MaashaaAllah sheikh Othman Maalim Allah akupe umri mrefu wenye kheri na wewe tuzidi kufaidika na elmu yako InshaaAllah
@jamalathman62193 жыл бұрын
Subhallah Allah atujenge imani ya kuipenda ahera nakuipuza dunia kama mtume na maswahaba zake amin
@user-ws9ek8dj5n6 жыл бұрын
Alhamdulillah twamshukuru Mwenyezi Mgu kwa kutujaalia kuwa na ndugu katika dini ya kiislamu kama wewe na wengine kwa kutuongoza kidini na yanayo tufaa katika dunya.
@issmuking39872 жыл бұрын
Kiukwel Allah akulipe sheikh wetu ujumbe umefika na tutaufanyia kazi 👏
@firdaus74286 жыл бұрын
MashaAllah Allah akuzidishie umri mrefu wenye afya furaha uzima na baraka tele uzidi kutupa daaawa ,akuepushe na kila hasad na akujaalie Pepo ya Firdaus pamoja na waislam wote Amiin
@ilhamomar1164 жыл бұрын
Yaraby usitujaalie dunia kua ndio mapnz kwet yarabby tujaalie tuipe mgong dunia na mamb yke ispokua tujaalie tuipambe akhera ytu ili tukapte saada hko yaumul-Qiyama ishallah 😘😘❤
@tatianatataa14896 жыл бұрын
Mimi mkristo lakini napenda mawaidha yako sana, unahubiri vizuri tena polepole naelewa kila kitu. Mwenyezi mungu akubariki
@jumamunga7156 жыл бұрын
Jackie chao ubarikiwe pia wewe unaesikiza maneno ya mungu
@yassindeffu885 жыл бұрын
Allah akujaalie nawe uwe mwiislam
@jamilaclassic60475 жыл бұрын
Mashallah Allah atuongoze kila penye kheri zake amin yaarabii
@user-wv5fq1bm5x5 жыл бұрын
Allah akujaalie na ww pia Upate kuwa mwislam InshaAllah Allah kariim
@alexmunuo3764 жыл бұрын
mungu akupe uri
@wajhikaabdallah16594 жыл бұрын
Allah akulipe kila la kheri, kwakuzitibu nafsi zetu na akujaalie uhai mrefu. amin.
@andrewokwomi59415 жыл бұрын
Mashallah mwenyezi Mungu akuzidishie nguvu na hekma yakutupatia mawaidha na tuweze kujiepusha na tamaa ya mambo ya dunia.Alhamdhullah....Allah is great
@elizabethfares46506 жыл бұрын
Hewe Allah we2 ulie umba mbingu na dunia twakuomba u2samee mazambi y2 nau2elekeze njia njema ameen
@rahmahakim62854 жыл бұрын
Mashallah mungu akulinde shehe wetu
@abdouliris29774 жыл бұрын
Alhamndulillah 🙏🙏🙏dawa zako huwa zinanikosha roho sana mwalim wangu♥️♥️♥️💖Allah akupe kila la kheri🙏
@abawaabdura91055 жыл бұрын
Allah akujaliye uingie Jannatul firdaus Inshaa Allah na jamii yote ya Islam Inshaa Allah
@abedisalumu22954 жыл бұрын
Amiiin
@aminatwalib3395 жыл бұрын
Jazzaka allahu ghaira sheikh wetu hakika nimefaidika na mawaidha haya na m/mungu atutilie WEPES aaaamin kila penye zito soteee a aaaamin yaa rabbal alaaamin.
