Mm apo kwa Figo caddy tunaeza onana kado tuongee ka watu wazima 😂😂😂😂, anyway kazi zuri sana loveness my dear leo umekua na roho mbaya lakini nakupenda tu bure 🇰🇪
@NoorEesa2 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂mm pia pia candy ebu dm 😅😅😅😅😅
@hucky-lh5mr12 күн бұрын
Kazi nzuri wana donta hakika mna ndoto zinazoendana na ndo maan mnafanya kazi kwa pamoja siku zote mwisho wa movie napenda kuangalia story imetungwa na nani kila nikifuatilia basi naona kila mtu ana participate hongera TINA INAFUNDISHA,,, SANAA KWA STORY YA KUFUNDISHA
Kazi nzuri sana kongole kwenu wana Donta family endeleeni na moyo huohuo ♥️❤️❤️
@user-pm8vd9ni9y12 күн бұрын
Duu leo nimekuwa number one maua yangu jamn😂😂😂
@AsiaHassani-kf8ww11 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😢🎉
@user-ji6cp1ng8g12 күн бұрын
Love haupendezi iyo roho mbaya kipande iko angekuwa shangazi
@MaA-kn9ty12 күн бұрын
Kazi nzuri sana Wana donta family chukueni 🎉🎉🎉🎉🎉🎉yenu nawapenda ❤❤❤❤❤sana 😂😂😂😂😂 wa 2 kutoka 254
@sfiaalanazi54793 күн бұрын
Rashid mungu yuwakuona😅😅😅😅😅
@user-rp4qz5xs2t7 күн бұрын
Lavoness upendezi kuwa na roho mbya walah
@EsterSaidi-gx3xo12 күн бұрын
Nice movie ❤❤🎉🎉🎉🎉
@user-xe4hc2ey6i5 күн бұрын
Hakika kazi nzuri🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@EstherNaliaka-bf4sw9 күн бұрын
Kazi nzuri sana Wana donta tv
@RizikiZiki10 күн бұрын
Lavenesi aca roho mbaya 😢😢unamunyanyasa mwenziyo kiasi ico he😊
@MbondeiMbondei3 күн бұрын
Hupendezei kuecti roho mbaya
@FeristerKivembele6 күн бұрын
😂😂😂😂😂 ety hekaru jaman
@TantineZuzu11 күн бұрын
Kazi nzuri sana ❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@Ezraloyibobo108 күн бұрын
We loveness mbona ivo jamani 😢😢 unanyanyasa mwenzako hadi mwisho 😢😢❤❤🇧🇮🇧🇮
@MasikaSuleimani10 күн бұрын
Nawapenda sana wana donta
@user-xr6xk9lb5c10 күн бұрын
Kenya Watching, twapenda
@user-ic8mc3bd8l6 күн бұрын
Much love from Kenya ❤❤❤❤❤❤❤😮😮😮😢😢😢😢😢😢
@user-xf5xr3uv8b12 күн бұрын
Good job tina❤❤
@patientluliba6 күн бұрын
Apana muna juwa tafuta hela kabsa.
@Aishaynah_innah9 күн бұрын
Tina niambie insta unatumia jina gan nateseka ujue loveness anites hadi we jmn❤❤ 😄
@KennethMAMBA11 күн бұрын
wew loveness mungubanakuona
@EdwardMweru10 күн бұрын
Lovenes ngoja nikuambie kitu dada yang roho mbaya haijeng hata sikumoja hata ivo ww mwenyewe unalelewa tu tambua sio kila mtu nitajir wengine tunapambana katika njia mbalimbali moja wap ni hiyo
@ZeinabBakar-je4nr11 күн бұрын
Mko namafunzo hki mungu wabariki
@ruthgloriaobonyo9 күн бұрын
Hongera sana dada Tina kwa msimamo wako na upendo kwa dadako.
