SOMO MUNGU ASIPOKUJIBU MAOMBI YAKO MUULIZE NI KWA NINI 1

  Рет қаралды 454,680

CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL

CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL

3 жыл бұрын

Пікірлер: 466
@clarambasha938
@clarambasha938 2 жыл бұрын
Maombi yangu ni Mungu amuweke mwakasege miaka mingi sana kuna ambao tunakua kiroho na pia tunapata kiu zaidi ya kuutafuta uso wa Mungu tukimskiliza. Huyu baba Mungu amemchukua level zingne za kiroho. Yesu akupe miaka mingu MWALIMU
@goated3801
@goated3801 Жыл бұрын
Manukwa kweli na kubadilika ama kukua ti mdomoni
@pikipiki_market
@pikipiki_market Жыл бұрын
AMEN
@salvatoryherman65
@salvatoryherman65 Жыл бұрын
Ameniiii aleluya
@happyngonde2923
@happyngonde2923 6 ай бұрын
Ninapopita ktka magumu, nikiisilikiiliza mafundisho ya mtumishi ya mwakasege napata nguvu mpya,🙏Mungu akutunze na afiche uhai wako ndani ya Damu ya YESU 🙏🙏
@mukambambale-df8hw
@mukambambale-df8hw 5 ай бұрын
Mungu akupe mengine ya zaidi mwalimu
@getrudemalisa4350
@getrudemalisa4350 2 жыл бұрын
Amen, nimebarikiwa Sana mtumishi Mungu akubariki sana nilikata tamaa ili kwa neno hili naamini Mungu atafanya kitu juu yangu na familia yangu
@betyanyas8780
@betyanyas8780 2 жыл бұрын
Somo hili hakika limenilenga mimi na maisha Yale ninayoishi, nateseka ktk ndoa hii, ni naomba Mungu ambadilishe mume wangu, awe mtu wa kumcha Mungu, as he kutumia miadarati, lakini sijajibiwa na Mungu baba yangu, nitamrudia na kilio na unyenyekevu, nimuulize kwani I hajanijibu maombi yangu na Sasa ni km miaka mitano hivi ya mateso ndani ya ndoa yangu. Asante Sana mtumishi wa Mungu kwa neno hili, nimejifundisha mengi, barikiwa Sana. Amina... 🙏
@carinawolfram3280
@carinawolfram3280 2 жыл бұрын
Usijali Mungu ni mwema atakutendea
@saraphinasalila9202
@saraphinasalila9202 Жыл бұрын
Akika mungu atakusaidia usikate tamaa kuomb
@myahudiog
@myahudiog 7 ай бұрын
Ww miaka mitano unateseka tu! Hii n mpya
@user-qz4bk5zc8z
@user-qz4bk5zc8z 7 ай бұрын
Amen.
@rugetakimath7428
@rugetakimath7428 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana Baba Kwa kusikiliza na kuitii sauti ya Mungu, Barikiwa milele
@heriethmoses7082
@heriethmoses7082 3 жыл бұрын
Somo limekuja wakati sahihi kwangu, Barikiwa sana mwalimu
@konsolatasabas4941
@konsolatasabas4941 2 жыл бұрын
Balikiwa kwa somo zuli
@mwanaidimwanga21
@mwanaidimwanga21 3 жыл бұрын
Ameen...Ahsante Mungu kwa ajili ya utumish huu, na neno hili. Utupe neema baba ya kutokutazama matatizo yetu na ugumu wa maisha, bali utupe neema ya kuyaelewa na kuatamia maono uliyoyaachilia juu yetu. Uchungu, tabu, udhalimu, magumu yasitufanye tushindwe kuomba sawasawa na mapenzi na kulitimiza kusudi lako. Katika maisha yako ufalme wako uje.
@neemaenock6358
@neemaenock6358 2 жыл бұрын
AMINA MUNGU ALIYEIANZISHA SAFARI YA MAISHA YETU ATUTETEE KWA DAMU YAKE YESU KRISTO TUNAMWAMINI ATATENDA TUSIKATE TAMAA
@magrethrupiah5057
@magrethrupiah5057 3 жыл бұрын
Somo zuri sana. Mungu anabaki kua Mungu nyakati zote. Hata kama hajanijibu vile nilivyo tamani, bado anabaki kua Mungu mwema. Somo hili limenibariki sana sana sana.
