Allahu Akbar! Allahu Akbar! Allahu Akbar! Allah Akupandishe daraja kwa kazi yako nzuri ya kulingania waja Wake katika dini ya haki,Sheikh. Huwa wanifurahisha sana,Imam Shafi.😅😅😅👍👍
@tanzanian88473 жыл бұрын
Alhamdulillah kuumbwa muislam. Allah atuhifadhi n atupe mwisho mwema. Allah awalipe kheri nyingi masheik wetu
@abbaimran41223 жыл бұрын
Allahu Akbar,Mashekhe wetu Allah awalipe kheri hapa duniani na kesho akhera maana juhudi mnayofanya ya dini sio kidogo. Alhamdulillah kuwa neema ya Uislamu
@hassanmirambo5644 жыл бұрын
Ibrahim Bakonzi ndani ya nyumba asanteni sana ALLAH awajaalie kila lakheri wahadhiri wetu wa Kiislam
@yahyanduwayo62094 жыл бұрын
Ustazi Shafii iko vizuri kwakweli Allah akuzidishie elimu sheikh wangu
@muksinally21445 жыл бұрын
Ninacho kiona hapo n kwamba wakristo wana tafsiri biblia kwa kichwa chao wakati biblia inajitafsiri kwa biblia yenyewe,. Ahsante sn Allah kwa kunipa neema ya uislam
@frankjohn85704 жыл бұрын
Muksin Ally biblia haijulikani kwa watu wamataifa hilo halibadiliki mtu asiekuwa na ROHO wa Kristo hajifunzi kwa Kristo ndimana wanasema wapotoshaji eti ulimwengu ni Israel pekee ,sasa wasubirie mwisho wa ulimwengu YESU atakapokuja kuhukumu kama itakua kama wanavyodhani bora umwamini Bwana YESU uwe mtoto wa Mungu usjetupwa jehanam
@sokakilumbi92934 жыл бұрын
@@frankjohn8570 yesu hawezi kuhukumu kwa sababu yeye sio mungu na wala hajui iyo siku ya hukumu itakuwa lini na saa ngapi Matayo:24.36 Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake. na yesu sio mungu nikiumbe kama wewe anakula na kunywa kama binadamu wengine Luka:7.34 Mwana wa Adamu amekuja, anakula na kunywa; nanyi mwasema, Tazama, mlafi huyu, na mnywaji wa divai, rafiki wao watoza ushuru na wenye dhambi. na kiumbe dhaifu kama mimi na wewe Matayo:26.39 Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe. ..umeona hapa yesu anaomba sasa kama yeye mungu vipi aombe!!!! na ukiona kiumbe anaomba basi ujue icho ni dhaifu hakiwezi kujikidhe haja zake chenyewe.. so yupo anastahili kuabudiwa na ni mmoja tu hakuzaa wala hakuzaliwa na hana mshirika katika maamuzi yake uyo ndie atakae hukumu baina ya watu wooote mimi na yesu pamoja na wewe na wengineo tutahukumiwa na yeye.
@alliabdullah61803 жыл бұрын
@@sokakilumbi9293 mfundishe huyu sisi Allah katupa elimu ya maandiko👍
@arafatkhalid43914 жыл бұрын
Kuna Tofauti Kubwa Sana Kati Ya "ELIMU" Na "AKILI" Kibaya Kuliko Vyote Ni Mtu Kukosa Vyote Kwa Pamoja!
@rahmakishiwa15283 жыл бұрын
😀😀😀
@mwanaimaabdallah78253 жыл бұрын
🤣🤣🤣😂
@rashidmohamed19494 жыл бұрын
Alhamdulillahi Alhamdulillahi Alhamdulillahi Alhamdulillahi Alhamdulillahi x infinity kuwa Mwislam
@yusufathman24783 жыл бұрын
Wallah ..nmekumbuka aya "khatama llahu alaa kuluubihim wa alaa sam ehim wa alaa abswaarihim ghishaawatun"
@husseinibrahim54383 жыл бұрын
MA SHA ALLAH SHEIKH SHAFI MAY ALLAH GUIDE AND PROTECT YOU AND YOUR DA’AWAH GROUP ALLAHUMMA AMEEN.
