No video

Duni Ateta Sakata la Bandari.'Kosa Sababu Rais Mzanzibar'.Wako Mikoani Huko Wanazunguka

  Рет қаралды 50,420

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Juma Haji Duni ambaye ni mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo alikua akiongea kwenye mkutano wa hadhara wa ACT Wazalendo uliofanyika Bubwini Zanzibar hivi leo Agosti 06,2023
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 432
@mollelyally5213
@mollelyally5213 Жыл бұрын
Safii mzee duni haji Allah akulinde na maadui wa ndani na nje inshaalah
@shukurukoll7269
@shukurukoll7269 Жыл бұрын
Wabaguzi hao, Mwenyezi Mungu Awalaani . Mwenyezi Mungu Ambariki Rais wetu Mama Samia.
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 Жыл бұрын
@shukurukoll7269. WABAGUZI NA SERA YAO Huo Ubaguzi wa Zanzibar ni Sera ya Chama Cha Mapinduzi ulioanzishwa na Baba wa Kanisa Julius Nyerere. 1) Nyerere alitumia Ubaguzi kufanya Mapinduzi yalouwa Waislam wengi wa Zanzibar kuwa Kafara. 2) Nyerere alitumia Ubaguzi kufanya Muungano wa lazima bila ya ridhaa ya Baraza la Mapinduzi la Zanzibar. 3) Nyerere alitumia Ubaguzi kufanya Chama Cha Mapinduzi bila ya ridhaa ya Wazanzibari. 4) Sera ya Ubaguzi wa Chama Cha Mapinduzi umemfanya mama Samia kuwa Rais wa Tanzania Kikatiba. UCHAGUZI WA UBAGUZI NA WIZI i) Uchaguzi wa Zanzibar ulikuwa Siku Mbili, Tanganyika Siku Moja. ii) Uchaguzi wa Zanzibar ulikuwa wa Sera ya Ubaguzi ufuatao: 1) Siku ya Kwanza kwa Watawala. 2) Siku ya Pili kwa Watawaliwa. BILA UBAGUZI HAKUNA MUUNGANO
@MussaMgonola
@MussaMgonola Жыл бұрын
Naam MashaAllah hakuna marefu yasiyo ncha ,ni kweli kabisa wawape nchi yenu mna bendera yenu ,bunge lenu ,wimbo wenu ,jeshi lenu na rais wenu
@godwinkasaizi882
@godwinkasaizi882 Жыл бұрын
Hii spana ya Mkataba wa Bandari, Iko vizuri Sana. Inafungua Kila kitu.
@mutalemwajohanes-kx9dj
@mutalemwajohanes-kx9dj Жыл бұрын
Kwa haraka wenye kujua tatizo lilipo ni lazima wajue ccm ndio ugonjwa sugu wa hii nchi
@mulasaid2959
@mulasaid2959 Жыл бұрын
Na chadema wabaguzi
@fulgencemark7640
@fulgencemark7640 Жыл бұрын
Haya sasa yameibuka ya raisi kuwa mzanzbari kwani Mzee Mwinyi sio mzanzibari? Yameletwa ya udini.hizi ni mbinu chafu zinazobuniwa na roho ya wizi,ufisadi na uonevu..Watu wachache kujiaminisha was ndio kila kitu ni U zuUZI ulioptilliza.Raia kupindua serikali haijawahi kusikika kokote duniani
@kassimmuktarymurji4242
@kassimmuktarymurji4242 Жыл бұрын
Tatizo sio ccm tatizo ni kanisa katoliki,kuwa wao wako kama Muhimili wa nnchi toka zama hizo,wanashindwa kusoma nyakati watatue matatizo yao na serikali ihangaike na yake,kauli ya maaskofu katoliki sio kauli ya watanzania,na kauli za Vatican mama wa ubepari duniani kupitia kanisa imepitwa na wakati
@noelbryson7840
@noelbryson7840 Жыл бұрын
@@kassimmuktarymurji4242We huna akili hata kidogo, Akili yako inawaza tende, You ar Stupid…
@user-ig7tb1cf8z
@user-ig7tb1cf8z Жыл бұрын
Bandari imetujulisha mengi kumbe ACT kilaza
@karimkassam571
@karimkassam571 Жыл бұрын
Chadema ndio vilaza
@hamisijuma3276
@hamisijuma3276 Жыл бұрын
Kwan unaona Zitto anaongea????