@lilianmkelewele7489
@lilianmkelewele7489 3 жыл бұрын
Asante mungu kwa kumtumia mtumishi wako maana nilipata hili neno nikiwa katka mazo magumu muno nami naomba unijibu maombi yangu juu yayale yote niliyoomba naamini kupitia neno lako takatifu napokea kwa jina la yesu kristo ameni mbalikiwe watumishi🙏🙏🙏🙏
@marianajohn5415
@marianajohn5415 2 жыл бұрын
Asante Mungu kwa somo hili kubwa sana kwenye maisha yangu. Limekuja kwa wakati sahihi sana . Asante Yesu wangu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@jacksonjohn8497
@jacksonjohn8497 2 жыл бұрын
Bwana Yesu Asifiwe Nashukulu kwa hili Somo Nimemuomba Mungu kwa Mda Mlefu ila ajanijibu Natumia Somo hili Kumuuliza tena Mungu Wangu Nina imani Naye
@marianajulius5926
@marianajulius5926 2 жыл бұрын
Barikiwa sana baba,,,,Unatufundisha Mengi 🙏🏿Mungu wetu anajibu❤️
@atbakpblessedfml2642
@atbakpblessedfml2642 3 жыл бұрын
Asante Roho Mtakatifu kwa kuachilia somo hili .Mungu .Mungu awabariki watumishi wake
@thomaskibada7056
@thomaskibada7056 3 жыл бұрын
Ubarikiwe baba tunajvunia kua nawewe katka nchi yetu ya Tanzania
@atuhaireakla3972
@atuhaireakla3972 2 жыл бұрын
For the first time kusikia hii massage nimekua nikisema kama nina uwezo wa kuuliza mungu maswali nigeweza
@magrethrupiah5057
@magrethrupiah5057 11 ай бұрын
Hili somo kila nikilisikiliza napata kitu kipya. Mungu anabakia kua Mungu hata kama hajajibu vile nilivyo tarajia. Yeye anampango mzuri sana na sisi wanadamu.
@joshuakapungu938
@joshuakapungu938 2 жыл бұрын
Ee Mwenyezi Mungu hili somo nimelipata leo ila litanifungulia yote ninayoomba kila siku na Mungu atanyamaza tena sasa ni zamu yangu kujibiwa maombi yangu baba
@colethachaula592
@colethachaula592 Жыл бұрын
Hii ni kweli hata Mimi limenitokea kwenye maisha yangu, nina mdogo wangu anaumwa ninaomba mungu kupitia somo Hilo mungu amfungue apone ninaamini mungu anakwenda kunijibu Sasa.
@PendoPallangyo
@PendoPallangyo Ай бұрын
Nina Imani hata mm atanijibu
@betreaceparali9725
@betreaceparali9725 Жыл бұрын
Mungu mtie Ng v mtumishi aendelee kutufundisha tusaidie kuelewa mungu nisaidie nijue kupambanua njozi au maono
@ruthuthomas2357
@ruthuthomas2357 2 жыл бұрын
Mungu akupe maisha malefu mwalimu 🙏🙏🙏❤️
@joycelanda8987
@joycelanda8987 3 жыл бұрын
Amina mtumushi ,najiambatanisha na madhabahu hii Mimi na familia yangu ,naomba Mungu anijibu sawa na haja za moyo wangu! Amen.
