleta unafiki saiv wameanza kuongea ukweli
@farusaimon3490
@farusaimon3490 9 ай бұрын
@@GeorgeUsele-kr6qk Asante sana kwa masahihisho ndugu! Sikuchunguza vizuri.
@KassimSalumu-fk6yk
@KassimSalumu-fk6yk 9 ай бұрын
@@GeorgeUsele-kr6qk kivipi
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 4 ай бұрын
​@@GeorgeUsele-kr6qk hujui kitu dogo tulia
@masungadutta3823
@masungadutta3823 9 ай бұрын
Huyu jamaa yuko vizuri sana kwenye uchambuzi
@anthonykiula6321
@anthonykiula6321 9 ай бұрын
Sanaa
@user-hz4by6ff5i
@user-hz4by6ff5i 10 күн бұрын
Sana sana
@emmanuelenock6310
@emmanuelenock6310 9 ай бұрын
Thabit mrangi ni zaidi ya mchambuziiiiiiiii.....brilliant 🎉
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 9 ай бұрын
Hakuna tishio maana wao wameongea na kuungana na mataifa zaidi hamsini kupeleke siraha Ukraine na majeshi kwanini mataifa mengine wasimuunge mkono mrusi Marekani ni waoga kuingia vitani direct bali wanatumia njia za mkato kuibua migogoro ili wauze siraha, madawa, n.k kwahiyo wanaona endapo Urusi itakuwa imara sera zao zitakuwa si kitu, maberi hili swala kwao pasua kichwa ila muda utazungumza
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 9 ай бұрын
Ni hatari mlangi salute kwako
@finiasfidelis1475
@finiasfidelis1475 9 ай бұрын
Kongore sana kwa Thabiti Mrangi mchambuzi wa mambo ya kimataifa na mikakati
@shabantelack5716
@shabantelack5716 9 ай бұрын
Thabit unajua sana , nmerudia mara 10 umetoa kama summury flani inayoeleweka
@josephkostans9128
@josephkostans9128 9 ай бұрын
Bigup mchambuzi uko vizuli sana
@evaristbamfu7149
@evaristbamfu7149 9 ай бұрын
Huyu jamaa ni mchambuzi kweli kweli. Lugha simple, no mbwembwe. Big up brother
@allahisone6386
@allahisone6386 8 ай бұрын
🙌🎉🙌
@ibba8082
@ibba8082 9 ай бұрын
Pamoja kutoka FIZI D R Congo🎉
@nyembomajid1262
@nyembomajid1262 2 ай бұрын
dugu umemsikia huyo jamaa anavo poromosha madini ....congo mnawatu kama Hawa ao ni wale wasomi wakujisifia bila kusaidia raia kifikra, kielimu ,kistoria na mambo kazalika
@kenochieng3098
@kenochieng3098 Күн бұрын
Uko vizuri sana
@saidymwajeka8612
@saidymwajeka8612 9 ай бұрын
Exarent very geneus boy🤝🇿🇦
@akhanntahena2544
@akhanntahena2544 9 ай бұрын
Safi Sana Thabit huo ndiyo uchambuzi makini
@jafariHabibu-jc9zf
@jafariHabibu-jc9zf 9 ай бұрын
Tumewapata asanteni
@salehkhamis-ob8ln
@salehkhamis-ob8ln 9 ай бұрын
Nilikua nikiusubiri kwa hamu huu mjadala.