@Annajumwa6 күн бұрын
Kazi nzuri sn lkn love uneniboesg sn Leo
@kokenye900312 күн бұрын
Loveness jamani huruma basi hata kindogo 😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉
@NoelaKk12 күн бұрын
Kasdweiukwe cheswa these kmnb Love❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@MarimGodifrey12 күн бұрын
Waoooo kelvin ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@AndreConstancio4 күн бұрын
Kavunese mbwa
@AminaKhalfani-ib7sh12 күн бұрын
Kaz nzur
@user-ec2cj5om7v12 күн бұрын
Hata sina lakusema zaidi yakuwapenda tu❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-rz7kv9pn8m12 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉 congratulations donta tv hamboeshi
@jobsimpamba7112 күн бұрын
Vizuri sana tina❤❤
@paulinekombe375312 күн бұрын
Wow amazing ❤❤
@ChausikuJoseph-bd9fx12 күн бұрын
Upo vzur sana da Tina
@zieeppiemorara84712 күн бұрын
Kazi ni motoooo❤❤😊😊
@MauwaAsese12 күн бұрын
mnafanya vizuri sana pia napenda sana kazi zenu lakini story zenu zinafanana sana hivyo ndugu zangu badirisheni sana aidia maana aidia zenu nimoja sana a
@user-hc5no2bj4z10 күн бұрын
Jaman had huluma
@user-gi6su7jw1h12 күн бұрын
Laiti ningejuwa walahi nsinge angalia hii cz love ata ujui kesho yako astaghafiru allah😢😢😢😢😢
@user-cb1xx5bl5m11 күн бұрын
Lovness acha roho mbay
@user-rd6nr4qq3s12 күн бұрын
Wapi #Shenaiza ki sauti
@denique43812 күн бұрын
Hapo loveness alitaka kuchekaa
@user-lp3ho7le1j9 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@Linetmokogoti12 күн бұрын
Wow nice ❤❤🎉🎉
@user-tn2co6ps7q11 күн бұрын
wow candy wangu huyo karud
@user-ge3tn7zs8r3 күн бұрын
Thamini utu usitamani kitu
@AsdOo-fs1jd9 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@PrettySalmah-tt8bh12 күн бұрын
Weeeeee mchumbaa 😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kaka brother nae anatia aib 🤣🤣🤣asa huo unga vip🤣🤣love sijapend tabia yako😓😓
@wemasangasanga7579 күн бұрын
Jamani love hufai kuw na roh mbaya hiyo😢
@NASRAFAKIHBADRU11 күн бұрын
Nawapenda San jmn kaz nzr
@SamuelIbrahim-u7p12 күн бұрын
Nice 👍👍👍👍 ndonta
@appsplay432411 күн бұрын
Nice movie❤❤❤
@user-ok6wi2jb4x11 күн бұрын
hongereni
@user-ex6tg6di7r12 күн бұрын
Nimeingia Kwa mpigo 🏃🏃🏃🏃
@gonzabwojo12 күн бұрын
Namimi ni miongoni mwao walo tangulia
@JanetRiziki-ut2is11 күн бұрын
Tina asante sana kwa maamuzi yako
@user-ep5sz1cv6p12 күн бұрын
Zur jaman
@magrethemmanuel547912 күн бұрын
Wow hatimaye nmemuon candy nlikumic san nana wapend wot
@mwanamisimwapula839211 күн бұрын
Na shanaiza yuwapi
@user-tn2co6ps7q11 күн бұрын
uko kam mim tuu at mim nlimmis
@doricemwakasengo11672 күн бұрын
Vibaka wa siku izi wapola mpaka unga robo kulalekii
@RukiaDzombo-uf7wp8 күн бұрын
Loveness ckudhania atakua na roho mbaya kiasi hcho
@rynekyle47977 күн бұрын
Anaigiza jmn😂
@HusnaOmarry12 күн бұрын
Nelly hata haendani na hiyo sekta mliompaa,,,,
@umaima117811 күн бұрын
Umasikini mbaya 😢😢😢😢😢
@sofiakinyia273412 күн бұрын
🎉🎉🎉❤❤❤
@HashimHakika11 күн бұрын
Dada mkari uyu
@faizamohamed699312 күн бұрын
👌👌👌👌
@metrinemanyonge605512 күн бұрын
Nko ndani nawapenda bure
@beatricesanga785612 күн бұрын
Apa mmetuibia mawazo
@ThamimaRajabu-bs2nd12 күн бұрын
❤❤❤
@SaidaAli-kr3bi12 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@ReginaDunia12 күн бұрын
🎉🎉🎉
@Bestudio-212 күн бұрын
💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓
@user-rd6nr4qq3s12 күн бұрын
Wakati TINA yupo uku yule dada mlemavu kule anaishi na nani ??
@user-vz5ti5ot8u10 күн бұрын
Nimejifunza ktu,wakat unaokata tamaa ndipo Mungu anapokuinua na kukubalk,ubalikiwe sana Wana donta TV 🙏🙏
@RizikiZiki11 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-lz8kb9ds8k12 күн бұрын
Shanaiza yuko wapi jamani
@salomembise453810 күн бұрын
Jmn candy tulimmis
@SadaNusra-dt5tx12 күн бұрын
😢😅
@SakinaHassani-xm7ti12 күн бұрын
Mmh imeishaje sasa?
@Aisha-ld3ol11 күн бұрын
😂😂😂
@Giftbugalama12 күн бұрын
duuh kazi nzuri sana, ila loveness roho mbaya kama iyo umeanza lini?
@user-ec2cj5om7v12 күн бұрын
Kweli nashangaa
@ruthgloriaobonyo9 күн бұрын
Ni uigizaji WA series jamani,,unacheza kulingana na mipangilio ya wakubwa.
@user-lz8kb9ds8k12 күн бұрын
Like inaanza 🇰🇪 jamani au sio
@Wraptablet4162 күн бұрын
Kumbe story bilawakaka inawezekana asanteni kwadalasa mlilonipa nawapenda mno❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