@mwldanielelibariki4524
@mwldanielelibariki4524 2 жыл бұрын
Ameeen baba Neema ya Mungu iendelee kuongezeka juu yako Mara dufu
@mellissauwase5514
@mellissauwase5514 2 жыл бұрын
God bless you 🙏🏽 From 🇷🇼Rwanda
@josephmbogo4439
@josephmbogo4439 3 жыл бұрын
Asanre sana Mwalimu Mwakasege kwa kweli neno hili kwangu linanihusu kabisa Eee Mungu wangu nakuomba usinyamaze nikuombapo ombi langu
@upendoamani8164
@upendoamani8164 2 жыл бұрын
Neno la Mungu linaishi. Hili neno limenifungulia moyo wangu. Nimejua Kati ya kuomba na kulalamika. Mungu akubariki sana mtumishi. Nitaandika njozi🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@geendaki7678
@geendaki7678 2 жыл бұрын
Nakupenda Baba Mtumishi wa Mungu kila siku nakuombea Bwana akutie nguvu huduma hii bado tunaihitaji Sana na Kuna siku nimekuona katika ndoto ukiwa katika mto flani unabatiza nami nilikuwako huko
@kwangukazungu8299
@kwangukazungu8299 3 жыл бұрын
Baba Mungu akubariki sana, umenigusa yaani naona Mungu kanyamaza lkn Asante kwa somo niendelee kuomba
@rebeccabraison8357
@rebeccabraison8357 Жыл бұрын
Asnte sana mtumishi wa Mungu kwa somo hili nimepata kitu kikubwa sana Yesu akubaliki sana
@dalmasnyaribo7543
@dalmasnyaribo7543 3 жыл бұрын
Somo hili nimelifikia kupitia mtandao na limenipa moyo Sana kua Kuna siku MUNGU atanijipu maombi yangu na kunifungulia milango hili niwatimizie mama pajoma na Babu wangu ndoto yangu itimie katika jina la mungu wangu amen
@sarahmarishay6938
@sarahmarishay6938 2 жыл бұрын
Ameeeeen mtumushi hili somo lako limekuwa dawa kwangu Mungu kajibu mpaka NASHANGAA kwakwwli ubarikiwe Sana sana mwalinu Mwakasege🙏🙏🙏
@jackimulisamulisa6896
@jackimulisamulisa6896 2 жыл бұрын
Amen mtumishi mimi nayitwa judi naomba uniombe mimi na mtoto wangu maisha yetu magu sana kuna wakati mimi nakatatama ya maisha naomba utuombe
@nemaodhiambo7274
@nemaodhiambo7274 3 жыл бұрын
Ahsante Baba na Mama Mwakasege na team nzima ya mana ministry
@sammywanje2686
@sammywanje2686 3 жыл бұрын
Kweli somo hili limenigusa sana,, ee MUNGU nihurumie na unisikie ombi langu,, mtumishi wa MUNGU asante kwa fundisho hili, nimelipokea kwa imani,,, BWANA YESU ASIFIWE
@judithngasa1370
@judithngasa1370 3 жыл бұрын
Hallelujah Hallelujah sifa kwa Bwana azidi kukupa maono Mtumishi wa Mungu aliye hai.
@asteriankwera2295
@asteriankwera2295 2 жыл бұрын
Hallelujah
@lilianmyinga4578
@lilianmyinga4578 3 жыл бұрын
Haleluya haleluya! Groly to god groly jina la bwana libarikiwe mno. Na mungu akupe maisha maisha marefu na yenye heri pamoja na uzao wa nyumba yako
@evelyneishengoma1600
@evelyneishengoma1600 2 жыл бұрын
Barikiwa mwalim
@mackrinapeter4417
@mackrinapeter4417 3 жыл бұрын
Mungu naomba usinyamaze..naomba ujibu maombi yangu usinyamaze Baba
@user-ct3jq3qv7j
@user-ct3jq3qv7j Ай бұрын
ubarikiwe mtumishi wa mungu namungu akupe maisha marefu
@DsmAccounts1
@DsmAccounts1 4 ай бұрын
Ameni Mtumishi,Mwenyenzi Mungu akubariki sana
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 3 жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu hili neno limekuja wakati sahii kwangu Ee Mungu usinyamaze nikuombapo 🙏🙏🙏
@doricekajuna6185
@doricekajuna6185 2 жыл бұрын
Asante Mtumish wa MUNGU kwa kutufundisha kutokata tamaaa. Tuendelee kumuomba Mungu.