@yia737 ай бұрын
Kweli ulimwengu lakini kwa mayahuudi tuu
@rashidmohamed19493 жыл бұрын
Shkh SHAFII MMEWAGARAGAZA JAMAA ILE MBAYA Takbeer
@francinensavyimana56013 жыл бұрын
Bado nibilia inazidi kuonekana upungufu nusu yete ya bibilia ni akili zakibinadamu kwamwenye kuzingatiya nakufwata haki na kweli
@fatmazullu49334 жыл бұрын
Very clean sound! Sheikh Shafi all the best and Allah bless you!
@handenitakuru66963 жыл бұрын
+255684371516,I have things with you please text me
@muhammadkipangatv26742 жыл бұрын
آمين
@mrconfusedj96204 жыл бұрын
Kama kitu unakijua hakikupi shida wakristo wagumu kuelewa
@sosdododo56533 жыл бұрын
Mashaallah hii ni yakitambo sijawahi kuiona kama alivyosema ustadh shafi huu ni mtahani lakini kwavile wao niwalimu watafundishwa tu nawame fundisha vizuri kabisa hata kama ni mtoto wamiaka 6 ataelewa manake wanafundishwa neno kwa neno one by one vizuri mungu awape subra masheikh wetu
@husseinshaban71814 жыл бұрын
Nafurahi mtiririko ndani saudi Arabia mada safi undugu katika elimu salama mungu ajalie WAPate Dini na imani kamilifu
@popod1775 жыл бұрын
Kwani huwa hawayaoni haya maandiko, hadi waislam wawaonyeshe kila siku.. Ukristo ni shida
MashaAllah! Great debate. Waislamu wameweka elimu sawa kabisa. Mungu awezidishiye.
@oscarramazani12893 жыл бұрын
Wakirsto maneno mengi yasiyokuwa na msingi, wasio waisrail wajing'ang'anizao kwa Yesu , Yesu kawaita Mbuwa.
@athumanihimbawe44344 жыл бұрын
Maasha allah,allah awaongoze wahaadhiri wote waisilaam.
@ismailyussuf18054 жыл бұрын
Shk.Shafi,ALLAH ATAKULIPA KHERI INSHAALLAH.Huyo akiliyake iko KISOGONI.
@salimalmahrizi3955 жыл бұрын
ustadhi Shafi Allah akubariki yaani wewe tishio kwa Wakristo wooooooote.
@hamidahamida14734 жыл бұрын
Alhahu.akbaru
@HassanAli-eq8ko3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿mashaallaah mola tuhifadh ss sote...pamoja na mashekh wetu wote.....🇹🇿🇹🇿yarab wahifadh wahadhir wa kiislamu amiin yaarabaliaalaamiin 🤲🤲hongra sana ust shafii mola azidkusaidia 🤝🤝🤝
@harithwhite5895 жыл бұрын
Mpiga picha nakulaumu sana, wakati Ustadh Shafi anawachamba unashindwa hata kutuonesha nyuso za hao maaskofu wanavyodhalilika ili tuone wanavyo react.
@keazi96384 жыл бұрын
Harith White majafili nyie
@jamaldinhamady86874 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁
@zachariabin54004 жыл бұрын
Ahahaaaaaaaaaaaaa
@najmagudeh2034 жыл бұрын
😂😂😂
@ashajuma86864 жыл бұрын
😆😆😆
@abujamalaalghammawiy74704 жыл бұрын
Nilichojigunza hawa wachungaji wanajibu na kuchambua maandiko kwa maoni yao na mitazamo yao, ila waalimu wa Uislam wanatoa maandiko kama yalivyo bila kupepesa andiko kivingine
@ashtube13332 жыл бұрын
Very clear Speech
@Bosskasimu0111 ай бұрын
Masha Allah
@kimoyochemokos69084 жыл бұрын
Hakika maswali hayo na majibu, yatatujenga sisi kiimani. Allah awajalie hawa mrengo mwingine, waelewe maandiko na tuwe wote waisilamu moja, dini moja.