@abdoulsalamanyabenda15946 жыл бұрын
Unanifaa sana sheikh wangu naomba ALLAH akulipe kheil
@abdallahommy26854 жыл бұрын
tunakuomba Allah umlinde shekh wetu
@shakilamagina16173 жыл бұрын
Masha allah .Allah akupe afya njema na umri mrefu
@abeliever68236 жыл бұрын
Sheikh Othman anasoma Qur’an kwa sauti mzuri sana - MaashaaAllah Tabaarakallaah. I wish tungenufaika na record zake za tarteel. Qiraa’a ya Sheikh Othman kwa sauti yake mzuri itapatia watu shifaa, sakeena na utulivu InshaaAllah
@fatimasaleh19916 жыл бұрын
Mashaallah Allah akuweke maalim upate kutujuza zaidi inshaallah
@aminatwalib3395 жыл бұрын
Jaaazakaallahu ghaira sheikh wetu kwa duaa na m/mungu atujaalie tuwe wenye kuipa mgongo dunia
@lacicam81196 жыл бұрын
Masha Allah,Mwenyezi Mungu akulipe kila la kheiri Shukran.
@ruqayyahyusuf35443 жыл бұрын
Maashaa Shukran sana Shekh kwakweli tunapata faida kubwa Alhamdulillaah Allah azidi kukupa Afya njema ili utupe zaidi nzaid Ameen thumma Ameen
@samamussakibwana57034 жыл бұрын
Marshallah Allah atukinaishe nafisi zetu na duni turejee kwake tukiwa wasafi inshallah
@munnawwaryaqoob34145 жыл бұрын
Allahu atuogoze yaa Rabbi tukinai ya dunia😢😢😢
@LeilahRashid-fg3pt4 ай бұрын
MashaAllah MashaAllah shekh shkran sanaa Allah akuzidishie mri uzidi kutuelezea n kutukumbusha yalio mema InshaAllah ❤
@bestmoment-tv4il4 жыл бұрын
Mola wetu mlezi atuwongoze waislam wote, inshallah Na atijaliye mwisho mwema, aniongoze🙏🙏🙏
@justinmmbando53864 жыл бұрын
Hongera sana Maalim Mwenyezi akujalie miaka na hekema Nyingi maana hata mm mnaoniita kafiri nafuatilia mawaidha ya Maalim
@mnenebig83846 жыл бұрын
ALLAH(S.W) AKUIFADHI SHEKHE OTHMAN MAALIM
@alimcheni24005 жыл бұрын
Baraka za Allah zikushukie sheikh othmqn
@azizapeter58505 жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu na akuzidishie elimu ili uzidili kutuelimisha na kutufumbua pale tulipokuwa hatuoni tuione na kuikimbilia pepo ya milele isiyo na karaha allah tujaalie mwisho mwema wa maisha yetu,muepushe shekhe wetu na misukosuko ya dunia.
@nabyswabz15225 жыл бұрын
Ehhh Mwenyezi Mungu Tujalie Tusiipende Dunia Nakukuikumbatia
@halimamsafiri15325 жыл бұрын
Mashallah kwa kutupatia dawaa nimejifunza mengi kutoka kwako Yallah akuzidishie afya njema in sha'Allah
@hassanhamisimwaropia23145 жыл бұрын
Daawa nzuri sheikh, Mwenyezi Mungu atujalie iwe niwenyekusikia na kufuata. In sha Allah
@ashasalamam32375 жыл бұрын
Mashaallah Allah akuhifadh duniani na akhera
@allyhaji4343 жыл бұрын
Shukran shekhe Othuman Mungu akujalie mwisho mwema
@yahyamuhammed74914 жыл бұрын
You deliver Nice daawa sheikh Othman maalim,ilike so much and so much to listen,so God will bless you and us to be in straight way
@hussenikijuu34805 жыл бұрын
Maaaaaashaaallah jaman Allah akuzidishie na akufanyie wepes mambo ykoo
@fettymussa94647 жыл бұрын
Mashaallah allah akuongozee katka kl htajio lako kwa kututoa katka kizaa ktuleta katka mwangaa alhamdulillah
@rahmanramadhan84834 жыл бұрын
E! m/ jaalia wazazi wangu mawili,mimi na wote wanipendao.
@bukursalma61034 жыл бұрын
Allah akupe maisha marefu na afya njema ili uzidi kutupa ma waidha na mafuzo in sha Allah
@paulonkwabi87483 жыл бұрын
Mashaallah shukrani sana ostazi wetu
@emmanuelahmedbyona23536 жыл бұрын
Allah anakupa kila kitu bro, kwanza msuli wa sula, then hekima na busara...love you.