@bonnymakuke3153
@bonnymakuke3153 Жыл бұрын
Ndo maana kumbe Kila ya kishinda yanazurumiwa kumbe ni mapumbavu ivi!!!
@mkude
@mkude Жыл бұрын
Chadema wasahau kabisa kushika mamlaka makubwa ya Tanzania
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Жыл бұрын
Zitto haongei kwasababu kamezwa na act wazanzibar
@omarijuma5007
@omarijuma5007 Жыл бұрын
Hello duni Safi Sana wakae wakijua kukosa muungano Zanziba wangeiona Dubai hakuna kisiwa masikini duniani waambie hao wanyawima
@maximillianmayani5119
@maximillianmayani5119 Жыл бұрын
Mentality za kiarabu zinawaumiza huo ni utumwa
@salehkhamis-ob8ln
@salehkhamis-ob8ln 11 ай бұрын
​@@maximillianmayani5119bora utumwa wa kiarabu kuliko utumwa wa watanganyika
@biteyubwoba492
@biteyubwoba492 Жыл бұрын
Wazanzibari simameni kidete vunjeni muungano ili watanganyika wajihangaikie wenyenyewe,
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 Жыл бұрын
Kama Hussain Ali ni Mzaliwa wa Zanzibar na avunje Muungano kabla ya 2025 atakuwa Jabari na Shupavu.
@chescokagali5962
@chescokagali5962 Жыл бұрын
Nimeamini Hawa jamaa Wana umoja kuliko sisis Watanganyika
@agustinokimaro1483
@agustinokimaro1483 Жыл бұрын
Watatumaliza hawa lao moja,,na ss watanganyika tupo tuu
@paschalpaul3862
@paschalpaul3862 Жыл бұрын
Kwa hiyo ACT inatetea agenda ya ccm hivyo ni aibu sana kwa zito
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Жыл бұрын
No manager yake umesikia zito kaongea??
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 Жыл бұрын
KOTI LIVUENI MCHUKUE NCHI YENU @paschalpaul3862.Watanganyika wamshukuru Rais Mzanzibari amewaamsha kudai nchi yao.
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 Жыл бұрын
Tuliza akili uwelewe huyo hasemei ccm wala Act huyo anasemea Zazibary na Tanganyika
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 Жыл бұрын
@@maftahmusa9513 SHUKRAN JAZEERA🙏👍
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 Жыл бұрын
@@khatibal-zinjibari6956 🙏
@jamesswai1683
@jamesswai1683 Жыл бұрын
Hii mijitu ya hovyo Sana..hakika nawaambia act inafutika Zanzibar..wazanzibar sio wanafiki kamwe na hawako tayari kukaa na watu wanafki..mara ngapi metendewa madhila na watanganyika wamewatetea
@sadih5333
@sadih5333 Жыл бұрын
Lining, zaidi ya kuleta jeshi kudhalilisha watu.
@mohdchuma78
@mohdchuma78 Жыл бұрын
😂
@Allybinamour
@Allybinamour Жыл бұрын
babu duni umeongea vizuri sana,ila mimi najiuliza hawa watanganyika wanaodai tanganyika yao kwani tanganyika yao anayo nani?
@pendaelmollel1847
@pendaelmollel1847 Жыл бұрын
Ni matope tu au naona mwenyewe wadau
@yusufujuma1859
@yusufujuma1859 Жыл бұрын
Kweli bhana unaona matope ,ukiwa macho huna hutaona kitu
@selemanimchana3598
@selemanimchana3598 Жыл бұрын
Ameingia mikataba mibovu, na mbona hajaziweka na hizo za huko?
@vicentnyanda828
@vicentnyanda828 Жыл бұрын
Si muondoke kwani kuna watu wanawatakeni????
@awadhsalim2680
@awadhsalim2680 Жыл бұрын
Nimemsiklz vizuur mzee duni. Kumbe ndio watanganyika wakawa wanatoka mapovu ktk comments zao mzee kauwa nyani. Ivi kwann jamani mpka tukielezwa ukweli ikawa tunapinga tu sisi ? Ndio mpaka leo tukawa watumwa wa wazungu na papa wa Ital kwa ujinga wetu.