@user-qz2yd5wm2m4 жыл бұрын
Mashaa ullah shekh shafii Allah akuzidishie
@rehemaahamadiahmadi5665 жыл бұрын
Ustadh shafii nampenda Sana yaani katulia tuli akijibu yuajua Bible and Qur,an
@fetrishakaza14734 жыл бұрын
Mungu aziilishwi kwamaneno bali kwa nguvu
@rehemaahamadiahmadi5664 жыл бұрын
@@fetrishakaza1473 lyo yako peke yako
@fetrishakaza14734 жыл бұрын
@@rehemaahamadiahmadi566 uondoukweli mungu simaneno bali ni nguvu nyikilasiku niwatuwaneno nguvu kwenye majini kwenye falaki
@rehemaahamadiahmadi5664 жыл бұрын
@@fetrishakaza1473 haaya
@sokakilumbi92934 жыл бұрын
@@fetrishakaza1473 Nyinyi makafir ndio mna majini..
@abdallahissa26174 жыл бұрын
Mazinge alishasema maswali yetu sis waislaam hayajibikii huyo bwana anajikanyaga tu Allah awalipe kila la kher mashekhe wetu mnaowaonesha din ya hakii.
@alibell52463 жыл бұрын
Najivunia kuwa muislam alhamdullah
@jamalathman62193 жыл бұрын
Mashallah masheikh wetu,Allah awape umri mrefu muzidi kutangaza da'waa ya kislamu,muwaelimishe wasiokua waislamu kuhusu Dini ya haki na mtume alietumilizwa kwa watu wote
@francisjoseph10742 жыл бұрын
Mchungaji umeelezea vizuri sana kwakua waislam nipasua kichwa hawawezi kuelewa maandiko
@samwelbunzali19142 жыл бұрын
Shafii uko vizur Sana inn-shallah mungu akujalie mwisho mwema amiin.
@anicetnahayo24834 жыл бұрын
Mwenyezi mungu awalaisishie kwa kila jambo ma sheikh zetu.
@hamisihassan36344 жыл бұрын
Mashallah shafii umetulia kweli kweli
@nasibodaudi2135 жыл бұрын
Sheki shafi MUNGU akubariki kwa elimu zaidi
@hemmedrashid7854 жыл бұрын
Masha Allah ustadhi shady wape Darsa hao wapotevu
@jjtm1642 жыл бұрын
Asante mwalimu wa kikristo kwa maelezo ysnayo kuwa sana
@omarabeid13634 жыл бұрын
Tatizo shule kama sh shafi anavyo sema
@salehesengiyanka53973 жыл бұрын
SHAFII UNAFUNDISHA VIZURI SANA AMBAYE HAKUELEWI ANA KICHWA KIGUMU SANA
@mohammedamour92814 жыл бұрын
Maashaallah shafii Allah akuongoze akuepushe na Upaku
@rilkabuya65194 жыл бұрын
Uisilamu ndio dini ya haki 2
@aishaarusha8943 жыл бұрын
Amin
@hassandormkeyo48672 жыл бұрын
Mashaallah sheikh shaffi 🙏🙏🙏 Allah akupe maisha marefu sana lakini pia aufanye mwisho wako kuwa mwema
@raiswamaraishalisi84264 жыл бұрын
Raha wallah ! Nabivunia uislam Na kua muislam
@mwakajohn18194 жыл бұрын
Usilojua ni usiku mnene. Unajivunia njia ya upotevu, pole sana.
@najmagudeh2034 жыл бұрын
Mwaka john... pole ww ambae unaingia kanisani na uchafu wako
@mwakajohn18194 жыл бұрын
@@najmagudeh203 nakuonea huruma, sala za kinafiki ni zile zinazoagiza kuosha kikombe nje. Sala ya kweli unaanzia kusafisha ndani, kisha nje. Matendo ya mwili ni agizo la shetani. Unapotea kwa kutojua ukweli halisi wa mungu.
@kijanahodari20804 жыл бұрын
MashaAllah hawa watu lazima waelimishwe ili waukubali uislamu
@HassanAli-lt4xm2 жыл бұрын
Wallahi shafi anafurahisha na anaelimisha
@rayaali75513 жыл бұрын
Daaaah chezea SHAFI WEEE 🙆♀️
@andanesalimoandanesalimo17854 жыл бұрын
Sheikh wangu ALLAH awazidishiye
@ashtube13332 жыл бұрын
Shafi speech inaeleweka clear
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Mashallah.