@smartmwakipesile3842
@smartmwakipesile3842 Ай бұрын
Ee,Mungu umtazame huyu mtumishi wako ukamtendee mema sana sku zote za maisha yake utukufu wako ukawe pamoja nae nyakati zote, nampenda sana mtumishi wako huyu, Ee Bwana Mungu muumba mbingu na nchi wewe ulie alfa na omega axante kwa chombo chako hiki ❤
@enriqueganywamulume3681
@enriqueganywamulume3681 3 жыл бұрын
Tuna shukuru Mungu kwa maano hii ya kurusha tena solo ili , tume barikiwa tena tume pata kitu tena , ilpendeze Mungu kumu discute tena na tena na ku mbariki mtumishi wake. Kama kuna kipindi cha kufata tafazali mwalimu ita tu saidiya
@tulalumbashaibu8970
@tulalumbashaibu8970 3 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu hakika nilivurugika mno ila kwa neno hili ninaona nuru tena
@InesYohana
@InesYohana Ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa mungu kwa mafundisho Yako🙏
@leamukamusoni6239
@leamukamusoni6239 2 жыл бұрын
Nashukuru kwaneno ilii linanifaya nipigeatuwa nimuhulizemungu kwanini aujibu amen ubarikiwe ddy
@siscahadassah4233
@siscahadassah4233 3 жыл бұрын
Somo hili limenifungua sana macho,nimegundua nilikuwa siombi ila nalalamika..naomba msaada kama tutaweza kulipata hili somo lote
@AzAz-sy6zp
@AzAz-sy6zp 5 ай бұрын
Aminaa ubarikiwe san mtumishi kwa mafundisho mm pia ninashida na ndoa yangu mara ninaomba mara naacha lkn ubarikiwe hivi nitaomba c tokata tamaa
@TulasupaSanga
@TulasupaSanga 5 ай бұрын
Asante mwalimu wangu Mungu naomba nisaidie njozi niliyo iyota mara kwa itimie aminaa 🙏🏿 🙏🏿🙏🏿
@helenakulliani1670
@helenakulliani1670 3 жыл бұрын
Asante mtumishi wa mungu kwa Somo.sifa na utukufu Ni kwa mungu aliye juu.amina.
@qndassuofficially913
@qndassuofficially913 2 жыл бұрын
Amen🙏👏🏻👏🏻👏🏻barikiwa sana mutumishi , hakika nimebarikiwa sana hakika bwana unaweza na ninaamini utajibu sawasawa na mapenzi yako 🙏🙏
@alainmizo4694
@alainmizo4694 Жыл бұрын
Jambo hili limekuwa moja kati ya ombi langu la evey day kana kwamba Mungu anipe kipawa chako mzazi wangu wa kiroho.nakufua toka D.R.Congo tume barikiwa saaaaaaaaaaaana kupitiya mafundisho yako babangu.naami kupitiya haya ninayo yapokea kutoka kwako...Mungu atanipa majibu kwa swali yangu.Mungu akubariki sana baba na piya abariki watakatifu wote kwa jumla
@smartmwakipesile3842
@smartmwakipesile3842 3 ай бұрын
Mweee Mungu huyu ni waajabu, Mungu akuongezee miaka mingi uishi mtumishi, barikiwa sana baba.
@lameckdaudi1925
@lameckdaudi1925 Жыл бұрын
Ninamtukuza Mungu kwa ajili yako my Spiritual Father through you my eyes open and thirsty of seeking God increase in me Glory be to God. Mungu akutunze baba na azidi kukuimarisha.Amen
@atuganilemwakyusa1701
@atuganilemwakyusa1701 3 жыл бұрын
Amen,Mungu akubariki sana.naendelea kujifunza mtumishi.
