DRC: Aliyetaka kumpindua TSHISEKEDI Jumapili AUAWA, mwanae AKAMATWA, alirusha tukio LIVE Facebook

  Рет қаралды 121,337

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Ай бұрын

Fringe DRC Politician Killed in Thwarted Coup Attempt; Son and US Business Partner Arrested
• Fringe DRC Politician ...

Пікірлер: 175
@baranyikwamohammed628
@baranyikwamohammed628 Ай бұрын
Waache ujinga hao vibaraaka wa marekani,kazi nzuri kwa askari wa drc .zaire ilikufa na mobutu na haitafufuka tena
@tumlakimwaitumule
@tumlakimwaitumule Ай бұрын
Marekani kila baya lake 😂
@user-lq6kr2gl7n
@user-lq6kr2gl7n Ай бұрын
I love nchi yangu Tanzania 🇹🇿 Ee mungu tujalie amani idumu vizazi had vizazi
@habarugiraRodrigue
@habarugiraRodrigue Ай бұрын
Bangi sionzuri
@MwalimuTina
@MwalimuTina Ай бұрын
😂😂
@allahisone6386
@allahisone6386 Ай бұрын
Kbsaaaaaa
@user-nb2jw4km6f
@user-nb2jw4km6f Ай бұрын
Kweli
@JackMan-bc5pb
@JackMan-bc5pb Ай бұрын
Imeniuma sana walivyo yafanya mambo yao kitoto sana
@alibachirofficial3939
@alibachirofficial3939 Ай бұрын
Utoto muwingi sanaaa😂
@alexandrafrancisco9848
@alexandrafrancisco9848 19 күн бұрын
Talvez nao... tens q pensar q ha coisas q nao estao visiveis... provavelvente, algo correu mal... pode sim, ter havido traiçao... ❤
@alibinali_
@alibinali_ Ай бұрын
Free DRC 🇨🇩 Congo
@RichareEzai
@RichareEzai Ай бұрын
Xxxxv
@hamudshabani7801
@hamudshabani7801 Ай бұрын
Jamani tuifanye Africa kuwa salama na yenye usitawi mzuri kwa ajiii yetu and the future generation #heal the world #
@user-cb2us2nu2m
@user-cb2us2nu2m Ай бұрын
UNAENDAJE KUMPINDUWA RAIS NA MKE WAKO KWENYE MSAFARAA? UKISIKIA NYEGE UNAHACHA VITA KWANZA UNAMKUMBATIYA MKE WAKO DUH IYI MOJA KALIII
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 Ай бұрын
Congo ulinz bado uko chin
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 Ай бұрын
Ni mshenzi sana huyu jamaa wakongo tunataka mabadiko ila uyu jamaa ni zaidi ya kibaraka ata lipanga na wazungu uchwara cjuwi kawatoa wapi😅😅
@praymwalu
@praymwalu Ай бұрын
From DRC CONGO 🇨🇩🇨🇩 apa
@IbrahimShan-qu3um
@IbrahimShan-qu3um Ай бұрын
Mission Impossible.....
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu Ай бұрын
HONGERENI SANA ASKARI WOTE WA DRC
@officialcandleboy6923
@officialcandleboy6923 Ай бұрын
Hawa mbwa wana shindwa kutimia hiyo nguvu kuwa huwa m23 wana tuuliya wazalendo wa nchi yetu Congo, serekali yaki mangumangu
@abdulymaeda2697
@abdulymaeda2697 Ай бұрын
Congo big up tshsekedi🔥🔥🔥 from🇹🇿
@divaimafuru6844
@divaimafuru6844 Ай бұрын
I love my country Tanzania, amani idum milele
@KatoJackson-ol3mp
@KatoJackson-ol3mp Ай бұрын
Mungu ailinde inchi yetu!
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 Ай бұрын
Hongereni sana! Walinci mmenifurahisha sn yaani ji2 jina linamuunganisha mtoto kwenye upumbavu,kufia yukio.
