Debate. Ust. Shafi awaingiza Darasa Wakristo

  Рет қаралды 136,504

OBA Online tv

5 жыл бұрын

Omar Bakari Almasi online tv

Пікірлер: 463
@MyName-wd8cp
@MyName-wd8cp 4 жыл бұрын
Ostadhi shafii mungu akuweke 🙏🙏
@ramadhanihudhaifani4376
@ramadhanihudhaifani4376 4 жыл бұрын
Allahu Akbar! Allahu Akbar! Allahu Akbar! Allah Akupandishe daraja kwa kazi yako nzuri ya kulingania waja Wake katika dini ya haki,Sheikh. Huwa wanifurahisha sana,Imam Shafi.😅😅😅👍👍
@tanzanian8847
@tanzanian8847 3 жыл бұрын
Alhamdulillah kuumbwa muislam. Allah atuhifadhi n atupe mwisho mwema. Allah awalipe kheri nyingi masheik wetu
@abbaimran4122
@abbaimran4122 3 жыл бұрын
Allahu Akbar,Mashekhe wetu Allah awalipe kheri hapa duniani na kesho akhera maana juhudi mnayofanya ya dini sio kidogo. Alhamdulillah kuwa neema ya Uislamu
@hassanmirambo564
@hassanmirambo564 4 жыл бұрын
Ibrahim Bakonzi ndani ya nyumba asanteni sana ALLAH awajaalie kila lakheri wahadhiri wetu wa Kiislam
@yahyanduwayo6209
@yahyanduwayo6209 4 жыл бұрын
Ustazi Shafii iko vizuri kwakweli Allah akuzidishie elimu sheikh wangu
@muksinally2144
@muksinally2144 5 жыл бұрын
Ninacho kiona hapo n kwamba wakristo wana tafsiri biblia kwa kichwa chao wakati biblia inajitafsiri kwa biblia yenyewe,. Ahsante sn Allah kwa kunipa neema ya uislam
@frankjohn8570
@frankjohn8570 4 жыл бұрын
Muksin Ally biblia haijulikani kwa watu wamataifa hilo halibadiliki mtu asiekuwa na ROHO wa Kristo hajifunzi kwa Kristo ndimana wanasema wapotoshaji eti ulimwengu ni Israel pekee ,sasa wasubirie mwisho wa ulimwengu YESU atakapokuja kuhukumu kama itakua kama wanavyodhani bora umwamini Bwana YESU uwe mtoto wa Mungu usjetupwa jehanam
@sokakilumbi9293
@sokakilumbi9293 4 жыл бұрын
@@frankjohn8570 yesu hawezi kuhukumu kwa sababu yeye sio mungu na wala hajui iyo siku ya hukumu itakuwa lini na saa ngapi Matayo:24.36 Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake. na yesu sio mungu nikiumbe kama wewe anakula na kunywa kama binadamu wengine Luka:7.34 Mwana wa Adamu amekuja, anakula na kunywa; nanyi mwasema, Tazama, mlafi huyu, na mnywaji wa divai, rafiki wao watoza ushuru na wenye dhambi. na kiumbe dhaifu kama mimi na wewe Matayo:26.39 Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe. ..umeona hapa yesu anaomba sasa kama yeye mungu vipi aombe!!!! na ukiona kiumbe anaomba basi ujue icho ni dhaifu hakiwezi kujikidhe haja zake chenyewe.. so yupo anastahili kuabudiwa na ni mmoja tu hakuzaa wala hakuzaliwa na hana mshirika katika maamuzi yake uyo ndie atakae hukumu baina ya watu wooote mimi na yesu pamoja na wewe na wengineo tutahukumiwa na yeye.
@alliabdullah6180
@alliabdullah6180 3 жыл бұрын
@@sokakilumbi9293 mfundishe huyu sisi Allah katupa elimu ya maandiko👍
@arafatkhalid4391
@arafatkhalid4391 4 жыл бұрын
Kuna Tofauti Kubwa Sana Kati Ya "ELIMU" Na "AKILI" Kibaya Kuliko Vyote Ni Mtu Kukosa Vyote Kwa Pamoja!