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 Жыл бұрын
JUMA DUNI ON INTELLECTUAL RESPONSIBILITY IN ZANZIBAR "It is the responsibility of intellectuals to speak the truth and to expose lies of (The Union Government)." [Source: Noam Chomsky in The New York Review of Books February 23, 1967]. TUCHUKUWE ZANZIBAR YETU CHUKUWENI TANGANYIKA YENU.
@InnocentKapwani-mp2po
@InnocentKapwani-mp2po Жыл бұрын
Duni acha mipasho
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 Жыл бұрын
@InnocentKapwani-mp2po JUMA DUNI WAPASHE NA WAFICHULIE Wapashe na Fichuwa Waliyotuficha Zanzibar na Tanganyika. ALOYAFICHA JULIUS NYERERE 1) Serikali ya Tanganyika imefichwa na Koti la TANZANIA kama ni Utatu Mtakatifu wa Daima na Milele. 2) Afro-Shirazi Party imefichwa na Kizibao cha TANU ya Tanganyika. 3) Zanzibar imemezwa DODOMA kuwa ni Bamkwe ya Mandera.
@benjaminyakobo7792
@benjaminyakobo7792 Жыл бұрын
Wewe Naye mchochezi tu hunaunalo lijua waretehao warabu kwenu zanzi
@simbawateranga7020
@simbawateranga7020 Жыл бұрын
Sijamuelewa hata kdg
@kassimmuktarymurji4242
@kassimmuktarymurji4242 Жыл бұрын
Ongea baba duni,sisi waislamu tunaishi ukweli kwani imani yetu kuna maisha baada kifo,hii nnchi sio ya wakatoliki na kauli yao sio ya watanzania,tupige kura hao wakatoliki wako wangapi?kuamua mustakabali wa watanzania
@innocentlethisia416
@innocentlethisia416 Жыл бұрын
ZITO NI MTU HATAR SANA KWA MUSTAKABALI WA TAIFA
@TNgwale-eu3xl
@TNgwale-eu3xl Жыл бұрын
Ni ndumila kuwili huyo
@user-hb1iw9uj3x
@user-hb1iw9uj3x Жыл бұрын
Zanzibar haipaswi kuwepo kama ilivyopotea tanganyika, tufute tofauti Tanzania iwe moja,
@mdidiomari7351
@mdidiomari7351 Жыл бұрын
Muislam yeyote atakae itukuza chadema ataenda motoni
@jaliabahat1520
@jaliabahat1520 Жыл бұрын
kweli
@mimiraia2531
@mimiraia2531 Жыл бұрын
Hoja ni kwa nini Bandari za Zanzibar hazimo kwenye huo mkataba. Hoja Sio Uzanzibar, UARABU au Uislam.
@sospeterthomas3342
@sospeterthomas3342 Жыл бұрын
Haya kuhusu kauze za kwenu
@kingmichael1234
@kingmichael1234 Жыл бұрын
Useless speech.. hatuhitaji umbea katika mambo serious ya kuikomboa Tanganyika yetu. Bandari sio jambo la mzaha hata kidogo
@simonibonifasi3131
@simonibonifasi3131 Жыл бұрын
Kweli akili ndogo ndoinayoongoza akili kubwa
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 Жыл бұрын
kama unaona hivyo unamatatizo ama ya akili au ya macho kila siku akili kubwa ndio huongoza akili ndogo basi hiyo unayoiona ndogo ndio kubwa hiyo wahi kutibu macho au akili uelewe vizuri
@user-pw2tv1qg8r
@user-pw2tv1qg8r Жыл бұрын
Ongea yako tu unaonekana mnafki
@NetoKatundu-yb7ug
@NetoKatundu-yb7ug Жыл бұрын
Wewe unaongea kama hujui wakati unajua Ccm ndo haitaki
@alexandermalima610
@alexandermalima610 Жыл бұрын
Hivi wewe ndo ulitaka kuwa makamu wa rais,hata hivyo nilikuwa na wasiwasi na wewe
@eliakazilo6078
@eliakazilo6078 11 ай бұрын
Huyu Duni Ana matatizo. Eti Chao Ni Chao ,na chetu Ni Chao. Sio nyie mnataka serikali yenu?Rais wenu? Bendera yenu? Wimbo wa taifa lenu?kwani Kuna lipi wanalo wazanzibari.kati ya Zanzibari na mbara Nani Ana FAIDA,Nani jafaidika? Duni njoo hata uchukue wazenji kibao wamejaa.wachujue ndugu zako.Wee Duni waarabu wanakununua. Zanzibar Ni ya sultani
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Жыл бұрын
Tuijadili Zanzibar yetu tu Babu Duni tatizo la Zanzibar ni hivi vyama vyenu na usitaje kabisa CCM kuhukumiwa Dodoma wakati vyama vyote mnahukumiwa huko huko Tanganyika tofauti ni mitaa tu.
