Fringe DRC Politician Killed in Thwarted Coup Attempt; Son and US Business Partner Arrested • Fringe DRC Politician ...
Пікірлер: 175
@baranyikwamohammed628Ай бұрын
Waache ujinga hao vibaraaka wa marekani,kazi nzuri kwa askari wa drc .zaire ilikufa na mobutu na haitafufuka tena
@tumlakimwaitumuleАй бұрын
Marekani kila baya lake 😂
@user-lq6kr2gl7nАй бұрын
I love nchi yangu Tanzania 🇹🇿 Ee mungu tujalie amani idumu vizazi had vizazi
@habarugiraRodrigueАй бұрын
Bangi sionzuri
@MwalimuTinaАй бұрын
😂😂
@allahisone6386Ай бұрын
Kbsaaaaaa
@user-nb2jw4km6fАй бұрын
Kweli
@JackMan-bc5pbАй бұрын
Imeniuma sana walivyo yafanya mambo yao kitoto sana
@alibachirofficial3939Ай бұрын
Utoto muwingi sanaaa😂
@alexandrafrancisco984819 күн бұрын
Talvez nao... tens q pensar q ha coisas q nao estao visiveis... provavelvente, algo correu mal... pode sim, ter havido traiçao... ❤
@alibinali_Ай бұрын
Free DRC 🇨🇩 Congo
@RichareEzaiАй бұрын
Xxxxv
@hamudshabani7801Ай бұрын
Jamani tuifanye Africa kuwa salama na yenye usitawi mzuri kwa ajiii yetu and the future generation #heal the world #
@user-cb2us2nu2mАй бұрын
UNAENDAJE KUMPINDUWA RAIS NA MKE WAKO KWENYE MSAFARAA? UKISIKIA NYEGE UNAHACHA VITA KWANZA UNAMKUMBATIYA MKE WAKO DUH IYI MOJA KALIII
@husseinkonz5192Ай бұрын
Congo ulinz bado uko chin
@thelonewolf4429Ай бұрын
Ni mshenzi sana huyu jamaa wakongo tunataka mabadiko ila uyu jamaa ni zaidi ya kibaraka ata lipanga na wazungu uchwara cjuwi kawatoa wapi😅😅
@praymwaluАй бұрын
From DRC CONGO 🇨🇩🇨🇩 apa
@IbrahimShan-qu3umАй бұрын
Mission Impossible.....
@BIGBOSS-hl3buАй бұрын
HONGERENI SANA ASKARI WOTE WA DRC
@officialcandleboy6923Ай бұрын
Hawa mbwa wana shindwa kutimia hiyo nguvu kuwa huwa m23 wana tuuliya wazalendo wa nchi yetu Congo, serekali yaki mangumangu
@abdulymaeda2697Ай бұрын
Congo big up tshsekedi🔥🔥🔥 from🇹🇿
@divaimafuru6844Ай бұрын
I love my country Tanzania, amani idum milele
@KatoJackson-ol3mpАй бұрын
Mungu ailinde inchi yetu!
@yukundapeter8200Ай бұрын
Hongereni sana! Walinci mmenifurahisha sn yaani ji2 jina linamuunganisha mtoto kwenye upumbavu,kufia yukio.
@SugarIgaUfe1Ай бұрын
Wanzinga sana kwa nini hawakuweza chukua mbone inge kua raha kwa sisi amba tuna sumbuliwa na vita uku este ya Congo 🇨🇩
@aminatanzanya7475Ай бұрын
Shukran kwa wote walimuuwa huy bwege wafrica tunahitaj Aman hasa kwa ndugu zetu wa Congo hlf bwege mmoja anatak kuchafua shenzi kabisa
@alexandrafrancisco984819 күн бұрын
Inocencia...❤
@muniraahmed624Ай бұрын
Nomaaa
@r14kgroup68Ай бұрын
Kafa kishenzi bora angeungana na waasi wengine wangepindua nchi
@magretangel5242Ай бұрын
Bora sisi TZ 🇹🇿tunao andamana mitandaoni 😆😆😆....kiherehere sio kizuri...mwenye nguvu apishwe jamani.....
