Achilieni mara mbili kwa wiki jameni hii inachelewa sana kama mnaniunga nipe like❤
@LewiiBrizy15 күн бұрын
Pia na kubaliana na wewe .....msichukue mda mrefu kuwachilia iyo sehemu ingine.....sinema zote za kakoso na zipenda Sana ..asanteni wausika wote ..
@saidathmurekatete93815 күн бұрын
Kweli wanatukawiza sana
@Merry-ek5mj14 күн бұрын
Kabisa yani wanachelewesha sana angalau kwa wiki mara mbili
@AugustinNduwayezu11 күн бұрын
Nikweli
@iqttanzania9 күн бұрын
❤
@kingcicero170815 күн бұрын
Nilisema kwamba NTANZI ajamezwa na nyoka ile ilikuwa ni ndoto, kumbe ni mawazo na MWASI, leo mmeona acheni kuomba likes tu, muda mwingine toeni maono ndugu zangu. One love from Mozambique 🇲🇿🇲🇿
@milliardere917715 күн бұрын
Ndo naelewa sasa
@user-qd7ey5cp5s15 күн бұрын
Kweli🎉
@bellrajkachafuo781315 күн бұрын
Wametucheza nilidhn n ndoto bana kumbe wazo
@irenekaro284815 күн бұрын
Mbn hiii hatari
@SwabrinanurdhinSwabrinanurdhin15 күн бұрын
Kabsa watu hukumbilia kuomba likes tuu
@AdrianodePaul15 күн бұрын
Hongera snake boy ina views weng kuliko nyimb za bongo flavour wapi team clam🎉🎉🎉
@janviernzosaba714514 күн бұрын
Big up sana clam vevo unakipaji ca hali ya juu sana
@Mr.D.N.A13 күн бұрын
Unajisahau sana wew,sensema siku Moja ilikua na viewers 1M
@jordanbarweta342915 күн бұрын
Kuna jamaa mmoja ana manywele kibao na mandevu mengi amevaa kanzu fulan hivi sijui anaitwa Tanna sijui nan Dah Jamaa anaigiza vizur kinoma,Ana composer sana mwamba maua yake❤❤❤ 🔥 🔥
@sirviadominick15 күн бұрын
Namm nampenda
@HubaMsangi14 күн бұрын
Tanu
@user-es7xd3bg7c14 күн бұрын
Tanuuu❤❤❤ msaliti 😅
@jacksonmassato801715 күн бұрын
Tunaosubiria vita ya zinga na chief, gonga like hapa
@Kingmbayo15 күн бұрын
😂
@CandyLoud15 күн бұрын
😂🤣🤣😂😂 ila yahitaji wanao ona mbali ndo wataelewa nini umemaanisha😜
@bashirunakona294515 күн бұрын
Zinga kaenda kujipanga
@jescahaule480214 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@hamisichipa900812 күн бұрын
Na inapoelekea Zinga atashirikiana na Ntanzi. Itakuwa noma
@lemmyajabu834815 күн бұрын
Tangu nianze kufautilia snake boy sijai pata like ata moja... 254 fans let's gather here
@zeyruqhassan462915 күн бұрын
Tuko
@BarackZephania15 күн бұрын
Huo ni ushamba kiwango cha lami
@SHEDDTz-k8g15 күн бұрын
Weee ni mshamba
@Kabeya41015 күн бұрын
Hovyo kenge manyoya inaomba like 😅utadhani kacheza 😅vya bure utauponza mk... We omba tu
@gracedzombo577215 күн бұрын
Huwa mkipewa hizi like munashiba ama😂😂😂😂
@aishasyala154715 күн бұрын
Siku bila akikufa naacha kuangalia snake boy....."waachaaa".....nampenda sana bilaa
@ArafaKajoki15 күн бұрын
Nilikuwa nasoma comment tu lkn niwambieni kuwa naipenda sana snake boy, mungu awabaliki wahusika nawafatiliaji poa❤️🔥
@mauaharun556415 күн бұрын
From Kenya kama wakubali snake boy gonga like tukipita🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇶🇦🇶🇦🇶🇦
@holykidke15 күн бұрын
From kenya 🎉🎉clam snake boy the best
@GilbertKasina15 күн бұрын
Nakubali
@mtasha588615 күн бұрын
😂 😂 Ruto must go..... Anguka nayo
@user-ck8ld8nz6o15 күн бұрын
Ww uliekuepo kenya unapata angalau kuanglia snake boy naona mupo vitani saivi sizan kam munaweza shuhulikia filam
@joshuasakwa154815 күн бұрын
@@user-ck8ld8nz6oTuko Kwa vita na nani wakati mandamano yenyewe tuko na simu na power bank data ikiwa on
@DonMapro-d6y15 күн бұрын
Waliogundua camera ya Leo ina balaa weka like
@luluelia-yo2rg15 күн бұрын
😂😂😂
@mohammedkidody561810 күн бұрын
😂😂😂
@djsonofficial548715 күн бұрын
Kazi nzuri sana clam👋ila director😂😂waliopenda namna singo(bubu) alivyoweza kuongea like zenu hapa😂👉
@ErickEzekiel-lj8mu14 күн бұрын
Clamo vevo na timu nzima hakika mmeuwa sana snake boy bonge la movie haijawahi tokea yani inafatiliwa na Africa nzima pig up sana kaka clam 🔥👍🙌
@Mzalendotanzania15 күн бұрын
Kama unamkubali clam weka like hapo
@IsackDevidiMc15 күн бұрын
🎉
@Sempai_Adui15 күн бұрын
Mwambie awaishe kaziiii,asikae muda mrefu
@Maunya53015 күн бұрын
Tunasubr hd tunasahau matukio yaliyopita.