@SugarIgaUfe1
@SugarIgaUfe1 Ай бұрын
Wanzinga sana kwa nini hawakuweza chukua mbone inge kua raha kwa sisi amba tuna sumbuliwa na vita uku este ya Congo 🇨🇩
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 Ай бұрын
Shukran kwa wote walimuuwa huy bwege wafrica tunahitaj Aman hasa kwa ndugu zetu wa Congo hlf bwege mmoja anatak kuchafua shenzi kabisa
@alexandrafrancisco9848
@alexandrafrancisco9848 19 күн бұрын
Inocencia...❤
@muniraahmed624
@muniraahmed624 Ай бұрын
Nomaaa
@r14kgroup68
@r14kgroup68 Ай бұрын
Kafa kishenzi bora angeungana na waasi wengine wangepindua nchi
@magretangel5242
@magretangel5242 Ай бұрын
Bora sisi TZ 🇹🇿tunao andamana mitandaoni 😆😆😆....kiherehere sio kizuri...mwenye nguvu apishwe jamani.....
@gladnessfinda7534
@gladnessfinda7534 Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@paulinewangila-cs6ys
@paulinewangila-cs6ys Ай бұрын
Helooooo😂
@kingmediatechonline
@kingmediatechonline Ай бұрын
Duh 🙄 ni hatari sanaa
@BukuruKevin-bn1tl
@BukuruKevin-bn1tl 27 күн бұрын
Ongo
@upgo6112
@upgo6112 Ай бұрын
Bangi
@PalomaMshana
@PalomaMshana Ай бұрын
Vichaaa hawa😢 plan ilikuwa mbovuv
@matukiotvonline6366
@matukiotvonline6366 Ай бұрын
Dj smaa emezea kwa ufafanuzi mapinduzi ya kongo imekaaja juu ya wahusika wakuu
@marrykigabimk
@marrykigabimk Ай бұрын
Nihatari Kweli
@philiplugalia3724
@philiplugalia3724 Ай бұрын
Kibaraka cha marekani
@EliaoleshengEa-pv8fu
@EliaoleshengEa-pv8fu Ай бұрын
Hi
@bobkikaya69
@bobkikaya69 Ай бұрын
Siyo makazi ya Rais, ni ofisi tu.
@alexandrafrancisco9848
@alexandrafrancisco9848 19 күн бұрын
Rsrsrsr❤❤ foi enganado...
@tajilimtoto5009
@tajilimtoto5009 Ай бұрын
Mhhhh niko congo apa mbona atujasikia laia wakisema
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx Ай бұрын
Pengine ni uzushi mitandaoni
@user-hs4ko6ib4o
@user-hs4ko6ib4o Ай бұрын
Nikweli labda weye uko congo nyingine
@Michoarbah
@Michoarbah Ай бұрын
Wakongo wana Chelewa kupata habari
@luendosabah2047
@luendosabah2047 Ай бұрын
Wawachape kabisa,shida tuna izo T shiit za Zaire kumbe hatutazivaa
@sylvanosalumu5840
@sylvanosalumu5840 Ай бұрын
Awakuwa serious na jambo lao.
@FatumaIssa-kw3vv
@FatumaIssa-kw3vv 21 күн бұрын
Zarau sio kitu kizuri
@aziza9093
@aziza9093 Ай бұрын
Hawado wanaomaliza dugu zetu
@AwaziRajab
@AwaziRajab Ай бұрын
Hao Wengine Watombwe Mpaka Wafe Nchi Gani Inaongozwa Ivo Ikawa Sawa
@gosbertireneus5558
@gosbertireneus5558 17 күн бұрын
hizi bangi hizi nyie acheni tuuuu.... hapo palace napo ulinzi wake unawalakini
@MugishoBaguma
@MugishoBaguma Ай бұрын
Walijidanganya.
