Chu Chu uko vizuri sana, Mungu akufanyie mazuri kwa kila unalofanya, u r the best.
@saumuhassan63653 жыл бұрын
Mashallah, hongera sana chuchu kwa uvumilivu wako, umenifundisha kitu kwakweli, uko vizuri.
@subiradalabu66163 жыл бұрын
😁😂😂😂😂
@episawaki32404 жыл бұрын
Ukitaka mkamilifu mtafute umuumbe wengi siyo wakamilifu wanaume ni binadamu Kama wengne tu kikubwa kujichunguza naww unamapungufu ganiii ......wasanii mnaishi maisha ya tamthilia sanaa muwe real jmni
@dianaferdinand75464 жыл бұрын
Hii kombo ya Sky na huyu jamaa wa kofia,bonge moja la kombo. Wote wana composure ya hali ya juu na ni smart. The interview is levels.
@azzamahamdu70394 жыл бұрын
Chuchu mzuri afu ANAJIELEWA #SUPERWOMAN 🥰🙌TANGA MOJAAAAA.sky hapo nmekuelewaaa mwenye hobi ya mziki ni yule asochagua mziki.mziki wwte mzuri kwake almuhmu uwe mzuriii
@queenwinnie2564 жыл бұрын
You so great Chuchu, keep going dear, mapenzi yanachangamoto zake ila mhimu kuwa na msimamo tu,
@maryamm77654 жыл бұрын
Mashaa Allah 🤗🤗🤗👏👏
@mathildemwangaza1093 жыл бұрын
Amen chuchu kwa kushukuru Mungu
@saidahj25434 жыл бұрын
Keep going Chuchu💪💪💪💪
@halimams21274 жыл бұрын
pole chchu wangu mungu awalinde ww na Rey wako muzid kupendana
@mathildemwangaza1093 жыл бұрын
Ray kugosi hongera kwakua baba mzuri kwa familia yako chuchu amekuongelea vizuri ata nimekufurahia sana
@mathildemwangaza1093 жыл бұрын
Chuchu is mature person, nasasa jinsi nimeelewa hawezi kuangalia tena nyuma kwamambo ya wabwana good for you
@mathildemwangaza1093 жыл бұрын
Chuchu Mimi binafsi nakupendaka sana na ninakuomba utulie kwa ndoa yako pia uvumilie Ray, maisha ya ndoa niyakuvumiliana
@heriethjonathan87324 жыл бұрын
Nakupenda San chuchu♥️
@annajohn43774 жыл бұрын
Dada nakupenda bure umeongea point nikweli wanaume ukishamzalia mtt hakuheshimu Tena tofauti na wenzetu wazungu
@mathildemwangaza1093 жыл бұрын
Kama unatabia mbaya bwana hawezi kubaki nawewe inafaa kutulia kwa ndoa
@anitakamene50734 жыл бұрын
Nicee
@aminahhuawei11334 жыл бұрын
Nakupenda sana chuu chuu mungu atakufanyia wepesi
@divinebernard26244 жыл бұрын
Amen namimi nampenda
@user-mm5tf7yn6p4 жыл бұрын
❤❤❤❤❤chuchu🇧🇮🇧🇮
@halimams21274 жыл бұрын
NIKWELI chuchu wanaume wetu ukizaa wanakuona kama huwezi kuishi bila yy
@Noah-se3ni4 жыл бұрын
Lakini kusema Kweli huyu Dada ni mrembo Kweli kwali. Nice interview.