@jkifutu7936
@jkifutu7936 9 ай бұрын
Nawakubali sana
@venancembwaga-uw6kb
@venancembwaga-uw6kb 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂 marekani anaumwa ugonjwa wa geopolitics nimekuelewa
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 9 ай бұрын
Nimekukubali Sana mchambuzi
@fredrickkagwa8853
@fredrickkagwa8853 9 ай бұрын
Najua America inaprint tu pesa na kuzitumia vibaya
@mkongwekarim3036
@mkongwekarim3036 9 ай бұрын
Mlangi 🎉🎉nimaua yako hayo
@maniamba.tz_
@maniamba.tz_ 9 ай бұрын
Mchambuzi uko vizuri
@JeremiahMwalukosya-eh5nf
@JeremiahMwalukosya-eh5nf 9 ай бұрын
Huyu jamaa nimchambuzi mzuri sana alifelri tu kwenye swala bandari alijishushia eshima sana CCM hawabebeki hata Kwa mna yoyote ile
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 5 күн бұрын
Nampenda sn
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION 9 ай бұрын
Bro mlangi juzi tu nilikuwa namuuliza Bro Gangana juu ya hizi chambuzi,,,
@rajabuathumani1586
@rajabuathumani1586 9 ай бұрын
Mrangi iko vzr mno
@eliasndomba7937
@eliasndomba7937 9 ай бұрын
Watu 14 awapendani ...wakielewana ni hatali mno Nimejifunza kitu kikubwa sana
@hamzahuseni2555
@hamzahuseni2555 9 ай бұрын
Mchambuzi huyu anaviwango vya hali yajuu honger
@jkifutu7936
@jkifutu7936 9 ай бұрын
Nakukubali sana mdogo wangu
@donizzo9570
@donizzo9570 3 күн бұрын
Usiseme Urussi na Ukraine bali sema Urussi na marekani.. Alafu mwenzio mwambie marekani amejivisha ukilanja ila hawezi kuwa kiranja wa Dunia
@shabantelack5716
@shabantelack5716 9 ай бұрын
Apo japan Taifa linazeeka sijaelewa kabisaa😂😂😂
@sumatraveler1957
@sumatraveler1957 9 ай бұрын
😂😂😂Japan miaka ya nyuma ilikua taifa lenye nguvu kubwa Duniani but kwasasa amna kitu Ndio maana kasema hivo ni taifa lililozeeka ( Yaani limezeeka kijeshi )
@josephmwita6012
@josephmwita6012 9 ай бұрын
ni taifa ambalo lina wazee wengi kuliko vijana
@nsabimanasuleyman2008
@nsabimanasuleyman2008 9 ай бұрын
Tunashkuru
@user-ni9gx1ho6c
@user-ni9gx1ho6c 9 ай бұрын
Hongera sana broo sabit upo poa sanaaa
@hassangaddafi2347
@hassangaddafi2347 9 ай бұрын
Viva Putin viva African ❤❤ 🔥🔥🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺💪💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@angelamwewe1948
@angelamwewe1948 9 ай бұрын
Mchambuzi thabiti..... Namkubali Sana jamaa.. mzee wa mikakati
@user-jq7dy4iy7y
@user-jq7dy4iy7y 9 ай бұрын
So nice ❤️
@DevyMtanza-fc2nn
@DevyMtanza-fc2nn 9 ай бұрын
Tupo pamoja
@ramadhanimtozeni8030
@ramadhanimtozeni8030 9 ай бұрын
Thabit, hakika wewe ni gwiji wa siasa za kikanda, hongera sana.
@abuubakarhaji2078
@abuubakarhaji2078 9 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@daudimabumba2887
@daudimabumba2887 8 ай бұрын
Wewe nimchambuzi acha hao wengine kusifia2 magharibi
@yonathanbanyikwa1813
@yonathanbanyikwa1813 8 ай бұрын
Mrusi anamfaham vizuri mmarekani, anamheshim Sana ndio maana ataishia Ukraine hawezi kugusa mwingine.
@shijamohamed369
@shijamohamed369 9 ай бұрын
Je N. KOREA HAFIKIRII KUIVSMIA KOREA
@JanenyirambonaJanenyiram-sc7lv
@JanenyirambonaJanenyiram-sc7lv 8 ай бұрын
Huyu kama ana uelewa mkubwa kuhusu siasa, inasikika wazi.
@fikirininasoro5272
@fikirininasoro5272 Ай бұрын
Muwe mnachambua na mgogoro wa Irani na marekani pamoja na Israel
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 9 ай бұрын
Africa tunatakiwa kuwa makini sana hawa maghalibi wana nia mbaya na Africa tusilale maanake viongozi wetu wamalizika sanaa wakati wao roho zipo juu wanajua uchumi wao upo hoi mali asiri wanazotegemea zimetiwa mchanga.