@paskazimakigo-bc7ju
@paskazimakigo-bc7ju 4 ай бұрын
Mwakasege Mungu akutunze vyema hakika tunabarikiwa
@bundallachaba3120
@bundallachaba3120 3 жыл бұрын
Hili somo ni zuri sana nimelitafuta mno sijalipata liwekeni lote watu wajifunze
@jessy2404
@jessy2404 Жыл бұрын
Mungu nikumbuke mali niko maisha sirahisi emungu pigana na madui zangu na wale wanao nipiga vita🙏
@monicapaul7863
@monicapaul7863 3 жыл бұрын
Amen Mungu nisaidie nitimize lile kusudi uliloniletea duniani nisiishie njiani
@winnermariah
@winnermariah 3 жыл бұрын
AMEEEN 🙏🙏🙏🙏🙏
@eddyjuniortz2234
@eddyjuniortz2234 3 жыл бұрын
Barikiwa
@stanleybuberwa232
@stanleybuberwa232 2 жыл бұрын
Amen
@lazaroulomi1854
@lazaroulomi1854 2 жыл бұрын
Barikiwa Mwl ,,Somo zuri sana sana.
@user-ky5vh7uu8i
@user-ky5vh7uu8i 10 ай бұрын
Ubarikiwe Sana Mtumishi wa MUNGU umetutia moyo na kutokukata tamaa naomba MUNGU ajibu maombi yangu Amina
@LSA-23
@LSA-23 3 жыл бұрын
Mtumishi kuna mahubiri fulani niliwahi kiwa nayo nikayapoteza..yanahusu maombi ya kuzunguka kama babeli na kumwaga damu ya Yesu iliyotoka sehemu zote za mwili wake. Nayahitaji sana mtumishi.naomba nielekezwe mahali hata kama ni CD ninunue
@upendotemba4061
@upendotemba4061 3 жыл бұрын
Haleluya mtumishi Mungu akutunze Tunapata ufahamu
@AmaniDavid-ju7mb
@AmaniDavid-ju7mb Жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe wapendwa nauliza ratiba ya semia mwenzi huu anaye jua anisaidie asante
@victoriamahenge9001
@victoriamahenge9001 3 жыл бұрын
Asnte kwa somo zuri baba yangu nimeelewa nakupata nikiwa mby ubarikiwe
@furbenj7405
@furbenj7405 2 жыл бұрын
Amen my Father nitazidi kumkumbusha Mungu
@bellimarwa5454
@bellimarwa5454 3 жыл бұрын
Mtumishi. Mungu Mimi huwa nabarikiwa Sana na mahibiri yako mungu akutumie kama apendavyo yeye
@atupakisyemwakikali6777
@atupakisyemwakikali6777 2 ай бұрын
Mungu aendelee kumtumza uyu baba amlinde miaka yake yote atakayoish duniani
@naomyndaya7800
@naomyndaya7800 2 жыл бұрын
Barikiwa mutu wa mungu, na kufata sana nikiwa RDC, mara kwa mara ninapo kufata nibarikiwa saaana, na kwa hilo naomba Mungu afunguwe njozi zangu. Ili ni shuudiye ukubwa wa mokozi. Barikiwa baba
@mercygodia4084
@mercygodia4084 3 жыл бұрын
God please hear my cry. I trust in you.
@rovicsimon1981
@rovicsimon1981 2 жыл бұрын
Amen,nashukru saaana kwa SoMo hili
@rachelmshana6555
@rachelmshana6555 Жыл бұрын
Amina nitaendelea kuomba mpaka pale Mungu wangu atakojibu, sitanyamaza.
@seebs1156
@seebs1156 3 жыл бұрын
Ameni mtumishi wa Mungu neno hili limenijia mda muafaka kwangu 🙏🙏🙏🙏🙏
@lucymkisi18
@lucymkisi18 Жыл бұрын
Mungu akupe maono zaidi ya mafundisho yako zaidi somo hili na lile la kuombea lango au mzaliwa wa kwanza
@diwenagoodiani8087
@diwenagoodiani8087 Жыл бұрын
Ubalikiwe na mungu akuzishie. Kipawa chako
@FulliJohnPaul
@FulliJohnPaul Ай бұрын
Ameen ubarikiwe mwalimu wa neno la Mungu
@rahelsamson7692
@rahelsamson7692 2 жыл бұрын
Amina Baba Mungu aendelee kuwatunza na kuwapa kibali
@egnardamaicy3456
@egnardamaicy3456 3 жыл бұрын
Kwa mara ya kwanza roho mtakatifu amenisemesha nimeamka nikiwa nimevunjika moyo sana sioni nuru nikawa naskia tu fungua KZfaq nafungua nakutana na neno hili tena nikiwa mtu wa kwanza kabisa😭
@yeshuasweapon4384
@yeshuasweapon4384 3 жыл бұрын
Daah...Amina mtumishi
@fauctinejohnacy8716
@fauctinejohnacy8716 3 жыл бұрын
Amina sana
@victoriajoseph6488
@victoriajoseph6488 3 жыл бұрын
Amina
@swesschao3095
@swesschao3095 2 жыл бұрын
MUNGU ATUSAIDIE!!!