@issaburhani3455
@issaburhani3455 Жыл бұрын
Attention!!! Kuna jambo baya linaweza kutokea TZ maana kila pembe kuna moto unawaka. Rescue inahitajika otherwise......
@rosemayunga4021
@rosemayunga4021 Жыл бұрын
As ndio maana Naye Samia aneleta mkataba usiyo na mwisho Kama muungano!!! Ndiyo maanaaaaa
@f.a6043
@f.a6043 Жыл бұрын
Hata hivyo muungano ni changamoto sana 😂😂😂😂 Duni Haji😅😅👏🏽👏🏽👏🏽 Tunakukumbuka wakati wa Lowasa
@tindatinda7330
@tindatinda7330 11 ай бұрын
Kama kosa ni kuwa mzanzibar basi utanzania UNASIHI wapi?ACHA umaarufu WA kutafuta popularity
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k Жыл бұрын
Funga domo jinga wewe
@martinsokoi397
@martinsokoi397 11 ай бұрын
Wee duni we mbona zijawahi kuona rais wa Zanzibar akitokea Tanzania,
@chescokagali5962
@chescokagali5962 Жыл бұрын
Hayo unayozungumza ni sawa lakini hoja siyo dini Wala uzanzibar ni mkataba
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw Жыл бұрын
Mimi ni kada wa ccm sijifichi ila mzee duni yupo sahihi
@LumolaSteven
@LumolaSteven Жыл бұрын
Leo unasema Rais Mwinyi Mzaramo ina maana Mzee Mwinyi sio Mzanzibar na Hussein Mwinyi ni Mzaramo kama baba yake. Mnaanza kubaguana nyie kwa nyie
@mdidiomari7351
@mdidiomari7351 Жыл бұрын
Tanganyika wezi wakubwa sana na wanyonyaji sana uonevu umezidi Zanzibar
@luckymsomba4818
@luckymsomba4818 Жыл бұрын
hamna kitu hapo
@ElihurumaThomas-kz8nq
@ElihurumaThomas-kz8nq 3 ай бұрын
WAINGEREZA NDIO WANAOWATESA WALIKATAA MUWE TAIFA WAKAWAKABIDHI KWA TANGANYIKA SASA MKITAKA KUWA HURU KAENI MEZA MOJA NA WAINGEREZA HUENDA MKAPEWA NCHI YENU
@hamdincatalonia3272
@hamdincatalonia3272 Жыл бұрын
Chadema wabaguzi sana
@issalyanalijr-8610
@issalyanalijr-8610 Жыл бұрын
Correct ni chama chenye ukanda,,udini ,,upuuzi tu,,,,tutapigia CCM,,,😢 forever
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Жыл бұрын
Mzee anaremba sauti kama shoga wa makunduchi.Hakuna cha Zanzibar yenu, Zanzibar huko tuendako lazima uwe mkoa miongoni mwa mikoa ya Tanganyika.
@saidikatalambula
@saidikatalambula Жыл бұрын
Kaka jibu hoja matusi hayajibu hoja hata , anayeongea ni sawa na baba yako
@fredernestonline6011
@fredernestonline6011 Жыл бұрын
Hawa wazanzibar wangekaa kwao huko. 😢wafanye Mambo yao
@rebeccamsami4580
@rebeccamsami4580 Жыл бұрын
Kabisa
@abuukarata9653
@abuukarata9653 Жыл бұрын
Na wewe unadhani utapona muungano ukifunjika.