@victorsanga2229
@victorsanga2229 9 ай бұрын
Akili ndogo ya kufikiri, leo mnashindwa kuigiza mafuta kwa kuwa hamna dola ya Marekani., haya hao warusi, korea kusini, china wapo wapi kuwasaidia? Maisha ya warusi, china, north korea wengi ni ya kawaida tu. Mapato yetu kwenye utalii tunawategea ulaya na Marekani
@KassimSalumu-fk6yk
@KassimSalumu-fk6yk 9 ай бұрын
@@victorsanga2229 kivipi
@jumambarale699
@jumambarale699 9 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@BernadPeter-zy8tv
@BernadPeter-zy8tv 9 ай бұрын
Mdanganya uma
@KassimSalumu-fk6yk
@KassimSalumu-fk6yk 9 ай бұрын
Mpuuzi wewe, jamaa masters kachukia Israel
@gstone830
@gstone830 9 ай бұрын
Putin👍🏻
@othumanomari1589
@othumanomari1589 8 күн бұрын
Hao wanaurafiki waundugu
@hamisramadhan-eb3ie
@hamisramadhan-eb3ie 9 ай бұрын
Uraaa 😂
@rajabuhamisi2769
@rajabuhamisi2769 9 ай бұрын
Uraaaaaaaass
@theteacherchance6750
@theteacherchance6750 9 ай бұрын
Hivi vijombo vya vihabari vya 'tenzeniye' vinatoa wapi uthubutu wa kujadili ishi ya Urusi na Korea. Marekani hakuna kijiji hayupo duniani. Mfatilieni Edward Snowden mtaelewa.
@Linsha1993-hw9kl
@Linsha1993-hw9kl 9 ай бұрын
Wamemfanya nn mpaka leo na yupo urusi na amepewa mpaka uraia na haja fanya lolote
@eliasndomba7937
@eliasndomba7937 9 ай бұрын
Jamaa anajua sana
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 9 ай бұрын
Thabiti Mrangi kwa kweli ni kichwa sana
@godfreydavid6267
@godfreydavid6267 9 ай бұрын
Drone kutoka Iran ilikuaje? Urusi hahitaji silaha kutoka Korea Kaskazini!!! Sijaelewa
@husseinmanyanga1587
@husseinmanyanga1587 9 ай бұрын
Mchambuzi yuko zvizur sana tuko pa1
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 5 күн бұрын
Zabit namkubali sn
@albertbissaga1425
@albertbissaga1425 9 ай бұрын
Madhumuni ya kuiangusha marekani ni nini? Na hatima ya dunia hapo baadae?
@user-sd5hj2im4q
@user-sd5hj2im4q 9 ай бұрын
Hahahahaha makofi kwko jembe
@emanuelpiniel5277
@emanuelpiniel5277 9 ай бұрын
Chambueni jambo Kwa ufsaha sio mchambue kama ushabiki wa mpira
@MouriceNdomba-zr5hx
@MouriceNdomba-zr5hx 9 ай бұрын
Hata warusi wengi wanaasili ya kiyahudi ndomaana mwizraeli amekaa kimya kwenye huu mzozo
@MiriamMwalukisa-oy4xl
@MiriamMwalukisa-oy4xl 9 ай бұрын
Leo saa mbovu inaongea ukweli
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION 9 ай бұрын
Saa mbovu unamaana Gani?
@Pedeshee01
@Pedeshee01 9 ай бұрын
Habib miriam hujambo
@KassimSalumu-fk6yk
@KassimSalumu-fk6yk 9 ай бұрын
Kivipi
@jestonelazaro6543
@jestonelazaro6543 9 ай бұрын
Acha uboya ujui kbsa historia ya Korea yaani baada ya bomu la Hiroshima Japan Korea ilikuwa chini ya Japan ukasainiwa mkataba wa kutokuwa nakoloni lolote so ili usssr Soviet na USA wasipigane wakagwana Korea north ikapewa Russia na south ikapewa Marekani na Russia ikaipa marekani Alaska desert marekani kukwepa vita chini y
@lucasalbertomseti1578
@lucasalbertomseti1578 9 ай бұрын
Hebu kosoa kiungwana basi
@josephkostans9128
@josephkostans9128 9 ай бұрын
Ukikisoa kiungwana utaeleweka vizuli zaidi wakati mwingine. Huyu mchambuzi yupo vizuli sana ila kumbuka mwanadamu hakosi kasoro ama kupitiwa hiyo ni makosa ya kibinadamu so lazima tujali ktk hilo
@annurmohamedi9824
@annurmohamedi9824 9 ай бұрын
Russia "aliipa" marekani Alaska?? Historia umejifunzia wap?? Na lini hilo jambo lilitokea ?? Google bas ili ikusaidie ilikuwaje Alaska iwe Marekan jambo gan lilifanyika
@KassimSalumu-fk6yk
@KassimSalumu-fk6yk 9 ай бұрын
Wewe mjinga sana huyu, mwamba Masters kachukia Israel na kafundishwa maprofesa bobezi wa mikakati dunia na mfuatilie kuanzia sasa, ndio maana wengi wamekupinga mpuuzu wewe
@lughanojohn4211
@lughanojohn4211 9 ай бұрын
Sasa wewe unajitamba kujua historia za watu? 🙄Vipi kuhusu historia yako sasa turudi apo
@mussaminogapegeitapigaasow9165
@mussaminogapegeitapigaasow9165 9 ай бұрын
Huyo ndoomchambuz wakwel kuliko yule mwingine
@IbrahimlyenjeNtupwa-ju4ej
@IbrahimlyenjeNtupwa-ju4ej 9 ай бұрын
Hamuelimarekani haishindanishwi nataifaloloteduniani
@charlesmagahi-rr6wl
@charlesmagahi-rr6wl 9 ай бұрын
Hiko hiko ni kiswahili gani? Sahihi ni hicho hicho.