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z Ай бұрын
kile kichapo nimekiona ila waliwagusa tu😊...ao walitakiwa kutafutiwa eneo maalum..kufundishwa nidhamu
@Afroking2001
@Afroking2001 Ай бұрын
Eza ya solo te
@alexandrafrancisco9848
@alexandrafrancisco9848 19 күн бұрын
Quelque chose n'a pas fonctionné... Y a-t-il eu une trahison?!
@alexandrafrancisco9848
@alexandrafrancisco9848 19 күн бұрын
II faut voir au-delà des apparences...quelque chose ne va pas... Y a-t-il eu une trahison?!❤
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Ай бұрын
👊✌👍.
@yajua
@yajua Ай бұрын
Akufe uyo mjinga
@ms123ru
@ms123ru Ай бұрын
😂😂😂😂 mjasiri amalii wa bangi
@jumashedafa
@jumashedafa Ай бұрын
Watu wakishiba viporo vyao wanashida yan han mbinu za kivita hawana, kelel nyingi zinazoashiria ni wawoga cz waliok train hap zingetembea guns tu...Japo ni taa nyekend kwa tshiseked uimalish ulinz
@user-ff5jt4rp9n
@user-ff5jt4rp9n 24 күн бұрын
Ni aibu
@eliuskamwelwe1018
@eliuskamwelwe1018 Ай бұрын
Ila wakongo, kwa upuuzi huo Vita haiji kuisha
@gidionlemanya6077
@gidionlemanya6077 Ай бұрын
😮😮😮 congo Wana jeshi dhaifu sanA
@joyjilien
@joyjilien Ай бұрын
Dhaifu? Kivipi sasa
@Soon815
@Soon815 Ай бұрын
@@joyjilien Sasa unadhan kunajeshi pale??Wamewa-out-number M23 plus silaha nzito lakni wanakula kipigo tangu enz na enz
@ce-08
@ce-08 Ай бұрын
​@@Soon815 Congo wanavikwazo vya silaha
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 28 күн бұрын
​@@ce-08Na hii ndo shida, ila nadhani wangewekeza utengenezaji wa silaha japo watakumbana na vikwazo vingne pia.
@user-st3ws1ns5g
@user-st3ws1ns5g Ай бұрын
Inamaana walivuta bangi kwanza?
@piuskusenge-jf2ob
@piuskusenge-jf2ob Ай бұрын
Kweli bangi mbaya😂😂😂
@richarddavidmk
@richarddavidmk Ай бұрын
Mapinduzi bilakuwa na connection na jesh?
@issajuma9043
@issajuma9043 Ай бұрын
Jamaa mjinga sana huyo, Unataka kupindua Inchi na mgambo 20, Kwahiyo makamu wa Rais angkuwa mkeo, Mkuu wa majeshi angekuwa mtoto wako,?
@lilhydon452
@lilhydon452 Ай бұрын
Shida yetu ni tamaa
@rwakakagaramajohnjacob6295
@rwakakagaramajohnjacob6295 22 күн бұрын
Maneno exchange, sensitive, partners, story, description, sometimes, live n.k. hayana mbadala wake katika lugha unayoisema ? Kwanini mwana habari wa Kiswahili, ulimi adhimu, unaoenea sana Duniani sasa, baada ya kukuzwa, kuendelezwa, na kuenezwa kutoka huko (Tanzania), sasa baadhi yenu mnauchafua na kuudunisha ulimi huu unaopendeka sana jameni?