@maximillianmayani5119
@maximillianmayani5119 Жыл бұрын
Wahame dar et
@awadhsalim2680
@awadhsalim2680 Жыл бұрын
​@@maximillianmayani5119dar mpaka mlandizi Tanga mpka Mombasa kama hujui ni zanzibar. Kwa hiyo mjiteyarishe kuhama. Nyinyi bahari yenu ni Mtwara na mabwawa. Mkafuge samaki huko. Mtuachie dar yetu na tumeijenga wenyewe wazanzibar.
@mohammedsaid3045
@mohammedsaid3045 Жыл бұрын
Kafirane huko mkiambiwa ukweli mnaanza ubaguzi mbwa ww
@christianmwabukusi8132
@christianmwabukusi8132 Жыл бұрын
Kwani hajawahi kuwepo Rais Mzanzibari! Mbona mnageuza maneno?
@DeogratiasLekariro-gq3gk
@DeogratiasLekariro-gq3gk Жыл бұрын
Duni kama jina lake! Aende kwenye point ya msingi; mkataba wa bandari,
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 11 ай бұрын
Kwani hii Tanganyika yao kaichukua nani mpaka wanaidai? hapa Kuna mengi yakujiuliza. "Muungano"(kupe ) Kuna nini hapa? Na Kwanini Kila anaedai kuvunjika muungano wanamfunga au kumpoteza kabisa .
@emilbocco5895
@emilbocco5895 Жыл бұрын
Mbona mkataba wa ges ametia samia? Nishati si shirika ndio maana mafuta ya zanzibar mnasema si ya Tanzania
@studio..07
@studio..07 Жыл бұрын
Mbona zanzibar hakujawahi kuwa na Raisi Mtanganyika? Nyinyi tu hamruhusu sisi tuwatawale Ila nyinyi ruksa kututawala shame upon you all
@luckymsomba4818
@luckymsomba4818 Жыл бұрын
imeisha hiyo hakuna muungano tena
@mbwanamungia9921
@mbwanamungia9921 Жыл бұрын
Kusoma sio ujinga kwisha mzee baba achana nao wajinga wale wana makelele tu akili hawana huyo Dr. silaa na Lissu ndio ovyo kabisa najionea makelele tu. Sio wataalam wa mambo hayo
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle Жыл бұрын
Kwa hiyo wewe mzee duni unafurahia bandari za Tanganyika kufanyiwa uwekezaji wa hovyo kama huu?
@bakariamour1024
@bakariamour1024 Жыл бұрын
Na nyinyi mlivyokuwa mkikusanya pesa za TRA na kuzipeleka kila uchao mbona hamuyasemi ?
@yusufujuma1859
@yusufujuma1859 Жыл бұрын
Sio babu duni peke yake anaefurahia karibu wa Zanzibari wote wanataka Kila kitu kiuzwe ndio dawa ya mzulumaji
@studio..07
@studio..07 Жыл бұрын
Kumbe mnaajenda ya Siri kutuuza si ndio?
@rehemashabhay8946
@rehemashabhay8946 Жыл бұрын
Akili ni nywele kila mtu ana zake....Nyingine zimepunyuka.kama za paka aliyekula nguru..
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Жыл бұрын
Pumba ondokeni na mzanzibar went ovuoooooo yang udini
@jitunzetweve9873
@jitunzetweve9873 Жыл бұрын
Bandari imefungua akili za watu. Ili amani iwepo mkataba ufutwe kabisa. Tanzania itakuwa salama
@saidkipalo4427
@saidkipalo4427 11 ай бұрын
Hakuna wakuifuta labda ufutike Wewe
@richardkorogokorogo4840
@richardkorogokorogo4840 Жыл бұрын
Hao wote Marais waliopita waliwahi kuuza kitu Cha Zanzibar hata kimoja?
@kenethmwangoka981
@kenethmwangoka981 11 ай бұрын
Leo mnanza kubaguana kuwa mwinyi sio mnzanzibari ni mzaramo kesho mtapewa kinzanzibar chenu mtanza kuchapana mapanga kumtafta mnzanzibari ni nani mana mnaendekeza ubaguzi na jaziba za kasumba kuweni makini hata nje ya mungano bado mtaendelea na malala miko na kubaguana kama mnavyo wakataa wenzenu sasa
@zabronjonathan2264
@zabronjonathan2264 Жыл бұрын
SEMA Mzee tunakusikiliza mengine uko vizuri.