@nyereremkama384515 күн бұрын
Toa na wewe like na watu wakupe usiwe mchoyo wakati wewe unataka like
@hansmgaya470415 күн бұрын
Tuna sahau matukio ya nyuma
@KizaRachid15 күн бұрын
Namimi leo naombeni like zangu vipenzi vya snake boy japo nimechelewa dakika 40 tu a boy from 🇱🇷🇱🇷
@Wmoviesrecap915 күн бұрын
Aaaah noma sana
@machotz111315 күн бұрын
This is the real meaning of series I never thought of return of SHAHIDI and his family Ngoma inazidi kunoga
@MtiliCharles12 күн бұрын
Tangu nianz kufuatilia snake boy sijai pat like at moj from🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@julzproperties374415 күн бұрын
Nimekuwa wa kwanza leo Director Kasoso nipe like zako from Kenya 🇰🇪 twawatazama
@freddedresscode295115 күн бұрын
Wakwanza kutoka burundi Bujumbura 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮nipeni like zangu
@user-mv6vi1gv6f15 күн бұрын
Ibuja majahe 😂😂naguhaye izo like
@milliardere917715 күн бұрын
Niko buja tujuwane
@milliardere917715 күн бұрын
@@user-mv6vi1gv6fatubwire tugemure
@MayaOuthman-bd8bg15 күн бұрын
@@milliardere9177 Tujuane kbs😂😂
@MayaOuthman-bd8bg15 күн бұрын
@@user-mv6vi1gv6f Maramvya 😂😂😂
@sivamusic223414 күн бұрын
Dah mbn mnabagua jamani ebu nipe like ata 1000 kama kweri ww mfatiliaji mzuri wa #snakeboy #sivamusic #mama #mamaamina
@user-dq8sy1ey5u15 күн бұрын
Wenye hawakwamini mtanzi alimezwa na nyoka mpo,hongera sana Clamvevo❤❤❤
@pkcamlesh246515 күн бұрын
Hivi hizi likes mnaombaga huwa mwazipeleka wapi,Clam much love from Kenya 🇰🇪nakukubali sana
@linnusaloyce655915 күн бұрын
Moto ni ule ule ukija kuuzima umekoleza zaidi😂😂
@abudailamy257715 күн бұрын
Huyu jamaa ni fala sana yaan ameigiza ufala sana yaani mkewe amekuwa dadake fala sana
@AminaSadallah-yi1dv14 күн бұрын
Wee aseme ili afe kumbuka nabii Ibrahim na mkewe
@EnikahGeorge-fj6ow13 күн бұрын
So sad
@jeremiapeter68311 күн бұрын
@@AminaSadallah-yi1dv Ep iliyo pita mwanamke Ali mtoa Mumewe sadaka kwa mizimu ili Laaana itoweke kwa Hiyo jamaa yupo Sahihi tu..kusema huyo Ni Dada yake..una weza kuvimba mwishowe kifo ksicho na Faida yoyote..