@user-zz9js7te8e
@user-zz9js7te8e Ай бұрын
Huyo dogo Kinega 😅😅😅
@petersanagaya2916
@petersanagaya2916 Ай бұрын
Mwl Nyerere 1776 aliwahi kusema, African naona matatizo matupu mbeleni kama tusipo jikomboa kifikra kutoka kwenye mikono ya mabeberu kwa ajili ya uchu wa madaraka na sio uchungu wa wananchi
@RabihuHussein
@RabihuHussein Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 kumbe alkua kashazaliwa kisha akazaliwa tena
@AwaziRajab
@AwaziRajab Ай бұрын
Ndio Mana Wakishikwa Laiya Halamu Wengi Ho Kwanini Halamu Ndio Kama Awa Mambo Yao
@WABAPRO
@WABAPRO Ай бұрын
Kaka sio kilingala Bali lingala🤝🏿
@Official83640
@Official83640 Ай бұрын
Kwa wale ambao wanaongea Kilingala kamaanisha sio km kakosea mfano, mm naongea kiswahili nitasema kwa wale wanao ongea Swahili sasa hapo utaelewa si mpaka niseme wanao ongea Kiswahili sijui umeelewa lugha aliyotumia hapo? Kilingala=Lingala Kiswahili=Swahili
@user-ju4md1yq6o
@user-ju4md1yq6o Ай бұрын
Ni channel gani mkuu
@richarddavidmk
@richarddavidmk Ай бұрын
Mapinduzi bilakuwa na connection na jesh? Hawa jamaa walitegemea sapot kubwa ya wana nchi ,lakini matokeo yake wananchi hawakutoka nje ,ndio ikala kwao
@MbomaMukenge-uo7mx
@MbomaMukenge-uo7mx Ай бұрын
SNS niongo sana iyo nisiasa ya kisekedi
@komuhsengo9796
@komuhsengo9796 Ай бұрын
Waliwezajeingia ikulu
@aziza9093
@aziza9093 Ай бұрын
Bangi zizr wamuuliza amunaiz zinakibiliy kwanye makaliyo makumw
@JupeKiame
@JupeKiame 22 күн бұрын
Jp
@aloyceayubu2887
@aloyceayubu2887 Ай бұрын
Bangi sio nzuri 😂
@morama3935
@morama3935 29 күн бұрын
adui wa africa nimuafrika mwenyewe tuandae majeshi yetu selikali zetu inabidi zichukue watoto miaka saba wapewe elimu mafunzo uzalendo selikali iwe baba na ndo mama nasisi africa tutengeneze majasusi wakasome ulaya izimambo zitaisha ukizingua tunayonga
@issazalala4907
@issazalala4907 Ай бұрын
Tunaishi kwa muda tu lakini daaah tunaptia mambo mengi thanaaa😂
@MohamedSalumu-rg3up
@MohamedSalumu-rg3up 20 күн бұрын
W
@victorcephas3618
@victorcephas3618 Ай бұрын
Bora ameuawa
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
@uwezawamungumkuu.amaniafrika Ай бұрын
Waafrika tunataka nini kuvuruga usalama wa taifa na Afrika yetu,,?. Wangemua Rais jamani bila kosa. Walaniwe milele yote wanadamu hao.. Amen.