@rahmakishiwa1528
@rahmakishiwa1528 3 жыл бұрын
😀😀😀
@mwanaimaabdallah7825
@mwanaimaabdallah7825 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣😂
@rashidmohamed1949
@rashidmohamed1949 4 жыл бұрын
Alhamdulillahi Alhamdulillahi Alhamdulillahi Alhamdulillahi Alhamdulillahi x infinity kuwa Mwislam
@yusufathman2478
@yusufathman2478 3 жыл бұрын
Wallah ..nmekumbuka aya "khatama llahu alaa kuluubihim wa alaa sam ehim wa alaa abswaarihim ghishaawatun"
@husseinibrahim5438
@husseinibrahim5438 3 жыл бұрын
MA SHA ALLAH SHEIKH SHAFI MAY ALLAH GUIDE AND PROTECT YOU AND YOUR DA’AWAH GROUP ALLAHUMMA AMEEN.
@yia73
@yia73 7 ай бұрын
Kweli ulimwengu lakini kwa mayahuudi tuu
@rashidmohamed1949
@rashidmohamed1949 3 жыл бұрын
Shkh SHAFII MMEWAGARAGAZA JAMAA ILE MBAYA Takbeer
@francinensavyimana5601
@francinensavyimana5601 3 жыл бұрын
Bado nibilia inazidi kuonekana upungufu nusu yete ya bibilia ni akili zakibinadamu kwamwenye kuzingatiya nakufwata haki na kweli
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 4 жыл бұрын
Very clean sound! Sheikh Shafi all the best and Allah bless you!
@handenitakuru6696
@handenitakuru6696 3 жыл бұрын
+255684371516,I have things with you please text me
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 2 жыл бұрын
آمين
@mrconfusedj9620
@mrconfusedj9620 4 жыл бұрын
Kama kitu unakijua hakikupi shida wakristo wagumu kuelewa
@sosdododo5653
@sosdododo5653 3 жыл бұрын
Mashaallah hii ni yakitambo sijawahi kuiona kama alivyosema ustadh shafi huu ni mtahani lakini kwavile wao niwalimu watafundishwa tu nawame fundisha vizuri kabisa hata kama ni mtoto wamiaka 6 ataelewa manake wanafundishwa neno kwa neno one by one vizuri mungu awape subra masheikh wetu
@husseinshaban7181
@husseinshaban7181 4 жыл бұрын
Nafurahi mtiririko ndani saudi Arabia mada safi undugu katika elimu salama mungu ajalie WAPate Dini na imani kamilifu
@popod177
@popod177 5 жыл бұрын
Kwani huwa hawayaoni haya maandiko, hadi waislam wawaonyeshe kila siku.. Ukristo ni shida
@user-sz8ct3ni9z
@user-sz8ct3ni9z 4 жыл бұрын
Wallah.najivunia kuwa.mwislam.shafi.nakuombea Allah.agupe.umur.murefo
@omg2026
@omg2026 3 жыл бұрын
MashaAllah! Great debate. Waislamu wameweka elimu sawa kabisa. Mungu awezidishiye.
@oscarramazani1289
@oscarramazani1289 3 жыл бұрын
Wakirsto maneno mengi yasiyokuwa na msingi, wasio waisrail wajing'ang'anizao kwa Yesu , Yesu kawaita Mbuwa.
@athumanihimbawe4434
@athumanihimbawe4434 4 жыл бұрын
Maasha allah,allah awaongoze wahaadhiri wote waisilaam.
@ismailyussuf1805
@ismailyussuf1805 4 жыл бұрын
Shk.Shafi,ALLAH ATAKULIPA KHERI INSHAALLAH.Huyo akiliyake iko KISOGONI.
@salimalmahrizi395
@salimalmahrizi395 5 жыл бұрын
ustadhi Shafi Allah akubariki yaani wewe tishio kwa Wakristo wooooooote.
@hamidahamida1473
@hamidahamida1473 4 жыл бұрын
Alhahu.akbaru
@HassanAli-eq8ko
@HassanAli-eq8ko 3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿mashaallaah mola tuhifadh ss sote...pamoja na mashekh wetu wote.....🇹🇿🇹🇿yarab wahifadh wahadhir wa kiislamu amiin yaarabaliaalaamiin 🤲🤲hongra sana ust shafii mola azidkusaidia 🤝🤝🤝
@harithwhite589
@harithwhite589 5 жыл бұрын
Mpiga picha nakulaumu sana, wakati Ustadh Shafi anawachamba unashindwa hata kutuonesha nyuso za hao maaskofu wanavyodhalilika ili tuone wanavyo react.