@funthirstictm30986 жыл бұрын
Sheikh Othman May Allah grant you janatul Firdaus.
@afusasalimu16522 жыл бұрын
Amin
@AdamSantuАй бұрын
Inshallah Allah naomba umpe hidaya shekh wetu azid kutupa elm nampenda shekh othuman kwaajili ya allah❤
@bukarisful6 жыл бұрын
MashaAllah mashaAllah may Allah give Sheike OTHMAN MAALIM long life to give as good mwaitha
@afusasalimu16522 жыл бұрын
Inshallha
@adeshadiano64086 жыл бұрын
Jazakallahu kheir sheikh uthman
@suneelhamsik96735 жыл бұрын
Allah akujalie Sheikh OTHMAN MAALIM,Unatufundsha wengi kupitia daawa zako,ALLAH akupe maisha marefu uzidi kutuelimishaaa.....AMEEEEN
@jamilayasin9694 жыл бұрын
alhamdulih mwenyezi akujalie umri mwema mafundisho yako mazuri
@shanijohn39885 жыл бұрын
eellah nijaalieniwe mwenyekuiweka dunia kiganjani mwang nasi moyoni mwang inshallah
@salummkumbe56945 жыл бұрын
Allah akuongozee baraka wew nasi pia tuweze kutii kile Allah alichotuagiza
@aminamaulid45515 жыл бұрын
Mwenyezi mungu atujalie mwisho mwemaaah
@fifimoise72303 жыл бұрын
آللهم آمين يا رب العالمين 🌹🌹❤❤
@nuriakimori7693 жыл бұрын
Allah tujalie mwisho mwema.
@wakujajuma89523 жыл бұрын
@@nuriakimori769 assalaam aleikum warhamatullah
@leodavid57145 жыл бұрын
Mashaallah Allah akujalie heri umri mrefu wenye afya njema na mwisho mwema nakupenda kwa ajili ya Allah
@rashidahussein28515 жыл бұрын
Yaarabbi, tujaalie tuzidi kutenda mema ili tuipate pepo.
@sissykhadija53433 жыл бұрын
Maanshaa Allah Hapo alikuwa Burundi karibu tena sheikh Allah akupe kila la kheri Shukraan saana Allah atukubaliie dua zetu aamiin
@omarkipwasa12787 жыл бұрын
Allah akupe umri mref shekh tuizidi kujifunza kupitia kwako inshallah.
@adnanmustafa36556 жыл бұрын
Omar Kipwasa @amin thuma amin
@ramadhansef82685 жыл бұрын
mashaa allah
@aisharamadhan1905 жыл бұрын
Asallam alaykum warahmatullah wabarakatuh
@khaidariylijonjo57164 жыл бұрын
Aaaamin
@jumaaamiri95723 жыл бұрын
Ff
@jamilaadan59526 жыл бұрын
mashaallah tabarakalaah shekh mungu akubariki
@asyaluay57875 жыл бұрын
ALLAHUMMA LA TAJ'AL DUNYA AKBAR HAMANA
@camillas.edrees61556 жыл бұрын
Alhamdulillah Mola Akujaalie kila la kher hapa na kesho Akhera,,,,Aameen
@hadijabakari32483 жыл бұрын
Qqqqqqq1q1qqqqqq1
@joharibenard68382 жыл бұрын
Amina
@seifmohamed18942 жыл бұрын
@@hadijabakari3248 m m
@sadasadiki37685 жыл бұрын
shukran sheikh Othman maalimu allah akupe ujira duniani na akhera allah atupe mwisho mwema inshallah atujaalie mlango mwema wa pepon alfirdauos
@saidishebuge47967 жыл бұрын
yarabii atujalie nasi tuwe wenye kuiweka dunia kiganjan na sio mioyoon
@jovinhosantos85345 жыл бұрын
Mashaallah
@alawijuma81155 жыл бұрын
Saidi Shebuge
@bestmoment-tv4il4 жыл бұрын
Amin
@ibrabofubofu87633 жыл бұрын
Amin
@filsanmussa70993 жыл бұрын
Mungu atupe mwisho mwema..Amiiin Ya Rabbi
@zulfamimu56944 жыл бұрын
Mashaaallah Allah akupe uhai ili tuzid kufaidika dunia na akhera
@hibaalfarsi77564 жыл бұрын
Yaaa rabbiy tujalie mwisho mwema, ammin
@husseinhassan42414 жыл бұрын
Allah akujaaalie mwisho mwema nasi atujaalie mwisho ulio mwema