@mathildemwangaza1093 жыл бұрын
Urembo Wa mwanamke ni tabia sio sura nzuri
@sabraabdilnasir88263 жыл бұрын
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh tumejisahau sahau ndugu zangu yote tumeacha mafunzo tulioagizwa ndio maana ukakuta mitihani tulionayo nimingi sana allah atuongoze kwenye njia ilionyooka
@habibatyntosso14364 жыл бұрын
Mimi nampenda sana chuchu hanaga mambo mengi kama wadada wengine wa bongo movie
@ashuraussein75823 жыл бұрын
Nakupndaga kweli 🌹
@mathildemwangaza1093 жыл бұрын
Well done Chuchu
@mutwalesylvie74434 жыл бұрын
Chuchu we mrembo mashallah ila wanaume sio watu
@abubakaryalmas76733 жыл бұрын
Sikutukani ila nakukumbusha tu kua hata baba yako nae ni mwanaume 😂😂😂 na bila ya yeye usingekua
@mutwalesylvie74433 жыл бұрын
@@abubakaryalmas7673 kweli ila sio watu
@juxjemc57684 жыл бұрын
Jaman kwa nn wanawake munapenda kuzalishwa nje halaf hamjui kama munashuka thaman yaan nyinyi munahis kama mwanaume ukimzalia ndio umemkamata kumbe umepatikana ww
@mariamdimosso6214 жыл бұрын
Aaaaaah
@babyhamisi53314 жыл бұрын
Uko sahihi Kaka, mimi binafsi nishapendwa na mwanaume ambae haukuwa na mtoto, nilipo Pata mimba akaapa kunipenda na anahitaji mtoto, mwisho WA siku alisema mie sio type yake baada ya miaka minne, alhamdulilah mie najuwa Nisipopendwa, nikamoove on haraka Sana na yeye hadi Leo analia anasema bado ananihitaji bado kwaajili mtoto niuyouyo nilozaa nae, sikujali wala nini nimejiamini nimejikubali, alhamdulilah niko Sawa kabisa
@zuleyvendor65774 жыл бұрын
Kweli aseeee
@fridamapunda50794 жыл бұрын
@@babyhamisi5331 shogangu had lkn nikaja pata bhana ananizingatia kila ninachotaka napata Ila nimekuwa muoga kumzalia nawaza c unajua tena
@zuweinaalhabsya87734 жыл бұрын
Yaan hapa hata angekuwa amefunga ndoa tungesema kweli Sasa huyu hata ndoa na huyo Rey Hana kabe
@tatumzelela5515 Жыл бұрын
Daaah
@siriyangu47244 жыл бұрын
Mtihani wallah 😭dakika tano kumsujudia aliye kupa izo neema ulizo nazo uwai tena wacgizia mtto kwa kuendeleza furaha yngu yko ya nafc mabinti tupambane na hali zetu mtu akiwa tayari kkuowa ndio ujiweke nae lkn mnaa pamoja mnakula mnapika bila yyote apo ndio waume usema hana haja ya kunnuwa ngombe kama maziwa na nyama anapata bure
@glorianikiza60334 жыл бұрын
Studio nzuri
@chainbre2754 жыл бұрын
Chuchu 🤗🤗🤗🤗💕💕🌹❤️🌹❤️🤝🙌
@tiagolichuchu83494 жыл бұрын
Well educated lady.
@asiajuma83424 жыл бұрын
Creez uko vizuri kuuliza maswali hongera sana yani siku ukiondoka sns nitalia bro sky muongoze mshahara 🤗😜😁
@bettyowiti3974 жыл бұрын
😁😁😁na Mimi natafuta ajira .