@godblessnelson37
@godblessnelson37 2 жыл бұрын
Usial Mungu atakudumia
@chipetapeter6804
@chipetapeter6804 2 ай бұрын
Amina baba naomba maombi yako ziniachie roho ya madeni
@roidaalphonceyou2227
@roidaalphonceyou2227 2 жыл бұрын
Asante kwa neno la MUNGU mtumishi wa MUNGU heshima utukufu na mrudishia MUNGU kwaajili ya utumishi huu Amina
@rodawlson8040
@rodawlson8040 3 жыл бұрын
Ameen Asante sana mwalimu Mungu akulinde na kukufunika pia
@julietkimigho8500
@julietkimigho8500 Жыл бұрын
Amen poster be blessed in the name of Jesus christ
@rahmabisi5558
@rahmabisi5558 2 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mafundisho yako yananipandisha viwango vingine . Nipo songea natamani Sana nipate mafundisho yako yenye mlolongo kamili.
@haroldmartin4612
@haroldmartin4612 2 жыл бұрын
Amen, nimebarikiwa sana. Mungu akubariki na kukupa maisha marefu tufundishwe na Roho wa Mungu kupitia wewe.
@hellendeus7809
@hellendeus7809 3 жыл бұрын
Ameen mwalimu..... Nakuombea saana roho mtakatifu awe na wewe Kila dakika na Kila hatua
@sabratally7688
@sabratally7688 Жыл бұрын
Kunajambo lilikuwa likinitesa niliomba niliomba sana Lkn ckujibiwa nilipata wazo kumuuliza mungu nashukur alinijibu na kitabu Cha wathesolanike 5-10-17 nikapata nguvu yakusonga mbele japo nilikuwa nimechoka sana
@reymasenya6450
@reymasenya6450 3 жыл бұрын
Asante Mungu Mm Naomba Ufunue Njozi Zangu
@bakunduwukizebenithe7888
@bakunduwukizebenithe7888 Жыл бұрын
Ubarikiwe sanna mcungaji nimejifunza kitu❤
@dionestermwinuka7520
@dionestermwinuka7520 2 жыл бұрын
Wakati ninaopitia ni mgumu sana mungu nijibu na mim kama ulimjibu habakuki najua sistahili nisamehe bwana ninahaja nawe tena asante mtumishi na mim
@wemarobert7140
@wemarobert7140 2 жыл бұрын
Amen, somo hili n nzuri, nataman nipate mwenderezo wake nlimalize lote
@ndeshukurwakaaya4385
@ndeshukurwakaaya4385 2 жыл бұрын
Asante Mungu nimeimarika ,nimejifunza, zaidi nimepata amani, utulivu. Mungu endelea kunifundisha kujua sababu na kusudi la maisha yangu, na mtoto wangu lakini zidi kuniunganisha na ndugu zangu , jamaa, na wanaonizunguka popote nilipo niweze kuishi sawa na mapenzi yako. 🙏
@benjaminjonathanbuchafwe9040
@benjaminjonathanbuchafwe9040 3 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu Nimeguswa sana na hili somo naomba muendelezo wake ili niweze kumaliza na kujifunza zaidi Ahsante 🙏🏾🙏🏾
@ezraisrael6984
@ezraisrael6984 3 жыл бұрын
Mungu akupe maisha malefu huku ukituombea injili msingi wake usiharibike leo walakesho mpaka Yesu mnazareti anarudi. Amen
@oliverabrahamoliverabraham3011
@oliverabrahamoliverabraham3011 2 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri baba
@sarahfaida5648
@sarahfaida5648 Жыл бұрын
Natamani kusudi la Mungu ndani yangu pia litimie, mimi ni je ni nani wa leo? Viwango vingine vya Mungu viingie ndani yangu nijitambue zaidi maana nilivyo leo naona bado kuna kitu sijafikia kusudi lake .. Amina
@emmanuelmollel7027
@emmanuelmollel7027 Жыл бұрын
Asante Sana kwa somo kwani tumefunguliwa MUNGU akubariki Sana mwalim
@neemamunisi2053
@neemamunisi2053 2 жыл бұрын
Amen... Barikiwa Sana Mtumishi wa Mungu
@alleoo273
@alleoo273 2 жыл бұрын
Barikiwa baba leo nimesukumwa kukusikiliza nanimejifunza kumkumbusha Mungu maana hua nalalamika sn badala ya kuomba
@shakiralasway8821
@shakiralasway8821 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana baba,maana umetulisha chakula charohoni nimebarikiwa sana nanimepata ujasiri mkubwa nanimejifunza kusema namungu,AMEN....