@user-bw8lt8wy1i
@user-bw8lt8wy1i 8 ай бұрын
Huyu no mpemba asili ya wapemba asili ya mpemba no mnafik mpemba no mnafiki hao waliwasalit was unnguja na kumpelekea mapinduz kupinduliwa waliwasalit
@frankcharles3980
@frankcharles3980 Жыл бұрын
NYIE NIMACCM TUNAWAJUA VIZURI SANA
@mkude
@mkude Жыл бұрын
Na chadema ni chama Cha kidini Hilo linajulikana vizuri wasahau kabisa kushika mamlaka makubwa ya Tanzania
@nicholauskilosa5336
@nicholauskilosa5336 Жыл бұрын
Ongea sera za chama chako mzee
@ahmadamohamed1907
@ahmadamohamed1907 Жыл бұрын
Ndio anaongea sera miongoni mwa sera zao nikutokuwa wabaguzi
@edsonkahesi8603
@edsonkahesi8603 Жыл бұрын
Hamjashirikishwa kwa7b mkataba haujawajumuisha, na panapoonekana pana shida ziundwe serikali 3, shida ni mkataba mbovu au hamuoni
@salamathiastz274
@salamathiastz274 Жыл бұрын
Dpw wapeni bandari za zanzibar ,ya dar es salaam tuachieni hatutaki
@annamwanakatwe233
@annamwanakatwe233 Жыл бұрын
Uelewa. Mdoho Samia Anapoteza Raslimiali yetu Tunakuomba unyamaze utalaniwa nakizazi chetu mbona unajua kumbe Bandari unajua Ni chanzo Cha uchumi. Kumbe tuungane kufuta Mkataba mbovu sisi hatutaki ujinga mliofanyiwa huko
@user-tb1gd4dp9s
@user-tb1gd4dp9s Жыл бұрын
Jitengeni sisi atuwataki kwanza tanganyika tunajitosheleza
@salehkhamis-ob8ln
@salehkhamis-ob8ln 11 ай бұрын
Kama mnajitosheleza musinge ing'ang'ania zanzibar. Kasikilize hutuba ya Lukuvi akiwa kanisani ndio utajua umuhimu wa zanzibar kwa watanganyika
@martinsokoi397
@martinsokoi397 11 ай бұрын
Unamtetea kwa sababu ni ndugu Yako acha ubaguzi,
@monicambossa4937
@monicambossa4937 Жыл бұрын
Act wazalendo kimeanzishwa lini na makao makuu yako wapi
@emilbocco5895
@emilbocco5895 Жыл бұрын
Mbona nyinyi mnamsema Hussein mwinyi ni mtanganyika
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Жыл бұрын
Acha kupepesa macho kwa sababu ya siasa, Wazanzibar HATUUTAKI tena Muungano wala uonevu uliopo hausababishwi na Katiba iliyopo.
@josephwilliammnyune5464
@josephwilliammnyune5464 Жыл бұрын
Kosa sio Rais Mzanzibar. Ingawa ni kweli Mzanzibar. Kosa ni mkataba mbovu. Nadhani umewasikia wanasheria nguli kama prof. Issa Shivji, na Jaji Joseph Warioba, mama Tibaijuka na wengine.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Жыл бұрын
Tibaijuka yule aliyeiba billion 1 na million 600 kwenye Tegeta Escrow amekuwa mzalendo lini.
@frankcharles3980
@frankcharles3980 Жыл бұрын
NYIE NIMACCM TU
@user-oz1pp1ck2m
@user-oz1pp1ck2m Жыл бұрын
​@@frankcharles3980shida anapambana na upinzani pasipo kupambana na ccm inayowatesa
@user-oz1pp1ck2m
@user-oz1pp1ck2m Жыл бұрын
​@@hajihassan5433haijalishi mwizi lakini katiba mbovu haivumiliki
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np 11 ай бұрын
We noma
@user-ve5nc3ny3g
@user-ve5nc3ny3g Жыл бұрын
Kanisa baba, kanisa baba!!