@moonerkaycmoon14024 жыл бұрын
Allah akujalie umri mrefu wenye kheri na mwisho mwema
@user-mw5he3ig9g5 жыл бұрын
Maa sha allah,,mungu akuhifadhi na hasd fitna chuki za majini maishaitwani na bin adamu
@bestmoment-tv4il4 жыл бұрын
Inshallah, mola akupe umri mrefu, tuzidy kunufaika sisi Na kizazi kijacho, Na mungu wetu mlezi, aniongoze Mimi Na waislam wote, duniani.🙏🙏🙏🙏
@leilamehbub9484 жыл бұрын
mashAllah may Allah bless you sheikh I like your mawaidha
@hassanmwaringa43285 жыл бұрын
Shukran xna kwa darsa zako nzuri Yaa ALLAH tujaalie tusiwe miongoni mwa wenye kuipenda dunia inshaallah,,, ni saidaa
@fundimzeemzee15353 жыл бұрын
Alla,Akupe,wepesi,Wakilakitu
@yumentmechanisian44876 жыл бұрын
Baraka lwahu fiyk sheikh Allah akujaz Elim badal allahum zidyn elm waruzukn fahm
@mwanakassimkassimdaudi32457 жыл бұрын
mashaallah ...jazaka Allah kheri kwa darsa lako zuri kutuelimisha...Allah akujalie kila l khri hapa duniani na akhera inshaallah
@swabrayustas79857 жыл бұрын
Allah akupe umri Sheikh wangu Hakika umenitoa mbali mawaidha yako hutuliza moyo wangu nakupenda kwa ajiri ya Allah
@khanifahusen91116 жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu na wenye afya njema
@khalifakikoti70275 жыл бұрын
Alhamdulillah mawaidha mubashara allah atuafikishe tuwe wenye kuipamgongo dunia
@omarjama75555 жыл бұрын
ALLAH awazidishie na awape mahulama waliopo umri mrefu.na waliotuacha wape janatul firdaus Ameen.
@amekhamis92273 жыл бұрын
Ahsantee shekh Allah akubariki akujaalie Kila la kher akupe umri mrefu akuzidishie elimu na maarifa ili uweze kutufundisha
@zahrahmaimuna33065 жыл бұрын
Napenda mawaidha zako sana sheikh ..MashaAllah
@yaseenkara90165 жыл бұрын
Allah atujaliee maishaa marefu yenye baraka ndani yakee na atujaliee maisha mafupi kama hayana baraka ndani yakee ilii tusiweze kumuasi Allah (s.w) maaana Allah ni mwingine wa kusamehe na ni mwenye ghadhab kwa walee ambao watakao muasi maaan ni mjuzi wa kuadhibu adhabu nzitooo.... Rabana atina fidunya hasanat Wafil agheratul hasana Wakina adhaba naar Allahumaa ajirna minanar saalimin
@mohammedsaid10987 жыл бұрын
ma Shaa Allaah sheikh, Allah akujaaliye kila la kheri na akupe pepoo kubwa
@kamismusa35834 жыл бұрын
Allah atuepushe na matamanio ya dunia nani tupo 2020
@alizahranmohd40954 жыл бұрын
tupo kaka biidhnillahi
@shanijohn39885 жыл бұрын
emwenyez mung naomb unipe mwisho mwema wahp duniani nakesho akhell
@alimaalima60167 жыл бұрын
MashaAllah tabaraka Allah Mwenye ezi Mungu atuongoze njia iliyonyooka
@zahramohammad54026 жыл бұрын
Mungu atatjlie tuwe ni wenye kushka mema lnshAllah shkrn othmn mashAllah tabaraka Allah
@yahayabadili66635 жыл бұрын
Mashaallah xhekhe
@zamzamshefsa8955 жыл бұрын
MashaAllah
@fatumanyota38515 жыл бұрын
Alima Alima
@suhailaomar33325 жыл бұрын
mashallah yarab tujaalie tuwe miongoni mwa wenye kusikiliza yaliomema, na mkinge sheh wetu na mitihan ya kidunia ,tuende peponi pamojaa inshallah
@lolooman91704 жыл бұрын
Hawa wasanii wanatuharibia vyeo kwenye kazi zetu kweli shekh watu Othman Mwaalm.