@maryamselemanabdalah40864 жыл бұрын
@@bettyowiti397njoo nikuajiri mimi uwe mfanyakazi wangu wa ndani
@mathildemwangaza1093 жыл бұрын
Good chuchu basi sasa utulie kwa ndoa yako
@lilianjeremia10244 жыл бұрын
Duh wambea sio watu wazuri walikupiga pic ukiwa mjamzito wakasambaza🙌🙌
@jinaanhkareem36503 жыл бұрын
Yani Leo ndio nimekuelewa chuchu mtu wa Aina gani huwa Nakupenda kumbe upendo wangu kwako sijakosea naendelea kukupendaaaaaaaaaaaaaa love Sana my wangu
@chainbre2754 жыл бұрын
Kando na mtoto chuchu anapenda snaa ray
@mathildemwangaza1093 жыл бұрын
Hahaaaa umenivunjwa mbavu
@msalikemedia4 жыл бұрын
Hahaha kwa harmorapa ni kiki ile
@ashaomina11364 жыл бұрын
Chuchu kwakweli maneno yako yana busara sana, nakutakia kila la kheri katika kila hatua unayo chukua
@divinebernard26244 жыл бұрын
Ndiyo kabisa tena nampenda yy mzuri ila hanaga skendo hooo Léo uyu mwanaume kesho uyu hoooo ana deti navitoto lakini anajieshimu,kwaiyi anaye mchukiya iyo nikivyake ila uyu mwanamke anastahili Big up saaaaaana
@moniccerhassan18694 жыл бұрын
Aaaaah msitutisheee bwana na sisi uuonje utamu wa ndoa
@mwanaidikhamis54304 жыл бұрын
Mm kinachoniuuuma kua tunakubali kuzalishwa nje ya ndoa huu utamaduni cjui tumeupata waaaapi.
@bahiyamachagge28854 жыл бұрын
bnbnj
@bahiyamachagge28854 жыл бұрын
j
@abubakaryalmas76733 жыл бұрын
Alafu mbaya zaidi amezaa na mtu dini tofauti so inakua ngumu sana apo kuoana
@mariej69623 жыл бұрын
I pray mpate mtoto mwingine, wa kike. Mbona watu watakoma.
@hildaeliapenda39383 жыл бұрын
Usimzalie mwanaume ajakuoa labda iwe bahati mbaya lakini wewe siyo bahati mbaya maana una watoto nyuma mtu awezi nunua maziwa wakati ngombe ndani yuko anakamua siku ngombe atoi maziwa anaenda nje kununua kwa pesa ushaur fungeni ndoa Kama ataki chukua hamsini zako mlee mtoto atakupotezea mda na ataoa kwengine
@florameza34914 жыл бұрын
Unakumbuka mbwembwe ulizokuwa Nazo wakati unamchukua Ray toka kwa johari?
@nyamogafamily42623 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@aishajafa41393 жыл бұрын
nahisi amesahau
@florameza34913 жыл бұрын
@@aishajafa4139 mkuki kwa nguruwe ACHA ayaone maumivu yake
@abubakaryalmas76733 жыл бұрын
😂😂😂 Malipo ni duniani akhera kuhesabiwa wahenga walishasema
@aishajafa41393 жыл бұрын
mtoto mtoto endelea kupoteza muda wangp wamezaa na ndoa walifunga na wameachana
@dainagano36564 жыл бұрын
Jamaaaani kachuchu.........wa pili kuangalia
@aiysharamdhan8994 жыл бұрын
Jamani mbona wanaume ndio haohao umenena
@asiahmhina98503 жыл бұрын
Kwani mtoto ndio nn, sema unampenda Ray
@abubakaryalmas76733 жыл бұрын
Kweli kabisa watu wanatengana wakiwa na watoto zaidi ya 2 sembuse yeye 1 😂😂😂
@asiahmhina98503 жыл бұрын
@@abubakaryalmas7673 Anampenda, sisi wakubwa wenzake bana, asitudanganye. Maana Kuna mwanamke anaishi na watoto wake watano na mwanaume yupo na Mwanamke mwingine, Na maisha tanasonga bila shida. Kwann asiwaze hilo kwa hao watoto wa mwanzo?, Leo ndio anamuogopa MUNGU, na bado wanaendelea kuzini, amshawishi wafunge ndoa Sasa. Baadhi ya wanawake tupende kuwa wakweli kidogo, khaaaa.