@OmanOman-bh4yh3 жыл бұрын
Eee mungu nashukuru kuzariwa muisram na unipe mwisho mwema
@user-bi4um8cn2u3 жыл бұрын
MASHALLAH. SHEKHE. SHAFI. M/MUNGU. AKUHIFADHI. NA AKUPE. ELIMU. VIZURI. YAARAAB.
@issamohd99554 жыл бұрын
Mashaallah kila lakheri masheikh wetu kwahakika twajivunia sana juu yenu Allah awape umri mrefu na mwisho mwema kwasote waumini wa kiislam tuko pamoja masheikh wetu mkono kwa mkono hadi peponi
@rashidodinga20534 жыл бұрын
Jaazzaka LLAH kher
@abiseniyaboyethiopianboy55533 жыл бұрын
Mashaalah
@mohamedrashid8615 Жыл бұрын
Shaffi Allah akulinde na hasad za binadamu in Sha Allah
@111dudi3 жыл бұрын
Ustaafh Sharon, Mungu akulinde na akufanikishe.
@ikramtryphon14865 жыл бұрын
Safii ostadh shafii nimekuelewa sana umemaliza hoja
@jeanmubemba12045 жыл бұрын
Shafi maana ya aya hizo mbili,sikutumwa ila kwa ajili ya kondoo waliopotea waisrael,huwezi ielewa maana huamini kama alikufa na alifufuka,hujui nini maana ya kifo,chake,aliwakataza kwa sababu bado alikuwa hajamwaga damu yake,alipoimwaga damu yake ndipo alipoununua upya ulimwengu wote,ndio maana anajiita mwana wa adam.Baada ya kuununua ulimwengu wote ndipo anawaagiza akisema enendeni ulimwenguni wote mkaihubiri injili kwa kila kiumbe, aaminiye na kubatizwa ataokoka na kuurithi ufalme wa mbinguni. Shafi,kubali mtume aliposema yaa isa in mutwafiki'hakika sisi tutakufisha,ndio maana mtume amemwita neno la mungu aliloliweka kwa mariam hahah hayo yote hamyajui ninyi ni abiria wa yesu, wote waislam,ndo maana anarudi kuihukumu dunia na kuamua nani aingia mbinguni na nani asiingie,shauri yako batizwa unachelewa muda umeisha.
@fatmanasornasor90474 жыл бұрын
@@jeanmubemba1204 shafi hawez kuamini kama yesu hakufa maana hakufaa
@aminakidunda89813 жыл бұрын
Mashaallah akiwepo ustadhi shafii hakuna kinacho haribika watakuelewa to allah azidi kukupa afya ili ndug zetu wazid kuielewa din ya.haq
@ibraimodinodino8285 жыл бұрын
allah......
@hemedmasoud93064 жыл бұрын
Kweli skio lakufa kamwe aliskii daaw.yani pamoja namifano yote iliyotolew na Ustadh shaffi lakini bado amuamin.sis kaz yetu waislam.nikuwatoa kweny giza wakristo.
@alialghaithi25544 жыл бұрын
Kipindi kizuri shukran shekhe Sharif Shomari
@moanamohammed14064 жыл бұрын
Alhamdulilllah..masha Allah
@doopaq8043 жыл бұрын
Isaiah 42:6 Verse Concepts “I am the Lord, I have called You in righteousness, I will also hold You by the hand and watch over You, And I will appoint You as a covenant to the people, As a light to the nations
@yia737 ай бұрын
Nations of 12 tribes ONLY. 😅
@MkgmailcomSaidi4 жыл бұрын
Allah awaongoze waijue haki waweze kifuata kila kitu kiko wazi tatz cjajua ni nn kwa wenzetu,
@rbagha52802 жыл бұрын
Message kutoka Canada. Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.