@ruzunarashid49155 жыл бұрын
MashaAllah shekh Allah atujaalie tusiwe ni wenye kuipenda dunia tukasahau akhera
@hawaabdallah31076 жыл бұрын
mwenyezi mungu akuzidishie hekma, akuzidishie imani na elimu uzidi kutujuza yalio bora maana kuna saa nikikusikiliza najaribu kufanya mazuri zaidi. mungu akuweke inshalaalah
@manderjoel17015 жыл бұрын
mungu tupe mwisho mwema amina
@sultannassor87595 жыл бұрын
Erfgdyuo
@zeinabhaji62795 жыл бұрын
Mashallah
@omarissaka67385 жыл бұрын
Mansha Allah sheikh Allah akuzidishie hekma, akuzidishie pia elimu na sisi tuzidi kufaidika, n'a pia nakuyakia kila la kheri
@Farida-so4xp7 жыл бұрын
mashaalh shehe othomani maalimu Allah akupe umre mrefu kutufikishia dawa warming AMIN
@zuhuranakatipwe66576 жыл бұрын
tunashukuru kwa dua zuri
@husseinbante69646 жыл бұрын
Farida 9922 sawa
@husseinbante69646 жыл бұрын
Allah Allah
@abuusamira33605 жыл бұрын
Hello mzima ww
@is-haqmf85136 жыл бұрын
God bless your work Sheikh and may He lead us all straight.
@seifmohamed18942 жыл бұрын
J ccccccvccvvvg
@khadejarajab80075 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akupe umri mrefu ishaallah
@chidykiboko37696 жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah lov u of Allah shekh OTHMAN.MAALIM
@preciousmamy31725 жыл бұрын
اللهم لا تجعل الدنيا اكبر همنا 🙏
@mariamkimwaga9436 жыл бұрын
Masha Allah mola akuweke huzidi kutupa darsa
@lolooman91704 жыл бұрын
Waarab yao hawayaoni wanayaona yda Zanzibar na Tanzania tuu Mawaiza mazur kweli shukran bi khair.
@abbasshabani6705 жыл бұрын
mashaa allah allah akujalie uzima uendelee kutupa dawaa
@altanwirtv25744 жыл бұрын
NAPENDA SANA KUFUATILIA MAWAIDHA YA SHEIKH OTHMAN MAALIM . ANA UFASAHA MKUBWA KATIKA UTOAJI WA MAWAIDHA......NIMEIPENDA HARAKATI YA CHANNEL HII NA IMENITIA MOTISHA WAKUFUNGUA CHANNEL YANGU ILI KULINGANIA UMMAH JUU YA TAWHEED NA MAFUNZO MENGI YA DINI YA ALLAH NI ONGEZA MIMI NA KILA MJA KATIKA NJIA YA HAKI AMEEN
@fatmatwalib84084 жыл бұрын
Allah akulipe kheri na akupe umri mrefu wenye kheri nawe "Amin"
@mira-gq3qg5 жыл бұрын
Allah akujaalie pepo sote tuliosikiliza pamoja na shekh wetu
@ramadhani71306 жыл бұрын
Mashallah mungu akuweke miaka mingi na afya njema shekh wetu kipenzi inshallah
@mariamlukindo77293 жыл бұрын
Mungu akuweke shekhe wang nakupendaga na kuelewa mawaidha yako
@shabanikadirimbenakadiri20835 жыл бұрын
mungu atujalie tuwe watu wenye kupata mwisho mwema