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 9 ай бұрын
Acha kudeal na vitu vidogo angalia mambo ya msingi
@graysonpastory1918
@graysonpastory1918 9 ай бұрын
​@@fahadfaraj6474hiyo ndio sifa ya watu wenye wenye ubongo mdogo kutafuta Vitu vidogo
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 4 ай бұрын
​@@fahadfaraj6474Hivyo vitu visigo ndivyo vibavyotakiwa Ili mtu aongee kiswahili sahihi. Au na wew ndio wale ambao wanaongea kama wanatafuna makande. Sehemu ya kuweka R wanaweka L na sehemu y L mnaweka R
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 4 ай бұрын
@@miltonjohn9779 soma ulichoandika basi maana naona hata kuandika kwako mtihani "visigo" ndio nini mbona unaandika kama umekula nyanja chungu
@juliusdonard933
@juliusdonard933 9 ай бұрын
Putin n mwamba
@albertbissaga1425
@albertbissaga1425 9 ай бұрын
We mshabiki wa upande wa urusi, maana yake unajipa matumaini ya ushindi, kumbuka hata warusi wameuwawa wengi vitani, harafu usidanganye nyukilia za mchina hafuati za USA, pia mrusi hana submarine Kama za USA .
@salimali-rf9er
@salimali-rf9er 10 күн бұрын
Wewe unaweweseka tu utafikiri una maradhi ya kifafa,kwani hata hujui unachokisema
@mamlomamlo9064
@mamlomamlo9064 9 ай бұрын
Marekani ndio israeli hawezekani
@BabaBalingasi-hp6gd
@BabaBalingasi-hp6gd 9 ай бұрын
Atapigwa tu. Israel anapewa kichwa tu. Anapigika. Mbona Hitler aliwatandika
@tekashisixtynin9threewithd727
@tekashisixtynin9threewithd727 9 ай бұрын
Yes american kwanza is the land of honey and milk
@eliasndomba7937
@eliasndomba7937 9 ай бұрын
Ujielewi Bado....Duniani imebadirika mno
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 9 ай бұрын
​@@tekashisixtynin9threewithd727American is a land of Murderers and sodomised
@graysonpastory1918
@graysonpastory1918 9 ай бұрын
​@@tekashisixtynin9threewithd727nani kasema hayo nchi ya mashoga na usagaji
REDLINE: The Revolution is Here
21:45
Herman Manyora
Рет қаралды 37 М.
CHEKECHE || Miaka miwili ya vita vya Ukraine, tunaelekea wapi?
25:50
We Got Expelled From Scholl After This...
00:10
Jojo Sim
Рет қаралды 68 МЛН
World’s Deadliest Obstacle Course!
28:25
MrBeast
Рет қаралды 136 МЛН
The joker's house has been invaded by a pseudo-human#joker #shorts
00:39
Untitled Joker
Рет қаралды 10 МЛН
버블티로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 76 МЛН
Bloomberg Surveillance 06/27/2024
2:27:51
Bloomberg Television
Рет қаралды 14 М.
Bloomberg Surveillance 06/26/2024
2:27:59
Bloomberg Television
Рет қаралды 18 М.
Веселое в мма
0:58
Ицюань | Школа Оздоровления и Самопознания
Рет қаралды 23 МЛН
NAME THE EURO 2024 PLAYER OR SWIM 💦
0:35
Celine Dept
Рет қаралды 16 МЛН
Kids of Players Wonderful Moments ❤️
0:20
Air Football
Рет қаралды 40 МЛН