@keazi9638
@keazi9638 4 жыл бұрын
Harith White majafili nyie
@jamaldinhamady8687
@jamaldinhamady8687 4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁
@zachariabin5400
@zachariabin5400 4 жыл бұрын
Ahahaaaaaaaaaaaaa
@najmagudeh203
@najmagudeh203 4 жыл бұрын
😂😂😂
@ashajuma8686
@ashajuma8686 4 жыл бұрын
😆😆😆
@abujamalaalghammawiy7470
@abujamalaalghammawiy7470 4 жыл бұрын
Nilichojigunza hawa wachungaji wanajibu na kuchambua maandiko kwa maoni yao na mitazamo yao, ila waalimu wa Uislam wanatoa maandiko kama yalivyo bila kupepesa andiko kivingine
@ashtube1333
@ashtube1333 2 жыл бұрын
Very clear Speech
@Bosskasimu01
@Bosskasimu01 11 ай бұрын
Masha Allah
@kimoyochemokos6908
@kimoyochemokos6908 4 жыл бұрын
Hakika maswali hayo na majibu, yatatujenga sisi kiimani. Allah awajalie hawa mrengo mwingine, waelewe maandiko na tuwe wote waisilamu moja, dini moja.
@user-qz2yd5wm2m
@user-qz2yd5wm2m 4 жыл бұрын
Mashaa ullah shekh shafii Allah akuzidishie
@rehemaahamadiahmadi566
@rehemaahamadiahmadi566 5 жыл бұрын
Ustadh shafii nampenda Sana yaani katulia tuli akijibu yuajua Bible and Qur,an
@fetrishakaza1473
@fetrishakaza1473 4 жыл бұрын
Mungu aziilishwi kwamaneno bali kwa nguvu
@rehemaahamadiahmadi566
@rehemaahamadiahmadi566 4 жыл бұрын
@@fetrishakaza1473 lyo yako peke yako
@fetrishakaza1473
@fetrishakaza1473 4 жыл бұрын
@@rehemaahamadiahmadi566 uondoukweli mungu simaneno bali ni nguvu nyikilasiku niwatuwaneno nguvu kwenye majini kwenye falaki
@rehemaahamadiahmadi566
@rehemaahamadiahmadi566 4 жыл бұрын
@@fetrishakaza1473 haaya
@sokakilumbi9293
@sokakilumbi9293 4 жыл бұрын
@@fetrishakaza1473 Nyinyi makafir ndio mna majini..
@abdallahissa2617
@abdallahissa2617 4 жыл бұрын
Mazinge alishasema maswali yetu sis waislaam hayajibikii huyo bwana anajikanyaga tu Allah awalipe kila la kher mashekhe wetu mnaowaonesha din ya hakii.
@alibell5246
@alibell5246 3 жыл бұрын
Najivunia kuwa muislam alhamdullah
@jamalathman6219
@jamalathman6219 3 жыл бұрын
Mashallah masheikh wetu,Allah awape umri mrefu muzidi kutangaza da'waa ya kislamu,muwaelimishe wasiokua waislamu kuhusu Dini ya haki na mtume alietumilizwa kwa watu wote
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 2 жыл бұрын
Mchungaji umeelezea vizuri sana kwakua waislam nipasua kichwa hawawezi kuelewa maandiko
@samwelbunzali1914
@samwelbunzali1914 2 жыл бұрын
Shafii uko vizur Sana inn-shallah mungu akujalie mwisho mwema amiin.
@anicetnahayo2483
@anicetnahayo2483 4 жыл бұрын
Mwenyezi mungu awalaisishie kwa kila jambo ma sheikh zetu.