@PetroMarko-x3g11 күн бұрын
Kaka hiyo nizuri sasa ila unaichelewesha sana
@PetroMarko-x3g11 күн бұрын
Kaka wahi kuitoa hiyo inayofuata
@rachelpaul46015 күн бұрын
Wanaoumia kuona snake boy wanachelewa kutoa vipande wa like ili watuwahishie kaz
Nimeisubiria hii snake boy Kwa mda mrefu sana nimeukubali sana na wewe kama umeikubali mwaga like yako apa😂😂😂
@user-xb3nk9cl6d14 күн бұрын
Utawa wa kibabe kwenda mbele jaman mtu anatetemeka had mke Anasema dada kwa uwoga ama kweli snake boy inafunza sana clam pokea🎉🎉🎉 yak
@BRARITOHCOMEDY15 күн бұрын
Nimeingoja kwa hamu sana na kwa hakika imefika.asante sana group wa clam vevo..wap likes zangu kutoka kenya kisii
@SafariJamal15 күн бұрын
Kumbukumbu zangu zinanambia wewe n Odama,,,,sio wageni machoni mwangu. Ziambie zikwambie zaidi.... 😢😢 Noma sana aisee. Big up VEVO from+254🇰🇪
@yassinmuoki998215 күн бұрын
Nilikua Nisha Anza kusema Kama jamaa kamezwa Sito angalia tena. Leo nime enjoy nika mkoko umeanza UPYAAA😂😂😂
@BacarDaudo15 күн бұрын
Eu só de Moçambique mais essa história gosto manique boa história bata palmas para Tanzânia❤
@user-ii1ym5fe7j14 күн бұрын
🎉🎉🎉
@sergesntunzwenimana15 күн бұрын
Leo ndohuu Mimi snake boy 2ep27 nigonge like
@Shizzoh-f4k15 күн бұрын
Kama unamini kuwa mungu anakupenda tujuane kwa like❤️
@BushiriLouis15 күн бұрын
Shaidi 😂😂😂 wewe ndie kiboko, nakukubali sana mshikajiwangu🎉🎉🎉
@user-eq6ju8qs2q15 күн бұрын
Bom trabalho pessoal 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 Cabo Delgado_Mueda...🎉🎉🎉🎉🎉🎉Moçambique❤❤
@muhiirwasadiki44815 күн бұрын
Congratulations, may Allah protect you and guide you in your activities. I am Congolese I really like your talents 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@charlespatrick863215 күн бұрын
Ubuntu botho Leo tupo pamoja nipeni like nikupe like bega kwa bega
@OmarJeshi15 күн бұрын
Imagine Mimi tangu snake boy ianze sijapata likes ata mia😢bs acheni roho mbaya kiasi hicho maana nyie na mandug 5:32 u❤
@SinemaZaChina15 күн бұрын
safi mkuu kiliochangu ni kile kile muweke subtitle ya lugha ya kiingereza
@h.ghoyaa111014 күн бұрын
Kwa ajili yako ama ndio world wide
@SobiTz13 күн бұрын
Wazo Zuri pia
@MohamedKalivata-qr6sr15 күн бұрын
Hana baya tajirii wanao amini snake boy ya moto wa like hapa
@mohammedkidody561810 күн бұрын
Hii ni ya kwanza Tz nzima❤🎉
@user-nh5zw9fg1h15 күн бұрын
Woyooo mamb ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌🔥👌🔥👌🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉👌👌👌👌👌👌👌gonga like hapa kama waipenda hii kazi❤❤❤❤❤❤
@user-gz5wr1bg3c15 күн бұрын
Na Mimi Leo niombe like Moja wakubwa
@Christine-ho5us15 күн бұрын
Kazi nzuri Vevo sijui mbona watu huomba likes si mnijanue guys 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@JUMAschibwanaChibwana123414 күн бұрын
Wanazifanyia nin hizo like wanazoziombaga
@husnabilali309915 күн бұрын
Clam unakitu baba utafika mbali Kaz nzuri sana mungu akuongezee ubunifu🎉🎉🎉🎉🎉
@nyamiziramadhani423215 күн бұрын
Anajua yaan katoa kitu cha kipekee sanaaaaa
@ZulfaMjege15 күн бұрын
Tulokuwa tunaisubri kwa ham snake boy tujuan kweny like ❤❤
@patrickkalu447715 күн бұрын
Mmmmmmh
@LinaahSangah-ec2zw15 күн бұрын
Mimi.hapa kipenz changu❤❤
@Kwaricha15 күн бұрын
Boa noite amigo
@silviaalphonce15 күн бұрын
Nanii nae amekua wamwisho jmn 😎😊
@JUMAschibwanaChibwana123414 күн бұрын
Snake boy inatisha san alafu haina mpimzan viwaz nyingi san John Martin
@user-wh7jf1el8h15 күн бұрын
One love 💕💕 from ndola district of Zambia 🇿🇲💯💯💯
@apendwemwamahonje765015 күн бұрын
Watu wa mbaliz tujuan naifatilia San snake boy ❤❤❤❤
@HappyNicholas-be2yn15 күн бұрын
Nikisema wakwanza nitakua nawadanganya naomben like team vevo❤
@JUMAschibwanaChibwana123414 күн бұрын
Juma chibwana umetisha san
@zephbaraka15 күн бұрын
Very amazing..... following this episode all the way from Kenya .