@gladnessfinda7534Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@paulinewangila-cs6ysАй бұрын
Helooooo😂
@kingmediatechonlineАй бұрын
Duh 🙄 ni hatari sanaa
@BukuruKevin-bn1tl27 күн бұрын
Ongo
@upgo6112Ай бұрын
Bangi
@PalomaMshanaАй бұрын
Vichaaa hawa😢 plan ilikuwa mbovuv
@matukiotvonline6366Ай бұрын
Dj smaa emezea kwa ufafanuzi mapinduzi ya kongo imekaaja juu ya wahusika wakuu
@marrykigabimkАй бұрын
Nihatari Kweli
@philiplugalia3724Ай бұрын
Kibaraka cha marekani
@EliaoleshengEa-pv8fuАй бұрын
Hi
@bobkikaya69Ай бұрын
Siyo makazi ya Rais, ni ofisi tu.
@alexandrafrancisco984819 күн бұрын
Rsrsrsr❤❤ foi enganado...
@tajilimtoto5009Ай бұрын
Mhhhh niko congo apa mbona atujasikia laia wakisema
@emmanuelmlowe-ew7gxАй бұрын
Pengine ni uzushi mitandaoni
@user-hs4ko6ib4oАй бұрын
Nikweli labda weye uko congo nyingine
@MichoarbahАй бұрын
Wakongo wana Chelewa kupata habari
@luendosabah2047Ай бұрын
Wawachape kabisa,shida tuna izo T shiit za Zaire kumbe hatutazivaa
@sylvanosalumu5840Ай бұрын
Awakuwa serious na jambo lao.
@FatumaIssa-kw3vv21 күн бұрын
Zarau sio kitu kizuri
@aziza9093Ай бұрын
Hawado wanaomaliza dugu zetu
@AwaziRajabАй бұрын
Hao Wengine Watombwe Mpaka Wafe Nchi Gani Inaongozwa Ivo Ikawa Sawa
@gosbertireneus555817 күн бұрын
hizi bangi hizi nyie acheni tuuuu.... hapo palace napo ulinzi wake unawalakini
@MugishoBagumaАй бұрын
Walijidanganya.
@user-hi8le2vb7zАй бұрын
kile kichapo nimekiona ila waliwagusa tu😊...ao walitakiwa kutafutiwa eneo maalum..kufundishwa nidhamu
@Afroking2001Ай бұрын
Eza ya solo te
@alexandrafrancisco984819 күн бұрын
Quelque chose n'a pas fonctionné... Y a-t-il eu une trahison?!
@alexandrafrancisco984819 күн бұрын
II faut voir au-delà des apparences...quelque chose ne va pas... Y a-t-il eu une trahison?!❤
@King_Of_EverythingАй бұрын
👊✌👍.
@yajuaАй бұрын
Akufe uyo mjinga
@ms123ruАй бұрын
😂😂😂😂 mjasiri amalii wa bangi
@jumashedafaАй бұрын
Watu wakishiba viporo vyao wanashida yan han mbinu za kivita hawana, kelel nyingi zinazoashiria ni wawoga cz waliok train hap zingetembea guns tu...Japo ni taa nyekend kwa tshiseked uimalish ulinz
@user-ff5jt4rp9n24 күн бұрын
Ni aibu
@eliuskamwelwe1018Ай бұрын
Ila wakongo, kwa upuuzi huo Vita haiji kuisha
@gidionlemanya6077Ай бұрын
😮😮😮 congo Wana jeshi dhaifu sanA
@joyjilienАй бұрын
Dhaifu? Kivipi sasa
@Soon815Ай бұрын
@@joyjilien Sasa unadhan kunajeshi pale??Wamewa-out-number M23 plus silaha nzito lakni wanakula kipigo tangu enz na enz
@ce-08Ай бұрын
@@Soon815 Congo wanavikwazo vya silaha
@GeorgeAkasha-zx2rj28 күн бұрын
@@ce-08Na hii ndo shida, ila nadhani wangewekeza utengenezaji wa silaha japo watakumbana na vikwazo vingne pia.
@user-st3ws1ns5gАй бұрын
Inamaana walivuta bangi kwanza?
@piuskusenge-jf2obАй бұрын
Kweli bangi mbaya😂😂😂
@richarddavidmkАй бұрын
Mapinduzi bilakuwa na connection na jesh?
@issajuma9043Ай бұрын
Jamaa mjinga sana huyo, Unataka kupindua Inchi na mgambo 20, Kwahiyo makamu wa Rais angkuwa mkeo, Mkuu wa majeshi angekuwa mtoto wako,?
@lilhydon452Ай бұрын
Shida yetu ni tamaa
@rwakakagaramajohnjacob629522 күн бұрын
Maneno exchange, sensitive, partners, story, description, sometimes, live n.k. hayana mbadala wake katika lugha unayoisema ? Kwanini mwana habari wa Kiswahili, ulimi adhimu, unaoenea sana Duniani sasa, baada ya kukuzwa, kuendelezwa, na kuenezwa kutoka huko (Tanzania), sasa baadhi yenu mnauchafua na kuudunisha ulimi huu unaopendeka sana jameni?
