DC ARUMERU ATOA TAMKO DHIDI YA SOKO LA TENGERU ARUSHA

  Рет қаралды 4,472

MERU DISTRICT COUNCIL

MERU DISTRICT COUNCIL

16 күн бұрын

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Emmanuela Kaganda amefika katika soko la Tengeru na kuweza kutoa Tamko la Serikali lakuwataka Wafanyabiashara katika soko hilo kufuata taratibu zilizowekwa ili waendelee kufanya Bishara zao kwa amani bila usumbufu wowote
Kaganda ameyasema hayo mara baada ya muda mchache wananchi kufunga Barabara na kugoma kuhama kutoka barabarani kuelekea katika maeneo waliyopangiwa

Пікірлер: 3
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 14 күн бұрын
Mnapanga soko wakati limeshaharibika tangu mwanzo ,shida ni hivi ,eneo la soko linapotengwa halmashauri inaruhusu na kuwauzia watu wengine viwanja ndani ya soko unakuta maduka yanajazwa ndani ya soko na kufanya eneo la soko kuwa dogo sana ,hilo soko halitapangika labda eneo liongezeke . lakini .Barabarani Kwa biashara haifai
@gadielmungure9711
@gadielmungure9711 12 күн бұрын
Tatizo mmejenga nyumba kwenye eneo la soko watu wanafanya biashara zao barabarani ndani na nje kwasababu hakuna uwanja wa kutosha wafanyibiashara
@zainabmakwinya5554
@zainabmakwinya5554 14 күн бұрын
Kazi iendelee
Пробую самое сладкое вещество во Вселенной
00:41
We Got Expelled From Scholl After This...
00:10
Jojo Sim
Рет қаралды 72 МЛН
КАРМАНЧИК 2 СЕЗОН 7 СЕРИЯ ФИНАЛ
21:37
Inter Production
Рет қаралды 368 М.
Zorgvuldige journalistiek is belangrijk - BM Media Lounge
17:02
BM - Broadcast Magazine
Рет қаралды 438
DC KAGANDA ATOA POLE FAMILIA YA ALIYEKUWA MSHILI MKUU
4:31
JE UMEJIANDAA NA SAFARI YA KESHO 30 June 2024
4:46
Abu Shuraim
Рет қаралды 218
MABISHANO YA LUHAGA MPINA NA BASHE BUNGENI / JIBUNI MASWALI SIO MNALAUMU WATU
6:03
Пробую самое сладкое вещество во Вселенной
00:41