@francinensavyimana56014 жыл бұрын
Mwenye injili sahihi iko na 12 kbilazakwao tu wangine watafute mulango mapema
@asilesaid92633 жыл бұрын
Shehe shafii hatar hongera
@user-fy4op1sw2f Жыл бұрын
Alafu namuona ustadh wangu bakonzi hapo katulia makiiini
@muhammadkipangatv26742 жыл бұрын
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojli
@apolloorao41103 жыл бұрын
Yes your are right mwalimu .. Christ come to save Israel but later he turned to the whole world ... Those are two house hold to be united in one .
@jjtm1642 жыл бұрын
Yohana 3 17 Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.
@hawasshibbyalfalasi85514 жыл бұрын
Mashaallah waumini wa kislam Allah awaongoze inshaallah kweli dini ya haki ni uislamu
@samwelbunzali19142 жыл бұрын
Shekh: shafii hakika umejaliwa busara na hekima mdomon Mash-allah:
@aishamaulidi46795 жыл бұрын
Masha Allah Wakristo munakwama wapiii Mungu akubariki shekhe shafii
@fishhamza16484 жыл бұрын
Wanajuwa ukweli ila ustazi Allah akulipe katika kazi Allah unafanya
@hassani.ikondo.77534 жыл бұрын
Mashekhe fikisheni ujumbe kuclimu Mungu atawachagua awatakae dhima itatutoka inshallah
@jabirtache25334 жыл бұрын
Mashallah
@haydarhamad65323 жыл бұрын
Ostadhat Shafi yuko vizuri Masha'Allah!
@francinensavyimana56014 жыл бұрын
Bibilia gisi unabisha njogisi unazidikupoteya yani hamunajibu kabisa Allah akbar
@AllyHilal3 жыл бұрын
Sheikh Shafi hujawahi kuniangusha.
@nasymchuzi86674 жыл бұрын
Shafi Allah akulipe
@OmanOman-bh4yh3 жыл бұрын
Shehe shafii wape awoo
@shabamuhidin6342 жыл бұрын
kumbe uokozi Mungu amewaahidi waisrseli peke yao,lakini kuna watu wanasema hapana Mungu alikosea..duh wanang'ng'ania John 3:16 ambayo ata Mungu anasemewa (reported speech) na wala halijataja jina la Yesu
@abaslegera98414 жыл бұрын
Alhadulillah kwa kuwa muislam Dah hawa jamaa hawawezi kujibu bali kulalamika tuu
@ramadhanimatimbwa92584 жыл бұрын
Shekh shafi wandereko tunajielewa bhn tunamjua mtume wetu muhammad huyo awez kuwa mndengereko bhn
@nazonahdi99934 жыл бұрын
Mashallah ma shekh mnajuwa kuwapa wakiristo ila wanajifanya hawaelewi kumbe wanajuwa sanaaaaa ukweli
@jamaldinhamady86874 жыл бұрын
Makafiki wana nyota ya moto..
@jamaldinhamady86874 жыл бұрын
Jahanam inawaita...
@swaleheamri23032 жыл бұрын
Shafii uko vzr hadi raha.
@jumajaffary96985 жыл бұрын
LIPULI na Yesu wapi na wapi?
@ibraimoissiaca60584 жыл бұрын
Mipango iliisha apo
@samwelbunzali19142 жыл бұрын
Umetulia Sana kwenye maongez kama maswahaba wa mtume.
@makenakendi2823 жыл бұрын
Mashaallah
@hemedmasoud93064 жыл бұрын
yani kwaimani yangu ataukinipa pesa ngap siwezi kuingia mwenye kristo Abadan yan sinaiman na Kristo atakwakufosi.
@hassnakhamis34892 жыл бұрын
Kama una penda mawaiza ya mashekhe wetu wa TANZANIA sema tak bir
@alhajimadada7914 жыл бұрын
ALLAAHU AKBARU
@francisjoseph10742 жыл бұрын
Mwalimu medadi una IQ ya hali ya juu waeleweshe hao waislam wasio na akili ya kuelewa maandiko
@hanzurunihamidu66134 жыл бұрын
Dini ya Haki ni Uislamu tu
@francisjoseph10742 жыл бұрын
Bible imejielezea vizuri kabisa haijaacha kitu safi sana mchungaji medadi tatizo la waislam wanachagua maandiko sasa kama huyo shafi hata shule ajaenda mtu kama huyo unamweka kundi lipi?!!