@user-zz9js7te8eАй бұрын
Huyo dogo Kinega 😅😅😅
@petersanagaya2916Ай бұрын
Mwl Nyerere 1776 aliwahi kusema, African naona matatizo matupu mbeleni kama tusipo jikomboa kifikra kutoka kwenye mikono ya mabeberu kwa ajili ya uchu wa madaraka na sio uchungu wa wananchi
@RabihuHusseinАй бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 kumbe alkua kashazaliwa kisha akazaliwa tena
@AwaziRajabАй бұрын
Ndio Mana Wakishikwa Laiya Halamu Wengi Ho Kwanini Halamu Ndio Kama Awa Mambo Yao
@WABAPROАй бұрын
Kaka sio kilingala Bali lingala🤝🏿
@Official83640Ай бұрын
Kwa wale ambao wanaongea Kilingala kamaanisha sio km kakosea mfano, mm naongea kiswahili nitasema kwa wale wanao ongea Swahili sasa hapo utaelewa si mpaka niseme wanao ongea Kiswahili sijui umeelewa lugha aliyotumia hapo? Kilingala=Lingala Kiswahili=Swahili
@user-ju4md1yq6oАй бұрын
Ni channel gani mkuu
@richarddavidmkАй бұрын
Mapinduzi bilakuwa na connection na jesh? Hawa jamaa walitegemea sapot kubwa ya wana nchi ,lakini matokeo yake wananchi hawakutoka nje ,ndio ikala kwao
adui wa africa nimuafrika mwenyewe tuandae majeshi yetu selikali zetu inabidi zichukue watoto miaka saba wapewe elimu mafunzo uzalendo selikali iwe baba na ndo mama nasisi africa tutengeneze majasusi wakasome ulaya izimambo zitaisha ukizingua tunayonga
@issazalala4907Ай бұрын
Tunaishi kwa muda tu lakini daaah tunaptia mambo mengi thanaaa😂
@MohamedSalumu-rg3up20 күн бұрын
W
@victorcephas3618Ай бұрын
Bora ameuawa
@uwezawamungumkuu.amaniafrikaАй бұрын
Waafrika tunataka nini kuvuruga usalama wa taifa na Afrika yetu,,?. Wangemua Rais jamani bila kosa. Walaniwe milele yote wanadamu hao.. Amen.
@sulemanmadahatv1691Ай бұрын
Afrika mashariki Jeshi ni JWTZ tu, watu ishirini wameingia hadi Ikulu Ofisi ya Rais
@lullebolle808Ай бұрын
Faking deal
@zablonOmokeАй бұрын
The job needed well planners for it to yield the fruits and also some top military in the Congo govt
@alexandrafrancisco984819 күн бұрын
Se calhar houve traicao... algo correu mal... foram abandonados...❤
@user-wu8qe4fv4jАй бұрын
Heeeeeeee inchiii yetu
@mathewmutuku734223 күн бұрын
He is being send by American's
@Afroking2001Ай бұрын
Ni uwogo mtupu tu akuna ukweli wowote ni mambo ya kisiasa mapinduzi gani watu wanaedelea kufanya mambo yao kama kawaida
@ajuwazaglodim7645Ай бұрын
Tafadhali, musipotoshe watu, Huu jamaa hakuja kupinduwa Tchisekedi, ni deal na politicians wa hapa congo 🇨🇩 na President anajuwa, ila amesalitiwa. Walipoingia walienda nyumbani kwa Vital Kamerhe makamu waziri wa kwanza Mustafa, ambaye anaandaluwa kusimamia bunge, ila hakuwa nyumbanikwake. Baadaye walienda kwenye ofisi ya rahisi Sunday asubui na 5am, na waliingia bila hata lisasi moja kupigwa. Sijuwi kama huko TZ raïsi anatumika Sunday asubui na 5am?! Hii njo Congo 🇨🇩
@salymsuleiman2035Ай бұрын
Hawa washenzi wanawafuata wazungu
@omarali7Ай бұрын
Wakasome kwanza,mapinduzi sio kujirekodi na kuweka tiktok 😂😂
@shukurumsebaloliАй бұрын
Awowatu niwajinga nakiongozi wawo
@magretangel5242Ай бұрын
Umeonae
@shukurumsebaloliАй бұрын