@sulemanmadahatv1691
@sulemanmadahatv1691 Ай бұрын
Afrika mashariki Jeshi ni JWTZ tu, watu ishirini wameingia hadi Ikulu Ofisi ya Rais
@lullebolle808
@lullebolle808 Ай бұрын
Faking deal
@zablonOmoke
@zablonOmoke Ай бұрын
The job needed well planners for it to yield the fruits and also some top military in the Congo govt
@alexandrafrancisco9848
@alexandrafrancisco9848 19 күн бұрын
Se calhar houve traicao... algo correu mal... foram abandonados...❤
@user-wu8qe4fv4j
@user-wu8qe4fv4j Ай бұрын
Heeeeeeee inchiii yetu
@mathewmutuku7342
@mathewmutuku7342 23 күн бұрын
He is being send by American's
@Afroking2001
@Afroking2001 Ай бұрын
Ni uwogo mtupu tu akuna ukweli wowote ni mambo ya kisiasa mapinduzi gani watu wanaedelea kufanya mambo yao kama kawaida
@ajuwazaglodim7645
@ajuwazaglodim7645 Ай бұрын
Tafadhali, musipotoshe watu, Huu jamaa hakuja kupinduwa Tchisekedi, ni deal na politicians wa hapa congo 🇨🇩 na President anajuwa, ila amesalitiwa. Walipoingia walienda nyumbani kwa Vital Kamerhe makamu waziri wa kwanza Mustafa, ambaye anaandaluwa kusimamia bunge, ila hakuwa nyumbanikwake. Baadaye walienda kwenye ofisi ya rahisi Sunday asubui na 5am, na waliingia bila hata lisasi moja kupigwa. Sijuwi kama huko TZ raïsi anatumika Sunday asubui na 5am?! Hii njo Congo 🇨🇩
@salymsuleiman2035
@salymsuleiman2035 Ай бұрын
Hawa washenzi wanawafuata wazungu
@omarali7
@omarali7 Ай бұрын
Wakasome kwanza,mapinduzi sio kujirekodi na kuweka tiktok 😂😂
@shukurumsebaloli
@shukurumsebaloli Ай бұрын
Awowatu niwajinga nakiongozi wawo
@magretangel5242
@magretangel5242 Ай бұрын
Umeonae
@shukurumsebaloli
@shukurumsebaloli Ай бұрын
@@magretangel5242 Naapo wangemukuta raisi wangemuuwa naujinga waoo wanazani wa congomani wanaitaji ilo jina wacongomani wanaitaji amani nandicho anacho kifanya kisekedi
@jumashedafa
@jumashedafa Ай бұрын
Ni jaribio dogo but kuna uzembe mkubwa wa kiulinzi...Ajiangalie vyema
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Ай бұрын
Wange wachinja wote hao wanalekani Fek
@annaniasbyarugaba5788
@annaniasbyarugaba5788 Ай бұрын
Sas ukiruka live si unaonekana aina ya silaha ulizonazo na adui anajipanga zaidi yako
@kagoyemwambal9061
@kagoyemwambal9061 Ай бұрын
Nchii hii kila cku kugomban cjui kwann
@zubekuku7229
@zubekuku7229 Ай бұрын
madini ndugu congo Tajiri
@user-xl9oi3cl9c
@user-xl9oi3cl9c Ай бұрын
Siyo ki lingala ni Lingala
@cricwambali1352
@cricwambali1352 Ай бұрын
Kizungu kiarabu kilingara ki bembe kifalansa luga yetu ina fungua seme na funga seme nadhani uta kua ume elewa
@Hassan_Mengi
@Hassan_Mengi Ай бұрын
⁠​⁠@@cricwambali1352 Hamna lugha inayoitwa kifalansa bro
@paulinewangila-cs6ys
@paulinewangila-cs6ys Ай бұрын
​@@Hassan_Mengiumeweza😂😂
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 Ай бұрын
Walipiga vitu vya chuga
@razackndeze-pv5bm
@razackndeze-pv5bm Ай бұрын
Bangi nyingi na kiherehere, kaitafutia familia yake matatizo, hizo bakora za jeshi la Congo, wote watakuwa ni maiti kwenye masaa kadha ajayo.