@hamisihassan3634
@hamisihassan3634 4 жыл бұрын
Mashallah shafii umetulia kweli kweli
@nasibodaudi213
@nasibodaudi213 5 жыл бұрын
Sheki shafi MUNGU akubariki kwa elimu zaidi
@hemmedrashid785
@hemmedrashid785 4 жыл бұрын
Masha Allah ustadhi shady wape Darsa hao wapotevu
@jjtm164
@jjtm164 2 жыл бұрын
Asante mwalimu wa kikristo kwa maelezo ysnayo kuwa sana
@omarabeid1363
@omarabeid1363 4 жыл бұрын
Tatizo shule kama sh shafi anavyo sema
@salehesengiyanka5397
@salehesengiyanka5397 3 жыл бұрын
SHAFII UNAFUNDISHA VIZURI SANA AMBAYE HAKUELEWI ANA KICHWA KIGUMU SANA
@mohammedamour9281
@mohammedamour9281 4 жыл бұрын
Maashaallah shafii Allah akuongoze akuepushe na Upaku
@rilkabuya6519
@rilkabuya6519 4 жыл бұрын
Uisilamu ndio dini ya haki 2
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 жыл бұрын
Amin
@hassandormkeyo4867
@hassandormkeyo4867 2 жыл бұрын
Mashaallah sheikh shaffi 🙏🙏🙏 Allah akupe maisha marefu sana lakini pia aufanye mwisho wako kuwa mwema
@raiswamaraishalisi8426
@raiswamaraishalisi8426 4 жыл бұрын
Raha wallah ! Nabivunia uislam Na kua muislam
@mwakajohn1819
@mwakajohn1819 4 жыл бұрын
Usilojua ni usiku mnene. Unajivunia njia ya upotevu, pole sana.
@najmagudeh203
@najmagudeh203 4 жыл бұрын
Mwaka john... pole ww ambae unaingia kanisani na uchafu wako
@mwakajohn1819
@mwakajohn1819 4 жыл бұрын
@@najmagudeh203 nakuonea huruma, sala za kinafiki ni zile zinazoagiza kuosha kikombe nje. Sala ya kweli unaanzia kusafisha ndani, kisha nje. Matendo ya mwili ni agizo la shetani. Unapotea kwa kutojua ukweli halisi wa mungu.
@kijanahodari2080
@kijanahodari2080 4 жыл бұрын
MashaAllah hawa watu lazima waelimishwe ili waukubali uislamu
@HassanAli-lt4xm
@HassanAli-lt4xm 2 жыл бұрын
Wallahi shafi anafurahisha na anaelimisha
@rayaali7551
@rayaali7551 3 жыл бұрын
Daaaah chezea SHAFI WEEE 🙆‍♀️
@andanesalimoandanesalimo1785
@andanesalimoandanesalimo1785 4 жыл бұрын
Sheikh wangu ALLAH awazidishiye
@ashtube1333
@ashtube1333 2 жыл бұрын
Shafi speech inaeleweka clear
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Mashallah.
@OmanOman-bh4yh
@OmanOman-bh4yh 3 жыл бұрын
Eee mungu nashukuru kuzariwa muisram na unipe mwisho mwema
@user-bi4um8cn2u
@user-bi4um8cn2u 3 жыл бұрын
MASHALLAH. SHEKHE. SHAFI. M/MUNGU. AKUHIFADHI. NA AKUPE. ELIMU. VIZURI. YAARAAB.
@issamohd9955
@issamohd9955 4 жыл бұрын
Mashaallah kila lakheri masheikh wetu kwahakika twajivunia sana juu yenu Allah awape umri mrefu na mwisho mwema kwasote waumini wa kiislam tuko pamoja masheikh wetu mkono kwa mkono hadi peponi
@rashidodinga2053
@rashidodinga2053 4 жыл бұрын
Jaazzaka LLAH kher
@abiseniyaboyethiopianboy5553
@abiseniyaboyethiopianboy5553 3 жыл бұрын
Mashaalah
@mohamedrashid8615
@mohamedrashid8615 Жыл бұрын
Shaffi Allah akulinde na hasad za binadamu in Sha Allah
@111dudi
@111dudi 3 жыл бұрын
Ustaafh Sharon, Mungu akulinde na akufanikishe.