@@magretangel5242 Naapo wangemukuta raisi wangemuuwa naujinga waoo wanazani wa congomani wanaitaji ilo jina wacongomani wanaitaji amani nandicho anacho kifanya kisekedi
@jumashedafaАй бұрын
Ni jaribio dogo but kuna uzembe mkubwa wa kiulinzi...Ajiangalie vyema
@HanifaOman-oo4plАй бұрын
Wange wachinja wote hao wanalekani Fek
@annaniasbyarugaba5788Ай бұрын
Sas ukiruka live si unaonekana aina ya silaha ulizonazo na adui anajipanga zaidi yako
@kagoyemwambal9061Ай бұрын
Nchii hii kila cku kugomban cjui kwann
@zubekuku7229Ай бұрын
madini ndugu congo Tajiri
@user-xl9oi3cl9cАй бұрын
Siyo ki lingala ni Lingala
@cricwambali1352Ай бұрын
Kizungu kiarabu kilingara ki bembe kifalansa luga yetu ina fungua seme na funga seme nadhani uta kua ume elewa
@Hassan_MengiАй бұрын
@@cricwambali1352 Hamna lugha inayoitwa kifalansa bro
@paulinewangila-cs6ysАй бұрын
@@Hassan_Mengiumeweza😂😂
@aminmohammed4249Ай бұрын
Walipiga vitu vya chuga
@razackndeze-pv5bmАй бұрын
Bangi nyingi na kiherehere, kaitafutia familia yake matatizo, hizo bakora za jeshi la Congo, wote watakuwa ni maiti kwenye masaa kadha ajayo.
@JgjgjggjaieifhfvАй бұрын
😂😂😂 uyu jama ni mushenzi sana tena mijinga kuliko wote na hâta wanaowo mu unga mukono imagine mtu atoke usa muna zani mabadiloko gani ata l'ETA ingekuwa ana toka kongo hapo inge eleweka kidogo Ila uyu hamuna kitu
@emmanuelmlowe-ew7gxАй бұрын
Huyo ni kibaraka wawazu gu pia bangi zilionyesha ata kuwa rais
@AbujadiAbdalaAbujadiAbujadАй бұрын
Madara yanawazingua
@MbaleyАй бұрын
Afanye haraka maana kunamateso ya muno hapa🇨🇩
@emmanuelmlowe-ew7gxАй бұрын
Wewe ni wale wale wapinzani tu
@GraceMakenga-zd1vnАй бұрын
Bangi na madawa vinahela hatari sema tu nipo bongo mbwa mimi😅😅😅😅
@benjagaspar5304Ай бұрын
Wakat unawaza wap kuna mishe au michongo kuna watu waashaamua maamuz magumu dahh
@sponsor7882Ай бұрын
Wakongo kama wasomali
@RyannkaeАй бұрын
Wewe ujuwi apo kuna watu weusi wa usa walio wayi Pima DN nakupatikana ni wa congo wamejitolea na sio hao tu niwengi nikama vikundi 25
@georgekabaka377Ай бұрын
Anavamia kishambashamba hivyooo kweli.... Eti mapinduz na watu 20
@victorarts242Ай бұрын
Hapo ndio panachekesha 😂, mapinduzi ya watu 20, halafu anaruka live 😂
@RyannkaeАй бұрын
@@victorarts242niwengi bro nasio ao tu nivikundi yani uk, ufarasa usa canada ila usa wapo vikundi 25 apo awalikuwa wanakwenda kujaribu niwengi mno nawanachagana na watu weusi aliyo pima DN wakapatikana niwacongomani nao wapo humo yeye ajitaindi kurusu wana jeshi kupingana rwanda kama sio hivyo ato maliza mwaka mana wacongo wengi wamezinduka
@GeorgeAkasha-zx2rj28 күн бұрын
Alitegemea angeungwa mkono na baadhi ya wakuu wa kijeshi.
@mwaimuchengo181426 күн бұрын
Huyu jamaa mzembe sana boraa angeshirikisha wataaalan wa haya mambo unataka kupinduaa nchi hujashikilia kiwanja Cha ndege ,redio na tv ya taifa ,huna hata kambi Moja ya jeshi inayokusapoti huyu ni utoto aliofanya kafa akiwa na umri mdogo sanaa miaka 41 inawezekana angeisaidia sana Congo ila ndio hivyoo
@alexandrafrancisco984819 күн бұрын
Por isso, deves reflectir... sera assim mesm?! Algo correu mal?! Houve traicao!?❤
@mytelecom2019Ай бұрын
uyo jamaana kadanganywa na mganga wake wa kienyeji,