@mathildemwangaza1093 жыл бұрын
Nimuongo, huyo mtoto wa Ray sio wa huyo chuchu wakwanza kwahiyo anaeza achana tena na Ray kama kawaida yake
@mariej69623 жыл бұрын
Chuchu na Ray walikuwa private tangu zamani. Sema alipozaliwa mtoto wakaja kama wazi hivi kuhusu uhusiano yao. Chuchu alimsaidia sana Ray kuhusu suala la kama ana uzazi na zile rumours kuwa ni gay. I like this lady.
@ukhtyrayyan78844 жыл бұрын
Kwasababu hata wee mwanamke ukishazaa mapenzi yote unampa mtoto mume ndo basi tena
@mabyserolouchcraig24314 жыл бұрын
Hadija na harmo ni kiki tu
@frejenihalachi80164 жыл бұрын
tunaomba interview na ray the greatest naye
@mathildemwangaza1093 жыл бұрын
Ray ako sawa hana stress
@matolakim4 жыл бұрын
Wenzetu hawazaizai hovyo kama nyinyi umri huo tayari una watoto 3 wakati wenzetu hata mmoja hana
@babyhamisi53314 жыл бұрын
Kwaiyo siku utakapopigwa panga la shingo ukafa utasema kwasababu ya mtoto
@maryjosephat28854 жыл бұрын
Hahaaa
@Shuu.A4 жыл бұрын
Wabongo mnapenda kuzaa njee mnaona sifa paka wee
@hamisa34474 жыл бұрын
Umekosa maneno yote hadi umuite mwenzio jina la mnyama? Hali ya kuwa na wewe ni mwanamke?
@mwajabukiango98914 жыл бұрын
Kwan wewe siyo mtanzania?
@happynessjoseph83503 жыл бұрын
Unaongea ujinga sanaaaa.
@wardawarda45154 жыл бұрын
Unaongea pointy my dear had intaviw inanoga kuskiliza
@mariacassian78923 жыл бұрын
Dada umeongea point kabisa kuvumilia kuchukuliana kusameheana nakukubali vyovyote vile ulivyo na kusongesha maendeleo yenu mengine tupa kuleeeeeeeeeeeeee
@fidelinejohn70943 жыл бұрын
Nimependa sana mausiano yao wamependezea
@priscadaniel73 жыл бұрын
he
@fridolinefrance13534 жыл бұрын
Ray kasema una lia lia chuchu
@tajjudinihaji27764 жыл бұрын
Point ni dini ndo inawasumbua wanawake .kizazi cha adam kina mambo mengi sana .km mtu anakupenda mwambie mimi naitaji uniowe uwezi mpigie buti
@babyhamisi53314 жыл бұрын
Safi Sana lakini Hawa wa naogopa watu watasema nini, unaeteseka ni wewe watu hawahusiani na maisha yako
@esterkapaya66024 жыл бұрын
Ndomana tunasema ni Kiki mbona hafunguki kama ameamua kuyaweka mtandaoni sindoafunguki
@chainbre2754 жыл бұрын
Lkn kakiri kwamba bdao wapo pamoja n'a ray
@bimkubwaali16054 жыл бұрын
wallahi nilihisi millard ayo hiyo sauti
@aishamwinyi35664 жыл бұрын
Kwan wapendwa naomba niulize huyu dada etu ndio kwanza amizwe na mapenz mana naona kama alishawah kupenda au hata huko mwanzo pia alikuwa kama hiv mana sielew
@kibongobongo46084 жыл бұрын
Tatizo wa zamani unakuwa unamsahau pamoja na matukio 😁😁😁
@henriettenkuba70784 жыл бұрын
Jamani watu ambao hawapo TZ kwenye swala la Swahili flux tunafanyaje?