@michaelkakuja893
@michaelkakuja893 3 жыл бұрын
Amen. Nimekuota umeniombea kisha ukanikumbatia madhabahuni ukanitenga mahali pa peke angu katika hiyo hiyo madhabahu ukanishika kichwani ukasema nitulie mahali hapo ukawageukia waumini wako ukawaambia hilo ni jambo la kawaida. Sielewi njozi hii ina maana gani Mtumishi wa Mungu. Any way Mungu awabariki na kuwalindeni watumishi wote wa Mungu in Jesus Christ's name. Amen. Asante.
@ruthkilasi3735
@ruthkilasi3735 3 жыл бұрын
Neno hili si bure! Bwana jidhihirishe kwangu Sasa.Haijarishi shetani anajiinua kiasi gani kupitia maajenti wake lkn bado ninalotumainiaana wewe waishi na neno lako laishi.Amen
@ibel4lf
@ibel4lf 3 жыл бұрын
Mimi nimemuota pia natamani kumtumia meseji yy binafsi
@sarahlyimotv1380
@sarahlyimotv1380 3 жыл бұрын
It worth listening and listening and listening again 🙏🙏 Mungu akubariki Baba 🙏🙏
@happydaniel4351
@happydaniel4351 2 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi asante kwa mafundisho yako mazuri yananivusha sana
@elizabethmrema1620
@elizabethmrema1620 Жыл бұрын
😍
@mariagorethvicentnyerere1183
@mariagorethvicentnyerere1183 2 жыл бұрын
Napenda Sana babangu na Mwalimu wangu. Hanaga mapicha picha ya miujiza. Nabarikiwa sana sana kumsikiliza.
@mussaelisha3184
@mussaelisha3184 Жыл бұрын
God bless you BABA,Kupitia mafundisho yako MUNGU Atainua wengi kwa faida ya ufalme wake*
MBINU ZA KUOMBEA MAJARIBU || Mwl Christopher Mwakasege
1:23:21
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 141 М.
#2. CHAKULA CHA BWANA KAMA MAHAKAMA INAYOMPA MUNGU UHALALI WA KUHUKUMU MIUNGU
1:02:29
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 65 М.
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 6 МЛН
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 26 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 17 МЛН
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 39 МЛН
Ushuhuda kuhusu Mwl Mwakasege Mwaka 2003
37:58
Injili Tv
Рет қаралды 10 М.
MACHAKOS CRUSADE DAY 1 SERVICE LIVE BROADCAST. 27.7.2024
SASA TV GOSPEL
Рет қаралды 207
UCHUMI HAUKO KWENYE VITU, UCHUMI UKO KWENYE NYAKATI || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
11:06
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 57 М.
ZIJUE ISHARA ZA ROHO MTAKATIFU KATIKA NDOTO
20:54
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 854 М.
NAMNA YA KUTUMIA SALA YA BWANA KAMA NJIA MOJAWAPO YA KUTAFUTA UFALME WA MUNGU
1:59:36
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 809 М.
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 6 МЛН