@Jgjgjggjaieifhfv
@Jgjgjggjaieifhfv Ай бұрын
😂😂😂 uyu jama ni mushenzi sana tena mijinga kuliko wote na hâta wanaowo mu unga mukono imagine mtu atoke usa muna zani mabadiloko gani ata l'ETA ingekuwa ana toka kongo hapo inge eleweka kidogo Ila uyu hamuna kitu
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx Ай бұрын
Huyo ni kibaraka wawazu gu pia bangi zilionyesha ata kuwa rais
@AbujadiAbdalaAbujadiAbujad
@AbujadiAbdalaAbujadiAbujad Ай бұрын
Madara yanawazingua
@Mbaley
@Mbaley Ай бұрын
Afanye haraka maana kunamateso ya muno hapa🇨🇩
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx Ай бұрын
Wewe ni wale wale wapinzani tu
@GraceMakenga-zd1vn
@GraceMakenga-zd1vn Ай бұрын
Bangi na madawa vinahela hatari sema tu nipo bongo mbwa mimi😅😅😅😅
@benjagaspar5304
@benjagaspar5304 Ай бұрын
Wakat unawaza wap kuna mishe au michongo kuna watu waashaamua maamuz magumu dahh
@sponsor7882
@sponsor7882 Ай бұрын
Wakongo kama wasomali
@Ryannkae
@Ryannkae Ай бұрын
Wewe ujuwi apo kuna watu weusi wa usa walio wayi Pima DN nakupatikana ni wa congo wamejitolea na sio hao tu niwengi nikama vikundi 25
@georgekabaka377
@georgekabaka377 Ай бұрын
Anavamia kishambashamba hivyooo kweli.... Eti mapinduz na watu 20
@victorarts242
@victorarts242 Ай бұрын
Hapo ndio panachekesha 😂, mapinduzi ya watu 20, halafu anaruka live 😂
@Ryannkae
@Ryannkae Ай бұрын
@@victorarts242niwengi bro nasio ao tu nivikundi yani uk, ufarasa usa canada ila usa wapo vikundi 25 apo awalikuwa wanakwenda kujaribu niwengi mno nawanachagana na watu weusi aliyo pima DN wakapatikana niwacongomani nao wapo humo yeye ajitaindi kurusu wana jeshi kupingana rwanda kama sio hivyo ato maliza mwaka mana wacongo wengi wamezinduka
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 28 күн бұрын
Alitegemea angeungwa mkono na baadhi ya wakuu wa kijeshi.
@mwaimuchengo1814
@mwaimuchengo1814 26 күн бұрын
Huyu jamaa mzembe sana boraa angeshirikisha wataaalan wa haya mambo unataka kupinduaa nchi hujashikilia kiwanja Cha ndege ,redio na tv ya taifa ,huna hata kambi Moja ya jeshi inayokusapoti huyu ni utoto aliofanya kafa akiwa na umri mdogo sanaa miaka 41 inawezekana angeisaidia sana Congo ila ndio hivyoo
@alexandrafrancisco9848
@alexandrafrancisco9848 19 күн бұрын
Por isso, deves reflectir... sera assim mesm?! Algo correu mal?! Houve traicao!?❤
@mytelecom2019
@mytelecom2019 Ай бұрын
uyo jamaana kadanganywa na mganga wake wa kienyeji,
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e Ай бұрын
😂😂😂
@evelynemugeni2369
@evelynemugeni2369 Ай бұрын
Zaire na DRC sio mamoja?
@robertamsini1256
@robertamsini1256 Ай бұрын
Jina ya zamani iyo
@user-mo9nm2vv8l
@user-mo9nm2vv8l Ай бұрын
People are so stupid how 20 people only 😂
Water cannon, arrests in Nairobi as Kenyans protest tax hikes | AFP
1:18
1❤️#thankyou #shorts
00:21
あみか部
Рет қаралды 88 МЛН
СНЕЖКИ ЛЕТОМ?? #shorts
00:30
Паша Осадчий
Рет қаралды 8 МЛН
Vivaan  Tanya once again pranked Papa 🤣😇🤣
00:10
seema lamba
Рет қаралды 16 МЛН
Haha😂 Power💪 #trending #funny #viral #shorts
00:18
Reaction Station TV
Рет қаралды 14 МЛН
Meet the Press NOW - June 19
50:11
NBC News
Рет қаралды 451 М.
transmission    gear box  #automobile #熱門
0:10
Amazingproduction
Рет қаралды 6 МЛН
eBike designs are getting wild 🙌
0:22
Rob Rides EMTB
Рет қаралды 8 МЛН
САМ ЗАКОН нарушает ВСЕ ЗАКОНЫ🚔
0:24
САМ ЗАКОН нарушает ВСЕ ЗАКОНЫ🚔
0:24