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 Жыл бұрын
Baada ya Karume kuuliwa Afisi ya Bamkwe imehamishwa Dodoma😂
@SarahShao-jw1up
@SarahShao-jw1up Жыл бұрын
Safi sana mzee.....we ni mzalendo.....kila mtu kwake Tanganyika kwao Zanzibar kwao
@user-xg2wb9ye2g
@user-xg2wb9ye2g Жыл бұрын
Mtanganyika Mzalendo wa kweli ni Filipo mpango tuko pamoja na Filipo mpango kaziiendelee
@sospeterthomas3342
@sospeterthomas3342 Жыл бұрын
Na ajili zako Ni Dini kaka Jina lako
@user-hb1iw9uj3x
@user-hb1iw9uj3x Жыл бұрын
😂huyu mzee hajielewi,muungano siujui najua bandari, samia awe mzanzibar awe mmafia, naangalia tanzania, zanzibar mna bendera na Zanzibara hatuna bendera,tunatumi ya tanzania,ww ndo unataka zanziba cyo wazanzibari.
@MohamedMrope
@MohamedMrope Жыл бұрын
Muda umefika kilamtu afe nachake
@husseinmwanjela8644
@husseinmwanjela8644 Жыл бұрын
Allah atawasimamiaa inshaa Allah
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k Жыл бұрын
Acha ujinga wewe haujielewi mna ubaguzi samia kavuruga nchi kaeni kwenu
@mkude
@mkude Жыл бұрын
Alieanzisha ubaguzi ni nani wewe,au akili zako za matope
@MrLusekelo
@MrLusekelo Жыл бұрын
nimemuelewa sana, ametoa hoja nzito
@innocentlethisia416
@innocentlethisia416 Жыл бұрын
ACT CCM B
@user-tb1gd4dp9s
@user-tb1gd4dp9s Жыл бұрын
Asi muondoke nae uyo raisi sisi watanganyika
@aggreykwilabyanoni1581
@aggreykwilabyanoni1581 Жыл бұрын
Umeeleweka Mzee watu watafute Tanganyika Yao.
@theonaskalyalya9109
@theonaskalyalya9109 11 ай бұрын
Babu Fun acha kupotosha hayo mbona Mwinyi hakusemwa alifanya viUri
@halfankawambwa9008
@halfankawambwa9008 Жыл бұрын
Ujinga mtupu umejifuta mwenyewe kwene akili yangu
@user-oz1pp1ck2m
@user-oz1pp1ck2m Жыл бұрын
Hapo cjui anaongea Nini
@user-im9my8wk2d
@user-im9my8wk2d Жыл бұрын
Umeme wa tanesco nyie mnapata umeme kutoka Comoro!? Kweli akili duni
@aybkham5795
@aybkham5795 11 ай бұрын
Umeme sisi Sio tatizo bahari tuko nato fasta tu tinawasha
@djsandi4419
@djsandi4419 11 ай бұрын
@@aybkham5795 we kuma kweli maji ya bahari hayawezi zalisha umeme maisha
@mtz5582
@mtz5582 Жыл бұрын
Wazanzibari washamba ila hawajui Tu....washambaaa...na mapazia ya Dubai....Nani mjanja wa Leo anaingia ubia na waarabu..all intellectuals in Arab world is foreign imported....
@jamaa2760
@jamaa2760 Жыл бұрын
A) Babu duni,, Mafuta Zanzibar si Muungano iweje Gesi ya Mtwara?? B) Mkata wa Bandari unabishaniwa masharti ya Mkataba.
@Euph59
@Euph59 Жыл бұрын
Huyu ndiye yule duni aliyekuwa na akili sasa aongea hivi? Wataalam wafanye kazi yao tu ya Kisheria na ikibidi tuirekebishe hii ndoa na wenzetu ambayo haina maslahi nasi kwa sasa. Sheria pekee ndiyo itatutatulia huu ukakasi.
@abuukarata9653
@abuukarata9653 Жыл бұрын
Wewe una maslah na ndoa gani labda?
@johnmacha2194
@johnmacha2194 Жыл бұрын
crap! wazanzibari wako kila kona bara na hawabaguliwi acheni mineno mineno!