@ikramtryphon1486
@ikramtryphon1486 5 жыл бұрын
Safii ostadh shafii nimekuelewa sana umemaliza hoja
@jeanmubemba1204
@jeanmubemba1204 5 жыл бұрын
Shafi maana ya aya hizo mbili,sikutumwa ila kwa ajili ya kondoo waliopotea waisrael,huwezi ielewa maana huamini kama alikufa na alifufuka,hujui nini maana ya kifo,chake,aliwakataza kwa sababu bado alikuwa hajamwaga damu yake,alipoimwaga damu yake ndipo alipoununua upya ulimwengu wote,ndio maana anajiita mwana wa adam.Baada ya kuununua ulimwengu wote ndipo anawaagiza akisema enendeni ulimwenguni wote mkaihubiri injili kwa kila kiumbe, aaminiye na kubatizwa ataokoka na kuurithi ufalme wa mbinguni. Shafi,kubali mtume aliposema yaa isa in mutwafiki'hakika sisi tutakufisha,ndio maana mtume amemwita neno la mungu aliloliweka kwa mariam hahah hayo yote hamyajui ninyi ni abiria wa yesu, wote waislam,ndo maana anarudi kuihukumu dunia na kuamua nani aingia mbinguni na nani asiingie,shauri yako batizwa unachelewa muda umeisha.
@fatmanasornasor9047
@fatmanasornasor9047 4 жыл бұрын
@@jeanmubemba1204 shafi hawez kuamini kama yesu hakufa maana hakufaa
@aminakidunda8981
@aminakidunda8981 3 жыл бұрын
Mashaallah akiwepo ustadhi shafii hakuna kinacho haribika watakuelewa to allah azidi kukupa afya ili ndug zetu wazid kuielewa din ya.haq
@ibraimodinodino828
@ibraimodinodino828 5 жыл бұрын
allah......
@hemedmasoud9306
@hemedmasoud9306 4 жыл бұрын
Kweli skio lakufa kamwe aliskii daaw.yani pamoja namifano yote iliyotolew na Ustadh shaffi lakini bado amuamin.sis kaz yetu waislam.nikuwatoa kweny giza wakristo.
@alialghaithi2554
@alialghaithi2554 4 жыл бұрын
Kipindi kizuri shukran shekhe Sharif Shomari
@moanamohammed1406
@moanamohammed1406 4 жыл бұрын
Alhamdulilllah..masha Allah
@doopaq804
@doopaq804 3 жыл бұрын
Isaiah 42:6 Verse Concepts “I am the Lord, I have called You in righteousness, I will also hold You by the hand and watch over You, And I will appoint You as a covenant to the people, As a light to the nations
@yia73
@yia73 7 ай бұрын
Nations of 12 tribes ONLY. 😅
@MkgmailcomSaidi
@MkgmailcomSaidi 4 жыл бұрын
Allah awaongoze waijue haki waweze kifuata kila kitu kiko wazi tatz cjajua ni nn kwa wenzetu,
@rbagha5280
@rbagha5280 2 жыл бұрын
Message kutoka Canada. Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.
@francinensavyimana5601
@francinensavyimana5601 4 жыл бұрын
Mwenye injili sahihi iko na 12 kbilazakwao tu wangine watafute mulango mapema
@asilesaid9263
@asilesaid9263 3 жыл бұрын
Shehe shafii hatar hongera
@user-fy4op1sw2f
@user-fy4op1sw2f Жыл бұрын
Alafu namuona ustadh wangu bakonzi hapo katulia makiiini
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 2 жыл бұрын
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojli
@apolloorao4110
@apolloorao4110 3 жыл бұрын
Yes your are right mwalimu .. Christ come to save Israel but later he turned to the whole world ... Those are two house hold to be united in one .
@jjtm164
@jjtm164 2 жыл бұрын
Yohana 3 17 Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.