@EMANUELKibelenge-wr2ep15 күн бұрын
Nice job ❤ God bless more work that mnayo fanya 👏👏
@SharifuAlbughuli15 күн бұрын
Mbn kam adama kam Ana love bite 😂😂😂😂😂
@eviepretty264612 күн бұрын
Inaonekan kabla ya kuingia location alipigw shoo Kali Jana yake🤣🤣
@MwanamisiBakari-xh3jo15 күн бұрын
Nakubali kazi nzuri clam n timu yote kwa kutuletea kazi nzuri ❤❤❤❤
@Krod23-p8s15 күн бұрын
Uyo jamaa aliye mkana mke wake aseee💔🥺
@mwarabumbarak434215 күн бұрын
Kwa sababu angesema ni mkewe chifu angemuua.
@LovelyBabynino14 күн бұрын
Ndio
@DuniaMayombo6 күн бұрын
Nikweli lakini inaumiza sn😂
@abdullyza53215 күн бұрын
yani snake boy inasisimuwa kila cku unatamani icmalize.....good talent creator director❤❤❤❤
@al-bleproshooteur192215 күн бұрын
Hii Kali caméra ya Léo daah nipeni like zangu wazee From m23
@JescaIrakoze15 күн бұрын
Kazi nzuili lakini mbona mmepunguza tena dakika afu munayuacha njia panda kuwa munawahi bana gonga like basi hap
@hammyboyofficial88515 күн бұрын
Wakwanza naombeni like zangu jamani...
@davkatembobaba933812 күн бұрын
Ongera sana kwa timu yote. Mchezo iko vizuri kabisa kabisa.🎉🎉🎉 Like moja itakuwa vizuri jamani
@user-di5xq6xm3n15 күн бұрын
Clam vevo tengeneza ata vi chekesho kidog watu wanagombania msemo huku badala ya kufanya kazi😂😅😅 nyoo naijua iyooo😂😂😂
@AsiaOmar-mr7bk15 күн бұрын
Ilikua nimeacha kuwangalia muvi za kiswahili baada yakumfuwatilia clam saiv siwezi kosa kuangalia waswahili wamerudi kwa moto kuna clam " rk & kp mungu awape maisha marefu na afya njema wazidi kutuburudisha
@BeatriceEmanuely-ow9bj15 күн бұрын
Fatilia ata mbwela media yuko vizur
@mohammedkidody561810 күн бұрын
Kabisa yn wote hawa wana vipaji wameamua kurudisha tasnia ya filamu Tz wanastahili tuzo❤🎉
@Pazijr15 күн бұрын
Natumai na mm leo nitapata like maana kila siku mnaomba nyie tu😢
@BeatriceMussa-y4b14 күн бұрын
mmh sasa baba ao na odama si alijinyonga akafa jaman 😂😂 kafufuka !!
@jaffariomar425015 күн бұрын
Hata kama kuigiza lkn hicho kipande cha kumkataa mke wangu hilo haliwezekani
@FredYassineCheia-di7yj15 күн бұрын
Wa kwanza kutok mozambique nipeni like Zang 🇲🇿🇲🇿 good job
@DadeMussa-n8k15 күн бұрын
Nikupe like kutenda kinani
@MayaOuthman-bd8bg15 күн бұрын
Kama umefurahi kumuona Shahidi nipe lnk❤❤❤
@NaaMakanu15 күн бұрын
Mm wa mwixho naombeni like zangu❤❤❤❤❤
@LylahMrombo15 күн бұрын
❤❤❤😂😂😂😂hyo ndo Ile wanasema mbuzi kafia kwa mwenye supu sio