@gilbertnyanda5027
@gilbertnyanda5027 Жыл бұрын
Akili ndogo sana huyu jamaa
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk Жыл бұрын
Akili ndogo kvipi? Waatakiwa kujibu hoja usipende kulahisiha huyo anahoja nuzuri Sana CCM hawataki maswali magumu wanataka majibu mepesi! Wametufiisha hapa tulpo kwenye maswali magmuui hawawezi kujibu!
@hamdincatalonia3272
@hamdincatalonia3272 Жыл бұрын
Tatizo la chadema wabaguzi sana bora ccm x1000
@YusuphJilala-it9bo
@YusuphJilala-it9bo Жыл бұрын
Bwegeee huyooooooo
@dulasaid2581
@dulasaid2581 Жыл бұрын
Sasa hivi watachana na kuidai tanganyika. Tukidai zanzibar.
@mkingajuliuas9673
@mkingajuliuas9673 Жыл бұрын
Wewe ni mjinga kalale hakuna unacho kiongea
@emilbocco5895
@emilbocco5895 Жыл бұрын
Hata mkijitenga ccm zanzibar itabaki madarakani ,
@mohdchuma78
@mohdchuma78 Жыл бұрын
😂
@innocentlethisia416
@innocentlethisia416 Жыл бұрын
MNAFIKI SANAA ZEE ZIMA AIBU SANAAA
@shubebunyesi542
@shubebunyesi542 Жыл бұрын
Anaongea ukweli sema wewe huna unachokijua fatilia kuna mambo mengi Zanzibar wanafelishwa na bara coz Zanzibar kuna baadhi ya mambo mpaka wapate kibali kutoka uku bara kwenye bandari ndio mnawajua wazanzibari ila kwenye vitu vingine vyetu wote manake mmeanza kuleta ubaguzi kwann hasingeuza ya kwao Zanzibar wakati unajua kuwa hii ni jamihuri kama hamtaki muhungano vunjeni
@abdallahselemani6423
@abdallahselemani6423 Жыл бұрын
Yanakuingia hayo maneno komaa wee kichogo
@yussuph-lx7cu
@yussuph-lx7cu Жыл бұрын
Nyie wapinzani muungane ndipo mtapata mafanikiio ,chadema na act ni lazima muwe kitu kimoja ,,,matatizo yote haya ni sababu ya ccm ambao hawataki serikali tatu ,,tiba mi mabadiliko ya katiba kila mtu amiliki cha kwake na vyama vya siasa visiwe vya kimuungano yaani watanganyika wawe na vyama vyao vya kisiasa na Zanzibar vile vile ili kulinda haki na mali za taifa ,,,kosa kubwa kwasasa ni katiba
@agustinokimaro1483
@agustinokimaro1483 Жыл бұрын
Ndo ukaunga na MTU kama huyo kweli????ACT wana lao
@salehkhamis-ob8ln
@salehkhamis-ob8ln 11 ай бұрын
Chadema wabaguzi
@costantinekikinda7574
@costantinekikinda7574 Жыл бұрын
Acha pumba banna ila iko siku utajua Tanzania ni nini
@dennisungonella205
@dennisungonella205 Жыл бұрын
Act imetekwa na wazanzibar, pole yao
@andrewassey5108
@andrewassey5108 Жыл бұрын
Babu jiheshimu kama tunavyokuheshimu ukianza uongo tutakudharau. Kwa nini hakuuza bandari za Zanzibar ana upendo gani na Tanganyika ambao Hana kwa Zanzibar? Kama kweli nchi ni moja?
LUKUVI NGORONGORO  AUSEMA UJUMBE ALIOAGIZWA NA RAIS SAMIA
5:54
Mwananchi Digital
Рет қаралды 20 М.
Challenge matching picture with Alfredo Larin family! 😁
00:21
BigSchool
Рет қаралды 41 МЛН
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 12 МЛН
KULA 'APPLE' BAADA YA NUSU SAA- PROF. JANABI
2:47
Daily News Digital
Рет қаралды 11 М.
BABU DUNI AMVAA TENA RAIS MWINI.HUTUBA YAKE HII APA
25:16
RVS Online Tv
Рет қаралды 20 М.