@hawasshibbyalfalasi8551
@hawasshibbyalfalasi8551 4 жыл бұрын
Mashaallah waumini wa kislam Allah awaongoze inshaallah kweli dini ya haki ni uislamu
@samwelbunzali1914
@samwelbunzali1914 2 жыл бұрын
Shekh: shafii hakika umejaliwa busara na hekima mdomon Mash-allah:
@aishamaulidi4679
@aishamaulidi4679 5 жыл бұрын
Masha Allah Wakristo munakwama wapiii Mungu akubariki shekhe shafii
@fishhamza1648
@fishhamza1648 4 жыл бұрын
Wanajuwa ukweli ila ustazi Allah akulipe katika kazi Allah unafanya
@hassani.ikondo.7753
@hassani.ikondo.7753 4 жыл бұрын
Mashekhe fikisheni ujumbe kuclimu Mungu atawachagua awatakae dhima itatutoka inshallah
@jabirtache2533
@jabirtache2533 4 жыл бұрын
Mashallah
@haydarhamad6532
@haydarhamad6532 3 жыл бұрын
Ostadhat Shafi yuko vizuri Masha'Allah!
@francinensavyimana5601
@francinensavyimana5601 4 жыл бұрын
Bibilia gisi unabisha njogisi unazidikupoteya yani hamunajibu kabisa Allah akbar
@AllyHilal
@AllyHilal 3 жыл бұрын
Sheikh Shafi hujawahi kuniangusha.
@nasymchuzi8667
@nasymchuzi8667 4 жыл бұрын
Shafi Allah akulipe
@OmanOman-bh4yh
@OmanOman-bh4yh 3 жыл бұрын
Shehe shafii wape awoo
@shabamuhidin634
@shabamuhidin634 2 жыл бұрын
kumbe uokozi Mungu amewaahidi waisrseli peke yao,lakini kuna watu wanasema hapana Mungu alikosea..duh wanang'ng'ania John 3:16 ambayo ata Mungu anasemewa (reported speech) na wala halijataja jina la Yesu
@abaslegera9841
@abaslegera9841 4 жыл бұрын
Alhadulillah kwa kuwa muislam Dah hawa jamaa hawawezi kujibu bali kulalamika tuu
@ramadhanimatimbwa9258
@ramadhanimatimbwa9258 4 жыл бұрын
Shekh shafi wandereko tunajielewa bhn tunamjua mtume wetu muhammad huyo awez kuwa mndengereko bhn
@nazonahdi9993
@nazonahdi9993 4 жыл бұрын
Mashallah ma shekh mnajuwa kuwapa wakiristo ila wanajifanya hawaelewi kumbe wanajuwa sanaaaaa ukweli
@jamaldinhamady8687
@jamaldinhamady8687 4 жыл бұрын
Makafiki wana nyota ya moto..
@jamaldinhamady8687
@jamaldinhamady8687 4 жыл бұрын
Jahanam inawaita...
@swaleheamri2303
@swaleheamri2303 2 жыл бұрын
Shafii uko vzr hadi raha.
@jumajaffary9698
@jumajaffary9698 5 жыл бұрын
LIPULI na Yesu wapi na wapi?
@ibraimoissiaca6058
@ibraimoissiaca6058 4 жыл бұрын
Mipango iliisha apo
@samwelbunzali1914
@samwelbunzali1914 2 жыл бұрын
Umetulia Sana kwenye maongez kama maswahaba wa mtume.
@makenakendi282
@makenakendi282 3 жыл бұрын
Mashaallah
@hemedmasoud9306
@hemedmasoud9306 4 жыл бұрын
yani kwaimani yangu ataukinipa pesa ngap siwezi kuingia mwenye kristo Abadan yan sinaiman na Kristo atakwakufosi.
@hassnakhamis3489
@hassnakhamis3489 2 жыл бұрын
Kama una penda mawaiza ya mashekhe wetu wa TANZANIA sema tak bir
@alhajimadada791
@alhajimadada791 4 жыл бұрын
ALLAAHU AKBARU
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 2 жыл бұрын
Mwalimu medadi una IQ ya hali ya juu waeleweshe hao waislam wasio na akili ya kuelewa maandiko
@hanzurunihamidu6613
@hanzurunihamidu6613 4 жыл бұрын
Dini ya Haki ni Uislamu tu
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 2 жыл бұрын
Bible imejielezea vizuri kabisa haijaacha kitu safi sana mchungaji medadi tatizo la waislam wanachagua maandiko sasa kama huyo shafi hata shule ajaenda mtu kama huyo unamweka kundi lipi?!!
@abiseniyaboyethiopianboy5553
@abiseniyaboyethiopianboy5553 3 жыл бұрын
Yes