Nampendaga uyo mtangazaj aliyovaa kofia napendaga maojiano yake
@veeJesus4 жыл бұрын
@@hatamimnimempendabulejaman1596 anaitwa crez
@hatamimnimempendabulejaman15964 жыл бұрын
Asante kwa kunikumbusha Jina ndio uwa anajitajaga, Jina yani wapo wawil wanaoji vizur uyu na mwingine Jina nimelisahau alishaoji wengi. Halafu Kuna mkaka namjuwa alikuwa anahekt kwenye six 9 recodi na kina lina siku hizi naye ana tangaza anawaoji wasanii Jina nimelisahau Lakin kavuma, naye anakaa ilala uyo kaka nayosema mwingine Sijui sinko Jina, nimelikumbuka😁
@latifahjanja66794 жыл бұрын
Tunaweza kuiona KZfaq????
@aminanamoyo834 жыл бұрын
Nice interview, Chuchu & Rey twapenda couple yenu msiachane mnapendezana sana 😉❤
Kweli kabisa nilipenda Sana mahusiano ya Ray na Johari lkn alivyoingilia huyu chuchu alikufa
@khamoshmikidadi92624 жыл бұрын
Kiukweli uyu kaka wa kati apo nampenda sn wallah sijui t nampataje🤔
@alimairakoze37844 жыл бұрын
🤔🤔🙄
@allthingdranabeauty4 жыл бұрын
Ahhhh mfuate insta
@subirarajabu79463 жыл бұрын
Mh
@khamoshmikidadi92623 жыл бұрын
@@allthingdranabeauty anatumia jina gn
@allthingdranabeauty3 жыл бұрын
Khamosh Mikidadi Nenda insta simulizi na sauti wanamposti tafuta jina lake
@zaitunijuma78314 жыл бұрын
sikuzote hakun mwanamke anaependa kuza kila mtt na baba ake Sema wengi wetu tunakurupuk kuingia kwenye mausiano ambayo sio Salam ukija kushtuka Tyr una mtt nae mwisho wa siku mwachan na bad unaitaj kuingia ten kwenye mausiano ss kinachotakiwa nikujipanga upya ili kupat alie bora Zaid na kutulia nae lkn et nikaza nae ndo atanipenda Zaid au hatawez kuniacha so kweli hp nikujidanganya km mwanaume a nakupend ht usipo zanae bad upendo utabak plelpl
@babyhamisi53314 жыл бұрын
Kweli kabisa, pia kila mwanaume anapenda mwanamke kulingana na anavyo taka yeye, kama wewe sio anaekwenda nae Sawa hata uweje hawezi kukupenda
@zaitunijuma78314 жыл бұрын
ndio
@FatmaAli-oy7yu4 жыл бұрын
Kwn chuchu ana watt wengine?
@zaitunijuma78314 жыл бұрын
ndio anao
@supertallone19024 жыл бұрын
Well said dear
@mwinyimatopa22833 жыл бұрын
Naona kama kiki tuu wanapromote movie Yao hawa
@happypius93604 жыл бұрын
Msimsingizie mtt nyie endeleeni na uzinzi wenu
@dominakimario76514 жыл бұрын
We umezini Mara ngapi acha uboyaa
@mathildemwangaza1093 жыл бұрын
Nayo mtoto amezungumuzia sio mtoto wake wa Kwanza kama hataki kuvumilia atabaki anazaa zaa kila mtoto na baba yake na hiyo sio poa, tulia tu na huyo Ray ambae amekubali kukuowa
apo na mm niliposhangwazwa halafu unasema mungu akusamehe kweli jamani kwenye dini tusifanye mzaha mana ht ayo mambo mengi ni neema kutoka kwa mungu
@hadijamandanje61894 жыл бұрын
Tena namuomba Allah anisimamie,sasa unapopata matatizo unaswali kumuomba msaada,mbona naona aibu kumuomba wakat nikiwa na amani najiona sina nafasi,Yarabi tusimamie waja wako tuwe na mwisho mwema
@mutwalesylvie74434 жыл бұрын
Je wewe unakuaga na swali au ndo yale kuingilia vyawatu tu
@upendomushi52763 жыл бұрын
Hawezi hayupo kwnye ndoa anadinwa huyo mungu anaongea nae vp